You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
2
Bennedict Inondah: Poa poa bana uwa unatuteach vitu most, big up jamaa. // Gregory Isanda: Vipi DJ Bn greroy isanda nilixoma shujaaz<br />
chapter 58 n poa xana ume improve lyfe style ya mayut wengi zidi kuwa n mtima huo huo hata mi umeniencourage n bro wangu<br />
anaitwa vinny isanda ameanza ku save dooh. // Yan Maina: Mi nimegt inspiration from wat u tell de yuts abt the future. >><br />
3
...hiyo wiki tulifunga shule<br />
kuna ile concert ya mc<br />
magnum ili-come...<br />
ey, chuxX!<br />
umeweka posters<br />
nyingi sana kwa<br />
duka yangu!<br />
niliambiwa<br />
niweke hivyo!<br />
posters zilikuwa<br />
kila mahali...<br />
mnakumbuka?<br />
chuxX!!<br />
hiyo concert itakuwa<br />
how much?<br />
hiyo ni kazi yako<br />
kujua! kazi yangu ni<br />
kuweka posters!<br />
madDo, huyo<br />
chuxX anakuwanga mzii!!<br />
sasa mbona anabonga<br />
vi-udu hivo?<br />
ako down,<br />
lakini ana point.<br />
nafikiri nitaenda hiyo<br />
concert. na nitakuwa<br />
na date!<br />
4
eEeEh!<br />
hehe!<br />
so ni madDo<br />
ndio alianzisha<br />
maneno, eh?<br />
ebu malizeni<br />
kunitengeneza<br />
nywele! giza<br />
imeanza nitakosa<br />
mat ya kuenda<br />
home<br />
ah-ah!<br />
maliza hiyo stori!<br />
mimi nitakulipia<br />
taxi!<br />
hata mimi<br />
nitaongezea ya<br />
taxi! maliza<br />
risto!<br />
so sunday...<br />
jana... nilipanda<br />
mat nikakutana<br />
naye...<br />
...nilitaka sana<br />
kuwa naye penye<br />
mapero wa mine<br />
hawata tu<br />
sorora...<br />
kabla twende<br />
flo-rada 2000,<br />
tulienda lunch<br />
pale kikwetu fish<br />
and chips... foOd<br />
ilikuwa safi!<br />
ebu onja<br />
hii fish...<br />
...nimengoja<br />
leo sana. mi<br />
hushindwa kusoma<br />
shule juU ya<br />
kukufikiria tu...<br />
hihi!<br />
aki, madDo!<br />
yoh! madDo!<br />
tuishie bana!<br />
tutachelewa!<br />
hapa<br />
sasa!<br />
5
6<br />
Sammie Migiro: Ajez? DJ Bile idea ya kutumia protection imenhelp vitu mob aky.Ata ctaxtuka dem akybeba rubber tena. // Manase<br />
Ayoma from Siaya: Ajez mxito kuna vile round hii nimekua sonko bana, nilinunua ngurue last yr july ikiwa mtoi,this month ilizaa watoto sita<br />
nikauza mbili 1500 each nikanunua mbuzi bana. thanks alot kwa ideas xako bana. // Grace: Hii DJ B aki one day talk abt pple with >>
halafu dj akaAnza<br />
kupoesha...<br />
...karibu nishindwe<br />
kupumua...<br />
...nika-feEl madDo<br />
amenishika...<br />
twende...<br />
nilikuwa kwa dilemMa...<br />
sikuwa na nguvu ya<br />
kukataA, na sikutaka<br />
ku-disSapPoint!<br />
madDo...<br />
dixabilities coz they are kenyan youth n they hv many thingx they can do. // Francis from Lamu: NiajeDJ B nadhani ni vizuri hata madem<br />
kubeba cd. juu anything inaeza happen wakati wowote. naili kuzuia naona hamna ubaya wowote. // Dishon from Kakamega: Niaje DJ B<br />
