21.06.2013 Views

annuur 1052

annuur 1052

annuur 1052

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

www.<strong>annuur</strong>papers.co.tz<br />

Sauti ya Waislamu<br />

ISSN 0856 - 3861 Na. <strong>1052</strong> SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=<br />

Ujasiria mali<br />

washika kasi<br />

Baraza Kuu<br />

Uk. 12<br />

Kesi ya Sheikh Ponda mashahidi waingia ‘mitini’<br />

Hakimu aamuru mmoja akamatwe<br />

Wengine watoa visingizio, majina yao yafichwa<br />

Wakili wa utetezi amlima barua DPP<br />

SHEIKH Ponda Issa Ponda akiwa katika Mahakama ya Kisutu Jumatau wiki hii. (Picha na Bakari Mwakangwale<br />

Nyerere alikuwa kiongozi wa dini au siasa?<br />

Ndiye muasisi wa Mfumokristo nchini<br />

Na Bakari Mwakangwale kile kinachoelezwa na<br />

MAASKOFU wametakiwa<br />

k u t a m b u a k w a m b a<br />

W a i s l a m u k u h u s u<br />

hayati Mwalimu Julius<br />

Kambarage Nyerere,<br />

si upotoshaji bali ni<br />

uhalisia na kwamba,<br />

yale wanayodai kuwa ni<br />

upotoshaji yamo katika<br />

vitabu mbalimbali na<br />

mwenyewe (Nyerere)<br />

hakuwahi kukanusha<br />

Inaendelea Uk. 4<br />

Wajumbe ZEC<br />

acheni kufuata<br />

matakwa ya<br />

wanasiasa<br />

Wanaomaliza muda wao<br />

wamuaga Maalim Seif<br />

Akerwa kutohakikiwa daftari<br />

la wapiga kura<br />

Na Mwandishi Wetu,<br />

Zanzibar<br />

MAKAMU wa Kwanza wa<br />

Rais wa Zanzibar, Maalim<br />

Seif Sharif Hamad, amesema<br />

iwapo Tume ya Uchaguzi<br />

itafanya kazi kwa kujiamini<br />

na kuacha kufuata matakwa ya<br />

wanasiasa, itajenga imani kwa<br />

wananchi juu ya uwezekano<br />

wa kuwepo kwa chaguzi huru<br />

na za haki na kukidhi matakwa<br />

ya wananchi.<br />

Maalim Seif ametoa kauli hiyo<br />

mwishoni mwa wiki iliyopita<br />

nyumbani kwake Mbweni<br />

Zanzibar, wakati akizungumza na<br />

wajumbe wa Tume ya Uchaguzi<br />

Zanzibar-ZEC, waliofika kwa<br />

ajili ya kumkabidhi ripoti ya<br />

utendaji wa Tume hiyo kwa<br />

kipindi cha miaka mitano, pamoja<br />

na kumuaga baada ya kumaliza<br />

muda wao wa utumishi ndani ya<br />

Inaendelea Uk. 2<br />

HAYATI Mwalimu Julius<br />

Kambarage Nyerere.


2<br />

AN-NUUR<br />

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786<br />

Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 , DSM.<br />

www.<strong>annuur</strong>papers.co.tz E-mail: <strong>annuur</strong>papers@yahoo.co.uk<br />

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top<br />

Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam<br />

MAONI YETU<br />

Tatizo letu si wingi<br />

bali viongozi waadilifu<br />

SIKU ya Jumatatu Desemba<br />

31, Rais wa Jamhuri ya<br />

Muungano wa Tanzania,<br />

Jakaya Mrisho Kikwete,<br />

alitangaza matokeo ya awali<br />

ya Sensa ya Watu na Makazi<br />

iliyofanyika Agosti 26 hadi<br />

Septemba 4 mwaka jana.<br />

Rais Kikwete alituambia<br />

kuwa sasa Tanzania ina watu<br />

milioni 44,929,002 ambapo<br />

Tanzania Bara kuna watu<br />

43,625,434 na Zanzibar kuna<br />

watu 1,303,568.<br />

Alisema kuwa katika Sensa<br />

ya tatu ya mwaka 2002, Tanzania<br />

ilikuwa na watu milioni 34.4,<br />

hivyo kwa matokeo ya sensa<br />

hii watanzania wameongezeka<br />

watu milioni 10.5 ambao ni<br />

sawa na ongezeko la asilimia<br />

2.6 kwa mwaka.<br />

Rais Kikwete alisema hii ni<br />

sensa ya nne kufanyika nchini<br />

tangu kuasisiwa kwa Jamhuri<br />

ya Muungano wa Tanzania<br />

mwaka 1964. Sensa ya kwanza<br />

ilifanyika mwaka 1967 ambapo<br />

nchi yetu ilikuwa na watu<br />

12,313,054. Tanzania Bara<br />

ilikuwa na watu 11,958,654<br />

na Zanzibar watu 354,400.<br />

Kwa maana hiyo, katika miaka<br />

45 tangu Sensa ya kwanza<br />

na hii ya sasa, Watanzania<br />

wameongezeka watu milioni<br />

33. Tunaambiwa kuwa taarifa<br />

za takwimu hizi ni kwa ajili<br />

ya matumizi ya kuboresha<br />

maisha ya kila Mtanzania.<br />

Kwa kutumia sense ya watu<br />

na makazi, hupatikana taarifa<br />

muhimu kwa ajili ya kutumiwa<br />

na Serikali kupanga mipango<br />

ya maendeleo ya nchi na jinsi<br />

ya kuhudumia wananchi.<br />

Rais alisema kama kasi ya<br />

ongezeko la watu la asilimia<br />

2.6 halitapungua ifikapo<br />

mwaka 2016, nchi yetu itakuwa<br />

na watu milioni 51.6. kiasi<br />

kilichomtia hofu kuwa ni mzigo<br />

mkubwa kwa taifa kwa uchumi<br />

kuwahudumia.<br />

Hofu hii ndiyo iliyomlazimu<br />

Rais Kikwete kusisitiza kuwepo<br />

mikakati madhubuti katika<br />

mipango ya maendeleo kuanzia<br />

sasa juu ya jinsi ya kuhudumia<br />

watu hao milioni 51.6 na zaidi<br />

ya hao miaka inayofuata.<br />

Hili ndilo lililomfanya Rais<br />

Kikwete, asisitize suala la<br />

kupanga uzazi. Akiwa na maana<br />

kwamba kinyume na hatua<br />

hiyo, hali ya maisha itashuka<br />

sana kutokana na kupanda<br />

idadi ya watu. Anaona kuwa<br />

kuna uwezekano wa serikali<br />

kushindwa kutoa huduma<br />

muafaka kwa watu wake.<br />

Hoja yetu kwa leo imesimamia<br />

katika nukta hiyo ya Rais juu ya<br />

hofu yake ya kuongezeka watu,<br />

akilinganisha na uwezo wa<br />

serikali kuwahudumia.<br />

K w a m t a z a m o w e t u ,<br />

tunamuona Rais Kikwete kama<br />

anaamini kuwa watu wengi ni<br />

mzigo kwa serikali.<br />

Hata hivyo, katika mataifa<br />

yaliyoendelea na yanayokua kwa<br />

kasi kiuchumi, watu wamekuwa<br />

mtaji mkubwa wa kiuchumi kwa<br />

mataifa hayo. Watu ni soko, watu<br />

ni nguvu kazi.<br />

China, Malaysia, India, na<br />

mataifa mengi ya Bara Asia,<br />

yamekuwa yakipiga hatua kwa<br />

kasi kiuchumi, nyenzo kubwa<br />

ikiwa ni idadi kubwa ya watu.<br />

Watu wengi ni kigezo muhimu<br />

cha kukua uchumi wa soko na<br />

nguvu kazi kwa Taifa lolote<br />

lile. Hata wanaofanya biashara,<br />

hukimbilia sehemu zenye idadi<br />

kubwa ya watu ili kupata soko.<br />

Idadi ya sasa ya Watanzania,<br />

j a p o t u n a a m i n i w e n g i<br />

hawakuhesabiwa, lakini haiwezi<br />

kuzua hofu kwa serikali yeyote<br />

yenye mipango mizuri ya<br />

kiutawala kwa watu wake.<br />

Tuonavyo sisi, hofu ya Rais<br />

Kikwete isingekuwepo kama<br />

angekuwa na watu waadilifu wa<br />

kumsaidia kusimamia mapato<br />

namatumizi na rasilmali za Taifa,<br />

ili kuijenga nchi kiuchumi na<br />

kuiongezea serikali nguvu ya<br />

kuwahudumia watu wake.<br />

U k w e l i n i k w a m b a ,<br />

kukosekana kwa viongozi na<br />

watendaji waadilifu, ambao<br />

wangeweza kusimamia rasilmali<br />

za nchi kwa faida, ndio sababu<br />

kubwa ya kutiliwa shaka<br />

uwezo wa serikali kuhudumia<br />

watanzania, sio idadi yao<br />

inayokuwa.<br />

Hata kukiwa na idadi ndogo<br />

ya watu isiyokuwa kwa kasi,<br />

lakini waliopewa dhakama na<br />

kuongoza na kusimamia mali za<br />

watanzania wakikosa uadilifu na<br />

kutokuwa watu wa kutosheka,<br />

uwezo wa kuhudumia watu hao<br />

wacheche hautakuwepo pia.<br />

Kukosekana maadili kwa<br />

viongozi kumekua chachu ya<br />

matumizi mabaya ya rasilmali<br />

za nchi, kiasi cha kushindwa<br />

kutoa huduma nzuri na bora kwa<br />

watu wake.<br />

Hulka za wizi, dhuluma,<br />

ufisadi, ubinafsi, kukosa<br />

uzalendo, ni matokeo ya<br />

kukithiri utamadumi mbovu kwa<br />

viongozi na watendaji, ambao<br />

wameweka uadilifu pembeni na<br />

kuvaa ubinafsi na kulitia taifa<br />

katika hasara.<br />

Ukweli ni kwamba, Tanzania<br />

imekuwa ikipata taabu kufikia<br />

malengo yake ya kuwahudhumia<br />

watu wake, kutokana na watu<br />

waliopewa dhamana kuliingiza<br />

Taifa katika mikataba mibovu<br />

na ya kihasara kwa maslahi yao<br />

na familia zao, huku watanzania<br />

walio wengi wakiachwa kuishi<br />

katika maisha ya kilofa.<br />

Tunaona kwamba Tanzania<br />

ambayo ina eneo la nchi kavu<br />

la kilomita za mraba 945,000,<br />

ambazo kati ya hizo, Kilomita<br />

za mraba 881,000 ni eneo la<br />

Tanzania Bara pekee yake na<br />

kilomita za mraba 2,000 ni eneo<br />

la visiwa vya Zanzibar na Pemba,<br />

Tahariri/Habari/Tangazo<br />

kwa ukubwa huu wa nchini, ni<br />

dhahiri kwamba kuna uhaba<br />

makubwa ya watu kulingana na<br />

ukubwa wa ardhi yetu.<br />

China ina watu milioni 1,300,<br />

ikiwa na ukubwa wa eneo la km²<br />

9,596,960. Malaysia ina ukubwa<br />

wa eneo la km² 329,847 tu, lakini<br />

watu wake ni 26,888,000 kwa<br />

kadirio la mwaka 2006. Sensa ya<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Wajumbe ZEC acheni kufuata matakwa ya wanasiasa<br />

Inatoka Uk. 1<br />

Tume hiyo.<br />

Hata hivyo, Maalim Seif,<br />

amesema Tume hiyo inayomaliza<br />

muda wake mwishoni mwa<br />

mwezi huu, inaondoka huku<br />

ikiacha viporo ambavyo Tume<br />

inayokuja inapaswa kuvipa<br />

umuhimu wa kipekee.<br />

Miongoni mwa mambo<br />

ambayo hayakuweza kutekelezwa<br />

na Tume hiyo ni pamoja na<br />

kushindwa kulifanyia uhakiki<br />

daftari la kudumu la wapiga kura<br />

kwa vipindi viwili tofauti, jambo<br />

ambalo liliahidiwa na Tume hiyo<br />

kufanyika kila ifikapo mwezi wa<br />

Oktoba.<br />

Kamishna wa Tume hiyo Bw.<br />

Ayoub Bakar Hamad, amesema<br />

tatizo hilo lilitokana na ukosefu<br />

wa fedha za kuendeshea kazi<br />

hiyo na kwamba, kwa sasa<br />

Shirika la Umoja wa Mataifa la<br />

mwaka 2000 iliyofanyika nchini<br />

humo ilionyesha kuwa kulikuwa<br />

na idadi ya watu 23,953,136.<br />

India yenyewe ina idadi ya watu<br />

bilioni 1.2<br />

Utaona kuwa pamoja na kuwa<br />

na idadi kubwa ya watu, na nchi<br />

nyingine kuwa na ardhi ndogo,<br />

bado mataifa hayo yamekuwa<br />

ndio tishio kwa sasa katika<br />

UNDP tayari limekubali kutoa<br />

fedha kwa ajili ya kuendeleza<br />

kazi hiyo.<br />

Amesema iwapo fedha hizo<br />

zitapatikana kwa wakati mapema<br />

mwezi ujao, Tume ijayo itakuwa<br />

na uwezo wa kufanya uhakiki<br />

mara mbili kwa mwaka, ili<br />

kufidia muda uliopita.<br />

K w a u p a n d e w a k e ,<br />

Mwenyekiti wa Tume hiyo Bw.<br />

Khatib Mwinyichande, amesema<br />

jitihada za makusudi zinapaswa<br />

kuchukuliwa katika kuimarisha<br />

d e m o k r a s i a y a u c h a g u z i<br />

Zanzibar.<br />

Amesema Tume inayokuja<br />

inaweza kufanya kazi zake vizuri<br />

zaidi, iwapo wanasiasa watatoa<br />

ushirikiano wa kutosha kwa Tume<br />

hiyo sambamba na kukubali<br />

kufuata sheria zilizowekwa.<br />

“ N a o m b a w a n a s i a s a<br />

musioneane haya, shaurianeni<br />

na kubalini kukosoana, na kubwa<br />

Bismillahir Rahmaanir Rahiim<br />

uchumi wa dunia.<br />

Wingi wetu si hoja ya kuwa<br />

na hofu juu ya huduma ya<br />

serikali kwa watu wake. Tatizo<br />

ni kukosekana watu waadilifu<br />

wa kusimamia rasilmali za<br />

watanzania, ambazo ndio msingi<br />

wa mapato yanayowezesha<br />

huduma kukidhi.<br />

zaidi ni kukubali kufuata sharia.<br />

alishauri Mwinyichande na<br />

kuongeza.<br />

“Wanasiasa pia mnayo nafasi<br />

kubwa ya kuisaidia Tume kwa<br />

kuipa maelekezo yanayostahiki,<br />

na kufanya hivyo kunaweza<br />

kuipa nyenzo bora za kufanyika<br />

kazi”.<br />

Naye Mkurugenzi wa Tume<br />

hiyo Bw. Salum Kassim Ali,<br />

ameahidi kuzifanyia kazi<br />

changamoto zilizojitokeza katika<br />

chaguzi zilizopita, ili kuweka<br />

mazingira bora zaidi katika<br />

chaguzi zijazo.<br />

Pamoja na hayo, Maalim<br />

seif, alieleza haja ya Tume hiyo<br />

kuanzisha mfuko wake, ili<br />

mapato ya Tume yaingie moja<br />

kwa moja katika mfuko huo na<br />

kupunguza usumbufu wakati<br />

Tume inapohitaji fedha kwa ajili<br />

ya matumizi yake ya kawaida.<br />

ALJEBRA ISLAMIC SEMINARY<br />

KIKAO CHA WAZAZI, WALEZI<br />

NA WADAU WENGINE WA ELIMU<br />

SHULE YA ALJEBRA ISLAMIC SEMINARY ILIYOPO KIBADA<br />

KIGAMBONI DAR ES SALAAM INAPENDA KUKUTAARIFU<br />

KUWA IMEANZISHA SHULE YA MSINGI ENGLISH MEDIUM.<br />

UKIWA KAMA MZAZI, MLEZI AU MDAU WA ELIMU<br />

UNAKARIBISHWA KWENYE KIKAO CHA KUTAMBULISHA<br />

SHULE RASMI, KIKAO KITAFANYIKA SHULENI SIKU YA<br />

JUMAPILI TAREHE 6/1/2013 KUANZIA SAA 3 ASUBUHI HADI<br />

SAA 6 MCHANA.<br />

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA:<br />

0715/0752/0688 260241 AU 0655/0768 176700<br />

TAFADHALI ATAKAYESOMA TANGAZI HILI<br />

AMTAARIFU NA MWENZAKE<br />

WOTE MNAKARIBISHWA<br />

WABILLAH TAWFIIQ<br />

MKUU WA SHULE


3<br />

Habari<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Kesi ya Sheikh Ponda mashahidi waingia ‘mitini’<br />

