ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
RASIMU<br />
42. Maeneo haya yanabainish<strong>wa</strong> hapa k<strong>wa</strong> madhumuni ya kuonyesha tu k<strong>wa</strong>mba<br />
yanaweza ku<strong>wa</strong> maeneo ambayo yanatumi<strong>wa</strong> sana na <strong>wa</strong>tu, na ambayo <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> maeneo<br />
hayo <strong>wa</strong>naweza kudai ku<strong>wa</strong> ni maeneo yao. Wazo la kuyahifadhi au kuyapandisha hadhi<br />
linaweza ku<strong>wa</strong> muhimu na la lazima, lakini hatua hiyo haiwezi kuchukuli<strong>wa</strong> bila ya<br />
kufanya uchanganuzi makini <strong>wa</strong> suala zima, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uchanganuzi <strong>wa</strong> kina na<br />
<strong>wa</strong> kitaalamu <strong>wa</strong> gharama za binadamu zitakazotokana na kuchukua hatua hiyo. Aidha<br />
kutataki<strong>wa</strong> pia maelezo kamaili yanayohusu gharama zitakazotakikana katika mchakato<br />
<strong>wa</strong> kutangaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke. Katika muktadha <strong>wa</strong> MKUSHUKI, na ili kulinda uhai <strong>wa</strong> mradi,<br />
ni muhimu kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba kuna uthabiti <strong>wa</strong> utekelezaji mambo, kusiwe na<br />
ugeuheu.<br />
Kuhamish<strong>wa</strong> katika Ushoroba<br />
43. Wajibu <strong>wa</strong> Kiasasi Tanzania. Katika Tanzania hakuna <strong>wa</strong>kala mkuu mwenye<br />
dhima ya usimamizi <strong>wa</strong> shughuli zote za uga<strong>wa</strong>ji ardhi k<strong>wa</strong> makazi mapya. Sheria ya<br />
Ardhi ya 1999, Sheria ya Ardhi ya Kijiji ya 2000, na sheria nyingine ndogo za kisekta<br />
zinaeleza taratibu zitakazotumika katika uga<strong>wa</strong>ji ardhi na usuluhishaji <strong>wa</strong> migogoro ya<br />
ardhi, lakini usimamizi <strong>wa</strong> sheria hizo umeach<strong>wa</strong> katika mamlaka ya serikali za mitaa,<br />
serikali kuu na mahakama. Wakala Mkuu atakayeshughulika na usimamizi <strong>wa</strong> utekelezaji<br />
<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) ni Idara ya Misitu na<br />
Ufugaji Nyuki ya Wizara ya Tanzania ya Maliasili na Utalii (WMU). Tazama sehemu<br />
ifuatayo hapa chini kuhusu muundo <strong>wa</strong> majukumu mbalimbali ya asasi zinazohusika na<br />
utekelezi <strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI).<br />
44 Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia. Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia k<strong>wa</strong> ajili ya mashamba<br />
yaliyochukuli<strong>wa</strong> katika Ushoroba <strong>wa</strong> Derema ni jambo rahisi tu. Wale wote <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong><br />
na mashamba <strong>wa</strong>nastahiki kulip<strong>wa</strong>. Mikutano iliyofanyika miaka kadhaa ikiendesh<strong>wa</strong> na<br />
Hifadhi ya Mazingira ya Amani (HIMAA), Wilaya, na <strong>wa</strong>shauri wengine <strong>wa</strong> mambo ya<br />
hifadhi <strong>wa</strong>likwisha<strong>wa</strong>tayarisha <strong>wa</strong>navijiji k<strong>wa</strong> ajili ya malipo hayo. Mnamo miezi ya Mei<br />
na Juni, m<strong>wa</strong>ka 2002, timu iliyoku<strong>wa</strong> ikiongoz<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini,<br />
<strong>wa</strong>kishirikiana na maafisa <strong>wa</strong> Wilaya ya Muheza, <strong>wa</strong> mazao, ardhi na kilimo, maafisa <strong>wa</strong><br />
misitu, na maafisa u<strong>wa</strong>ndani <strong>wa</strong>saidizi <strong>wa</strong>nne , kutoka vijiji vilivyoathirika <strong>wa</strong>lipita kila<br />
32