Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E) - KCSE Online
Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E) - KCSE Online
Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E) - KCSE Online
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jina: ……………………………………………………………………<br />
Nambari: ………...………<br />
Shule: ………………………………………………………………. Sahihi ....................................<br />
Tarehe: …………….....................................................................……<br />
102/2<br />
KISWAHILI<br />
LUGHA<br />
KARATASI YA 2<br />
JULAI/ AGOSTI 2011<br />
MUDA: SAA 2 ½<br />
<strong>Hati</strong> <strong>ya</strong> <strong>kuhitimu</strong> <strong>kisomo</strong> <strong>cha</strong> <strong>sekondari</strong> Ken<strong>ya</strong> (K.C.S.E)<br />
Kiswahili<br />
Lugha<br />
MAAGIZO<br />
• Andika jina lako na namba <strong>ya</strong>ko katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.<br />
• Weka sahihi <strong>ya</strong>ko na tarehe <strong>ya</strong> mtihnai katika nafasi ulizoachiwa<br />
• Jibu maswali yote.<br />
• Majibu <strong>ya</strong>andikwe katika nafasi zilizoachwa wazi katika kijitabu hiki <strong>cha</strong> maswali.<br />
Kwa Matumizi <strong>ya</strong> Mtahini Pekee.<br />
SWALI UPEO ALAMA<br />
1 15<br />
2 15<br />
3 40<br />
4 10<br />
JUMLA 80<br />
Karatasi hii ina kurasa 8 zilizopigwa <strong>cha</strong>pa. Watahiniwa ni lazima waangalie kama kurasa zote za karatasi hii zimepigwa <strong>cha</strong>pa sawasawa na<br />
kuwa maswali yote <strong>ya</strong>mo.<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
1
1. UFAHAMU<br />
Soma habari ifuatayo kisha ujibu maswali <strong>ya</strong>takayofuata<br />
Uchumi ni mfumo wa mapato, na matumizi <strong>ya</strong> watu katika nchi fulani. uchumi huu huhusisha<br />
sekta mbalimbali kama vile utalii, kilimo, sanaa miongoni mwa sekta nyingine muhimu. Ukuaji wa<br />
kiuchumi hutegemea mambo kadhaa ili kuzaa matunda. Katika nji zote ulimwenguni, sera za kisiasa<br />
huamua jinsi uchumi utakavyokua na kunawiri. Kama siasa hazitilii maanani sera za ukuaji wa<br />
kiuchumi, basi mapato <strong>ya</strong> nchi hiyo hugubikwa katika wingu kubwa la uchochole<br />
Nchini Ken<strong>ya</strong>, kwa mfano, kuna ulinganifu mkubwa kati <strong>ya</strong> siasa na ukuaji wa kuichumi.<br />
Ukuaji wa kiuchumi hutegemea uteuzi wa maafisa wanaosimamia asasi muhimu sana. katika<br />
usimamizi wa uchumi. Asasi hizi ni kama vile wizara <strong>ya</strong> fedha, Wizara <strong>ya</strong> Mipango <strong>ya</strong> kitaifa na<br />
Ruwaza <strong>ya</strong> 2030, Mamlaka <strong>ya</strong> Ukusan<strong>ya</strong>ji wa ushuru ( KRA), Benki kuu <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> (CBK), na tume<br />
<strong>ya</strong> kupambana na ufisadi (KACC). Usimamizi wa asasi hizi huwa muhimu sana katika kuamua<br />
hatima <strong>ya</strong> uchumi wa nchi hii<br />
Katika mwezi wa Juni kila mwaka, Waziri wa fedha husoma bajeti kwa Wabunge. Katika<br />
maelezo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>itwayo. nakisi <strong>ya</strong> bajeti hujitokeza. Kabla <strong>ya</strong> bajeti kuandaliwa, Wizara <strong>ya</strong> Mipango<br />
huandaa hati iitwayo Usorove<strong>ya</strong> wa kiuchumi. Baada <strong>ya</strong> kusomwa kwa bajeti ni jukumu la Wabunge<br />
kupitisha mswada wa kifedha unaohusisha wizara zote au kuutupilia mbali. Jukumu hili linafaa<br />
kutekelezwa kufikia tarehe 31 Oktoba <strong>ya</strong> kila mwaka kulingana na sheria<br />
Wakati huo huo, afisa anayejulikana kama Mhasibu Mkuu wa serikali huwa na jukumu la<br />
