11.07.2015 Views

Kikosi Kazi Kinachojumuisha Sekta Mbalimbali: Mpango wa Taifa ...

Kikosi Kazi Kinachojumuisha Sekta Mbalimbali: Mpango wa Taifa ...

Kikosi Kazi Kinachojumuisha Sekta Mbalimbali: Mpango wa Taifa ...

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> <strong>Kinachojumuisha</strong><strong>Sekta</strong> <strong>Mbalimbali</strong>: <strong>Mpango</strong><strong>wa</strong> <strong>Taifa</strong> <strong>wa</strong> Kukabilianana Uka li Dhidi ya Watoto


<strong>Kikosi</strong> kazi kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> <strong>Mbalimbali</strong>:<strong>Mpango</strong> <strong>wa</strong> <strong>Taifa</strong> <strong>wa</strong> kukabiliana na Ukatili Dhidiya Watoto


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTOUsuliRipoti ya Dunia ya Katibu Mkuu <strong>wa</strong> Umoja <strong>wa</strong> Mataifa kuhusu Ukatili dhidi ya Watoto ambayo ilifanyika kuanziam<strong>wa</strong>ka 2001 na kukamilika m<strong>wa</strong>ka 2006, iliku<strong>wa</strong> ndiyo utafiti <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza na <strong>wa</strong> kina <strong>wa</strong> dunia juu ya aina zoteza ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto. Madhumuni ya utafiti huu yaliku<strong>wa</strong> ni kuchunguza, kutoa taarifa na mapendekezojuu ya ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto unaofanyika katika hali mbalimbali ambazo <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>naishi —iki<strong>wa</strong> ni pamoja namajumbani na kwenye familia, mashuleni, mfumo <strong>wa</strong> malezi na <strong>wa</strong> kutoa haki, sehemu za kazi na katika jamii.Vi<strong>wa</strong>ngo vya ukatili vilivyoripoti<strong>wa</strong> katika hali zote viliku<strong>wa</strong> ni vya juu sana na vya kutisha: Sehemu zilizodhani<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> ni salama zilionyesh<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> haziku<strong>wa</strong> salama. Aina ya ukatili ulioripoti<strong>wa</strong> na kuelez<strong>wa</strong> ziliku<strong>wa</strong> ni za kukeraiki<strong>wa</strong> ni pamoja na kupig<strong>wa</strong>, kutes<strong>wa</strong>, kudhalilish<strong>wa</strong> kijinsia na hata kuu<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>lezi <strong>wa</strong>liokabidhi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto haok<strong>wa</strong> matunzo ya kila siku. Ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto ulionekana ku<strong>wa</strong> ni jambo la ka<strong>wa</strong>ida lililokuwepo kila mahali.Kutokana na ripoti hiyo, Umoja <strong>wa</strong> Mataifa na Serikali duniani kote <strong>wa</strong>liweka ajenda ya dunia ili ku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>totodhidi ya unyanyasaji na ukatili k<strong>wa</strong> kufuata Misingi ya Miongozo ifuatayo:• Hakuna ukatili <strong>wa</strong> aina yoyote dhidi ya <strong>wa</strong>toto uliohalalish<strong>wa</strong>. Ulinzi <strong>wa</strong>naope<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto usiwe mdogokuliko <strong>wa</strong>naope<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>zima.• Ukatili <strong>wa</strong> aina yoyote dhidi ya <strong>wa</strong>toto unazuilika. Serikali lazima ziwekeze katika Sera zitakazotumiatakwimu zenye kuonyesha hali halisi na mipango inayolenga kushughulikia mambo yanayosababishakuwepo k<strong>wa</strong> ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto.• Serikali zina <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> msingi katika kutetea haki za <strong>wa</strong>toto za kulind<strong>wa</strong> na kupati<strong>wa</strong> huduma, nakusaidia familia ili ziwe na uwezo <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>toto malezi katika mazingira yaliyo salama.• Serikali zina <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> kuhakikisha unakuwepo u<strong>wa</strong>jibikaji katika kila tukio la ukatili.• Watoto, ku<strong>wa</strong> katika mazingira hatarishi na ya ukatili huendana na umri na uwezo <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong> kutathmini.Baadhi ya <strong>wa</strong>toto hu<strong>wa</strong> hatarini zaidi k<strong>wa</strong> sababu ya jinsia, kabila, asili ya kabila lao, ulemavu au hadhiyao kijamii.• Watoto <strong>wa</strong>na haki ya kutoa maoni, na maoni yao kutili<strong>wa</strong> maanani <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> sera namipango.Ili kuhamasisha usambazaji <strong>wa</strong> matokeo ya ripoti na ufuatiliaji <strong>wa</strong> mapendekezo yake, Ripoti ya Dunia ilipendekezauteuzi <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>kilishi Maalum <strong>wa</strong> Katibu Mkuu <strong>wa</strong> Umoja <strong>wa</strong> Mataifa. Bi. Marta Santos Pais, alianza kazi tarehe1 Septemba, 2009. M<strong>wa</strong>kilishi Maalum <strong>wa</strong> Katibu Mkuu ni mtetezi huru <strong>wa</strong> kimataifa katika juhudi za kuzuia nakutokomeza aina zote za ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto, k<strong>wa</strong> kuhamasisha vitendo na uung<strong>wa</strong>ji mkono kisiasa ili kuendelezajuhudi za ajenda hii. M<strong>wa</strong>kilishi Maalum anatoa taarifa moja k<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong> Katibu Mkuu <strong>wa</strong> Umoja <strong>wa</strong> Mataifa, nahutoa taarifa kila m<strong>wa</strong>ka k<strong>wa</strong> Baraza la Haki za Binadamu na Baraza Kuu la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa.1


Utafiti juu ya Ukatili Dhidi ya Watoto nchini Tanzania na<strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbali 2008-20112


