11.11.2015 Views

Chapter 62

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2


Bennedict Inondah: Poa poa bana uwa unatuteach vitu most, big up jamaa. // Gregory Isanda: Vipi DJ Bn greroy isanda nilixoma shujaaz<br />

chapter 58 n poa xana ume improve lyfe style ya mayut wengi zidi kuwa n mtima huo huo hata mi umeniencourage n bro wangu<br />

anaitwa vinny isanda ameanza ku save dooh. // Yan Maina: Mi nimegt inspiration from wat u tell de yuts abt the future. >><br />

3


...hiyo wiki tulifunga shule<br />

kuna ile concert ya mc<br />

magnum ili-come...<br />

ey, chuxX!<br />

umeweka posters<br />

nyingi sana kwa<br />

duka yangu!<br />

niliambiwa<br />

niweke hivyo!<br />

posters zilikuwa<br />

kila mahali...<br />

mnakumbuka?<br />

chuxX!!<br />

hiyo concert itakuwa<br />

how much?<br />

hiyo ni kazi yako<br />

kujua! kazi yangu ni<br />

kuweka posters!<br />

madDo, huyo<br />

chuxX anakuwanga mzii!!<br />

sasa mbona anabonga<br />

vi-udu hivo?<br />

ako down,<br />

lakini ana point.<br />

nafikiri nitaenda hiyo<br />

concert. na nitakuwa<br />

na date!<br />

4


eEeEh!<br />

hehe!<br />

so ni madDo<br />

ndio alianzisha<br />

maneno, eh?<br />

ebu malizeni<br />

kunitengeneza<br />

nywele! giza<br />

imeanza nitakosa<br />

mat ya kuenda<br />

home<br />

ah-ah!<br />

maliza hiyo stori!<br />

mimi nitakulipia<br />

taxi!<br />

hata mimi<br />

nitaongezea ya<br />

taxi! maliza<br />

risto!<br />

so sunday...<br />

jana... nilipanda<br />

mat nikakutana<br />

naye...<br />

...nilitaka sana<br />

kuwa naye penye<br />

mapero wa mine<br />

hawata tu<br />

sorora...<br />

kabla twende<br />

flo-rada 2000,<br />

tulienda lunch<br />

pale kikwetu fish<br />

and chips... foOd<br />

ilikuwa safi!<br />

ebu onja<br />

hii fish...<br />

...nimengoja<br />

leo sana. mi<br />

hushindwa kusoma<br />

shule juU ya<br />

kukufikiria tu...<br />

hihi!<br />

aki, madDo!<br />

yoh! madDo!<br />

tuishie bana!<br />

tutachelewa!<br />

hapa<br />

sasa!<br />

5


6<br />

Sammie Migiro: Ajez? DJ Bile idea ya kutumia protection imenhelp vitu mob aky.Ata ctaxtuka dem akybeba rubber tena. // Manase<br />

Ayoma from Siaya: Ajez mxito kuna vile round hii nimekua sonko bana, nilinunua ngurue last yr july ikiwa mtoi,this month ilizaa watoto sita<br />

nikauza mbili 1500 each nikanunua mbuzi bana. thanks alot kwa ideas xako bana. // Grace: Hii DJ B aki one day talk abt pple with >>


halafu dj akaAnza<br />

kupoesha...<br />

...karibu nishindwe<br />

kupumua...<br />

...nika-feEl madDo<br />

amenishika...<br />

twende...<br />

nilikuwa kwa dilemMa...<br />

sikuwa na nguvu ya<br />

kukataA, na sikutaka<br />

ku-disSapPoint!<br />

madDo...<br />

dixabilities coz they are kenyan youth n they hv many thingx they can do. // Francis from Lamu: NiajeDJ B nadhani ni vizuri hata madem<br />

kubeba cd. juu anything inaeza happen wakati wowote. naili kuzuia naona hamna ubaya wowote. // Dishon from Kakamega: Niaje DJ B<br />

uko chonjo endelea ivo ivo. // Chris: Nliquwa niki save dooh na imenioqolea qubuy cladi na via2. qusave inaoqolea xana. >><br />

