08.03.2015 Views

Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano na Wamiliki ... - Tamongsco

Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano na Wamiliki ... - Tamongsco

Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano na Wamiliki ... - Tamongsco

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Hotuba</strong> <strong>ya</strong> <strong>Rais</strong> <strong>Kikwete</strong> <strong>kwenye</strong> <strong>mkutano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wamiliki</strong><br />

wa Shule bi<strong>na</strong>fsi<br />

HOTUBA YA MGENI RASMI MH. DK. JAKAYA MRISHO<br />

KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA<br />

TANZANIA, WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO<br />

MKUU MAALUM WA TAMONGSCO, TAREHE 29<br />

APRILI, 2013, UKUMBI WA MKAPA, MBEYA.<br />

Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa, Waziri wa Elimu <strong>na</strong> Mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi; Mhe Abbasi Kandoro, Mkuu wa Mkoa wa<br />

Mbe<strong>ya</strong>;<br />

Ndugu M.A.K Mringo, Mwenyekiti wa TAMONGSCO;<br />

Bw. Joseph Patel, <strong>Rais</strong> wa Shirikisho la Shule Zisizo za Serikali za Malawi (ISAMA);<br />

Mwakilishi wa Benki <strong>ya</strong> Afrika;<br />

Viongozi <strong>na</strong> Watendaji waiki <strong>na</strong> Mameneja wa Shule <strong>na</strong> Vyuo visivyo v<strong>ya</strong> Serikali;<br />

Wageni Waalikwa;<br />

Mabibi <strong>na</strong> Mabwa<strong>na</strong>:<br />

Shukrani<br />

Nakushukuru sa<strong>na</strong> ndugu Mringo, Mwenyekiti wa TAMONGSCO <strong>na</strong> viongozi wenzako kwa kunialika <strong>na</strong><br />

kunishirikisha <strong>kwenye</strong> <strong>mkutano</strong> huu muhimu wa taasisi yenu. Nimefurahishwa <strong>na</strong> kauli mbiu yenu i<strong>na</strong>yosema<br />

“Changamoto <strong>na</strong> fursa zilizopo katika ushirikiano bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> umma <strong>na</strong> isiyo <strong>ya</strong> umma katika utoaji wa elimu<br />

bora”. Ni kauli mbiu muafaka kabisa kwani ili elimu nchini iweze kuwa bora hatu<strong>na</strong> budi kuzitambua changamoto<br />

zilizopo <strong>na</strong> kuzitafutia ufumbuzi. Maendeleo maa<strong>na</strong> <strong>ya</strong>ke ni kuzitafutia ufumbuzi changamoto au mambo<br />

<strong>ya</strong><strong>na</strong>yokuwa vikwazo v<strong>ya</strong> maendeleo. Mimi <strong>na</strong> wenzangu tu<strong>na</strong>subiri kwa hamu mapendekezo <strong>ya</strong> kuondoa<br />

changamoto hizo mtakayo<strong>ya</strong>toa mwishoni mwa <strong>mkutano</strong> wenu.<br />

Pamoja <strong>na</strong> hayo <strong>na</strong>penda kuwahakikishia kuwa sisi katika Serikali tu<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthamini sa<strong>na</strong> ushirikiano uliopo<br />

bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong>ke <strong>na</strong> ninyi wamiliki <strong>na</strong> waendeshaji wa shule bi<strong>na</strong>fsi nchini.<br />

Kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> <strong>ya</strong> pekee <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong> kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ambayo m<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali kuendeleza elimu nchini.<br />

Tutafan<strong>ya</strong> kila tuwezalo kuudumisha <strong>na</strong> kuuboresha ushirikiano wetu huu.<br />

Umuhimu wa Elimu<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Tangu uhuru wa nchi yetu, maendeleo <strong>ya</strong> elimu imekuwa suala kubwa <strong>na</strong> la kipaumbele cha juu. Baba wa<br />

Taifa Mwalimu Julius Nyerere alitaja maadui watatu wa maendeleo <strong>ya</strong> taifa letu kuwa ni ujinga, umaskini <strong>na</strong> maradhi.<br />

Bado hao wameendelea kuwa maadui wa maendeleo yetu mpaka sasa. Sera, mipango <strong>na</strong> mikakati mbalimbali<br />

i<strong>na</strong>yobuniwa <strong>na</strong> kutekelezwa nchini tangu Serikali <strong>ya</strong> Awamu <strong>ya</strong> Kwanza mpaka hii <strong>ya</strong> Awamu <strong>ya</strong> Nne i<strong>na</strong> shabaha<br />