kuchunguza na kutathmini matumizi <strong>ya</strong> fedha <strong>ya</strong> Wizara mbalimbali na kutoa ripoti <strong>ya</strong>ke kwa kamati<br />
<strong>ya</strong> Uhasibu wa Umma bungeni (PAC). Kamati hii hutoa mapendekezo <strong>ya</strong>ke kwa mkuu wa sheria na<br />
pia kwa Tume <strong>ya</strong> kupambana na ufisadi ili haki iweze kutekelezwa mahakamani iwapo dosari za<br />
kifedha zimefanyika.<br />
Benki kuu <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> kupitia kwa Gavana wake huwa na jukumu la kutoa ushauri kwa serikali<br />
kuhusu usimamizi wa kifedha kuchunguza nguvu za shillingi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> dhini <strong>ya</strong> sarafa za kigeni,<br />
kutoa sarafu za Ken<strong>ya</strong> kwa umma na usimamizi wa benki zote nchini miongoni mwa majukumu<br />
mengine.<br />
Kwa upande mwingine, mamlaka <strong>ya</strong> Ukusan<strong>ya</strong>ji ushuru Nchini huwa na jukumu la<br />
kuhakikisha kuwa malengo <strong>ya</strong> ushuru <strong>ya</strong>mefikiwa na pia kuhakikisha kuwa hakuna mtu binafsi au<br />
kampuni yoyote inayokwepa kulipa ushuru<br />
Iwapo kuna udanganyifu wowote, basi swala hili linafaa kuangaliwa na mahakama zetu na<br />
haki kutekelezwa<br />
Kwa ujumla , sisi kama wananchi tunafaa kusaidia asasi hizi zote kufikia malengo. <strong>ya</strong>ke ili<br />
tupate ukuaji wa kiuchumi utakaofaidi watu wote. Jambo hili litahakikisha kuwa pengo lililo kati <strong>ya</strong><br />
walalahai na walahoi liniezibwa. Sisi kama wananchi, tunafaa kuonyesha uzalendo wetu kwa nchi<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
2
yetu kwa kulipa ushuru unavyetakikana , tukifuata mwito kuwa KULIPA USHURU NI<br />
KUJIITEGEMEA. Mwisho, tusaidie viongonzi wetu katika kuendeleza sera mwafaka za kiuchumi ili<br />
nchi yetu ipige hatua kubwa katika ukuaji wa kiuchumi. Iwapo afisa yeyote atatuhumiwa kushiriki<br />
katika, kashfa yoyote <strong>ya</strong> kuhujumu nidhamu <strong>ya</strong> kifedhaa,basi anafaa kukabiliwa vilivyo, kisheria bila<br />
kujali hadhi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kijaimi au kisiasa.<br />
Maswali<br />
a) Ipe habari hii kichwa awafaka (al.1)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
b) Uchumi ni nini ? (al.1)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
c) Ukuaji wa kiuchumi nchini Ken<strong>ya</strong> hutegemea nini ? (al.1)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
d) Benki kuu <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ina majukumu yepi ? (al.2)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
e) Mhasibu Mkuu ana dhima serikalini ? (al. 2)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
f) Pendekeza hatua mbili za kufufua, uchumi. (al. 2)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
g) Ufisadi umehujumu vipi ukuaji wa kiuchumi ? (al. 2)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
h) Ni vipi waken<strong>ya</strong> wanaweza kuonyesha uzalendo ? (al. 1)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
i) Eleza maneno <strong>ya</strong>fuatayo kama <strong>ya</strong>livyotumika katika ufahamu. (a1.3)<br />
i) <strong>Hati</strong>ma<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
3
ii) Walalahai<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
iii) Walalahoi<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
2. MUHTASARI<br />
Suala la demokrasia na haki ni mambo ambayo <strong>ya</strong>mekuwa <strong>ya</strong>kisisitizwa, nchini ken<strong>ya</strong> tu,<br />
bali katika ulimwengu mzima . Tangu miaka 90 ,nchi imekuwa ikipata sura mp<strong>ya</strong> kila u<strong>cha</strong>o. mfumo<br />
