19.11.2014 Views

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Jina: ……………………………………………………………………<br />

Nambari: ………...………<br />

Shule: ………………………………………………………………. Sahihi ....................................<br />

Tarehe: …………….....................................................................……<br />

102/3<br />

KISWAHILI<br />

FASIHI YA KISWAHILI<br />

KARATASI YA 3<br />

JULAI/AGOSTI 2011<br />

MUDA: SAA 2 ½<br />

<strong>Hati</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kuhitimu</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sekondari</strong> Ken<strong>ya</strong>.( K.C.S.E)<br />

Kiswahili<br />

Fasihi<br />

MAAGIZO<br />

• Jibu maswali manne pekee katika kijitabu cha majibu ulichopewa<br />

• Swali la kwanza ni lazima<br />

• Maswali hayo mengine matatu <strong>ya</strong>chaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki <strong>ya</strong>ani: Riwa<strong>ya</strong>, Hadithi<br />

fupi, Fasihi simulizi na ushairi.<br />

• Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.<br />

Karatasi hii ina kurasa 4 zilizopigwa chapa. Watahiniwa ni lazima waangalie kama kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na<br />

Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />

1


kuwa maswali yote <strong>ya</strong>mo.<br />

SEHEMU YA A: THAMTHILIA<br />

KIFO KISIMANI: Kithaka wa Mberia<br />

LAZIMA<br />

1. “Bahati nasibu inapomteremkia mtu mara nyingi uhalisi huonekana……”<br />

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.<br />

(b) Onyesha bahati inayorejelewa.<br />

(c) Kwa kutoa mifano mwafaka, jadili dhana <strong>ya</strong> usaliti tamthiliani.<br />

(al.4)<br />

(al.4)<br />

(al.12)<br />

SEHEMU YA B: RIWAYA<br />

S.A Mohamed : UTENGANO<br />

Jibu swali la 2 au la 3<br />

2. “Pesa iweke mbele. Pesa mwanzo. Sisi tuna msemo wetu. Watose. Ndio, watose maana sisi<br />

tumeshatoswa.”<br />

(a) Liweke dondoo hili katika muktadha wake.<br />

(al.4)<br />

(b) Eleza mawaidha mawili ambayo msemaji alimpa msemewa katika muktadha huu. (al.4)<br />

(c) Eleza maana <strong>ya</strong> “sisi tumeshatoswa” kwa kurejelea riwa<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> utengano.<br />

(al.12)<br />

3. Thibitisha ufaafu wa methali “Majuto ni mjukuu” ukirejelea riwa<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> utengano. (al. 20)<br />

SEHEMU YA C : HADITHI FUPI<br />

MAYAI WAZIRI WA MARADHI NA HADITHI NYINGINE.<br />

Jibu swali la 4 au la 5<br />

4. ‘Mnavyojua vizuri na yote hayo si kweli. Hata wengine wenu mmekuwa sungura. Kwani wewe Abdala<br />

ulikuwa humfuatifuati, si hata ulimposa? Nyoo! Basi haifai hata kama hamtampa kura si vizuri<br />

kumtukana.’<br />

(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.<br />

(al.4)<br />

(b) Eleza ukweli kuhusu mrejelewa katika dondoo.<br />

(al.2)<br />

(c) Taja na utoe mfano wa mbinu yoyote <strong>ya</strong> lugha ambayo imejitokeza katika dondoo.<br />

(al.2)<br />

(d) Jamii inayorejelewa katika hadithi husika ilisheheni maovu makubwa. Fafanua kauli hii. (al.12)<br />

5. Kwa kurejelea diwani <strong>ya</strong> Ma<strong>ya</strong>i Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine, fafanua athari za uongozi<br />

barani afrika.<br />

(al.20)<br />

Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />

2


SEHEMU YA D: USHAIRI.<br />

Jibu swali la 6 au la 7<br />

6. SHAIRI<br />

Alipokwenda kwao, mamaye alimwambia<br />

Nipa fedha au nguo, nataka kwenda tumia!<br />

Nikosapo hivi leo, nipa kisu tajitia !<br />

Huzunguka akilia kwa maana <strong>ya</strong> uketo.<br />

Ndipo mamaye kawaza, pamwe na kuzingatia,<br />

Fedha zako umesoza, na leo zimekwisha,<br />

Kisu sikukukataza, twaa upate jitia!<br />

Mbele zangu n’ondokea! Wende na ukiwa wako!<br />

Ulipogeuka nondo, nguo ukazingilia,<br />

Kakaka kwa vishindo, usisaze hata mo<strong>ya</strong>,<br />

Leo wanuka uvundo, wambeja wakukimbia!<br />

Mbele zangu n’ondokea! Wende na ukiwa wako.<br />

Ukijigeuza n<strong>ya</strong>ma, kama Simba ukilia,<br />

Watumwa ukawaegema, ukawala wote pia,<br />

Pasi kuona huruma, kutoa wahurumia,<br />

Mbona hukuzingatia? Wende na ukiwa wako!<br />

Si mimi naliokupa, ukata huo sikia !<br />

Kwamba utakuja hapa, nipate kuondolea,<br />

Naapa thama, naapa, sina la kukutendea!<br />

Mbele zangu n’ondokea ! Wende na ukiwa wako !<br />

Tamati nalikomile, ni hayo nalokwambia,<br />

Hapahitaji kelele na kujirisha maba<strong>ya</strong><br />

Na kwamba <strong>ya</strong>kutukie, sema <strong>ya</strong>pate n’elea !<br />

Zidi radhi kuniwea ! wende na ukiwa wako !<br />

Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />

3


Maswali<br />

(a) Lipe shairi hili anwani mwafaka.<br />

(b) Ni maudui gani <strong>ya</strong>nayojitokeza katika shairi hili.<br />

(c) Taja na ueleze tabia za mnenewa katika shairi hili.<br />

(d) Mshairi ametumia uhuru wa utunzi. Taja sehemu mbili alikotumia uhuru huo.<br />

(e) Eleza umbo la shairi hili.<br />

(f) Eleza maana <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>fuatayo kama <strong>ya</strong>livyotumiwa katika shairi :-<br />

(i) Uketo<br />

(ii) Ukata<br />

(al.2)<br />

(al.4)<br />

(al.4)<br />

(al.4)<br />

(al.4)<br />

(al.2)<br />

FASIHI SIMULIZI<br />

7. (a) Fafanua dhana hizi za fasihi simulizi.<br />

(i) Nyiso<br />

(ii) Mbolezi<br />

(iii) Bembelezi<br />

(b) Eleza tofauti kati <strong>ya</strong> methali na vitendawili.<br />

(c) (i) Eleza sifa mbili za methali<br />

(ii) Eleza sifa mbili za vitendawili<br />

(d) Ni nini umuhimu wa methali?<br />

(al.6)<br />

(al.4)<br />

(al.4)<br />

(al.4)<br />

(al.2)<br />

Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!