01.07.2018 Views

Loan Application Form

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD<br />

(BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU)<br />

Index#: S0101.0290.2015<br />

Plot No. 8, Block No. 46; Sam Nujoma Road; P.O.Box 76068, Dar es Salaam, Tanzania<br />

Dar es Salaam, Tanzania<br />

Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286;<br />

E-mail: info@heslb.go.tz; Website: www.heslb.go.tz<br />

LOCAL UNDERGRADUATE STUDENT LOAN APPLICATION FORM - 2018/19<br />

(Fomu ya Maombi ya Mkopo kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza Ndani ya Nchi)<br />

TAARIFA BINAFSI NA ANUANI ZA MWOMBAJI (APPLICANT'S PERSONAL DETAILS)<br />

Jina Kamili (Full Name) : ROBINSONI R MOSHI<br />

Tarehe ya Kuzaliwa (Date of Birth) : 1998-10-05<br />

Mkoa Ulikozaliwa (Birth Region) : Dar es Salaam<br />

Namba ya Simu ya Mkononi (Mobile Phone) : 0715496439<br />

Jinsia (Sex) : Male<br />

Wilaya Ulikozaliwa (Birth District) : Ilala<br />

<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />

Barua Pepe (Email) : robinhomarcello@gmail.com<br />

TAARIFA ZA ELIMU YA MWOMBAJI (EDUCATIONAL BACKGROUND)<br />

Elimu ya Shule ya Msingi (Primary School Education History)<br />

Jina la shule (School Name) : SHULE YA MSINGI UBUNGO KIBANGU<br />

Year of Entry : 2005 Year of Graduation : 2011<br />

Region : Dar es Salaam<br />

District : Ubungo<br />

Shule ya Sekondari Kidato cha 4 (O-level Secondary School) :<br />

Namba ya Mtahiniwa (<strong>Form</strong> Four Index Number):<br />

Shule ya Sekondari Kidato cha 6 (A-level Secondary School) :<br />

Namba ya Mtahiniwa (<strong>Form</strong> Six Index Number):<br />

AZANIA<br />

S0101.0290.2015<br />

MOSHI<br />

s0134.0683.2018<br />

TAARIFA ZA KIJAMII NA UCHUMI YA MWOMBAJI (APPLICANT'S SOCIO-ECONOMIC DETAILS)<br />

Hali ya wazazi/mlezi na Mwombaji. (Parents Physical/Social Status)<br />

Baba yuko hai<br />

Mama yuko hai<br />

Mwombaji hana ulemavu wowote (Applicant is NOT Disabled)<br />

Wazazi wa mwombaji hawana ulemavu (Applicant Parents are NOT Disabled)<br />

TAARIFA ZA WAZAZI/MLEZI (PARENTS/GUARDIAN DETAILS)<br />

Jina Kamili la Mama (Mother's Full Name) : joyce saliely kombe<br />

Anwani ya Posta : Dar es Salaam<br />

Simu ya Mama (Mother's Mobile Phone) : 0654518870<br />

Jina Kamili la Baba (Father's Full Name) : Reginald saliely kombe<br />

Anwani ya Posta : Dar es Salaam<br />

Simu ya Baba (Father's Mobile Phone) : 0675611336<br />

Jina Kamili la Mlezi (Guardian's Full Name) : Reginald saliely kombe<br />

Anwani ya Posta : Dar es Salaam<br />

Simu ya Mlezi (Guardian's Mobile Phone) : 0675611336<br />

Makazi : Dar es Salaam<br />

Kazi ya Mama : Farmer<br />

Makazi : Dar es Salaam<br />

Kazi ya Baba : Farmer<br />

Makazi : Dar es Salaam<br />

Kazi ya Mlezi : Other Small Business Managers and<br />

Managing Supervisors<br />

<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #1 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01