<strong>ya</strong> kuwashinda maadui hao.<br />

Ninyi <strong>na</strong> mimi ni mashahidi kuhusu mafanikio tuliyo<strong>ya</strong>pata <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>yoendelea kupata katika vita hivi. Hata hivyo, bado<br />

tu<strong>na</strong>yo safari ndefu mbele yetu. Te<strong>na</strong> safari hiyo i<strong>na</strong> milima mirefu <strong>ya</strong> kupanda <strong>na</strong> miteremko mikali. Kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

changamoto hizo ni jukumu la Serikali, wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> wadau mbalimbali wa hapa nchini <strong>na</strong> hata nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> hivi karibuni, Serikali kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau mbalimbali hususan TAMONGSCO<br />

imeongeza sa<strong>na</strong> uwekezaji katika maendeleo <strong>ya</strong> elimu nchini. Matokeo <strong>ya</strong>ke ni kuwa tumepanua sa<strong>na</strong> fursa za elimu<br />

<strong>ya</strong> awali, msingi, sekondari, ufundi <strong>na</strong> elimu juu. Hivi sasa tu<strong>na</strong>o watoto 1,034,729 katika madarasa <strong>ya</strong> awali jambo<br />

ambalo halikuwepo wakati wa ukoloni. Ni Sera <strong>ya</strong> Serikali kwamba kila shule <strong>ya</strong> msingi iwe <strong>na</strong> madarasa <strong>ya</strong> awali<br />

sera ambayo imekuwa i<strong>na</strong>tekelezwa vizuri.<br />

Kwa upande wa elimu <strong>ya</strong> msingi idadi <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi imeongezeka kutoka 486,470mwaka 1961 hadi 8,247,172<br />

mwaka 2012. Hivyo hivyo, kwa upande wa elimu <strong>ya</strong> sekondari ambapo idadi <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi iliongezeka kutoka 11,832<br />

mwaka 1961 hadi 1,884,272mwaka 2012. Kwa upande wa elimu <strong>ya</strong> juu tumetoka kuwa nchi isiyokuwa <strong>na</strong> chuo kikuu<br />

hata kimoja <strong>na</strong> wahitimu wasiozidi 10 hadi kuwa <strong>na</strong> vyuo vikuu 48 vyenye wa<strong>na</strong>funzi 166,484 mwaka 2012.


Ndugu Mwenyekiti;<br />

Ha<strong>ya</strong> ni mafanikio makubwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> <strong>ya</strong> kujivunia. Maendeleo <strong>ya</strong> elimu tangu uhuru mpaka sasa <strong>ya</strong>lipitia hatua<br />

mbalimbali. Tulirithi kutoka ukoloni mfumo wa elimu ambao Serikali Kuu haikuwa imejihusisha v<strong>ya</strong> kutosha <strong>na</strong> ujenzi<br />

wa shule <strong>na</strong> kuwapatia wa<strong>na</strong>nchi elimu. Hilo liliachiwa Serikali za Mitaa (Native Authority), Wamisio<strong>na</strong>ri <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi<br />

wenyewe pale ambapo walikuwa <strong>na</strong> mwamko wa elimu. Baada <strong>ya</strong> uhuru, Serikali Kuu ikaanza kujihusisha kwa<br />

ukamilifu katika ujenzi <strong>na</strong> uendeshaji wa shule. Ilitaifisha shule za mashirika <strong>ya</strong> dini <strong>na</strong> kujenga nyingine. Mwaka<br />

1974, ukaanzishwa Mpango wa Elimu <strong>ya</strong> Msingi kwa Wote (UPE) uliowezesha upanuzi mkubwa wa elimu <strong>ya</strong> msingi<br />

kwa kila kijiji kuwa <strong>na</strong> shule <strong>ya</strong>ke. Mwaka 2005, Serikali iliamua kuanza upanuzi mkubwa wa elimu <strong>ya</strong> sekondari kwa<br />

ujenzi wa shule za sekondari kwa kila Kata. Tulilazimika kufan<strong>ya</strong> hivyo kwa sababu fursa za vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>omaliza<br />

elimu <strong>ya</strong> msingi kuendelea <strong>na</strong> elimu <strong>ya</strong> sekondari zilikuwa finyu mno.<br />

