30.01.2013 Views

hotuba ya ufunguzi wa kikao cha wadau wanaotoa huduma mkoani ...

hotuba ya ufunguzi wa kikao cha wadau wanaotoa huduma mkoani ...

hotuba ya ufunguzi wa kikao cha wadau wanaotoa huduma mkoani ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

HOTUBA YA UFUNGUZI WA KIKAO CHA WADAU WANAOTOA<br />

HUDUMA MKOANI DAR ES SALAAM ILIYOTOLEWA NA<br />

KAIMU MKUU WA MKOA TAREHE 29 SEPTEMBA, 2008<br />

KWENYE UKUMBI WA KARIMJEE<br />

Ndugu Katibu Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Mkoa.<br />

Mkurugenzi <strong>wa</strong> Jiji.<br />

Wakurugenzi <strong>wa</strong> Manispaa.<br />

Viongozi <strong>wa</strong> Mashirika <strong>ya</strong> Umma na Taasisi za Serikali.<br />

Viongozi <strong>wa</strong> Madhehebu <strong>ya</strong> dini.<br />

Wa<strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong> Mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kiserikali.<br />

Wa<strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong> Vyombo v<strong>ya</strong> Habari.<br />

Maafisa <strong>wa</strong> Sekretarieti <strong>ya</strong> Mkoa na Halmashauri.<br />

Mabibi na mab<strong>wa</strong>na.<br />

A<strong>wa</strong>li <strong>ya</strong> yote, nashukuru k<strong>wa</strong> kunipa heshima kuja ku<strong>wa</strong>fungulia<br />

Mkutano huu muhimu k<strong>wa</strong> maendeleo <strong>ya</strong> Mkoa. Ninyi ni <strong>wa</strong>dau<br />

muhimu sana katika kutoa <strong>huduma</strong> mbalimbali k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi.<br />

Hivyo kukutana pamoja na kuelezana kila mmoja anafan<strong>ya</strong> nini<br />

kutasaidia sana kuboresha ufanisi <strong>wa</strong> utoaji <strong>huduma</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>nanchi wetu ambao ndiyo matarajio <strong>ya</strong>o.<br />

Kabla <strong>ya</strong> muundo mp<strong>ya</strong> <strong>wa</strong> Ta<strong>wa</strong>la za Mikoa Tanzania Bara<br />

ulioanza kutekelez<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 1997, huko nyuma chini <strong>ya</strong><br />

madaraka mikoani kuliku<strong>wa</strong> na <strong>kikao</strong> rasmi (Forum) kilichoku<strong>wa</strong><br />

kikijulikana kama timu <strong>ya</strong> Menejimenti <strong>ya</strong> Mkoa (Regional<br />

Management Team – RMT) <strong>kikao</strong> hicho kiliku<strong>wa</strong> kiki<strong>wa</strong>kutanisha<br />

<strong>wa</strong>dau kujadili masuala <strong>ya</strong> maendeleo kabla <strong>ya</strong> ku<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong><br />

kwenye kamati <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mkoa (RDC). Waliweza<br />

ku<strong>cha</strong>mbua na kuelezana mambo mengi <strong>ya</strong> maendeleo.<br />

1


Siku hizi <strong>kikao</strong> kama hicho hakipo k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> madaraka mengi<br />

zimepe<strong>wa</strong> mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri) ambazo<br />

ndizo zenye Kamati mbalimbali za kudumu pamoja na Baraza la<br />

Madi<strong>wa</strong>ni kupitia <strong>wa</strong><strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Serikali Kuu ngazi <strong>ya</strong> Mkoa kuna vikao v<strong>ya</strong> Kamati<br />

<strong>ya</strong> Ushauri za Wila<strong>ya</strong> (DCC) na Kamati <strong>ya</strong> Ushauri <strong>ya</strong> Mkoa (RCC)<br />

ambazo zinajadili taarifa za maendeleo na kutoa ushauri chini <strong>ya</strong><br />

Sheria <strong>ya</strong> Ta<strong>wa</strong>la za Mikoa (Regional Administration Act Na. 19 <strong>ya</strong><br />

1997). Pamoja na vikao hivyo rasmi <strong>kikao</strong> hiki <strong>cha</strong> kitaalamu ni<br />

muhimu kiwe kinafanyika kila inapobidi ili kujadili utoaji <strong>huduma</strong><br />

k<strong>wa</strong> jamii na kubadilishana uzoefu utakaosaidia kuboresha zaidi<br />

<strong>huduma</strong> zetu.<br />

Ndugu <strong>wa</strong>dau, napenda kunukuu mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> majukumu baina<br />

<strong>ya</strong> Serikali Kuu na Serikali za Mitaa kama <strong>ya</strong>livyoainish<strong>wa</strong> kwenye<br />

