08.06.2013 Views

sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar

sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar

sheria au roho.vp (Read Only) - Martin Bucer Seminar

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kulinganisha Agano na Ahadi, na kuongea juu ya “agano la ahadi”<br />

mahali popote (Efe. 2:12). P<strong>au</strong>lo anadhihirisha, mrithi wa kweli ni Kristo<br />

(Kol. 1:12-18), ambaye katika yeye ahadi zote zinatimizwa. “Maana<br />

Mwana wa Mungu, Kristo Yesu… hakuwa Ndiyo na Siyo; bali katika<br />

yeye ni Ndiyo” (2 Kor. 1:19-20). Basi hii inamaanisha kwamba, P<strong>au</strong>lo<br />

anatafsiri Agano la Kale kwa mpango wa kufuata miaka, jambo lifanyalo<br />

wazo kuwa Kristo ni mpinzani wa moja kwa moja wa ufunuo wa Agano<br />

la Kale kuwa kichekesho. 50<br />

‘Diatheke’ yapaswa kutafsiriwa kama ‘agano’ katika Waebrania<br />

9:16-17 51 “Kwa maana mahali palipo na agano, mtu aliyeliwekea muhuri<br />

agano lile lazima afe. Kwa kuwa agano lina nguvu baada ya kifo, kwa<br />

sababu haliwezi kuwa halali, ikiwa aliyelifanya agano bado yungali<br />

anaishi.”(Tafsiri ya mwandishi). Hii haimaanishi kwamba Kristo<br />

alipaswa kufa, kwa sababu patano lingeweza tu kufanya kazi baada ya<br />

kifo chake, bali kwa sababu, kama agano, lingeweza kufanywa imara<br />

kwa damu tu, kwa kupoteza maisha, yaani kama ilivyokuwa katika<br />

Agano la Kale mnyama alipotolewa dhabihu kuthibitisha agano (Mwa.<br />

15; Law. 1). Kama kilivyo kifo cha mtu hakilifanyi patano kuwa halali tu,<br />

bali pia kinalifanya agano liwe katika vitendo, ili kwamba mrithi aweze<br />

sasa kurithi; ndivyo ilivyo kwa kifo cha Kristo kilithibitisha Agano la<br />

Mungu badala ya kulitangua.<br />

Katika Wagalati 3:6-29, P<strong>au</strong>lo anadhihirisha kwamba Ahadi kwa<br />

Ibrahimu, ambayo kwayo Wayahudi hurejea daima, ilitangulia utoaji wa<br />

Sheria katika mlima Sinai, na huo ni uthibitisho usiokanushika kwamba<br />

kuhesabiwa haki hutegemea Ahadi na Imani, na sio utunzaji wa Sheria.<br />

Sababu muhimu iliyomfanya Ibrahimu “Baba wa Mataifa mengi”, sio<br />

suala juu ya urithi wa kibaolojia na wala sio uhalali wa ki<strong>sheria</strong> wa utii wa<br />

Sheria, bali ni tumaini lake lisilo mpaka katika ahadi ya Mungu<br />

(Waeb.11:8-9).<br />

Swali, “Akina nani ni watoto wa Ibrahmu?” linajadiliwa sio tu katika<br />

Wagalatia 3, bali pia katika Warumi 4 52 na katika maandiko mengine<br />

mengi. Kwa upande mwingine, Wayahudi wote wanatajwa kama watoto<br />

wa Ibrahamu kwa mujibu wa mababu zao (Mdo. 13:26), lakini Wayahudi<br />

wasioamini wanakosa dai hilo kwa sababu ni imani pekee iwezayo<br />

kumfanya mtu mtoto wa Ibrahimu. Yohana 8:37-40 ni mfano halisi wa<br />

pande hizi mbili, “Najua kuwa ninyi ni uzao wa Ibrahimu…” wakati<br />

mwingine, Yesu anasema kwamba Mungu aweza kumwinulia Ibrahimu<br />

watoto kutoka kwenye mawe ili kuchukua sehemu ya Mafarisayo na<br />

30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!