21.06.2013 Views

Tawhiyd Enyi Waja Wa Allaah - Alhidaaya.com

Tawhiyd Enyi Waja Wa Allaah - Alhidaaya.com

Tawhiyd Enyi Waja Wa Allaah - Alhidaaya.com

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

1<br />

<strong>Tawhiyd</strong> <strong>Enyi</strong> <strong><strong>Wa</strong>ja</strong> <strong>Wa</strong><br />

<strong>Allaah</strong><br />

Al-’Allaamah Ash-Shaykh<br />

Swaalih Fawzaan Al-Fawzaan<br />

Imesariwa Na:<br />

Abu Bakr Khatwiyb Al-Atrush


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

2<br />

DIBAJI<br />

Alhamdulillaah, Swalah na salaam zimwendee Mtume wetu Muhammad (Swalla<br />

<strong>Allaah</strong> ´alayhi wa sallam), na ahli zake na Maswahabah zake na wanaowafuata<br />

kwa wema hadi siku hiyo ya mwisho.<br />

Haya ni mawaidha ya sauti aliyoyatoa Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu <strong>Allaah</strong>)<br />

kuhusu <strong>Tawhiyd</strong> (Kumpwekesha <strong>Allaah</strong>). Lengo kubwa lililonipelekea kuandaa<br />

mada hii, ilipokuwa mtu hawezi kuingia Peponi ila kwa <strong>Tawhiyd</strong> na <strong>Allaah</strong><br />

(Subhaanahu wa Ta´ala) Hamsamehi mwenye kufa juu ya Shirki/Ushirikina<br />

mkubwa - na wengi wetu kwa masikitiko makubwa hatuijui <strong>Tawhiyd</strong>, hivyo<br />

nikaonelea kuifasiri kwa Kiswahili na kuifanya kwa njia ya kitabu ili kumsahilishia<br />

msomaji.<br />

Katika mawaidha haya Shaykh kafafanua vizuri ni nini maana ya <strong>Tawhiyd</strong> na<br />

kinyume chake vile vile amefafanua maana ya Ushirikina na aina zake, unafiki<br />

mkubwa na mdogo, maana ya ´Ibaadah na mwenye haki ya kufanyiwa ´Ibaadah,<br />

hali kadhalika ameelezea ni zipi njia zinazopelekea katika Ushirikina huo ili mtu<br />

aweze kujiepusha nazo.<br />

Tunamuomba <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala) Atuweke mbali na Ushirikina<br />

mkubwa na mdogo kama Alivyovitenganisha mashariki na magharibi, Atujaalie<br />

tuwe ni wenye kumtakasia Yeye ´Ibaadah na kumpwekesha Yeye Mmoja na<br />

Atufishe juu yayo na juu ya ´Aqiydah sahihi.<br />

Ninamuomba <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala) Ajaalie kazi hii niwe nimeifanya kwa<br />

niyah ya kutafuta Radhi Zake (Tabaaraka wa Ta´ala), na ninamuomba Ajaalie kazi<br />

hii iweze kuleta faida kwa ndugu zetu <strong>Wa</strong>islamu.<br />

Swalah na salaam zimwendee Mtume wetu Muhammad, wa ´alaa aalihi wa<br />

Aswhaabihi ajma´iyn.


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

3<br />

<br />

Alhamdulillaahi Rabbil ´Aalamiyn. Swalah na salaam zimwendee mja na Mtume<br />

<strong>Wa</strong>ke Muhammad, wa ´alaa aalihi wa Aswhaabihi ajma´iyn. Amma ba´ad:<br />

Maudhui ni muhimu, nayo ni kama mlivyosikia "At-<strong>Tawhiyd</strong> yaa ´Ibaada <strong>Allaah</strong>”<br />

(Mpwekesheni <strong>Allaah</strong> enyi waja wa <strong>Allaah</strong>), "At-<strong>Tawhiyd</strong> yaa ´Ibaad..", tumetumia<br />

usulubu huu kilugha hutumiwa kwa vitu muhimu, ima mtu akikimbilie au<br />

ajiepushe nacho. Na makusudio hapa, ni mtu akimbilie katika maudhui haya, nayo<br />

ni maudhui ya <strong>Tawhiyd</strong> (kumpwekesha <strong>Allaah</strong>). <strong>Wa</strong>naambiwa haya Madu´aat<br />

(walinganiaji) katika Uislamu, yaani ni wale wanaolingania watu katika Uislamu,<br />

ili waanze kwa jambo hili katika kulingania kwao. Kwa hivyo, si katika mambo<br />

madogo na sahali kwa watu maalumu tu, bali (<strong>Tawhiyd</strong>) ndio asli na msingi.<br />

Ni wajibu kwa yule mwenye kulingania watu katika Uislamu aanze kwa <strong>Tawhiyd</strong>,<br />

ndio waliyoanza nayo Mitume (´Alayhimus-Salaam). Mitume wote kuanzia wa<br />

mwanzo wao hadi wa mwisho wao, walianza Da´wah (kulingania kwao watu) kwa<br />

<strong>Tawhiyd</strong>, kwa kuwa <strong>Tawhiyd</strong> ndio msingi ambao dini imejengeka juu yake.<br />

<strong>Tawhiyd</strong> ikiwa imara, nyumba itasimama vizuri na kuwa imara. Na hili ni mfano<br />

wa misingi ya majumba na majengo, kwanza huanza kwa kujenga msingi ukawa<br />

imara kisha ndio kukajengwa nyumba na kupandishwa. Nyumba haiwezi<br />

kusimama bila ya msingi imara, nyumba itajengewa juu ya msingi huo na<br />

ikasimama. Lau utajenga nyumba bila ya msingi imara, salama na wenye nguvu,<br />

basi nyumba itaporomoka na kuangamia waliyomo humo ndani. Hali kadhalika<br />

dini ikiwa haikujengeka katika ´Aqiydah sahihi, inakuwa ni dini isiyomfaa mtu na<br />

wala haimfidishi chochote, sawa bila kujali namna atakavyojitaabisha. Dini yake<br />

haitomfaa kitu, kwa kuwa haikujengeka juu ya msingi sahihi, nao ni <strong>Tawhiyd</strong>. Kwa<br />

ajili hio, Mitume (‘Alayhimus-Salaam) kitu cha kwanza walichoanza kuwalingania<br />

kwacho watu wao ni <strong>Tawhiyd</strong>, ilikuwa ni kabla ya kuwaamrisha Swalah, Zakaah,<br />

Swawm n.k. Na ilikuwa ni kabla ya kuwakataza Zinaa, kuiba na kunywa pombe na<br />

maasi mengine, walianza kwanza kwa msingi ambao ni <strong>Tawhiyd</strong>.<br />

Kila Mtume alikuwa akiwaambia watu wake:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

4<br />

“<strong>Enyi</strong> qawm yangu! Mwabuduni <strong>Allaah</strong> (kwani nyinyi) hamna ilaah (mungu<br />

anayestahiki kuabudiwa kwa haki) ghairi Yake." [Al-A´araaf 07: 59].<br />

Kama alivyosema hivyo Nuwh, Huwd, Swaalih, Shu´ab, Ibraahiym, Muwsaa,<br />

´Iysaa na Mitume waliosalia (´Alayhimus-Salaam), akiwemo Mtume Muhammad<br />

(Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam). Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na Hatukutuma kabla yako (ee Muhammad ملسو هلآو هيلع ﷲ ىلص)<br />

Mtume yeyote<br />

isipokuwa Tulimfunulia <strong>Wa</strong>hyi ya kwamba: “Hakika hapana ilaah (mungu<br />

anayestahiki kuabudiwa wa haki) isipokuwa Mimi; basi Niabuduni.” [Al-Anbiyaa<br />

21: 25].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"... Hakika hapana ilaaha (mungu anayestahiki kuabudiwa wa haki) isipokuwa<br />

Mimi; basi Niabuduni."<br />

Hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>.<br />

Kwa hivyo, kila Mtume alianza Da´wah yake kwa msingi huu, wakiwaamrisha<br />

hapana mola anayetahiki kuabudiwa kwa haki ila <strong>Allaah</strong> Pekee, na kumpwekesha<br />

<strong>Allaah</strong> kwa ´Ibaadah. Kisha baada ya hilo, wanawaamrisha baki ya mambo<br />

mengine ya dini. Ikiwa hawajaikubali <strong>Tawhiyd</strong>, basi walikuwa hawawaamrishi<br />

kitu kingine. <strong>Wa</strong>kiwaitikia kwa <strong>Tawhiyd</strong>, wanawaamrisha na kuwakataza,<br />

wanawasihi na kuwafikishia Shari´ah, baada ya msingi huu kuwa imara.<br />

Na Mtume wetu Muhammad (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) Alipomtuma<br />

<strong>Allaah</strong> mji wa Makkah, kitu cha kwanza alichoanza nacho ni kuwalingania watu<br />

katka <strong>Tawhiyd</strong>, na kuwakataza kuabudu masanamu na kumuabudu asiyekuwa<br />

<strong>Allaah</strong>. Alikuwa akiwaambia "<strong>Enyi</strong> watu, semeni "hapana mola apasaye<br />

kuabudiwa kwa haki ila <strong>Allaah</strong>" mtaokoka. Anawalingania katika <strong>Tawhiyd</strong>, na


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

5<br />

kumpwekesha <strong>Allaah</strong> katika ´Ibaadah, miongoni mwao kuna waliokubali - na ni<br />

idadi ya watu wachache, na miongoni mwao kuna waliokataa na kuleta inadi - na<br />

ndio ni wengi. Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) akabaki mji wa Makkah<br />

baada ya kutumwa kwa miaka 33, akilingania watu katika <strong>Tawhiyd</strong>, akiwaambia<br />

wamuabudu <strong>Allaah</strong> na waache kuabudu asiyekuwa Yeye - katika masanamu, miti,<br />

mawe na viumbe vingine [walivyokuwa wakiviabudu].. Anawaamrisha kwa yale<br />

Aliyowaamrisha <strong>Allaah</strong> kwayo nayo ni <strong>Tawhiyd</strong>, na anakawakataza yale<br />

