Loan Application Form
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD<br />
(BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU)<br />
Index#: S0101.0290.2015<br />
Plot No. 8, Block No. 46; Sam Nujoma Road; P.O.Box 76068, Dar es Salaam, Tanzania<br />
Dar es Salaam, Tanzania<br />
Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286;<br />
E-mail: info@heslb.go.tz; Website: www.heslb.go.tz<br />
LOCAL UNDERGRADUATE STUDENT LOAN APPLICATION FORM - 2018/19<br />
(Fomu ya Maombi ya Mkopo kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza Ndani ya Nchi)<br />
TAARIFA BINAFSI NA ANUANI ZA MWOMBAJI (APPLICANT'S PERSONAL DETAILS)<br />
Jina Kamili (Full Name) : ROBINSONI R MOSHI<br />
Tarehe ya Kuzaliwa (Date of Birth) : 1998-10-05<br />
Mkoa Ulikozaliwa (Birth Region) : Dar es Salaam<br />
Namba ya Simu ya Mkononi (Mobile Phone) : 0715496439<br />
Jinsia (Sex) : Male<br />
Wilaya Ulikozaliwa (Birth District) : Ilala<br />
<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />
Barua Pepe (Email) : robinhomarcello@gmail.com<br />
TAARIFA ZA ELIMU YA MWOMBAJI (EDUCATIONAL BACKGROUND)<br />
Elimu ya Shule ya Msingi (Primary School Education History)<br />
Jina la shule (School Name) : SHULE YA MSINGI UBUNGO KIBANGU<br />
Year of Entry : 2005 Year of Graduation : 2011<br />
Region : Dar es Salaam<br />
District : Ubungo<br />
Shule ya Sekondari Kidato cha 4 (O-level Secondary School) :<br />
Namba ya Mtahiniwa (<strong>Form</strong> Four Index Number):<br />
Shule ya Sekondari Kidato cha 6 (A-level Secondary School) :<br />
Namba ya Mtahiniwa (<strong>Form</strong> Six Index Number):<br />
AZANIA<br />
S0101.0290.2015<br />
MOSHI<br />
s0134.0683.2018<br />
TAARIFA ZA KIJAMII NA UCHUMI YA MWOMBAJI (APPLICANT'S SOCIO-ECONOMIC DETAILS)<br />
Hali ya wazazi/mlezi na Mwombaji. (Parents Physical/Social Status)<br />
Baba yuko hai<br />
Mama yuko hai<br />
Mwombaji hana ulemavu wowote (Applicant is NOT Disabled)<br />
Wazazi wa mwombaji hawana ulemavu (Applicant Parents are NOT Disabled)<br />
TAARIFA ZA WAZAZI/MLEZI (PARENTS/GUARDIAN DETAILS)<br />
Jina Kamili la Mama (Mother's Full Name) : joyce saliely kombe<br />
Anwani ya Posta : Dar es Salaam<br />
Simu ya Mama (Mother's Mobile Phone) : 0654518870<br />
Jina Kamili la Baba (Father's Full Name) : Reginald saliely kombe<br />
Anwani ya Posta : Dar es Salaam<br />
Simu ya Baba (Father's Mobile Phone) : 0675611336<br />
Jina Kamili la Mlezi (Guardian's Full Name) : Reginald saliely kombe<br />
Anwani ya Posta : Dar es Salaam<br />
Simu ya Mlezi (Guardian's Mobile Phone) : 0675611336<br />
Makazi : Dar es Salaam<br />
Kazi ya Mama : Farmer<br />
Makazi : Dar es Salaam<br />
Kazi ya Baba : Farmer<br />
Makazi : Dar es Salaam<br />
Kazi ya Mlezi : Other Small Business Managers and<br />
Managing Supervisors<br />
<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #1 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01
UTHIBITISHO WA MWOMBAJI (APPLICANT'S DECLARATION)<br />
<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />
Mimi ROBINSONI R MOSHI ninatamka kuwa maelezo yaliyotolewa kwenye maombi haya kwa njia ya tovuti, ambayo sehemu yake<br />