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTOUtafiti juu ya Ukatili Dhidi ya Watoto nchini Tanzania na<strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbali 2008-2011Wakati ripoti ya dunia ilitumika kuonyesha kuenea k<strong>wa</strong> ukatili, pia ilionyesha <strong>wa</strong>zi ku<strong>wa</strong> sababu zaunyanyasaji ni za kiutamaduni na hutokana na jamiii na hivyo kuzipa dhamana Serikali kuandaamikakati mahususi ya kitaifa ya kushughulikia.Mapendekezo yanayotokana na utafiti huu ni pamoja na kuanzisha na kutekeleza utaratibu mzuri<strong>wa</strong> kitaifa <strong>wa</strong> kukusanya data na kufanya utafiti, kuzitaka Serikali kuboresha ukusanyaji <strong>wa</strong> data nautaratibu <strong>wa</strong> upashanaji habari ili kuweza kuainisha makundi madogo yaliyo hatarini, ku<strong>wa</strong> na sera zakupashana habari na ku<strong>wa</strong> na mipango katika ngazi zote na kufuatilia maendeleo ya kulifikia lengo lakuzuia ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto.Us<strong>wa</strong>zi iliku<strong>wa</strong> nchi ya k<strong>wa</strong>nza kuitikia wito <strong>wa</strong> Katibu Mkuu <strong>wa</strong> Umoja <strong>wa</strong> Mataifa k<strong>wa</strong> kutekeleza naku<strong>wa</strong>silisha Utafiti <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> Kitaifa juu ya Ukatili dhidi ya Watoto na Wana<strong>wa</strong>ke Vijana m<strong>wa</strong>ka (2007),uliku<strong>wa</strong> utafiti <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza <strong>wa</strong> aina yake uliolenga katika idadi ya <strong>wa</strong>tu na kupima ki<strong>wa</strong>ngo cha ukatilidhidi ya <strong>wa</strong>toto na hasa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke. Tanzania iliku<strong>wa</strong> ni nchi ya pili kufanya Utafiti <strong>wa</strong> Kitaifa juuya Ukatili Dhidi ya Watoto katika Afrika lakini ilikwenda mbele kuliko ule utafiti <strong>wa</strong> Us<strong>wa</strong>zi: K<strong>wa</strong> maraya k<strong>wa</strong>nza katika Bara la Afrika aina zote za ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto (ukatili <strong>wa</strong> kijinsia, kimwili na kiakili)ulipim<strong>wa</strong> miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>sichana na <strong>wa</strong>vulana.Mchakato <strong>wa</strong> kuandaa Utafiti juu ya Ukatili Dhidi ya Watoto Tanzania ulianza katikati ya m<strong>wa</strong>ka 2008.Baada ya hapo <strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbali Tanzania kilianzish<strong>wa</strong> Septemba 2008,kikijumuisha <strong>wa</strong>jumbe kutoka sekta za umma, asasi za kijamii na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> maendeleo, ili kujengadhana ya kufanya juhudi za pamoja sio tu kuongoza utafiti huu, bali pia utekelezaji <strong>wa</strong>ke na utoaji <strong>wa</strong>taarifa ya mwisho, na pia kusaidia katika kuongoza matokeo ya utafiti yatekelezwe k<strong>wa</strong> vitendo nakuzaa matunda yenye kuonekana ili kuendeleza mfumo <strong>wa</strong> kitaifa <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>toto.Kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kuliku<strong>wa</strong> na umuhimu mkub<strong>wa</strong> katika kuhakikisha ku<strong>wa</strong> mpango huuunamiliki<strong>wa</strong> na kusimami<strong>wa</strong> kitaifa. Jingine ambalo ni la muhimu ni ku<strong>wa</strong> <strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kimevipasauti vikundi vya jumuiya za kiraia ambazo zina jukumu muhimu la kushughulikia mahitaji ya jamiikule ambako huduma za kijamii zinazopas<strong>wa</strong> kutole<strong>wa</strong> na Serikali ya Tanzania hazijafika. Wizara yaMaendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto inafanya shughuli ya ku<strong>wa</strong> muandaaji na mratibu <strong>wa</strong> shughuliza <strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong>. Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto alichukua jukumu hilimuhimu la uongozi mwezi Februari 2009 na kuuweka utafiti huu mikononi m<strong>wa</strong> serikali. Huko Zanzibar,<strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kama hiki kiliund<strong>wa</strong> mwezi Februari 2009 kikiongoz<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huu na Wizara ya <strong>Kazi</strong>, Vijana,Wana<strong>wa</strong>ke na Maendeleo ya Watoto. Uongozi madhubuti <strong>wa</strong> Serikali umeku<strong>wa</strong> ni mfano mzuri nautaendelea ku<strong>wa</strong> na jukumu muhimu katika kuimarisha mpango madhubuti <strong>wa</strong> kuzuia na kukabilianana ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto.Wakati Vikosi <strong>Kazi</strong> vinavyojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbali viki<strong>wa</strong> vimeanzish<strong>wa</strong> Tanzania Bara na Zanzibar,kikundi cha utafiti kutoka Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Maradhi cha Atlanta, Marekani kili<strong>wa</strong>sili Dares salaam kujadili, kutayarisha na kukubaliana juu ya mpango mzima <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> Utafiti <strong>wa</strong>Ukatili Dhidi ya Watoto Tanzania (UUDWT) pamoja na muhtasari <strong>wa</strong> mpango <strong>wa</strong> utekelezaji, rasimu yakidadisi na makisio ya mahitaji ya bajeti.Wakati wote <strong>wa</strong> kipindi cha kuandaa mpango, <strong>wa</strong>jumbe <strong>wa</strong> kikosi kazi kinachojumuisha sektambalimbali <strong>wa</strong>lishirikish<strong>wa</strong> katika kupitia mipango ya kazi, bajeti na madodoso, mpango <strong>wa</strong> utafitina nyaraka za kuidhinisha maadili. Chuo Kikuu Shirikishi cha Afya na Sayansi ya Tiba cha Muhimbilikiliteuli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mtafiti mshiriki <strong>wa</strong> hapa nchini na mtekelezaji mkuu <strong>wa</strong> utafiti – na kuziweka shughulizote za utafiti chini ya chuo pekee nchini cha tiba na afya ya umma.Ilipofikia mwezi Oktoba 2009, kikundi cha <strong>wa</strong>tafiti cha Kituo cha Kudhibiti Maradhi cha Atlanta naChuo Kikuu Shirikishi cha Afya na Sayansi ya Tiba cha Muhimbili k<strong>wa</strong> pamoja <strong>wa</strong>litoa mafunzo k<strong>wa</strong>kikundi cha <strong>wa</strong>tanzania <strong>wa</strong> kuongoza na kufanya mahojiano na majaribio ya ugani yalikamilika. Mwezimmoja baadaye <strong>wa</strong>toto na vijana 3,739 <strong>wa</strong>lihoji<strong>wa</strong> katika mikoa ishirini na moja (21) ya Tanzania nawilaya kumi (10) za Zanzibar. Ukusanyaji <strong>wa</strong> takwimu ulikamilika baada ya mwezi mmoja, mwishoni3


<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2009. Uchambuzi <strong>wa</strong> kina <strong>wa</strong> data ulifanyika kati ya Kituo cha Kudhibiti Maradhi k<strong>wa</strong> kushauriana naChuo Kikuu Shirikishi cha Afya na Sayansi Tiba cha Muhimbili ambapo matokeo ya a<strong>wa</strong>li yali<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kwenye<strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbali mwezi Julai 2010.Matokeo ya mwisho yanayoonyesh<strong>wa</strong> hapa, yanadhihirisha kuwepo k<strong>wa</strong> changamoto kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> jamii ya<strong>wa</strong>tanzania, serikali na <strong>wa</strong>shirika <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> kitaifa na kimataifa. Baada ya kueleza hayo, ushirikiano na msimamo <strong>wa</strong><strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbali mpaka hivi sasa ni ishara kub<strong>wa</strong> yenye kutoa dalili ya kupatikanampango <strong>wa</strong> taifa wenye kuwiana na ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> tatizo.4


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO5


Matokeo ya Utafiti juu ya Ukatili Dhidi ya Watoto: Kueneak<strong>wa</strong> Ukatili Dhidi ya Watoto nchini Tanzania6