Aliyowakataza, nayo ni Shirki. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na kwa yakini Tulituma katika kila ummah Mtume (awaamrishe watu wake)<br />

kwamba: “Mwabuduni <strong>Allaah</strong> na jiepusheni na twaaghuwt (miungu ya uongo,<br />

basi miongoni mwao (wako) ambao <strong>Allaah</strong> Amewahidi, na miongoni mwao (wako)<br />

ambao umethibitika kwake upotofu. Basi nendeni katika ardhi mtazame vipi<br />

ulikuwa mwisho wa walioakadhibisha." [An-Nahl 16: 36].<br />

<strong>Wa</strong>lipoendelea washirikina kung´ang´ania Ushirikina, huku wakisema:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakika hili ni jambo la<br />

ajabu." [Swaad 38: 05].<br />

<strong>Wa</strong>namkusudia Mtume Muhammad (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam), hapa ni<br />

pindi (Mtume) alipowaambia semeni hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki<br />

ila <strong>Allaah</strong>. <strong>Wa</strong>kasema:<br />

<br />

<br />

<br />

"Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakika hili ni jambo la


ajabu." [Swaad 38: 05].<br />

www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

6<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Sisi hatukusikia haya katika mila hii ya mwisho. Haya si chochote ila ni uzushi tu."<br />

[Swaad 38: 07].<br />

Yaani anasema uongo.<br />

<strong>Wa</strong>o hawataki mungu awe mmoja tu, bali wanataka kila mmoja abaki ni mwenye<br />

kuabudu atakacho - masanamu, miti, mawe, makaburi, watu wema, Malaika, jini<br />

na watu - kila mmoja aabudu atakacho. Namna hii ndio anawaamrisha Shaytwaan.<br />

Na <strong>Allaah</strong> Anawaamrisha <strong>Tawhiyd</strong> na Shaytwaan anawaamrisha Ushirikina,<br />

wakamuitikia hilo na wakaikataa amri ya <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala).<br />

<strong>Wa</strong>kasema:<br />

<br />

<br />

<br />

"Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakika hili ni jambo la<br />

ajabu." [Swaad 38: 05].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Sisi hatukusikia haya katika mila hii ya mwisho. Haya si chochote ila ni uzushi tu."<br />

[Swaad 38: 07].<br />

Yaani katika dini ya baba zao na babu zao. Huyu mtu (yaani Mtume) ni muongo tu<br />

na porojo. Kwa dalili ipi? Dalili ni kwa vile amekuja na kitu baba zao walikuwa<br />

hawakifanyi. Na je, kweli hii ndio dalili?! Huku ni kufuata kichwa mchunga kina<br />

baba na babu, ndio dalili kwa vile walifanya, hapana! Hii ni dalili ya kipotevu -


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

7<br />

<strong>Allaah</strong> Atukinge, ama dalili ya uongofu ni ile Aliyosema <strong>Allaah</strong> na Mtume <strong>Wa</strong>ke.<br />

Hii ndio dalili.<br />

Akaendelea Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) akiwalingania kwa miaka<br />

33 huku wao wakimcheka tu, wakiwaudhi Maswahabah wake na wafuasi wake, na<br />

wakiwatisha kwa maonyo makali, wakimuadhibu yule wawezae kumuadhibu.<br />

Lakini <strong>Wa</strong>islamu wakaendelea kuwa thabiti huku ni wenye kusubiri kwa majaribio<br />

na mitihani huku wameshikamana bara bara na dini ya Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u<br />

´alayhi wa sallam), na wale wenye kuingia katika Uislamu wakawa wengi.<br />

<strong>Wa</strong>shirikina walipoona hivyo wakaanza kumuudhi Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi<br />

wa sallam) na Maswahabah zake, wakaanza kumfanyia njama, baada ya kujaribu<br />

njia zote za adhabu na vitimbi, na yote hayakusaidia kitu na wala<br />

hayakuwakimbiza <strong>Wa</strong>islamu kutoka katika dini yao. <strong>Wa</strong>lipoona hivyo wakaanza<br />

kuwafanyia njama, huku wakifikiria wamfanye nini mtu huyu:<br />

<br />

<br />

<br />

ٕ <br />

"Na (kumbuka ee Muhammad ملسو هلآو هيلع ﷲ ىلص)<br />

walipokufanyia njama wale<br />

waliokufuru ili wakufunge, au wakuue, au wakufukuze (wakutoe Makkah). Na<br />

wanafanya njama, na <strong>Allaah</strong> Anapanga mipango (Ya kuvurumisha njama zao), na<br />

<strong>Allaah</strong> ni Mbora wa kupindua njama." [Al-Anfaal 08: 30].<br />

Pindi alipoona hivyo Mtume, akawaamrisha Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam) Maswahabah zake wafanye Hijrah, aliwapa ruhusa ya kufanya Hijrah<br />

(kuhamia) Madiynah. Alipokuja <strong>Wa</strong>hd kutoka Madiynah na akakutana na Mtume<br />

(Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) katika Hajj, Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam) akamlingania katika Uislamu, akakubali na kusilimu. Akaenda Madiynah<br />

kwa watu wake na kuwafikishia Da´wah hii Madiynah, Uislamu ukazidi kueneza<br />

Madiynah, hapo ndipo Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) alipowaamrisha<br />

Maswahabah zake kufanya Hijrah, kwa ajili ya dini yao kutokana na maudhi ya<br />

makafiri. <strong>Wa</strong>kafanya Hijrah, akabaki yeye Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam), akakhofia Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) Maswahabah<br />

wasiingiliwe na kudhuriwa. Baadhi ya makafiri wakasema mfungeni gerezani (jela)<br />

milele, na baadhi yao wakasema tumuue, na baadhi yao wakasema tumtoeni mjini


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

8<br />

tumtupe mbali, wakakaa huku wakishauriana, akaja Shaytwaan kwa umbile la<br />

mtu, akawashauri wachukue yale maoni ya pili, ambayo ilikuwa ni kumuua.<br />

Lakini vipi watamuua ilihali ni katika (kabila) tukufu la Quraysh ambapo<br />

wasingekubali, hawamuachii yeyote amuue mmoja wa kabila yao hata kama<br />

walikuwa ni makafiri. <strong>Wa</strong>kaogopa Quraysh ya kwamba wakimuua wataathirika<br />

kwa ajili yake, wakatatizika vipi watamuua. Akawajia Shaytwaan na kuwaambia<br />

"Chukueni katika kila kabila kijana mwenye nguvu na mumpe silaha yenye nguvu<br />

- upanga - kisha wampige wote kwa pamoja kipigo cha pamoja mpaka wamuue,<br />

hivyo Quraysh hawatoweza kupambana na kabila zote. <strong>Wa</strong>kapendekeza maoni<br />

haya na wakakusanyika vijana huku wamebeba silaha.<br />

Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) akaamka kutoka kwenye kitanda chake,<br />

akabaki mlangoni anataka kutoka, akaja Jibriyl kwa Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi<br />

wa sallam) na kumwambia njama zao. <strong>Wa</strong>kamwita ´Aliy bin Abiy Twaalib<br />

(Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu) - kijana mwenye nguvu - akamwita na kumuamrisha<br />

kulala kwenye kitanda chake ili watapomuona wadhanie kwamba ni Mtume.<br />

Akaja ´Aliy (Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu) na kulala kwenye kitanda, wakawa<br />

wanamwangalia naye (´Aliy) amelala kwenye kitanda - tazama alivyokuwa na<br />

thabati, nguvu na imani. Akatoka Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam)<br />

kupita kati yao na wala hawakumuona - <strong>Allaah</strong> Akawapa usingizi mpaka akatoka<br />

kupita baina yao na akawamwagia udongo kwenye vichwa vyao. Akaenda yeye na<br />

Abu Bakr (Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu) Makkah katika pango, Quraysh wakawa<br />

wanamtafuta Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam).<br />

<strong>Wa</strong>katangaza yeyote atakayemleta sawa awe hai au maiti, atapata zawadi ya zizi<br />

zima la ngamia, ilifikia kiasi kwamba walikuja [kuwatafuta]., huku wamesimama<br />

juu ya pango (walipokuwa), <strong>Allaah</strong> Akawaziba macho yao na hawakumuona<br />

Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam), ilihali Mtume alikuwa chini ya miguu<br />

yao (ndani ya pango), na walikuwa wamesimama juu yake. Akasema Abu Bakr<br />

(Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu) "Ee Mtume wa <strong>Allaah</strong>, lau mmoja wao angelitazama chini<br />

ya miguu yake angelituona." Akasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam)<br />

"Ee Abu Bakr, hujui ya kuwa walio wawili <strong>Allaah</strong> Huwa watatu wao." Yaani ya<br />

kwamba <strong>Allaah</strong> yuko pamoja nao, (Subhaanahu) kwa kuwanusuru na kuwalinda.<br />

Hawakuweza kamwe! Ndipo <strong>Allaah</strong> (Ta´ala) Alipoteremsha kauli Yake:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

9<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Msipomnusuru (Mtume), basi <strong>Allaah</strong> Amekwishamnusuru, pale walipomtoa<br />

(Makkah) wale waliokufuru akiwa wa pili katika wawili (pamoja na Abu Bakr);<br />

walipokuwa katika pango, alipomwambia swahibu yake: “Usihuzunike, hakika<br />

<strong>Allaah</strong> Yu Pamoja nasi. Basi <strong>Allaah</strong> Akamteremshia utulivu <strong>Wa</strong>ke, na Akamsaidia<br />

kwa majeshi msiyoyaona (Malaika), na Akajaalia neno la waliokufuru (kuwa) chini.<br />

Na Neno la <strong>Allaah</strong> ndilo lililo juu. Na <strong>Allaah</strong> ni ‘Aziyzun-Hakiym (Mwenye Nguvu,<br />

Mshindi Asiyeshindika daima - Mwenye Hikmah wa yote daima)." [At-Tawbah 9:<br />

40].<br />

Akatoka Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) na Swahibu wake nje ya<br />

pango, baada ya wao (makafiri) kushindwa kuwaathiri, na walikuwa<br />

wameshaandaa mtu wa kuwaonesha njia, wakapanda farasi na kwenda Madiynah<br />

wakiwa salama mpaka walipofika Madiynah.<br />

Funzo katika haya, ni kwamba Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) alibaki<br />