7


8<br />

Skylux Murithi: Hey Shujaaz i fm lt m thk u DJ B cz n mewexa kget ideas mob kw show yk n macting ments wk kw wexa ku build lf yng n<br />

mayuts wenxangu thks guys cogrnt’s n m tp tu xn. // Maureen: Kubeba cd si mbaya labda jk amechanganyikiwa mdem msmart ni ule<br />

anatumia CD. // Wanjiru Mathai: Hi DJ B mayut najua tuko poa ku keep peace nchi yetu tunasonga bele imara daima sisi tuungane >>


Shujaaz (TM) is published by:<br />

Well Told Story Ltd, P. O. Box 1700-00502 Nairobi, Kenya. Tel: 20308 [sms only] Web: www.welltoldstory.co.ke.<br />

Printed by Colourprint Limited, P. O. Box 44466-00100 Nairobi GPO.<br />

Produced in collaboration with:<br />

Hewlett Foundation, Twaweza, Bill and Melinda Gates Foundation & ESHE. Distributed by Nation and Safaricom.<br />

PRODUCTION MGR: Grace Macharia PRODUCER: Paul Ekuru ASST PRODUCERS: Jared Ngugi | Stephanie Boy<br />

ART: Maurice Odede | Mmbasu Mbwabi | Joe Barasa DESIGNERS: Esphan Kamau | Ann Ndichu RADIO: Paul Peter Kades<br />

SOCIAL: Farida Nzilani | Winnie Nduta RESEARCH: Sylvia Thuku | Lavinca Achieng | Norah Kopi OUTREACH: Koome Mwiti<br />

| Gertrude Bosire DISTRIBUTION: Joram Kioko FINANCE: Ranjeeta Jani | Carol Ariga | Mary Muthoni HR: Hellen Mwangi<br />

ADMIN ASST: Gloria Ndungi INTERNS: Wilfred Kariuki | Regina Lesilele | Jackline Njambi PHOTOGRAPHY: Alex Kamweru<br />

Special thanks to JUNE RAPSHA for his Music on ShujaazFM<br />

Well Told Story © 2015 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or be transmitted<br />

in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the publishers. Although every effort has been taken to<br />

ensure the accuracy of information contained in this publication, in no event shall the publishers be liable for any incidental, indirect, consequential<br />

losses or damages of any kind without limitation arising out of or in connection with the use of the information in this publication.<br />

pamoja. // Macklin Egesa: Hi DJ B nalike comics zako vile ziko juu tu sana. Zina tu enlighten. // Joseph Muthoka from Kitui: DJ B manze<br />

cku mwob cjakua code 254 buh nmerudi. Xema makubwa kwa shujaazTV. I liked every bit of it wen i woz in code 256. Big ups buda 4 the<br />

big job. // Stevo from Machakos: Shujaaz nilixoma chapta 56,cheezy angeweka ka bizna ya kufuga sunguch juu ni less expe alafu >><br />

9


10<br />

inaleta dooh within a short. // Bernice: Sasa DJ B m bernice n on behalf of all parnts i wanna congratulate u 4 the gd wrk u r doing 2 the<br />

youths. // Xavier Ayuku: Hi DJ B? aki niko impressed na vle unatuelimisha c ka mayuts infact nilianza kimchezo kufuga kuku. Imgn frm 5<br />

hens to 50 na nilianza last year Dec. // Adesovir Munyao from Machakos: Masii Town Nashukuru DJ B shwo ina nice aje alaf mchki >>