Na Bakari Mwakangwale kesi hatufahamu ni kwanini<br />

hajafika.<br />

MASHAHIDI wa upande<br />

wa mlalamikaji katika<br />

kesi inayomkabili Sheikh<br />

Ponda Issa Ponda na<br />

wenzake, wameshindwa<br />

k u f i k a M a h a k a m a n i<br />

Desemba 31, 2012, kutoa<br />

u s h a h i d i w a o k a t i k a<br />

mashtaka yanayowakabili<br />

watuhumiwa hao.<br />

K u f u a t i a k u s h i n d w a<br />

kufika mahakamani hapo<br />

kutoa ushahidi wao kama<br />

walivyotakiwa, Hakimu Mkazi<br />

wa Mahakama ya Kisutu,<br />

Victoria Nongwa, alitoa hati<br />

ya kukamatwa mashahidi<br />

ambao awali walisaini hati<br />

ya kuitwa mahakamani kutoa<br />

ushahidi wao, lakini siku ya<br />

kusikilizwa kesi hawakutokea<br />

m a h a k a m a n i h a p o n a<br />

hawakutoa taarifa yoyote.<br />

Kesi hiyo, ambayo ilipangwa<br />

kusikilizwa Jumatatu ya<br />

wiki iliyopita mahakamani<br />

hapo, iliahirishwa na Hakimu<br />

Victoria Nongwa, hadi tarehe<br />

14, 2013, kwa ajili ya kutajwa,<br />

ambapo itasikilizwa Januari<br />

17, 2013 kwa kuendelea<br />

kusikiliza mashahidi wa<br />

upande wa mashtaka.<br />

Kwa mara ya mwisho, kesi<br />

hiyo ilisikilizwa Desemba<br />

13, 2012, ambapo Sheikh<br />

wa Bakwata, Mkoa wa<br />

Shinyanga, Ismail Habibu<br />

Makusanya, alitoa ushahidi<br />

kwa upande wa mlalamikaji<br />

na iliahirishwa hadi Desemba<br />

31, 2012, ambapo ilikuwa<br />

ni kwa ajili ya kuendelea<br />

kusikiliza mashahidi zaidi wa<br />

upande wa mlalamikaji.<br />

Awali Mwanasheria wa<br />

Serikali, Tumaini Kweka,<br />

aliieleza Mahakama kwamba,<br />

aliita mashahidi watatu<br />

kwa ajili ya kufika kutoa<br />

ushahidi wao, lakini wote<br />

wameshindwa kufika licha ya<br />

kwamba mmoja alisaini hati<br />

ya kuitwa mahakamani kutoa<br />

ushahidi.<br />

“Leo kesi imeitwa kuja<br />

kusikilizwa, upande wa<br />

Jamhuri unaendelea kuleta<br />

mashahidi, lakini kutokana<br />

na sababu ambazo hata<br />

sisi Jamhuri tunashangaa,<br />

hawajatokea. Niliita mashahidi<br />

watatu kati ya hao mmoja<br />

alisaini samansi.” Alisema<br />

Wakili wa Serikali, ikiieleza<br />

Mahakama.<br />

Akitoa sababu za kutokufika<br />

kwa mashahidi hao, Wakili<br />

Kweka, alisema shahidi<br />

mmoja alimpa taarifa kuwa<br />

amesafiri, mwingine alidai<br />

ni mgonjwa hivyo hakusaini<br />

kabisa samansi na shahidi<br />

mwingine alisaini samansi<br />

na kuahidi kufika, lakini<br />

mpaka muda huu wa kuanza<br />

Hata hivyo wakili Kweka<br />

hakuwa tayari kutaja majina<br />

ya mashahidi hao.<br />

B a a d a e a l i i o m b a<br />

Mahakama itaje tarehe<br />

nyingine ya kusikilizwa kesi<br />

hiyo ili aweze kuwapata na<br />

kuwapeleka mashahidi hao<br />

mahakamani kwa ajili ya<br />

kutoa ushahidi wao dhidi ya<br />

mashtaka yanayowakabili<br />

Sheikh Ponda na wenzake.<br />

Kwa upande wake, wakili<br />

wa Sheikh Ponda na wenzake,<br />

Bw. Juma Nassoro, alihoji<br />

kuwa katika kesi iliyopita,<br />

(yaani Desemba 13, 2012)<br />

wakili wa Jamhuri Bw.<br />

Kweka, aliieleza mahakama<br />

kuwa kesi hiyo itakuwa na<br />

mashahidi wasiopungua<br />

arobaini kwa upande wa<br />

mlalamikaji, hivyo inakuwa je<br />

wameitwa mashahidi watatu<br />

tu na wameshindwa kutokea<br />

mahakamani na hawajulikani<br />

walipo?<br />

Baada ya kuulizwa na<br />

Hakimu, kauli ya Wakili<br />

Kweka, ilibadilika na kutoa<br />

sababu kuwa mmoja kasafiri<br />

na mwingine anaumwa, jambo<br />

ambalo Bw. Nassoro alidai si<br />

sahihi.<br />

“Hii si sahihi Mheshimiwa<br />

Hakimu, kutoa maelezo hayo<br />

hata huyo aliyesaini samansi<br />

pia hajatokea, inaonyesha<br />

udhaifu kwani hata mwenye<br />

kesi Hafidhi (Mlalamikaji)<br />

hajafika.” Alisema Nassoro.<br />

Hakimu Victoria Nongwa,<br />

alitoa amri ya kukamatwa<br />

shahidi aliyesaini samansi na<br />

kushindwa kufika mahakamani<br />

bila taarifa, ili ajieleze kwa<br />

nini alishindwa kutokea.<br />

Mpaka sasa Mashahidi<br />

watatu tu wa upande wa<br />

mashataka ndio walioweza<br />

k u t o a u s h a h i d i w a o<br />

mahakamni hapo.<br />

Nao ni Sheikh Suleiman<br />

Lolila, Katibu wa Bakwata<br />

Makao Makuu, Sheikh<br />

Ismail Habib Makusanya,<br />

Sheikh wa Bakwata mkoa wa<br />

Shinyanga na Bw. Suleiman<br />

Nassor Mohammed, mmoja<br />

wa wamiliki wa kampuni ya<br />

Agritanza, ambayo ndiyo<br />

iliyopewa ekari nne za kiwanja<br />

cha Markaz Chang’ombe.<br />

H a k i m u N o n g w a ,<br />

alipendekeza kesi hiyo iendelee<br />

kusikilizwa Januari 17, 2013.<br />

Januari 14, mwaka huu, kesi<br />

hiyo itarejea Mahakani hapo<br />

kwa ajili ya kutajwa kwa<br />

mujibu wa sheria.<br />

H a k i m u N o n g w a ,<br />

a l i b a i n i s h a k w a m b a<br />

watakaokwenda Mahakamani<br />

hapo Januari 14, 2013, ni<br />

Sheikh Ponda na Mukadam<br />

Swaleh ambao wapo mahabusa<br />

mpaka sasa.<br />

WAKILI wa Sheikh Ponda Issa Ponda, Juma Nassoro akiongea na Waislamu nje ya<br />

Mahakama ya Kisutu Jumatatu wiki hii. (Picha na Bakari Mwakangwale)<br />

Washtakiwa wengine<br />

waliopo nje kwa dhamana,<br />

w a m e t a k i w a k u f i k a<br />

Mahakamani hapo Januari<br />

17, 2013, siku ambayo kesi<br />

hiyo itaendelea kwa kusikiliza<br />

mashahidi wa upande wa<br />

mashtaka.<br />

Akiongea na waandishi<br />

wa habari mara baada ya<br />

kuahirishwa kwa kesi hiyo,<br />

Wakili wa Sheikh Ponda,<br />

Juma Nassoro, alionyesha<br />

kushangazwa na mwenendo<br />

wa kesi hiyo kwa upande wa<br />

walalamikaji.<br />

Alisema, mbali ya mashahidi<br />

wanaoanza kukwepa kufika<br />

na kutoa ushahidi wao, lakini<br />

hata Hafidhi, ambaye ndiye<br />

mlalamikaji amekuwa hafiki<br />

Mahakamani bila sababu za<br />

msingi.<br />

Aidha alisikitishwa na<br />

kitendo cha upande wa<br />

mashtaka kushindwa hata<br />

kutaja majina na idadi halisi<br />

ya mashahidi, jambo alilodai<br />

kuwa si la kawaida kwani<br />

hata katika kesi za mauaji,<br />

mashahidi huwa wanatajwa<br />

tofauti na wale wa kesi ya<br />

mteja wake.<br />

Alipoulizwa na An-nuur juu<br />

ya mustakali wa dhamana kwa<br />

wateja wake (Sheikh Ponda<br />

na Mukadam), alisema bado<br />

Jamhuri inadai kuwa inaona<br />

watahatarisha amani endapo<br />

watakuwa nje. Hata hivyo<br />

alisema, wameandika barua<br />

kulalamikia suala hilo kwa<br />

DPP lakini bado hawajapata<br />

majibu yoyote.<br />

Alisema katika barua<br />

h i y o , w a m e m w e l e z a<br />

DPP kwamba kuendelea<br />

kumshikilia Sheikh Ponda na<br />

Mukadam, ni kinyume cha<br />

haki za binadam kwa sababu<br />

haiwezekani katika kesi moja<br />

washtakiwa wengine wote<br />

wapate dhamana na wengine<br />

wanyimwe haki hiyo.<br />

Alisema kitendo hicho ni cha<br />

kukandamiza haki za msingi<br />

za binadamu kwa sababu<br />

katika mtiririko wa maelezo<br />

ya kesi, hakuna hata mmoja<br />

anayezungumzia kuvurugwa<br />

amani ya nchi, zaidi mashahidi<br />

wanazungumzia uhalali<br />

au kutokuwapo uhalali wa<br />

kuuzwa kiwanja cha Markazi<br />

Chang’ombe.<br />

Kwamba hakuna sehemu<br />

yeyote ambayo inaonyesha<br />

kiwanja hicho kinagusa<br />

maslahi ya Taifa.<br />

“Tumeandika barua kwa<br />

DPP, Desemba 24, 2012,<br />

yenye kumbukumbu namba<br />

LJ/CC/245/2012, tumeomba<br />

k w a m b a D P P a o n d o e<br />

pingamizi lake la dhamana<br />

kwa sababu kesi na mtiririko<br />

wake unavyokwenda, hakuna<br />

1.2259 sqm - 8 Milion<br />

2.1470 sqm - 4.5Milion<br />

3.1341 sqm - 4 Milion<br />

4.1566 sqm - 5Milion<br />

5. 1115 sqm - 3.5Milion<br />

6. 1136 sqm - 3.6Milion<br />

lolote linaloonyesha maslahi<br />

ya Taifa au usalama wa nchi<br />

unaweza kuhatarika kwa<br />

Sheikh Ponda na Sheikh<br />

Mukadam kuwa nje kwa<br />

dhamana. Nao wapewe haki<br />

hiyo kama ambavyo wenzao<br />

waliopatiwa dhamana katika<br />

shauri hilo hilo.” Alisema<br />

Wakili Nassoro.<br />

Wakili Nasoro alisema,<br />

u s h a h i d i u n a o t o l e w a<br />

unaonyesha kabisa kuwa ni<br />

mashtaka ya kawaida kwani<br />

alidai kwamba, hata maelezo<br />

ya Bw. Hafidhi, (aliyenunua<br />

k i w a n j a ) a l i y o y a t a o a<br />

Polisi Chang’ombe akiwa<br />

mlalamikaji, hakuna mahala<br />

panapoeleza kuna kuhatarisha<br />

maslahi ya Taifa au Usalama<br />

wa Taifa.<br />

Alisema ndio maana<br />

amemuomba DPP, atoe<br />

pingamizi lake ili Mahakama<br />

iweze kuweka wazi dhamana<br />

kwa washtakiwa ili wapate<br />

haki yao ya dhamana.<br />

Viwanja vilivyopimwa vinauzwa<br />

Kongowe Kibaha<br />

Vipo Barabara ya Kongowe-Soga<br />

Kilomita moja toka barabara ya Morogoro.<br />

Simu No.0755 090 754/0715 090 754.


4<br />

Habari<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Nyerere alikuwa kiongozi wa dini au siasa?<br />

Inatoka Uk. 1<br />

alipokuwa hai.<br />

Aidha wamefahamishwa<br />

k w a m b a , i n a p o s e m w a<br />

kuwa hayati Mwalimu<br />

Nyerere alikuwa muasisi wa<br />

Mfumokristo, umekuwepo<br />

ushahidi kamili hivyo<br />

haisemwi kwa kuzusha tu<br />

au kumpakazia na kwamba,<br />

ndiyo sababu Kanisa Katoliki<br />

nchini linataka kumpa<br />

utakatifu kutokana na kazi<br />

nzuri alilolifanyia Kanisa hilo<br />

alipokuwa madarakani.<br />

Akihutubia ndani ya Masjid<br />

Idrisa, uliopo Kariakoo jijini<br />

Dar mara baada ya swala<br />

ya Ijumaa wiki iliyopita,<br />

Maalim Bassaleh, aliwataka<br />

Maaskofu nchini, kueleza<br />

kwa uwazi sababu za kubariki<br />

utakatifu wa hayati Julius<br />

Kambarage Nyerere, wakati<br />

hakuwa kiongozi wa dini.<br />

Alisema kabla ya kutaka<br />

kumkingia kifua Mwalimu<br />

Nyerere ambaye aliyekuwa<br />

kiongozi wa siasa, ni vyema<br />

kwanza wakaeleza misingi<br />

ya kumsimika utakatifu<br />

mkatoliki ambaye hakuwa<br />

kiongozi wa Kanisa.<br />

“Lakini tuliulize hilo<br />

Kanisa Katoliki, kwamba je,<br />

Mwalimu Nyerere, alikuwa<br />

kiongozi wa dini au kiongozi<br />

wa Siasa? Kama wa siasa, vipi<br />

Kanisa hilo linataka kumpa<br />

cheo cha utakatifu, cheo<br />

ambacho kinalihusu Kanisa<br />

hilo tu, wakati alikuwa ni<br />

kiongozi wa umma na si<br />

wa dini.” Alisema na kuhoji<br />

Maalim Bassaleh.<br />

Alisema kwa kawaida,<br />

Wakatoliki huwapa utakatifu<br />

watu ambao walikuwa nguzo<br />

(mihimili) ya Kanisa Katoliki<br />

na ambao wamefanya kazi<br />

zilizotukuka wakiwa ni<br />

Wachungaji au Watawa<br />

au watumishi wa kanisa<br />

waliowahi kujitolea kwa<br />

muda mrefu katika Kanisa.<br />

Akinukuu kitabu cha<br />

Rais mstaafu wa Zanzibar,<br />

Mzee Aboud Jumbe, ambaye<br />

alifanya kazi ya kwa karibu na<br />

mwalimu, Maalim Bassaleh<br />

alisema katika kitabu chake<br />

hicho cha ‘The Partnership’,<br />

ameeleza kwamba mwalimu<br />

Nyerere, alikuja kuimarisha<br />

Mfumokristo katika utawala<br />

wake kutokana na nafasi<br />

aliyokuwa nayo na zaidi<br />

alilipendelea Kanisa lake<br />

Katoliki.<br />

Alisema Alhaji Jumbe,<br />

aliyaeleza hayo kwa kutumia<br />

MAALIM Ally Bassaleh akiongea na Waislamu katika viwanja vya Biafra, jijini Dar es<br />

