10.07.2015 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

3mahali hapa, kwako pekee yake tupate usalama. Bariki serikali yetu katika utulivu tulionao uendelee. Umbariki Rais wetu,mawaziri wake wote na wote wanaohusika kwa kutawala Kenya na hasa, katika Tume hii. Uiongeze katika hekima na busarayako ya kimbiguni, ili yote watakaotenda yawe yataleta manufaa kwa raia na nchi ya Kenya, na wageni wao na zaidi sana jinalako lipate kutukuzwa mahali hapa tulipo, tuwe tunalindwa na wewe mwenyewe na kubarikiwa. Kwa Yesu Kristo naMkombozi wetu. Amina.Com. Lethome: Asante sana Reverend. Na kawaida katika mila zetu tukiingia bomani kwa mtu kwanza mpaka lazimamwenyewe akukaribishe. Kuna mama Councillor ambaye ni member kwa sisi na pia ni Councillor hapa tunamuombaatukaribishe ili tusiambiwe tumeingia bila kukaribishwa. Kwa hivyo mama tunakuomba kwa maneno mawili ukaribishe.Bi. Priscillar Charo: Mabibi na Mabwana hamjambo? Hapa kwanza nataka kuwajuisha kamati hii ya katiba hapa kwetu.Bw. Samuel Mbogo ndiye Chairman - simama uwasalimie.Bw. Mbogo: Hamjambo?Bi. Charo: Kuna Rev. Singala. Simama useme jambo baba.Rev. Singara: Hamjambo?Bi. Charo: Kuna Bi Constance Zero.Bi. Constance: HamjamboBi. Charo: Na mimi ni Bi. Priscilla Charo, area Councillor, Kaloleni ward. Karibuni nyote,hasa Tume tunaikaribisha karibishola pekee mno. Jisikieni nyumbani kwa mazugumzo yote. Msijisikie mko na wasiwasi mko ugenini, hapa mko nyumbani. Mjisikienyumbani kabisa. Mkiwa mna matatizo ya kisiri, twambieni tutawasaidia hata hali ya kujisaidia kwa ajili ya choo, hall hili nijumba la kina mama na halina vyoo, lakini mtakapo sikia hali hiyo muwe munatunongoneza na tutajua vile tutafanya. Karibuni. (clapping)Com. Lethome: Sasa tunajisikia nyumbani kabisa.Tunajisikia tunafuraha, tutafanya kazi vizuri kabisa. Kama mnavyo juakikao hiki sio chetu cha kuja kuzungumuza. Hiki ni kikao cha sisi kuja kuwasikia nyinyi watu wa Kaloleni. Tumekuja hapakuweza kuchukua maoni yenu. Tutakuwa hapa siku nzima na nyinyi na mbele yangu hapa ni nao Macommissioners. Kwaupande wangu wa kulia, Hon. Com. Bi. Phoebe Asiyo, anawakilisha sehemu za Karachuonyo. Kwa upande wa kushoto ninayeCom. Isaac Lenaola. Halafu pia kutoka makao makuu ya Tume tunaye Programme Officer Bwana Aminga, yeye atashugulikiakazi zote za kiidara zinazotajika kufanywa hapa. Kisha tunaye Bi. Patricia Mwangi. Kazi yake ni kunasa sauti za wale wenye

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!