sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar
sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar
sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
juu ya kazi ya Sheria ya Agano la Kale. Hili pia linakubalika kwa<br />
Wagalatia 5:26: “Tusijisifu bure, tukichokozana na kuhusudiana”.<br />
2) Wakati Kanisa lilijumuisha zaidi waamini wa Mataifa, P<strong>au</strong>lo<br />
anazungumzia mambo halisi ya Wakristo wa Kiyahudi. Hii<br />
inaashiria kuwa alikuwa anashughulikia uzushi wa Wayahudi na<br />
wa Mataifa kwa ujumla. 17<br />
Haiwezekani kabisa kuwa kanisa la Mataifa lingejitoa<br />
kikamilifu kujaribu kuwa la namna ya Kiyahudi pasipo sababu.<br />
Mgawanyiko miongoni mwa waamini wa Mataifa waliofuata kosa la<br />
Kiyahudi, na wengine waliowakataa kwa kutumia fikra zisizo za<br />
kibiblia yanaelezea utajaji wa daima wa P<strong>au</strong>lo juu ya migogoro. 18<br />
Waamini wa Kiyahudi na wa Mataifa walitof<strong>au</strong>tiana juu ya<br />
suala la tohara, kwa kuwa ni wale wasio Wayahudi tu<br />
wangelazimishwa kutahiriwa. Wagalatia 5:6 na 6:15 husema juu ya<br />
kiburi cha kundi moja katika ‘tohara’ yake na kiburi cha jingine<br />
katika ‘kutokutahiriwa’ kwake. 19<br />
3) Kitabu cha Wagalatia mara nyingi kinazungumzia kundi moja tu la<br />
kanisa, mfano, kama ilivyo katika Wagalatia 4:21, “Niambieni, ninyi<br />
mnaotaka kuwa chini ya <strong>sheria</strong>, je! Hamwisikii <strong>sheria</strong>?”. P<strong>au</strong>lo<br />
anaongea na wale washiriki wa kanisa walioishi kwa kulingana na<br />
Sheria tu, jambo ambalo linaonesha kuwa si wote waliokubaliana<br />
juu ya jambo hili. 20 Mfano mwingine ni Wagalatia 5:4, “Mmetengwa<br />
na Kristo, ninyi mtakao kuhesabiwa haki kwa <strong>sheria</strong>, mmeanguka<br />
na kutoka katika hali ya neema”, ambao unazungumza na washiriki<br />
waliotafuta kuhesabiwa haki chini ya Sheria. Ingawa kwa ujumla<br />
anakataa wazo la kambi mbili katika kanisa la Galatia, 21 Theodor<br />
Zahn anaamini kwamba, hapa P<strong>au</strong>lo anazungumza na sehemu tu<br />
ya kanisa. 22<br />
Wagalatia 6:1 pia inazungumzia sehemu tu ya ushirika, wakati<br />
P<strong>au</strong>lo aandikapo, “ninyi mlio wa Roho” 23 <strong>au</strong> (“Ninyi mnaojiona kuwa<br />
wa ki<strong>roho</strong> zaidi”). Hapa, mtume anazungumza na wale ambao<br />
waliamini kuwa wao wenyewe ni wa ki<strong>roho</strong> zaidi kuliko wengine.<br />
Theodor Zahn aliwaita watu hawa ‘Wana-<strong>roho</strong>. 24 Anawalinganisha<br />
na ‘wenye nguvu’ wa Warumi 14 na 15, waliojishikilia wenyewe<br />
kama Wakristo bora zaidi ya waamini ‘dhaifu’ wa Kiyahudi. 25<br />
4) Hakuna kutokukubaliana juu ya ukweli kuwa makanisa yote ya<br />
Galatia yalijumuisha Wakristo waliodanganywa na dini ya kiyahudi<br />
14