yamechapwa hapa, kuwa ni ya kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Ninatamka pia kwamba ninafahamu kuwa hatua za kisheria<br />
zitachukuliwa dhidi yangu endapo itabainika kwamba maelezo niliyoyatoa siyo sahihi ama yanapotosha.<br />
Jina Kamili la Mwombaji: ROBINSONI R MOSHI Tarehe: ______________________ Sahihi : ________________________<br />
UTHIBITISHO WA TAARIFA BINAFSI NA KAMISHNA WA VIAPO (CERTIFICATION BY COMMISSIONER OF OATHS)<br />
Jina Kamili la Kamishna : __________________________________________________________________________Weka Muhuri wa ofisi hapa<br />
Sahihi: ___________________________________________Tarehe : ___________________________<br />
UTHIBITISHO WA SERIKALI YA KIJIJI/MTAA KUHUSU MAELEZO YA MWOMBAJI<br />
MAOMBI HAYA YATAKUWA BATILI ENDAPO HAYATAPITISHWA NA SERIKALI YA KIJIJI/MTAA<br />
ANGALIZO: Kiongozi yeyote wa Serikali ya Kijiji au Mtaa atakayethibitisha maombi haya ya mkopo, ambaye ama kwa kujua au uzembe<br />
akashuhudia taarifa za uongo zilizojazwa na mwombaji na wazazi wake atakuwa na hatia ya jinai na anaweza, chini ya sheria iliyoanzisha<br />
Bodi ya Mikopo kifungu 23(1)(b), kutozwa faini isiyozidi shilingi Milioni moja na laki tano (1,500,000) au kifungo kisichozidi miezi sita au<br />
vyote kwa pamoja. Kughushi ni kosa la jinai na mtu anayeghushi au kushuhudia makosa kama hayo atashitakiwa mahakamani.<br />
Tunathibitisha kuwa tumekagua na kuhakiki maelezo yaliyotolewa katika fomu hii pamoja na yale ya mdhamini na maoni yetu ni kama<br />
ifuatavyo (kata isiyohusika):-<br />
Mwombaji ni/siyo mkazi wa Kijiji/Mtaa wetu.<br />
Taarifa alizotoa mwombaji ni/si sahihi.<br />
Wazazi wa mwombaji ni/si wakazi wa Kijiji/Mtaa wetu.<br />
Taarifa za wazazi ni/si sahihi.<br />
Tunapendekeza/Hatupendekezi maombi haya.<br />
Na. CHEO JINA KAMILI SAHIHI TAREHE<br />
1 MJUMBE ________________________________________ _____________________________ __________________________<br />
2 KATIBU ________________________________________ _____________________________ __________________________<br />
3 MWENYEKITI ________________________________________ _____________________________ __________________________<br />
Muhuri wa Serikali ya Kijiji/Mtaa<br />
<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #2 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01
HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD<br />
(BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU)<br />
Plot No. 8, Block No. 46; Sam Nujoma Road; P.O.Box 76068, Dar es Salaam, Tanzania<br />
Dar es Salaam, Tanzania<br />
Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286;<br />
E-mail: info@heslb.go.tz; Website: www.heslb.go.tz<br />
MKATABA WA MKOPO KWA MWANAFUNZI - 2018/19<br />
<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />
1.0 Wahusika wa Mkataba huu<br />
Mkataba huu ni kati ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, yenye anwani hapo juu, ambayo ndani ya mkataba huu<br />
itajulikana kama "Bodi" na ROBINSONI R MOSHI ambaye namba yake ya mtihani wa kidato cha Nne ni S0101.0290.2015 na ambaye<br />
katika mkataba huu atajulikana kama Mwanafunzi au Mkopaji.<br />
