30.01.2013 Views

MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub

MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub

MASWALI NA MAJIBU YA MSINGI KUHUSU VVU/UKIMWI - C-Hub

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

M A S WA L I N A M A J I B U <strong>YA</strong><br />

M S I N G I K U H U S U V V U / U K I M W I<br />

<strong>VVU</strong> ni nini?<br />

Herufi <strong>VVU</strong> zinasimama badala ya maneno Virusi Vya Ukimwi. Hivi ni virusi ambavyo<br />

hushambulia mwili wa mwanadamu kwa kuharibu chembechembe za damu zinazofahamika<br />

kitaalamu kama seli za kinga mwilini (CD4), ambazo kazi yake ni kuusaidia mwili kupambana<br />

na magonjwa mbalimbali; bila kuwepo kwa seli hizi ni vigumu kwa mwili kujikinga na<br />

magonjwa hayo.<br />

<strong>UKIMWI</strong> ni nini ?<br />

U AM I N I F U<br />

<strong>UKIMWI</strong> ni kifupi cha maneno Upungufu wa Kinga mwilini. Ni hali inayompata mtu baada<br />

ya kuishi na <strong>VVU</strong> ( kwa kawaida ni katika kipindi kati ya miaka 7 hadi 10)<br />

“Kupata” maana yake ni kwamba ugonjwa unatokea baada ya kuambukizwa ugonjwa<br />

unaosababishwa na virusi (kwa mantiki hii ni <strong>VVU</strong>) ; na husababisha “upungufu wa kinga<br />

mwilini ” hii ina maanisha kwamba ugonjwa huu unakuwa na tabia ya kudhoofi sha kinga ya<br />

mwili na “dalili”inamaanisha kwamba kuna mkusanyiko wa matukio ambayo yanaashiria<br />

hali ya maradhi.<br />

U AM INIFU<br />

<strong>VVU</strong> vinasambazwa kwa njia gani ?<br />

U AM I N I F U<br />

<strong>VVU</strong> vinapatikana kwenye damu, mbegu za kiume, maji maji ya ukeni, maziwa ya<br />

mama, mate, na majimaji mengine ya mwili wa mtu mwenye maambukizi ya <strong>VVU</strong>. Mtu<br />

aliyeambukizwa anaweza kusambaza virusi kwa watu wengine kwa njia ya kujamiiana au<br />

kutumia vitu vyenye ncha kali kama nyembe au sindano na mama aliyeambukizwa anaweza<br />

kumwambukiza mtoto aliyeko tumboni wakati wa ujauzito, wakati wa kujifungua au wakati<br />

wa kunyonyesha/kulisha.<br />

<strong>VVU</strong> haviwezi kuambukizwa kwa kukohoa kushikana mikono kupiga chafya, mate, machozi,<br />

kubusu kwenye shavu, kuogelea pamoja au kwa kuchangia vifaa vya kuogelea, kuumwa<br />

nawadudu, kuchangia vyombo vya chakula, kupitia kwenye hewa kulala kitanda kimoja,<br />

kuabudu pamoja kanisani au msikitini au kwa kufanya kazi pamoja.<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

Utafahamu umeathirika kwa njia gani?<br />

Njia pekee ya kufahamu hali yako kuhusu maambukizi ya <strong>VVU</strong> ni kwa kupima. Huwezi<br />

kutegemea kuangalia dalili ili Mkufahamu W Okama N Gumeambukizwa O Z O au whujaambukizwa. a<br />

Watu<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

M A F U N Z O w a M S H I R I K I<br />

M W O N G O Z O w a<br />

M A F U N Z O w a M S H I R I K I<br />

U AM<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

U<br />

M


wengi ambao wameambukizwa <strong>VVU</strong> huwa huwa hawaonyeshi dalili zozote kwa takribani<br />

miaka 10 ama zaidi. Kwahiyo ni muhimu kufahamu hali yako ili uweze kufanya maamuzi<br />

sahihi ambayo yatasadia uishi miaka mingi na kuweza kulinda afya ya mwenzi wako.<br />

Kwanini ni wanawake wanaathirka zaidi na <strong>VVU</strong>/AIDS?<br />

Idadi ya wanawake wanaoishi na <strong>VVU</strong> ni kubwa kuliko ya wanaume na katika maeneo<br />

mengi wanawake wenye <strong>VVU</strong> ni mara mbili zaidi ya wanaume.Nchini Tanzania idadi ya<br />

wanawake wenye <strong>VVU</strong> ni kubwa kuliko ya wanaume (asilimia 7 wanawake na asilimia 5<br />

wanaume ).<br />

U AM I N I F U<br />

Zipo sababu kwenye mafungu matatu zinazosababisha <strong>VVU</strong> na <strong>UKIMWI</strong> kuwa tishio kwa<br />

wanawake: sababu za kijamii na kiuchumi, utamaduni na sababu za kidini, na sababu za<br />

kimaumbile.sababu hizi kwa kiasi kikubwa zinahusianishwa na masuala ya ujinsia na nguvu<br />

ya maamuzi katika mahusiano.<br />

Wanawake wanapitia hali ya kudharauliwa na kusababisha kuwa hatarini kwa sababu:<br />

• Kiasi kidogo cha elimu/ufahamu kinachowafanya wasiweze kuwa na taarifa kuhusu<br />

njia za kujikinga<br />

• Kipato kidogo kinachosababisha kubadilishana vitendo vya ngono kwa ajili ya kupata<br />

pesa au vitu vingine<br />

• Matumizi mabaya ya nguvu miongoni mwa wanaume na vitendo vya udhalilishaji<br />

kingono umesababisha wanawake wengi kuwa kwenye uwezekano wa kubakwa au<br />

kuwa katika hali nyingineyo<br />

U AM I N I F U<br />

Sababu ya hali ya maumbile ni pamoja na:<br />

• Uke unatoa nafasi ya kuingiliwa kwa ndani na <strong>VVU</strong> kuliko ilivyo kwa uume<br />

• Mbegu za kiume hukaa ndani ya uke kwa muda fulani<br />

• Hali ya umajimaji kwenye uke .<br />

Unaweza kujikinga namna gani usipate maambukizi ya <strong>VVU</strong>?<br />

Tunaweza kujikinga wenyewe kutokana na maambukizi ya <strong>VVU</strong> kwa njia zifuatazo:<br />

• Kutokufanya ngono kama hatuko kwenye ndoa<br />

• Kupunguza idadi ya wapenzi na marafi ki wa kingono tulio nao<br />

• Kutumia kondomu kila mara tunapofanya mahusiano ya kingono<br />

• Kubakia waaminifu kwa wenzi wetu<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

M W O N G O Z O w a<br />

M A F U N Z O w a M S H I R I K I<br />

U AM<br />

“ S I K I A K E N G E L E ”<br />

U<br />

M

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!