03.06.2013 Views

Barua%20kwa%20PM%20TumeK4

Barua%20kwa%20PM%20TumeK4

Barua%20kwa%20PM%20TumeK4

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kuwa na upangaji makini, ufuatiliaji na uwajibikaji wa bajeti ya elimu, hasa kupata tija ya<br />

thamani ya fedha (value for money) na kuhakikisha sehemu kubwa ya rasilimali zinafikia<br />

wananchi katika ngazi za chini;<br />

Kuandaa ‘maabara ya kukuza ubunifu’ (innovations laboratory) katika kuboresha<br />

ujifunzaji inayohusisha wadau kutoka vyuo, asasi ya kiraia, taasisi za dini, sekta binafsi<br />

pamoja na Serikali. Pamoja na mambo mengine maabara inaweza kufanya majaribio ya<br />

kutumia teknolojia ya kisasa (kwa mfano tablets) kufundisha wanafunzi;<br />

Kuandaa na kutekeleza mfumo wa kuhabarisha wananchi na kupokea mrejesho kutoka<br />

kwa wananchi, sambamba na kanuni za Ushirikiano na Serikali Wazi (Open Government<br />

Partnership) ili kuwezesha kila mtu kuanzia mzazi hadi Rais kujua nini kinachoendelea<br />

katika kila shule;<br />

Niko tayari kufafanua hoja hizi iwapo itahitajika.<br />

Kwa kutazama mbele, japo sijapata taarifa rasmi, ninafahamu kwamba kipindi cha Tume<br />

kitaongezwa. Ndugu Waziri Mkuu, ninaomba uniruhusu kujitoa kutumikia Tume hii kwa kipindi<br />

kilichoongezwa kutokana na sababu nilizobainisha hapo juu, na pia kutokana na majukumu<br />

mengine ya kikazi yaliyonibana sana. Hata hivyo, ninakuhakikishia kwamba dhamira yangu ya<br />

kuboresha elimu nchini bado ni thabiti, na kwamba niko tayari muda wowote nitakapohitajika.<br />

Pia, asasi yangu Twaweza imeshiriki katika mpango wa “Big Results Now” na inaendelea<br />

kusimamia juhudi kadhaa za kuboresha elimu yetu.<br />

Natanguliza shukrani zangu kwako na kwa Mwenyekiti wa Tume kunipa fursa ya kuchangia<br />

maboresho ya elimu nchini.<br />

Wako,<br />

Rakesh Rajani<br />

Nakala kwa: Ndugu Peniel Lyimo, Katibu Mkuu<br />

Ofisi ya Waziri Mkuu<br />

Prof. Sifuni Mchome, Mwenyekiti<br />

Tume ya Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne<br />

Wajumbe<br />

Tume ya Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!