Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online
Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online
Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jina: ……………………………………………………………………<br />
Nambari: ………...………<br />
Shule: ………………………………………………………………. Sahihi ....................................<br />
Tarehe: …………….....................................................................……<br />
102/3<br />
KISWAHILI<br />
FASIHI YA KISWAHILI<br />
KARATASI YA 3<br />
JULAI/AGOSTI 2011<br />
MUDA: SAA 2 ½<br />
<strong>Hati</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kuhitimu</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sekondari</strong> Ken<strong>ya</strong>.( K.C.S.E)<br />
Kiswahili<br />
Fasihi<br />
MAAGIZO<br />
• Jibu maswali manne pekee katika kijitabu cha majibu ulichopewa<br />
• Swali la kwanza ni lazima<br />
• Maswali hayo mengine matatu <strong>ya</strong>chaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki <strong>ya</strong>ani: Riwa<strong>ya</strong>, Hadithi<br />
fupi, Fasihi simulizi na ushairi.<br />
• Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.<br />
Karatasi hii ina kurasa 4 zilizopigwa chapa. Watahiniwa ni lazima waangalie kama kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
1
kuwa maswali yote <strong>ya</strong>mo.<br />
SEHEMU YA A: THAMTHILIA<br />
KIFO KISIMANI: Kithaka wa Mberia<br />
LAZIMA<br />
1. “Bahati nasibu inapomteremkia mtu mara nyingi uhalisi huonekana……”<br />
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.<br />
(b) Onyesha bahati inayorejelewa.<br />
(c) Kwa kutoa mifano mwafaka, jadili dhana <strong>ya</strong> usaliti tamthiliani.<br />
(al.4)<br />
(al.4)<br />
(al.12)<br />
SEHEMU YA B: RIWAYA<br />
S.A Mohamed : UTENGANO<br />
Jibu swali la 2 au la 3<br />
2. “Pesa iweke mbele. Pesa mwanzo. Sisi tuna msemo wetu. Watose. Ndio, watose maana sisi<br />
tumeshatoswa.”<br />
(a) Liweke dondoo hili katika muktadha wake.<br />
(al.4)<br />
(b) Eleza mawaidha mawili ambayo msemaji alimpa msemewa katika muktadha huu. (al.4)<br />
(c) Eleza maana <strong>ya</strong> “sisi tumeshatoswa” kwa kurejelea riwa<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> utengano.<br />
(al.12)<br />
3. Thibitisha ufaafu wa methali “Majuto ni mjukuu” ukirejelea riwa<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> utengano. (al. 20)<br />
SEHEMU YA C : HADITHI FUPI<br />
MAYAI WAZIRI WA MARADHI NA HADITHI NYINGINE.<br />
Jibu swali la 4 au la 5<br />
4. ‘Mnavyojua vizuri na yote hayo si kweli. Hata wengine wenu mmekuwa sungura. Kwani wewe Abdala<br />
ulikuwa humfuatifuati, si hata ulimposa? Nyoo! Basi haifai hata kama hamtampa kura si vizuri<br />
kumtukana.’<br />
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.<br />
(al.4)<br />
(b) Eleza ukweli kuhusu mrejelewa katika dondoo.<br />
(al.2)<br />
(c) Taja na utoe mfano wa mbinu yoyote <strong>ya</strong> lugha ambayo imejitokeza katika dondoo.<br />
(al.2)<br />
(d) Jamii inayorejelewa katika hadithi husika ilisheheni maovu makubwa. Fafanua kauli hii. (al.12)<br />
5. Kwa kurejelea diwani <strong>ya</strong> Ma<strong>ya</strong>i Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine, fafanua athari za uongozi<br />
barani afrika.<br />
(al.20)<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
2
SEHEMU YA D: USHAIRI.<br />
Jibu swali la 6 au la 7<br />
6. SHAIRI<br />
Alipokwenda kwao, mamaye alimwambia<br />
Nipa fedha au nguo, nataka kwenda tumia!<br />
Nikosapo hivi leo, nipa kisu tajitia !<br />
Huzunguka akilia kwa maana <strong>ya</strong> uketo.<br />
Ndipo mamaye kawaza, pamwe na kuzingatia,<br />
Fedha zako umesoza, na leo zimekwisha,<br />
Kisu sikukukataza, twaa upate jitia!<br />
Mbele zangu n’ondokea! Wende na ukiwa wako!<br />
Ulipogeuka nondo, nguo ukazingilia,<br />
Kakaka kwa vishindo, usisaze hata mo<strong>ya</strong>,<br />
Leo wanuka uvundo, wambeja wakukimbia!<br />
Mbele zangu n’ondokea! Wende na ukiwa wako.<br />
Ukijigeuza n<strong>ya</strong>ma, kama Simba ukilia,<br />
Watumwa ukawaegema, ukawala wote pia,<br />
Pasi kuona huruma, kutoa wahurumia,<br />
Mbona hukuzingatia? Wende na ukiwa wako!<br />
Si mimi naliokupa, ukata huo sikia !<br />
Kwamba utakuja hapa, nipate kuondolea,<br />
Naapa thama, naapa, sina la kukutendea!<br />
Mbele zangu n’ondokea ! Wende na ukiwa wako !<br />
Tamati nalikomile, ni hayo nalokwambia,<br />
Hapahitaji kelele na kujirisha maba<strong>ya</strong><br />
Na kwamba <strong>ya</strong>kutukie, sema <strong>ya</strong>pate n’elea !<br />
Zidi radhi kuniwea ! wende na ukiwa wako !<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
3
Maswali<br />
(a) Lipe shairi hili anwani mwafaka.<br />
(b) Ni maudui gani <strong>ya</strong>nayojitokeza katika shairi hili.<br />
(c) Taja na ueleze tabia za mnenewa katika shairi hili.<br />
(d) Mshairi ametumia uhuru wa utunzi. Taja sehemu mbili alikotumia uhuru huo.<br />
(e) Eleza umbo la shairi hili.<br />
(f) Eleza maana <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>fuatayo kama <strong>ya</strong>livyotumiwa katika shairi :-<br />
(i) Uketo<br />
(ii) Ukata<br />
(al.2)<br />
(al.4)<br />
(al.4)<br />
(al.4)<br />
(al.4)<br />
(al.2)<br />
FASIHI SIMULIZI<br />
7. (a) Fafanua dhana hizi za fasihi simulizi.<br />
(i) Nyiso<br />
(ii) Mbolezi<br />
(iii) Bembelezi<br />
(b) Eleza tofauti kati <strong>ya</strong> methali na vitendawili.<br />
(c) (i) Eleza sifa mbili za methali<br />
(ii) Eleza sifa mbili za vitendawili<br />
(d) Ni nini umuhimu wa methali?<br />
(al.6)<br />
(al.4)<br />
(al.4)<br />
(al.4)<br />
(al.2)<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
4