UTHIBITISHO WA MWOMBAJI (APPLICANT'S DECLARATION)<br />

<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />

Mimi ROBINSONI R MOSHI ninatamka kuwa maelezo yaliyotolewa kwenye maombi haya kwa njia ya tovuti, ambayo sehemu yake<br />

yamechapwa hapa, kuwa ni ya kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Ninatamka pia kwamba ninafahamu kuwa hatua za kisheria<br />

zitachukuliwa dhidi yangu endapo itabainika kwamba maelezo niliyoyatoa siyo sahihi ama yanapotosha.<br />

Jina Kamili la Mwombaji: ROBINSONI R MOSHI Tarehe: ______________________ Sahihi : ________________________<br />

UTHIBITISHO WA TAARIFA BINAFSI NA KAMISHNA WA VIAPO (CERTIFICATION BY COMMISSIONER OF OATHS)<br />

Jina Kamili la Kamishna : __________________________________________________________________________Weka Muhuri wa ofisi hapa<br />

Sahihi: ___________________________________________Tarehe : ___________________________<br />

UTHIBITISHO WA SERIKALI YA KIJIJI/MTAA KUHUSU MAELEZO YA MWOMBAJI<br />

MAOMBI HAYA YATAKUWA BATILI ENDAPO HAYATAPITISHWA NA SERIKALI YA KIJIJI/MTAA<br />

ANGALIZO: Kiongozi yeyote wa Serikali ya Kijiji au Mtaa atakayethibitisha maombi haya ya mkopo, ambaye ama kwa kujua au uzembe<br />

akashuhudia taarifa za uongo zilizojazwa na mwombaji na wazazi wake atakuwa na hatia ya jinai na anaweza, chini ya sheria iliyoanzisha<br />

Bodi ya Mikopo kifungu 23(1)(b), kutozwa faini isiyozidi shilingi Milioni moja na laki tano (1,500,000) au kifungo kisichozidi miezi sita au<br />

vyote kwa pamoja. Kughushi ni kosa la jinai na mtu anayeghushi au kushuhudia makosa kama hayo atashitakiwa mahakamani.<br />

Tunathibitisha kuwa tumekagua na kuhakiki maelezo yaliyotolewa katika fomu hii pamoja na yale ya mdhamini na maoni yetu ni kama<br />

ifuatavyo (kata isiyohusika):-<br />

Mwombaji ni/siyo mkazi wa Kijiji/Mtaa wetu.<br />

Taarifa alizotoa mwombaji ni/si sahihi.<br />

Wazazi wa mwombaji ni/si wakazi wa Kijiji/Mtaa wetu.<br />

Taarifa za wazazi ni/si sahihi.<br />

Tunapendekeza/Hatupendekezi maombi haya.<br />

Na. CHEO JINA KAMILI SAHIHI TAREHE<br />

1 MJUMBE ________________________________________ _____________________________ __________________________<br />

2 KATIBU ________________________________________ _____________________________ __________________________<br />

3 MWENYEKITI ________________________________________ _____________________________ __________________________<br />

Muhuri wa Serikali ya Kijiji/Mtaa<br />

<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #2 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01


HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD<br />

(BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU)<br />

Plot No. 8, Block No. 46; Sam Nujoma Road; P.O.Box 76068, Dar es Salaam, Tanzania<br />

Dar es Salaam, Tanzania<br />

Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286;<br />

E-mail: info@heslb.go.tz; Website: www.heslb.go.tz<br />

MKATABA WA MKOPO KWA MWANAFUNZI - 2018/19<br />

<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />

1.0 Wahusika wa Mkataba huu<br />

Mkataba huu ni kati ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, yenye anwani hapo juu, ambayo ndani ya mkataba huu<br />

itajulikana kama "Bodi" na ROBINSONI R MOSHI ambaye namba yake ya mtihani wa kidato cha Nne ni S0101.0290.2015 na ambaye<br />