uko chonjo endelea ivo ivo. // Chris: Nliquwa niki save dooh na imenioqolea qubuy cladi na via2. qusave inaoqolea xana. >><br />
7
8<br />
Skylux Murithi: Hey Shujaaz i fm lt m thk u DJ B cz n mewexa kget ideas mob kw show yk n macting ments wk kw wexa ku build lf yng n<br />
mayuts wenxangu thks guys cogrnt’s n m tp tu xn. // Maureen: Kubeba cd si mbaya labda jk amechanganyikiwa mdem msmart ni ule<br />
anatumia CD. // Wanjiru Mathai: Hi DJ B mayut najua tuko poa ku keep peace nchi yetu tunasonga bele imara daima sisi tuungane >>
Shujaaz (TM) is published by:<br />
Well Told Story Ltd, P. O. Box 1700-00502 Nairobi, Kenya. Tel: 20308 [sms only] Web: www.welltoldstory.co.ke.<br />
Printed by Colourprint Limited, P. O. Box 44466-00100 Nairobi GPO.<br />
Produced in collaboration with:<br />
Hewlett Foundation, Twaweza, Bill and Melinda Gates Foundation & ESHE. Distributed by Nation and Safaricom.<br />
PRODUCTION MGR: Grace Macharia PRODUCER: Paul Ekuru ASST PRODUCERS: Jared Ngugi | Stephanie Boy<br />
ART: Maurice Odede | Mmbasu Mbwabi | Joe Barasa DESIGNERS: Esphan Kamau | Ann Ndichu RADIO: Paul Peter Kades<br />
SOCIAL: Farida Nzilani | Winnie Nduta RESEARCH: Sylvia Thuku | Lavinca Achieng | Norah Kopi OUTREACH: Koome Mwiti<br />
| Gertrude Bosire DISTRIBUTION: Joram Kioko FINANCE: Ranjeeta Jani | Carol Ariga | Mary Muthoni HR: Hellen Mwangi<br />
ADMIN ASST: Gloria Ndungi INTERNS: Wilfred Kariuki | Regina Lesilele | Jackline Njambi PHOTOGRAPHY: Alex Kamweru<br />
Special thanks to JUNE RAPSHA for his Music on ShujaazFM<br />
Well Told Story © 2015 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or be transmitted<br />
in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the publishers. Although every effort has been taken to<br />
ensure the accuracy of information contained in this publication, in no event shall the publishers be liable for any incidental, indirect, consequential<br />
losses or damages of any kind without limitation arising out of or in connection with the use of the information in this publication.<br />
pamoja. // Macklin Egesa: Hi DJ B nalike comics zako vile ziko juu tu sana. Zina tu enlighten. // Joseph Muthoka from Kitui: DJ B manze<br />
cku mwob cjakua code 254 buh nmerudi. Xema makubwa kwa shujaazTV. I liked every bit of it wen i woz in code 256. Big ups buda 4 the<br />
big job. // Stevo from Machakos: Shujaaz nilixoma chapta 56,cheezy angeweka ka bizna ya kufuga sunguch juu ni less expe alafu >><br />
9
10<br />
inaleta dooh within a short. // Bernice: Sasa DJ B m bernice n on behalf of all parnts i wanna congratulate u 4 the gd wrk u r doing 2 the<br />
youths. // Xavier Ayuku: Hi DJ B? aki niko impressed na vle unatuelimisha c ka mayuts infact nilianza kimchezo kufuga kuku. Imgn frm 5<br />
hens to 50 na nilianza last year Dec. // Adesovir Munyao from Machakos: Masii Town Nashukuru DJ B shwo ina nice aje alaf mchki >>
Sasa DJ B anataka<br />
sana kujua juU ya hii<br />
hustle yako.<br />
Hamna noma.<br />
Nitakushow<br />
kila kitu.<br />