mp<strong>ya</strong> wa v<strong>ya</strong>ma vingi v<strong>ya</strong> kisiasa uliwatia wananchi hamu <strong>ya</strong> kudai haki zao na kupinga udhalimu<br />
wa kila aina. Hata hivyo, baadhi <strong>ya</strong> wananchi huvuka mipaka <strong>ya</strong> kudai haki hii na kuwakosea<br />
heshima viongozi , jambo ambalo ni tisho kwa demokrasia yenyewe.<br />
Katiba <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> imeeleza vyema suala la haki za kibinadamu katika mswada wa haki -<br />
Mswada huu umeorodhesha haki za hiari ambazo mwana nchi anapaswa kuwa nazo. Kwa mujibu wa<br />
katiba <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ,binadamu ana haki <strong>ya</strong> kuishi hivi ni kusema kwamba, hakuna mtu yeyote<br />
anayepasa kuukatisha uhai wa mtu mwingine , ama kwa kumuua au kwa kusababisba kifo hicho,<br />
kwa njia isiyo, moja kwa moja.<br />
Aidha, kila Mken<strong>ya</strong> ana haki <strong>ya</strong> kupata elimu. Elimu humsaidia Mja kuwa mwananchi bora<br />
na kuweza ku<strong>ya</strong>kidhi mahitaji <strong>ya</strong>ke na <strong>ya</strong> familia <strong>ya</strong>ke.Ingawa elimu ni muhimu, tunapata kuwa<br />
nchini humu kuna baadhi <strong>ya</strong> jamii ambazo huwaonjesha tu wana wao elimu. Utapata kwamba katika<br />
jamaa nyingi watoto, na hasa wa kike hupewa elimu <strong>ya</strong> kimsingi tu , <strong>ya</strong>ani kufikia darasa la nane.<br />
Jambo hili lazima likomeshwe kwa vyovyote vile.<br />
Mken<strong>ya</strong> yeyote yule ana haki <strong>ya</strong> kumiliki mali ama kwa kununua au hata kurithi kutoka kwa<br />
wazazi. Hata hivyo , utapata kwamba katika jamii nyingine watoto wengi , hasa wa kike , hunyimwa<br />
haki hii . Si ajabu kusikia mgogoro kupitia kwa vyombo v<strong>ya</strong> habari baina <strong>ya</strong> ndugu<br />
wa kiume na wa kike ; wakiume wakidai kuwa wa kike hapaswi kurithi mali <strong>ya</strong> wazazi. Hata baadhi<br />
<strong>ya</strong> wazazi wanapoena kuwa jua lao linakaibia kuchwa , huuza mali <strong>ya</strong>o bila kujali watoto.<br />
Mwananchi yeyote ambaye amefikisha umri wa miaka kumi na minane ana haki <strong>ya</strong> kupiga<br />
kura ku<strong>cha</strong>gua, viongozi awatakao.Haifai kwa mtu yeyote kumshurutisha mwingine kumpigia kura<br />
mtu asiyetaka. Hili ni jukumu muhimu mno kwa kila mwananchi.Watu wote wanapoona kuwa<br />
viongozi waliochukuliwa na wengine hawatekelezi wala kutimiza ahadi zao za kabla <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi.<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
4
Mken<strong>ya</strong> yeyote yu huru pia kushiriki katika dhehebu analotaka kuabudia. Ana uhuru wa<br />
ku<strong>cha</strong>gua ni marafiki gani atakaoandamana nao mradi tu asiwe anavunja sheria. Hata hivyo , kwa<br />
miaka mingi, watu wamekuwa wakikiuka haki za kibinadamu kwa njia mbalimbali . Kwa mfano ,<br />
utapata kwamba baadhi <strong>ya</strong> polisi huwashika washukiwa na kuwatesa bila sababu.<br />
Mshukiwa hapaswi kuteswa na kuchukuliwa kuwa. mhalifu hata<br />
kabla <strong>ya</strong> kuhukumiwa . Haupiti muda kabla <strong>ya</strong> kusikia kamsa mitaani <strong>ya</strong> mama aliyeibiwa. Badala<br />
<strong>ya</strong> wananchi kumshika mshukiwa huyo na kumpeleka kwa polisi, wao hujichukulia sheria mikononi<br />
mwao na kumpiga kitutu Wengine huvishwa magurudumu na kuchomwa kwayo bila huruma<br />
Baadhi <strong>ya</strong> washukiwa hata wanapopelekwa kwenye hifadhi <strong>ya</strong> polisi hupigwa viba<strong>ya</strong> iii<br />
kukiri makosa <strong>ya</strong>o. Wengi wa polisi hudhani kuwa jukumu lao kubwa ni kuadhibu hata pale<br />