Makkah baada ya kutumwa kwake akilingania katika <strong>Tawhiyd</strong>, kabla<br />

hajaamrishwa Swalah, Swalah ilifaradhishwa kabla ya kufanya Hijrah, na kabla ya<br />

kuamrishwa Zakaah, Swawm, Hajj na kabla ya kuamrishwa baki ya mambo ya<br />

dini. <strong>Wa</strong>kati wote huo alikuwa akiamrisha <strong>Tawhiyd</strong>, na akakikataza Ushirikina<br />

kiasi cha muda wa miaka 33. Kisha akafanya Hijrah kwenda Madiynah na<br />

akakutana na Answaar na akakuta wana nguvu, akawa anapambana na Quraysh<br />

na kuwaua mpaka <strong>Allaah</strong> Akamnusuru nao, ikadhihiri dini ya <strong>Allaah</strong> (´Azza wa<br />

Jalla), watu wakawa wanaingia katika dini ya <strong>Allaah</strong> makundi kwa makundi, hata<br />

wale wambao walikuwa wakimpinga na kumfanyia uadui, <strong>Allaah</strong> Akajaalia wengi<br />

wao kuongoka wakaingia katika Uislamu. Na hii ndio natija ya kuwa na subira na<br />

kuwa thabiti katika haki, thabiti katika kulingania katika <strong>Tawhiyd</strong>, na kwamba<br />

<strong>Tawhiyd</strong> ndio msingi. La sivyo, Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) lau<br />

angeliwaambia acheni Zinaa, acheni kunywa pombe acheni kadha na kadha<br />

lisingewatatiza hilo, wangeyaacha yote. Lakini alipowaambia acheni kuabudu<br />

masanamu, na muabuduni <strong>Allaah</strong> Mmoja asiyekuwa na mshirika, hawakuweza<br />

hili, hawakuweza kuacha ´Ibaadah ya masanamu, kwa kuwa wameshanyweshwa<br />

nayo (´Ibaadah) hiyo nyoyo zao - <strong>Allaah</strong> Atukinge - na wakaipenda, na wakawa na<br />

khofu kuacha ´Ibaadah ya masanamu. <strong>Wa</strong>kawa na khofu wasipatwe na adhabu


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

10<br />

(kutoka kwa hayo masanamu). Shaytwaan akawapambia nayo na kuwakhofisha.<br />

Hii ni dalili ya kwamba, <strong>Tawhiyd</strong> ndio kitu cha kwanza mtu anaanza nacho katika<br />

Da´wah. Na kwa ajili hii, Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) alikuwa<br />

anapowatuma Madu´aat (walinganiaji) anawaamrisha waanze kulingania watu<br />

katika <strong>Tawhiyd</strong>, wakiitikia watu, hapo ndo wanawaamrisha maamrisho mengine<br />

ya dini. Na ndio maana, pindi alipomtuma Mu´aadh bin Jabal (Radhiya <strong>Allaah</strong>u<br />

´anhu) Yemen, akamwambia:<br />

"Wewe unawaendea watu katika Ahlul-Kitaab, iwe kitu cha kwanza<br />

utachowalingania kwacho ´kushuhudia ya kwamba hapana mola apasaye<br />

kuabudiwa kwa haki ila <strong>Allaah</strong>, na kwamba Muhammad ni Mtume wa <strong>Allaah</strong>;<br />

wakikuitikia kwa hilo, wafunze ya kwamba <strong>Allaah</strong> Kawafaradhishia juu yao<br />

Swalah tano mchana na usiku; wakikuitikia hilo wafunze ya kwamba <strong>Allaah</strong><br />

Kawafaradhishia Swadaqah, ichukuliwe kutoka kwa matajiri wao na wapewe<br />

mafukara wao."<br />

Jambo la kwanza alilomuamrisha nalo, awalinganie watu katika <strong>Tawhiyd</strong> -<br />

´kushuhudia ya kwamba hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila <strong>Allaah</strong>, na<br />

kwamba Muhammad ni Mtume wa <strong>Allaah</strong>’; <strong>Wa</strong>kishashuhudia ya kwamba hapana<br />

mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa <strong>Allaah</strong>, na kwamba Muhammad ni<br />

Mtume wa <strong>Allaah</strong> ndio awaamrishe Swalah na Zakaah. Ama ikiwa hawakuitikia<br />

na hawakukubali, hakuna faida ya Swalah, Zakaah na wala hakuna faida baki ya<br />

matendo. Matendo hayasihi (hayakubaliwi) ila mpaka iwe pamoja na <strong>Tawhiyd</strong> -<br />

kumpwekesha <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa) kwa ´Ibaadah. Ama yakiwa<br />

yamechanganyika na Ushirikina, hakika ´Ibaadah hazitofaa, kwa kuwa Ushirikina<br />

unaharibu matendo:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

ٕ <br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa waliokuwa kabla yako: "Bila ya<br />

shaka ukimshirikisha <strong>Allaah</strong> matendo (´amali) zako zitaanguka, na lazima utakuwa


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

11<br />

miongoni mwa wenye kukhasiri. Bali muabudu <strong>Allaah</strong> tu, na uwe miongoni mwa<br />

wenye kushukuru." [Az-Zumar 39: 66].<br />

Haki ya <strong>Allaah</strong> ni <strong>Tawhiyd</strong>, kama alivyosema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam) akimwambia Mu´aadh:<br />

"Ee Mu´aadh unajua ni ipi Haki ya <strong>Allaah</strong> juu ya waja wake? Nikasema "<strong>Allaah</strong> na<br />

Mtume <strong>Wa</strong>ke ndio wanaojua." Akasema "Haki ya <strong>Allaah</strong> juu ya waja wake<br />

wamuabudu Yeye pekee na wala wasimshirikishe na chochote."<br />

Hii ndio haki ya <strong>Allaah</strong> ambayo Kaumba viumbe kwa ajili yayo. Kama Alivyosema<br />

<strong>Allaah</strong> (Subhaanahu):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

" Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi." [Adh-Dhaariyaat 51:<br />

56].<br />

<strong>Wa</strong>eleze watu jambo ambalo ni la wajibu kwao katika haki ya <strong>Allaah</strong> (Ta´ala),<br />

waeleze Uislamu ni upi. Usiwalinganie katika Uislamu kiujumla, bali wabainishie<br />

Uislamu hakika ya kwamba ni kushuhudia ya kwamba hapana mola apasaye<br />

kuabudiwa kwa haki isipokuwa <strong>Allaah</strong>, na kwamba Muhammad ni Mtume wa<br />

<strong>Allaah</strong>, na kusimamisha Swalah, kutoa Zakaah, kufunga Ramadhaan, kuhiji<br />

Baytul-Haraam."<br />

Kama ilivyo katika Hadiyth ya Jibriyl wakati alipomuuliza Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u<br />

´alayhi wa sallam) Uislamu ni nini?<br />

"Uislamu ni kushuhudia ya kwamba hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki<br />

isipokuwa <strong>Allaah</strong>, na kwamba Muhammad ni Mtume wa <strong>Allaah</strong>."


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

12<br />

Tazama alivyoanza na Shahaadatayn kwanza.<br />

"... na kusimamisha Swalah, kutoa Zakaah, kufunga Ramadhaan, kwenda kuhiji<br />

nyumba ya <strong>Allaah</strong> kwa mwenye uwezo."<br />

Mtume anamwambia ´Aliy:<br />

"<strong>Wa</strong>linganie katika Uislamu, na waeleze kwa lile ambalo ni wajibu kwao katika<br />

haki ya <strong>Allaah</strong> (Ta´ala), naapa lau <strong>Allaah</strong> Atamuongoza mtu mmoja kupitia kwako,<br />

ni bora kwako kuliko ngamia 70."<br />

Mtu mmoja tu anamuongoza <strong>Allaah</strong> kupitia mkono wako, anaingia katika Uislamu<br />

na kumpwekesha <strong>Allaah</strong> na akaacha Ushirikina, ujira wako unakuwa kama wake<br />

(unapata ujira wake wote maishani), kama alivyosema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u<br />

´alayhi wa sallam):<br />

"Atakayeita (lingania) katika uongofu, ana ujira mfano wa ujira wa atakayemfuata,<br />

hakitopungua kwa hayo katika ujira wake chochote. Na atakayeita katika upotevu,<br />

atakuwa juu yake ana madhambi mfano wa madhambi wa atakayemfuata,<br />

hakitopungua kwa hayo katika madhambi yake chochote."<br />

"Lau <strong>Allaah</strong> Atamuongoza mtu mmoja kupitia mikono yako, ni bora kwako kuliko<br />

ngamia nono 70."<br />

Itakuwaje lau <strong>Allaah</strong> Atamuongoza kupitia mikono yako mtu zaidi ya mmoja, lau<br />

<strong>Allaah</strong> Akaongoza kupitia mikono yako Ummah mzima wa watu, watu wa mji<br />

mzima, kabila zima, Ummah wa watu; ujira unakuwa mkubwa kwa <strong>Allaah</strong><br />

(Ta´ala).<br />

Kulingania watu kwa <strong>Allaah</strong> ujira na thawabu zake ni kubwa. Anasema <strong>Allaah</strong><br />

(Jalla wa ´Alaa):


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

13<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na ni nani mbora wa kusema kuliko aitaye kwa <strong>Allaah</strong> na akatenda mema, na<br />

akasema: "Hakika mimi ni katika <strong>Wa</strong>islamu?" [Fusswilat 41: 33].<br />

Huyu ndiye mbora wa watu kwa kauli. Kulingania watu kwa <strong>Allaah</strong> ni wajibu:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۚ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na uweko (watokeze) kutoka kwenu Ummah unaolingania kheri na unaoamrisha<br />

ma’aruwf (Uislamu, mema) na unaokataza munkari (maovu). Na hao ndio<br />

waliofaulu." [Al-´Imraan 03: 104].<br />

Haijuzu kwa Muislamu ambaye <strong>Allaah</strong> Kamneemesha Uislamu, akaijua haki na<br />

akaijua batili (upotevu), haijuzu kwake kunyamaza na akatosheka na kuifaidisha<br />

nafsi yake mwenyewe, bali ni wajibu kwake kulingania watu katika Uislamu, na ni<br />

wajibu kuwabainishia watu ni nini Uislamu mpaka waujue na kushikamana nao.<br />

Jambo la kwanza ambalo watu wanalinganiwa kwalo ni <strong>Tawhiyd</strong>, na kutokana na<br />

hilo Mitume (´Alayhimus-Salaam) kuanzia wa mwanzo mpaka wa mwisho wao,<br />

kitu cha kwanza walikuwa wakianza kwa kulingania watu katika <strong>Tawhiyd</strong>, kisha<br />

baadaye ndio wanawalingania watu baki ya mambo ya Shari´ah. Na ikiwa watu<br />

hawataki kukubali kuitikia <strong>Tawhiyd</strong>, hakuna faida ya baki ya maamrisho. Ima<br />

huteremshiwa maangamivu - kama ilivyokuwa kwa Ummati zilizotangulia,<br />

wakikataa kukubali <strong>Tawhiyd</strong> na wakaendelea kuabudu masanamu, mwishowe<br />

