wrong cut - Femina HIP
wrong cut - Femina HIP
wrong cut - Femina HIP
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
No.25 ISSN 1821-5599<br />
HALIUZWI<br />
Ubunifu wa<br />
Kizalendo<br />
Intavyuu au<br />
Inta-vua?<br />
Short <strong>cut</strong> =<br />
<strong>wrong</strong> <strong>cut</strong><br />
Become an<br />
anti-corruption<br />
HERO!
COVER STORY: Ubunifu wa kizalendo 4<br />
Patriotic through design 7<br />
MY REGION: Singida ni mji aisee! 8<br />
BARUA FROM YOU 10<br />
BURUDANI: Maadili kitanzini! 12<br />
Moral corruption 14<br />
Money Rules 15<br />
NEWS BULLETIN 16<br />
UJINSIA NA MAHUSIANO:<br />
Intavyuu au Inta-vua? 18<br />
Carpet interview! Beware! 21<br />
MPENDWA ANTI 22<br />
MPENDWA ANKO:<br />
Usipotezee, mshirikishe ‘mtu’ wako! 24<br />
NGUVU ZA MWANAUME:<br />
Ukichelewa imekula kwako! 25<br />
HADITHI YA PICHA: Poor Badra! 26<br />
VUMILIA: Lebo imekuwa ishu? 30<br />
IT WITH FREDDIE: Stay safe with IT 31<br />
SAUTI YAKO 32<br />
Stori za Rushwa 33<br />
LIFE SKILLS: Komesha rushwa 34<br />
Become an anti-corruption hero! 36<br />
LIFESTYLES: Is it corruption? 37<br />
KAZI NA PESA: Rasimisha biashara yako 45<br />
WHAT’S UP FEMA CLUBS 48<br />
PASUA KICHWA: Chalenji No.4 50<br />
WAKALI: BaabKubwa ni kubwa kuliko! 51<br />
HERE ‘N’ THERE: 52<br />
AMBASSADOR: Mchoteka wametuchota! 53<br />
NJE YA KIWANJA: Remtullah anafanya makubwa 54<br />
VIJISTORY NA ABC 55<br />
CITIZEN ENGAGEMENT:<br />
Haraka haraka…. 56<br />
Short <strong>cut</strong> = <strong>wrong</strong> <strong>cut</strong> 58<br />
AMKA: Hii ndiyo Tume yenyewe 59<br />
COMPETE AND WIN 60<br />
This issue of Fema is made possible by the<br />
generous support of the Governments of Sweden<br />
(Sida), Denmark (DANIDA), HIVOS, The United<br />
States Agency for International Development<br />
(USAID) and the PEPFAR supported<br />
FHI360/ Ujana and PSI/Husika projects. Editorial<br />
partnership in this issue: RFSU and BEST-AC.<br />
<strong>Femina</strong><br />
<strong>HIP</strong><br />
The contents are the responsibility of<br />
FEMINA <strong>HIP</strong> and do not necessarily<br />
reflect the views of the sponsors.<br />
YALIYOMO CONTENTS<br />
FEMINA <strong>HIP</strong> OFFICE<br />
5TH FLOOR, PATEL BUILDING<br />
P.O. BOX 2065<br />
DAR ES SALAAM, TZ<br />
TEL: 022 2128265, 2126851/2<br />
FAX: 022 2110842<br />
info@feminahip.or.tz<br />
www.chezasalama.com<br />
SMS: 0715 568111<br />
FROM THE EDITOR<br />
SMS: 0715 568111<br />
Guys, let’s talk corruption! Ready? Or is it<br />
a taboo topic? Not for Fema readers and our<br />
good friends, the anti corruption clubbers na<br />
vijana wote, au sio? Yes! Maybe you can even<br />
be an anti corruption hero!<br />
Sikiliza! The Fema team drove all the way to<br />
Singida to trigger a discussion around this<br />
‘killer disease’! Does it sound like Singida is<br />
more rampant with corruption than the rest of<br />
Bongo? NO! We roam around giving everyone a<br />
voice and it was Singida’s turn. Find touching<br />
testimonies from youth in Singida on pg 33.<br />
Familiar, je?<br />
How many times have you given or accepted a<br />
bribe, be it money, gift, sex au chai kantini?<br />
Do you know what makes a bribe? Don’t worry!<br />
Lifestyles pages will help you understand what<br />
makes an act corruption.<br />
Fema Clubbers do you want an easy ticket to<br />
fame and to Dar? Don’t sweat; work the club<br />
challenge in the Pasua Kichwa page, and you<br />
may win a trip to the youth conference and<br />
more! Kama hiyo haitoshi, mtauza sura katika<br />
Fema! Imetulia eeh? You could win a solar lamp<br />
too via the Ushiriki wa Wananchi section on pg<br />
56!<br />
Happy reading!<br />
Cheza<br />
salama, usitoe<br />
wala kupokea<br />
rushwa!<br />
EXECUTIVE DIRECTOR<br />
Dr. Minou Fuglesang<br />
MEDIA DIRECTOR<br />
Amabilis Batamula<br />
PUBLICATIONS MANAGER<br />
Jiang Alipo<br />
SENIOR EDITOR<br />
Pendo Mashulano<br />
FEATURES EDITOR<br />
Gaure Mdee<br />
facebook.com/femina<strong>HIP</strong><br />
CONTRIBUTORS<br />
Anna Muro Temu<br />
Karin Hanna<br />
Sarah Chodota<br />
Nashivai Mollel<br />
Christine Bisangwa<br />
Constancia Mgimwa<br />
Gloria Mkoloma<br />
Frederick Mwinjabi<br />
ADVERTISING<br />
Lilian Nsemwa<br />
Jiang<br />
@feminahip<br />
COVER PHOTOGRAPHY<br />
Gabriel Makupa<br />
LAYOUT DESIGN<br />
Natasha Dickens<br />
CARTOONS<br />
Babatau Inc<br />
DISTRIBUTION<br />
EAM Logistics LTD<br />
PRINTING<br />
Jamana Printers Ltd.