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTOMatokeo ya Utafiti juu ya Ukatili Dhidi ya Watoto:Kuenea k<strong>wa</strong> Ukatili Dhidi ya Watoto nchini TanzaniaUnyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia uliotokea utotoniUnyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia una maana ya kitendo chochote kile, jaribio au tishio la kijinsia ambalo linasababishaau linaweza kusababisha madhara ya kimwili, kisaikolojia na ya kiakili. Matokeo yanaonyesha ku<strong>wa</strong>takriban mmoja kati ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>tatu wenye umri kati ya miaka 13 hadi 24 nchini Tanzania <strong>wa</strong>litoataarifa ya kufik<strong>wa</strong> na angalau tukio moja la unyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18.K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naume <strong>wa</strong> rika hilo, zaidi ya mmoja miongoni m<strong>wa</strong> saba <strong>wa</strong>litoa taarifa ya kufik<strong>wa</strong> na angalautukio moja la unyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18. Lililo <strong>wa</strong>zi kabisa ni k<strong>wa</strong>mba,m<strong>wa</strong>namke mmoja kati ya ishirini alitoa taarifa ya kupat<strong>wa</strong> na tukio la ngono ya kulazimish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> nguvu<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> utoto <strong>wa</strong>ke.Zaidi ya m<strong>wa</strong>namke mmoja kati ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>nne <strong>wa</strong>liohoji<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>litoa taarifa ku<strong>wa</strong> tendo lao lak<strong>wa</strong>nza la ngono liliku<strong>wa</strong> ni la kulazimish<strong>wa</strong>, iki<strong>wa</strong> na maana ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lilazimish<strong>wa</strong> ama k<strong>wa</strong> kulaghai<strong>wa</strong>,kushurutish<strong>wa</strong>, kutish<strong>wa</strong> na k<strong>wa</strong> kutumia nguvu kufanya ngono.Ukatili <strong>wa</strong> kimwili uliotokea utotoni8070Jed<strong>wa</strong>li 1: Ukatili <strong>wa</strong> kijinsia,Kimwili na kiakili uliotokeautotoni k<strong>wa</strong> wenye umrikati ya miaka 13-24 (Ripotiya Ukatili Dhidi ya WatotoTanzania 2009)60Asilimia %504030 2010 0Ukatili <strong>wa</strong> Kijinsia Ukatili <strong>wa</strong> Kimwili Ukatili <strong>wa</strong> KiakiliWasichanaWavulanaUkatili ya kimwili dhidi ya <strong>wa</strong>toto unaweza kuzuia maendeleo yao ya kimwili, ufahamu na kiakili. Utafitiumebainisha mara nyingi <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>lionyanyas<strong>wa</strong> kijinsia pia <strong>wa</strong>lipata madhara ya kimwili.Takriban robo tatu ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>naume <strong>wa</strong>litoa taarifa ya kutende<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kimwili kutokak<strong>wa</strong> jamaa, mtu mwenye mamlaka (kama vile m<strong>wa</strong>limu a ) au mwenzi <strong>wa</strong> karibu kabla ya kufikia umri<strong>wa</strong> miaka 18. Wingi ya unyanyasaji huu uliku<strong>wa</strong> ni k<strong>wa</strong> kupig<strong>wa</strong> ngumi, kupig<strong>wa</strong> viboko au kupig<strong>wa</strong>mateke. Zaidi ya nusu ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>naume wenye umri kati ya miaka 13 hadi 17 <strong>wa</strong>litoa taarifaku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>metende<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kimwili m<strong>wa</strong>ka uliopita kutoka k<strong>wa</strong> jamaa, mtu mwenye mamlaka aumwenzi <strong>wa</strong> ndani.Ukatili <strong>wa</strong> kiakili uliotokea utotoniTakriban robo ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na karibia <strong>wa</strong>naume 3 kati ya kila <strong>wa</strong>naume 10 wenye umri <strong>wa</strong> miaka 13hadi 24 <strong>wa</strong>litoa taarifa ya kufanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kiakili na mtu mzima <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto. Na karibiaaNi muhimu kubaini ku<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kimwili unapita ki<strong>wa</strong>ngo kilichokubali<strong>wa</strong> shuleni kama adhabu ya kuchap<strong>wa</strong> viboko. Sheria yaKuchap<strong>wa</strong> Viboko ya 1979 ( iliyorekebish<strong>wa</strong> na Waraka <strong>wa</strong> Elimu namba 24 <strong>wa</strong> 2002) ulirekebisha na kuruhusu ‘Viboko k<strong>wa</strong> makosamakub<strong>wa</strong> vitolewe na mkuu <strong>wa</strong> shule au mtu aliyekabidhi<strong>wa</strong> madaraka ya uongozi na mkuu <strong>wa</strong> shule, na visizidi viboko vinne’.K<strong>wa</strong> Zanzibar Kanuni za Sheria ya Elimu za m<strong>wa</strong>ka 1988 zinafafanua adhabu ya kuchapa viboko ku<strong>wa</strong> ni adhabu inayotole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>kutumia fimbo nyepesi kwenye matako yaliyofunik<strong>wa</strong> mbele ya mtu mwingine ambaye ni miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu <strong>wa</strong> shule.7


m<strong>wa</strong>namke mmoja miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke ishirini na <strong>wa</strong>naume, wenye umri <strong>wa</strong> miaka 13 hadi 24 <strong>wa</strong>litoataarifa ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>litishi<strong>wa</strong> kutelekez<strong>wa</strong> na mtu mzima kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18.K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naume <strong>wa</strong> rika hilo, zaidi ya mmoja miongoni m<strong>wa</strong> saba <strong>wa</strong>litoa taarifa ya kufik<strong>wa</strong> na angalau tukio mojala unyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18. Lililo <strong>wa</strong>zi kabisa ni k<strong>wa</strong>mba, m<strong>wa</strong>namke mmoja katiya ishirini alitoa taarifa ya kupat<strong>wa</strong> na tukio la ngono ya kulazimish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> nguvu <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> utoto <strong>wa</strong>ke. Takribanmsichana 1 kati ya 10 alitoa taarifa ku<strong>wa</strong> mkosaji <strong>wa</strong> angalau tukio moja aliku<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>limu.Wahusika <strong>wa</strong> ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>totoWahusika <strong>wa</strong> unyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia utotoni: Mhusika anaweza ku<strong>wa</strong> mtu au kikundi cha <strong>wa</strong>tu ambao <strong>wa</strong>natendamoja k<strong>wa</strong> moja au <strong>wa</strong>naunga mkono kufanyika k<strong>wa</strong> ukatili au unyanyasaji dhidi ya mtu mwingine: mara nyingi,<strong>wa</strong>husika <strong>wa</strong>naku<strong>wa</strong> ni <strong>wa</strong>tu wenye uwezo <strong>wa</strong> dhahiri au <strong>wa</strong>kudhani<strong>wa</strong>, <strong>wa</strong> kufanya maamuzi na/au wenyemadaraka na k<strong>wa</strong> hiyo <strong>wa</strong>naweza ku<strong>wa</strong> na udhibiti k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>athiri<strong>wa</strong>.Nchini Tanzania, majirani na <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>sio <strong>wa</strong>nafamilia ndio ambao mara nyingi <strong>wa</strong>naotuhumi<strong>wa</strong> kuhusika naunyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia dhidi ya <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke. Takriban msichana 1 kati ya 10 <strong>wa</strong>litoa taarifa ku<strong>wa</strong> mhusikammoja <strong>wa</strong> tukio la ukatili aliku<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>limu. Watu <strong>wa</strong> karibu au wenzi wenye kujulikana na <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>sio <strong>wa</strong>nafamiliandio <strong>wa</strong>husika <strong>wa</strong>liotuhumi<strong>wa</strong> mara nyingi k<strong>wa</strong> unyanyasaji dhidi ya <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>naume. Zaidi ya theluthi mbili ya<strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>lionyanyas<strong>wa</strong> kijinsia <strong>wa</strong>liripoti ku<strong>wa</strong> mhusika <strong>wa</strong> angalau tukio moja aliku<strong>wa</strong> mkub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> umri,<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong>naume wengi <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na unyanyas<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> kijinsia <strong>wa</strong>liripoti ku<strong>wa</strong> mhusika <strong>wa</strong> angalau tukio mojaaliku<strong>wa</strong> ni <strong>wa</strong> umri sa<strong>wa</strong> na yeye. Karibu theluthi mbili ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na unyanyas<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> kijinsiautotoni <strong>wa</strong>liripoti ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>liathiri<strong>wa</strong> na mhusika aliyeku<strong>wa</strong> amemzidi umri k<strong>wa</strong> zaidi ya miaka 10.Wahusika <strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kimwili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto: Takriban <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>naume <strong>wa</strong>wili kati ya <strong>wa</strong>tatu <strong>wa</strong>lifanyi<strong>wa</strong>ukatili <strong>wa</strong> kimwili na jamaa zaidi ya nusu <strong>wa</strong>lifanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kimwili na <strong>wa</strong>limu kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka18. Wana<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>naume wengi wenye umri <strong>wa</strong> miaka 13 hadi 24 <strong>wa</strong>lioripoti kufanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kimwili kablaya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18 <strong>wa</strong>lifanyi<strong>wa</strong> ukatili na baba na mama zao.Wahusika <strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kiakili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto: Miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>liofanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kiakili kabla ya kufikiaumri <strong>wa</strong> miaka 18, <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke takriban 8 kati ya 10 na zaidi ya <strong>wa</strong>naume 6 kati ya 10 <strong>wa</strong>litoa taarifa ya kunyanyas<strong>wa</strong>k<strong>wa</strong> kufanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kiakili na ndugu.WasichanaWavulanaJed<strong>wa</strong>li 2: Asilimia ya <strong>wa</strong>sichana na<strong>wa</strong>vulana chini ya umri <strong>wa</strong> miaka 18<strong>wa</strong>liotoa taarifa k<strong>wa</strong> mtu kuhusu ukatili <strong>wa</strong>kijinsia, <strong>wa</strong>liotafuta huduma za ukatili dhidiya jinsia na <strong>wa</strong>liopata huduma hizo22.0%Alipata13.0% Huduma ya 3.7%*ukatili dhidiya jinsiaAlitafuta huduma yaukatili dhidi ya jinsia11.5%52.3% Alim<strong>wa</strong>mbia mtu juu yatukio la ukatili dhidi ya jinsia31.4%*Makadilio sio kamili8


