ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
RASIMU<br />
• Kuhakikisha upanuzi <strong>wa</strong> “Kanda iliyozuili<strong>wa</strong>”, sheria nyingine za maendeleo ya<br />
vijijini, shughuli, na marupurupu k<strong>wa</strong> ajili ya vijiji vya Derema.<br />
66. Malipo ya Fidia: Kuna hatua kub<strong>wa</strong> mbili zitakikanazo katika kukamilisha<br />
mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia. K<strong>wa</strong>nza mpango huu <strong>wa</strong> MKUSHUKI pamoja na marekebisho<br />
yote yaliyopendekez<strong>wa</strong> kwenye sera ya zamani ya ulipaji fidia viwekwe <strong>wa</strong>zi k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>navijiji wote, na k<strong>wa</strong> viongozi <strong>wa</strong> Wilaya na Mkoa. Baada ya ku<strong>wa</strong> uongozi <strong>wa</strong> vijiji<br />
na <strong>wa</strong>tu wote <strong>wa</strong>lioathirika <strong>wa</strong>melazimish<strong>wa</strong> kukubali mapendekezo mbalimbali ya<br />
malipo ya fidia huko nyuma, na baada ya ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>mepinga vikali pendekezo la m<strong>wa</strong>ka<br />
2005 la kulip<strong>wa</strong> asilimia 50, <strong>wa</strong>nahitaji kujua na kutoa maoni yao juu ya mapendekezo<br />
yaliyotole<strong>wa</strong> sasa k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> sera ya Benki ya Dunia yanayohusu mchakato huu. Ili<br />
kulitekeleza hili maelezo kuhusu MKUSHUKI yatafsiriwe katika lugha rahisi ya<br />
Kis<strong>wa</strong>hili na yaweze kupatikana k<strong>wa</strong> urahisi. Kisha <strong>wa</strong>rsha na maelezo vitolewe k<strong>wa</strong><br />
vijiji vilivyoathirika. Timu ya WWF ya Tanzania, ambayo inafadhili<strong>wa</strong> na taasisi ya<br />
Critical Ecosystems Partnership Fund, iko tayari kufanya kazi hii. Timu hii iko katika<br />
nafasi nzuri ya kuifanya kazi hii, ikizingati<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba timu hii imeku<strong>wa</strong> ikijishughulisha<br />
na usimamizi na uchunguzaji <strong>wa</strong> athari za HIMAA k<strong>wa</strong> muongo mzima.<br />
67. Pili, mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia lazima ufanyike. Katika hatua hii, TFCMP,<br />
ikifanya kazi kupitia ofisi ya Tanga Catchment Office ilikwishaweka utaratibu <strong>wa</strong> malipo<br />
<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> zoezi la kulipa sehemu ya malipo mnamo mwezi Oktoba m<strong>wa</strong>ka 2005.<br />
Maofisa <strong>wa</strong> FBD, <strong>wa</strong>kishirikiana na maofisa <strong>wa</strong> serikali za vijiji, <strong>wa</strong>tafanya kazi ya<br />
kuthibitisha bakaa (fedha iliyobaki) <strong>wa</strong>nayodai <strong>wa</strong>navijiji, orodha ya malipo<br />
yanayodai<strong>wa</strong> iki<strong>wa</strong> na fomu zilizoti<strong>wa</strong> sahihi na <strong>wa</strong>kulima. Mkuu <strong>wa</strong> Wilaya na Mkuu<br />
<strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong>tie saini zao kwenye ratiba (Fomu ya Ardhi Na. 23). Malipo yafanywe k<strong>wa</strong><br />
hundi, ambazo zitalip<strong>wa</strong> katika tawi la NMB ya Tanzania, mjini Muheza, ambayo ina<br />
akaunti iliyokwishaanzish<strong>wa</strong> ya ulipaji ya Derema, na ambayo ina halbaki hai. Siku ya<br />
malipo inawek<strong>wa</strong>, na malipo yanafany<strong>wa</strong> kijiji baada ya kijiji. Baada ya kuhakikisha<br />
k<strong>wa</strong>mba hundi ni sahihi, utaratibu <strong>wa</strong> ulipaji uko sa<strong>wa</strong>, na kuna maofisa <strong>wa</strong> NMB,<br />
Wilaya na <strong>wa</strong> FBD, thibitisha utambulisho <strong>wa</strong> mlip<strong>wa</strong>ji na kisha apewe hundi yake.<br />
Rekodi ya makabidhiano haya itiwe saini na pande zote mbili na kila upande ubaki na<br />
48