<strong>Allaah</strong> Huwaangamiza, kama ilivyokuwa katika watu wa Nuwh, na kama<br />

ilivyokuwa kwa watu wa ´Aad, Thamuwd na Ummati nyinginezo zilizotangulia.<br />

Ima huamrishwa Mtume (‘Alayhis-Salaam) akapigana nao vita, kama ilivyokuwa<br />

wakati wa Muwsa (´Alayhis-Salaam) na Mtume wetu Muhammad (Swalla <strong>Allaah</strong>u<br />

´alayhi wa sallam). <strong>Allaah</strong> Aliwaamrisha kupigana nao Jihaad. Kwanza wanaanza<br />

kulinganiwa kwa <strong>Allaah</strong> wakiitikia khayr, la sivyo ni wajibu kuwapiga vita:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

14<br />

"Na piganeni nao mpaka kusiweko fitnah na (mpaka) Dini yote iwe ni kwa ajili ya<br />

<strong>Allaah</strong>." [Al-Anfaal 08: 39].<br />

<strong>Wa</strong>likuwa hawawaachi. Ummah zilizotangulia aliwaangamiza <strong>Allaah</strong> wote, ama<br />

kwa Ummah zilizokuja baadaye ni wajibu kwa Mitume na kwa Madu´aat<br />

(walinganiaji) kupigana vita na anayemkufuru na kumshirikisha <strong>Allaah</strong>, wala watu<br />

hawaachwi katika Shirki na kufuru zao ilihali wana uwezo wa kupigana nao vita.<br />

Lakini Da´wah (kuwalingania kwanza) kunatangulia kwanza kabla ya Jihaad,<br />

atakayekubali - Alhamdulillaah - na kwa yule asiyekubali hakuna njia nyingine ila<br />

panga, ni wajibu Jihaad mpaka dini iwe yote ni ya <strong>Allaah</strong> pekee (Subhaanahu wa<br />

Ta´ala). Hii ndio njia ya Madu´aat wenye kutengeneza baada ya Mitume<br />

(´Alayhimus-Salaam), ya kwamba wanapigana Jihaad katika njia ya <strong>Allaah</strong> kwa<br />

yule mwenye kumkufuru <strong>Allaah</strong> na akatoka katika dini ya <strong>Allaah</strong>, wanamuua,<br />

mpaka Ushirikina, kufuru na ufisadi vyote vitoweke, na kuenee wema na khayr<br />

katika ardhi. Huu ndio wajibu wa Mitume (´Alayhimus-Salaam) na wafuasi wao<br />

hadi siku ya Qiyaamah. Na hii ndio njia ya wale wenye kutengeneza ambao<br />

wamekuja baada ya Mitume, na khaswa watengenezaji katika Ummah huu<br />

wanatakiwa wawe katika Manhaj hii, wanawalingania watu katika <strong>Tawhiyd</strong> na<br />

kuwawekea wazi, yule mwenye kuikubali - Alhamdulillaah - na yule asiyeikubali<br />

wanapigana naye Jihaad na kumuua mpaka Awanusuru <strong>Allaah</strong> kwake, na neno la<br />

<strong>Allaah</strong> liwe juu na maadui watoweke. Hii ndio dini yetu.<br />

Na <strong>Tawhiyd</strong>, ni nini <strong>Tawhiyd</strong>? <strong>Tawhiyd</strong> ni kumpwekesha <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa)<br />

kwa kumuabudubu, hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

<br />

<br />

"Na mwabuduni <strong>Allaah</strong> na wala msimshirikishe na chochote." [An-Nisaa 04: 36].<br />

Anasema <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu):


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

15<br />

<br />

<br />

<br />

"Na kwa yakini Tulituma katika kila ummah Mtume (awaamrishe watu wake)<br />

kwamba: “Mwabuduni <strong>Allaah</strong> na jiepusheni na twaaghuwt (miungu ya uongo)."<br />

[An-Nahl 16: 36].<br />

Hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>, kumuabudu <strong>Allaah</strong> na kuacha at-Twaaghuwt, nayo maana yake<br />

<br />

<br />

<br />

ni kumuabudu asiyekuwa Yeye. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hapana kulazimisha katika (kuingia) Dini, kwani imekwishabainika kati ya<br />

Uongofu na upotofu. Basi atakayemkanusha twaaghuwt (miungu ya uongo) na<br />

akamwamini <strong>Allaah</strong> kwa hakika atakuwa ameshikilia imara kishikilio madhubuti<br />

kisichovunjika." [Al-Baqarah 02: 256].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

ٕ <br />

◌ۗ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na anayesilimisha uso wake kwa <strong>Allaah</strong>, naye ni Muhsin (mwenye kutenda<br />

wema), basi kwa yakini ameshikilia imara kishikilio madhubuti kisichovunjika. Na<br />

kwa <strong>Allaah</strong> ni mwisho wa mambo (yote)." [Luqmaan 31: 22].<br />

"Na anayesilimisha uso wake kwa <strong>Allaah</strong>", hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>, kutakasa ´amali zake<br />

kwa <strong>Allaah</strong>. Huku ndiko kusalimisha uso, na uso maana yake ni makusudio. "Na<br />

anayesilimisha uso wake..." Yaani asafishe makusudio na nia yake kwa <strong>Allaah</strong><br />

(Subhaanahu wa Ta´ala).<br />

" ... naye ni Muhsin" yaani ni mwenye kumfuata Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam), aache Bid´ah, mambo ya kuzua na ukhurafi, na afuata Sunnah ya Mtume<br />

(Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam). Ni lazima yawepo mambo mawili Ikhlaasw<br />

kwa <strong>Allaah</strong> na kumfuata Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam), na hii ndio<br />

maana ya Shahaadatayn. Maana ya ´nashuhudia hapana mola apasaye kuabudiwa


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

16<br />

kwa haki ila <strong>Allaah</strong> ni Ikhlaasw kwa <strong>Allaah</strong> ´Ibaadah.`<br />

Maana ya 'nashuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa <strong>Allaah</strong> ni kumfuata<br />

na kuyafanyia kazi aliyokuja nayo (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam), na mtu<br />

kuacha Bid´ah, mambo ya kuzua na ukhurafi ambayo <strong>Allaah</strong> Hakuteremsha<br />

chochote kuhusiana nayo. Hichi ndio "kishikilio madhubuti kisichovunjika."<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na anayesilimisha uso wake kwa <strong>Allaah</strong>, naye ni Muhsin." [Luqmaan 31: 22].<br />

Kwa haya masharti mawili. Ni al-Ikhlaasw wal-Mutabaa´.<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

ٕ <br />

◌ۗ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

" Na anayesilimisha uso wake kwa <strong>Allaah</strong>, naye ni Muhsin (mwenye kutenda<br />

wema), basi kwa yakini ameshikilia imara kishikilio madhubuti kisichovunjika. Na<br />

kwa <strong>Allaah</strong> ni mwisho wa mambo (yote)." [Luqmaan 31: 22].<br />

Na katika Aayah ya kwanza:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hapana kulazimisha katika (kuingia) Dini, kwani imekwishabainika kati ya<br />

Uongofu na upotofu. Basi atakayemkanusha twaaghuwt (miungu ya uongo) na<br />

akamwamini <strong>Allaah</strong> kwa hakika atakuwa ameshikilia imara kishikilio madhubuti<br />

kisichovunjika." [Al-Baqarah 02: 256].


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

17<br />

Hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>, kumpwekesha <strong>Allaah</strong> (Jala wa ´Alaa) kwa ´Ibaadah, na kuacha<br />

`Ibaadah badala Yake. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na Hatukutuma kabla yako (ee Muhammad ملسو هلآو هيلع ﷲ ىلص)<br />

Mtume yeyote<br />

isipokuwa Tulimfunulia <strong>Wa</strong>hyi ya kwamba: “Hakika hapana ilaaha (mungu<br />

anayestahiki kuabudiwa wa haki) isipokuwa Mimi; basi Niabuduni.” [Al-Anbiyaa<br />

21: 25].<br />

"Ilaaha" maana yake ni chenye kuabudiwa. Kwa maana hakuna kinachoabudiwa<br />

kwa haki ila <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala), atakayeabudu badala ya <strong>Allaah</strong> basi<br />

hicho ni kiungu cha batili na si cha haki. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hivyo ni kwa kuwa <strong>Allaah</strong> Ndiye Al-Haqq (wa Haki, wa Kweli), na kwamba Yeye<br />

Anahuisha wafu, na kwamba Yeye juu ya kila kitu ni Qadiyr (Mweza daima)."<br />

[Twaaha 22: 06].<br />

Hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>, ni kumpwekesha <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa) kwa kila aina ya<br />

´Ibaadah, kufanya hayo huku ukimfuata Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam), iwe ni juu ya Sunnah na juu ya Shari´ah ya <strong>Allaah</strong> ambayo Kaiweka kwa<br />

Mtume <strong>Wa</strong>ke (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam), kwani hakika <strong>Allaah</strong> Haabudiwi<br />

ila kwa yale Aliyoyaweka (Subhaanahu wa Ta´ala). <strong>Allaah</strong> Haabudiwi kwa Bid´ah<br />

mambo ambayo Hakuyaweka <strong>Allaah</strong> katika Shari´ah:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

18<br />

"Au hao wana miungu ya kishirikina waliowatungia dini Asiyoitolea idhini<br />

<strong>Allaah</strong>?" [Ash-Shura 42: 21].<br />

Shari´ah ni Tawqiyfiyyah (kuchukua katika Qur-aan na Sunnah tu), na hakuna<br />

kuongeza wala kupunguza lolote ambalo halipo. Hakuna kufanya kitu chochote<br />

katika mambo ya ´Ibaadah isipokuwa ikiwa tu kimeafikiana na Sunnah ya Mtume<br />

wa <strong>Allaah</strong> (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam). Hii ndio <strong>Tawhiyd</strong> na ´amali njema:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hivyo anayetaraji kukutana na Mola wake, na atende ‘amali njema, na wala<br />

asimshirikishe katika ‘ibaadah za Mola wake yeyote.” [Al-Kahf 18: 110].<br />

Na wala haiwezi kuwa ´amali njema isipokuwa ikiwa iko katika Shari´ah:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"... na wala asimshirikishe katika ‘ibaadah za Mola wake yeyote.”[Al-Kahf 18: 110].<br />

