13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

RASIMU<br />

42. Maeneo haya yanabainish<strong>wa</strong> hapa k<strong>wa</strong> madhumuni ya kuonyesha tu k<strong>wa</strong>mba<br />

yanaweza ku<strong>wa</strong> maeneo ambayo yanatumi<strong>wa</strong> sana na <strong>wa</strong>tu, na ambayo <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> maeneo<br />

hayo <strong>wa</strong>naweza kudai ku<strong>wa</strong> ni maeneo yao. Wazo la kuyahifadhi au kuyapandisha hadhi<br />

linaweza ku<strong>wa</strong> muhimu na la lazima, lakini hatua hiyo haiwezi kuchukuli<strong>wa</strong> bila ya<br />

kufanya uchanganuzi makini <strong>wa</strong> suala zima, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uchanganuzi <strong>wa</strong> kina na<br />

<strong>wa</strong> kitaalamu <strong>wa</strong> gharama za binadamu zitakazotokana na kuchukua hatua hiyo. Aidha<br />

kutataki<strong>wa</strong> pia maelezo kamaili yanayohusu gharama zitakazotakikana katika mchakato<br />

<strong>wa</strong> kutangaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke. Katika muktadha <strong>wa</strong> MKUSHUKI, na ili kulinda uhai <strong>wa</strong> mradi,<br />

ni muhimu kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba kuna uthabiti <strong>wa</strong> utekelezaji mambo, kusiwe na<br />

ugeuheu.<br />

Kuhamish<strong>wa</strong> katika Ushoroba<br />

43. Wajibu <strong>wa</strong> Kiasasi Tanzania. Katika Tanzania hakuna <strong>wa</strong>kala mkuu mwenye<br />

dhima ya usimamizi <strong>wa</strong> shughuli zote za uga<strong>wa</strong>ji ardhi k<strong>wa</strong> makazi mapya. Sheria ya<br />

Ardhi ya 1999, Sheria ya Ardhi ya Kijiji ya 2000, na sheria nyingine ndogo za kisekta<br />

zinaeleza taratibu zitakazotumika katika uga<strong>wa</strong>ji ardhi na usuluhishaji <strong>wa</strong> migogoro ya<br />

ardhi, lakini usimamizi <strong>wa</strong> sheria hizo umeach<strong>wa</strong> katika mamlaka ya serikali za mitaa,<br />

serikali kuu na mahakama. Wakala Mkuu atakayeshughulika na usimamizi <strong>wa</strong> utekelezaji<br />

<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) ni Idara ya Misitu na<br />

Ufugaji Nyuki ya Wizara ya Tanzania ya Maliasili na Utalii (WMU). Tazama sehemu<br />

ifuatayo hapa chini kuhusu muundo <strong>wa</strong> majukumu mbalimbali ya asasi zinazohusika na<br />

utekelezi <strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI).<br />

44 Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia. Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia k<strong>wa</strong> ajili ya mashamba<br />

yaliyochukuli<strong>wa</strong> katika Ushoroba <strong>wa</strong> Derema ni jambo rahisi tu. Wale wote <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong><br />

na mashamba <strong>wa</strong>nastahiki kulip<strong>wa</strong>. Mikutano iliyofanyika miaka kadhaa ikiendesh<strong>wa</strong> na<br />

Hifadhi ya Mazingira ya Amani (HIMAA), Wilaya, na <strong>wa</strong>shauri wengine <strong>wa</strong> mambo ya<br />

hifadhi <strong>wa</strong>likwisha<strong>wa</strong>tayarisha <strong>wa</strong>navijiji k<strong>wa</strong> ajili ya malipo hayo. Mnamo miezi ya Mei<br />

na Juni, m<strong>wa</strong>ka 2002, timu iliyoku<strong>wa</strong> ikiongoz<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini,<br />

<strong>wa</strong>kishirikiana na maafisa <strong>wa</strong> Wilaya ya Muheza, <strong>wa</strong> mazao, ardhi na kilimo, maafisa <strong>wa</strong><br />

misitu, na maafisa u<strong>wa</strong>ndani <strong>wa</strong>saidizi <strong>wa</strong>nne , kutoka vijiji vilivyoathirika <strong>wa</strong>lipita kila<br />

32

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!