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTOTabia ya kutafuta msaada k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na Unyanyasaji <strong>wa</strong> Kijinsia nchini TanzaniaEndapo Watanzania <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na unyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18 <strong>wa</strong>li<strong>wa</strong>hi kum<strong>wa</strong>mbiamtu yeyote kuhusu unyanyasaji huo: K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na unyanyasaji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong>miaka 18, takriban nusu ya <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong> na umri kati ya miaka 13 hadi 24 <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>wili kati ya kila <strong>wa</strong>naume<strong>wa</strong>tatu wenye umri kati ya miaka 13 hadi 24 ha<strong>wa</strong>kum<strong>wa</strong>mbia mtu yeyote juu ya kunyanyas<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>o.Sababu zilizotole<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>toto hao k<strong>wa</strong>nini ha<strong>wa</strong>kutoa taarifa juu ya unyanyas<strong>wa</strong>ji huo <strong>wa</strong> kijinsia k<strong>wa</strong> maafisa<strong>wa</strong> ustawi <strong>wa</strong> jamii au polisi ni pamoja na mambo yanayohusiana: na familia au jamii (k.m. hofu ya kutelekez<strong>wa</strong>au kutenganish<strong>wa</strong>, kutotaka kuzitia aibu familia zao), sababu za kibinafsi (k.m. ha<strong>wa</strong>kuona unyanyasaji huo ku<strong>wa</strong>ni tatizo, na imani ku<strong>wa</strong> hilo tatizo hali<strong>wa</strong>husu <strong>wa</strong>tu wengine, na muathiri<strong>wa</strong> kutaka kushughulika tatizo hilomwenyewe), na kuhusu mhusika (k.m kutotaka kumtia mhusika matatani au vitisho kutoka k<strong>wa</strong>ke).Tabia ya utafutaji msaada miongoni m<strong>wa</strong> Watanzania <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na unyanyas<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikiaumri <strong>wa</strong> miaka 18: Zaidi ya m<strong>wa</strong>namke 1 kati ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke 5 na m<strong>wa</strong>namume 1 kati ya 10 <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> naunyanyas<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya kufikia umri <strong>wa</strong> miaka 18 <strong>wa</strong>litafuta huduma. K<strong>wa</strong> jumla, ni zaidi kidogo yam<strong>wa</strong>namke 1 kati ya 10 na m<strong>wa</strong>namume 1 kati ya 25 <strong>wa</strong>liopat<strong>wa</strong> na unyanyas<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> kijinsia kabla ya miaka 18<strong>wa</strong>liripoti ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lipati<strong>wa</strong> huduma.Takriban m<strong>wa</strong>namke na m<strong>wa</strong>namume mmoja kati ya sita <strong>wa</strong>lionyanyas<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kijinsia utotoni <strong>wa</strong>lisema ku<strong>wa</strong><strong>wa</strong>ngependa kupati<strong>wa</strong> huduma za ziada, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na ushauri nasaha na msaada kutoka k<strong>wa</strong> polisi namaafisa <strong>wa</strong> ustawi <strong>wa</strong> jamiii.Vitendo vingi vya ukatili <strong>wa</strong> kijinsia hufanyika mchana kweupe: Vitendo vingi vya ukatili <strong>wa</strong> kijinsia dhidi ya<strong>wa</strong>vulana na <strong>wa</strong>sichana vilifanyika kati ya adhuhuri na saa 2 usiku. Angalau tendo moja la ukatili <strong>wa</strong> kijinsialilifanyika kati ya adhuhuri na saa 11 jioni. Hii ni sa<strong>wa</strong> na asilimia 43.4 k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>sichana na asilimia 35.4 k<strong>wa</strong><strong>wa</strong>vulana. Zaidi ya theluthi moja ya <strong>wa</strong>sichana na <strong>wa</strong>vulana <strong>wa</strong>lisema ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lifanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kijinsia kati yasaa 11 jioni na saa 2 usiku. Wavulana na <strong>wa</strong>sichana <strong>wa</strong>chache sana <strong>wa</strong>lisema ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lifanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kijinsiakati ya usiku <strong>wa</strong> manane na saa 1 asubuhi.Uhusiano kati ya ukatili <strong>wa</strong> kijinsia na VVU na UKIMWI: Utafiti pia uliangalia uhusiano kati ya ukatili <strong>wa</strong> kijinsia,ukimwi na tabia hatarishi. Ngono ya kulazimish<strong>wa</strong> au kushurutish<strong>wa</strong> inaweza kusababisha maambukizi yaugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> ukimwi, na ukatili, au vitisho humfanya muathirika ashindwe kutumia kinga. Matumizi ya kondomumiongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naume na <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>liofanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kijinsia utotoni ni kidogo sana ikilinganish<strong>wa</strong>na <strong>wa</strong>le ambao ha<strong>wa</strong>kufanyi<strong>wa</strong> ukatili huo. Kuna uwezekano mkub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naume na <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> Tanzania<strong>wa</strong>liofanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kijinsia ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>penzi wengi kuliko <strong>wa</strong>le ambao ha<strong>wa</strong>kufanyi<strong>wa</strong> ukatili huo. Biasharaya ngono inafany<strong>wa</strong> zaidi na <strong>wa</strong>sichana <strong>wa</strong>liofanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kijinsia utotoni kuliko <strong>wa</strong>le ambao ha<strong>wa</strong>kufanyi<strong>wa</strong>ukatili huo.Ukatili <strong>wa</strong> kijinsia na kimwili huathiri afya ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke: Wana<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> Tanzania <strong>wa</strong>naofanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kijinsia<strong>wa</strong>na uwezekano mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kupat<strong>wa</strong> na msongo <strong>wa</strong> ma<strong>wa</strong>zo, kupata magonj<strong>wa</strong> ya zinaa na kujiingiza katikauny<strong>wa</strong>ji pombe ikilinganish<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>le ambao ha<strong>wa</strong>kufanyi<strong>wa</strong> ukatili huo. Hali kadhalika, <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> Tanzania<strong>wa</strong>liofanyi<strong>wa</strong> ukatili <strong>wa</strong> kupig<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na uwezekano mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kuathirika kiafya, ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si, na ku<strong>wa</strong> nama<strong>wa</strong>zo ya kujiua.Gharama ya ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto: Tafiti nyingine zimeonyesha gharama ya afya ya binadamu, kijamii na kiuchumiya kutokutekeleza haki ya ulinzi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto, ni kub<strong>wa</strong> na haikubaliki. Gharama zilizo <strong>wa</strong>zi ni za matibabu, sheria,huduma za ustawi <strong>wa</strong> jamii na huduma mbadala za matunzo. Gharama zisizo <strong>wa</strong>zi ni pamoja na kupata ulemavu<strong>wa</strong> kudumu, gharama za magonj<strong>wa</strong> ya akili au matatizo mengine yanayodidimiza maisha, kukatiza masomo auuwezo <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mtu mzima atakeyeweza kuchangia kujenga uchumi. Pia gharama zinahusiana na makosa yauhalifu yanayofany<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>toto ambao <strong>wa</strong>lifanyi<strong>wa</strong> ukatili utotoni.9


