MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub
MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub
MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
wengi ambao wameambukizwa <strong>VVU</strong> huwa huwa hawaonyeshi dalili zozote kwa takribani<br />
miaka 10 ama zaidi. Kwahiyo ni muhimu kufahamu hali yako ili uweze kufanya maamuzi<br />
sahihi ambayo yatasadia uishi miaka mingi na kuweza kulinda afya ya mwenzi wako.<br />
Kwanini ni wanawake wanaathirka zaidi na <strong>VVU</strong>/AIDS?<br />
Idadi ya wanawake wanaoishi na <strong>VVU</strong> ni kubwa kuliko ya wanaume na katika maeneo<br />
mengi wanawake wenye <strong>VVU</strong> ni mara mbili zaidi ya wanaume.Nchini Tanzania idadi ya<br />
wanawake wenye <strong>VVU</strong> ni kubwa kuliko ya wanaume (asilimia 7 wanawake na asilimia 5<br />
wanaume ).<br />
U AM I N I F U<br />
Zipo sababu kwenye mafungu matatu zinazosababisha <strong>VVU</strong> na <strong>UKIMWI</strong> kuwa tishio kwa<br />
wanawake: sababu za kijamii na kiuchumi, utamaduni na sababu za kidini, na sababu za<br />
kimaumbile.sababu hizi kwa kiasi kikubwa zinahusianishwa na masuala ya ujinsia na nguvu<br />
ya maamuzi katika mahusiano.<br />
Wanawake wanapitia hali ya kudharauliwa na kusababisha kuwa hatarini kwa sababu:<br />
• Kiasi kidogo cha elimu/ufahamu kinachowafanya wasiweze kuwa na taarifa kuhusu<br />
njia za kujikinga<br />
• Kipato kidogo kinachosababisha kubadilishana vitendo vya ngono kwa ajili ya kupata<br />
pesa au vitu vingine<br />
• Matumizi mabaya ya nguvu miongoni mwa wanaume na vitendo vya udhalilishaji<br />
kingono umesababisha wanawake wengi kuwa kwenye uwezekano wa kubakwa au<br />
kuwa katika hali nyingineyo<br />
U AM I N I F U<br />
Sababu ya hali ya maumbile ni pamoja na:<br />
• Uke unatoa nafasi ya kuingiliwa kwa ndani na <strong>VVU</strong> kuliko ilivyo kwa uume<br />
• Mbegu za kiume hukaa ndani ya uke kwa muda fulani<br />
• Hali ya umajimaji kwenye uke .<br />
Unaweza kujikinga namna gani usipate maambukizi ya <strong>VVU</strong>?<br />
Tunaweza kujikinga wenyewe kutokana na maambukizi ya <strong>VVU</strong> kwa njia zifuatazo:<br />
• Kutokufanya ngono kama hatuko kwenye ndoa<br />
• Kupunguza idadi ya wapenzi na marafi ki wa kingono tulio nao<br />
• Kutumia kondomu kila mara tunapofanya mahusiano ya kingono<br />
• Kubakia waaminifu kwa wenzi wetu<br />
“ S I K I A K E N G E L E ”<br />
M W O N G O Z O w a<br />
M A F U N Z O w a M S H I R I K I<br />
U AM<br />
“ S I K I A K E N G E L E ”<br />
U<br />
M