ambapo hapana haja <strong>ya</strong> kuadhibu.<br />
Watoto wengi wamekuwa wakiteseka kwa sababu wazazi wao wamekosa kuwapa<br />
malezi.Wazazi wengine , baada <strong>ya</strong> kutofautiana kidogo, hutalikiana na kuwaa<strong>cha</strong> watoto chini <strong>ya</strong><br />
ulezi wa mmoja wao. Mara nyingine mzazi anayeachiwa watoto huwa hajimudu na huteseka sana<br />
kuwalea watoto hawa peke <strong>ya</strong>ke.Jambo hili huwakosesha raha watoto hawa na baadhi <strong>ya</strong>o huishi<br />
kukimbilia mitaani<br />
Binadamu ana haki <strong>ya</strong> kuishi vyema bila ubaguzi wala dhuluma za aina yoyote. Nijukumu la<br />
kila mwananchi kuhakikisha kwamba haki imedumishwa katika eneo lake.<br />
Maswali<br />
a) kwa kurejelea taarifa hii, eleza mambo <strong>ya</strong>nayochukuliwa kuwa haki <strong>ya</strong> kila mtu .<br />
(maneno 70-80) ( ala 9,mtiririko 2)<br />
Nakala <strong>cha</strong>fu<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
…………………………………………………………………………………………………………..…<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
Nakala safi<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
…………………………………………………………………………………………………………..…<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
5
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
b) Ni vipi haki za kibinadamu zimekiukwa nchini (maneno 50) ( ala 6,mtiririko 2)<br />
Nakala <strong>cha</strong>fu<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
…………………………………………………………………………………………………………..…<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
Nakala safi<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
…………………………………………………………………………………………………………..…<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40)<br />
(a) Taja konsonanti mbili ambazo hujulikana kama nusu irabu. (al. 2)<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(b) Tunga sentensi ukitumia neno “kijana” kama ; (al. 2)<br />
(i) Nomino<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) Kivumishi<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
6
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(c) Tunga sentensi ukitumia viwakilishi vifuatavyo:<br />
(i) Kiwakilishi nafsi huru<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
7<br />
(al.2)<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) Kiwakilishi nafsi kiambata<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(d) Andika sentensi <strong>ya</strong>kinishi kutokana na hii. (al. 1)<br />
Chakula hakipikiki vizuri<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(e) Tumia vitenzi vifuatavyo v<strong>ya</strong> silabi moja kutunga sentensi katika kauli <strong>ya</strong> kutendewa.<br />
(i)-ja-<br />
(al.2)<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii)-la-<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(f) Andika sentensi mbili ambazo zaweza kuwa sahihisho la sentensi ifuatayo. (al 2)<br />
Juma ameingia katika chumbani mwake.<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(g) Andika ukubwa wa sentensi hii. (al. 2)<br />
Mwizi aliiba kikapu na ng’ombe.<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(h) Tunga sentensi sahihi kubainisha matumizi <strong>ya</strong> “KI” kama: (al. 3)<br />
(i) kielezi namna<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) hali <strong>ya</strong> kuendelea<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(iii) masharti<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(i) Andika kwa msemo wa taarifa (al. 3)<br />
“Mimi nitawakaribisha wageni leo jioni kisha nitaondoka kwenda kwangu kesho” Fatuma<br />
alimwambia Juma.<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(j) Akifisha sentensi hii iletee maana mbili tofauti. (al. 2)<br />
