30.01.2013 Views

MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub

MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub

MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wengi ambao wameambukizwa <strong>VVU</strong> huwa huwa hawaonyeshi dalili zozote kwa takribani<br />

miaka 10 ama zaidi. Kwahiyo ni muhimu kufahamu hali yako ili uweze kufanya maamuzi<br />

sahihi ambayo yatasadia uishi miaka mingi na kuweza kulinda afya ya mwenzi wako.<br />

Kwanini ni wanawake wanaathirka zaidi na <strong>VVU</strong>/AIDS?<br />

Idadi ya wanawake wanaoishi na <strong>VVU</strong> ni kubwa kuliko ya wanaume na katika maeneo<br />

mengi wanawake wenye <strong>VVU</strong> ni mara mbili zaidi ya wanaume.Nchini Tanzania idadi ya<br />

wanawake wenye <strong>VVU</strong> ni kubwa kuliko ya wanaume (asilimia 7 wanawake na asilimia 5<br />

wanaume ).<br />

U AM I N I F U<br />

Zipo sababu kwenye mafungu matatu zinazosababisha <strong>VVU</strong> na <strong>UKIMWI</strong> kuwa tishio kwa<br />

wanawake: sababu za kijamii na kiuchumi, utamaduni na sababu za kidini, na sababu za<br />

kimaumbile.sababu hizi kwa kiasi kikubwa zinahusianishwa na masuala ya ujinsia na nguvu<br />

ya maamuzi katika mahusiano.<br />

Wanawake wanapitia hali ya kudharauliwa na kusababisha kuwa hatarini kwa sababu:<br />

• Kiasi kidogo cha elimu/ufahamu kinachowafanya wasiweze kuwa na taarifa kuhusu<br />

njia za kujikinga<br />

• Kipato kidogo kinachosababisha kubadilishana vitendo vya ngono kwa ajili ya kupata<br />

pesa au vitu vingine<br />

• Matumizi mabaya ya nguvu miongoni mwa wanaume na vitendo vya udhalilishaji<br />

kingono umesababisha wanawake wengi kuwa kwenye uwezekano wa kubakwa au<br />

kuwa katika hali nyingineyo<br />

U AM I N I F U<br />

Sababu ya hali ya maumbile ni pamoja na:<br />

• Uke unatoa nafasi ya kuingiliwa kwa ndani na <strong>VVU</strong> kuliko ilivyo kwa uume<br />

• Mbegu za kiume hukaa ndani ya uke kwa muda fulani<br />

• Hali ya umajimaji kwenye uke .<br />

Unaweza kujikinga namna gani usipate maambukizi ya <strong>VVU</strong>?<br />

Tunaweza kujikinga wenyewe kutokana na maambukizi ya <strong>VVU</strong> kwa njia zifuatazo:<br />

• Kutokufanya ngono kama hatuko kwenye ndoa<br />

• Kupunguza idadi ya wapenzi na marafi ki wa kingono tulio nao<br />

• Kutumia kondomu kila mara tunapofanya mahusiano ya kingono<br />

• Kubakia waaminifu kwa wenzi wetu<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

M W O N G O Z O w a<br />

M A F U N Z O w a M S H I R I K I<br />

U AM<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

U<br />

M

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!