Sasa DJ B anataka<br />

sana kujua juU ya hii<br />

hustle yako.<br />

Hamna noma.<br />

Nitakushow<br />

kila kitu.<br />

Alright...<br />

Sasa mimi huwa<br />

na-incubate mayai alafu<br />

nauza vifaranga.<br />

Wow! Mimi najua<br />

tu watu wa kuUza<br />

kuku pekeE yake,<br />

we ndo wa kwanza<br />

nimeona wa kuincubate<br />

mayai.<br />

Kweli. Si<br />

watu wengi hufanya<br />

hivi.<br />

mspread boox sana. // Danex: Hi DJ B za new year! Manze kuna kinyonyi moja hapa mtaani anangoja watu nje ya duka ukibuy kitu upewe<br />

change hata kaa ni 5 anakuomba eti umwogeze abuy nayo fud akona njaa. na saa hiyo ako na fegi mkononi.Sa na shindwa fegi<br />

ameget wapi na anaubao.Amejulikana sa hi watu wanamwambianga pole sio leo. Ame learn leson ya ke sahii ame hamia mtaa ingine.<br />

11


Unanunua egGs<br />

ama yote untoa<br />

tu hapa?<br />

Hapa hapa tu.<br />

Hawa kuku nimefuga<br />

ndo wananipa mayai.<br />

Hii idea ulitoa<br />

wapi?<br />

So idea ya kuincubate<br />

mayai ilikuja<br />

nikifikiria juU ya<br />

kuku.<br />

Kwanza nilikuwa<br />

nataka kuanza bizna ya<br />

kuku alafu ndo nikafikiria<br />

watu wengi tayari<br />

wanaifanya.<br />

Tuseme kwa<br />

mwezi una-incubate<br />

mayai ngapi?<br />

Hii incubator<br />

inaweza chukuwa<br />

mayai 49.<br />

12<br />

Gabriel Kilui from Mwingigabrie: Hae DJ B next comic inatoka lyn.i lyk dat comix coz znakuwanga na maencourenge mob ya kubeneftz<br />

mayouthz. // Kaguta JK: Hae DJ B nmechk shujaaz chapter 58 na imenbamba 2 sana.We n role model wa myn coz umenteach so<br />

many things in my lyf. Cograts Dj kwa kueducate mayouths. // Damaris Wanjiru: Aki DJ B umekua help kwangu xana nilisoma story >>


Okay?<br />

Lakini huwa sana sana<br />

naweza hatch a m inimum<br />

of 21 chics.<br />

Nice. Huwa<br />

unaeza uza zote<br />

kwa mwezi?<br />

Yea, mwezi haiwezi<br />

isha kabla zijaenda zote.<br />

Kuna demand mzuri.<br />

Chick<br />

moja unauza<br />

how much?<br />

Price huwa<br />

ina-range from<br />

Ksh.130 to<br />

Ksh.180.<br />

Huwa inadepend<br />

na age ya kifaranga.<br />

The more ina-grow the<br />

more inapanda bei.<br />

Ni nini inafanya<br />

u-set price<br />

tofauti?<br />

furani nikawa suppoted xana. // Jamal Steinah: Mambo DJ B napenda hii comic yako tu sana ju ina encourage wathii sana. Big up manze<br />

JAH bless. // Juliet: Wasee mko 2 juu sana napenda vile mnaencourage mayuts abt life circumstances zao jo cheers DJ B. // Jack: Ai<br />

thnx 2 sana.bt nathnk hizo sms ume2ma nkuset umeset kwa com juu zimeka xo fast than a humam can send.wallaih nko sure >><br />

