MAFUNDISHO YA ROHO
MAFUNDISHO YA ROHO
MAFUNDISHO YA ROHO
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
7<br />
2.Kufundisha mambo ya Mungu ni kazi nzuri lakini kusafisha moyo wako kwa ajili ya<br />
mapendo ya Mungu ni vizuri sana.<br />
3.Mbele ya kusafisha roho zao watu wengi walienda duniani juu ya kusafisha roho za watu<br />
wengine lakini walipoteza roho zao kwa sababu mawazo mabaya yanapatikana rohoni mwao na<br />
wakafa katika roho.<br />
4.pahali unapokwenda shika mwili wako kama mugeni hivi utachunga roho yako ku mambo<br />
ya nguvu. Kwa kila mambo sadiki haujui kitu hata moja.<br />
5.Zungumuza kama mwanafunzi apana sawa mwalimu. Kwa kila mambo inapaswa kusadiki<br />
ya kama uko na lazima ya kusikia fundisho hivi utakuwa mutu mwenyi akili mingi katika maisha<br />
yako.<br />
6.Acha kusoma vitabu vya mafundisho ya uwongo, soma paka vitabu vya mafundisho ya<br />
kanisa yetu.<br />
7.Bariki kusoma watu wengine na apana kuwafinga kwa sababu baraka inazaa baraka ingine<br />
na neno la chuki litazaa chuki ingine.<br />
8.Usiwafundishe wengine fundisho lile wewe haukufunza.<br />
FUNDISHO KUMI NA TATU<br />
1. Wakati neema takatifu itafungua macho ya roho yako, machozi yako itanguka kama<br />
chemchem, na hii machozi hi alama munene yenyi kuonyesha ya kama Mungu anatembelea katika<br />
neema yake.<br />
2.Soma Evangelio Takatifu katika fasi ya ukimya hivi utajuwa mambo yote ya ajabu ya<br />
Mungu na roho yako itafurahi na furaha ya mbinguni na hali nzuri.<br />
3.Pokea nyumbani mwako wale watu wenyi mufano nzuri pamoja na fazila.<br />
4.Unganisha pamoja sala yako na kazi ya wema hivi utangazwa na mwangaza takatifu ya<br />
Mungu.<br />
5.Soma Biblia takatifu na uzima wa mapadri watakatifu wetu hivi utasikia furaha ya Mungu<br />
kupita wakati utaanza kufanya sala.<br />
6.Kama vile kahaba moja hazungumuzake mambo ya uzima safi (morale) vile vile na watu<br />
wa shetani jawawezi kuzungumuza mambo ya kiroho, kwa sababu hawapewe ndani ya roho yao<br />
baraka na utamu wa kazi ya roho.<br />
7.Bwana Yesu Kristu alikula pamoja na watoza kodi na wenye zambi juu ya kuwakokota<br />
kwa kuwa na woga wa Mungu. Wakati unafanya kazi moja vizuri unaongojea kupata malipo, lakini<br />
Mungu wetu atakupa.<br />
8.Mutu yule hana na vitu vya kula anachunga vizuri uzima wake. Kama akiwa na chakula<br />
yote hawezi kutembea vizuri katika maisha yake. Kama mutu anashindana ku nvita mbele ya<br />
mambo ya zambi, anafanana sawa yule mutu anafunga milango ya muji anagombana na adui wake<br />
ndani.<br />
9.Kazi ya mikono, ilituonyesha wa Padri wetu paka kwa watu kidogo weko na fazila ya<br />
Mungu. Wale watu wanaishi uzima moja ya roho yulu kupita watu wengine kazi ya mikono inapata<br />
makelele.<br />
FUNDISHO KUMI NA INE<br />
1. Kama mutu moja anakaa nyumbani kwa ukimywa akifanya sala kwa Mungu, hii kazi<br />
yake ni zawadi ya Mungu.<br />
2.Kama mutu anazarau kazi yote ya zambi na anafanya kazi ya fazila eko na namna ya<br />
kupata matumaini ya wokovu wake atastahili neema takatifu. Yule mutu alipata fasi ya yulu kabisa<br />
kwa fazila ya yesu Kristu, alipata katika roho yake fumbo ya furaha ya milele.<br />
3.Kama mutu hapende kwacha kuacha mambo ya zambi na mawazo mbaya ndani ya roho<br />
yake, hakuna namna yeye kupata ushirika nzuri ya Roho Mtakatifu...<br />
4.Heri mutu yule anakaa kwa ukimywa na anafanya ya Mungu na hapende kutumika kazi<br />
ingine ya bure....