Mwaka 1998, Serikali ilifan<strong>ya</strong> uamuzi wa msingi wa kutoa fursa kwa sekta bi<strong>na</strong>fsi kuwekeza katika maendeleo <strong>ya</strong><br />

elimu nchini. Uamuzi huo ulitoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutambua ukweli kuwa Serikali ikishirikisha <strong>na</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi<br />

itasaidia sa<strong>na</strong> kupanua fursa za elimu nchini. Napenda kutumia <strong>na</strong>fasi hii kutoa pongezi maalum kwa sekta bi<strong>na</strong>fsi<br />

kwa kuupokea vizuri uamuzi huo <strong>na</strong> kuchukua hatua thabiti <strong>na</strong> kuwekeza katika ujenzi wa shule za awali, msingi <strong>na</strong><br />

sekondari pamoja <strong>na</strong> vyuo v<strong>ya</strong> ufundi, ualimu <strong>na</strong> elimu <strong>ya</strong> juu. Ni ukweli ulio wazi kuwa mchango wa sekta bi<strong>na</strong>fsi<br />

umeliwezesha taifa kupata mafanikio tu<strong>na</strong>yojivunia leo.<br />

Napenda kutumia <strong>na</strong>fasi hii kutoa pongezi zangu za dhati kwa kazi nzuri iliyofanywa <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yoendelea kufanywa <strong>na</strong><br />

sekta bi<strong>na</strong>fsi katika maendeleo <strong>ya</strong> elimu nchini. Mmekuwa m<strong>na</strong>toa mchango mkubwa <strong>na</strong> wenye manufaa makubwa<br />

kwa taifa. Nawashukuru kwa kupanua fursa za elimu kwa Watanzania <strong>na</strong> hasa kwa ubora wa elimu i<strong>na</strong>yotolewa.<br />

Nawaomba muendelee <strong>na</strong> moyo huo. Nawahakikshia ushirikiano wangu <strong>na</strong> ule wa Serikali ili kuwawezesha<br />

mtekeleze malengo yenu.<br />

Majibu <strong>ya</strong> Risala<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Mchakato wa kutunga Sera Mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Elimu baada <strong>ya</strong> ile <strong>ya</strong> mwaka 1995, umefikia katika hatua za mwisho.<br />

Ki<strong>na</strong>chosubiriwa sasa ni maoni <strong>ya</strong> Wabunge ili Sera ikamilishwe. Naamini kabla <strong>ya</strong> mwisho wa mwaka huu Sera<br />

itakuwa ta<strong>ya</strong>ri kutumika. Tu<strong>na</strong>amini kuwa Sera hiyo mp<strong>ya</strong> italeta mabadiliko katika uendeshaji wa mifumo yetu <strong>ya</strong><br />

elimu hapa nchini. Itatoa majibu kwa maswali mengi mliyo<strong>ya</strong>uliza. Aidha, <strong>na</strong>fasi <strong>ya</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi katika kuchangia<br />

maendeleo <strong>ya</strong> elimu nchini itafafanuliwa kwa upa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ki<strong>na</strong> zaidi.<br />

Wakati huo huo Wizara <strong>ya</strong> Elimu <strong>na</strong> Mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi kupitia Taasisi <strong>ya</strong> Elimu Tanzania itaanza maandalizi <strong>ya</strong><br />

kupitia up<strong>ya</strong> mitaala <strong>ya</strong> elimu nchini ili <strong>na</strong>yo ilingane <strong>na</strong> malengo <strong>ya</strong> Sera Mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Elimu. Mitaala itakayoenda<br />

sambamba <strong>na</strong> hali <strong>ya</strong> sasa <strong>na</strong> mahitaji <strong>ya</strong> maendeleo nchini <strong>na</strong> duniani. Napenda kuwahakikishia kuwa kutakuwepo<br />

<strong>na</strong> ushirikishaji wa wadau mbalimbali, wakiwemo wa sekta bi<strong>na</strong>fsi katika zoezi hilo.<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Uimarishaji wa Idara <strong>ya</strong> Ukaguzi wa Elimu nchini utapewa kipaumbele cha juu. Tu<strong>na</strong>tambua kuwa hali ilivyo<br />

sasa hairidhishi hata kidogo <strong>na</strong> kwamba zipo changamoto nyingi ambazo lazima zipatiwe ufumbuzi. Serikali imeanza<br />

<strong>na</strong> i<strong>na</strong>endelea kuchukua hatua thabiti za kuimarisha ukaguzi wa shule <strong>na</strong> vyuo hapa nchini. Miongoni mwa mambo<br />