Salaam.<br />

ushahidi wa Padri Mkristo<br />

wa Kikatoliki, Dk. Sivalon,<br />

aliyefanya utafiti kuhusu<br />

Kanisa Katoliki na siasa za<br />

Tanganyika, ambapo kwa<br />

uwazi na mapana Padri<br />

huyo ameonyesha ni vipi<br />

mwalimu Nyerere, wakati<br />

wa utawala wake alivyokuwa<br />

akilipendelea Kanisa Katoliki<br />

nchini.<br />

Ufafanuzi wa Maalim<br />

Bassaleh umekuja kufuatia<br />

yaliyoelezwa katika tamko<br />

la Jumuia ya Maaskofu<br />

lililotolewa Kurasini Jijini<br />

Dar es Salaam siku za hivi<br />

karibuni.<br />

Katika tamko hilo, pia<br />

walijadili hali ya kuzorota kwa<br />

mahusiano baina ya dini mbili<br />

kubwa hapa nchini, Uislamu<br />

na Ukristo, kisha walieleza<br />

juu ya hatari inayolinyemelea<br />

Taifa kutokana na hali hiyo.<br />

M a a l i m B a s s a l e h ,<br />

alisema katika kipengele<br />

hicho, amewataka Waislamu<br />

kuwapongeze Maaskofu<br />

hao kwa kuiona hali hiyo<br />

na kisha kutoa wito wa<br />

kuyashughulikia haraka<br />

yale yanayoashiria hatari<br />

sambamba na kuboresha<br />

mahusiano mema baina ya<br />

Waislamu na Wakristo.<br />

“ K a m a n d u g u z e t u<br />

Maaskofu watakuwa wakweli,<br />

basi huo ni mwanzo mzuri wa<br />

kujenga msingi mwema wa<br />

amani ya kweli katika nchi<br />

yetu na wala isiwe amani<br />

ya kifaurongo (aina ya mti<br />

ukiguswa husinyaa baada ya<br />

muda huchanua)”. Alisema<br />

Maalim Bassaleh.<br />

Pamoja na kuwapongeza<br />

Maaskofu kwa kuiona hatari<br />

iliyo mbele, lakini alidai<br />

makundi hayo yanatofautiana<br />

kwa kiasi kikubwa katika<br />

kiini cha matatizo hayo na<br />

suluhisho lake.<br />

Akichambua tamko hilo,<br />

Maalim Bassaleh, alisema<br />

makundi hayo yanaanza<br />

kuachana pale ambapo<br />

Maaskofu hao wanapokataa<br />

kuwepo kwa Mfumo Kristo<br />

ulioota mizizi katika dola,<br />

wakidai kwamba ni dhana<br />

potevu.<br />

“Jukwaa la Wakristo nchini<br />

tunakanusha wazi wazi na<br />

kuelezea bayana kuwa nchi<br />

hii haiongozi kwa Mfumo<br />

Kristo, kwa watu walio<br />

makini hakuna kificho kuwa<br />

viongozi wote waandamizi<br />

wa ngazi ya juu serikalini<br />

awamu ya sasa asilimia tisini<br />

ni Waislamu.<br />

“Dhana ya kuwepo Mfumo<br />

Kristo ni uongo na ni dhana<br />

potevu, maneno hayo ni<br />

agenda za waamini wenye<br />

imani kali na waliojiandaa<br />

kwa mapambano maovu.”<br />

Alinukuu sehemu ya tamko<br />

hilo.<br />

A k i f a f a n u a n e n o<br />

‘Mfumokristo’ Maalim<br />

Bassaleh, alisema ni mfumo<br />

kandamizi dhidi ya Uislamu<br />

na Waislamu, japo kuwa<br />

kwa misingi ya kiserikali<br />

mfumo huo haupo rasmi,<br />

lakini kiutendaji mfumo<br />

huo umefanywa kuwa ni<br />

mila, desturi na utamaduni<br />

wa watendaji walio wengi<br />

serikalini na katika taasisi<br />

zake, ambazo mara nyingi<br />

zinatumika kuwakandamiza<br />

na kudhulumu haki za<br />

Waislamu.<br />

Alisema mfumo huo<br />

umekuwa kama utamaduni<br />

na umeenezwa hadi katika<br />

mashirika ya umma na katika<br />

Taasisi za kijamii.<br />

Mara kadhaa watekelezaji<br />

wa Mfumokristo wamekuwa<br />

wakikiuka hata Katiba na<br />

sheria za nchi, hususani<br />

masuala hayo yanapogusa<br />

Waislamu na Uislamu.<br />

Maalim Bassaleh alisema<br />

kwa utaratibu huo, hata kama<br />

Maaskofu wamenisha kuwa<br />

Rais na watendaji wa ngazi za<br />

juu wote ni Waislamu, lakini<br />

kutokana na Mfumokristo,<br />

wote waliotajwa wanatatizika<br />

katika kutekeleza majukumu<br />

yao ipasavyo.<br />

Wakijisafisha kuhusu<br />

suala la MoU, Maaskofu hao<br />

wanadai katika tamko lao<br />

kwamba mkataba huo ni baina<br />

ya Makanisa ya Tanzania na<br />

Makanisa ya Ujerumani na<br />

kwamba, serikali ilihusishwa<br />

tu.<br />

Katika maelezo yao kuhusu<br />

MoU, wao wamedai kuwa<br />

MoU ya mwaka 1992, ni kwa<br />

ajili ya huduma ya kijamii<br />

zinazotolewa na Makanisa<br />

kwa Watanzania wote, ikiwa<br />

ni pamoja na huduma za<br />

hospitali, vituo vya afya,<br />

zahanati na shule mbalimbali<br />

zinazoendeshwa na Makanisa<br />

nchini.<br />

Maalim Bassaleh alihoji,<br />

ikiwa mkataba huo ni wa<br />

Makanisa na kwamba serikali<br />

ilihusishwa tu, itahusishwa<br />

vipi katika masuala ya dini<br />

wakati Serikali yenyewe<br />

haina dini?<br />

Inafahamika kwamba<br />

kwamba hao Maaskofu,<br />

wamekuwa wakiigomea<br />

Serikali kujihusisha na<br />

Mahakama ya Kadhi na<br />

suala la OIC kwa Waislamu,<br />

wakidai serikali haina dini.<br />

“Mbona Serikali hiyo<br />

inahusishwa katika mikataba<br />

ya Makanisa ya Ulaya<br />

na yale ya humu nchini,<br />

lakini hawataki ihusihwe<br />

na OIC, ambayo nayo ikija<br />

itatengeneza barabara,<br />

madaraja, na watakaopita<br />

ni watu wote bila kuangalia<br />

waliovaa kofia, kanzu au<br />

kilemba, kusaidia taasisi<br />

za huduma za kijamii ya<br />

watanzania wote bila kujali<br />

dini zao kama inavyodaiwa<br />

kufanywa na taasisi za<br />

makanisa?.” Alihoji Maalim<br />

Bassaleh.<br />

H a t a h i v y o M a a l i m<br />

Bassaleh alisema maaskofu<br />

hawataki kusema kweli juu<br />

ya mkataba wao wa MoU kati<br />

yao na serikali.<br />

A l i s e m a , m a e l e z o<br />

wanayoyatoa Maaskofu ni<br />

tofauti na mkataba wenyewe<br />

ambao unasema, “Sisi<br />

tuliotia saini zetu ambao ndio<br />

wahusika katika maridhiano<br />

hayo, kwa kutaja Makanisa<br />

yaliyoungana chini ya Baraza<br />

la Makanisa Tanzania na<br />

B a r a z a l a M a a s k o f u<br />

Tanzania.<br />

“Ambayo katika mkataba<br />

huu yatakuwa yanajulikana<br />

kama ni Makanisa kwa<br />

upande mmoja na Serikali<br />

ya Muungano wa Jamhuri<br />

wa Tanzania, itatambulika<br />

kama ni Serikali kwa upande<br />

wa pili”. Alinukuu sehemu ya<br />

mkataba huo kati ya serikali<br />

na makanisa.<br />

Alisema, kutokana na<br />

kipengele hicho, inaonyesha<br />

makubaliano hayo ni ya<br />

pande mbili ambapo upande<br />

wa kwanza ni wa Makanisa,<br />

ambayo yameungana pamoja<br />

na upande wa pili ni wa<br />

Serikali. Katika Makanisa<br />

yaliyotajwa hapo, hakuna<br />

Kanisa la Kijerumani.<br />

Alisema kwa kupitia<br />

mkataba huo, Makanisa<br />

yanatumia pesa za Serikali<br />

ambazo ni za walipa kodi<br />

wote. Mwaka wa fedha wa<br />

2008-2009, Serikali ilitumia<br />

mamilioni ya fedha kwa ajili<br />

ya kufadhili Mahospitali na<br />

taasisi nyingine za huduma<br />

za afya zinazomilikiwa na<br />

Makanisa kwa ajili ya kulipa<br />

mishahara wafanya kazi.


5<br />

Marekani<br />

yaonyesha<br />

kujizatiti<br />

kijeshi Afrika<br />

MAREKANI imetuma vikosi<br />

vyake nchini Chad, katika<br />

hatua ambayo inaonekana<br />

wazi kuwa ni kuzidi kujizatiti<br />

kijeshi barani Afrika.<br />

S a b a b u i l i y o t a j w a n a<br />

Marekani ya kutuma vikosi<br />

vyake nchini Chad, ni wasiwasi<br />

wa Washington kuhusu usalama<br />

wa raia wake kutokana na kuzidi<br />

kusonga mbele waasi katika<br />

nchi Jamhuri ya Afrika ya Kati,<br />

ambayo ni jirani na Chad.<br />

Katika barua yake kwa<br />

maspika wa mabunge mawili<br />

ya Marekani, Rais Barack<br />

Obama wa nchi hiyo amesema<br />

kuwa, raia kadhaa wa Marekani<br />

wameondolewa katika mji mkuu<br />

wa Jamhuri ya Afrika ya Kati,<br />

Bangui, tangu Desemba 27 na<br />

hivi sasa kikosi cha wanajeshi<br />

50 wa Marekani kimetumwa<br />

nchini Chad.<br />

Watu wanaokosoa hatua hiyo<br />

ya Marekani wanasema kuwa,<br />

hawaoni sababu ya Washington<br />

kutuma kikosi cha jeshi, tena<br />

katika nchi ambayo haina<br />

machafuko kwa madai kuwa<br />

nchi jirani ina machafuko.<br />

Itakumbukwa kuwa Marekani<br />

na Ufaransa zilikataa mwito<br />

wa Rais Francois Bozize, wa<br />

Jamhuri ya Afrika ya Kati wa<br />

kutaka kusaidiwa kukabiliana na<br />

waasi wa kundi la SELEKA.<br />

LONDON<br />

LICHA ya kutangazwa<br />

kwa propaganda mbaya<br />

kama dini ya magaidi,<br />

U i s l a m u u n a k u w a<br />

kwa kasi katika nchi<br />

za Magharibi ambazo<br />

kwa kawaida wanaishi<br />

wakristo wengi.<br />

Uingereza imekuwa<br />

mfano mzuri wa hali hii<br />

ambapo Wakristo wengi<br />

wanabadili dini na kuwa<br />

Waislamu na kuufanya<br />

U i s l a m u k u w a d i n i<br />

inayokuwa kwa kasi zaidi<br />

katika majimbo ya nchi<br />

hiyo.<br />

Kushamiri kwa Uislamu<br />

kumebainika hivi karibuni<br />

kufuatia sensa iliyofanyika<br />

hivi karibuni Uingereza,<br />

a m b a y o s i k w a m b a<br />

imebainisha ukuaji wa<br />

haraka wa Uislamu, lakini<br />

pia kumeifanya Uislamu<br />

kuwa dini ya pili nchini<br />

humo.<br />

Mmoja wa watathmini<br />

TEHRAN<br />

Jeshi la Wanamaji la<br />

Jamhuri ya Kiislamu ya<br />

Iran limefanyia majaribio<br />

makombora mawili ya<br />

Qader (Uwezo) na Nour<br />

(Nuru) katika mazoezi ya<br />

kijeshi yaliyofahamika<br />

kama ‘Velayat 91’.<br />

Kamanda wa Kitengo cha<br />

Makombora cha Jeshi la<br />

Wanamaji la Jamhuri ya<br />

Kiislamu ya Iran Admeli<br />

Habari za Kimataifa<br />

Iran yafanyia majaribio makombora mapya<br />

Ali Vafadar, amesema aina<br />

hizo mbili za makombora<br />

hayo yametengenezwa nchini<br />

humo na wataalamu Wairan<br />

wenyewe.<br />

A m e o n g e z a k u w a<br />

m a k o m b o r a h a y o<br />

yameimarisha kiwango cha<br />

uwezo wa Jeshi la Wanamaji<br />

la Iran baharini.<br />

Mazoezi hayo hayo ya siku<br />

sita yalianza Ijumaa, Desemba<br />

28, na yamefanyika katika<br />

eneo la fukweni, baharini<br />

na angani, kwenye lango la<br />

Hormuz, Bahari ya Oman,<br />

Kaskazini mwa Bahari ya<br />

Hindi, Ghuba ya Aden na<br />

lango la Babul Mandab.<br />

Kamanda wa Jeshi la<br />

Wanamaji la Jamhuri ya<br />

Kiislamu ya Iran Admeli<br />

Habibullah Sayyari, amesema<br />

mazoezi hayo ya kijeshi<br />

yamebeba ujumbe wa urafiki<br />

na udugu kwa mataifa rafiki<br />

na onyo kali kwa maadui.<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

WASHINGTON<br />

HABARI kutoka Marekani<br />

zinabainisha kuwa, viongozi<br />

wa kisiasa wa vyama vya<br />

Republican na Democrats,<br />

wameendelea kulumbana<br />

kutokana na hali mbaya ya<br />

uchumi wa nchi hiyo.<br />

Mvutano huo umetokea<br />

kuhusu juu ya namna gani ya<br />

kutatua matatizo ya kiuchumi<br />

ili kuweza kuwapunguzia<br />

wananchi mzigo wa mgogoro<br />

wa kiuchumi.<br />

Mkuu wa taasisi ya Centre for<br />

Corporate Policy, ya Washington<br />

Bw. Charlie Cray, amesema<br />

kuwa jamii ya watu wa tabaka<br />

la kati nchini Marekani, ndio<br />

waathirika wa malumbano ya<br />

kisiasa nchini humo.<br />

Ameongeza kuwa, hali<br />

hiyo imezidisha ongezeko la<br />

ukosefu wa ajira na mgogoro<br />

wa kiuchumi nchini humo.<br />

Mtaalamu huyo wa masuala ya<br />

kiuchumi pia amesisitiza kuwa,<br />

hali mbaya zaidi inawakabili<br />

Wamarekani wenye asili ya<br />

Kiafrika na kwamba, kiwango<br />

cha ukosefu wa ajira katika<br />

tabaka hilo kimefikia asilimia<br />

12.4, ambapo wengi wao ni<br />

vijana walio na umri wa kati ya<br />

miaka 18 hadi 29.<br />

Rais Barack Obama amekuwa<br />

akishinikiza mpango wake wa<br />

kuiongeza kodi kwa matajiri<br />

nchini humo, ikiwa nikatika<br />

harakati zake za kujaribu<br />

kupunguza nakisi ya bajeti ya<br />

nchi hiyo na kuongeza pato la<br />

serikali.<br />

Wakristo Uingereza wasilimu kwa kasi<br />

Waufanya Uislamu kukua kwa kasi zaidi<br />

amesema, “dalili zote<br />

ni kwamba idadi kubwa<br />

ya Waingereza ambao<br />

wamekulia katika Ukristo<br />

w a n a k u w a Wa i s l a m .<br />

Hii inaonyesha ni jinsi<br />

gani idadi ya Waislamu<br />

inaongezeka huku ile ya<br />

Wakristo ikipungua…<br />

kiwango hiki kinatarajiwa<br />

kuendelea.”<br />

K w a m u j i b u w a<br />

matokeo ya sensa hiyo,<br />

Waislamu sasa wanakuwa<br />

asilimia tano ya idadi ya<br />

watu wote wa Uingereza.<br />

Viwango vya ukuaji vya<br />

hivi karibuni vimeonyesha<br />

kuwa idadi ya Waislamu<br />

inaweza kuwa maradufu<br />

hadi kufikia sensa ijayo<br />

ambayo itafanyika mwaka<br />

2021, na hapo wanatarajiwa<br />

kuwa asilimia kumi ya<br />

idadi ya watu wote.<br />

Katika kipindi hicho,<br />

idadi ya Waislamu England<br />

na Wales inakadiriwa<br />

kuongezeka kwa asilimia<br />

80 (sawa na milioni 1.2),<br />

kutoka milioni 1.5 mwaka<br />

2001 hadi milioni 2.7<br />

mwaka 2011, na kuufanya<br />

Uislamu dini ya pili kwa<br />

ukubwa Uingereza.<br />

W a t a f i t i w e n g i<br />

wanaamini kuwa idadi<br />

k a m i l i y a Wa i s l a m<br />

Uingereza inaweza kuwa<br />

kubwa kuliko iliyojitokeza<br />

katika data za sensa hiyo.<br />

Hii ni kwasababu swali<br />

la dini lilikuwa swali la<br />

hiari katika sensa hiyo ya<br />

mwaka 2011 na asilimia<br />

7.2 ya watu hawakujibu<br />

swali hilo.<br />

D i n i y a t a t u k w a<br />

ukubwa England na Wales<br />

ni Hinduism (817,000),<br />

wakifuatiwa na Sikhism<br />

(423,000), Buddhism<br />

(248,000) na Judaism<br />

(263,000), ilieleza ripoti<br />

ya sensa hiyo.<br />

Katika sensa hiyo, idadi<br />

ya watu milioni 56.07<br />

walihesabiwa, idadi ya<br />

waliojieleza wenyewe<br />

kuwa ni Wakristo ilishuka<br />

kutoka asilimia 72 mwaka<br />

2001 hadi kufikia asilimia<br />

59 mwaka 2011. Idadi<br />

ya Waislamu iliongezeka<br />

kutoka asilimia 3 hadi<br />

kufikia asilimia 5 katika<br />

muongo mmoja.<br />

Takwimu za sensa hiyo<br />

zimeonyesha kuwa idadi ya<br />

Wakristo England na Wales<br />

imeshuka kwa silimia 11<br />

(milioni 4.1) katika karne<br />

iliyopita, aidha inaonyesha<br />

kupungua kutoka milioni<br />

37.3 mwaka 2001 hadi<br />

milioni 33.2 mwaka 2011.<br />

T a k w i m u h i z o<br />

zilionyesha dhahiri kuwa<br />

Uchumi waibua<br />

malumbano ya<br />

kisiasa Marekani<br />

WAZIRI Mkuu wa<br />

Uingereza, David Cameroon<br />

Uislamu unakuwa kwa<br />

kasi na idadi kubwa ya<br />

wasiokuwa Waislamu<br />

wameamua kuufuata,<br />

ingawa watu wa Magharibi<br />

wanauona kama ni dini<br />

ya magaidi na kusambaza<br />

propaganda potofu dhidi ya<br />

Waislamu.