Ubunifu wa<br />
4 FEMA MAGAZINE: COVER STORY<br />
kizalendo
“Najitahidi kufanya kazi kwa uadilifu na kuwa mwaminifu kwa watu<br />
ninaofanya nao kazi,” kijana mbunifu Mkuki Bgoya anabainisha, “hii ni njia<br />
ninayoitumia kuwaonyesha wateja wangu kwamba vijana wa Kitanzania<br />
ni wachapakazi na wanaaminika.” NA GAURE MDEE: PICHA GABRIEL MAKUPA<br />
M<br />
kuki, ndiyo ‘kichwa’ kilichosimama na kubuni fulana<br />
za kijanja zinazojibebea umaarufu hapa nchini<br />
zenye chapa ya “Nyerere” na “1961”.<br />
“Hizi ni chapa ambazo zinaonyesha Tanzania, zikitukumbusha<br />
enzi na fahari yetu ya kuwa Watanzania,” anasema<br />
Usanifu wa fulana zinazotengenezwa na lebo yake ya Kina<br />
Klothing, zibeba ujumbe wa utambulisho na uzalendo.<br />
Stori yake imevuka miaka na mipaka kadhaa katika pilika za<br />
kufukuzia ndoto zake. Mkuki sasa ametimiza kile alichokuwa<br />
anakiota, kwani sasa anaendesha kampuni ya uwakala wa<br />
usanifu inayofahamika kwa jina la Spearhead.<br />
Kitindamimba huyu wa familia ya watoto watatu, Mkuki<br />
alizaliwa Aprili 1981 na kukulia jijini Dar.<br />
Alihitimu Loyola High School ya jijini Dar es Salaam, na baadaye<br />
akapata ufadhili ya kusoma Chuo Kikuu cha A&M Texas,<br />
Marekani.<br />
Alianza na shahada ya sayansi ya kompyuta, lakini akiwa<br />
katikati ya masomo yake, Mkuki aligundua kwamba kozi hiyo<br />
anayosomea haimfai. Akaamua kubadili mwelekeo na kujikita<br />
katika elimu ya ubunifu na usanifu, fani ambayo alikuwa<br />
akiizimikia kitambo sana.<br />
Awali, Mkuki alikuwa na wasiwasi kwamba wazazi wake,<br />
wasingekubali asome masomo yanayohusiana na sanaa.<br />
Oh…; hakuwa sahihi!<br />
“Baba’angu ni mkusanyaji mzuri wa kazi za sanaa na<br />
hukubaliana na kila kitu chema kinachoizunguka sanaa. Hivyo<br />
alikubaliana na uamuzi wangu kwa moyo mmoja,” anasema.<br />
Mkuki alimaliza masomo yake na kutunukiwa shahada ya<br />
kwanza ya Design Communication. Katika muhula wake wa<br />
mwisho chuoni, akapata shavu la kufanya kazi ya usanifu katika<br />
Kampuni ya The Richards Group, Texas.<br />
Akafanya kazi na kampuni hiyo hadi mwishoni mwa mwaka<br />
2008 alipoamua kuwa ni muda wa kurudi nyumbani, kuchangia<br />
katika maendeleo ya nchi yake.<br />
Leo hii, kwa kushirikiana na baba yake, Walter Bgoya,<br />
wanaendesha kampuni ya upigaji chapa na duka la vitabu<br />
liitwalo TPH Bookshop lililoko jijini Dar es Salaam. Ni moja<br />
ya maduka yenye hazina kubwa ya vitabu vilivyoandikwa na<br />
������������������������������������������������������������<br />
�����������������������������������������������������������<br />
zake zenye nembo ya Kina Klothing.<br />
Anapokuwa hajabanwa na shughuli za usanifu, Mkuki kwa<br />
����������������������������������������������������<br />
mara kwa mara linalofahamika kama Pen & Mic. Jukwaa hili<br />
hushirikisha washairi, waandishi na wanamuziki wa bendi<br />
ambao hugusia masuala nyeti yanayohusu wananchi na namna<br />
