08.06.2013 Views

sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar

sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar

sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

juu ya kazi ya Sheria ya Agano la Kale. Hili pia linakubalika kwa<br />

Wagalatia 5:26: “Tusijisifu bure, tukichokozana na kuhusudiana”.<br />

2) Wakati Kanisa lilijumuisha zaidi waamini wa Mataifa, P<strong>au</strong>lo<br />

anazungumzia mambo halisi ya Wakristo wa Kiyahudi. Hii<br />

inaashiria kuwa alikuwa anashughulikia uzushi wa Wayahudi na<br />

wa Mataifa kwa ujumla. 17<br />

Haiwezekani kabisa kuwa kanisa la Mataifa lingejitoa<br />

kikamilifu kujaribu kuwa la namna ya Kiyahudi pasipo sababu.<br />

Mgawanyiko miongoni mwa waamini wa Mataifa waliofuata kosa la<br />

Kiyahudi, na wengine waliowakataa kwa kutumia fikra zisizo za<br />

kibiblia yanaelezea utajaji wa daima wa P<strong>au</strong>lo juu ya migogoro. 18<br />

Waamini wa Kiyahudi na wa Mataifa walitof<strong>au</strong>tiana juu ya<br />

suala la tohara, kwa kuwa ni wale wasio Wayahudi tu<br />

wangelazimishwa kutahiriwa. Wagalatia 5:6 na 6:15 husema juu ya<br />

kiburi cha kundi moja katika ‘tohara’ yake na kiburi cha jingine<br />

katika ‘kutokutahiriwa’ kwake. 19<br />

3) Kitabu cha Wagalatia mara nyingi kinazungumzia kundi moja tu la<br />

kanisa, mfano, kama ilivyo katika Wagalatia 4:21, “Niambieni, ninyi<br />

mnaotaka kuwa chini ya <strong>sheria</strong>, je! Hamwisikii <strong>sheria</strong>?”. P<strong>au</strong>lo<br />

anaongea na wale washiriki wa kanisa walioishi kwa kulingana na<br />

Sheria tu, jambo ambalo linaonesha kuwa si wote waliokubaliana<br />

juu ya jambo hili. 20 Mfano mwingine ni Wagalatia 5:4, “Mmetengwa<br />

na Kristo, ninyi mtakao kuhesabiwa haki kwa <strong>sheria</strong>, mmeanguka<br />

na kutoka katika hali ya neema”, ambao unazungumza na washiriki<br />

waliotafuta kuhesabiwa haki chini ya Sheria. Ingawa kwa ujumla<br />

anakataa wazo la kambi mbili katika kanisa la Galatia, 21 Theodor<br />

Zahn anaamini kwamba, hapa P<strong>au</strong>lo anazungumza na sehemu tu<br />

ya kanisa. 22<br />

Wagalatia 6:1 pia inazungumzia sehemu tu ya ushirika, wakati<br />

P<strong>au</strong>lo aandikapo, “ninyi mlio wa Roho” 23 <strong>au</strong> (“Ninyi mnaojiona kuwa<br />

wa ki<strong>roho</strong> zaidi”). Hapa, mtume anazungumza na wale ambao<br />

waliamini kuwa wao wenyewe ni wa ki<strong>roho</strong> zaidi kuliko wengine.<br />

Theodor Zahn aliwaita watu hawa ‘Wana-<strong>roho</strong>. 24 Anawalinganisha<br />

na ‘wenye nguvu’ wa Warumi 14 na 15, waliojishikilia wenyewe<br />

kama Wakristo bora zaidi ya waamini ‘dhaifu’ wa Kiyahudi. 25<br />

4) Hakuna kutokukubaliana juu ya ukweli kuwa makanisa yote ya<br />

Galatia yalijumuisha Wakristo waliodanganywa na dini ya kiyahudi<br />

14

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!