2.0 Kanuni na Masharti<br />
1. Mkataba wa mkopo huu utasainiwa mara moja tu kwa kipindi chote cha masomo. Nyongeza au mafungu ya mkopo ambayo<br />
mkopaji atapewa kila mwaka kwa pamoja yatakuwa sehemu ya mkataba huu<br />
2. Kiasi cha fedha atakachokopeshwa mwanafunzi kwa mujibu wa mkataba huu, kitakuwa ni zile fedha zitakazopelekwa moja kwa<br />
moja kwenye akaunti ya Benki ya mwanafunzi na kile kiasi kitakacholipwa taslimu moja kwa moja kwa mwanafunzi kupitia chuo<br />
anachosoma, na fedha ambazo zitalipwa moja kwa moja kwenye akaunti ya chuo anachosoma mwanafunzi na zile ambazo<br />
zitaendelea kulipwa ama kwa mwanafunzi ama kwa chuo zikihusishwa na gharama za masomo ya mwanafunzi.<br />
3. Kwa madhumuni ya mkataba huu, Bodi itaendelea kutoa mkopo kwa muda wa kawaida wa masomo (Normal Course Duration) hadi<br />
mwanafunzi atakapomaliza masomo yake na fedha hizo zitakuwa ni mkopo. Kwa madhumuni na masharti yaliyopo<br />
kwenye kifungu cha 2 cha mkataba huu. Mwanafunzi atakuwa na jukumu la kuijulisha Bodi juu ya kutohitaji fedha za Mkopo pale<br />
ambapo hatahitaji kuendelea kukopa.<br />
4. Mkopo kwa ajili ya ada ya mafunzo na mahitaji maalum ya kitivo zitalipwa moja kwa moja katika chuo anachosoma mwanafunzi<br />
5. Mkopo unaohusu gharama za mwanafunzi za moja kwa moja utapelekwa kwenye akaunti ya benki ya mwanafunzi kwa awamu ama<br />
atapewa mwanafunzi kupitia chuo anachosoma.<br />
6. Akaunti ya mwanafunzi iliyo katika kumbukumbu za Bodi haitabadilishwa isipokuwa kwa maombi ya Mwanafunzi ambayo<br />
yamepitishwa na chuo anachosoma.<br />
7. Mwanafunzi ana wajibu wa kuijulisha Bodi kuhusu mabadiliko yoyote yale yanayoweza kuathiri utoaji au urejeshwaji wa mkopo<br />
kwa namna yoyote ile. Mwanafunzi pia ana wajibu wa kuipatia Bodi taarifa nyingine zozote zile zinazohusiana na mkopo wake pale<br />
atakapotakiwa kufanya hivyo na Bodi.<br />
8. Kutokana na mkopo atakaokopeshwa na Bodi, Mwanafunzi anawajibika wakati wote wa kipindi cha masomo yake kuheshimu na<br />
kutii sheria ndogo za chuo, kanuni na maelekezo yatolewayo mara kwa mara na chuo anachosoma. Kwa madhumuni ya Mkataba<br />
huu sheria ndogo ndogo, kanuni na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na chuo anachosoma mwanafunzi yamejumuishwa katika<br />
mkataba huu kwa marejeo (by reference)<br />
9.<br />
Bodi inaweza kusitisha mkopo kwa mwanafunzi :<br />
a) Kama mwanafunzi atafukuzwa au kushindwa kuendelea na masomo kwa kutofaulu katika chuo husika<br />
b) Kwa maombi ya mwanafunzi<br />
c) Kama atapuuzia masomo katika chuo anachosoma<br />
d) Kama mwanafunzi atashindwa kuzingatia makubaliano yaliyopo katika kifungu cha 2.8 hapo juu<br />
e) Kama mwanafunzi atakataa kusaini marejesho (returns) za fedha alizolipwa au alizolipiwa kupitia chuoni<br />
f) Kama mwanafunzi atafariki dunia<br />
g) Kwa sababu nyingine yoyote itakayoonekana na Bodi inafaa<br />
10. Endapo itabainika kwamba mwanafunzi ametoa taarifa za udanganyifu kwa kudhamiria au vinginevyo na taarifa hizo<br />
zikawezesha mwanafunzi kupewa mkopo na Bodi; Bodi itasitisha kumpatia mwanafunzi sehemu ya mkopo uliobakia, na kiasi<br />