ya kusongesha mbele gurudumu la Taifa. Pia huzungumzia<br />
masuala yanayohusiana na namna ya kupiga vita rushwa nchini<br />
mara kwa mara.<br />
Kwa uchungu anagusia kuwa moja ya changamoto<br />
anazokutana nazo katika kazi yake ya usanifu ni “ku-desa”.<br />
Katika ulimwengu wa usanifu kuiga kazi ya mwenzako<br />
ni kinyume na maadili na ni aina ya rushwa. Si rushwa<br />
katika ulimwe ngu wa usanifu inayomsikitisha, Bali, Mkuki<br />
anashangazwa na jinsi rushwa ilivyoota mizizi katika<br />
ngazi zote hapa Tanzania.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
5
COVER STORY<br />
“Wakati nasoma shule ya msingi baadhi ya walimu - na simaanishi<br />
walimu wote wanafanya hivi - walikuwa wanatupatia juisi na ice<br />
cream tuuze ili waweze kujiongezea kipato. Tulikuwa tunapewa<br />
pakiti moja kama ujira.” Mkuki anaeleza. Anaongeza kuwa<br />
wanafunzi walipokataa kuuza walilamba mikwaju!<br />
“Ni vigumu kubadili tabia.” Mkuki anasema na kuongeza; “kwa<br />
sababu utamaduni wetu unatufundisha kutoa ‘asante’ kwa kila<br />
huduma zinazotolewa. Lakini huduma za jamii zinapaswa kutolewa<br />
sawa sawia kwa wananchi wote. Watu hawatakiwi kulipa zaidi ya<br />
kile wanachopaswa kulipa kisheria pale wanapopatiwa huduma<br />
hizi.”<br />
Anaeleza kuwa utoaji wa bakshish unazalisha utamaduni mbaya wa<br />
uzembe na ubinafsi kiasi kwamba watu watakaa tu na kutegemea<br />
kupewa chochote, au mbaya zaidi, wanathubutu hata kuomba<br />
bakshish kabla ya kufanya kazi.<br />
“Fikiria ndugu yako amezidiwa yuko kwenye foleni hospitali, lakini<br />
hapatiwi huduma yoyote ile. Utasubiri hadi ahudumiwe au utatoa<br />
chochote ili upate upendeleo? Hii ni moja kati ya changamoto<br />
zinazotokea kila siku. Tunakuwa tayari kutoa rushwa ili tupatiwe<br />
upendeleo katika huduma, lakini kwa kufanya hivyo tunazidi<br />
kuichimbia rushwa mzizi, hivyo hakuna kinachobadilika,” anaeleza.<br />
6<br />
FEMA MAGAZINE: COVER STORY<br />
Ushauri kwa vijana…<br />
Mkuki anasema, cha kwanza na cha muhimu ni kwa sisi Watanzania<br />
��������������������������������������������������<br />
“Vijana ndiyo warithi wa hii nchi, hivyo inabidi tuangalie historia<br />
ya nchi na kuangalia misingi ya usawa, mshikamano na uzalendo<br />
ambavyo tunaweza kuendelea kuvijenga. Kukaa tu na kulalamika<br />
vijiweni siku nzima hakutaweza kutatua matatizo yetu wala<br />
kutupeleka popote. Bado tuko nyuma, hivyo inabidi tujitahidi<br />
kuchapa kazi mara mbili zaidi,” anasisitiza.<br />
Mkuki anasema inashangaza kuona kwamba tumetenga siku za<br />
mapumziko ili kuwakumbuka wafanyakazi hodari wa nchi hii,<br />
Nyerere na Karume, badala ya kuiga mfano wao kwa kuchapa kazi<br />
katika siku hizo!<br />
ZAIDI KUHUSU MKUKI<br />
D Mkuki na Nyota Publishers ni muunganiko wa jina lake,<br />
Mkuki, na la dada yake, Nyota.<br />
D Neno Kina katika “Kina Klothing” ni neno la Kiswahili lenye<br />
maana ya urefu wa kwenda chini.<br />
D Jina Pen & Mic; Pen - inawakilisha ushairi na uandishi, Mic - muziki.