Kutoka utafiti kwenda kwenye vitendo: <strong>Mpango</strong> <strong>wa</strong>sekta k<strong>wa</strong> sekta <strong>wa</strong> <strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha sektambalimbali10


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTOKutoka utafiti kwenda kwenye vitendo: <strong>Mpango</strong> <strong>wa</strong>sekta k<strong>wa</strong> sekta <strong>wa</strong> <strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kinachojumuisha sektambalimbaliUtafiti <strong>wa</strong> Tanzania umeonyesha <strong>wa</strong>zi na kutia huzuni ku<strong>wa</strong> ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>sichana na <strong>wa</strong>vulanani tishio kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> afya na ustawi <strong>wa</strong> taifa. Yaliyoonekana Tanzania yanafanana sana na yaleyaliyoonekana Us<strong>wa</strong>zi miaka miwili iliyopita na kutoa viashiria vya k<strong>wa</strong>nza ambavyo <strong>wa</strong>taalam<strong>wa</strong>nadhani utaku<strong>wa</strong> ndio mwelekeo <strong>wa</strong> dunia nzima. Matokeo muhimu zaidi ya utafiti huu ni ushahidiuliojitokeza ambao utahimiza hatua zinazohitaji kuchukuli<strong>wa</strong> kushughulikia ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto.Jed<strong>wa</strong>li Na 3. MfumoMadhubuti <strong>wa</strong> Ulinzi <strong>wa</strong>Watoto. Ulinzi na Huduma zaKuzuia Ukatili Dhidi <strong>wa</strong> Watoto.Nchini Tanzania, ushahidi uko <strong>wa</strong>zi na jibu ni wito <strong>wa</strong> kuwepo k<strong>wa</strong> juhudi za kitaifa<strong>Kikosi</strong> <strong>Kazi</strong> kina jukumu la ku<strong>wa</strong> chachu katika kuhakikisha ku<strong>wa</strong> sekta zote husika ziko tayari na zinawezakutoa itifaki na huduma zilizo rafiki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto ili kuhakikisha ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>lioathiri<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>napata tibana kutunz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kupati<strong>wa</strong> huduma zote zinazohitajika ili kurejea katika maisha ya afya njema.La umuhimu ni k<strong>wa</strong>mba sekta hizo hizo zinahitaji kwenda mbele zaidi ya kutoa huduma na kufanya kazipamoja na jamii kila mahali katika Jamhuri yote, ku<strong>wa</strong>shirikisha viongozi, <strong>wa</strong>dau, wenye madaraka yamaamuzi, na vijana wenyewe katika wito <strong>wa</strong> jumla <strong>wa</strong> kutovumilia kabisa ukatili <strong>wa</strong> namna yoyote ile:<strong>wa</strong> kimwili, kihisia au kijinsia.Haki na PolisiKufuata sheria na kuzitekeleza k<strong>wa</strong> kupitia kikosi cha polisi <strong>wa</strong>naoele<strong>wa</strong> vyema ni muhimu ili kutoa haki naulinzi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto wote nchini Tanzania. Kupitish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Sheria ya Mtoto Na 21 (2009) kumeweka ki<strong>wa</strong>ngok<strong>wa</strong> ajili ya ku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>toto, ki<strong>wa</strong>ngo kilicho juu kama kingine chochote katika bara hili. Kanuni za Sheria yaMtoto Na 21 (2009), zinazoandali<strong>wa</strong> hivi sasa, zitaweka taratibu zinazohusu sekta mbalimbali zitakazombanamtu kisheria na zitaweka vi<strong>wa</strong>ngo k<strong>wa</strong> ajili ya kuainisha, kupeleka mahakamani na kushughulikia kesi zaunyanyasaji <strong>wa</strong> mtoto, na majukumu na <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>husika wote na uwezo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tendaji.Mara nyingi Polisi ndio <strong>wa</strong>naku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza kufiki<strong>wa</strong> na mahali pekee pa ma<strong>wa</strong>siliano k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>athiri<strong>wa</strong>,k<strong>wa</strong> kupitia idadi inayozidi kukua ya mada<strong>wa</strong>ti ya Jinsia na Watoto nchini Tanzania. Hapo ndipo pamojana matibabu ya dharura, kesi za unyanyasaji na ukatili zinaporipoti<strong>wa</strong> na baadaye kupelek<strong>wa</strong> mbelek<strong>wa</strong> hatua za kisheria. Polisi <strong>wa</strong>na jukumu la msingi katika kuhakikisha <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>athirika <strong>wa</strong> ukatili<strong>wa</strong>napata huduma za sheria k<strong>wa</strong> haraka, na k<strong>wa</strong> umakini k<strong>wa</strong> njia ambayo itazuia <strong>wa</strong>sinyanyaswena <strong>wa</strong>kosaji <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>jibish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> makosa <strong>wa</strong>liyotenda. Maafisa <strong>wa</strong> polisi <strong>wa</strong>tahitaji mafunzo juu yanamna ya kushughulikia mahojiano na <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>athiri<strong>wa</strong> na upelelezi. Iki<strong>wa</strong> kama sehemu ya utaratibu<strong>wa</strong> kutambua, kuandaa mashtaka na kufuatilia kesi za unyanyas<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto, mafisa <strong>wa</strong> polisi<strong>wa</strong>nataki<strong>wa</strong> kuhakikisha kunakuwepo ushirikiano na sekta nyingine ili kujenga mfumo <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza <strong>wa</strong>11