13


Enyewe sasa naelewa.<br />

So kama ni mwezi poa huwa<br />

una-make doO ngapi?<br />

Ka kila kitu<br />

imeEnda fine huwa<br />

naAngusha<br />

Ksh. 3700.<br />

Lakini si<br />

kulea ndo<br />

poa ama?<br />

Yeah. Kulea ndo poa<br />

juU uta-make profits mob<br />

kuliko mtu ana-buy mayai kwa<br />

shop. Ni venye waseE huogopa<br />

kazi ya kulea kuku.<br />

Wow! So mtu<br />

anahitaji nini ndo<br />

afanye hii hustle?<br />

AaAah, hii hustle ni<br />

rahisi sana. Kitu unahitaji<br />

tu ni incubating machine. Unaeza<br />

lea kuku ama bado unaeza<br />

buy mayai kwingine.<br />

I seE. Wateja<br />

wako huwa unawatoa<br />

wapi?<br />

So hau-neEd<br />

kuenda soko?<br />

Wengi wao huwa<br />

wanakuja tu hapa juU<br />

washajua mimi nabreEd<br />

vifaranga.<br />

Soko si sana.<br />

Kitu mzuri ni uku<br />

treat customers vizuri<br />

huwa wanaenda alafu<br />

wana-refer wengine.<br />

14<br />

James Ngure: Manze mumekuwa mkiniencourage 2 xana kupitia mbuku ya Shujaaz kama vile market. Thankx 2 xana DJ Bkwa kuniinspire<br />

mkiwa na ngenge yako. // Krizy Mwende: Nimemanda borm four nabambika juu ya vle mayut wna huxtle na hii ariba ya kutumia cdx<br />

ina help xna mayutx dhankx DJ Bkwa job poa. // Partrick Lu Mpa: Napenda Job yangu na pia napenda venye unapenda job yako. >>


15


16<br />

Imefanya nieze ku-providia familia yangu. Nashukuru Mungu. // Steve from KDO: Johnny we ni mnoma am 27yrs av one kid na wife<br />

yangu ana use contraceptives. Nadhani ukiwa m-active sexually ni poa kutumia condoms. // Lucy: DJ B niaje manze nataka nkurimind<br />

unado job poa xana kutushow ujanja wa bizna but drugs na immorality zinatufeilisha big up mtu wangu. // Brian Messi: I like the >>


Imewa-take<br />

nini kufika place<br />

mko?<br />

Tumekuwa tukifanya<br />

rehearsals for long hours<br />

ili ku-make sure tunapata<br />

quality music na lyrics na pia<br />

wase wapoa wa kutupatia<br />

advise inafaA.<br />

Hapo hata wewe<br />

umeangusha wisdom budaA.<br />

Kwetu kila chalLenge ni<br />

learning point.<br />

Tunamenyana nazo!<br />

KOFf!<br />

huyu mthii<br />

anaharibu starehe<br />

na hio fegi!<br />

Hiyo ni spirit poa<br />

sana. Nini ndo bigGest<br />

achievement so far?<br />

Ku-release two singles,<br />

moja ikiwa colLabo ya<br />

nguvu na KING KAKA.<br />

Pia tulipata honour ya<br />

ku-perform in front of our<br />

president His ExcelLency Uhuru<br />

KenyatTa.<br />

niaje wazito!<br />

niwai 10 bob<br />

ni-buy fegi!<br />

pole<br />

lakini<br />

zii!<br />

KINYONYI<br />

kuomba-omba<br />

tu!<br />

Hongera mzito.<br />

Thanks DJ B.<br />

Na thanks kwa<br />

time yenu. Maze<br />

mnaenda far!<br />

sasa hawa<br />

wamenichorea<br />

tena...?<br />

Thanks kwa hiyo<br />

morale na time<br />

yako pia.<br />

Shujaaz magazine unipatia ma tips za bizna. // Pascal: DJ B we ni role model wa myn koz umeniteach xo many thinkas in lyf, apo nyuma<br />

nilikuwa cna pa kuhustle bt nowadays nahustle kwa kudunga maworkz ya bricks mtaani na per day nko na 2k denkz 2 sana m2 nguyaz. //<br />

Victor Odhiambo from Dandora: DJ B wa shujaaz chpta 58 imenitach ile mbaya kwnza story ya Laurence kariuki manze abigap tu >><br />

17


18


sana napia we ume tuxaidia tu xana xi ka mafans wko Jo bigap DJ B. // Arasa Makori from Kisii: Enyewe Shujaaz imenijenga. i finished<br />

skul last year na nimebonga na masa amekubali kunigawia shamba 10X10metres nipande carrots. pia naplan kuunda rabbit house ju already<br />

nimezipata ni hao peke yake. DJ Bshow msee yeyote mwenye anataka sungura ani2mie meso kwa 0700411813. kuna watoy >><br />

