27.01.2015 Views

1 - The Foundation for Civil Society

1 - The Foundation for Civil Society

1 - The Foundation for Civil Society

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

3. Eneo Letu la Kazi: Hali Halisi ya Tanzania<br />

Katika sehemu hii tunaangalia takwimu zinazoelezea hali halisi ya Tanzania kuhusiana na masuala ya<br />

idadi ya watu, siasa, vyombo vya habari, uchumi, utawala, uwajibikaji na haki za binadamu.<br />

Tanzania: Uhalisia na takwimu<br />

Idadi ya<br />

watu<br />

Siasa na<br />

vyombo vya<br />

habari<br />

• Idadi ya watu ni milioni 42 kwa ukuaji wa ongezeko la takribani watu 1.2 kila<br />

mwaka<br />

• Karibu nusu ya watanzania wote wana umri ulio chini ya miaka 15<br />

• Umri wa wastani wa kuishi kwa wanaume ni miaka 50, wakati wanawake ni<br />

miaka 53<br />

• Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi tangu mwaka 1992<br />

• Jumla ya vyama vya siasa 18 vimepata usajili wa kudumu huku vinne tu vikiwa na<br />

uwakilishi Bungeni.<br />

• Chama cha Mapinduzi CCM kina asilimia 80 ya viti vyote Bungeni<br />

• Bunge limeanza kuonyesha uwezo mkubwa zaidi wa kuiwajibisha serikali<br />

• Utendaji wa Magazeti, radio na TV umekua sana katika miaka kumi iliyopita,<br />

hususani jijini Dar es salaam.<br />

• Vyombo vya habari vimezidi kuwa na nguvu katika kuiwajibisha serikali hata<br />

hivyo bado vinakabiliwa na vitisho pale vinapothubutu kuzungumzia masuala ya<br />

rushwa.<br />

• Kumekuwepo na ongezeko la matumizi ya mtandao wa kompyuta (intaneti) japo<br />

bado ni ya kiwango cha chini<br />

• Matumizi ya simu za mkononi yamekuwa kwa kasi sana. Kati ya watanzania<br />

milioni 13 na 15 wana simu za mikononi.<br />

Uchumi • Sekta ya madini inaongoza kukua kwa kasi zaidi hata hivyo watu maskini hawaoni<br />

faida itokanayo na kukua huko<br />

• Kilimo huajiri asilimia 80 ya wafanyakazi na ndiyo sehemu kubwa zaidi ya uchumi<br />

wa nchi<br />

• Ukubwa wa kiwango cha umaskini maeneo ya vijini ni mara mbili zaidi ya maeneo<br />

ya mijini<br />

• Idadi ya watu wanaoishi kwenye umaskini inaongezeka<br />

• Tofauti kati ya watu maskini na matajiri inazidi kuongezeka.<br />

Utawala na<br />

Uwajibikaji<br />

• Rushwa ni tatizo kubwa katika utoaji huduma na katika mfumo wa sheria na<br />

haki nchini<br />

• Upatikanaji wa habari zinazohusu fedha ni mgumu sana katika ngazi za serikali za<br />

mitaa. Ni asilimia 15 tu ya vijiji ndivyo vyenye mbao za matangazo zenye kubeba<br />

taarifa mbalimbali kwa wakati.<br />

• Ni asilimia 25 tu ya watanzania ndiyo wanaojiona kuwa wenye ujasiri wa kuweza<br />

kuihoji serikali kuhusiana na taarifa za matumizi ya raslimali za umma.<br />

MPANGO MKAKATI

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!