Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online
Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online
Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) - KCSE Online
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jina: ……………………………………………………………………<br />
Nambari: ………...………<br />
Shule: ………………………………………………………………. Sahihi ....................................<br />
Tarehe: …………….....................................................................……<br />
102/3<br />
KISWAHILI<br />
FASIHI<br />
KARATASI YA 3<br />
JULAI/AGOSTI 2011<br />
MUDA:SAA 2 ½<br />
<strong>Hati</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kuhitimu</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sekondari</strong> Ken<strong>ya</strong>.( K.C.S.E)<br />
Kiswahili<br />
Fasihi<br />
MAAGIZO<br />
• Jibu maswali manne pekee<br />
• Swali la kwanza ni la lazima<br />
• Maswali hayo mengine matatu chagua kutoka sehemu nne zilizobaki <strong>ya</strong>ani, Riwa<strong>ya</strong> , Tathilia,<br />
Hadithi fupi na Fasihi Simulizi<br />
• Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.<br />
Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />
1
Karatasi hii ina kurasa 4 zilizopigwa chapa. Watahiniwa ni lazima waangalie kama kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na<br />
kuwa maswali yote <strong>ya</strong>mo.<br />
SEHEMU YA A : USHAIRI<br />
LAZIMA<br />
Soma shairi ulilopewa kwa makini kisha ujibu maswali (ala. 20)<br />
1. Binadamu hatosheki, ni kiumbe chenye zani ,kweli mja hapendeki,<br />
Kwa kweli haaminiki,hila ameficha ndani,la wazi ni unafiki,<br />
Ukweliwe haafiki, njama zake zi moyoni,usimwone ni rafiki,<br />
Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake,ni hatari kama nyoka.<br />
Maswali<br />
Wengine watakuua,wakiona una pesa,hata zikiwa kidogo,<br />
Hizo kwao ni maua,hupupiwa zikatesa,wakizifuata n<strong>ya</strong>go,<br />
Hadi kwenye wako ua, pasipo hata kupesa, wala kukupa kisogo,<br />
Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />
Pindi kinunua kitu, hafurahi shaitani, bali tajawa chukizo,<br />
Mtu akiwa mtukutu, tanuna mtimani,kwalo lako tekelezo,<br />
Tamko lake “Subutu”, kuondoa tumaini, na kukuulia wazo<br />
Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />
Aliye na talaghani, taabu kuishi naye,kazi <strong>ya</strong>ke kujidai,<br />
Takusema faraghani, asosema kiwa naye, kupendeza maadui,<br />
Hana faida nyumbani, ni mtu akuchimbaye, mradi asitamai.<br />
Mtu kuwa na tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />
Kwa hakika ni balaa, kumkirimu mchawi, aliyejaa uchoyo,<br />
Bahati ina hadaa, kukupa alo sodawi,aibatili rohoni,<br />
Mipangoyo kwake jaa, na nia <strong>ya</strong> ustawi, huwiza kuvunja kaniyo,<br />
Mtu kuwa tamaa, akitaka kiso chake,ni hatari kama nyoka.<br />
Ninacho changu kilio, ninalia sana sana, kinyesi nimetupiwa,<br />
Ningetoa azimio, lakini uwezo sina, kwa mazito kuambiwa,<br />
Ama nitumue mbio, fuadini ninanena, akilini nazuiwa,<br />
Mtu kuwa tamaa, akitaka kiso chake, ni hatari kama nyoka.<br />
(a) Toa kichwa cha shairi hili. (ala. 1)<br />
(b) Eleza sababu za mtunzi kulalamika katika shairi hili. ( ala. 3)<br />
(c) Eleza muundo wa shairi hili.<br />
(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha <strong>ya</strong> nathari<br />
Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />
2<br />
(ala.4)<br />
( ala.4<br />
(e) Taja na utoe mifano <strong>ya</strong> aina mbili za tamathali za usemi zilizotumiwa katika shairi hili. (ala.4)<br />
(f) Toa mifano miwili tofauti <strong>ya</strong> uhuru wa kishairi katika shairi hili. (ala 2)<br />
(g) Eleza maana <strong>ya</strong> msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa katika shairi.<br />
(i) Zani<br />
(ala.2)
(ii) Taraghani<br />
SEHEMU YA B: THAMTHILIA<br />
KIFO KISIMANI: Kithaka wa Mberia<br />
Jibu swali la 2 au la 3<br />
2 “Mara nyingi vijana hujishughulisha na mambo <strong>ya</strong> kibinafsi…. Hufuata mkondo wa anasa”<br />
a) Eleza muktadha wa maneno ha<strong>ya</strong>. (ala.4)<br />
b) Thibitisha ukweli wa dondoo hili ukirejelea matukio katika tamthilia nzima (al. 6)<br />
c) Fafanua mchango wa vijana katika kupigania umma . (ala 10)<br />
3. Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha jinsi mbinu hizi zilivyotumiwa katika tamthili <strong>ya</strong><br />
‘kifo kisimani’<br />
(i) Kejeli (ala. 10)<br />
(ii) Taharuki.<br />
(ala.10)<br />
SEHEMU YA C : RIWAYA<br />
UTENGANO : S.A Mohamed<br />
Jibu swali la 4 au la 5<br />
4. Jumuia <strong>ya</strong> utengano ni taswira mwafaka <strong>ya</strong> utovu wa maadili katika jamii. Jadili. (ala 20)<br />
5. “ Mabadiliko ni maumbile… ni sheria na kanuni inayoendesha ulimwengu huu. Na papo<br />
mwanadamu hu<strong>ya</strong>onea mabadiliko ajabu”<br />
a) Eleza muktadha wa maneno ha<strong>ya</strong>. (ala 4).<br />
b) Ni tamathali gani iliyotumika katika dondoo hili Tamathali hii ina umuhimu gani (ala. 4)<br />
c) Eleza sifa za mrejelewa katika dondoo hili (ala 4)<br />
d) Huku ukirejelea matukio katika riwa<strong>ya</strong> nzima thibitisha kuwa mabadiliko ni sheria<br />
na kanuni inayoendeesha ulimwengu huu (al. 8)<br />
SEHEMU YA D:<br />
6. Mkimbizi J. Habwe<br />
“Wakati huu baba alikuwa ametoroka. Mama alitufahamisha kuwa alikuwa amwekwenda<br />
kupigana. Kumbe wakati wote huo baba alikuwa mwanamgambo na ni mama tu aliyejua”<br />
(a) Eleza muktadha wa maneno ha<strong>ya</strong>.<br />
(ala.4)<br />
Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />
3
(b) Eleza tamathali moja iliyotumika katika dondoo hili.<br />
(c) Huku ukirejelea hadithi nzima fafanua madhara <strong>ya</strong> vita.<br />
(ala.2)<br />
(ala.14)<br />
FASIHI SIMULIZI.<br />
7. a) Ni nini maana ua utafiti wa n<strong>ya</strong>njani (ala. 2)<br />
b) Wanafunzi wa shule yenu wanapanga kwenda Lodwar kukusan<strong>ya</strong> hadithi <strong>ya</strong> jamii <strong>ya</strong><br />
waturkana.<br />
(i) Taja hatua mtakazofuata katika utafiti wenu. (ala. 8)<br />
(ii) Eleza mbinu zozote mbili mtakazotumia kukusan<strong>ya</strong> data. (ala 4)<br />
(iii) Ni matatizo gani mnayoweza kukumbana nayo (ala. 6)<br />
Free 2011 kcse mock past papers @ www.kcse-online.info<br />
4