<strong>ya</strong><strong>na</strong>yofikiriwa kufanywa ni kuibadili Idara <strong>ya</strong> Ukaguzi kuwa taasisi i<strong>na</strong>yojitegemea <strong>na</strong> kuiwezesha kwa rasilimali<br />

watu, vitendea kazi <strong>na</strong> fedha. Naamini tutaimarisha utendaji wa kazi <strong>ya</strong> ukaguzi <strong>na</strong> matokeo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>taoneka<strong>na</strong> kwa<br />

muda mfupi.<br />

Pamoja <strong>na</strong> juhudi hizo, <strong>na</strong>penda kuwakumbusha kuwa Mkaguzi wa kwanza wa shule ni Mkuu wa Shule. Yeye ndiye<br />

mwenye jukumu la kuhakikisha shule a<strong>na</strong>yoiongoza i<strong>na</strong>fuata miongozo iliyopo <strong>na</strong> i<strong>na</strong>kidhi viwango v<strong>ya</strong> ubora<br />

vilivyowekwa. Naomba jukumu hili mlitekeleze ipasavyo. <strong>Wamiliki</strong> ndiyo wakaguzi wakuu wa kwanza.<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Mabibi <strong>na</strong> Mabwa<strong>na</strong>;<br />

Nimesikia kilio chenu kuhusu utekelezaji wa sheria za kodi <strong>na</strong> gharama za kibali cha mgeni kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

nchini. Kuhusu kodi, tutaangalia <strong>na</strong>m<strong>na</strong> <strong>ya</strong> kupunguza urasimu katika utoaji wa misamaha <strong>ya</strong> kodi iliyoruhusiwa<br />

kisheria. Tutazielekeza mamlaka zi<strong>na</strong>zohusika <strong>ya</strong>ani Hazi<strong>na</strong> <strong>na</strong> TRA kuweka mfumo mzuri katika kutekeleza wajibu<br />

wake. Ni<strong>na</strong>waomba <strong>na</strong> nyie mhakikishe kuwa taarifa zi<strong>na</strong>zotakiwa zi<strong>na</strong>tolewa kwa usahihi. Wakati mwingine<br />

usumbufu m<strong>na</strong>oupata u<strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hoja <strong>ya</strong> TRA kujiridhisha kabla <strong>ya</strong> kutoa misamaha. Bila hivyo, taasisi<br />

zisizostahili zitajipenyeza kwa nia <strong>ya</strong> kujinufaisha kinyume cha sheria. Nakubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong>nyi kuwa ipo haja <strong>ya</strong> kupitia<br />

up<strong>ya</strong> tozo <strong>ya</strong> vibali v<strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi kwa waalimu kutoka nchi za Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki, hususan wa fani<br />

ambazo tu<strong>na</strong>o upungufu mkubwa.<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Nimesikiliza kwa makini sa<strong>na</strong> hoja yenu <strong>ya</strong> kutaka kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> msongamano wa<br />

wa<strong>na</strong>funzi katika baadhi <strong>ya</strong> shule zake. Natambua kwamba wakati Serikali i<strong>na</strong>hangaika kupunguza msongamano


katika shule zake, baadhi <strong>ya</strong> shule zenu zi<strong>na</strong> madarasa <strong>ya</strong>liyo wazi <strong>na</strong> zingependa kuletewa wa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> Serikali.<br />

Pamoja <strong>na</strong> uzuri wake, suala hili li<strong>na</strong> changamoto zake kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli kwamba gharama katika shule zenu ni<br />

kubwa hivyo wazazi au Serikali hatutaweza kumudu.<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Ni<strong>na</strong>lo ombi moja kwenu ambalo <strong>na</strong>penda mlijadili <strong>kwenye</strong> <strong>mkutano</strong> wenu. Ombi lenyewe sio geni, li<strong>na</strong>husu<br />

ada kubwa zi<strong>na</strong>zotozwa <strong>na</strong> shule au vyuo vyenu. Wapo wa<strong>na</strong>nchi wengi ambao wangependa sa<strong>na</strong> kunufaika <strong>na</strong><br />

elimu nzuri m<strong>na</strong>yoitoa lakini wa<strong>na</strong>shindwa kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ada i<strong>na</strong>yotozwa kuwa kubwa. Sisemi ada zenu zifa<strong>na</strong>ne <strong>na</strong><br />