Alright...<br />
Sasa mimi huwa<br />
na-incubate mayai alafu<br />
nauza vifaranga.<br />
Wow! Mimi najua<br />
tu watu wa kuUza<br />
kuku pekeE yake,<br />
we ndo wa kwanza<br />
nimeona wa kuincubate<br />
mayai.<br />
Kweli. Si<br />
watu wengi hufanya<br />
hivi.<br />
mspread boox sana. // Danex: Hi DJ B za new year! Manze kuna kinyonyi moja hapa mtaani anangoja watu nje ya duka ukibuy kitu upewe<br />
change hata kaa ni 5 anakuomba eti umwogeze abuy nayo fud akona njaa. na saa hiyo ako na fegi mkononi.Sa na shindwa fegi<br />
ameget wapi na anaubao.Amejulikana sa hi watu wanamwambianga pole sio leo. Ame learn leson ya ke sahii ame hamia mtaa ingine.<br />
11
Unanunua egGs<br />
ama yote untoa<br />
tu hapa?<br />
Hapa hapa tu.<br />
Hawa kuku nimefuga<br />
ndo wananipa mayai.<br />
Hii idea ulitoa<br />
wapi?<br />
So idea ya kuincubate<br />
mayai ilikuja<br />
nikifikiria juU ya<br />
kuku.<br />
Kwanza nilikuwa<br />
nataka kuanza bizna ya<br />
kuku alafu ndo nikafikiria<br />
watu wengi tayari<br />
wanaifanya.<br />
Tuseme kwa<br />
mwezi una-incubate<br />
mayai ngapi?<br />
Hii incubator<br />
inaweza chukuwa<br />
mayai 49.<br />
12<br />
Gabriel Kilui from Mwingigabrie: Hae DJ B next comic inatoka lyn.i lyk dat comix coz znakuwanga na maencourenge mob ya kubeneftz<br />
mayouthz. // Kaguta JK: Hae DJ B nmechk shujaaz chapter 58 na imenbamba 2 sana.We n role model wa myn coz umenteach so<br />
many things in my lyf. Cograts Dj kwa kueducate mayouths. // Damaris Wanjiru: Aki DJ B umekua help kwangu xana nilisoma story >>
Okay?<br />
Lakini huwa sana sana<br />
naweza hatch a m inimum<br />
of 21 chics.<br />
Nice. Huwa<br />
unaeza uza zote<br />
kwa mwezi?<br />
Yea, mwezi haiwezi<br />
isha kabla zijaenda zote.<br />
Kuna demand mzuri.<br />
Chick<br />
moja unauza<br />
how much?<br />
Price huwa<br />
ina-range from<br />
Ksh.130 to<br />
Ksh.180.<br />
Huwa inadepend<br />
na age ya kifaranga.<br />
The more ina-grow the<br />
more inapanda bei.<br />
Ni nini inafanya<br />
u-set price<br />
tofauti?<br />
furani nikawa suppoted xana. // Jamal Steinah: Mambo DJ B napenda hii comic yako tu sana ju ina encourage wathii sana. Big up manze<br />
JAH bless. // Juliet: Wasee mko 2 juu sana napenda vile mnaencourage mayuts abt life circumstances zao jo cheers DJ B. // Jack: Ai<br />
thnx 2 sana.bt nathnk hizo sms ume2ma nkuset umeset kwa com juu zimeka xo fast than a humam can send.wallaih nko sure >><br />
13
Enyewe sasa naelewa.<br />
So kama ni mwezi poa huwa<br />
una-make doO ngapi?<br />
Ka kila kitu<br />
imeEnda fine huwa<br />
naAngusha<br />
Ksh. 3700.<br />
Lakini si<br />
kulea ndo<br />
poa ama?<br />
Yeah. Kulea ndo poa<br />
juU uta-make profits mob<br />
kuliko mtu ana-buy mayai kwa<br />
shop. Ni venye waseE huogopa<br />
kazi ya kulea kuku.<br />
Wow! So mtu<br />
anahitaji nini ndo<br />
afanye hii hustle?<br />
AaAah, hii hustle ni<br />
rahisi sana. Kitu unahitaji<br />