kuzuia na kukabiliana na matatizo yote ya ulinzi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto, bila kum<strong>wa</strong>cha nyuma mvulana au msichana yeyote<strong>wa</strong> Kitanzania. Mafunzo ya mwingiliano ya sekta mbalimbali yatasaidia kuimarisha ushirikiano kati ya sekta yapolisi, ustawi <strong>wa</strong> jamii, sheria na afya.AfyaHatua zinazopendekez<strong>wa</strong>:• Kuchangia na kuunga mkono mchakato <strong>wa</strong> kutunga kanuni na taratibu kuhusu Sheria ya Mtoto Na 21(2009) zitakazofafanua majukumu na <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> sekta zote katika kutoa huduma ndani ya Mfumo <strong>wa</strong><strong>Taifa</strong> <strong>wa</strong> Ku<strong>wa</strong>linda Watoto nchini Tanzania.• Kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto —ambayo ina jukumu la kuratibu Sheria yaMtoto Na 21 (2009) —katika kuandaa mpango <strong>wa</strong> taifa <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria ya Mtoto Na 21 (2009).• Kutuo ushauri kuhusu mafunzo ya vyuoni na ya kazini yanayohusu utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria ya Mtoto katikasekta zote zilizope<strong>wa</strong> jukumu la kisheria ku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>toto.• Kujenga uwezo <strong>wa</strong> rasilimali <strong>wa</strong>tu na vifaa k<strong>wa</strong> <strong>Kikosi</strong> cha Polisi cha Tanzania ili kuweza kutoa hudumaza kutosha na za kirafiki kupitia Mada<strong>wa</strong>ti ya Jinsia na Watoto• Kuhakikisha uchunguzi <strong>wa</strong> polisi kuhusu kesi za ukatili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto zinafuata Miongozo ya Utafiti <strong>wa</strong>makosa ya ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto ambayo yanakidhi mahitaji ya <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>athirika.• Kuendeleza mpango <strong>wa</strong> majaribio <strong>wa</strong> Polisi Jamii na kipindi cha ‘Usalama wetu k<strong>wa</strong>nza’ mashulenikuenea nchi nzimaKupata huduma ya dharura ya matibabu isiyo na vipingamizi na matunzo yanayofuata, ndiyo huduma muhimu yaharaka inayotole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto ambao ni <strong>wa</strong>athiri<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> udhalilishaji. K<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong>, <strong>wa</strong>toto ha<strong>wa</strong>pati hudumaipasavyo katika mfumo uliolenga ku<strong>wa</strong>hudumia <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>zima na hivyo itifaki ni lazima ziandaliwe k<strong>wa</strong> taratibuza kumjali mtoto. Waathiri<strong>wa</strong> wote <strong>wa</strong> udhalilishaji <strong>wa</strong> kijinsia <strong>wa</strong>nahitaji matibabu ya kinga k<strong>wa</strong> Magonj<strong>wa</strong> yazinaa yenye kuambukiza iki<strong>wa</strong> ni pamoja na yale ya kinga baada ya ngono ili ku<strong>wa</strong>linda dhidi ya maambukizi yaVVU/UKIMWI na da<strong>wa</strong> za dharura za kuzuia mimba k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>sichana ili ku<strong>wa</strong>linda na mimba zisizotaki<strong>wa</strong>. Matunzoyanayofuata baada ya matibabu ya dharura ndiyo yatakayo onyesha uwezo <strong>wa</strong> muathiri<strong>wa</strong> kuishi muda mrefuhasa katika sehemu ya ushauri nasaa <strong>wa</strong> kisaikolojia na kijamii. Hivi sasa, Sera ya Ukatili yenye Kulenga Jinsiana Mwongozo Madhubuti <strong>wa</strong> Kusimamia Ukatili <strong>wa</strong> Kijinsia zinaandali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> makubaliano ku<strong>wa</strong> miongozo nahuduma hizi lazima zitambue mahitaji mahasusi ya <strong>wa</strong>toto. Mchakato <strong>wa</strong> kuandaa sera za kitaifa na miongozounaweza kuhamasisha kuwepo k<strong>wa</strong> ushirikiano <strong>wa</strong> sekta mbalimbali.Mafanikio ya kudumu ya mtazamo <strong>wa</strong> kweli <strong>wa</strong> pamoja unahitaji ushiriki kamili <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na jamii wote. Miundoinayojumuisha uangalizi kwenye nyaja mbalimbali imeonekana ku<strong>wa</strong> inafaa. Huduma jumuishi zenye kulengandani na nje ya mfumo <strong>wa</strong> afya zinaweza kujenga ubora na mfumo mzuri <strong>wa</strong> kupata huduma ya afya. S<strong>wa</strong>la hililinaambatana na uwezo <strong>wa</strong> mtoa huduma hizi ambao unabaki ku<strong>wa</strong> kipingamizi kikub<strong>wa</strong> katika kujenga ubora<strong>wa</strong> huduma zilizo na nyanja nyingi. K<strong>wa</strong> hali ilivyo sasa madaktari hukusanya ushahidi unaohitaji<strong>wa</strong> mahakamatu, hali ambayo inadhoofisha nafasi ya muathiri<strong>wa</strong> kupata maangalizi ya kiafya na haki – kupanua dhamana hiik<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>talaamu wengine <strong>wa</strong> afya wenye sifa ya huduma za uangalizi <strong>wa</strong> kiafya inapas<strong>wa</strong> kufikiri<strong>wa</strong>. Watoaji <strong>wa</strong>huduma hizi lazima <strong>wa</strong>patiwe mafunzo ya kila <strong>wa</strong>kati ya idara mbalimbali za afya na taaluma nyingine K<strong>wa</strong> mfano,ujuzi unaohitajika katika kutoa huduma ya UKIMWI na Ukatili <strong>wa</strong> Kijinsia unatofautiana, na k<strong>wa</strong> maana hiyo, <strong>wa</strong>toahuduma kwenye nyanja zote mbili <strong>wa</strong>pas<strong>wa</strong> kujua njia bora za kutoa huduma na ku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>toto. Pia, tabianyingi hatarishi ziko kote kwenye UKIMWI na ukatili <strong>wa</strong> kijinsia. Ngono ya kulazimish<strong>wa</strong> utotoni au <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong>ujana, imeonyesha kuchangia kujenga tabia ya kufanya ngono bila kinga, ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>penzi wengi, kujihusishana biashara ya ngono na kutumia mada<strong>wa</strong> ya kulevya – tabia zote hizi hatarishi zinaweza kuchangia ongezeko lamaambukizi ya UKIMWI.Hali kadhalika, karibia asilimia 7 ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke, wenye umri kati ya miaka 13 hadi 24 ambao <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>ja<strong>wa</strong>zito,<strong>wa</strong>litoa taarifa ku<strong>wa</strong> tukio moja la uja uzito lilisababish<strong>wa</strong> na ukatili <strong>wa</strong> kijinsia. Huduma za afya k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto navijana zinapas<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na wigo pana.Hatua zinazopendekez<strong>wa</strong>:• Kuhakikisha ku<strong>wa</strong> mas<strong>wa</strong>la ya afya ya kiakili na kimwili ya mtoto yanayohusiana na kukabilina na ukatili,matunzo na matibabu yanaingiz<strong>wa</strong> katika miongozo na taratibu za kazi zilizoandali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> muktadha <strong>wa</strong>ukatili unaolenga jinsia katika sekta ya afya.12