chochote cha mkopo kitakachokuwa kimetolewa atatakiwa kukirejesha chote kwa mara moja. Pamoja na kurejesha kiasi chote cha<br />
mkopo alichokopeshwa mwanafunzi kwa mkupuo, Bodi pia itamchukulia hatua za kisheria mwanafunzi kadri ya sheria inayounda<br />
Bodi ama sheria nyingine yoyote ya nchi inayohusika.<br />
11. Endapo mwanafunzi ataacha au kuachishwa masomo kwa sababu yoyote ile au kuthibitika kutoa taarifa za uongo ,Bodi<br />
haitakamilisha utoaji wa fedha zilizobakia na mkopo uliokwisha tolewa utatakiwa kuanza kulipwa mara moja. Kwa madhumuni ya<br />
Mkataba huu masharti yaliyopo kwenye sheria iliyoanzisha Bodi na kanuni zilizotungwa chini ya sheria hiyo vitakuwa sehemu ya<br />
mkataba huu kwa marejeo (by reference).<br />
12. Mkopo utaanza kurejeshwa miaka miwili baada ya kuhitimu, lakini mwanafunzi yuko huru kuanza kulipa muda wowote baada ya<br />
kuhitimu.<br />
13. Kutokana na masharti ya sheria iliyoanzisha Bodi na masharti madogo katika kanuni za mikopo, mkopo utarejeshwa kwa mafungu<br />
kila mwezi au wote kwa pamoja au kwa njia nyingine yoyote ya malipo inayofaa kama itakavyoelekezwa na Bodi.<br />
14. Bodi itatoa taarifa kuhusu kiasi cha mkopo alichokopeshwa mwanafunzi kwa kila mwaka wa masomo, na jumla ya kiasi<br />
kilichoonyeshwa katika taarifa hiyo itakuwa ndicho kiasi anachodaiwa mwanafunzi mpaka mwaka husika. Taarifa hiyo<br />
itachukuliwa kuwa sahihi mpaka pale itakapothibitika vinginevyo.<br />
15. Bodi itakuwa huru kunikopesha kiasi chochote itakachoona kinafaa kulingana na kozi nitakayosoma na matokeo ya uhitaji wangu<br />
kama itakavyothibitishwa na Bodi.<br />
<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #3 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01
16. Mkopo huu utatozwa asilimia sita (6%) au asilimia nyingine itakayopangwa na Bodi kwa mwaka kama gharama ya kuhifadhi<br />
thamani ya fedha (value retention fee) zitakazokopeshwa na asilimia moja ambayo ni gharama ya usimamizi wa mkopo<br />
(administration fee) ambazo zitalipwa pamoja na marejesho ya mkopo.<br />
17. Bodi itatoza asilimia 10% ya mkopo kwa mwaka kama adhabu ya kuchelewa kurejesha mkopo katika muda uliowekwa na Bodi.<br />
18. Bodi itakuwa na mamlaka ya kuthibitisha taarifa zinazonihusu nilizoweka katika maombi haya kutoka katika mamlaka yoyote.<br />
19. Bodi itakuwa na mamlaka ya kuomba na kupokea matokeo yangu ya mitihani moja kwa moja kutoka chuo nitakachopangiwa au<br />
ninachosoma ili kuwezesha upangaji wa mikopo kwa miaka ya masomo inayofuata.<br />
<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #4 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01
3.0 Matamko<br />
<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />
Sehemu hii itashuhudiwa na Wakili au Hakimu<br />
3.1 Tamko la Mwanafunzi<br />
Jina Kamili : ROBINSONI R MOSHI<br />
Anwani ya Posta : p.o box 9074 dar es salaam<br />
Kijiji/Mtaa : ubungo kisiwani<br />
Kata/Shehia : Makuburi<br />
Wilaya : Ubungo<br />
Mkoa : Dar es Salaam<br />
Barua pepe : robinhomarcello@gmail.com Namba ya Simu ya Mkononi : 0715496439<br />
Mimi ROBINSONI R MOSHI ambaye ni mwanafunzi mkopaji, bila shinikizo lolote, na nikiwa na akili timamu nimesoma na kuelewa na<br />