Hii ndio sharti ya pili, nayo ni Ikhlaasw kwa <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla). Hii ndio<br />

<strong>Tawhiyd</strong>. <strong>Tawhiyd</strong> sio ile wasemayo wajinga na watu wapotevu, ya kwamba<br />

<strong>Tawhiyd</strong> ni kujua ya kwamba <strong>Allaah</strong> ndiye Muumbaji, Mwenye Kuruzuku,<br />

Mwenye Kuhuisha, Mwenye Kufisha, Mwenye Kuendesha mambo. Hii si <strong>Tawhiyd</strong><br />

inayotakikana, haya hata ikiwa mtu atayajua pekee hayatoshi. Hakika washirikina<br />

walikuwa wakiyajua haya:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

19<br />

"Na ukiwauliza (hao washirikina): “Ni nani aliyeumba mbingu na ardhi?” Bila<br />

shaka watasema: “<strong>Allaah</strong>.” [Luqmaan 31: 25].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۚ<br />

<br />

<br />

"Sema: (ee Muhammad ملسو هلآو هيلع ﷲ ىلص)<br />

“Nani anayekuruzukuni kutoka<br />

mbinguni na ardhini. Au nani anayemiliki kusikia na kuona; na nani anayemtoa<br />

(aliye) hai kutoka mfu, na anayemtoa mfu kutoka (aliye) uhai; na nani anayedabiri<br />

mambo (yote)? <strong>Wa</strong>tasema: “Ni <strong>Allaah</strong>” [Yuunus 10: 31].<br />

Ni kina nani hawa wanaosema ni <strong>Allaah</strong> ndiye Mwenye kufanya haya? Ni<br />

washirikina. <strong>Wa</strong>najua hili.<br />

Lau haya ndio ingekuwa <strong>Tawhiyd</strong> wangelikuwa <strong>Wa</strong>islamu. <strong>Allaah</strong> (Ta´ala)<br />

Hakuwakubalia haya - kuishia kwa haya, bali alimuamrisha Mtume <strong>Wa</strong>ke<br />

kupigana nao vita. Kwa nini? <strong>Wa</strong>kati walipomshiri-kisha <strong>Allaah</strong> katika ´Ibaadah,<br />

Ushirikina unakuwa katika ´Ibaadah. Ama Ushirikina katika <strong>Tawhiyd</strong>-ur-<br />

Rubuwbiyyah hili ni dogo ulimwenguni kwa kuwa walimwengu wengi wanakubali<br />

<strong>Tawhiyd</strong>-ur-Rubuubiyyah, ya kwamba <strong>Allaah</strong> ndiye Muumbaji, Kuruzuku,<br />

Kuhuisha, Kufisha, Kuendesha mambo - pamoja na kukubali yote haya walikuwa<br />

wakiabudu badala ya <strong>Allaah</strong> kwa madai wakisema ni waombezi wao mbele ya<br />

<strong>Allaah</strong>. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong>:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Na wanaabudu asiyekuwa <strong>Allaah</strong> ambao (hawawezi) kuwadhuru na wala<br />

(hawawezi) kuwanufaisha, na wanasema: “Hawa ni waombezi wetu mbele ya<br />

<strong>Allaah</strong>.” [Yuunus 10: 18].<br />

Hawakusema watu hawa wanaumba, wanaruzuku na wanaendesha mambo, bali<br />

walisema ni waombezi wao, yaani wakaa kati mbele yao na <strong>Allaah</strong>:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

20<br />

<br />

<br />

<br />

"... na wanasema: “Hawa ni waombezi wetu mbele ya <strong>Allaah</strong>.” [Yuunus 10: 18].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Na huu ndio Ushirikina uliojaa leo kwa waabudu makaburi. Lau mtu atawauliza<br />

"Kwa nini mwaabudu makaburi?" <strong>Wa</strong>nasema "Kwa kweli sisi tunajua kuwa<br />

hawana uwezo si wa kuumba, kuruzuku na mengineyo, tunawaomba tu ili<br />

watuombee kwa <strong>Allaah</strong>, Subhaana <strong>Allaah</strong>, Ushirikina unaitwa Shafaa´ah<br />

(uombezi):<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۚ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۚ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"... na wanasema: “Hawa ni waombezi wetu mbele ya <strong>Allaah</strong>.” Sema: “Je,<br />

mnamjulisha <strong>Allaah</strong> kwa yale Asiyoyajua katika mbingu na ardhini? Subhaanahu<br />

wa Ta’ala! (Utakaso ni <strong>Wa</strong>ke Na Ametukuka kwa Uluwa) kwa yale yote<br />

wanayomshirikisha." [Yuunus 10: 18].<br />

Hebu tazama, mambo haya Kayaita <strong>Allaah</strong> kuwa ni Ushirikina na Kajitakasa Nafsi<br />

Yake nayo "Utakaso ni <strong>Wa</strong>ke Na Ametukuka kwa Uluwa." Pamoja na madai<br />

wakisema kwamba:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"... Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia <strong>Allaah</strong>." [Az-Zumar 39:<br />

03].<br />

Pamoja na madai yao haya, <strong>Allaah</strong> Kawaita kuwa ni washirikina. Kwa hivyo,<br />

Ushirikina ni ´Ibaadah kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, aina yoyote ya ´Ibaadah sawa iwe ni


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

21<br />

du´aa kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, kuchinja kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, kuweka nadhiri<br />

kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, kutaka msaada kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong> na kadhalika. Yule<br />

mwenye kutaka msaada kutoka kwa maiti, anachinjia makaburi, yule ambaye<br />

anaomba maiti na anawaomba haja, huu ndio Ushirikina mkubwa. `Ibaadah kwa<br />

asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla), hii ndio dini ya washirikina wa mwanzo<br />

waliyokuwa wakiabudu badala ya <strong>Allaah</strong> visivyowadhuru wala<br />

visivyowanufaisha na wakisema:<br />

<br />

<br />

<br />

"... na wanasema: “Hawa ni waombezi wetu mbele ya <strong>Allaah</strong>.” [Yuunus 10: 18].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Kwa hivyo, <strong>Tawhiyd</strong> ni kumpwekesha <strong>Allaah</strong> kwa ´Ibaadah kwa aina yote ya<br />

´Ibaadah. Na ´Ibaadah aina yake ni nyingi kama alivyosema hilo Shaykh-ul-Islaam<br />

Ibn Taymiyyah (Rahimahu <strong>Allaah</strong>):<br />

"Neno ´Ibaadah ni jina la ujumla, linalojumuisha kila Anachokipenda <strong>Allaah</strong> na Kukiridhia,<br />

katika ´amali na maneno yaliyo dhahiri na yaliyo jificha."<br />

´Ibaadah inakuwa ndani ya moyo, nako kunakuwa kwa kunyenyekea, kutamani,<br />

uoga, kupenda na kutegemea. Na inakuwa ´Ibaadah kwa ulimi; Tasbiyh, Tahliyl,<br />

kumdhukuru <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla). Na inakuwa ´Ibaadah kwa kurukuu,<br />

kusujudu, kusimama, Swalah, Jihaad katika njia ya <strong>Allaah</strong>, kuamrisha mema na<br />

kukataza maovu na kulingania watu katika njia ya <strong>Allaah</strong>. ´Ibaadah inakuwa kwa<br />

kuchinja na kuweka nadhiri katika matendo; ikiwa mtu atachinja, kuweka nadhiri,<br />

kuomba msaada kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong> kwa asiyoyaweza (unayemuomba)<br />

isipokuwa <strong>Allaah</strong>, kuomba msaada maiti, makaburi, mtu huyu kamshirikisha<br />

<strong>Allaah</strong> Ushirikina mkubwa kwa kuwa kamuabudu asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, kamuomba<br />

asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, kachinja kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, kaweka nadhiri kwa asiyekuwa<br />

<strong>Allaah</strong>:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

22<br />

◌ۖ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Sema (ee Muhammad ملسو هلآو هيلع ﷲ ىلص):<br />

“Hakika Swalaah yangu, na Nusuki<br />

(ibada) zangu na uhai wangu na kufa kwangu ni kwa ajili ya <strong>Allaah</strong> (Pekee) Rabbil-<br />

‘Aalamiyna (Mola wa walimwengu.”). Hana mshirika, na kwa hayo ndio<br />

nimeamrishwa, nami ni Muislamu wa kwanza (waliojisilimisha kwa <strong>Allaah</strong>)." [Al-<br />

An´aam 06: 162-163].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۚ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۚ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Sema (ee Muhammad ملسو هلآو هيلع ﷲ ىلص):<br />

“Je, nitake ghairi ya <strong>Allaah</strong> kuwa ni<br />

Mola, na hali Yeye ni Mola wa kila kitu? Na wala nafsi yoyote haitochuma (ubaya)<br />

ila ni dhidi yake. Na wala hatobeba mbebaji (mzigo yake ya dhambi) mzigo (wa<br />

dhambi) wa mwengine." [Al-An´aam 06: 164].<br />

"Nusuki" maana yake ni kichinjo na kaambatanisha hili na Swalah. Kwa maana<br />

kama ambavyo haijuzu Swalah kumfanyia asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, hali kadhalika<br />

haijuzu kuchinja kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>. Anasema <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

"Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola <strong>Wa</strong>ko." [Al-Kawthar 108: 02].<br />

"An-Nahru" ni kichinjo, kaambatanisha hilo na Swalah. Kasema "Mfanyie Mola<br />

<strong>Wa</strong>ko", yaani hapana kwa asiyekuwa Yeye. Haijuzu kuchinja kwa asiyekuwa<br />

<strong>Allaah</strong>; si kwa jini, wala kaburi, wala wachawi, wala miti, wala mawe wala kwa<br />

kitu chochote kwa makusudio ya kupata manufaa au kuzuia dhara, hata ikiwa mtu<br />

atadai ya kwamba watu hawa ni waombezi, au wakaa kati kwa <strong>Allaah</strong>. Hili


