28.01.2013 Views

(ija) –lushoto kwa mwaka wa masomo 2012/13

(ija) –lushoto kwa mwaka wa masomo 2012/13

(ija) –lushoto kwa mwaka wa masomo 2012/13

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

5. Wote <strong>wa</strong>liochaguli<strong>wa</strong> ni lazima <strong>wa</strong>lete vyeti vyao halisi <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> usajili. Yeyote ambaye<br />

atashind<strong>wa</strong> kuleta vyeti halisi vya kuhitimu elimu ya Sekondari au Chuo hatasajili<strong>wa</strong>.<br />

6. Barua pamoja na Fomu za masharti ya kujiunga na Chuo zitatum<strong>wa</strong> hivi karibuni <strong>k<strong>wa</strong></strong> njia ya<br />

posta <strong>k<strong>wa</strong></strong> wote <strong>wa</strong>liochaguli<strong>wa</strong>.<br />

7. Wale wote <strong>wa</strong>lio omba kujiunga na Chuo <strong>k<strong>wa</strong></strong> udhamini <strong>wa</strong> Mahakama ya Tanzania<br />

<strong>wa</strong>tajulish<strong>wa</strong> na Mahakama yenyewe.<br />

8. Chuo hakina nafasi ya Malazi yakutosha. Hivyo <strong>wa</strong>liochaguli<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fanye mipango ya kupata<br />

nafasi za Kulala kwenye hosteli za <strong>wa</strong>tu binafsi zinazo tambulika na Chuo mapema<br />

iwezekanavyo. K<strong>wa</strong> maelezo zaidi kuhusiana na malazi <strong>wa</strong>siliana nasi kupitia namba ya simu<br />

iliyopo hapo chini.<br />

9. Wale wote <strong>wa</strong>liopo kwenye Orodha ya Akiba katika Kozi ya Cheti cha Sheria <strong>wa</strong>naweza<br />

kuomba kwenda Tawi la M<strong>wa</strong>nza <strong>k<strong>wa</strong></strong> ku<strong>wa</strong> bado kuna nafasi. K<strong>wa</strong> maelezo zaidi <strong>wa</strong>siliana<br />

nasi kupitia namba ya simu iliyopo hapa chini.<br />

N/B: Wale wote <strong>wa</strong>liochaguli<strong>wa</strong>, orodha ya majina inapatikana katika tovuti ya Chuo cha Uongozi <strong>wa</strong><br />

Mahakama: www.<strong>ija</strong>.ac.tz<br />

MKUU WA CHUO<br />

S.L.P. 20<br />

LUSHOTO<br />

SIMU: 027-2660<strong>13</strong>3<br />

FAX: +255-27-2660021<br />

12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!