6<br />

WAZUNGU wana msemo wao<br />

usemao, “Ukitaka kumuua<br />

mbwa mpe jina baya”.<br />

Jambo la kushangaza basi,<br />

katika uzoefu wa maisha ya<br />

mwanadamu si mara nyingi<br />

falsafa na ukweli uliomo katika<br />

methali kutumika kama falsafa<br />

ya nchi au taifa fulani.<br />

Lakini kwa sababu moja au<br />

nyengine, kuna misemo miwili<br />

mitatu hivi inaonekana kubakia<br />

kuwa misemo tu, bali imekuwa<br />

kama falsafa inayoongoza<br />

maisha na malengo ya watu<br />

hapa duniani.<br />

Kwa mfano, msemo mkongwe<br />

wa Wazungu utafsirikao<br />

kama ‘wagawe, uwatawale’<br />

umetumika ipasavyo katika<br />

kuzitawala nchi na Jumuiya<br />

mbalimbali duniani. Waingereza<br />

waliweza kuitawala dunia kwa<br />

msemo huu. Na Wamarekani<br />

wameweza kufanya watakalo<br />

duniani kwa kutumia falsafa hii.<br />

Pia Watanganyika wameweza<br />

kuitawala Zanzibar kimabavu<br />

kwa kutumia fasalafa hii pia.<br />

Wametugawa na kututawala.<br />

Wakati hubadilisha mambo.<br />

Kwa muda wa miongo ipatayo<br />

sita (six decades) tangu uhuru,<br />

falsafa hii imekuwa ikifichwa<br />

kutumiwa kwake. Inafichwa sio<br />

Makala<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Hujuma dhidi ya Waislamu wa Zanzibar<br />

SHEIKH Farid Had na viongozi wenzake wa UAMSHO wakiwa katika karandinga la Polisi.<br />

Na Mwandishi Wetu<br />

kama haipo, ipo lakini dunia ya<br />

sasa ya utandawazi na haki za<br />

binadamu, falsafa hii haipati<br />

nguvu ya kutembea utupu<br />

hadharani tena kama ilivyokuwa<br />

mwanzo.<br />

Na kwa vile silaha hii<br />

imekwisha nguvu, tumeletewa<br />

silaha nyengine isemayo,<br />

‘Ukitaka kumuuwa mbwa, mpe<br />

jina baya!’<br />

Zanzibar, katika ramani<br />

ya siasa za dunia imekuwa<br />

ikifanyiwa kila bidii na njama<br />

ili iwe sawa na Palestina, au<br />

mataifa mengine ya Kiislamu<br />

yaliyoharibiwa na Mayahudi<br />

na Manasara kupitia mataifa<br />

yao makubwa. Yaani Zanzibar<br />

inatakiwa isiwe na utaifa wala<br />

utambulisho wowote. Na hilo<br />

lilikuwa karibu mno kufanikiwa.<br />

Lakini kabla ya kufikia hatua<br />

hiyo, wazanzibari wameamka.<br />

Wakaanza kudai haki zao.<br />

Na kwa vile wanzanzibari<br />

hawalengwi wala kuthibitikiwa<br />

na kuwa na haki ya kudai chao,<br />

pao, lao, wala ya kwao, hili<br />

limekuwa kosa. Sasa tunabatizwa<br />

kwa kila jina baya ili kuhalalisha<br />

kuangamizwa kwetu.<br />

Tu n a i t w a m a g a i d i n a<br />

Waislamu wenye msimamo<br />

mkali. Tunaitwa hivi katika<br />

k i p i n d i a m b a c h o d u n i a<br />

imejengwa iamini kila Muislamu<br />

ni adui asiye na haki ya kuishi<br />

katika mgongo wa dunia hii.<br />

Kwa kusherehesha mjadala<br />

huu, katika siku za hivi karibuni,<br />

Zanzibar imekuwa ikiharibiwa<br />

sifa na jina lake kwa maksudi na<br />

vyombo vitatu. Kwanza, Kanisa<br />

ambalo limekuja Zanzibar<br />

sio kwa kufanya ibada, bali<br />

kuifitinisha Zanzibar mbele<br />

ya jamii za Kimataifa. Kanisa<br />

lilikuwapo Zanzibar tangu na<br />

kabla ya kuja kwa Edward<br />

Steere hapa Zanzibar.<br />

Kulikuwa kimya ilhali<br />

Waislamu walikuwepo, tena<br />

na wasomi wakubwa wa<br />

enzi hizo wakiwa hai hapa<br />

Zanzibar. Ilikuwa kimya na<br />

wala hakukuwa na Mzanzibari<br />

aliyewahi kuingilia uhuru wa<br />

kuabudu kwa wana Kanisa. Na<br />

hivi ndivyo ilivyo mpaka leo.<br />

Zanzibar ni nchi pekee duniani<br />

iliyo na ustahamilivu mkubwa<br />

wa kidini (Religious tolerance)<br />

kuliko nchi yoyote.<br />

Kwa vile wanaonekana<br />

Wazanzibari hawapendi ugomvi<br />

na wenzao wa Kikristo, la kufanya<br />

ni kuwapachika kila aina ya sifa<br />

mbovu ili kuwachafua, hata kama<br />

hawamchokozi mtu. Kanisa,<br />

Zanzibar hufanya kila liwezalo,<br />

kuhakisha wanawakorofisha<br />

Waislamu ili wajibu mapigo,<br />

wawaharabie sifa na malengo<br />

yao yatimie.<br />

Hili lilishindikana na sasa kuna<br />

njama za maksudi za kufanya<br />

matukio yao wenyewe kama<br />

vile kutia moto baa, makanisa<br />

yao, na hata kujeruhiana na<br />

kisha wakasingizia Waislamu<br />

wa Zanzibar, ambao wengi<br />

wao hawana habari na Wakristo<br />

waliopo. Wazanzibari wa sasa<br />

wametiwa dhiki za maisha kiasi<br />

kwamba hata hizo sala tano ni<br />

shida kuzisimamisha, seuze<br />

kugombana na kanisa.<br />

Chombo cha pili ni Serikali,<br />

ambayo ili kulinda maslahi ya<br />

Muungano, imeifanya Zanzibar<br />

kuwa ni eneo la hatari kidini<br />

na kisiasa. Na bila kujua athari<br />

ya maneno wanayosema mbele<br />

ya jamii za kimataifa, serikali<br />

imethubutu kuitangazia dunia<br />

kuwa Zanzibar kuna magaidi<br />

na wanaharakati wa Kiislamu<br />

wenye msimamo mkali.<br />

Huu ni ubaya ulio dhahiri wa<br />

Serikali dhidi ya wananchi wake<br />

wenyewe. Serikali haitambui<br />

kuwa kufanya hivi sio kuharibu<br />

taswira ya Zanzibar na Waislamu<br />

tu, bali hata nchi nzima, na<br />

kuathiri shughuli nyingi za<br />

kiuchumi, lakini nani anafikiri<br />

hayo. Tupo kisiasa zaidi.<br />

Taasisi ya tatu, Mayahudi na<br />

Manasara ambao kazi yao ni<br />

kuleta fitina katika ardhi, hasa<br />

hasa ardhi za Kiislamu. Watu<br />

hawa ambao wengi ni wazungu,<br />

huja hapa kama watalii na baadae<br />

kuanza kupanga hujuma na<br />

mitandao ya fitina zisizomithilika<br />

dhidi ya Waislamu. Baada ya<br />

hujuma zao hizo kutimia, ndio<br />

utaona wanatumia vyombo vya<br />

habari kuitangazia dunia kuwa<br />

Zanzibar kuna ‘ugaidi’ Waislamu<br />

wanawaonea wakristo. Hii ni<br />

fitna tupu.<br />

Zanzibar hakuna lolote kati ya<br />

hayo wanayoyataja. Na jambo la<br />

kushangaza, hakuna kiongozi<br />

wetu hata mmoja anayekanusha<br />

upuuzi na kasumba hizi. Leo hii<br />

Wazungu ndio wanaoongoza kwa<br />

kutembea uchi hapa Zanzibar.<br />

Waislamu wako kimya. Wao<br />

wapo hapa pia kuishawishi nchi<br />

hii ikubali ndoa za mashoga.<br />

Mambo ambayo huko kwao<br />

yameshawashinda, wanatuletea<br />

sisi huku.<br />

Wazungu ndio walioleta<br />

nakama ya mahoteli, kuigiza<br />

na kuingiza mikanda ya ngono,<br />

na ndio wanaojazana hapa<br />

mwezi wa Ramadhani kuja<br />

kula mchana barabarani ili<br />

kuwaudhi Waislamu. Hakuna<br />

anayesema. Tunafanyiwa<br />

maudhi na karaha ndani ya nchi<br />

yetu, bila kuheshimu mila na<br />

desturi za nchi yetu. Ukisema<br />

Serikalini unajibiwa, ‘Serikali<br />

haina dini’.<br />

Wanzanzibari tumekuwa<br />

watumwa, watwana katika nchi<br />

yetu kwa wageni wajao kwetu.<br />

Na bahati mbaya Waislamu<br />

wakisimama kudai haya, Serikali<br />

husimama kidedea kuwalaani<br />

Waislamu na kuwahujumu<br />

kupita kiasi. Serikali haijali<br />

wala kutambua kuwa katika<br />

nchi kama Zanzibar ambapo<br />

Waislamu ni wengi, mila na<br />

desturi za Waislamu hao hazina<br />

budi kulindwa na kuheshimiwa<br />

na kila mtu, licha ya kuwa<br />

serikali haina dini, lakini<br />

viongozi wanayo dini.<br />

Nionavyo, ni wajibu wa kila<br />

Muislamu, awe kiongozi wa<br />

siasa, wa nchi au raia wa kawaida,<br />

ni wajibu kwake kuilinda<br />

dini hii. Tuelewe kwamba<br />

wenzetu wasiokuwa Waislamu,<br />

wameandaliwa kuvuruga<br />

juhudi zote za kuimarisha na<br />

kuisimamisha dini ya Kiislamu.<br />

Na mbinu wanayoitumia ni hii<br />

ya kutuita majina mabaya ili<br />

kuhalalisha maovu yao.<br />

Wazanzibari na Waislamu<br />

wote, tuwe macho na tusimame<br />

na kamba ya mwenyezi Mungu<br />

bila kufarikiana. Kwani<br />

tutakaposimama kumnusuru<br />

M o l a w e t u , a t a t u n u s u r u<br />

na kuzithibisha nyoyo zetu.<br />

Tukumbuke kwamba, wenzetu<br />

w a s i o k u w a Wa i s l a m u<br />

hawapendezewi na ustaarabu na<br />

utamaduni sahihi wa dini hii, na<br />

ndio Mola mtukufu anaposema<br />

‘Hawataridhika hao Mayahudi<br />

na Manasara, mpaka muwafuate<br />

mila na nyendo zao’.<br />

Wallwahu a-alam!