tu ni incubating machine. Unaeza<br />
lea kuku ama bado unaeza<br />
buy mayai kwingine.<br />
I seE. Wateja<br />
wako huwa unawatoa<br />
wapi?<br />
So hau-neEd<br />
kuenda soko?<br />
Wengi wao huwa<br />
wanakuja tu hapa juU<br />
washajua mimi nabreEd<br />
vifaranga.<br />
Soko si sana.<br />
Kitu mzuri ni uku<br />
treat customers vizuri<br />
huwa wanaenda alafu<br />
wana-refer wengine.<br />
14<br />
James Ngure: Manze mumekuwa mkiniencourage 2 xana kupitia mbuku ya Shujaaz kama vile market. Thankx 2 xana DJ Bkwa kuniinspire<br />
mkiwa na ngenge yako. // Krizy Mwende: Nimemanda borm four nabambika juu ya vle mayut wna huxtle na hii ariba ya kutumia cdx<br />
ina help xna mayutx dhankx DJ Bkwa job poa. // Partrick Lu Mpa: Napenda Job yangu na pia napenda venye unapenda job yako. >>
15
16<br />
Imefanya nieze ku-providia familia yangu. Nashukuru Mungu. // Steve from KDO: Johnny we ni mnoma am 27yrs av one kid na wife<br />
yangu ana use contraceptives. Nadhani ukiwa m-active sexually ni poa kutumia condoms. // Lucy: DJ B niaje manze nataka nkurimind<br />
unado job poa xana kutushow ujanja wa bizna but drugs na immorality zinatufeilisha big up mtu wangu. // Brian Messi: I like the >>
Imewa-take<br />
nini kufika place<br />
mko?<br />
Tumekuwa tukifanya<br />
rehearsals for long hours<br />
ili ku-make sure tunapata<br />
quality music na lyrics na pia<br />
wase wapoa wa kutupatia<br />
advise inafaA.<br />
Hapo hata wewe<br />
umeangusha wisdom budaA.<br />
Kwetu kila chalLenge ni<br />
learning point.<br />
Tunamenyana nazo!<br />
KOFf!<br />
huyu mthii<br />
anaharibu starehe<br />
na hio fegi!<br />
Hiyo ni spirit poa<br />
sana. Nini ndo bigGest<br />
achievement so far?<br />
Ku-release two singles,<br />
moja ikiwa colLabo ya<br />
nguvu na KING KAKA.<br />
Pia tulipata honour ya<br />
ku-perform in front of our<br />
president His ExcelLency Uhuru<br />
KenyatTa.<br />
niaje wazito!<br />
niwai 10 bob<br />
ni-buy fegi!<br />
pole<br />
lakini<br />
zii!<br />
KINYONYI<br />
kuomba-omba<br />
tu!<br />
Hongera mzito.<br />
Thanks DJ B.<br />
Na thanks kwa<br />
time yenu. Maze<br />
mnaenda far!<br />
sasa hawa<br />
wamenichorea<br />
tena...?<br />
Thanks kwa hiyo<br />
morale na time<br />
yako pia.<br />
Shujaaz magazine unipatia ma tips za bizna. // Pascal: DJ B we ni role model wa myn koz umeniteach xo many thinkas in lyf, apo nyuma<br />
nilikuwa cna pa kuhustle bt nowadays nahustle kwa kudunga maworkz ya bricks mtaani na per day nko na 2k denkz 2 sana m2 nguyaz. //<br />
Victor Odhiambo from Dandora: DJ B wa shujaaz chpta 58 imenitach ile mbaya kwnza story ya Laurence kariuki manze abigap tu >><br />
17
18
sana napia we ume tuxaidia tu xana xi ka mafans wko Jo bigap DJ B. // Arasa Makori from Kisii: Enyewe Shujaaz imenijenga. i finished<br />
skul last year na nimebonga na masa amekubali kunigawia shamba 10X10metres nipande carrots. pia naplan kuunda rabbit house ju already<br />
