Tanzania Shujaaz toleo la 9
Jarida kuhusu haso za vijana na mishe zao za kila siku. Pesa, Mapenzi, mkwanja na mengineyo. Maujanja juu ya maujanja, kila jumamosi ya mwisho wa mwezi. Pia unaweza kusikiliza ShujaazRadioShow kupitia East Africa Radio on.fb.me/1kO0qHV
Jarida kuhusu haso za vijana na mishe zao za kila siku. Pesa, Mapenzi, mkwanja na mengineyo. Maujanja juu ya maujanja, kila jumamosi ya mwisho wa mwezi. Pia unaweza kusikiliza ShujaazRadioShow kupitia East Africa Radio on.fb.me/1kO0qHV
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
Nancy alikunywa<br />
mchanganyiko wa madawa ili<br />
atoe mimba. ana hali mbaya sana<br />
<strong>la</strong>kini tunajaribu kumsaidia,<br />
tuombe Mungu.<br />
Yote haya<br />
wewe na simo ndio<br />
esababisha.<br />
Kusema kweli, mimi nilikua<br />
nafuata maelekezo ya Simo. Yeye<br />
ndio alimfukuza. bdae nilimtafuta<br />
nimsaidie japo he<strong>la</strong> kidogo <strong>la</strong>kini<br />
sikumpata... nielewe pendo, mimi sina<br />
roho mbaya kiasi hicho. kuna vitu<br />
nafanya kulinda kibarua tu.<br />
sijui<br />
kanielewa<br />
huyu?<br />
pendo, acha<br />
nngie kit one time<br />
nikashughulikie kitu.<br />
nakuja...<br />
29
30
31