katika mkataba huu atajulikana kama Mwanafunzi au Mkopaji.<br />

2.0 Kanuni na Masharti<br />

1. Mkataba wa mkopo huu utasainiwa mara moja tu kwa kipindi chote cha masomo. Nyongeza au mafungu ya mkopo ambayo<br />

mkopaji atapewa kila mwaka kwa pamoja yatakuwa sehemu ya mkataba huu<br />

2. Kiasi cha fedha atakachokopeshwa mwanafunzi kwa mujibu wa mkataba huu, kitakuwa ni zile fedha zitakazopelekwa moja kwa<br />

moja kwenye akaunti ya Benki ya mwanafunzi na kile kiasi kitakacholipwa taslimu moja kwa moja kwa mwanafunzi kupitia chuo<br />

anachosoma, na fedha ambazo zitalipwa moja kwa moja kwenye akaunti ya chuo anachosoma mwanafunzi na zile ambazo<br />

zitaendelea kulipwa ama kwa mwanafunzi ama kwa chuo zikihusishwa na gharama za masomo ya mwanafunzi.<br />

3. Kwa madhumuni ya mkataba huu, Bodi itaendelea kutoa mkopo kwa muda wa kawaida wa masomo (Normal Course Duration) hadi<br />

mwanafunzi atakapomaliza masomo yake na fedha hizo zitakuwa ni mkopo. Kwa madhumuni na masharti yaliyopo<br />

kwenye kifungu cha 2 cha mkataba huu. Mwanafunzi atakuwa na jukumu la kuijulisha Bodi juu ya kutohitaji fedha za Mkopo pale<br />

ambapo hatahitaji kuendelea kukopa.<br />

4. Mkopo kwa ajili ya ada ya mafunzo na mahitaji maalum ya kitivo zitalipwa moja kwa moja katika chuo anachosoma mwanafunzi<br />

5. Mkopo unaohusu gharama za mwanafunzi za moja kwa moja utapelekwa kwenye akaunti ya benki ya mwanafunzi kwa awamu ama<br />

atapewa mwanafunzi kupitia chuo anachosoma.<br />

6. Akaunti ya mwanafunzi iliyo katika kumbukumbu za Bodi haitabadilishwa isipokuwa kwa maombi ya Mwanafunzi ambayo<br />

yamepitishwa na chuo anachosoma.<br />

7. Mwanafunzi ana wajibu wa kuijulisha Bodi kuhusu mabadiliko yoyote yale yanayoweza kuathiri utoaji au urejeshwaji wa mkopo<br />

kwa namna yoyote ile. Mwanafunzi pia ana wajibu wa kuipatia Bodi taarifa nyingine zozote zile zinazohusiana na mkopo wake pale<br />

atakapotakiwa kufanya hivyo na Bodi.<br />

8. Kutokana na mkopo atakaokopeshwa na Bodi, Mwanafunzi anawajibika wakati wote wa kipindi cha masomo yake kuheshimu na<br />

kutii sheria ndogo za chuo, kanuni na maelekezo yatolewayo mara kwa mara na chuo anachosoma. Kwa madhumuni ya Mkataba<br />

huu sheria ndogo ndogo, kanuni na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na chuo anachosoma mwanafunzi yamejumuishwa katika<br />

mkataba huu kwa marejeo (by reference)<br />

9.<br />

Bodi inaweza kusitisha mkopo kwa mwanafunzi :<br />

a) Kama mwanafunzi atafukuzwa au kushindwa kuendelea na masomo kwa kutofaulu katika chuo husika<br />

b) Kwa maombi ya mwanafunzi<br />

c) Kama atapuuzia masomo katika chuo anachosoma<br />

d) Kama mwanafunzi atashindwa kuzingatia makubaliano yaliyopo katika kifungu cha 2.8 hapo juu<br />

e) Kama mwanafunzi atakataa kusaini marejesho (returns) za fedha alizolipwa au alizolipiwa kupitia chuoni<br />

f) Kama mwanafunzi atafariki dunia<br />

g) Kwa sababu nyingine yoyote itakayoonekana na Bodi inafaa<br />

10. Endapo itabainika kwamba mwanafunzi ametoa taarifa za udanganyifu kwa kudhamiria au vinginevyo na taarifa hizo<br />

zikawezesha mwanafunzi kupewa mkopo na Bodi; Bodi itasitisha kumpatia mwanafunzi sehemu ya mkopo uliobakia, na kiasi<br />

chochote cha mkopo kitakachokuwa kimetolewa atatakiwa kukirejesha chote kwa mara moja. Pamoja na kurejesha kiasi chote cha<br />

mkopo alichokopeshwa mwanafunzi kwa mkupuo, Bodi pia itamchukulia hatua za kisheria mwanafunzi kadri ya sheria inayounda<br />

