PANGANI BASIN WATER BOARD - IUCN
PANGANI BASIN WATER BOARD - IUCN
PANGANI BASIN WATER BOARD - IUCN
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
• Uvuvi katika Bonde la Pangani unatoa mchango muhimu wa chakula na kiuchumi kwa jamii za<br />
vijijini katika bonde.<br />
• Ardhi ndiyo msingi mkuu wa uchumi wa kilimo wa bonde hili. Historia ya mlipuko wa volkano ya<br />
eneo hili na viunga vya mashapo ya mto yenye rutuba, huchangia katika umaarufu wa Bonde la<br />
Mto Pangani kuwa eneo la kutegemewa kwa uzalishaji chakula nchini Tanzania.<br />
Tishio kwa rasilimali za Bonde la Mto Pangani<br />
• Misitu iliyopo katika bonde inahatarishwa na ukataji miti, uingiliwaji eneo lake la pembezoni,<br />
mahitaji ya ardhi, utengenezaji wa mkaa na ukusanyaji wa kuni.<br />
• Upatikanaji wa maji katika Bonde unahatarishwa na mahitaji makubwa mno ambayo yamedhihirisha<br />
kuwa rasilimali za maji zinaonekana kuelemewa. Chanzo kikuu cha mahitaji hayo ni mifumo duni<br />
ya mifereji ya umwagiliaji. Vinamasi vya bonde hili vinahatarishwa na utaratibu wa udhibiti wa maji<br />
kwa kutumia mabwawa.<br />
• Maeneo yaliyohifadhiwa katika bonde yanahatarishwa, kwa upande mmoja na ujangili, na kwa<br />
upande mwingine, vitisho sawa na vile vinavyokabiliwa na rasilimali za misitu.<br />
• Sehemu kubwa ya bayoanuwai ya bonde imepatikana kutokana na safu za aina ya kipekee za<br />
makazi katika misitu yake. Matokeo yake, hatari ya kutoweka kwa bayoanuwai zinatokea kwa<br />
sababu ya tishio kwa makazi.<br />
• Uvuvi katika bonde unatishiwa na shinikizo la uvuvi lililokithiri, na ukuaji wa magugu unaosababishwa<br />
na kiasi kikubwa cha virutubisho.<br />
• Viwango vya chini vya kurudishia rutuba na matumizi ya pembejeo, na vile vile viwango vya juu<br />
vya mmomonyoko, vinahatarisha udongo katika bonde.<br />
24