za shule za Serikali, lakini baadhi <strong>ya</strong> shule <strong>na</strong> vyuo vyenu vi<strong>na</strong>lalamikiwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kwa kutoza ada kubwa <strong>na</strong><br />

kwamba hazitabiriki kwani hupandishwa wakati wowote.<br />

Serikali kupitia Wizara <strong>ya</strong> Elimu <strong>na</strong> Mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi imelio<strong>na</strong> hilo, <strong>na</strong> imeamua kulifanyia kazi . Tathmini <strong>ya</strong><br />

gharama halisi za uendeshaji kwa mwa<strong>na</strong>funzi (student unit cost) itafanywa ili kutoa ushauri stahiki kwa wamiliki wote<br />

wa shule au vyuo kuhusu kiwango. Elimu ni huduma muhimu <strong>na</strong> haki kwa mtoto. Si vyema kugeuzwa kuwa ni<br />

biashara <strong>ya</strong> kuleta faida kubwa. Hadi sasa uthamini kwa vyuo v<strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> juu imeshafanyika <strong>na</strong> mapendekezo <strong>ya</strong><br />

gharama halisi <strong>ya</strong>meandaliwa. Aidha, hatua za kumpata mtaalamu elekezi zimefanyika kwa ajili <strong>ya</strong> kutathmini<br />

gharama za uendeshaji kwa shule a sekondari.<br />

Ahadi <strong>ya</strong> Serikali<br />

Ndugu Mwenyekiti;<br />

Napenda kuwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuwaunga mkono <strong>na</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>nyi ili kuwawezesha<br />

vija<strong>na</strong> wengi zaidi wa Kitanzania kupata elimu. Tutaendelea kupokea <strong>na</strong> kufanyia kazi ushauri wenu ili kuboresha<br />

zaidi mazingira <strong>ya</strong> uwekezaji <strong>kwenye</strong> sekta <strong>ya</strong> elimu. Mambo mliyo<strong>ya</strong>eleza katika risala yenu nime<strong>ya</strong>sikia. Na<br />

tuta<strong>ya</strong>fanyia kazi. Mengine tulisha<strong>ya</strong>zungumza <strong>na</strong> viongozi wenu kabla <strong>ya</strong> kuja hapa. Watawaeleza kwa kirefu.<br />

Naomba mfanye jitihada zaidi kujenga shule za mafunzo <strong>ya</strong> ufundi <strong>na</strong> stadi za kazi. Wahitimu wa shule hizi<br />

wa<strong>na</strong>pata kazi kirahisi katika soko la ajira <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>weza kujiajiri wenyewe kwa urahisi.<br />

Pongezi Kwa Wizara <strong>na</strong> <strong>Wamiliki</strong> wa Shule <strong>na</strong> Vyuo<br />

Kabla <strong>ya</strong> kumaliza <strong>na</strong>penda kutambua <strong>na</strong> kumshukuru Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa, Naibu wake,<br />

Katibu Mkuu <strong>na</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi wote wa Wizara <strong>ya</strong> Elimu <strong>na</strong> Mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi kwa juhudi zao za kusimamia sekta <strong>ya</strong><br />

elimu nchini. Ni kazi ngumu, yenye changamoto zake nyingi, hususan katika kipindi hiki ambacho mahitaji <strong>ya</strong> elimu<br />

ni makubwa sa<strong>na</strong>. Lakini wenzetu hawa wa<strong>na</strong>tekeleza majukumu <strong>ya</strong>o kwa bidii <strong>na</strong> maarifa. Asanteni sa<strong>na</strong>.<br />

Nawashukuru pia wamiliki wa shule <strong>na</strong> vyuo kwa kazi nzuri m<strong>na</strong>yoifan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kuelimisha Watanzania. Naomba<br />

muendelee kuwa mstari wa mbele kusimamia utekelezaji wa sera <strong>ya</strong> elimu, miongozo mbalimbali iliyotolewa pamoja<br />

<strong>na</strong> sheria zi<strong>na</strong>zosimamia utoaji <strong>na</strong> uendeshaji wa elimu nchini. Kazi <strong>ya</strong> kutoa elimu kwa Watanzania ni yetu sote.<br />

Tuifanye kwa umakini <strong>na</strong> weledi wa hali <strong>ya</strong> juu.<br />

Mwisho<br />

Baada <strong>ya</strong> kusema hayo, <strong>na</strong>washukuru sa<strong>na</strong> kwa kunialika. Nawatakia kila la heri <strong>na</strong> mafanikio tele.<br />

Asanteni kwa kunisikiliza.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!