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

23<br />

halijuzu. <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa) Kaamrisha kumuabudu Yeye mmoja asiyekuwa na<br />

mshirika, na kuacha ´Ibaadah ya asiyekuwa Yeye: "<strong>Wa</strong>muabudu <strong>Allaah</strong> na<br />

wajiepushe na Twaghuwt." ´Ibaadah haisihi isipokuwa mpaka kwa kuacha<br />

Ushirikina.<br />

Ama kwa yule mwenye kumuabudu <strong>Allaah</strong> kisha Anamshirikisha, hakika<br />

´Ibaadah yake kwa <strong>Allaah</strong> ni batili. <strong>Allaah</strong> Haridhii Ashirikishwe pamoja Naye na<br />

mwengine yeyote katika ´Ibaadah, si Malika wa karibu, Nabii aliyetumwa wala<br />

walii katika mawalii, wala wasiokuwa wao. ´Ibaadah ni haki ya <strong>Allaah</strong><br />

(Subhaanahu Ta´ala). Ama mawalii na watu wema - hata Mitume na Malaika<br />

haijuzu kuwaabudu, wala kuwaomba wao badala ya <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla). Lililo<br />

la wajibu juu yetu ni kuwapenda na kuwafuata, kuwapenda watu wema na<br />

kuwafuata na kufuata Manhaj yao, ama ´Ibaadah ni haki ya <strong>Allaah</strong> pekee<br />

(Subhaanahu wa Ta´ala). Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) anasema:<br />

"Msinitukuze kama Manaswara walivyomtukuza ´Iysaa Ibn Maryam, hakika mimi<br />

ni mja, basi semeni "Mja wa <strong>Allaah</strong> na Mtume <strong>Wa</strong>ke."<br />

Yaani msichupe mipaka katika kunisifu kama walivyochupa mipaka Manaswara<br />

katika kumsifu ´Iysaa, hadi wakafikia kusema ni <strong>Allaah</strong> au ni Mtoto wa <strong>Allaah</strong> na<br />

mwishowe wakamuabudu badala ya <strong>Allaah</strong>. Hii ni Ghuluw - <strong>Allaah</strong> Atukinge.<br />

Mtume kakataza hili, kasema:<br />

"Msinitukuze kama Manaswara walivyomtukuza ´Iysaa Ibn Maryam, hakika mimi<br />

ni mja, basi semeni "Mja wa <strong>Allaah</strong> na Mtume <strong>Wa</strong>ke."<br />

Ni mja katika waja wa <strong>Allaah</strong> na ndiye mbora katika waja wa <strong>Allaah</strong>, na Mtume wa<br />

<strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala). Hizi ndizo sifa zake (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam) ni mja na Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam). <strong>Allaah</strong> Kamfanya<br />

bora kwa Uja na Utume:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

24<br />

"Ametukuka Aliyeteremsha Furqaan kwa mja <strong>Wa</strong>ke,... " [Al-Furqaan 25: 01].<br />

"Na ikiwa mko katika shaka kutokana na Tuliyoyateremsha juu ya mja Wetu." [Al-<br />

Baqarah 02: 23].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

ٕ <br />

<br />

<br />

"Subhaanah! (Ametakasika - <strong>Allaah</strong>) Ambaye Amemchukua mja <strong>Wa</strong>ke (sehemu ya)<br />

usiku kutoka Al-Masjid Al-Haraam (wa Makkah) mpaka Al-Masjid Al-Aqswaa<br />

(Baytul-Maqdis, Palestina)" [Al-Israa´ 17: 01].<br />

<strong>Allaah</strong> Kamwita kuwa ni mja, na mja haabudiwi pamoja na <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu<br />

wa Ta´ala). Mja haabudiwi! Na viumbe vyote ni waja wa <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hakuna yeyote (yule aliyomo) katika mbingu na ardhi isipokuwa (Siku ya<br />

kufufuliwa) atamfikia Ar-Rahmaan (Mwingi wa Rahmah) kuwa ni mja. Kwa hakika<br />

Amekwishawadhibiti na Amewahesabu (hesabu ya) sawasawa. Na kila mmoja<br />

(wote) katika wao atamfikia (<strong>Allaah</strong>) Siku ya Qiyaamah pekee." [Maryam 19: 93-<br />

95].<br />

<strong>Wa</strong>islamu na makafiri, watakuja kwa <strong>Allaah</strong> kama waja, hawana chochote katika<br />

haki ya ´Ibaadah, bali wao ni wahitajia kwa <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa). Vipi<br />

wataabudiwa pamoja na <strong>Allaah</strong> (Jalla wa ´Alaa)! Hii ndio <strong>Tawhiyd</strong>, kumpwekesha


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

25<br />

<strong>Allaah</strong> kwa ´Ibaadah na kuacha ´Ibaadah kwa asiyekuwa Yeye. Utapomuabudu<br />

<strong>Allaah</strong> Mmoja asiyekuwa na mshirika na ukaacha ´Ibaadah ya asiyekuwa Yeye,<br />

utakuwa umempwekesha Mola <strong>Wa</strong>ko (´Azza wa Jalla) na umejua uhakika wa<br />

<strong>Tawhiyd</strong>.<br />

Ni wajibu kujifunza <strong>Tawhiyd</strong> na kuijua <strong>Tawhiyd</strong>, mpaka mtu awe na Baswiyrah.<br />

Na ukishaijua <strong>Tawhiyd</strong>, basi ni wajibu vile vile kujua Shirki (Ushirikina) ni upi ili<br />

ujiepushe nao, vipi utajiepushe na kitu na wewe hukijui?! Ni wajibu kujua ni nini<br />

Ushirikina ili ujiepushe nao, la sivyo ikiwa huujui unakhofiwa ukaja kutumbukia<br />

humo ilihali na wewe hujui. Kwa ajili hii, anasema mshairi:<br />

"Nimeijua shari si kwa ajili napenda shari, lakini ni kwa ajili nijiepushe nayo; na yule<br />

asiyeijua shari hutumbukia humo."<br />

Na ndio maana Hudhayfah bin al-Yamaaniy (Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu) akisema:<br />

"<strong>Wa</strong>tu walikuwa wakimuuliza Mtume wa <strong>Allaah</strong> (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam) kuhusu khayr, na mimi nilikuwa nikimuuliza kuhusu shari nikikhofia<br />

nisije kuitumbukia humo."<br />

Ni lazima ujue Ushirikina ni upi na ni zipi aina zake. Shirki (Ushirikina) ni<br />

kumfanyia ´Ibaadah kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala), huu ndio<br />

Ushirikina.<br />

Na baadhi ya wanachuoni wanasema Ushirikina ni (du´aa) kumuomba asiyekuwa<br />

<strong>Allaah</strong>, na hii ni sahihi lakini haitoshi tu du´aa bali ni kina aina ya ´Ibaadah haijuzu<br />

kwa mtu kumshirikisha <strong>Allaah</strong>, wamesema Ushirikina ni kumuomba asiyekuwa<br />

<strong>Allaah</strong>, kwa sababu du´aa ndio aina kubwa ya ´Ibaadah. Ushirikina ni kuomba<br />

<strong>Allaah</strong> pamoja na mwengine, au waweza pia kusema Ushirikina ni kuielekeza<br />

´Ibaadah kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala) na tafsiri hii ndio bora<br />

zaidi. Atakayefanya kitu katika ´Ibaadah akamfanyia asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (´Azza wa<br />

Jalla), atakuwa ameshirikisha. Shirki (Ushirikina) umegawanyika sehemu mbili:<br />

1) Shirki Kubwa:


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

26<br />

Shirki kubwa inamtoa mtu katika Uislamu, na aina ya Shirki hii inamfanya mtu<br />

kuingia Motoni milele akifa hali ya kuwa anaifanya. Kama Alivyosema <strong>Allaah</strong><br />

(Ta´ala):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۖ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hakika mwenye kumshirikisha <strong>Allaah</strong> bila shaka <strong>Allaah</strong> Atamharamishia Pepo,<br />

na makazi yake yatakuwa ni Motoni. Na madhalimu hawatopata mwenye<br />

kunusuru yeyote.” [Al-Maaidah 05: 72].<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

" Hakika <strong>Allaah</strong> Haghufuri kushirikishwa; na Anaghufuria yasiyokuwa hayo kwa<br />

Amtakae." [An-Nisaa 04: 48].<br />

Ushirikina mkubwa hausamehe <strong>Allaah</strong>, mwenye kufa hali ya kuwa anaufanya bila<br />

shaka huyo ni katika watu wa Motoni, na mtu huyo hana katika Moto wakati<br />

maalumu kisha atolewe, hapana! Atadumishwa milele Motoni, mtu huyu<br />

imeharamishwa kwake Pepo:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

◌ۖ<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hakika mwenye kumshirikisha <strong>Allaah</strong> bila shaka <strong>Allaah</strong> Atamharamishia Pepo,<br />

na makazi yake yatakuwa ni Motoni. Na madhalimu hawatopata mwenye<br />

kunusuru yeyote.” [Al-Maaidah 05: 72].<br />

Huu ndio Ushirikina, hii ndio khatari yake - <strong>Allaah</strong> Atukinge.