MPANGO WA TAIFA WA KUKABILIANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTOElimu• Kushajiisha kuwepo k<strong>wa</strong> kiungo madhubuti kati ya ukatili <strong>wa</strong> kijinsia, afya ya uzazi k<strong>wa</strong> vijana na uzuiaji<strong>wa</strong> VVU/ UKIMWI, huduma za matunzo na matibabu k<strong>wa</strong> kutilia mkazo zaidi juu ya uhusiano kati yaUkatili <strong>wa</strong> kijinsia, mimba za utotoni na VVU/UKIMWI.• Kuinua m<strong>wa</strong>mko <strong>wa</strong> jamii juu ya ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto ku<strong>wa</strong> ni suala muhimu la afya ya jamii nakujumuisha njia za kujadili k<strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>zi, njia za kuzuia na kukabiliana na ukatili.• Kujenga mfumo <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>jengea uwezo <strong>wa</strong>toaji huduma za afya kukabiliana na udhalilish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>totokijinsia pamoja na udhalilish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> kimwili na kijinsia k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia mafunzo <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> vyuoni na kaziniiki<strong>wa</strong> kama sehemu ya kuboresha matibabu na matunzo ya afya za <strong>wa</strong>toto.Watoto hutumia muda <strong>wa</strong> saa 12 kila siku <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> shuleni na mazingira yake lakini utafiti umebainisha ku<strong>wa</strong> shulenyingi Tanzania sio salama.Hatua kadhaa inabidi zichukuliwe katika sekta ya elimu kuhakikisha shule zote zinatokomeza ukatili na hatua zanidhamu zinafuat<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu <strong>wa</strong>takotenda ukatili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto.Kanuni za maadili k<strong>wa</strong> ajili ya mashule zilizopo hivi sasa (pamoja na maadili ya kitaaluma na mwenendo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu)zina haja ya kuangali<strong>wa</strong> upya na kuongeza vi<strong>wa</strong>ngo vya ulinzi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto. Adhabu ya kuchapa viboko inahitajikuangali<strong>wa</strong> upya na miongozo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu juu ya nidhamu mbadala. Ulinzi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto na njia za kufundisha zisizona ukatili zinahitajika ziwe ni sehemu ya mafunzo kwenye vyuo vya <strong>wa</strong>limu na mafunzo kazini. Uhamasishaji <strong>wa</strong>ulinzi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto mashuleni na katika jamii k<strong>wa</strong> ujumla haina budi kutili<strong>wa</strong> mkazo k<strong>wa</strong> kuimarisha uhusiano <strong>wa</strong><strong>wa</strong>zazi, <strong>wa</strong>toto na viongozi <strong>wa</strong> jamii katika uratibu <strong>wa</strong> shule. Wazazi <strong>wa</strong>nahitaji kuhamasish<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>elewe mipakaya nidhamu, na mchakato <strong>wa</strong> kuelimisha suala la haki za mtoto na kuheshimu ma<strong>wa</strong>zo yao uzingatie mbinuzitakazo<strong>wa</strong>jengea <strong>wa</strong>zazi uwezo.Hatua zinazopendekez<strong>wa</strong>:• Kuhakikisha ku<strong>wa</strong> Kanuni za Maadili ya Walimu na huduma ya Ushauri nasaa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nafunzivinatekelez<strong>wa</strong> katika shule zote.• Kuunga mkono mpango madhubuti <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> pamoja na Kamati ya Maendeleo ya <strong>Sekta</strong> yaElimu juu ya njia bora ya kitaifa ya kutekeleza yatokanayo na Ripoti ya Ukatili dhidi ya Watoto, pamojana, uandaaji <strong>wa</strong> elimu ya haki za mtoto na haki ya kulind<strong>wa</strong>, ambayo itajumuisha mafunzo ya majukumukuendana na Sheria ya Mtoto katika kutoa taarifa ya kesi za ukatili, na yataku<strong>wa</strong> ni sehemu muhimu naya lazima katika mafunzo ya vyuoni na mafunzo ya kazini.• Kuandaa Kitabu cha Ulinzi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto na ku<strong>wa</strong>shirikisha baadhi ya Wakurugenzi <strong>wa</strong> Elimu <strong>wa</strong> Wilayakuvifanyia majaribio vitabu hivyo iki<strong>wa</strong> ni sehemu ya utekelezaji na kuingiza mfumo <strong>wa</strong> kukabiliana na ukatilidhidi ya <strong>wa</strong>toto ili <strong>wa</strong>nafunzi <strong>wa</strong>athiri<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>weza kuzifikia huduma zote zinazotaki<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> sheria.• Kuimarisha juhudi za kuzuia ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>shirikisha <strong>wa</strong>toto mashuleni na <strong>wa</strong>zazi<strong>wa</strong>o katika ngazi za jamii pamoja na kuweka utaratibu <strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>jibikaji kati ya <strong>wa</strong>limu na <strong>wa</strong>zazi katikakupambana na ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto.• Kuanzisha utaratibu <strong>wa</strong> kutoa taarifa, ufuatiliaji na kuratibu vitendo vya ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto iliku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>napoku<strong>wa</strong> katika mazingira ya shule. Utaratibu huu unaweza kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>kupitia kamati za shule.• Kuangalia upya adhabu ya viboko itole<strong>wa</strong>yo na <strong>wa</strong>limu na kutengeneza mwongozo <strong>wa</strong> adhabu mbadalak<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu kama njia za ufundishaji zisizo na ukatili.• Kuhakikisha mfumo <strong>wa</strong> nidhamu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu <strong>wa</strong>kosaji unaandali<strong>wa</strong>.Ustawi <strong>wa</strong> JamiiUtole<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> taarifa chache kuhusu ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto unasababish<strong>wa</strong> na mambo mengi. Watoto wengi na<strong>wa</strong>lezi ha<strong>wa</strong>jui <strong>wa</strong>ende <strong>wa</strong>pi kupata huduma. Majaribio ya kuzifikia huduma mara nyingi huk<strong>wa</strong>mish<strong>wa</strong> na vik<strong>wa</strong>zovya urasimu. Afisa <strong>wa</strong> Ustawi <strong>wa</strong> Jamii ni <strong>wa</strong>kala muhimu chini ya Sheria ya Mtoto Na 21 (2009) katika kulindaulinzi <strong>wa</strong> mtoto, lakini kuna uwiano usiolingana kati ya uwezo na upatikanaji <strong>wa</strong> Maafisa <strong>wa</strong> Ustawi <strong>wa</strong> Jamii namajukumu yao k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sheria.Hivi sasa, kuna Afisa mmoja <strong>wa</strong> Ustawi <strong>wa</strong> Jamii k<strong>wa</strong> kila <strong>wa</strong>toto zaidi ya 200,000 <strong>wa</strong> Kitanzania. Matokeo ya utafitihuu, pamoja na nia iliyoelez<strong>wa</strong> ndani ya sheria ya mtoto, inatoa wito <strong>wa</strong> kuboresha Idara ya Ustawi <strong>wa</strong> Jamii na13