Waraka <strong>wa</strong> utumishi Na. 1 <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 1998.<br />

• Serikali Kuu katika ngazi <strong>ya</strong> Mkoa na Wila<strong>ya</strong> ina jukumu la<br />

kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> Sera za Serikali na kuhakikisha ku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>tekelezaji mbalimbali <strong>wa</strong>nazingatia maelekezo <strong>ya</strong> Serikali na<br />

k<strong>wa</strong>mba malengo <strong>ya</strong>liyowek<strong>wa</strong> na Taifa <strong>ya</strong>nafiki<strong>wa</strong>. Pia serikali<br />

ngazi <strong>ya</strong> Mkoa na wila<strong>ya</strong> inahusika na usimamizi <strong>wa</strong> ulinzi,<br />

usalama na uta<strong>wa</strong>la.<br />

• Serikali za mtaa chini <strong>ya</strong> Halmashauri za Miji na Wila<strong>ya</strong> zina<br />

jukumu la kusimamia shughuli za uzalishaji mali, <strong>huduma</strong> za<br />

kiuchumi na kijamii, katika maeneo <strong>ya</strong>o. Aidha utekelezaji <strong>wa</strong><br />

majukumu <strong>ya</strong> Halmashauri za Miji na Wila<strong>ya</strong> utazingatia sheria,<br />

kanuni na miundo <strong>ya</strong>ke.<br />

2


Sekretarieti <strong>ya</strong> Mkoa ina <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> kumshauri na kumsaidia<br />

Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa kutekekeza majukumu <strong>ya</strong>ke pamoja na<br />

kuziwezesha Halmashauri za Manispaa na Jiji (support services)<br />

kutekeleza <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong>o.<br />

Ndugu <strong>wa</strong>dau,<br />

Nimenukuu majukumu hayo <strong>ya</strong> mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> kazi kati <strong>ya</strong> Serikali<br />

Kuu na mamlaka za Serikali za Mitaa ili mfahamu kazi zao.<br />

Nafahamu katika barua zenu za wito <strong>wa</strong> <strong>kikao</strong> mmeelez<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />

mtapata fursa <strong>ya</strong> kuelezea shughuli zenu, <strong>cha</strong>ngamoto mnazopata<br />

na kama mnahitaji ushirikiano wowote kutoka ngazi za serikali.<br />

Hivyo mtumie fursa hii kufahamiana na kubadilishana uzoefu.<br />

Aidha katika utoaji <strong>wa</strong> <strong>huduma</strong> mnaweza kukutana na<br />

<strong>cha</strong>ngamoto ambazo zinahitaji kushirikiana kuzitatua kulingana<br />

na mwelekeo <strong>wa</strong> utendaji katika mamlaka husika.<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Dar es Salaam kama mnavyofahamu tunazo <strong>cha</strong>ngamoto<br />

nyingi kama vile za msongamano <strong>wa</strong> magari, upungufu <strong>wa</strong><br />

miundombinu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, Elimu, Maji, Barabara, mifereji <strong>ya</strong> maji<br />

ma<strong>cha</strong>fu na maji <strong>ya</strong> mvua, <strong>wa</strong>fan<strong>ya</strong>biashara ndogo ndogo kuzagaa<br />

ovyo n.k. Ninyi kama <strong>wa</strong>dau mnao <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> kutafakari k<strong>wa</strong><br />

pamoja namna <strong>ya</strong> kukabiliana na <strong>cha</strong>ngamoto hizo na kushauri<br />

ufumbuzi <strong>wa</strong>ke kupitia malengo <strong>ya</strong> muda mfupi, muda <strong>wa</strong> kati na<br />

muda mrefu (short, medium and long terms).<br />

3


Ndugu <strong>wa</strong>dau,<br />

Napenda nimalize k<strong>wa</strong> kutoa shukrani za kipekee k<strong>wa</strong> Katibu<br />

Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Mkoa k<strong>wa</strong> kubuni njia hii <strong>ya</strong> kukutana <strong>wa</strong>tendaji<br />

pamoja na viongozi <strong>wa</strong> taasisi za umma na madhehebu <strong>ya</strong> dini.<br />

Naamini juhudi hizi ndiyo m<strong>wa</strong>nzo mzuri utakaoku<strong>wa</strong> endelevu<br />

katika kukabiliana na <strong>cha</strong>ngamoto tulizonazo ili kufanikisha utoaji<br />

<strong>huduma</strong> bora k<strong>wa</strong> jamii.<br />

Na<strong>wa</strong>takia mkutano mwema na wenye mafanikio. Baada <strong>ya</strong><br />

kusema hayo sasa natamka ku<strong>wa</strong> mkutano umefunguli<strong>wa</strong> rasmi.<br />

Asanteni k<strong>wa</strong> kunisikiliza.<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!