Nitapata wapi udongo wa kupandia Uyoga ? - Uyoga Tanzanian ...
Nitapata wapi udongo wa kupandia Uyoga ? - Uyoga Tanzanian ...
Nitapata wapi udongo wa kupandia Uyoga ? - Uyoga Tanzanian ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Nitapata</strong> <strong><strong>wa</strong>pi</strong> <strong>udongo</strong> <strong>wa</strong> <strong>kupandia</strong> <strong>Uyoga</strong> ?<br />
Contact: +255-715-329736, +255-784-329736, +255773-329736<br />
Mkapa road, 28R, Bagamoyo<br />
http://www.mushroomuyoga.com<br />
Udongo <strong>wa</strong> <strong>kupandia</strong> <strong>Uyoga</strong> unatokana na vimeng’eny<strong>wa</strong> mbalimbali, kama vile maranda,<br />
majani ya mpunga na ya migomba yaliyokauka, mapumba ya mahindi na ya mpunga, majivu<br />
ya miti na mavi ya kuku. Mkulima mpya <strong>wa</strong> <strong>Uyoga</strong> hana sababu ya kuhangaika kutafuta<br />
michanganyiko hiyo, vyote hivyo vimeshatengenez<strong>wa</strong> tayari kazi yako iliyobaki ni kupanda<br />
mbegu tu.<br />
Vimeng’eny<strong>wa</strong> vimejaz<strong>wa</strong> kwenye mifuko ya plastic mfano <strong>wa</strong> pipi. Ipo mifuko ambayo<br />
haijachemsh<strong>wa</strong> (yenye bacteria) na iliyo chemsh<strong>wa</strong> (isiyo na bacteria). Ukinunua ambao<br />
haujachemsh<strong>wa</strong> itabidi uchemshe k<strong>wa</strong>nza kisha ndio upande, <strong>wa</strong>kati ule uliokwisha<br />
chemsh<strong>wa</strong> kinachofuata ni kupanda tu.<br />
Ukishapanda mbegu hesabu siku hadi ya 21 unaanza kuvuta shilling zako. Hebu jaribu basi<br />
uone utamu <strong>wa</strong> biashara hii. K<strong>wa</strong> mkulima ambaye atanunua pipi toka UYOGA Company<br />
atape<strong>wa</strong> ofa ya jinsi ya kupanda, au kuchemsha mifuko yake bure.<br />
Bei k<strong>wa</strong> Mfuko <strong>wa</strong> (1.0 Kg) Bila usafiri.<br />
Type of Mifuko ambayo haijachemsh<strong>wa</strong> Mifuko iliyochemsh<strong>wa</strong><br />
Specie (NON-PASTEURIZED)<br />
(PASTEURIZED)<br />
A Tshs 500 1,000<br />
B Tshs 900 1,800<br />
Nunua mifuko, bofia<br />
sales@mushroomuyoga.com<br />
Key A: Pleurotus (Oysters), Straw (Volvariella), and Common (Agaricus)<br />
Key B: Ganoderma Lucidum (Reishi), Shiitake (Lentinus), Maitake (Grifola frondasa),<br />
Winter (Flammulina), Pom pom (Hericium), Ear (Auricularis), Nameko (Pholiata), and<br />
Shaggy Mane (Coprinus).<br />
Vitabu rejea.<br />
Kanuni Muhimu za Kilimo bora cha <strong>Uyoga</strong>.-Judith S.Muro, Wizara ya Kilimo,<br />
+255-22-286640 au+255-754264305<br />
Uzalishaji bora <strong>wa</strong> <strong>Uyoga</strong>, Taasisi ya Utafiti Uyole, Mbeya<br />
Mwongozo <strong>wa</strong> Kilimo cha <strong>Uyoga</strong> Chaza (Oyster Mushrooms) , 2008.- Dkt. Mshandete,etl<br />
+255755054614.<br />
Uujue <strong>Uyoga</strong> na Namna ya Kulima aina Mbalimbali k<strong>wa</strong> Kutumia Tekinojia Rahisi, 2009<br />
Chuo Kikuu cha Dar es salaam - Amelia Kajumulo Kivaisi
Maranda ya Mbao<br />
Mavi ya kuku <strong>wa</strong> kienyeji<br />
Majani makavu ya Mgomba<br />
Majani ya Mpunga<br />
Pumba za Mpunga<br />
Pumba ya Mahindi<br />
Order Now: sales@mushroomuyoga.com<br />
Contact: +255-715-329736, +255-784-329736, +255773-329736<br />
Mkapa road, 28R Ukuni, Bagamoyo, TANZANIA<br />
Get more details<br />
http://www.mushroomuyoga.com<br />
Mashine ya kuponda na kukata<br />
majani: Buy: info@intermech.biz<br />
Pipi zipo tayari kusafirish<strong>wa</strong><br />
Jivu la mkaa <strong>wa</strong> miti