ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
RASIMU<br />
20 Vijiji vitano vilishiriki; vitatu viki<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> magharibi <strong>wa</strong> Derema na viwili<br />
viki<strong>wa</strong> mashariki (taz. Kiambatisho 1 kinachoonyesha ramani ya Derema). Vijiji hivyo ni<br />
Kisi<strong>wa</strong>ni, Kwemdimu,Msasa IBC (jina linalotokana na Kampuni ya kukata magogo<br />
iliyokuwepo katika eneo hilo kuanzia miaka ya 1950 hadi miaka ya 1980), Kwezitu na<br />
Kambai. Sio kila mkulima aliku<strong>wa</strong> akilima Derema. Wakati wengi <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na shamba<br />
mojamoja <strong>msitu</strong>ni, <strong>wa</strong>chache <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na mashamba mawili au zaidi. Jed<strong>wa</strong>li lifuatalo<br />
linaonyesha idadi ya <strong>wa</strong>tu, idadi ya <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika, na idadi ya mashamba<br />
yaliyoathirika katika kila kijiji.<br />
Jed<strong>wa</strong>li 1<br />
Ushoroba <strong>wa</strong> Derema: Idadi ya <strong>wa</strong>tu katika kila kijiji,<br />
<strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika na mashamba yaliyochukulia<br />
Kijiji<br />
Kisi<strong>wa</strong>ni<br />
Kwemdimu<br />
Msasa IBC<br />
Kwezitu<br />
Kambai<br />
Jumla<br />
Idadi ya Watu (2006) Wakulima <strong>wa</strong>lioathirika Mashamba yaliyochukuli<strong>wa</strong><br />
689 59 74<br />
1617 244 265<br />
2200 570 744<br />
2311 216 420<br />
1061 39 44<br />
7878 1128 1547<br />
Chanzo:Idadi ya <strong>wa</strong>tu kutoka k<strong>wa</strong> makatibu <strong>wa</strong> vijiji; <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lioathirika na zoezi hilo kutoka Tathmini ya<br />
Proper Consult ya 2002<br />
21 Kupunguza Makali ya Athari: Sera ya Benki ya Dunia, ya Uhamishaji Makazi,<br />
ikienda pamoja na utunzaji mzuri <strong>wa</strong> mazingira inahitajia k<strong>wa</strong>mba athari zenye madhara<br />
makub<strong>wa</strong> ziepukwe au zipunguzwe sana. K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Derema mchanganuo <strong>wa</strong><br />
kiekolojia ulionyesha k<strong>wa</strong>mba <strong>ushoroba</strong> huu ulihitaji kutangaz<strong>wa</strong> rasmi ku<strong>wa</strong> mali ya<br />
taifa na kufany<strong>wa</strong> hifadhi, k<strong>wa</strong>mba ulimaji mashamba katika <strong>ushoroba</strong> huo ulihitaji<br />
kukoma kabisa, na k<strong>wa</strong>mba k<strong>wa</strong> hapo baadaye iwe ni bidhaa chache kabisa za <strong>msitu</strong>ni<br />
ambazo zitaruhusi<strong>wa</strong> kuchukuli<strong>wa</strong>. Njia mbadala kadhaa zilifikiri<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong>nza katika<br />
vikao na <strong>wa</strong>navijiji mnamo m<strong>wa</strong>ka 2001 ilipendekez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba eneo hilo lisimamiwe<br />
kama misitu midogomidogo inayolind<strong>wa</strong> na vijiji kadhaa, kuki<strong>wa</strong> na taratibu za ndani ya<br />
20