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

27<br />

Kasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Atakayefariki huku anamshirikisha <strong>Allaah</strong>, ataingia Motoni. Na atakayefariki na<br />

huku hamshirikishi <strong>Allaah</strong> na chochote, ataingia Peponi."<br />

Kasema tena Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Atakayefariki huku akiomba pamoja na <strong>Allaah</strong> mwenzi, ataingia Motoni."<br />

Kasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Kwa hakika, <strong>Allaah</strong> Kamharamishia Moto mwenye kusema "hapana mungu<br />

apasaye kuabudiwa kwa haki" akikusudia kwa kusema hivyo radhi za <strong>Allaah</strong>."<br />

Hii ndio fadhila ya <strong>Tawhiyd</strong>. Ama Ushirikina - na <strong>Allaah</strong> Atukinge nao - mtu<br />

atadumishwa Motoni milele, wala <strong>Allaah</strong> Hakubali msamaha.<br />

" Hakika <strong>Allaah</strong> Haghufuri kushirikishwa,... " [An-Nisaa 04: 48].<br />

<br />

<br />

Usije kufanya Ushirikina ukasema "<strong>Allaah</strong> Atanisamehe siku ya Qiyaamah, hata<br />

nikiteleza nikafanya Ushirikina, <strong>Allaah</strong> Atanisamehe siku ya Qiyaamah kama<br />

Atavyomsamehe mfanya Zinaa, mwizi na mnywa pombe", Twasema hapana,<br />

Ushirikina hausamehewi, Ushirikina hausamehewi:<br />

<br />

<br />

<br />

" Hakika <strong>Allaah</strong> Haghufuri kushirikishwa; na Anaghufuria yasiyokuwa hayo kwa


Amtakae." [An-Nisaa 04: 48].<br />

www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

28<br />

Yaani <strong>Allaah</strong> Anasamehe yalio chini ya Ushirikina kwa Amtakae (Subhaanahu wa<br />

Ta´ala). Ushirikina hauingii chini ya msamaha, hii ni khatari kubwa.<br />

Ni lazima ujue ni upi Ushirikina, tunazidi kukariri kwa kusema Ushirikina ni<br />

kumfanyia ´Ibaadah asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (Subhaanahu wa Ta´ala). Na si lazima iwe<br />

utamfanyia mtu huyo au kitu hicho ´Ibaadah zote, lau utamfanyia ´Ibaadah moja<br />

tu, lau utamfanyia aina moja ya ´Ibaadah tu katika aina za ´Ibaadah ukamfanyia<br />

asiyekuwa <strong>Allaah</strong> unakuwa mshirikina, hata kama katika baki za aina ya ´Ibaadah<br />

hukumshirikisha <strong>Allaah</strong>, ukamfanyia aina moja tu katika aina za ´Ibaadah<br />

asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, tendo hili linaharibu (poromosha) ´amali zako zote. Huu ndio<br />

Ushirikina mkubwa, nako ni kumfanya kitu katika aina za ´Ibaadah kwa<br />

asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla).<br />

2) Shirki Ndogo:<br />

Aina ya pili ni Ushirikina mdogo usiomtoa mtu katika Uislamu, lakini khatari yake<br />

ni kubwa kwa sababu Ushirikina huu mwisho wake unapelekea katika Ushirikina<br />

mkubwa. Hata hivyo, hali kadhalika Ushirikina huu mdogo Hausamehe <strong>Allaah</strong>,<br />

hata kama ni Ushirikina mdogo. Kutoka na Kauli Yake:<br />

" Hakika <strong>Allaah</strong> Haghufuri kushirikishwa." [An-Nisaa 04: 48].<br />

<br />

<br />

Lakini kwa mwenye kufanya Ushirikina huu mdogo, akiingia Motoni<br />

hatodumishwa humo milele, ataingia Motoni lakini hatodumishwa milele kama<br />

atavyodumishwa milele mwenye Ushirikina mkubwa. Lakini Ushirikina huu<br />

mdogo hausamehewi, bali ni lazima aadhibiwe mwenye kuufanya hata kama ni<br />

Ushirikina mdogo. Hii ni khatari kubwa.


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

29<br />

Kwa hivyo, mtu asifanyie mchezo Ushirikina akasema haina neno huu ni<br />

Ushirikina tu mdogo. Mfano wa Ushirikina mdogo ni kama mtu kuapa kwa<br />

asiyekuwa <strong>Allaah</strong>; kama mtu kuapa kwa kusema "Bi Nabii (Naapa kwa Mtume)",<br />

"Mtu akaapa kwa fulani", "Mtu akaapa kwa amana."<br />

Anasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Atakayeapa kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, atakuwa amekufuru au kushirikisha."<br />

Kasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Msiape kwa baba zenu, mwenye kutaka kuapa aape kwa <strong>Allaah</strong> au anyamaze."<br />

Haijuzu kuapa kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla), na hili kwa masikitiko<br />

makubwa hufanywa na ndimi nyingi za watu - mambo ya ada na kufuata kichwa<br />

mchunga. Ni wajibu kufanya Tawbah na kujiepusha na jambo hili. Asiape mtu ila<br />

kwa <strong>Allaah</strong> (´Azza wa Jalla). Kasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Mwenye kutaka kuapa aape kwa <strong>Allaah</strong> au anyamaze."<br />

Hali kadhalika, miongoni mwa Ushirikina mdogo ni Riyaa (kujionyesha). Kama<br />

kwa mfano mtu kuswali na anataka watu wamsifie, au mtu kutoa Swadaqah na<br />

anataka watu wamsifie, mtu anafanya ´amali njema huku anataka watu wamsifie,<br />

hii ni Riyaa. Hili linaharibu ´amali iliyochanganyika nayo. Akifanya ´amali<br />

iliyochanganyika na Riyaa, ´amali hii inaharibika na wala haina ujira. Lakini<br />

haliharibu ´amali nyinginezo, kama inavyofanya Shirki (Ushirikina) mkubwa, bali<br />

tu jambo hili litaharibu ´amali ambayo imechanganyika nayo. Yule mwenye<br />

kufanya ´amali kwa kutaka kujionyesha, huyu atakuwa amemshirikisha <strong>Allaah</strong><br />

(´Azza wa Jalla) katika ´amali hii, lakini huu ni Ushirikina mdogo unaoharibu<br />

´amali yake na wala haitopewa thawabu.<br />

Na ikiwa itazidi (hii Riyaa) na ikawa ni mazoea yake ya kujionyesha katika ´amali


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

30<br />

zote, hili linaenda kwenye Ushirikina mkubwa, kama wajionyeshavyo wanafiki,<br />

wanafiki wako chini kabisa ya mashimo ya Motoni, hili ni kwa sababu<br />

wanajionyesha kwa watu. ´Amali zao zote wao ni Riyaa (kujionyesha) na wala<br />

hawakusudii kupata ridhaa za <strong>Allaah</strong>, isipokuwa wanataka kutoka kwa watu<br />

wawasifie huku wakijisitiri kwa Uislamu, ilihali nyoyo zao ni Kafiri. Huu ndio<br />

unafiki mkubwa, na hii ndio Riyaa kubwa.<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

ٕ <br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Hakika wanafiki wanamhadaa <strong>Allaah</strong>. Na Yeye (<strong>Allaah</strong>) Atawaadhibu kwa hadaa<br />

zao. Na wanaposimama kuswali husimama kwa uvivu, wanajionyesha kwa watu<br />

(riyaa) na wala hawamdhukuru <strong>Allaah</strong> isipokuwa kidogo tu." [An-Nisaa 04: 142].<br />

Riyaa Imegawanyika Sehemu Mbili:<br />

[1]. Aina ya kwanza ni Ushirikina mkubwa, na ni Riyaa ya wanafiki ambao asli ni<br />

kwamba hakuna katika nyoyo zao imani.<br />

[2]. Aina ya pili ni Riyaa ya <strong>Wa</strong>umini ambao asli katika nyoyoni mwao kuna imani<br />

na <strong>Tawhiyd</strong>, lakini Shaytwaan anawapambia kupenda sifa, kupenda majitapo,<br />

kupenda Sum´aa (kusikika), haya hayamtoi katika Uislamu lakini hapewi thawabu<br />

ya ´amali yake iliyochanganyika na Riyaa.<br />

Ni juu ya Muislamu awe na khofu, na kwa hili kasema Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u<br />

´alayhi wa sallam) akiwaambia Maswahabah wake:<br />

"Kikubwa nikikhofiacho kwenu ni Ushirikina mdogo (Shirki ndogo). <strong>Wa</strong>kamuuliza<br />

"Ni upi?" Akasema "Ni Riyaa." Mtu anasimama na kuswali kwa ajili kuna mtu<br />

anamtazama, anaipamba Swalah yake kwa ajili kuna mtu anamtazama."


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

31<br />

Hili alilikhofia Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) kwa Maswahabah zake,<br />

vipi kwa wengine! Riyaa ni khatari pia, si sahali. Miongoni mwa Ushirikina<br />

mdogo, ni Shirki katika matamshi (maneno), kama mtu kusema "Lau bila ya<br />

(isingelikuwa) <strong>Allaah</strong> na wewe, isingelikuwa hivi na hivi." Hili halijuzu, huu ni<br />

Ushirikina katika matamshi. Na ikiwa mtu huyo ataamini moyoni mwake,<br />

inakuwa ni Ushirikina mkubwa. Lakini ikiwa hakusudii hivyo bali limemtoka tu<br />

ulimini, huu ni Ushirikina mdogo. La wajibu ni yeye kusema "Lau bila ya <strong>Allaah</strong><br />

KISHA wewe", "Kama Alivyopenda <strong>Allaah</strong> KISHA wewe." Kwa kuwa mtu<br />

alimwambia Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Kama Alivyopenda <strong>Allaah</strong> NA ukapenda wewe, akasema Mtume "Je, umenifanya<br />

mimi ni mshirika wa <strong>Allaah</strong>. Sema "Kama Alivyopenda <strong>Allaah</strong> peke Yake."<br />

Haijuzu kwako kujumuisha baina ya Muumbaji pamoja na viumbe katika jambo<br />

miongoni mwa mambo kwa kuweka "NA". "Kama Alivyopenda <strong>Allaah</strong> NA<br />

ukapenda", "Lau bila ya <strong>Allaah</strong> NA wewe." Bali watakikana kuweka "KISHA".<br />

"Kama Alivyopenda <strong>Allaah</strong> KISHA ukapenda", "Lau bila ya <strong>Allaah</strong> KISHA wewe."<br />

Kwa kuwa hii KISHA inakuja kwa mpangilio, ama ukiweka "NA" hii<br />

inamjumuisha <strong>Allaah</strong> na kiumbe... Na hivi ndivyo alivyofasiri ´Abdullaah Ibn<br />

´Abbaas (Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhumaa) Kauli Yake <strong>Allaah</strong> (Ta´ala):<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Basi msimuwekee <strong>Allaah</strong> waliolingana naye (washirika) na hali ya kuwa nyinyi<br />

mnajua (kuwa <strong>Allaah</strong> Hana Anayelingana nae)." [Al-Baqarah 02: 22].<br />

Akasema ni mtu kusema "Lau bila ya <strong>Allaah</strong> NA wewe", "Lau isingelikuwa<br />

jambo hili ningelipata jibu" na mfano wa maneno hayo - kuyaegemeza mambo<br />

kwa asiyekuwa <strong>Allaah</strong>, huu ni Ushirikina mdogo. Ni wajibu kujiepusha na haya.<br />