kukubali kanuni na masharti ya mkataba huu nikishuhudiwa na aliyesaini hapa chini<br />
Sahihi (ya mwanafunzi): ___________________________________ Tarehe : _______________________________________<br />
3.2 Tamko la Mdhamini (lazima awe mzazi au mlezi wa mwombaji)<br />
Jina Kamili : joyce saliely kombe Anwani ya Posta : 9074<br />
Kijiji/Mtaa : Ubungo<br />
Wilaya : Ubungo<br />
Kata/Shehia : Ubungo<br />
Mkoa : Dar es Salaam<br />
Barua pepe : robinhomarcello@gmail.com Namba ya Simu ya Mkononi : 0654518870<br />
Namba ya kitambulisho : T-1004-6890-271-5<br />
Aina ya kitambulisho : Voters Id<br />
Mimi JOYCE SALIELY KOMBE nikiwa na akili timamu bila kulazimishwa, kurubuniwa, ama kushurutishwa na mtu yeyote yule,<br />
nathibitisha kwamba nimesoma, kuelewa na kukubali kanuni na mashariti ya mkataba huu. Pia ninatambua nina jukumu la kuhakikisha<br />
mkopo huu unarejeshwa kama taratibu zinavyoelekeza na kuwa muda wote nitakuwa na taarifa za mahali mkopeshwaji alipo.<br />
Sahihi: _________________________________________________ Tarehe : _______________________________________________<br />
3.3 Ushuhuda wa Wakili/Hakimu<br />
Imetiwa sahihi na __________________________________________(jina la mkopaji) ambaye ninamfahamu AU<br />
ametambulishwa kwangu na ___________________________________ambaye ninamfahamu<br />
Muhuri wa ofisi hapa<br />
Jina Kamili la Wakili/Hakimu: __________________________________Sahihi : ____________________<br />
Tarehe : _____________________<br />
3.4 Kwa Matumizi ya Ofisi ya Bodi ya Mikopo TU<br />
Jina Kamili la Ofisa wa Bodi : _____________________________________________________<br />
Cheo : _________________________________________<br />
Weka Muhuri wa ofisi hapa<br />
Tarehe : ________________________________________ Sahihi : _______________________________<br />
<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #5 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01
Orodha ya Viambatanisho (List of Attachments)<br />
<strong>Form</strong>#: 34672U2018<br />
Tafadhali ambatanisha nakala za vivuli vilivyothibitishwa (certified) za nyaraka zifuatazo ili kuthibitisha maelezo yako:-<br />
1. Uthibitisho wa uraia: "Birth Certificate" Number : 1003107165<br />
2. Nakala ya kitambulisho cha mdhamini:Voters Id : T-1004-6890-271-5<br />
3. Nakala ya vivuli vya vyeti au barua zote ulizopakia kwenye mfumo<br />
Maelekezo Mengine<br />
1.Tuma fomu halisi iliyosainiwa na viambatanisho vyake kwa njia ya "EMS" kisha tunza risiti kama uthibitisho.<br />
2.Tuma Kwa Mkurugenzi Mtendajii, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Wa Elimu ya Juu, S.L.P 76068 Dar Es Salaam.<br />
3.Fomu iliyokamilika ni fomu iliyosainiwa na Mwombaji sehemu mbili, iliyosainiwa na mdhamini, Mahakama, Serikali za mitaa, pamoja<br />
na nakala za vivuli vya vyeti zilizothibitishwa.<br />
4.Tunza nakala (copy) ya fomu iliyosainiwa pamoja na viambatisho vyote kwa kumbukumbu yako ya baadaye.<br />
5.Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni 15-07-2018.<br />
<strong>Loan</strong> <strong>Application</strong> <strong>Form</strong> Page #6 out of 6 Generated @ 19/06/2018 22:00:01