nimezipata ni hao peke yake. DJ Bshow msee yeyote mwenye anataka sungura ani2mie meso kwa 0700411813. kuna watoy >><br />
19
Haina was! Hata<br />
wewe unakaribishwa<br />
big time.<br />
Asante<br />
bana.<br />
Hahahaha! Wazi.<br />
Maze si hii hustle yako<br />
haina wengi!<br />
Iko juU tu<br />
sana. SaA naona kila<br />
kitu hapa ni Africa…<br />
Ndo hivo sasa.<br />
Tunaiitanga Afrocentric<br />
shoes.<br />
Ati Afronini?!<br />
Hahaha.<br />
Hahahaha. Tuseme<br />
tu ni ndula zina total<br />
African touch.<br />
20<br />
wadogo from soo tano hata wakubwa wako. msee pia anaeza eka order kwa page yangu ya facebook, Arasa Makori. // Macklin: Hey<br />
DJ B Meal angu m upenda ni saga,na vegetables difer zi du lyf angu m uishi widaut geting any disease. Stevo Musera: DJ B wewe ni inspiration<br />
2 da youth,big up cz umefanya ni realise kuna msee out there anajali mayut,b blesed. // Calyx: Thanx DJ B happy for being >>
Noma sana.<br />
Na hii ni idea<br />
ulitoa wapi?<br />
Mimi nilianza<br />
design juU ya pasSion<br />
for fashion.<br />
He, tena kwa turhymes<br />
pia hauko<br />
mbaya sana.<br />
Hahaha.<br />
So ilikuchukua<br />
doOh ngapi ku-start<br />
hii hustle?<br />
Manze nilikuwa nauza<br />
gazeti sana tao, nika-save ikafika<br />
thao tano na hiyo ndo<br />
nilitumia ku-start.<br />
recruited kwa hiyo army .nina furaha mpwito mpwito kuwa mmoja wa shujaaz.let keep in touch.pamoja dj b. // Annonymous: Vipi DJ<br />
B,mimi ni juma na hustle nikiwa busia.thanx maze thru shujaaz kuni inspire nilisare idlenes nkaamua kua busy now,i earn cash,niliborow 500<br />
bob kwa jirani as capital ,nikaanza kupika mandazi, then nazisupply kwa shops za mtaa,zingine majirani na watoi wa shule wanabuy >><br />
21
Wao! Sema<br />
bidii!<br />
Bidii.<br />
Hiyo yako ndo<br />
inaitwa bidii.<br />
Hahaha.<br />
So ni vitu gani<br />
mtu anahitaji kwa<br />
hii hustle?<br />
Unahitaji hizi African<br />
fabric, cherehani, uzi, sole za<br />
viatu, mbao na machine zingine<br />
za kuchonga mabao zenye hatuna<br />
hapa. Naendanga industrial<br />
area kuchongewa.<br />
Hizi mi hutafuta<br />
Biashara streEt.<br />
Na sasa una-buy<br />
wapi material? Tuseme<br />
kama fabric?<br />
22<br />
zile zimebaki. Now DJ B my life has change,thank u DJ B,thank u Shujaaz Fm. // Eric Njoro from Nax: Sema DJ B?,maze hio rysto ya ma<br />
diet n important xana na imen bamba vdeddly kuruka,maze DJ B kip on edukating mauths nauwasho dat ‘THAFAI’ inama nutriets kbao,<br />
sio lazma waendee ma njiva zenye ziko na maprotein most kwa mwili,waende food ziko na mavitamen kama ‘terere’. >>
inaeza<br />
Dannex Duncan: Hey DJ B Ni kweli mi pia nilijipata kwa situation kama ya jonny.Na since mi ni orphan ckua na m2 wakuni supot or kunipa<br />
advice.Bt afta kuget in touch na shujaaz.Niliona light na sa hi nimejipanga na providia familiangu vizvri thax 2 shujaazfm. // Mackline<br />
Engesa: Si kuna mathe flani apa ome upatia mtoi wa 3 month umpatia tw irish potatoes pekee nampelekea hi comic aone vitu >><br />