Hii ndio dalili ya kuonesha ya kwamba ni wajibu kwa mtu kusoma, asome mambo


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

32<br />

ya ´Aqiydah, ajue ni nini <strong>Tawhiyd</strong>, ni nini Shirki, aina za <strong>Tawhiyd</strong>, aina za<br />

Ushirikina mpaka ajiepushe nayo. Mambo sio sahali, na ndio maana kusoma<br />

´Aqiydah ikawa ni jambo la kidharura kwa kila Muislamu, sawa kwa ´Awwaam na<br />

mwenye kujifunza ni lazima wasome ´Aqiydah. Lakini wenye kujifunza wasome<br />

´Aqiydah kwa undani zaidi, ama ´Awwaam wasome angalau somo la kiujumla,<br />

walau basi maneno mawili matatu muhtasari, wanayahifadhi wajue <strong>Tawhiyd</strong> na<br />

aina zake; Shirki na aina zake; Unafiki na aina zake, mpaka mtu aweze kujiepusha<br />

nayo.<br />

Mtu asiwe Jaahil (mjinga) kwa mambo haya khatari. Na hivyo ndio maana<br />

mmesikia mada yenyewe ni "<strong>Tawhiyd</strong>, enyi waja wa <strong>Allaah</strong>" ili kuwashtua na<br />

kuwaamsha watu waijue <strong>Tawhiyd</strong>, wajifunze nayo, wailinganie na waieneze kwa<br />

watu, mpaka zisalimike ´Aqiydah (Itikadi) za watu. <strong>Wa</strong>tu wengi wanatumbukia<br />

katika kufanya Ushirikina kwa sababu ya ujinga (kutokujua) na kutoijali, na<br />

Madu´aat kunyamaza. Kuna mambo ambayo yenyewe si Ushirikina, lakini ni njia<br />

inayopelekea katika Ushirikina.<br />

Na Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) kaja kufunga njia zote zinazopelekea<br />

katika Ushirikina. Kwa mfano kuswali kwenye makaburi, hili halijuzu kwa kuwa<br />

kalikataza Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam):<br />

"Msiyafanye makaburi kuwa Misikiti, kwa hakika mimi nawakataza hilo."<br />

Na maana ya "Msiyafanye Misikiti" ni mtu kuswali makaburini. Haijuzu kwa mtu<br />

kuswali kwenye kaburi hata kama ataswali kwa ajili ya <strong>Allaah</strong>, lakini Swalah yake<br />

kwenye kaburi ni Haraam. Kwa nini? Ni kwa sababu ni njia inayopelekea katika<br />

Ushirikina. Kwa kuwa akiswali kwenye kaburi akafanya na watu wengine waje<br />

kuswali kwenye makaburi, itaingia kwenye nyoyo zao waje kufikiria ya kwamba<br />

maiti ananufaisha na kudhuru hatimae waje kumuomba, waseme hakuswali<br />

kwenye kaburi isipokuwa ni kwa sababu ananufaisha na kudhuru, ana baraka n.k.<br />

Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallam) kafunga mlango huu na kakataza<br />

kuswali kwenye makaburi, kwa kuwa hizi ni katika njia za Shirki hata kama


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

33<br />

mwenye kuswali anaswali kwa ajili ya <strong>Allaah</strong>. Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa<br />

sallam) kakataza kuyajengea makaburi. Ndani ya makaburi kunazikwa maiti,<br />

lakini hasinyayuliwe makaburi yao kwa kuyajengea, au kuzidishia udongo mpaka<br />

kaburi likawa imenuika, kwa kuwa hili linaweza kuwadanganya ´Awwaam na<br />

wajinga ya kwamba kaburi halikunyanyuliwa isipokuwa alie ndani ana hadhi,<br />

wakamuomba.<br />

Ama ikiwa makaburi yote yamefukiwa sawa, yamenyanyuliwa kidogo tu kadiri ya<br />

shibri moja, haitoathiri. Lakini lau baadhi ya makaburi yatakuwa yamejengewa,<br />

yakapambwa, yakaandikwa juu yayo, watu watadanganyika nayo waseme kaburi<br />

hili lina hadhi, hili ni kaburi la mtu mwema au walii wakaja kudanganyika nayo,<br />

hizi ni katika njia za Shirki. Ndio maana kakataza Mtume kuyajengea makaburi,<br />

kuswali makaburini, kuandika juu ya makaburi, kuyawekea mataa, kwenye<br />

makaburi n.k., yote haya ni Haraam kwa kuwa ni njia inayopelekea katika Shirki.<br />

<strong>Wa</strong>tu na Shaytwaan wakasema, hayakuwekwa mapambo yote haya isipokuwa ni<br />

kwa sababu (makaburi) haya yananufaisha na kudhuru. <strong>Wa</strong>tu wakayakusudia<br />

katika ´Ibaadah. Ama makaburi yakiwa hayana mataa, hayakujengewa,<br />

hayakuandikwa juu, hayakufanywa ni makhsusi, hayawi kama walio hai. Inakuwa<br />

ni maiti walioko chini ya ardhi, hakuna mtu atakayejishughulisha nayo. Lakini<br />

ikiwa yatajengewa, watu watadanganyika nayo. Na Shaytwaan hutumia fursa zake<br />

zote.<br />

Kwa ajili ya haya, kakataza Mtume (Swalla <strong>Allaah</strong>u ´alayhi wa sallaam) mambo<br />

haya, kwa sababu ni katika njia inayopelekea katika Shirki. Alimwambia ´Aliy<br />

(Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu):<br />

"Usiache kaburi lililoinuliwa isipokuwa uliangamize." "Usiache picha (sanamu),<br />

isipokuwa hakikisha umeliangamiza." Hadiyth hii ipo kwenye Swahiyh Muslim<br />

Kwa kuwa, picha ni katika njia zinazo pelekea katika Ushirikina, khaswa pale<br />

ambapo zinakuwa zimetundikwa juu ya ukuta, ni njia inayopelekea katika Shirki<br />

kama ilivyokuwa kwa watu wa Nuwh. <strong>Wa</strong>tu wa Nuwh hawakutumbukia katika<br />

Ushirikina isipokuwa ilikuwa ni kwa sababu ya picha, wakati walitengeneza picha<br />

za watu wema na wakazitundika, baadaye zilikuja kuabudiwa badala ya <strong>Allaah</strong>.<br />

Hizi ni katika njia za Ushirikina. Kutundika picha na khaswa picha za watu<br />

wakubwa, kuadhimisha athari zao kama nyumba na majengo, hii ni katika njia za


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

34<br />

Shirki. Mtu huyu akiwa ni katika watu wema na au akawa ni katika <strong>Wa</strong>nachuoni,<br />

watatafuta baraka kupitia kwake kutokana na cheo chake, watatafuta baraka<br />

kupitia kwake kwa athari yake.<br />

Sisi tunajiepusha na mambo haya kwa kuwa ni katika njia za Shirki, hata kama kwa<br />

sasa haujajitokeza Ushirikina, lakini tunakhofia katika Mustaqbal. Sisi<br />

tukishafungua mlango kwa walio baada yetu, Shaytwaan yuko mbioni atawajia<br />

kama alivyowajia watu wa Nuwh akawaambia: "Hakika mababu zetu<br />

hawakutengeneza picha hizi, isipokuwa ni kwa sababu zinanufaisha na zinadhuru,<br />

na kupitia picha hizo ndio walikuwa wanafanya mvua inanyesha, Shirki<br />

ikajitokeza kwa watu wa Nuwh kwa sababu ya picha.<br />

Hali kadhalika, athari za watu wakubwa katika <strong>Wa</strong>nachuoni, watu wema na<br />

wafanyao ‘Ibaadah kwa wingi. Haifai kujishughulisha nazo, kwa kuwa hii ni katika<br />

njia za Shirki ambayo ilijitokeza katika Ummati zilizotangulia. Na kwa ajili ya hii,<br />

Maswahabah (Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhum) walikuwa hawaendi mahala ambapo<br />

Mtume alikuwa akipenda kukaa au kuswali, walikuwa hawafanyi hivyo. Kwa<br />

kuwa hii ni katika njia ya Shirki katika Mustaqbal. Na wakati ´Umar (Radhiya<br />

<strong>Allaah</strong>u ´anhu) alipoona watu wanakwenda mahala ambapo Mtume alipewa<br />

Bay´ah ya Hudaybiyah:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

"Kwa hakika <strong>Allaah</strong> Amewapa radhi <strong>Wa</strong>umini walipofungamana nawe chini ya<br />

mti." [Al-Fat-h 48: 18].<br />

Mti wa Hudaybiyah, kulikuwa baadhi ya watu wanakwenda mahala hapa wakati<br />

wa ´Umar kwenye mti huu. Alipouliza "Kwa nini wanakwenda huko?" <strong>Wa</strong>kasema<br />

"<strong>Wa</strong>natafuta baraka kupitia mti huu, kwa kuwa ni mahala kulifanywa Bay´ah."<br />

´Umar (Radhiya <strong>Allaah</strong>u ´anhu) akaamrisha ukatwe ukakatwa, alifanya hivi kwa<br />

sababu ya kufunga mlango wa Shirki, kwa kuwa hii ni sababu ya kupelekea katika<br />

Shirki. Lau mti huu ungelibakia na watu wakawa wanaujia, ungelikuwa sanamu<br />

katika Mustaqbal. Kwa sababu hii, jiepusheni na njia zinazopelekea katika


www.alhidaaya.<strong>com</strong><br />

35<br />

Ushirikina msizisogelee. Shaytwaan akishindwa kufikia kwa analolitaka,<br />

hutosheka kwa kitu kidogo. Kwa sababu katika Mustaqbal, anaweza kidogo hicho<br />

akakifanya kikubwa na kukipambia mpaka kikawa kikubwa.<br />

Ni juu yetu kujiepusha na mambo haya, na tuzihifadhi ´Aqiydah zetu, na tujue ni<br />

nini <strong>Tawhiyd</strong> na nini Ushirikina, na ni zipi njia zinazopelekea katika Ushirikina<br />

hadi tuweze kujiepushe nazo. <strong>Allaah</strong> Atuwafikishe sote kwa yale Anayoyapenda<br />

na Kuyaridhia.<br />

Swalah na Salaam zimwendee Mtume wetu Muhammad, na ahli zake na<br />

Maswahabah wote<br />

Chanzo: http://www.youtube.<strong>com</strong>/watch?v=JXA4wfvWjfo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!