19


Haina was! Hata<br />

wewe unakaribishwa<br />

big time.<br />

Asante<br />

bana.<br />

Hahahaha! Wazi.<br />

Maze si hii hustle yako<br />

haina wengi!<br />

Iko juU tu<br />

sana. SaA naona kila<br />

kitu hapa ni Africa…<br />

Ndo hivo sasa.<br />

Tunaiitanga Afrocentric<br />

shoes.<br />

Ati Afronini?!<br />

Hahaha.<br />

Hahahaha. Tuseme<br />

tu ni ndula zina total<br />

African touch.<br />

20<br />

wadogo from soo tano hata wakubwa wako. msee pia anaeza eka order kwa page yangu ya facebook, Arasa Makori. // Macklin: Hey<br />

DJ B Meal angu m upenda ni saga,na vegetables difer zi du lyf angu m uishi widaut geting any disease. Stevo Musera: DJ B wewe ni inspiration<br />

2 da youth,big up cz umefanya ni realise kuna msee out there anajali mayut,b blesed. // Calyx: Thanx DJ B happy for being >>


Noma sana.<br />

Na hii ni idea<br />

ulitoa wapi?<br />

Mimi nilianza<br />

design juU ya pasSion<br />

for fashion.<br />

He, tena kwa turhymes<br />

pia hauko<br />

mbaya sana.<br />

Hahaha.<br />

So ilikuchukua<br />

doOh ngapi ku-start<br />

hii hustle?<br />

Manze nilikuwa nauza<br />

gazeti sana tao, nika-save ikafika<br />

thao tano na hiyo ndo<br />

nilitumia ku-start.<br />

recruited kwa hiyo army .nina furaha mpwito mpwito kuwa mmoja wa shujaaz.let keep in touch.pamoja dj b. // Annonymous: Vipi DJ<br />

B,mimi ni juma na hustle nikiwa busia.thanx maze thru shujaaz kuni inspire nilisare idlenes nkaamua kua busy now,i earn cash,niliborow 500<br />

bob kwa jirani as capital ,nikaanza kupika mandazi, then nazisupply kwa shops za mtaa,zingine majirani na watoi wa shule wanabuy >><br />

21


Wao! Sema<br />

bidii!<br />

Bidii.<br />

Hiyo yako ndo<br />

inaitwa bidii.<br />

Hahaha.<br />

So ni vitu gani<br />

mtu anahitaji kwa<br />

hii hustle?<br />

Unahitaji hizi African<br />

fabric, cherehani, uzi, sole za<br />

viatu, mbao na machine zingine<br />

za kuchonga mabao zenye hatuna<br />

hapa. Naendanga industrial<br />

area kuchongewa.<br />

Hizi mi hutafuta<br />

Biashara streEt.<br />

Na sasa una-buy<br />

wapi material? Tuseme<br />

kama fabric?<br />

22<br />

zile zimebaki. Now DJ B my life has change,thank u DJ B,thank u Shujaaz Fm. // Eric Njoro from Nax: Sema DJ B?,maze hio rysto ya ma<br />

diet n important xana na imen bamba vdeddly kuruka,maze DJ B kip on edukating mauths nauwasho dat ‘THAFAI’ inama nutriets kbao,<br />

sio lazma waendee ma njiva zenye ziko na maprotein most kwa mwili,waende food ziko na mavitamen kama ‘terere’. >>


inaeza<br />

Dannex Duncan: Hey DJ B Ni kweli mi pia nilijipata kwa situation kama ya jonny.Na since mi ni orphan ckua na m2 wakuni supot or kunipa<br />

advice.Bt afta kuget in touch na shujaaz.Niliona light na sa hi nimejipanga na providia familiangu vizvri thax 2 shujaazfm. // Mackline<br />