Bodi ama sheria nyingine yoyote ya nchi inayohusika.<br />

11. Endapo mwanafunzi ataacha au kuachishwa masomo kwa sababu yoyote ile au kuthibitika kutoa taarifa za uongo ,Bodi<br />

haitakamilisha utoaji wa fedha zilizobakia na mkopo uliokwisha tolewa utatakiwa kuanza kulipwa mara moja. Kwa madhumuni ya<br />

Mkataba huu masharti yaliyopo kwenye sheria iliyoanzisha Bodi na kanuni zilizotungwa chini ya sheria hiyo vitakuwa sehemu ya<br />

mkataba huu kwa marejeo (by reference).<br />

12. Mkopo utaanza kurejeshwa miaka miwili baada ya kuhitimu, lakini mwanafunzi yuko huru kuanza kulipa muda wowote baada ya<br />

kuhitimu.<br />

13. Kutokana na masharti ya sheria iliyoanzisha Bodi na masharti madogo katika kanuni za mikopo, mkopo utarejeshwa kwa mafungu<br />

kila mwezi au wote kwa pamoja au kwa njia nyingine yoyote ya malipo inayofaa kama itakavyoelekezwa na Bodi.<br />

14. Bodi itatoa taarifa kuhusu kiasi cha mkopo alichokopeshwa mwanafunzi kwa kila mwaka wa masomo, na jumla ya kiasi<br />

kilichoonyeshwa katika taarifa hiyo itakuwa ndicho kiasi anachodaiwa mwanafunzi mpaka mwaka husika. Taarifa hiyo<br />

itachukuliwa kuwa sahihi mpaka pale itakapothibitika vinginevyo.<br />

15. Bodi itakuwa huru kunikopesha kiasi chochote itakachoona kinafaa kulingana na kozi nitakayosoma na matokeo ya uhitaji wangu<br />

kama itakavyothibitishwa na Bodi.<br />

<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #3 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01


16. Mkopo huu utatozwa asilimia sita (6%) au asilimia nyingine itakayopangwa na Bodi kwa mwaka kama gharama ya kuhifadhi<br />

thamani ya fedha (value retention fee) zitakazokopeshwa na asilimia moja ambayo ni gharama ya usimamizi wa mkopo<br />

(administration fee) ambazo zitalipwa pamoja na marejesho ya mkopo.<br />

17. Bodi itatoza asilimia 10% ya mkopo kwa mwaka kama adhabu ya kuchelewa kurejesha mkopo katika muda uliowekwa na Bodi.<br />

18. Bodi itakuwa na mamlaka ya kuthibitisha taarifa zinazonihusu nilizoweka katika maombi haya kutoka katika mamlaka yoyote.<br />

19. Bodi itakuwa na mamlaka ya kuomba na kupokea matokeo yangu ya mitihani moja kwa moja kutoka chuo nitakachopangiwa au<br />

ninachosoma ili kuwezesha upangaji wa mikopo kwa miaka ya masomo inayofuata.<br />

<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #4 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01


3.0 Matamko<br />

<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />

Sehemu hii itashuhudiwa na Wakili au Hakimu<br />

3.1 Tamko la Mwanafunzi<br />

Jina Kamili : ROBINSONI R MOSHI<br />

Anwani ya Posta : p.o box 9074 dar es salaam<br />

Kijiji/Mtaa : ubungo kisiwani<br />

Kata/Shehia : Makuburi<br />

Wilaya : Ubungo<br />

Mkoa : Dar es Salaam<br />

Barua pepe : robinhomarcello@gmail.com Namba ya Simu ya Mkononi : 0715496439<br />