kuongez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> idadi ya Maafisa <strong>wa</strong> Ustawi <strong>wa</strong> Jamii. Baada ya kuongeza idadi ya Maafisa <strong>wa</strong>Ustawi <strong>wa</strong> Jamii, Idara ya Ustawi <strong>wa</strong> Jamii itahitaji msaada mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>jengea uwezo maafisa ha<strong>wa</strong> ili ku<strong>wa</strong>na kikosi chenye ujuzi na uwezo, k<strong>wa</strong> miaka ijayo. Maafisa ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taku<strong>wa</strong> ndio <strong>wa</strong> kupokea <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>athiri<strong>wa</strong>na ku<strong>wa</strong>saidia katika mfumo <strong>wa</strong> rufaa, na baadae kusimamia kurejesh<strong>wa</strong> katika makazi salama na shuleni, marabaada ya uchunguzi <strong>wa</strong> polisi na mas<strong>wa</strong>la ya huduma za afya kukamilika.Njia ya ma<strong>wa</strong>siliano k<strong>wa</strong> ajili ya msaada <strong>wa</strong> mtoto (Child Helpline) itatoa fursa ya kuimarisha namna ya mtoto atakavyowezakutoa ripoti na kuondoa tatizo la ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha kutotole<strong>wa</strong> taarifa kama ilivyoonyesh<strong>wa</strong> na utafiti huu.Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto inaongoza juhudi za serikali za kuanzisha njia hiyo ya ma<strong>wa</strong>siliano.Nambari ya kupiga simu bure iliyosajili<strong>wa</strong> ni -116. Rasilimali <strong>wa</strong>tu na fedha zitahitajika ili kuhakikisha ku<strong>wa</strong> mfumohuo <strong>wa</strong> ma<strong>wa</strong>siliano unaandali<strong>wa</strong> vizuri na ku<strong>wa</strong>jengea uwezo <strong>wa</strong>tumishi na ku<strong>wa</strong>fuatilia ili kutoa huduma yenyemanufaa. Ikishakuwepo, njia hii ya ma<strong>wa</strong>siliano ita<strong>wa</strong>pa <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>naohitaji matunzo na ulinzi njia ya ma<strong>wa</strong>silianoya moja k<strong>wa</strong> moja, na pia itaku<strong>wa</strong> ni chanzo kikub<strong>wa</strong> cha habari juu ya unyanyasaji katika ngazi ya familia na jamiiambazo zitaku<strong>wa</strong> ni muhimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>andaaji <strong>wa</strong> mipango na utekelezaji <strong>wa</strong> sera.Hatua zinazopendekez<strong>wa</strong>:• Kusaidia kuboresha rasilimali <strong>wa</strong>tu na ku<strong>wa</strong>jengea uwezo ili kuongeza wingi na ubora <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>ustawi <strong>wa</strong> jamii katika Jamhuri ya Tanzania.• Kuimarisha jukumu kuu la Idara ya Ustawi <strong>wa</strong> Jamii pamoja na <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>naoongezeka ili ku<strong>wa</strong><strong>wa</strong>kala mkuu <strong>wa</strong> ulinzi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto na msimamizi <strong>wa</strong> Mfumo madhubuti <strong>wa</strong> rufaa <strong>wa</strong> Ulinzi <strong>wa</strong> Watoto.• Kuendeleza ushirikiano kati ya Idara ya Ustawi <strong>wa</strong> Jamii na sekta za haki, afya, elimu na jumuiya za kiraiaili kuhakikisha ku<strong>wa</strong> kazi ya rufaa dhidi ya ukatili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto inafany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati na k<strong>wa</strong> namna yenyekuleta matokeo.• Kukamilisha utayarishaji <strong>wa</strong> sheria na muongozo inayotokana na Sheria ya Mtoto ya m<strong>wa</strong>ka 2009 Na 21(2009), ambayo inatafsiri vipengele vya Sheria hiyo kwenye taratibu zitakazojumuisha sekta mbali-mbalikatika kukabiliana na unyanyasaji na ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto, ambao zitachangia katika mfumo <strong>wa</strong> kitaifa<strong>wa</strong> kulinda <strong>wa</strong>toto.• Kuandaa mfumo <strong>wa</strong> taarifa zinazohusiana na ulinzi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto ambao utaku<strong>wa</strong> na usimamizi na tathminiya kufuatilia jinsi kesi za ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto zinavyoendesha mpaka maamuzi ya mwisho.• Kusaidia katika kutengeneza njia ya ma<strong>wa</strong>siliano ya kitaifa (Child Helpline) ya moja k<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong>msaada <strong>wa</strong> mtoto ili kupata mpango utakaofaa kukabiliana na vitisho, au hata matukio ya ukatili <strong>wa</strong>kiakili, kimwili au kijinsia dhidi ya <strong>wa</strong>toto.• Kupanua wigo <strong>wa</strong> elimu ya malezi na ku<strong>wa</strong>shirikisha <strong>wa</strong>toto katika kuandaa machapisho yenye nadhariachanya, yanayojenga mahusiano yasiyo na ukatili.• Kushughulikia vik<strong>wa</strong>zo na unyanyapa unaosababisha <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>liodhalilish<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>sitafute huduma/msaada.• Kubuni mfumo imara <strong>wa</strong> jamii <strong>wa</strong> kutoa tahadhari mapema ili ku<strong>wa</strong>linda <strong>wa</strong>toto katika maeneo yote yamaisha yao.Ubia kati ya Serikali na Jumuiya za KiraiaMsingi <strong>wa</strong> mafanikio ya mpango <strong>wa</strong> kitaifa <strong>wa</strong> kuzuia na kukabiliana na ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto ni kuwepo k<strong>wa</strong> ubiakati ya Serikali na Mashirika yasiyo ya kiserikali, Asasi za kijamii, kidini na sekta binafsi. Ili kupatikana matokeoyenye kuzaa matunda k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto, ni muhimu juhudi za jumuiya za kiraia zisaidiane na serikali k<strong>wa</strong> kufanya kazik<strong>wa</strong> karibu na kutumia mifumo na taratibu za kitaifa. Utafiti juu ya mtandao <strong>wa</strong> asasi za kiraia zinazotoa hudumak<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto na huduma rafiki zinazomlenga mtoto uliofany<strong>wa</strong> na Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya ya Sayansi na Tibacha Muhimbili unatoa taarifa za msingi katika uandaaji <strong>wa</strong> mpango ya kitaifa <strong>wa</strong> utoaji huduma.Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto itapas<strong>wa</strong> kuratibu shughuli za <strong>wa</strong>toa huduma za <strong>wa</strong>totoili kuhakikisha ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naimarisha mifumo ya serikali, hasa katika ngazi ya jamii ambako ndiko asasi za jamiizimejikita kufanya kazi nchini Tanzania.Uoanishaji <strong>wa</strong> sekta ya umma na sekta binafsi kuhusiana na ukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto ni muhimu sana. Matokeo yaukatili dhidi ya <strong>wa</strong>toto, na k<strong>wa</strong> kupitia mfumo <strong>wa</strong> Sheria ya Mtoto Na 21 (2009), kunatoa fursa nyingi za kuimarishaubia kupitia “Watoto <strong>wa</strong>lio hatarini” k<strong>wa</strong> kulenga zaidi mas<strong>wa</strong>la ya unyanyasaji na ukatili iki<strong>wa</strong> ni viashirio vyaku<strong>wa</strong> hatarini – has<strong>wa</strong> kwenye mas<strong>wa</strong>la ya afya.14


Wajumbe <strong>wa</strong> kikosi kazi kinachojumuisha <strong>Sekta</strong> mbalimbaliWizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (WMJJW)Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (WHVUM)Wizara ya <strong>Kazi</strong> na AjiraWizara ya Afya na Ustawi <strong>wa</strong> Jamii (WAUJ)Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (WEMU)Wizara ya Sheria na Mambo ya Katiba (WSMK)Wizara ya Mambo ya Ndani (WMN)Ofisi ya Waziri Mkuu - Ta<strong>wa</strong>la za Mikoa na Serikali za Mitaa (OW-TAMISEMI)Shirika la <strong>Taifa</strong> la TakwimuTume ya UKIMWI Tanzania (TACAIDS)Kituo cha Sheria na Haki za BinadamuTume ya Haki za Binadamu na Uta<strong>wa</strong>la BoraChuo Kikuu Kishiriki cha Afya ya Sayansi na Tiba cha MuhimbiliShirika la Afya Duniani (WHO)Shirika la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA)Shirika la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa la Wana<strong>wa</strong>ke (UNWOMEN)Shirika la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa la UKIMWI (UNAIDS)Shirika la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF)Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM)Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID)Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonj<strong>wa</strong>, Ofisi ya Tanzania (CDC Tanzania)PACTSave the ChildrenPicha ya jalada: UNICEF/Julie PudlowskiK<strong>wa</strong> taarifa zaidi <strong>wa</strong>siliana na mratibu <strong>wa</strong> Ripoti ya Ukatili dhidi ya Watoto Tanzania, UNICEF, S.L.B 4076,Dar es Salaam, Tanzania au kupitia barua pepe: daressalaam@unicef.org16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!