7<br />

Na Mama mwanaharakati<br />

D e s e m b a 2 7 , 2 0 1 2 -<br />

‘Mtandao wa kupashana<br />

habari’<br />

Siku tatu kabla ya kijana<br />

wa miaka 20 Adam Lanza<br />

kumwua mama yake, na<br />

halafu akafyatua risasi<br />

katika darasa lililojaa<br />

watoto wa chekechea<br />

h u k o C o n n e c t i c u t<br />

n c h i n i M a r e k a n i ,<br />

mwanangu Michael (jina<br />

limebadilishwa) mwenye<br />

umri wa miaka 13 alikosa<br />

basi la kumpeleka shule kwa<br />

sababu alikuwa amevaa<br />

k a p t u r a y e n y e r a n g i<br />

zisizostahili.<br />

“Naweza kuvaa kaptura<br />

hii,” alisema, sauti yake<br />

ikiongeza ukali, chembe<br />

nyeusi ya katikati ya jicho<br />

ikimeza ukanda wa bluu<br />

unaozunguka.<br />

“Kaptura hii ni buluu ya<br />

bahari,” nilimwambia. “Sare<br />

za shule yako ni kaptura<br />

nyeusi au za khaki, basi.”<br />

“Waliniambia naweza<br />

kuvaa hizi,” aling’ang’ania.<br />

“Wewe ni dogi mpumbavu,<br />

Naweza kuvaa kaptura yoyote<br />

ninayotaka. Hii ni Amerika.<br />

Nina haki zangu.”<br />

“Huwezi kuvaa chochote<br />

unachotaka,” nilisema, kwa<br />

sauti ya upole, kumwelewesha.<br />

“Na kwa vyovyote huwezi<br />

kuniita dogi mpumbavu.<br />

Hutatumia chochote cha kielektroniki<br />

siku nzima, Sasa<br />

ingia kwenye gari nikupeleke<br />

shuleni.”<br />

Naishi na mtoto ambaye<br />

n i m g o n j w a w a a k i l i .<br />

Nampenda mwanangu. Lakini<br />

ananitisha.<br />

Wiki kadhaa zilizopita,<br />

Michael alinishikia kisu na<br />

kutishia kuniua na halafu<br />

ajiue baada ya kumwambia<br />

arudishe vitabu vya maktaba<br />

alivyochelewesha. Wadogo<br />

zake wa miaka 7 na 9<br />

wanafahamu mipango ya<br />

usalama - walikimbilia<br />

gari na kufunga milango<br />

kabla sijawaambia wafanye<br />

hivyo. Nilifaulu kukitoa<br />

kisu mikononi mwa Michael,<br />

na kwa uangalifu nikaokota<br />

chochote chenye ncha kali<br />

ndani ya nyumba na kuweka<br />

katika kasha ambalo kila<br />

nikisafiri naondoka nalo.<br />

Na muda wote huo alikuwa<br />

akiendelea kunitukana kwa<br />

sauti kubwa na kutishia<br />

kuniua au kunidhuru.<br />

Ugomvi huo uliisha wakati<br />

maofisa watatu wa polisi<br />

wenye vifua vipana na mganga<br />

msaidizi walipombana<br />

mwanangu aingie kwenye<br />

kiti cha gari la wagonjwa la<br />

gharama kubwa kupelekwa<br />

katika chumba cha dharura<br />

cha karibu. Hospitali ya<br />

magonjwa ya akili haikuwa na<br />

vitanda vyovyote siku hiyo, na<br />

Michael akatulia vyema katika<br />

Makala<br />

Watoto wauaji, na familia zenye hofu Marekani<br />

Baada ya mauaji mengine ya kutisha na<br />

janga la kitaifa, ni rahisi kuzungumzia<br />

bunduki. Lakini ni wakati pia wa kujadili<br />

magonjwa ya akili<br />

chumba cha dharura. Hivyo<br />

wakaturudisha nyumbani<br />

na maelekezo ya kutumia<br />

Zyprexa na kufika tena<br />

hospitalini hapo kumwona<br />

daktari wa magonjwa ya<br />

watoto wa kituo hicho.<br />

Bado hatufahamu tatizo<br />

na Michael ni nini. Kila<br />

aina ya ugonjwa wa watoto<br />

na mvurugiko wa akili na<br />

tiba yake vimejaribiwa, bila<br />

mabadiliko, katika mikutano<br />

na maofisa walezi wa watoto<br />

watukutu, wasimamizi jamii<br />

na washauri, na waalimu na<br />

watawala wa shule.<br />

A m e k u w a a k i t u m i a<br />

mchanganyiko wa dawa za<br />

kuzuia kuchanganyikiwa<br />

na za kupooza mawazo,<br />

mpangilio wa dawa unaotoka<br />

Russia kutibu magonjwa ya<br />

hulka. Hakuna mabadiliko.<br />

‘Alipokuwa anaingia darasa<br />

la saba (ni mwanzo wa elimu<br />

ya kati, sekondari) Michael<br />

alikubaliwa katika mchepuo<br />

wa masomo yaliyoharakishwa<br />

kwa watoto wenye vipaji<br />

katika hisabati na sayansi.<br />

Uwezo wake wa kuelewa<br />

ni nje ya kawaida. Akiwa<br />

anajisikia vizuri, atakufanya<br />

usikilize akiongea chochote,<br />

iwe ni habari za Uyunani ya<br />

kale au tofauti kati ya fizikia<br />

ya Einstein na Newton, au<br />

riwaya mashuhuri. Muda<br />

mwingi zaidi hali yake ni<br />

nzuri. Lakini anapobadilika,<br />

chunga sana. Na huwezi kujua<br />

ni kitu gani kitamtibua.<br />

Wiki kadhaa baada ya<br />

kuingia shule hiyo mpya,<br />

Michael alianza kuonyesha<br />

hulka ya kushangaza na<br />

kutishia watoto shuleni.<br />

Tuliamua kumhamisha<br />

kuingia mafunzo yenye<br />

vizuizi vikali katika wilaya,<br />

mazingira ya shule ambako<br />

watoto wasioweza kufuata<br />

m a d a r a s a y a k a w a i d a<br />

wanawekwa katika uangalizi<br />

bila malipo kuanzia saa moja<br />

na nusu asubuhi hadi saa nane<br />

kasoro kumi alasiri Jumatatu<br />

hadi Ijumaa hadi wafikie<br />

umri wa miaka 18.<br />

Asubuhi hiyo ya ugomvi wa<br />

kaptura, Michael aliendelea<br />

kubishana na mimi katika<br />

gari. Mara anaomba radhi<br />

na kuonekana kusikitishwa<br />

na alichofanya. Kabla<br />

hatujaingia katika eneo la<br />

kuegesha magari la shuleni<br />

kwake, akasema, “Mama<br />

samahani, nasikitika sana,<br />

Naweza kutumia michezo ya<br />

video baadaye leo?”<br />

“ H a t a k i d o g o , ”<br />

nilimwambia. “Huwezi<br />

kufanya ulichofanya asubuhi<br />

hii na udhani unaweza kupata<br />

zawadi zako za elektroniki<br />

mapema kiasi hicho.”<br />

Uso wake ukigeuka baridi,<br />

na macho yake yakiwa na<br />

hasira iliyopimwa. “Basi<br />

nitajiua,” alisema. “Nitaruka<br />

nje kutoka katika gari na<br />

kujiua.”<br />

Ilitosha. Baada ya kutoa<br />

kisu, nilimwambia kuwa<br />

kama akisema tena maneno<br />

hayo nitampeleka moja kwa<br />

moja hospitali ya magonjwa<br />

ya akili, bila lakini au labda.<br />

Sikumjibu, ila kuingiza gari<br />

katika njia mkabala, kugeukia<br />

kushoto badala ya kulia.<br />

“Unanipeleka wapi?”<br />

aliuliza, akianza kuwa na<br />

wasiwasi. “Unakwenda<br />

wapi?”<br />

“Unajua tunapokwenda,”<br />

nilijibu.<br />

“ H a k u n a ! H u w e z i<br />

kunifanya hivyo! Unanipeleka<br />

motoni! Unanipeleka motoni<br />

moja kwa moja!”<br />

Nilisimamisha gari mbele<br />

ya hospitali, nikimpungia kwa<br />

nguvu mhudumu mmoja wa<br />

kliniki aliyekuwa amesimama<br />

nje. “Ita polisi,” nilisema,<br />

“Fanya haraka.”<br />

Michael alikuwa sasa<br />

chakaramu kabisa, akipiga<br />

kelele na kupiga huku na<br />

kule. Nilimbana kwa karibu<br />

ili asiweze kutoroka kutoka<br />

kwenye gari, Alinipiga mara<br />

kadhaa na kupiga kiwiko<br />

chake katika kufua changu<br />

kwa chini. Bado nina nguvu<br />

kuliko yeye lakini haitachukua<br />

muda.<br />

Polisi walifika haraka na<br />

kumbeba mwanangu akipiga<br />

kelele na mateke hadi ndani<br />

kabisa ya hospitali. Nilianza<br />

kutetemeka, na machozi<br />

yakaanza kurengarenga<br />

machoni wakati najaza fomu<br />

- “Kulikuwa na matatizo<br />

yoyote kati yako na ...<br />

mwanao ana umri gani ......<br />

kulikuwa na matatizo na....<br />

hivi mwanao ameshawahi<br />

ku.... mwanao ana....”<br />

Angalau sasa tuna bima ya<br />

afya. Hivi karibuni nilikubali<br />

kuanza kazi katika chuo<br />

kimoja cha karibu, nikaacha<br />

kufanya kazi za kujitegemea<br />

kwani unapokuwa na mtoto<br />

kama huyu, unahitaji mafao.<br />

Utafanya lolote kupata<br />

mafao, Hakuna mpango<br />

wa bima ambao utakubali<br />

kuweka bima ya maisha kwa<br />

mazingira hama haya.<br />

K w a s i k u k a d h a a ,<br />

mwanangu aling’ang’ania<br />

kuwa nilikuwa nadanganya -<br />

kuwa nilitunga tukio hilo lote<br />

ili niweze kumwondoa. Siku<br />

ya kwanza, nilipokwenda<br />

k u m w o n a , a l i s e m a<br />

“Nakuchukia, Na nitajilipiza<br />

mara nitakapotoka humu.”<br />

Kufikia siku ya tatu,<br />

alikuwa tena mwanangu<br />

mtulivu, anayefurahisha,<br />

akiomba msamaha na kuahidi<br />

kubadilika, Nimesikia ahadi<br />

hizo miaka mingi. Siziamini<br />

tena hata kidogo.<br />

Katika fomu za kumwingiza<br />

m g o n j w a , a n a p o u l i z a ,<br />

‘Nini matazamio yako ya<br />

tiba?” niliandika “Nahitaji<br />

msaada.”<br />

Na ninauhitaji. Tatizo<br />

hili ni kubwa mno kulibeba<br />

mwenyewe. Mara nyingine<br />

hakuna la kufanya dhahiri,<br />

Hivyo unatumainia tu hali iwe<br />

nzuri na kutazamia kuwa kwa<br />

kuangalia ulikotoka, labda<br />

maana yake itaeleweka.<br />

Naelezea jambo hili kwa<br />

sababu mimi ni mama wa<br />

Adam Lanza. Ni mama wa<br />

Dylan Klebold na mama wa<br />

Eric Harris. Ni mama wa<br />

Jason Holmes, Ni mama wa<br />

Jared Loughner. Ni mama<br />

wa Seung Hui Cho. Na<br />

wavulana hawa - na mama<br />

zao - wanahitaji msaada.<br />

Kufuatia msiba mwingine wa<br />

kutisha wa kitaifa, ni rahisi<br />

kuzungumzia bunduki. Lakini<br />

ni wakati wa kuzungumza<br />

kuhusu magonjwa ya akili.<br />

Mother Jones anasema<br />

kuwa tangu mwaka 1982,<br />

mauaji ya watu wengi kwa<br />

kutumia silaha yametokea<br />

m a r a 6 1 k o t e n c h i n i .<br />

(http://www.motherjones.<br />

com/politics/2012/07/massshootings-map)<br />

Kati ya hayo, wauaji<br />

43 walikuwa wanaume<br />

Wazungu, na mmoja tu<br />

alikuwa mwanamke. Mama<br />

Jones aliangalia kama wauaji<br />

walipata bunduki zao kihalali<br />

(wengi zaidi walizipata<br />

kihalali). Lakini dalili hizi<br />

za wazi za ugonjwa wa akili<br />

zituwezeshe tuangalie ni watu<br />

wangapi nchini Marekani<br />

wanaishi kwa woga, kama<br />

mimi.<br />

Nilipomuuliza msaidizi<br />

wa kijamii wa mwanangu<br />

nini naweza kufanya, alisema<br />

ambacho tu naweza kufanya<br />

ni kupeleka mashitaka<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

mahakamani. “Akirudishwa<br />

k a t i k a m z u n g u k o w a<br />

kufungwa, watafuatilia<br />

nakala za alikopitia,” alisema.<br />

“Ndiyo njia pekee ambako<br />

u n a w e z a k u h a k i k i s h a<br />

kunafanyika lolote. Hakuna<br />

atakayekusikiliza labda uwe<br />

na mashtaka.”<br />

Siamini kuwa mwanangu<br />

a n a f a a k u k a a j e l a .<br />

Mkanganyiko wa mazingira<br />

unamfanya aharibikiwe<br />

z a i d i a k i i n g i l i a n a n a<br />

vinavyomsumbua na haugusi<br />

chochote katika tatizo la<br />

awali. Lakini inaelekea<br />

kuwa Marekani inatumia<br />

jela kama jawabu la watu<br />

wote wenye magonjwa<br />

ya akili. Kwa mujibu wa<br />

shirika la Human Rights<br />

Watch, idadi ya wagonjwa<br />

wa akili wanatumikia vifungo<br />

iliongezeka mara nne kuanzia<br />

2000 hadi 2006 na inaendelea<br />

kuongezeka. Cha ziada,<br />

kiwango cha ugonjwa wa<br />

akili kwa waliofungwa ni<br />

mara tano zaidi (asilimia 56)<br />

ukilinganisha na watu walio<br />

huru.<br />

(http://www.hrw.org/<br />

n e w s / 2 0 0 6 / 0 9 / 0 5 / u s -<br />

number-mentally-ill-prisonsquadrupled)<br />

Baada ya vituo cha misaada<br />

na tiba vya serikali kufungwa,<br />

jela ndiyo njia pekee iliyobaki<br />

kwa wenye magonjwa ya<br />

akili - kisiwa cha Rikers,<br />

jela ya Los Angeles County<br />

(wilaya), na ile ya Cook<br />

jimboni Illinois vilikuwa<br />

na vituo vikubwa zaidi vya<br />

kutibu wenye magonjwa ya<br />

akili mwaka 2011.<br />

( h t t p : / / w w w . n p r .<br />

org/2011/09/04/140167676/<br />

nations-jails-struggle-withmentally-ill-prisoners)<br />

H a k u n a a n a y e t a k a<br />

kumpeleka mtoto wa miaka 13<br />

mwenye kipaji anayempenda<br />

Harry Potter na mkusanyiko<br />

wa midoli ya wanyama ya<br />

kulalia, jela. Lakini katika<br />

jamii yetu, ambayo haitaki<br />

kusikia habari za magonjwa<br />

ya akili na mparaganyiko<br />

katika mfumo wake wa<br />

tiba, haitupatii njia nyingine<br />

yoyote. Hivyo mgonjwa<br />

mwingine anayeteseka<br />

moyoni anavamia mgahawa<br />

wa ‘\chips-kuku’ anafyatua<br />

risasi, au ‘supermarket.’ darasa<br />

la chekechea, Na tunakamua<br />

mikono yetu tunasema ‘Hii<br />

lazima ikomeshwe.’<br />

Nakubaliana kuwa lazima<br />

hali hii ikome. Ni mwanzo<br />

wa kuanza mazungumzo ya<br />

kina, yenye maana, kuhusu<br />

magonjwa ya akili. Ndiyo<br />

njia pekee ambayo taifa letu<br />

linaweza kupona kikamilifu.<br />

Mungu nisaidie. Mungu<br />

msaidie Michael. Mungu<br />

tusaidie sote.<br />

Mama mwanaharakati<br />

Mimi napenda sana<br />

kinanda, wanangu wanne,<br />

na michezo ya kubuni ya<br />

elekroniki, ingawa siyo kwa<br />

mpangilio huo.


8<br />

Na Ibrahim Mohammed<br />

Hussein<br />

HABARI za Musa si ngeni<br />

kwa wanaosoma vitabu vya<br />

historia na vya dini. Musa<br />

alikuwa muongozi wa wana wa<br />

Israil. Mheshimiwa Firauni,<br />

aliwakilisha tawala za kidikteta.<br />

Namwita mheshimiwa kwa<br />

makusudi kwa sababu ndiyo<br />

wanavyopenda kujiita watu<br />

hawa (watawala).<br />

Hawajuwi kwamba mtu huwa<br />

mheshimiwa kwa kujiheshimu.<br />

F i r a u n i a n a w a k i l i s h a<br />

tawala mbalimbali za kidikteta<br />

zinazoendesha serikali kwa<br />

mabavu na ukandamizaji,<br />

kama vile kuwaonea wananchi,<br />

kuwabana na kuwadhulumu<br />

wananchi kwa maslahi binafsi<br />

ya mtawala na kikundi kidogo<br />

kinacho muunga mkono.<br />

K i b a y a z a i d i , t a w a l a<br />

zinazoongozwa Kifirauni huwa<br />

hazijali raia na mara nyingi<br />

hutatua matatizo kwa kutumia<br />

rungu la dola ambalo huchukua<br />

nafasi ya majadiliano.<br />

Wingi wa matukio katika kisa<br />

cha Musa, unatufanya tuweze<br />

kutafakari masuala ya msingi,<br />

ambayo Wazanzibari tunaweza<br />

kujifunza na kuyaangalia kama<br />

kioo cha kujitazamia, ili penye<br />

kuharibika tujue na kutafuta<br />

namna ya kurekebisha.<br />

Matukio ya kisa hicho yatufae<br />

kwa lengo la kuendeleza umoja<br />

na ustawi wa jamii yetu. Kuja<br />

kwa Musa kulisaidia kuchochea<br />

na kuamsha ari ya mapambano<br />

dhidi ya maovu. Mifumo ya<br />

kidikteta bado ingalipo na<br />

watawala kama Firauni bado<br />

wapo, wakila kuku chini ya<br />

ulinzi mkali unaogharimiwa na<br />

walipa kodi.<br />

Na wananchi walala hoi bado<br />

wapo kwa wingi katika maeneo<br />

mbalimbali ya nchi, wakiendelea<br />

kutaabika na kusulubika katika<br />

hali ya uonevu, dhiki na kukata<br />

tamaa. Maskini hawa, hakuna wa<br />

kuwahurumia.<br />

Tujiulize, Musa aliwezaje<br />

kuwa hodari mpaka kushinda vita<br />

dhidi ya unyanyasaji, dhulma,<br />

ufisadi na maonevu?<br />

Huku tukio kubwa kabisa<br />

likiwa ni kumshinda mungu<br />

– mtu Firauni, mtawala aliyejaa<br />

kiburi, aliyetisha na kuogopwa<br />

na kujizolea umaarufu kwa watu<br />

wake kama jemedari wa vita<br />

asiye shindwa.<br />

Bila shaka siri ya Mussa<br />

kushinda dhulima, unyanyasaji<br />

na utesaji wa Firauni ilikua ni<br />

kumuogopa Mola wake peke<br />

yake. Mola wake naye akavifanya<br />

vitu vyote vilivyokuwa juu ya<br />

uso wa ardhi vimuogope Musa<br />

na wale wote wasio muogopa<br />

Mola. Walifanywa waviogope<br />

Makala/Tangazo<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Zanzibar bado inamuhitaji Musa atayetuonesha mchawi<br />