Baba Maria anakuja.<br />
.………………………………………………………………………………………………………..……
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(k) Changanua sentensi ifuatayo kwa jedwali. (a. 4)<br />
Mtoto mjeuri aliadhibiwa leo asubuhi.<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(l) Andika sentensi zifuatazo up<strong>ya</strong> kulingana na maagizo. (al. 2)<br />
(i) Ng’ombe walipopotea mchungaji alikuwa na wasiwasi.<br />
(Anza na: Kupotea)<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) Darasa lao halikuwa na milango mikubwa <strong>ya</strong> kupitia.(Anza: Milango mikubwa)<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(m) “NI” ina matumizi gani katika sentensi hizi;<br />
(al.3)<br />
(i) Eliza ni mpenzi wa Otieno.<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) Nitaenda Nairobi kesho.<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(iii) Ameingia chumbani.<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(n) Unda nomino kutokana na viarifa vifuatavyo.<br />
(al.2)<br />
(i) Andika<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) Fa<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(o) Tambulisha n<strong>ya</strong>kati au hali za sentensi zifuatazo.<br />
(al.2)<br />
(i) Naja<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) Nilikuwa nimeketi alipotembelea<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(p) Ainisha mofimu katika neno “LILILONG’OLEKA”<br />
(al.3)<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(q) Tunga sentensi ukitumia maneno <strong>ya</strong>fuatayo ili kutofautisha maana<br />
.(al.2)<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
8
(i) sisi<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(ii) zizi<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
(r ) Andika visawe viwili v<strong>ya</strong> neno tabibu. (al.1)<br />
………………………………………………………………………………………………………..……<br />
..……………………………………………………………………………………………………………<br />
4. ISIMU JAMII (ALAMA 10)<br />
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali <strong>ya</strong>nayofuata<br />
Kwa mujibu wa sheria kifungu nambari 3 sehemu <strong>ya</strong> A <strong>ya</strong> sheria za nchi, umepatikana na<br />
hatia <strong>ya</strong> kutatiza utulivu wa raia wapenda amani kwa kuwatusi na kutisha kuwapiga. Kiongozi wa<br />
mashtaka amethibitisha ha<strong>ya</strong> kwa kawaleta mashahidi ambao wametoa ushahidi usiotetereka kuhusu<br />
vitendo v<strong>ya</strong>o katika tukio hilo. Korti hii imeonelea una hatia na imeamua ufungwe jela kwa muda wa<br />
miaka miwili bila faini ili iwe funzo kwako na kwa wenzako wenye tabia kama zako. Una majuma<br />
mawili kukata rufani.<br />
(a) Lugha katika kifungu hiki hutumika katika muktadha upi?<br />
(al.1)<br />
…………………………………………………………………………………………………………<br />
(b) Toa ushahidi wa jibu lako.<br />
(al.3)<br />
…………………………………………………………………………………………………………<br />
…………………………………………………………………………………………………..……<br />
…………………………………………………………………………………………………………<br />
(c) Zaidi <strong>ya</strong> sifa zilizo katika kifungu hiki, eleza sifa zingine nne za matumizi <strong>ya</strong> lugha katika<br />
muktadha huu.<br />
(al.4)<br />
…………………………………………………………………………………………………………<br />
…………………………………………………………………………………………………..……<br />
…………………………………………………………………………………………………………<br />
……………………………………………………………………………………………………..……<br />
(d) Eleza maana <strong>ya</strong> sajili. (al. 2)<br />
…………………………………………………………………………………………………………<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
9
…………………………………………………………………………………………..……<br />
Download 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-oline.info<br />
10