Mimi ROBINSONI R MOSHI ambaye ni mwanafunzi mkopaji, bila shinikizo lolote, na nikiwa na akili timamu nimesoma na kuelewa na<br />

kukubali kanuni na masharti ya mkataba huu nikishuhudiwa na aliyesaini hapa chini<br />

Sahihi (ya mwanafunzi): ___________________________________ Tarehe : _______________________________________<br />

3.2 Tamko la Mdhamini (lazima awe mzazi au mlezi wa mwombaji)<br />

Jina Kamili : joyce saliely kombe Anwani ya Posta : 9074<br />

Kijiji/Mtaa : Ubungo<br />

Wilaya : Ubungo<br />

Kata/Shehia : Ubungo<br />

Mkoa : Dar es Salaam<br />

Barua pepe : robinhomarcello@gmail.com Namba ya Simu ya Mkononi : 0654518870<br />

Namba ya kitambulisho : T-1004-6890-271-5<br />

Aina ya kitambulisho : Voters Id<br />

Mimi JOYCE SALIELY KOMBE nikiwa na akili timamu bila kulazimishwa, kurubuniwa, ama kushurutishwa na mtu yeyote yule,<br />

nathibitisha kwamba nimesoma, kuelewa na kukubali kanuni na mashariti ya mkataba huu. Pia ninatambua nina jukumu la kuhakikisha<br />

mkopo huu unarejeshwa kama taratibu zinavyoelekeza na kuwa muda wote nitakuwa na taarifa za mahali mkopeshwaji alipo.<br />

Sahihi: _________________________________________________ Tarehe : _______________________________________________<br />

3.3 Ushuhuda wa Wakili/Hakimu<br />

Imetiwa sahihi na __________________________________________(jina la mkopaji) ambaye ninamfahamu AU<br />

ametambulishwa kwangu na ___________________________________ambaye ninamfahamu<br />

Muhuri wa ofisi hapa<br />

Jina Kamili la Wakili/Hakimu: __________________________________Sahihi : ____________________<br />

Tarehe : _____________________<br />

3.4 Kwa Matumizi ya Ofisi ya Bodi ya Mikopo TU<br />

Jina Kamili la Ofisa wa Bodi : _____________________________________________________<br />

Cheo : _________________________________________<br />

Weka Muhuri wa ofisi hapa<br />

Tarehe : ________________________________________ Sahihi : _______________________________<br />

<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #5 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01


Orodha ya Viambatanisho (List of Attachments)<br />

<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />

Tafadhali ambatanisha nakala za vivuli vilivyothibitishwa (certified) za nyaraka zifuatazo ili kuthibitisha maelezo yako:-<br />

1. Uthibitisho wa uraia: "Birth Certificate" Number : 1003107165<br />

2. Nakala ya kitambulisho cha mdhamini:Voters Id : T-1004-6890-271-5<br />

3. Nakala ya vivuli vya vyeti au barua zote ulizopakia kwenye mfumo<br />

Maelekezo Mengine<br />

1.Tuma fomu halisi iliyosainiwa na viambatanisho vyake kwa njia ya "EMS" kisha tunza risiti kama uthibitisho.<br />

2.Tuma Kwa Mkurugenzi Mtendajii, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Wa Elimu ya Juu, S.L.P 76068 Dar Es Salaam.<br />

3.Fomu iliyokamilika ni fomu iliyosainiwa na Mwombaji sehemu mbili, iliyosainiwa na mdhamini, Mahakama, Serikali za mitaa, pamoja<br />

na nakala za vivuli vya vyeti zilizothibitishwa.<br />

4.Tunza nakala (copy) ya fomu iliyosainiwa pamoja na viambatisho vyote kwa kumbukumbu yako ya baadaye.<br />

5.Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni 15-07-2018.<br />

<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #6 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!