19.03.2015 Views

MAFUNDISHO YA ROHO

MAFUNDISHO YA ROHO

MAFUNDISHO YA ROHO

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

7<br />

2.Kufundisha mambo ya Mungu ni kazi nzuri lakini kusafisha moyo wako kwa ajili ya<br />

mapendo ya Mungu ni vizuri sana.<br />

3.Mbele ya kusafisha roho zao watu wengi walienda duniani juu ya kusafisha roho za watu<br />

wengine lakini walipoteza roho zao kwa sababu mawazo mabaya yanapatikana rohoni mwao na<br />

wakafa katika roho.<br />

4.pahali unapokwenda shika mwili wako kama mugeni hivi utachunga roho yako ku mambo<br />

ya nguvu. Kwa kila mambo sadiki haujui kitu hata moja.<br />

5.Zungumuza kama mwanafunzi apana sawa mwalimu. Kwa kila mambo inapaswa kusadiki<br />

ya kama uko na lazima ya kusikia fundisho hivi utakuwa mutu mwenyi akili mingi katika maisha<br />

yako.<br />

6.Acha kusoma vitabu vya mafundisho ya uwongo, soma paka vitabu vya mafundisho ya<br />

kanisa yetu.<br />

7.Bariki kusoma watu wengine na apana kuwafinga kwa sababu baraka inazaa baraka ingine<br />

na neno la chuki litazaa chuki ingine.<br />

8.Usiwafundishe wengine fundisho lile wewe haukufunza.<br />

FUNDISHO KUMI NA TATU<br />

1. Wakati neema takatifu itafungua macho ya roho yako, machozi yako itanguka kama<br />

chemchem, na hii machozi hi alama munene yenyi kuonyesha ya kama Mungu anatembelea katika<br />

neema yake.<br />

2.Soma Evangelio Takatifu katika fasi ya ukimya hivi utajuwa mambo yote ya ajabu ya<br />

Mungu na roho yako itafurahi na furaha ya mbinguni na hali nzuri.<br />

3.Pokea nyumbani mwako wale watu wenyi mufano nzuri pamoja na fazila.<br />

4.Unganisha pamoja sala yako na kazi ya wema hivi utangazwa na mwangaza takatifu ya<br />

Mungu.<br />

5.Soma Biblia takatifu na uzima wa mapadri watakatifu wetu hivi utasikia furaha ya Mungu<br />

kupita wakati utaanza kufanya sala.<br />

6.Kama vile kahaba moja hazungumuzake mambo ya uzima safi (morale) vile vile na watu<br />

wa shetani jawawezi kuzungumuza mambo ya kiroho, kwa sababu hawapewe ndani ya roho yao<br />

baraka na utamu wa kazi ya roho.<br />

7.Bwana Yesu Kristu alikula pamoja na watoza kodi na wenye zambi juu ya kuwakokota<br />

kwa kuwa na woga wa Mungu. Wakati unafanya kazi moja vizuri unaongojea kupata malipo, lakini<br />

Mungu wetu atakupa.<br />

8.Mutu yule hana na vitu vya kula anachunga vizuri uzima wake. Kama akiwa na chakula<br />

yote hawezi kutembea vizuri katika maisha yake. Kama mutu anashindana ku nvita mbele ya<br />

mambo ya zambi, anafanana sawa yule mutu anafunga milango ya muji anagombana na adui wake<br />

ndani.<br />

9.Kazi ya mikono, ilituonyesha wa Padri wetu paka kwa watu kidogo weko na fazila ya<br />

Mungu. Wale watu wanaishi uzima moja ya roho yulu kupita watu wengine kazi ya mikono inapata<br />

makelele.<br />

FUNDISHO KUMI NA INE<br />

1. Kama mutu moja anakaa nyumbani kwa ukimywa akifanya sala kwa Mungu, hii kazi<br />

yake ni zawadi ya Mungu.<br />

2.Kama mutu anazarau kazi yote ya zambi na anafanya kazi ya fazila eko na namna ya<br />

kupata matumaini ya wokovu wake atastahili neema takatifu. Yule mutu alipata fasi ya yulu kabisa<br />

kwa fazila ya yesu Kristu, alipata katika roho yake fumbo ya furaha ya milele.<br />

3.Kama mutu hapende kwacha kuacha mambo ya zambi na mawazo mbaya ndani ya roho<br />

yake, hakuna namna yeye kupata ushirika nzuri ya Roho Mtakatifu...<br />

4.Heri mutu yule anakaa kwa ukimywa na anafanya ya Mungu na hapende kutumika kazi<br />

ingine ya bure....

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!