vitu vyote juu ya ardhi.<br />

Mussa mwana demokrasia,<br />

anaufundisha ulimwengu<br />

uelewe kwamba, utawala ni<br />

dhamana inayohitaji uadilifu,<br />

na sehemu kubwa katika uadilifu<br />

ni ushirikishwaji wa kila mmoja<br />

kwa nafasi ya ufahamu, utaalamu<br />

alionao.<br />

Ili kuyafikia malengo<br />

yake kwa ufanisi anaamua<br />

kupendekeza ndugu yake Haruni,<br />

amsaidie katika ukalimani na<br />

kazi nyingine za ushauri.<br />

Kisa cha Musa kinafundisha<br />

kwamba, kupitia utaratibu wa<br />

sheria pekee ndio unaweza<br />

kuwasimamisha watu katika<br />

uadilifu, hisia za kupendana na<br />

kusaidiana, kutumainiana na<br />

kushikamana. Aliwafundisha<br />

wana wa Israil kufanya kazi<br />

kwa bidii kama njia moja wapo<br />

ya kujenga taifa imara.<br />

Funzo jengine tunalolipata<br />

katika kisa cha Musa ni kwamba<br />

katika mapambano dhidi ya<br />

udikteta, silaha kubwa ni<br />

ujasiri, mbinu, ukakamavu na<br />

uwerevu. Hekima aliyopewa<br />

Musa na Mola wake, ilishinda<br />

vita vya nyoka wa Firauni<br />

walioongozwa na baraza la<br />

wachawi, akaipiga Bahari ya<br />

Sham kwenda ng’ambo ya pili.<br />

Mussa aliongoza mapambano<br />

katika haki na kuyazamisha<br />

maovu na waovu baharini.<br />

Jambo hili tumelikosa hapa<br />

kwetu licha kuwepo mamia, kama<br />

sio maelfu ya wasomi tulionao.<br />

Wasomi wetu wamefanya nini<br />

kuonesha kwamba wapo na<br />

wanajali masilahi ya watu wa<br />

nchi hii?<br />

V i o n g o z i w e n g i<br />

wameshindwa kuifaa jamii,<br />

wamebaki silolote wala chochote<br />

zaidi ya kufurahikia maslahi<br />

baada ya kuwakamua wanyonge<br />

na kuhodhi rasilmali za nchi.<br />

Wamebaki kimya bila ya<br />

kukemea ubeberu unaendeshwa<br />

na baadhi ya viongozi wasio<br />

pendelea umoja na utulivu wa<br />

nchi hii. Viongozi wameweka<br />

pamba maskioni, hawataki<br />

kusikia kilio na matakwa yenye<br />

nguvu za hoja kutoka kwa wenye<br />

nchi.<br />

W a n a n c h i w a n a d a i<br />

kuonyeshwa mkataba wa<br />

Muungano ili wapate kuandika<br />

katiba mpya. Serikali haikuona<br />

umuhimu wowote juu ya mkataba<br />

huo. Wao wamesimamia Sera<br />

ya CCM Serikali mbili. Kwa<br />

mkataba gani huo?<br />

Vipi utaiandika katiba wakati<br />

hujawahi kuona mkataba<br />

wenyewe? Kipi kilichokupa<br />

imani kwamba mkataba umeeleza<br />

nini na kwa makubaliano gani au<br />

kwa muda gani?<br />

Ni sahihi kabisa kukataa<br />

Muungano wa katiba wakati<br />

m k a t a b a w a m u u n g a n o<br />

hapana aliyeuona. Hapa ndipo<br />

niliposema Zanzibar inahitaji<br />

Musa atakayetuonyesha mchawi,<br />

akiitoa nchi bila ya mkataba, na<br />

kama ilitolewa kwa mkataba,<br />

uko wapo?<br />

Kwa nini walazimishwe<br />

wananchi waandike katiba<br />

huku wakikataliwa madai yao<br />

ya kutaka kuonyeshwa mkataba?<br />

Bila ya kuoneshwa mkataba ni<br />

vigumu kuota tunakoelekea.<br />

Nchi inaendeshwa kwa matakwa<br />

ya watawala tulio nao.<br />

Viongozi wanaongozwa na<br />

utashi wa matamanio ya nafsi<br />

au ubinafsi katika kutumikia<br />

umma. Wanaosinzia Bungeni<br />

na kwenye vikao muhimu vya<br />

maamuzi katu hawatoweza<br />

kuikomboa Zanzibar kiuchumi.<br />

Zanzibar inamuhitaji Musa<br />

atakayeonyesha wachawi na<br />

kuwashinda, Musa atakayekuwa<br />

tayari kusikiliza na kupokea<br />

maoni na ushauri, atakayesikia<br />

na kufanyia kazi malalamiko ya<br />

wananchi wake.<br />

Mheshimiwa Jaji Joseph<br />

Warioba, aliwahi kukizindua<br />

kitabu cha ‘TUTAFIKA’ Mei<br />

2003. Kitabu hicho kilitoa<br />

nadharia ya kumezwa kwa<br />

Zanzibar na kuwa jimbo la<br />

Mashariki (Eastern Province),<br />

k a t i k a m f u m o m p y a w a<br />

Kiserikali wa Tanzania .<br />

Hayo ni mawazo na mtizamo<br />

wa yaliyomo katika kitabu hicho,<br />

ambacho ndio kimetoa nadharia<br />

hiyo katika kile kinachoelezwa<br />

kama, kuitazama Tanzania katika<br />

kipindi cha miaka 20 ijayo<br />

. Kitabu hichi kilichapishwa<br />

na Tanzania Printers Limited<br />

(2003).<br />

Kitabu hicho kina azma ya<br />

kuitayarisha Tanzania juu ya<br />

matokeo ya baadae, ili iweze<br />

kuwa ni kinga ya matukio<br />

ya ghafla katika maeneo ya<br />

kiuchumi, kijamii na kisiasa.<br />

Kitabu hicho kimegawanywa<br />

katika maeneo makuu matatu,<br />

nayo ni ya ‘Yale Yale’ ‘Mibaka<br />

Uchumi’ na ‘Amka Kumekucha’<br />

.<br />

Katika twasira ndogo ya<br />

‘Yale Yale’ inaelezewa<br />

namna ambavyo Watanzania<br />

walivyokata tamaa na kutoamini<br />

kuwa, nchi inaweza kubadilika<br />

na kushindwa kuwashirikisha<br />

vijana juu ya kuchukua nafasi<br />

yao kujitengenezea khatima yao<br />

na ya nchi.<br />

Katika ‘Mibaka Uchumi’<br />

kinachoelezewa ni juu ya uchumi<br />

utayokuwa umeshikiliwa na<br />

mapapa makubwa ya ndani na<br />

nje huku rushwa ikiwa imetawala<br />

kabisa, wafadhili kuwa na sauti<br />

kupita kiasi hata kuamua kutoa<br />

maamuzi ya kila aina ndani ya<br />

nchi.<br />

Kwenye ‘Amka Kumekucha’<br />

ni taswira ambayo inaonyesha<br />

namna ambavyo Tanzania<br />

ya kesho itakavyokuwa, na<br />

hapo ndipo inapoonekana<br />

kuwa kutakuwa na matatizo<br />

ya kisiasa yatakayoanzia na<br />

suala la rushwa, mgawanyo<br />

wa madaraka na kuwepo tishio<br />

la kupasuka kwa Chama Cha<br />

Mapinduzi ( CCM) .<br />

Twasira hiyo inasema, hapo<br />

ndipo ambapo kutakuwa<br />

na shinikizo kubwa ambazo<br />

zitasababisha kwa mara ya<br />

kwanza, Tanzania kuitisha<br />

kura ya maoni (Referendum)<br />

na majadiliano makali ya<br />

kitaifa yatafwata. Kinaeleza<br />

kuwa kubwa litakalokua<br />

katika mada ni kuundwa<br />

kwa Serikali ya Shirikisho la<br />

Jamuhuri ya Tanzania.<br />

Waandaji wa twasira<br />

hiyo wanasema, hapo<br />

ndipo muundo wa shirikisho<br />

utakapokuwa tayari na<br />

Tanzania itakuwa na majimbo<br />

matano yakiwa ni Kusini,<br />

Kati, Kaskazini, Magharibi<br />

na jimbo la Mashariki, ambalo<br />

litakuwa na mikoa ya sasa ya<br />

Tanga Lindi, Dar es Salaam<br />

na Zanzibar yenyewe.<br />

Kitabu hicho cha ‘Tutafika’<br />

a m b a c h o k i l i t o l e w a<br />

bure, ni dhihirisho kuwa<br />

tayari mikakati imeanza<br />

kuandaliwa, ili kujenga njia<br />

ya makusudi kuelekea katika<br />

lengo la kuwa na mabadiliko<br />

makubwa. Mabadiliko<br />

yatakayojumuisha pamoja<br />

na mambo mengine, suala<br />

la Zanzibar inachukuliwa<br />

yote ndani ya Tanganyika<br />

ya sasa.<br />

Wenzetu wamo katika<br />

kulikamilisha lengo la<br />

kuichukua Zanzibar milele<br />

na milele.<br />

Zanzibar inahitaji Musa<br />

aliye Mzanzibar aliyerithi<br />

damu ya uzalendo toka<br />

tumboni kwa mama yake.<br />

Vyenginevyo, tusije kuusaidia<br />

mpango wao kupitia sera ya<br />

CCM mwishowe ikawa ni<br />

vilio.<br />

0715 - 498363<br />

ANSWAAR ISLAMIC MODEL SCHOOL<br />

Uongozi wa Shule ya Answaar Islamic Model School inawatangazia<br />

waislamu wote nafasi za masomo kwa mwaka 2013, kama<br />

ifuatavyo.<br />

1. Shule ya awali ( Nursery School)<br />

Kg - 1 and Kg 11 Umri kuanzia miaka mitatu na nusu<br />

na kuendelea.<br />

2. Shule ya msingi ( Primary School)<br />

Darasa la kwanza hadi la Sita, kwa wale wanaotaka<br />

kuhamia nafasi pia zipo.<br />

ADA:<br />

shule ya awali ( Nursery school) 550,000/= kwa mwaka.<br />

Shule ya msingi (Primary school).<br />

i) Darasa la kwanza hadi la tano ni Tsh. 650,000/=<br />

ii) Darasa la sita na la saba Tsh. 750,000/= ada inalipwa<br />

kwa awamu tatu.<br />

- Shule ipo kinondoni Studio/ karibu na vijana Social Hall<br />

au nyuma ya vijana.<br />

- fomu zinapatikana shuleni Kinondoni studio Masjid<br />

Answaar.<br />

- Tarehe ya USAILI ni Tarehe 6/01/2013, usaili utafanyika<br />

shuleni Answaar Islamic Model School, Siku ya Kufungua<br />

shule ni Tarehe 14/01/2013.<br />

Kwa mawasiliano zaidi piga simu. 0767- 121555,0777-790283, 0712<br />

790283. Au Email answaarislami@yahoo.com au tembelea Tovuti<br />

yetu: www.answaarislamic.co.tz<br />

Mlete mwanao apate elimu na malezi bora ya Kiislamu


9<br />

Na Said Rajab.<br />

DESEMBA 25 mwaka 2012,<br />

Maaskofu wa makanisa<br />

takriban yote hapa nchini,<br />

walitoa maneno mazito ya<br />

vitisho, kejeli na vijembe<br />

kupitia ibada zao za Krismasi<br />

dhidi ya Serikali ya Tanzania<br />

na Waislamu. Maneno hayo<br />

kimsingi yametokana na<br />

maazimio ya kikao cha nne cha<br />

Jukwaa la Wakristo Tanzania<br />

TCF, kilichoketi Desemba 6<br />

mwaka 2012, Kurasini jijini<br />

Dar es salaam.<br />

Ukisoma tamko la Maaskofu<br />

kwa makini, kimsingi hakuna<br />

hoja yoyote ya maana inayoweza<br />

kudumisha amani ya Watanzania.<br />

Kwa sababu amani haijengwi<br />

kwa kufumbia macho dhulma.<br />

Waislamu kwa muda mrefu<br />

wamekuwa wakilalamikia<br />

dhulma wanazofanyiwa na<br />

mfumo usio rasmi serikalini,<br />

ambao unawapendelea Wakristo.<br />

Waislamu wamekuwa wakitoa<br />

ushahidi wa kihistoria, kisayansi,<br />

kimazingira na hata kitakwimu<br />

kuhusu dhulma hizo.<br />

Lakini kichekesho cha<br />

mwaka, zaidi ya Maaskofu 35<br />

wanakutana jijini Dar es salaam,<br />

wanajadiliana kisha wanaona<br />

watoke na vitisho, kejeli na<br />

vijembe dhidi ya Waislamu na<br />

Serikali, badala ya kuleta hoja<br />

za msingi zitakazolinusuru taifa<br />

na hatari za upendeleo wa kidini,<br />

unaofanywa na mawakala wa<br />

kanisa serikalini!<br />

Ta m k o l a M a a s k o f u<br />

limeonyesha hofu kwamba<br />

Waislamu wameshagundua<br />

dhulma wanazofanyiwa. Na<br />

anayewadhulumu pia wanamjua.<br />

Sasa Maaskofu wanajaribu<br />

kuficha uhalifu wao kwa<br />

kutumia vitisho, propaganda,<br />

porojo na vijembe. Hiyo ni<br />

namna ya kujihamu tu (Defence<br />

Mechanism).<br />

Siyo lengo langu hasa kujibu<br />

tamko la Maaskofu kupitia<br />

makala hii. Kwa sababu<br />

tamko lenyewe, kwa kiasi<br />

kikubwa, halikuzingatia ukweli<br />

wala uhalisia wa mambo, na<br />

limesimamia zaidi kwenye<br />

propaganda na porojo. Ni sawa<br />

na maneno ya kwenye khanga!<br />

Wanataka kuchora picha<br />

potofu kwenye jamii kwamba<br />

Wakristo nchini Tanzania<br />

wanaonewa sana na Waislamu!<br />

Makanisa yao yanachomwa,<br />

wakati serikali ikiaangalia tu!<br />

Wanajaribu kupandikiza fikra<br />

potofu kwenye jamii kwamba<br />

Wakristo ndiyo watu wa amani<br />

na Waislamu ni watu wa vurugu!<br />

Wanadhani wanaweza kugeuza<br />

ukweli kuwa uongo na uongo<br />

kuwa ukweli!<br />

Ni ukweli usiopingika<br />

kwamba Waislamu wa Tanzania<br />

wamedhulumiwa na Mfumo<br />

Kristo ulioasisiwa na baba<br />

wa taifa. Ukweli huu kamwe<br />

hautakuwa uongo kwa sababu<br />

Makala<br />

Hongera Waislamu, Maaskofu wanagwaya!<br />

ya propaganda na porojo<br />

za Maaskofu. Na tatizo hili<br />

lisiposhughulikiwa kwa dhati,<br />

lazima litaleta maafa huko<br />

mbele. Waislamu wanapigania<br />

haki yao iliyodhulumiwa<br />

na katika hili, wanaonekana<br />

hawamuogopi yeyote. Hilo<br />

Maaskofu walifahamu vizuri<br />

sana.<br />

Nawapongeza sana Waislamu<br />

wa Tanzania kwa juhudi zao<br />

za muda mrefu za kubainisha<br />

d h u l m a w a n a z o f a n y i w a<br />

na Mfumo Kristo, ambazo<br />

pamoja na kupuuzwa, lakini<br />

sasa zimeanza kuzaa matunda.<br />

Harakati za Waislamu za miaka<br />

mingi za kupigania haki yao<br />

iliyoporwa na mawakala wa<br />

kanisa serikalini, haziwezi<br />

kuishia hewani. Maaskofu<br />

wameliona hilo na bila shaka<br />

hofu yao ni kwa sababu Waislamu<br />

wameshagundua ubaya wao.<br />

Kitendo cha Maaskofu<br />

kushindwa kujibu hoja za<br />

Waislamu kuhusu dhulma za<br />

Mfumo Kristo, na badala yake<br />

kuleta porojo za kuhamisha<br />

ajenda, ni ushindi mkubwa kwa<br />

hoja za Waislamu. Tafsiri yake<br />

ni kwamba Maaskofu hawana<br />

la kusema kuhusu ukweli wa<br />

madai ya Waislamu. Mwanzoni<br />

ASKOFU Laizer<br />

waliamua kuwapuuza Waislamu,<br />

wakidhani madai yao yangejifia<br />

yenyewe kifo cha kawaida.<br />

Lakini waliposhuhudia<br />

wanavyoendelea kusimama<br />

kidete kupaza sauti zao, sasa<br />

wameanza kutoa maazimio<br />

ya woga kuficha uhalifu<br />

uliofanyika. Wanataka kuzima<br />

sauti za wanaokandamizwa na<br />

hilo kamwe halitawezekana.<br />

Wanafanana na Maquraysh<br />

wa Makka, ambao walidhani<br />

wangeweza kuzuia ujumbe wa<br />

Qur’an kwa kuwakataza watu<br />

wasiisikilize:<br />

‘Na walisema waliokufuru:<br />

“ M s i s i k i l i z e Q u r ’ a n h i i<br />

inaposomwa na ipigieni makelele<br />

isomwapo, huenda mkashinda”<br />

Qur 41:26.<br />

Lakini jambo la kuzingatia,<br />

kama vile Maqurayshi wa<br />

Makkah, ambao hawakuwa na<br />

uwezo wa kupambana na Qur’an<br />

kwa hoja za kiakili, Maaskofu<br />

wa Tanzania nao hawana<br />

uwezo wa kupambanisha hoja<br />

na Waislamu. Vurugu zao zote<br />

dhidi ya Waislamu siyo za<br />

kifikra, zaidi ni propaganda na<br />

porojo za kuficha ukweli!<br />

Lugha zao zimejaa chuki<br />

na fitna dhidi ya Waislamu.<br />

Kila mnapotaka kujadiliana<br />

kwa haki, kitaalamu, kisomi<br />

na kiuadilifu, hawako tayari<br />

na zaidi wataendelea kutoa<br />

m a e l e k e z o n a m a s h t a k a<br />

serikalini. (Uchonganishi).<br />

M f a n o h a l i s i w a h i l o<br />

ulishawahi kutokea hapa nchini,<br />

wakati Rais Ali Hassan Mwinyi<br />

alipowakutanisha Masheikh na<br />

Maaskofu Ikulu jijini Dar es<br />

salaam, kuzungumzia tatizo la<br />

mihadhara ya kashfa. Maaskofu<br />

walikuwa wakilalamika,<br />

wakiibana Serikali ipige<br />

m a r u f u k u m i h a d h a r a y a<br />

Waislamu waliyodai kuwa<br />

inakashifu Ukristo. Waislamu<br />

kwa upande wao, walipinga<br />

dai la Maaskofu, wakileta hoja<br />

kwamba hawakashifu Ukristo,<br />

bali wanaelimisha watu kwa<br />

kutumia maandiko matakatifu.<br />

Busara za Mzee Mwinyi<br />

z i k a m u e l e k e z a k u w a i t a<br />

Wahadhiri wa Kiislamu,<br />

w a n a o d a i w a k u u k a s h i f u<br />

Ukristo upande mmoja, na<br />

Maaskofu wanaolalamika<br />

upande mwingine, ili kujadiliana<br />

kidugu, kiuadilifu na kitaalamu,<br />

lengo likiwa kubaini ukweli ili<br />

kuondoa mgogoro uliojitokeza.<br />

Maaskofu hawakuwa tayari<br />

kudhihirisha! Hawakuwa na<br />

hoja zinazothibiti na kwa bahati<br />

pale propaganda haikuwa na<br />

nafasi. Matokeo yake malengo<br />

ya mkutano ule hayakufikiwa.<br />

Hawakurudi tena Ikulu kusaka<br />

muafaka hadi Mzee Mwinyi<br />

alipostaafu!<br />

Tizama, lakini angalia,<br />

alipoingia Rais Mwingine Ikulu,<br />

waliendesha kampeni zile zile<br />

za propaganda ya ‘mihadhara<br />

ya kashfa’ kupitia vyombo<br />

vya habari, na matokeo yake<br />

Serikali ikaenda kuua Waislamu<br />

wasio na hatia pale Msikiti wa<br />

Mwembechai mwaka 1998.<br />

Wa i s l a m u w a l i u a w a<br />

Mwembechai kwa sababu tu ya<br />

chuki, fitina, propaganda, porojo<br />

na ulaghai wa Maaskofu.<br />

Waislamu walipoitaka<br />

Serikali kuunda Tume ya<br />

uchunguzi wa mauaji ya<br />

Mwembechai, ili kubaini ukweli<br />

wake, Rais Benjamin Mkapa<br />

alisema “hajaona haja na hoja”<br />

ya kuunda Tume hiyo. Hivyo<br />

ndivyo walivyo.<br />

Lakini Prof. Hamza Njozi,<br />

alipoandika kitabu kubainisha<br />

u k w e l i w a M a u a j i y a<br />

Mwembechai, ili Ulimwengu<br />

ufahamu kilichotokea, Serikali<br />

ya yule yule, ambaye “hakuona<br />

haja na hoja” ya kuunda Tume<br />

ya uchunguzi akapiga kukipiga<br />

marufuku kusambazwa kitabu<br />

hicho nchini! Hawasemi ukweli,<br />

lakini pia hawataki hata watu<br />

wengine waseme ukweli huo!<br />

Hivyo ndivyo walivyo!<br />

Siyo sifa ya Maaskofu<br />

kulinda na kudumisha amani.<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Sifa kubwa ya Maaskofu<br />

imekuwa ni kudumaza akili za<br />

watu ili waweze kutawaliwa au<br />

kudhulumiwa. Sote tunafahamu<br />

jinsi Kanisa lilivyotumika<br />

kuingiza ukoloni barani Afrika.<br />

Wamissionari wa Kikristo<br />

(Mapadri na Maaskofu) ndiyo<br />

waliopalilia Ukoloni Afrika.<br />

Alipata kusema Askofu<br />

Desmond Tutu wa Afrika Kusini,<br />

jinsi wakoloni walivyotumia<br />

kanisa kuingia nchini mwake:<br />

“Walipokuja sisi tulikuwa na<br />

ardhi na wao walikuwa na<br />

Biblia, tulipogutuka tukajikuta<br />

tumebaki na Biblia na wao<br />

wamebaki na ardhi”.<br />

Maaskofu hawatasema<br />

ukweli kwamba Makanisa<br />

nchini Tanganyika yaliikataa<br />

TANU; mara mbili mwaka<br />

1958 mjini Sumbawanga na<br />

mwaka 1965 mjini Mbulu.<br />

Makanisa yalikuwa yakifanya<br />

kazi kwa karibu sana na<br />

Serikali ya kikoloni, ambayo<br />

ndiyo iliyomlea Mwalimu<br />

Nyerere, ili aje kuwa Rais wa<br />

kwanza wa Tanganyika baada<br />

ya Waingereza kuondoka.<br />

Baada ya uhuru kupatikana,<br />

nchi ikiwa chini ya uongozi<br />

wa Mwalimu Nyerere,<br />

Wakristo wa Tanzania<br />

wanavuna kile ambacho<br />

hawakupanda. Wanafurahia<br />

matunda ya uhuru kila sekta<br />

kutokana na Mfumo Kristo<br />

ulioasisiwa na Mwalimu<br />

Nyerere, akiungwa mkono<br />

na mataifa ya Magharibi. Leo<br />

wanataka kuaminisha watu<br />

kuwa wao ndio wazalendo<br />

zaidi kuliko Waislamu!<br />

Maaskofu wanaeneza<br />

propaganda za sumu kwamba<br />

Waislamu wanahatarisha<br />

a m a n i n a u m o j a w a<br />

Watanzania, licha ya ukweli<br />

kwamba amani na umoja<br />

huo imekuwa ikitunzwa na<br />

Waislamu, tangu kipindi cha<br />

harakati za kupigania uhuru na<br />

baada ya uhuru kupatikana.<br />

Inajulikana vizuri kwamba,<br />

u k i w a o n d o a m a r e h e m u<br />

Hassan bin Amir na Sheikh<br />

Zubeir Mtemvu, Waislamu wa<br />

Tanganyika walikataa kukiunga<br />

mkono chama chao wenyewe cha<br />

‘All-Muslim National Union of<br />

Tanganyika’ (AMNUT), ili<br />

kulinda umoja wa kitaifa chini<br />

ya TANU, ambacho Rais wake<br />

alikuwa Nyerere, Mkatoliki.<br />

Lakini hali inavyoonekana,<br />

Maaskofu wamejiandaa kuleta<br />

machafuko makubwa ya<br />

kidini hapa nchini, ili wapate<br />

kizingizio cha kuwachinja<br />

Waislamu wanaopigania haki<br />

zao, kwa kutumia mawakala<br />

wao serikalini.<br />

Lakini Waislamu hawana<br />

sababu hata moja ya kupigana<br />

vita isiyo na macho, ambayo<br />

nadhani Maaskofu wanaitafuta<br />

kwa udi na uvumba hapa<br />

Tanzania.<br />

Ila katika mapambano ya<br />

kupigania haki, Waislamu<br />

hawarudi nyuma na wako<br />

tayari.