Engesa: Si kuna mathe flani apa ome upatia mtoi wa 3 month umpatia tw irish potatoes pekee nampelekea hi comic aone vitu >><br />

23


26<br />

anafaa kupatia mtoi imajin everydei nikim ask why anasema ana dooh za kununua izo vitu gai. // Calyx: Zaidi ningependa kuona betty<br />

juu yeye huwa forcussed na life yake . japo yeye umake mistakes ni kwetu sisi kulearn. hii character ya kupigiwa mfano na inatamanika<br />

sana. betty 4 real ma vote. halafu pia ni mreal videadly. // Rama K: Nilisave dooh na ikanisaidia kwa kujenga gheto then 4now >>


maze hata hatujui<br />

jana kuliendaje<br />

na mary.<br />

Wamwkuwa pamoja for<br />

90 days na tunajua vitu<br />

zinakuwa serious mkimaliza<br />

3 months na mseE.<br />

Enyewe kwani<br />

ako!?<br />

hmMm!!!<br />

mary jana<br />

kuliendaje???<br />

Toboa!<br />

siwezi sahau day malkia alini-introduce<br />

to tom, ilikuwa love at first sight<br />

mary, neiba wangu<br />

tom. tom beshte<br />

yangu mary<br />

ni mhot.<br />

nasave coz nalenga kufungua bizna so nauliza bizna poa ni gani? // Jack Kamau from Kiambu: Niaje DJ B mimi ni huxtla na fanya kazi<br />

ya xcrap metalx naomba u encourage mayutx axante kwa kuwa pamoja. // Kennedy Mwangi: The best Stage ya kuongea mabo ya<br />

CDs is wen hutaki kupata watoi b4 the tym and also time umemada kupata watoi ili usilete distructions kwa bizna yako. Chris: Nliquwa >><br />

27


Mapero wangu<br />

wanaenda up-country<br />

hii weEkend. So tuta<br />

hang?<br />

Naeza like<br />

ku-spend time na wewe<br />

bila distractions.<br />

vile mapero wangu walisema wanatravel for the<br />

weEkend nilijua tunaweza kuwa pamoja bila curfew<br />

bye!!! na ufanye<br />

homework, tunarudi<br />

sunday<br />

awWwW! wanakaA<br />

cute wakiwa<br />

pamoja.<br />

nilijua hio ndio the day but sikuwa<br />

na pesa enough ya kubuy condoms<br />

maze sina mkwanja<br />

ya kutosha<br />

Sitaki kubuy condoms<br />

cheap, Tom anaeza fikiria<br />

sina clasS.<br />

nikaenda home kuji-prepare<br />

aki sasa nita<br />

vaA nini???<br />

28<br />

niki save dooh na imenioqolea qubuy cladi na via2. Kusave inaoqolea xana. // Alacia Atieno: Haez naitwa alacia atieno en napenda<br />

shujaaz tu xana DJ Bnaeza taka kkuona in real. // Chris: Poa DJ B coz nlixoma chaptaz nyigi xana za xhujaaz av a good evening mr na mi<br />

n mxanii coz nlituga nyibo tatu za vol one rec za catho chenye klinpedeza ili nkutext n kinyonyi venye anaact mwah naneed nkuwe >>


shabiki wa shujaaz haki. // Rozzylin: Ok Mi nlimada systm lst yea bt one na nkachukua na besty yang 2kaboga na mca we2 aka 2prmot<br />

na dooh kiac 2kaanza bizna ya kusel sanitary pads kwa chuo mostl kwny kuna magalz wegi. // Bryan Muinde: Sikumbuki chapter but<br />

kuna msee fulani alikuwa member wa gang ya kina scarface alisare story za hio gang na akaanza kulisha kuku. mimi nilimada 4th >><br />

29


30<br />

last year na natafuta wasee tuungane tuanze hio bizna na pia kupanda tree seedlings ya tree seedlings ndo tumeanza na tunalook<br />

foward kuwa na over 100000 seedlings round one.<br />

>


31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!