15.01.2015 Views

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Jina: ……………………………………………………………………<br />

Nambari: ………...………<br />

Shule: ………………………………………………………………. Sahihi ....................................<br />

Tarehe: …………….....................................................................……<br />

102/3<br />

KISWAHILI<br />

FASIHI<br />

KARATASI YA 3<br />

JULAI/AGOSTI 2011<br />

MUDA:SAA 2 ½<br />

<strong>Hati</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kuhitimu</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sekondari</strong> Ken<strong>ya</strong>.( K.C.S.E)<br />

Kiswahili<br />

Fasihi<br />

MAAGIZO<br />

• Jibu maswali manne pekee<br />

• Swali la kwanza ni la lazima<br />

• Maswali hayo mengine matatu chagua kutoka sehemu nne zilizobaki <strong>ya</strong>ani, Riwa<strong>ya</strong> , Tathilia,<br />

Hadithi fupi na Fasihi Simulizi<br />

• Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.<br />

Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />

1


Karatasi hii ina kurasa 4 zilizopigwa chapa. Watahiniwa ni lazima waangalie kama kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na<br />

kuwa maswali yote <strong>ya</strong>mo.<br />

SEHEMU YA A : USHAIRI<br />

LAZIMA<br />

Soma shairi ulilopewa kwa makini kisha ujibu maswali (ala. 20)<br />

1. Binadamu hatosheki, ni kiumbe chenye zani ,kweli mja hapendeki,<br />

Kwa kweli haaminiki,hila ameficha ndani,la wazi ni unafiki,<br />

Ukweliwe haafiki, njama zake zi moyoni,usimwone ni rafiki,<br />

Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake,ni hatari kama nyoka.<br />

Maswali<br />

Wengine watakuua,wakiona una pesa,hata zikiwa kidogo,<br />

Hizo kwao ni maua,hupupiwa zikatesa,wakizifuata n<strong>ya</strong>go,<br />

Hadi kwenye wako ua, pasipo hata kupesa, wala kukupa kisogo,<br />

Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />

Pindi kinunua kitu, hafurahi shaitani, bali tajawa chukizo,<br />

Mtu akiwa mtukutu, tanuna mtimani,kwalo lako tekelezo,<br />

Tamko lake “Subutu”, kuondoa tumaini, na kukuulia wazo<br />

Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />

Aliye na talaghani, taabu kuishi naye,kazi <strong>ya</strong>ke kujidai,<br />

Takusema faraghani, asosema kiwa naye, kupendeza maadui,<br />

Hana faida nyumbani, ni mtu akuchimbaye, mradi asitamai.<br />

Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />

Kwa hakika ni balaa, kumkirimu mchawi, aliyejaa uchoyo,<br />

Bahati ina hadaa, kukupa alo sodawi,aibatili rohoni,<br />

Mipangoyo kwake jaa, na nia <strong>ya</strong> ustawi, huwiza kuvunja kaniyo,<br />

Mtu kuwa tamaa, akitaka kiso chake,ni hatari kama nyoka.<br />

Ninacho changu kilio, ninalia sana sana, kinyesi nimetupiwa,<br />

Ningetoa azimio, lakini uwezo sina, kwa mazito kuambiwa,<br />

Ama nitumue mbio, fuadini ninanena, akilini nazuiwa,<br />

Mtu kuwa tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />

(a) Toa kichwa cha shairi hili. (ala. 1)<br />

(b) Eleza sababu za mtunzi kulalamika katika shairi hili. ( ala. 3)<br />

(c) Eleza muundo wa shairi hili.<br />

(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha <strong>ya</strong> nathari<br />

Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />

2<br />

(ala.4)<br />

( ala.4<br />

(e) Taja na utoe mifano <strong>ya</strong> aina mbili za tamathali za usemi zilizotumiwa katika shairi hili. (ala.4)<br />

(f) Toa mifano miwili tofauti <strong>ya</strong> uhuru wa kishairi katika shairi hili. (ala 2)<br />

(g) Eleza maana <strong>ya</strong> msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa katika shairi.<br />

(i) Zani<br />

(ala.2)


(ii) Taraghani<br />

SEHEMU YA B: THAMTHILIA<br />

KIFO KISIMANI: Kithaka wa Mberia<br />

Jibu swali la 2 au la 3<br />

2 “Mara nyingi vijana hujishughulisha na mambo <strong>ya</strong> kibinafsi…. Hufuata mkondo wa anasa”<br />

a) Eleza muktadha wa maneno ha<strong>ya</strong>. (ala.4)<br />

b) Thibitisha ukweli wa dondoo hili ukirejelea matukio katika tamthilia nzima (al. 6)<br />

c) Fafanua mchango wa vijana katika kupigania umma . (ala 10)<br />

3. Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha jinsi mbinu hizi zilivyotumiwa katika tamthili <strong>ya</strong><br />

‘kifo kisimani’<br />

(i) Kejeli (ala. 10)<br />

(ii) Taharuki.<br />

(ala.10)<br />

SEHEMU YA C : RIWAYA<br />

UTENGANO : S.A Mohamed<br />

Jibu swali la 4 au la 5<br />

4. Jumuia <strong>ya</strong> utengano ni taswira mwafaka <strong>ya</strong> utovu wa maadili katika jamii. Jadili. (ala 20)<br />

5. “ Mabadiliko ni maumbile… ni sheria na kanuni inayoendesha ulimwengu huu. Na papo<br />

mwanadamu hu<strong>ya</strong>onea mabadiliko ajabu”<br />

a) Eleza muktadha wa maneno ha<strong>ya</strong>. (ala 4).<br />

b) Ni tamathali gani iliyotumika katika dondoo hili Tamathali hii ina umuhimu gani (ala. 4)<br />

c) Eleza sifa za mrejelewa katika dondoo hili (ala 4)<br />

d) Huku ukirejelea matukio katika riwa<strong>ya</strong> nzima thibitisha kuwa mabadiliko ni sheria<br />

na kanuni inayoendeesha ulimwengu huu (al. 8)<br />

SEHEMU YA D:<br />

6. Mkimbizi J. Habwe<br />

“Wakati huu baba alikuwa ametoroka. Mama alitufahamisha kuwa alikuwa amwekwenda<br />

kupigana. Kumbe wakati wote huo baba alikuwa mwanamgambo na ni mama tu aliyejua”<br />

(a) Eleza muktadha wa maneno ha<strong>ya</strong>.<br />

(ala.4)<br />

Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />

3


(b) Eleza tamathali moja iliyotumika katika dondoo hili.<br />

(c) Huku ukirejelea hadithi nzima fafanua madhara <strong>ya</strong> vita.<br />

(ala.2)<br />

(ala.14)<br />

FASIHI SIMULIZI.<br />

7. a) Ni nini maana ua utafiti wa n<strong>ya</strong>njani (ala. 2)<br />

b) Wanafunzi wa shule yenu wanapanga kwenda Lodwar kukusan<strong>ya</strong> hadithi <strong>ya</strong> jamii <strong>ya</strong><br />

waturkana.<br />

(i) Taja hatua mtakazofuata katika utafiti wenu. (ala. 8)<br />

(ii) Eleza mbinu zozote mbili mtakazotumia kukusan<strong>ya</strong> data. (ala 4)<br />

(iii) Ni matatizo gani mnayoweza kukumbana nayo (ala. 6)<br />

Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!