10<br />

RAIS Mstaafu wa awamu<br />

ya pili, Alh-haji Ali Hassan<br />

M w i n y i , a m e w a t a k a<br />

Waislamu kushughulika<br />

zaidi na utafutaji wa elimu<br />

kwani kufanya hivyo ndio<br />

siri kubwa ya kupata<br />

maendeleo ya jamii nzima<br />

na taifa kwa ujumla.<br />

Alhaji Mwinyi, ambaye<br />

alikuwa mgeni rasmi katika<br />

kongamano hilo, aliyasema<br />

hayo alipokuwa akitoa<br />

nasaha zake kwa Waislamu<br />

waliohudhuria kongamano la<br />

Kuzaliwa Mtume Muhammad<br />

(S.a.w) lililofanyika Lushoto<br />

Jijini Tanga.<br />

Amesema kuwa, jambo<br />

lolote haliwezi kufanikiwa<br />

bila kuwa na elimu nalo,<br />

hivyo aliwataka Waislamu<br />

kujikita katika kutafuta elimu<br />

na kutoa elimu ili kuweza<br />

kuleta maendeleo ya Taifa<br />

kwa ujumla.<br />

Aliongeza kuwa Uislamu<br />

haukutenganisha elimu,<br />

hivyo ni vyema Waislamu<br />

wakatoa kipaumbele kwa<br />

masomo yote, ili kuweza<br />

kuandaa Waislamu walio<br />

na maadili mema na wenye<br />

uelewa wa dini yao.<br />

A i d h a a m e w a t a k a<br />

Waislamu kutambua kua<br />

elimu ndio siri ya maendeleo<br />

kwa taifa na dunia nzima,<br />

na ndio maana elimu katika<br />

Uislamu imefanywa kuwa<br />

jambo la lazima, kama<br />

ambavyo Mtume Muhammad<br />

Habari/Tamgazp<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Lushoto wafanya kongamano kubwa la Waislamu<br />

Na Mwandishi Wetu<br />

MAKAMU wa Kwanza wa<br />

Rais wa Zanzibar Maalim<br />

Seif Sharif Hamad, amesema<br />

wananchi wanahitaji<br />

kuelimishwa zaidi juu ya<br />

uhifadhi wa mazingira<br />

ili kuweza kuyalinda na<br />

kuepuka kuyachafua.<br />

Amesema uchafuzi wa<br />

mazingira mara nyingi<br />

umekuwa ukisababishwa na<br />

wananchi wenyewe, jambo<br />

ambalo linapaswa kupigwa<br />

vita kwa wananchi hao<br />

kupatiwa elimu ya sahihi<br />

mazingira ili kuepusha<br />

uharibifu huo.<br />

Maalim Seif alisema hayo<br />

wakati akizungumza na<br />

Mkuu wa Mkoa wa Tanga,<br />

Bi. Chiku Galawa, mara<br />

baada ya kuwasili katika<br />

uwanja wa ndege wa Tanga<br />

(s.a.w) aliposhushiwa aya<br />

ya kwanza ya kusoma na<br />

wala hakuainishiwa kitu gani<br />

asome.<br />

Naye mwanachuoni<br />

mkubwa kutoka nchini<br />

Kenya, Sheikh Sharifu<br />

Ahmad Al- Badawi, ambaye<br />

alikuwa miongoni mwa<br />

w a n a c h u o n i w a k u b w a<br />

waliohudhuria kongamano<br />

hilo, alipokuwa akiwasilisha<br />

mada yake aliwataka Waislam<br />

kuwafundisha watoto kuijua<br />

vema Qur’an na kuihifadhi<br />

kwa ufasaha, ili kuwa na<br />

kizazi bora chenye kumhofu<br />

Mola pamoja na kumjua<br />

m w e n y e z i M u n g u n a<br />

kuitumikia dunia yao kwa<br />

kufuata sheria, kanuni na<br />

taratibu.<br />

Amewataka wazazi na<br />

walezi kuhakikisha kuwa<br />

watoto wao wanasoma<br />

sawasawa na walimu wao<br />

nao wana utaalamu na<br />

uelewa mkubwa wa masomo<br />

wanayofundisha ili watoto<br />

wapate elimu sahihi.<br />

K w a u p a n d e w a k e ,<br />

Mkurugenzi wa Kituo<br />

cha Kiislamu cha Markaz<br />

Chang’ombe, Jijini Dar<br />

es Salaam Dk. Ossama<br />

M a h a m o u d I s m a i l i ,<br />

amewakumbusha Waislam<br />

kufuata yale yote aliyoyafanya<br />

Mtume (s.a.w).<br />

Aidha wanapoazimisha<br />

mazazi ya Mtume (S.A.W)<br />

iwe ni moja ya njia za<br />

kuhuisha upendo uadilifu<br />

na msamaha wa Kiislam, na<br />

RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Alh-haji Ali Hassan Mwinyi (wanne kutoka kulia) akiwa<br />

katika kongamano la Waislamu Lushoto, mkoani Tanga. Watatu kulia ni Spika wa Baraza<br />

la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Amir Kificho, kushoto kwake ni Sheikh Alhad Musa.Wa<br />

kwanza kulia ni Sheikh Ismail Osama, Mkurugenzi wa chuo cha Markaz Chang'ombe<br />

kwa kufanya hivyo itakuwa ni<br />

sawa na kuiga tabia za Mtume<br />

(S.A.W) juu ya uadilifu<br />

wake, upole na msamaha<br />

aliokuwa akiwasamehe wale<br />

waliokuwa wakimkosea.<br />

Sheikh Osama, alisema<br />

kuwa kumbukumbu ya Mazazi<br />

ya Mtume yanayofanyika kila<br />

mwaka, yawe na athari kwa<br />

Waislamu ili kuthibitisha<br />

matunda ya kujifunza na<br />

k u m f u a t a M t u m e k w a<br />

vitendo.<br />

Alisema mafundisho<br />

yanayopatikana katika<br />

historia ya Mtume, hayawezi<br />

k u p a t i k a n a k a m a m t u<br />

atakuwa hajausoma Uislamu<br />

na Qur an, historia ( Sira ya<br />

Mtume) na hadithi za Mtume<br />

Muhammad (s.a.w).<br />

Naye Spika wa Baraza<br />

la Wawakilishi Zanzibar,<br />

a m e k u m b u s h a j u u y a<br />

Waislamu kuyafanyia kazi<br />

yote yaliyoongelewa katika<br />

Kongamano hilo. Aidha alitoa<br />

pongezi zake za dhati kwa<br />

Sharifu Hussein Al-Badawi,<br />

kwa juhudi zake kubwa za<br />

kuendeleza dini ya Mwenyezi<br />

Mungu na kuitetea.<br />

K o n g a m a n o h i l o<br />

lilifanyika Desemba 2<br />

mwaka huu Wilayani Lushoto<br />

Tanga na kuhudhuriwa na<br />

viongozi mbalimbali wa dini<br />

na kisiasa, pamoja na mamia<br />

ya Waislamu kutoka Lushoto<br />

na vijiji vya jirani.<br />

Maalim Seif asisitiza elimu ya kuhifadhi mazingira<br />

Na Mwandishi Wetu,<br />

Tanga<br />

kwa ziara ya siku mbili.<br />

Amesema iwapo wananchi<br />

wataelimishwa ipasavyo<br />

kuhusu umuhimu na faida<br />

za kuhifadhi mazingira,<br />

wataweza kujiepusha na<br />

uharibifu, hasa ukataji wa miti<br />

kiholela bila ya kuzingatia<br />

athari za kimazingira.<br />

Naye Mkuu wa Mkoa<br />

w a Ta n g a , B i . C h i k u<br />

Galawa, alisema uharibifu<br />

wa mazingira ni moja kati<br />

ya changamoto kubwa<br />

zinazoukabili mkoa huo,<br />

jambo ambalo linarejesha<br />

n y u m a m a e n d e l e o y a<br />

kiuchumi katika mkoa.<br />

Alisema serikali ya mkoa<br />

inatafuta njia mbadala ya<br />

kutumia nishati nyingine<br />

ili kupunguza matumizi<br />

ya kuni na mkaa, ambayo<br />

yanachangia zaidi ukataji wa<br />

miti kiholela.<br />

“Iwapo serikali itazuia<br />

matumizi ya mkaa na kuni,<br />

serikali na wananchi watapata<br />

nafasi ya kufikiria nishati<br />

mbadala ya kutumia kwa ajili<br />

ya kupikia. Lakini tukiendelea<br />

kutumia kuni, mawazo yetu<br />

yatabakia hapo hapo tu na<br />

tutaendelea kutumia kuni kila<br />

siku”, alisema Bi. Galawa.<br />

Mkuu huyo wa mkoa<br />

abainisha kuwa, ukataji<br />

miti kiholela mkoani humo,<br />

umekuwa ukichangia kuwepo<br />

kwa athari za mabadiliko ya<br />

tabianchi, yanayosababisha<br />

upungufu wa mvua pamoja<br />

na kuongezeka kwa hali ya<br />

joto.<br />

Hata hivyo Bi. Galawa<br />

alisema mkoa huo umepiga<br />

hatua kimaendeleo, ikiwa ni<br />

pamoja na kuimarika kwa<br />

miundombinu ya barabara.<br />

Akiwa Mkoani Tanga,<br />

Maalim Seif ambaye pia ni<br />

Katibu Mkuu wa Chama Cha<br />

Wananchi CUF anatarajiwa<br />

kuhutubia mikutano mitatu<br />

ya hadhara katika viwanja<br />

vya Tangamano, Kwadiboma<br />

Sokoni na Handeni.<br />

Masjid Muzdalifa Mbezi kwa Yusufu inawashukuru waislamu<br />

wote waliofanikisha ujenzi wa msikiti kufikia mahala hapa<br />

ulipofikia. Lakini pamoja na shukrani hizo bado tunaomba msada<br />

kwa waislamu wenye moyo wa kujitolea waendelee kutusaidia ili<br />

tukamilishe ulipobakia kwa uwezo wa Allah Inshaalah.<br />

Kwa yeyote mwenye kutaka kuchangia chochote ulicho nacho<br />

wasiliana nasi kwa namba hizi 0717 649313/ 0713 673216/ 0715<br />

874127 au 0657 531367 au unaweza kufika katika msikitini.


11<br />

Na Sheikh Abubakar<br />

Selemani<br />

S H U K U R A N I z o t e<br />

anastahiki Mwenyezi<br />

Mungu, na inatosha na<br />

rehema na amani ziwafikie<br />

waja wa Mwenyezi Mungu<br />

ambao amewachagua.<br />

Baada ya utangulizi huo,<br />

miongoni mwa vyanzo<br />

ambavyo vimechungwa sana<br />

na Uislamu ni upande wa<br />

hukumu za kisheria, Juu ya<br />

wepesi na kuondoa ugumu<br />

na kutatua mambo katika<br />

dini, na miongoni mwa<br />

mambo magumu ambayo<br />

yamefahamika katika baadhi<br />

ya dini zilizopita.<br />

M w e n y e z i M u n g u<br />

amewafundisha waumini<br />

kumuomba yeye. “Ewe<br />

Mola wetu, usitubebeshe<br />

t u s i y o y a w e z a k a m a<br />

ZAIDI ya vijana 2000<br />

walioathirika na matumizi<br />

ya dawa za kulevya Zanzibar<br />

wamepatiwa huduma ya<br />

kuwawezesha kuacha<br />

matumizi ya dawa hizo,<br />

ambapo zaidi ya vijana 400<br />

wameweza kuacha kabisa<br />

matumizi ya dawa hizo na<br />

wanaendelea na harakati<br />

zao za kimaendeleo.<br />

Hayo yameelezwa na<br />

Makamu wa Kwanza wa<br />

Rais Zanzibar, Maalim<br />

S e i f u S h a r i f H a m a d ,<br />

Jumapili iliyopita wakati<br />

akizindua Tume ya Kitaifa<br />

ya Kuratibu na Kudhibiti<br />

wa Dawa za Kulevya, katika<br />

hafla iliyofanyika Jumba la<br />

Wananchi Forodhani.<br />

Tume hiyo imeanzishwa<br />

kufuatia mabadiliko ya sheria<br />

namba 12 ya mwaka 2011,<br />

juu ya udhibiti wa dawa za<br />

kulevya, ambayo kwa sasa<br />

inatoa mamlaka kamili ya<br />

kisheria katika mambano<br />

dhidi ya dawa za kulevya<br />

Makala/Habari<br />

AN-NUUR<br />

SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Wepesi wa hukumu za kisheria<br />