23
26<br />
anafaa kupatia mtoi imajin everydei nikim ask why anasema ana dooh za kununua izo vitu gai. // Calyx: Zaidi ningependa kuona betty<br />
juu yeye huwa forcussed na life yake . japo yeye umake mistakes ni kwetu sisi kulearn. hii character ya kupigiwa mfano na inatamanika<br />
sana. betty 4 real ma vote. halafu pia ni mreal videadly. // Rama K: Nilisave dooh na ikanisaidia kwa kujenga gheto then 4now >>
maze hata hatujui<br />
jana kuliendaje<br />
na mary.<br />
Wamwkuwa pamoja for<br />
90 days na tunajua vitu<br />
zinakuwa serious mkimaliza<br />
3 months na mseE.<br />
Enyewe kwani<br />
ako!?<br />
hmMm!!!<br />
mary jana<br />
kuliendaje???<br />
Toboa!<br />
siwezi sahau day malkia alini-introduce<br />
to tom, ilikuwa love at first sight<br />
mary, neiba wangu<br />
tom. tom beshte<br />
yangu mary<br />
ni mhot.<br />
nasave coz nalenga kufungua bizna so nauliza bizna poa ni gani? // Jack Kamau from Kiambu: Niaje DJ B mimi ni huxtla na fanya kazi<br />
ya xcrap metalx naomba u encourage mayutx axante kwa kuwa pamoja. // Kennedy Mwangi: The best Stage ya kuongea mabo ya<br />
CDs is wen hutaki kupata watoi b4 the tym and also time umemada kupata watoi ili usilete distructions kwa bizna yako. Chris: Nliquwa >><br />
27
Mapero wangu<br />
wanaenda up-country<br />
hii weEkend. So tuta<br />
hang?<br />
Naeza like<br />
ku-spend time na wewe<br />
bila distractions.<br />
vile mapero wangu walisema wanatravel for the<br />
weEkend nilijua tunaweza kuwa pamoja bila curfew<br />
bye!!! na ufanye<br />
homework, tunarudi<br />
sunday<br />
awWwW! wanakaA<br />
cute wakiwa<br />
pamoja.<br />
nilijua hio ndio the day but sikuwa<br />
na pesa enough ya kubuy condoms<br />
maze sina mkwanja<br />
ya kutosha<br />
Sitaki kubuy condoms<br />
cheap, Tom anaeza fikiria<br />
sina clasS.<br />
nikaenda home kuji-prepare<br />
aki sasa nita<br />
vaA nini???<br />
28<br />
niki save dooh na imenioqolea qubuy cladi na via2. Kusave inaoqolea xana. // Alacia Atieno: Haez naitwa alacia atieno en napenda<br />
shujaaz tu xana DJ Bnaeza taka kkuona in real. // Chris: Poa DJ B coz nlixoma chaptaz nyigi xana za xhujaaz av a good evening mr na mi<br />
n mxanii coz nlituga nyibo tatu za vol one rec za catho chenye klinpedeza ili nkutext n kinyonyi venye anaact mwah naneed nkuwe >>
shabiki wa shujaaz haki. // Rozzylin: Ok Mi nlimada systm lst yea bt one na nkachukua na besty yang 2kaboga na mca we2 aka 2prmot<br />
na dooh kiac 2kaanza bizna ya kusel sanitary pads kwa chuo mostl kwny kuna magalz wegi. // Bryan Muinde: Sikumbuki chapter but<br />
kuna msee fulani alikuwa member wa gang ya kina scarface alisare story za hio gang na akaanza kulisha kuku. mimi nilimada 4th >><br />
29
30<br />
last year na natafuta wasee tuungane tuanze hio bizna na pia kupanda tree seedlings ya tree seedlings ndo tumeanza na tunalook<br />
foward kuwa na over 100000 seedlings round one.<br />
>
31