ulivyowabebesha wale<br />

waliokuwa kabla yetu”.<br />

Surat Bakara, aya ya 286.<br />

Na Magumu ni yale yaliyo<br />

mazito.<br />

Kuyafikiria yaliyokuwa<br />

kabla yetu miongoni mwa<br />

sheria zilizopita katika<br />

hukumu ngumu. Umma<br />

huu umepunguziwa kwa<br />

kuondolewa magumu mengi<br />

yaliyokuwepo, nayo ni bahati<br />

kubwa.<br />

Kwani hakuna dini yoyote<br />

ikiwa hakuna kumuabudu<br />

Mungu. Lakini dini zilizopita<br />

kwa upande wa wafuasi<br />

wake, ilikuwa inawaamrisha<br />

kuukera mwili na kuuadhibu.<br />

Na malengo yaliyokuwa kwa<br />

waumini wake ni kujiumiza<br />

katika mwili. Na mwili<br />

unapozidi maumivu yake<br />

inakuwa ndio kujisafisha roho<br />

yake na kuosha nafsi.<br />

Imekuja sheria ya Kiislam<br />

ili kuondoa mambo hayo<br />

magumu, na amejulishwa<br />

Mtume (saw) juu ya mambo<br />

hayo katika vitabu vya watu<br />

wa mwanzo, ambayo ni<br />

tofauti (Anawaamrisha mema<br />

na kuwakataza maovu, na<br />

kuwahalalishia yalio mazuri<br />

na kuwakataza wao mabaya<br />

na kuwaondolea magumu).<br />

Surat Aaraf, aya ya 157.<br />

Amejisifu Mwenyezi<br />

Mungu juu ya Mtume wake<br />

kwa watu akasema, “Kwa<br />

hakika amekuja kwenu<br />

Mtume kutokana na nyinyi,<br />

anaathirika na yale mlionayo,<br />

mwenye pupa na mambo yenu<br />

waumini, ni mpole mwenye<br />

huruma). Surat Tauba, aya<br />

ya 128.<br />

Amesema Mtume (S.A.W)<br />

“nimeletwa kwa dini nyepesi<br />

yenye msamaha”. Dini hii<br />

ni nyepesi katika imani, ni<br />

nyepesi katika maamrisho<br />

yake na hukumu. Na Mwenyezi<br />

Mungu ameuhusisha umma<br />

huu na msamaha na uwepesi<br />

kwa sababu ni hukumu na<br />

ujumbe wa watu wote. Na<br />

kwa dunia nzima na kwa<br />

nyakati zote.<br />

Na ujumbe huu kwa kuwa<br />

ni kwa ajili ya watu wote<br />

na ni wa kudumu, hapana<br />

budi aufanye Mwenyezi<br />

Mungu mwenye hekima<br />

k a t i k a h u k u m u z a k e ,<br />

uwepesi na urahisi na upole<br />

unaokubaliana na watu na<br />

zama hizi na mahitaji yake.<br />

Na haya yapo wazi katika<br />

hukumu za kisheria peke<br />

yake. Amesema Mwenyezi<br />

Mungu mtukufu, “Enyi<br />

ambao mlioamini, rukuuni na<br />

sujuduni na muabuduni Mola<br />

wenu na fanyeni kheri kwa<br />

hakika mtafaulu, na piganeni<br />

jihadi kwa ajili ya Mwenyezi<br />

Mungu, ubora wa jihadi yeye<br />

amewateuweni nyinyi. Na<br />

hakufanya Mwenyezi Mungu<br />

kwenu katika dini ugumu)<br />

Surat al-Haji, aya ya 77 hadi<br />

78. Na anasema mwishoni<br />

mwa aya ya Udhu, “Hataki<br />

Mwenyezi kuweka uzito<br />

na ugumu kwenu. Lakini<br />

anataka mjisafishe na atimize<br />

neema zake kwenu, ili mpate<br />

kushukuru” Surat Maida, aya<br />

ya 6.<br />

Na anasema mwisho wa<br />

aya ya Funga, “Anataka<br />

Mwenyezi Mungu kwenu<br />

uwepesi na wala hataki kwenu<br />

uzito”. Surat Al-Bakarat, aya<br />

ya 185.<br />

“Anataka Mwenyezi<br />

Mungu kuwafanyia wepesi<br />

na ameumbwa binadamu ni<br />

dhaifu” Surat Nnisai, aya<br />

28. Na amewatuma Mtume<br />

(S.A.W) Muadhina Aba<br />

Mussa Al-Ashariyi, wakawe<br />

viongozi nchini Yemen ikiwa<br />

ni miongoni mwa usia wake<br />

Mtume kwao. (Wafanyieni<br />

wepesi na wala msitie uzito,<br />

na wabashirieni na wala<br />

msiwagawe, na mkubaliane<br />

na wala msitofautiane).<br />

Na miongoni mwa sifa zake<br />

Mtume (S.A.W), alikuwa<br />

Vijana 2000 wapatiwa matibabu dawa za kulevya Z’bar<br />

Na Mwandishi Wetu,<br />

Zanzibar<br />

Zaidi ya 400 waacha kabisa<br />

nchini.<br />

Serikali ya Zanzibar<br />

imeamua kuandaa programu<br />

mbalimbali kwa ajili ya<br />

kudhibiti matumizi ya dawa<br />

za kulevya, chini ya ofisi ya<br />

Makamu wa Kwanza wa Rais<br />

ikiwa ni pamoja na kuwepo<br />

kwa huduma za nyumba za<br />

kurekebisha tabia “sober<br />

houses” kwa ajili ya vijana<br />

walioamua kuachana na<br />

matumizi ya dawa hizo.<br />

Alisema hayo ni mafanikio<br />

y a l i y o p a t i k a n a t a n g u<br />

kuanzishwa kwa mpango huo<br />

kwa miaka mitatu iliyopita.<br />

Hata hivyo Maalim Seif<br />

amesema mafanikio hayo<br />

hayatokuwa endelevu iwapo<br />

harakati za usafirishaji,<br />

uingizaji na matumizi ya dawa<br />

za kulevya hazitoendelea<br />

kupigwa vita.<br />

Alisema kuna hatari ya<br />

vijana kuendelea kuwa<br />

wahanga wa matumizi ya<br />

dawa za kulevya iwapo<br />

juhudi za serikali za kuleta<br />

maendeleo hazitakuwa na<br />

tija.<br />

Aliongeza kuwa hatma ya<br />

Taifa inategemea zaidi vijana<br />

wenye mwelekeo makini na<br />

waliojiepusha na matumizi<br />

ya mihadharati kwa vile wao<br />

ndio nguvu kazi kubwa ya<br />

taifa.<br />

Amewata wajumbe wa<br />

Tume hiyo kufanya kazi<br />

kwa bidii ili kufikia malengo<br />

yaliyomo kwenye kauli mbiu<br />

ya “Zanzibar bila ya dawa za<br />

kulevya inawezekana”.<br />

Februari mwisho wa kuhamia digitali Zanzibar<br />

Inatoka Uk. 1<br />

Channel zipatazo 36 zitapatikana<br />

kwa uhakika ambapo kutakuwa<br />

Channel za hapa nchini,<br />

michezo, burudani ya tamthilia<br />

na sinema za Kiswahili, Kiarabu<br />

Kihindi na Kizungu. Alisema pia<br />

kutakuwa na Channel nyingi za<br />

habari kama vile BBC, CNN,<br />

Al-jazira, Deutschewelle, CCTV<br />

na nyenginezo.<br />

Waziri huyo alisema<br />

serikali ya Mapinduzi Zanzibar<br />

inafanya kila jitihada, kuona<br />

kwamba wananchi hawana<br />

sababu ya kuhamanika na<br />

kununua ving’amuzi ghali na<br />

dhaifu hivyo aliwahakikishia<br />

kwamba, wataalamu wa serikali<br />

wanahangaika ili kuona kituo<br />

cha televisheni cha ZBC TV<br />

wanaendelea kukiona bila<br />

ya usumbufu hadi Februari<br />

28,2013.<br />

Waziri Mbarouk, alisema<br />

mabadiliko ya mfumo wa<br />

matangazo ya analogue<br />

kwenda digital, yamekuja<br />

kufuatia agizo lililotolewa<br />

na Shirikisho la Mawasiliano la<br />

Afrika Mashariki (EACO) kuwa,<br />

nchi wanachama wa Shirikisho<br />

hilo zinatakiwa ziwe zimehamia<br />

katika mfumo wa digital ifikapo<br />

mwaka huu.<br />

hapewi mambo ya kuchagua<br />

isipokuwa huchagua lililo<br />

jepesi zaidi likiwa halina<br />

makosa (madhambi). Na<br />

miongoni mwa maneno yake<br />

Mtume (S.A.W) ni kuwa,<br />

“Dini hii ni nyepesi na<br />

wala hatoitia ugumu yeyote<br />

isipokuwa itamshinda. Basi<br />

jisogezeni katika mema. Na<br />

ikiwa muongozo wa Uislam<br />

ni uwepesi katika hukumu za<br />

kisheria na Muislamu yeyote<br />

atakayeweka uzito na ugumu<br />

atakuwa ametoka nje ya dini<br />

ya Kiislam”.<br />

Na kwa hivyo ndipo<br />

aliposimama Mtume Mtukufu<br />

m b e l e y a w a n a o w e k a<br />

ugumu katika Uislamu na<br />

akawaambia juu ya kuangamia<br />

kwao na ubaya wa mambo<br />

yao akasema, “Zindukeni na<br />

jueni kuwa wameangamia<br />

wenye kuitia uzito dini”.<br />

Amesema hivi mara tatu.<br />

Na hakuwa mwenye kurudia<br />

maneno isipokuwa kwa ubora<br />

wa maneno hayo na hatari ya<br />

madhumuni yake.<br />

Amepokea Bin Abbas<br />

(R.A) kutoka kwa Mtume,<br />

“Jiepusheni na kuongeza<br />

mambo katika dini kwani<br />

wameangamia waliopita<br />

kabla yenu kwa kuongeza<br />

vitu katika dini”.<br />

Dini ambayo imejazwa<br />

Qur-ani kwa waliopewa<br />

na amesema Mwenyezi<br />

Mungu mtukufu, “Sema enyi<br />

mliopewa kitabu msiongeze<br />

katika dini yenu ya haki, na<br />

wala msifuate matamanio<br />

ya watu waliopotea kabla<br />

na wakawapoteza wengi<br />

na wakapotea katika njia<br />

iliyonyooka”. Surat Mainda,<br />

aya ya 77.<br />

Amepokea Abu Daudi toka<br />

kwa Sahali Bin Abii Umma<br />

kwamba, ameingia yeye na<br />

baba yake kwa Anasi, wakati<br />

wa uongozi wa Omari Bin<br />

Abul-Azizi, naye akiwa Amiri<br />

wao, naye alikuwa akiswali<br />

swala nyepesi kwa muda wa<br />

dakika moja, ni kama swala<br />

ya msafiri au inakaribiana<br />

na hiyo na alipotoa salamu<br />

akaniambia, hakika Mtume<br />

(S.A.W) alikuwa anasema<br />

“Msitie ugumu wenyewe ili<br />

asije kuweka ugumu kwenu<br />

Mwenyezi Mungu, kwani<br />

wapo watu walitia ugumu<br />

wenyewe Mwenyezi Mungu<br />

akawawekea ugumu kwao”.<br />

Hilo ndilo lililobakia katika<br />

nyumba zao za ibada na<br />

viongozi wao wakajizushia<br />

na wala hatukuwalazimisha<br />

sisi wao.<br />

Tunamuomba Mwenyezi<br />

Mungu ajaalie tuwe wenye<br />

kuyajua mambo na kuyafanyia<br />

kazi na kuyafundisha wengine<br />

na wayafuate kwa ubora zaidi<br />

na wayakubali.


AN-NUUR<br />

12 SAFAR 1434, IJUMAA JANUARI 4 - 10, 2013<br />

Usikose nakala yako ya<br />

AN-NUUR kila<br />

Ijumaa<br />

Ujasiria mali washika kasi Baraza Kuu<br />

Zaidi ya milioni 400 zatolewa mikopo<br />

KATIBU Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T) Sheikh<br />

Ramadhan Sanze.<br />

Februari mwisho wa kuhamia digitali Zanzibar<br />

Na Nassor Khamis,<br />

Zanzibar<br />

WA Z I R I w a H a b a r i ,<br />

Utamaduni, Utalii na Michezo<br />

Bw. Said Ally Mbarouk,<br />

amesema kuwa uhamaji<br />

kutoka katika mfumo wa<br />

matangazo wa analogue<br />

kwenda digital utakamilika<br />

rasmi ifikapo Februari 28<br />

mwaka huu, ambapo mitambo<br />

ya analogue katika kanda ya<br />

mikoa mitano ya Zanzibar<br />

itazimwa.<br />

Bw. Mbarouk, aliyaeleza<br />

hayo wakati akizungumza na<br />

waandishi wa Habari katika<br />

ukumbi wa Idara ya Habari<br />

Maelezo Kikwajuni, mjini<br />

Zanzibar.<br />

Alisema kuwa Mamlaka ya<br />

Mawasiliano Tanzania (TCRA)<br />

na Kamisheni ya Utangazaji<br />

Zanzibar (ZBC), pamoja na<br />

taasisi zinazohusika na shughuli<br />

za utangazaji katika Jamhuri<br />

ya Muungano wa Tanzania,<br />

zimeshauriana juu ya namna<br />

Taifa la Tanzania litakavyoingia<br />

katika mfumo wa digital kwa<br />

awamu, ambapo kwa Zanzibar<br />

utakamilika Februari mwakani<br />

badala ya mwishoni mwa<br />

mwaka huu.<br />

Katika kukamilisha kuingia<br />

katika mfumo wa utangazaji<br />

wa digital, Waziri Mbarouk<br />

alisema kuwa Wizara ya Habari<br />

imefanya kazi kwa mafanikio<br />

makubwa ikiwemo kujenga<br />

kituo cha usambazaji mawimbi<br />

(signal) katika eneo la Rahaleo<br />

pamoja kutayarisha maeneo ya<br />

kurushia matangazo ya digital<br />

katika visiwa vya Unguja na<br />

Pemba.<br />

Aidha alisema kuwa Wizara<br />

imeandaa utaratibu wa kuwepo<br />

msambazaji mawimbi (signal)<br />

wa serikali ambao utafanya kazi<br />

kwa ubia na Wizara ya Habari,<br />

Utamaduni, Utalii na Michezo,<br />

Shirika la Utangazaji Zanzibar<br />

na Wizara ya Fedha Uchumi<br />

na Mipango ya Maendeleo,<br />

pamoja na kuandaa utaratibu<br />

wa upatikanaji wa ving’amuzi<br />

na maudhui kwa bei nafuu.<br />

Aidha alisema kuwa uzinduzi<br />

wa mitambo na matangazo<br />

ya digital utafanyika wakati<br />

wa sherehe za Mapinduzi,<br />

ambapo tukio hilo limepangwa<br />

kufanyika Machi 08, 2013<br />

Rahaleo, mjini Zanzibar pamoja<br />

na kusambazwa kwa ving’amuzi<br />

katika wilaya zote za Zanzibar<br />

kwa ajili ya majabio.<br />

“Tutasambaza ving’amuzi<br />

vichache katika Wilaya zote za<br />

Unguja na Pemba, ili mafundi<br />

wetu waweze kuangalia kama<br />

matangazo hayo yanaweza<br />

kupokewa katika pembe zote<br />

za Zanzibar.”alisema Waziri<br />

Mbarouk.<br />

Alisema kuwa ving’muzi kwa<br />

ajili ya matumizi ya wananchi<br />

vitaanza kuuzwa mwishoni<br />

mwa mwezi wa Januari kwa<br />

bei ya shilingi 50,000, vikiwa<br />

na punguzo la shilingi 22,000<br />

kutoka bei halisi ya ving’amizi<br />

hivyo na kutakuwa na kulipia<br />

ada ya shilingi 8,000 kwa mwezi<br />

mmoja.<br />

Vi n g ’ a m u z i 3 0 0 , 0 0 0<br />

vinatarajiwa kuuzwa katika<br />

kipindi cha miaka miwili.<br />

Alisema kuwa ving’amuzi<br />

hivyo vitakavyosambazwa,<br />

Inaendelea Uk. 11<br />

Na Bakari Mwakangwale imewezekana kuwakopesha<br />

Waislamu kupitia vikundi zaidi<br />

KATIBU Mkuu wa Baraza<br />

Kuu la Jumuiya na Taasisi<br />

za Kiislamu (T) Sheikh<br />

Ramadhan Sanze, amewaasa<br />

Waislamu kwamba huu<br />

si wakati wa kulalamika<br />

kupitia historia na mwenendo<br />

wao nchini, bali ni wakati<br />

wa kupanga mikakati ya<br />

kutenda.<br />

Sheikh Sanze, ametoa<br />

ushauri huo mwishoni mwa<br />

wiki iliyopita katika kituo cha<br />

Kiislamu, Mwenge Jijini Dar<br />

es salama, wakati alipokuwa<br />

akizungumza katika mahafali<br />

ya nne ya kuhitimu wakufunzi<br />

wa Kutayba, yanayoendeshwa<br />

na kusimamiwa na Baraza hilo<br />

kwa lengo kuendesha vikundi<br />

vya fedha vya Kutayba Saccos<br />

na Kutayba Vikundi.<br />

Sheikh Sanze, alisema<br />

k w a m u d a m r e f u s a s a<br />

Waislamu wamekuwa katika<br />

hali ya kulalamika kuwa<br />

wamedhulumiwa baada ya<br />

kupigania uhuru, jambo ambalo<br />

linawapotezea muda wa kufikiri<br />

juu ya hatua za kuchukua baada<br />

ya kubaini dhulma hizo.<br />

Alisema historia hiyo ipo<br />

sahihi na itabakia hivyo tu,<br />

lakini haitusaidia isipokuwa<br />

ni kuitumia kwa kupata ari ya<br />

kufanya vizuri zaidi.” Alisema<br />

Sheikh Sanze.<br />

Alibainisha kwamba kwa<br />

sasa hakuna haja ya kulalamika<br />

wala kunung’unika baada ya<br />

kubaini kuwa kuna tatizo, zaidi<br />

Waislamu wajipange upya ili<br />

mambo yao yaende.<br />

“Mwenyezi Mungu katika<br />

Qur an, amewataka Waislamu<br />

wasihuzunike, wasilalamike<br />

wala wasiogope kwa kuwa wao<br />

wapo juu, lakini ikiwa tu ni<br />

waumini”. Alitoa somo Sheikh<br />

Sanze.<br />

Kupitia Kutayba Vikundi na<br />

Kutayba Saccos, sasa Waislamu<br />

wameanza kuonyesha njia ya<br />

kutambulika kwenye vyombo<br />

vya fedha, kwani tayari<br />

wameanza kuwakimbilia<br />

baada ya kuona kuna watu<br />

wameanza kuonyesha juhyudi<br />

zao wenyewe, hivyo wanaona<br />

wakisaidiwa watafanya vizuri<br />

zaidi.<br />

Alisema awali mpango huo<br />

ulikuwa katika vichwa, kisha<br />

kuhamishiwa katika makaratasi<br />

na baadae uliingizwa katika<br />

utendaji na matokeo yake<br />

yameonekana kwani hapakuwa<br />

na utaratibu kama huo kwa<br />

Waislamu nchini.<br />

Sheikh Sanze alifafanua<br />

zaidi kwamba unapouwezesha<br />

umma wa Kiislamu, unakuwa<br />

umewezesha zaidi ya asilimia<br />

50 ya Watanzania, na zaidi<br />

utakuwa umeisaidia Serikali<br />

tawala kuinua hali za kiuchumi<br />

wa raia wake.<br />

Mpaka sasa Baraza Kuu<br />

la Jumuiya na Taasisi za<br />

Kiislamu (T), chini ya Kutayba<br />

ya shilingi milioni mia tano.<br />

Akitoa nasaha zake kwa<br />

wakufunzi wa mafunzo ya<br />

wanakutayba, Sheikh Sanze,<br />

aliwaeleza wahitimu hao kuwa,<br />

kuhitimu kwao ni mwanzo wa<br />

mafanikio makubwa iwapo<br />

wanataka.<br />

Kwa upande wake Sheikh<br />

Mtoe, alitanabaisha kwamba<br />

pamoja na mafanikio yenye tija<br />

ambayo yanaanza kuonekana<br />

k w a Wa i s l a m u k a t i k a<br />

kujiletea maendeleo, lakini<br />

wasijisahau kwani kuna wenzao<br />

wameshapiga hatua kubwa<br />

kuliko hiyo waliyofikia.<br />

Aliwataka wakufunzi hao<br />

kuhakikisha kila mmoja,<br />

ahakikishe kwamba mipango<br />

na mikakati hiyo ya Kutayba<br />

Vikundi na Kutayba Saccos,<br />

anaifikisha katika Msikiti wake<br />

na kuizalisha kwa wengine<br />

ambao hawajabahatika kuipata<br />

taaluma hiyo.<br />

Naye Ustadhi Iddi Uvuruge,<br />

ambaye ni Meneja mikopo wa<br />

Kutayba Saccos, alisema mpaka<br />

sasa wana matawi takriban 23<br />

katika mikoa yote nchini na<br />

baadhi ya Wilaya.<br />

Alisema kupitia Kutayba,<br />

zaidi ya shilingi Milioni mia<br />

nne, zimetolewa kama mikopo<br />

kwa wanachama mbalimbali wa<br />

Kutayba Saccos nchini.<br />

Ustadhi Uvuruge, aliitaja<br />

mikopo hiyo kuwa ni pesa<br />

tasilimu, vifaa vya ujenzi,<br />

pikipiki zaidi ya mia moja,<br />

magari, bajaji pamoja na<br />

nyumba.<br />

Akianisha aina ya mikopo<br />

wanayoitoa, aliitaja kuwa ni<br />

Karbanhasana (mikopo mema),<br />

inayohusiana na pesa tasilimu<br />

kuanzia elfu ishirini hadi<br />

milioni moja. Katika mkopo<br />

huu, mwanachama akikopa<br />

kiasi hicho anatakiwa kurejesha<br />

kiasi hicho hicho bila kuongeza<br />

kiasi chochote.<br />

Aina ya pili ya mikopo<br />

ni Mudhwaraba (Mikopo ya<br />

kibiashara). Hii ni mikopo<br />

inayozidi kiasi cha shilingi<br />

milioni moja. Mkopo huu<br />

haitolewi pesa tasilimu, bali<br />

mwanachama hukopeshwa<br />

bidhaa, vifaa, magari au hata<br />

nyumba kulingana na mahitaji<br />

ya mwanachama.<br />

Akizungumzia changamoto<br />

wanazokumbana nazo, meneja<br />

huyo alisema baada ya huduma<br />

hiyo kuwafikia Waislamu wengi<br />

nchini, kumekuwa na ongezeko<br />

kubwa la Waislamu kutoka<br />

sehemu mbalimbali wanaohitaji<br />

kufikiwa au kufungua Kutayba<br />

zao. Changamoto nyingine<br />

ni uelewa mdogo wa jamii<br />

hususani katika mikopo hii<br />

ya Mudhwaraba, ambapo ule<br />

utaratibu wa kununua kitu kisha<br />

ukamkopesha mwanachama<br />

kwa bei ya juu anadhani kuwa<br />

bado hiyo ni riba.<br />

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!