PATRIOTIC THROUGH DESIGN<br />
kuki is the brain behind the ‘Nyerere’ and<br />
‘1961’ funky-designed T-shirts that have<br />
become popular in the country.<br />
“These are iconic images that symbolize<br />
Tanzania, inspired by a period we hold dear<br />
as Tanzanians,” he says. The T-shirt designs,<br />
produced under his label, Kina Klothing, carry<br />
messages of identity and patriotism.<br />
Mkuki’s story crosses years and borders in search<br />
of his dream career. He is living the dream,<br />
running his own design company known as<br />
Spearhead.<br />
Born in April 1981 and raised in Dar es Salaam,<br />
Mkuki is the last born in a family of three<br />
children.<br />
He studied at Loyola High School in Dar es<br />
Salaam, and then received a scholarship to<br />
attend Texas A&M University in the USA. Mkuki<br />
began his studies in computer science but<br />
halfway through he decided to major in graphic<br />
��������������������������������������������������<br />
worried that his parents wouldn’t approve of him<br />
doing an art-related course.<br />
Oh…; was he <strong>wrong</strong>!<br />
“My father is an avid art lover and appreciates<br />
anything that revolves around the arts, so he<br />
supported my decision wholeheartedly.”<br />
Mkuki completed his studies and received a<br />
bachelor’s degree in Design Communication.<br />
����������������������������������������������<br />
designer at The Richards Group in Dallas, Texas.<br />
Challenges back home<br />
He worked there until the end of 2008, when he<br />
decided it was time to come home, to give back<br />
to his country.<br />
Today, Mkuki and his father, Walter Bgoya,<br />
run a publishing house and bookshop called<br />
TPH Bookshop in Dar es Salaam. It has one of<br />
the largest collections of books by Tanzanian<br />
�������������������������������������������<br />
������������������������������������������������<br />
published and imported titles.This is also one<br />
outlet which sells Kina Klothing.<br />
When he is not busy designing, Mkuki organizes<br />
a periodic event called Pen & Mic with a friend.<br />
This is a live platform that features poets, writers<br />
and musicians who touch on citizen issues that<br />
they see as vital for the country to move forward.<br />
Issues related to alleviating corruption are often<br />
featured.<br />
He explains sorrowfully that one of the major<br />
challenges in his industry is plagiarism. In the<br />
design world, stealing a design is unethical and a<br />
form of corruption. But it isn’t just corruption in<br />
the design world that upsets him. He is shocked<br />
���������������������������������������������<br />
levels in Tanzania.<br />
“When I was in primary school, a teacher – and<br />
I don’t mean all teachers did this – would get us<br />
to sell juice and ice cream so he could gain an<br />
income giving us one of the treats as a reward,”<br />
Mkuki says, adding he would have been caned if<br />
he refused.<br />
�������������������������������������������<br />
explains, “because our culture teaches us to<br />
give a ‘thank you’ for a service done. But public<br />
services are supposed to be provided equally<br />
for all citizens. People should not pay more than<br />
what is required by the law when they seek these<br />
services.”<br />
He says paying ‘baksheesh’ (tips) risks breeding a<br />
culture of negligence and complacency in that<br />
people just sit back and expect or demand it<br />
before doing their work.<br />
BURUDANI<br />
BY GAURE MDEE<br />
PHOTO GABRIEL MAKUPA<br />
“I try to work with integrity and be true to my ideas and the people I work with,” says<br />
gifted designer Mkuki Bgoya.“It is my way of showing clients that Tanzanian youth can<br />
be reliable, honest people.”<br />
M<br />
“Imagine having a seriously sick relative in a<br />
queue at the hospital. Do you wait and wait until<br />
they are catered for, or pay the extra cost to get<br />
��������������������������������������������������<br />
tough situations. We are willing to pay a bribe<br />
to get preferential treatment, but by so doing<br />
we maintain the corrupt system, so nothing<br />
changes.”<br />
Advice for fellow youth<br />
First and foremost Mkuki says, is for us as<br />
Tanzanians to stop being ‘hypocrites’ about<br />
corruption.<br />
“The youth will inherit this land so they should<br />
look at the history of this country and consider<br />
some of the fundamental values of equality,<br />
solidarity and patriotism which we can still build<br />
on. Sitting around the whole day doing nothing<br />
and complaining at the ‘kijiwe’ is not going to<br />
push us forward. We are behind, so we should<br />
work twice as hard.”<br />
�������������������������������������������������<br />
days, to celebrate “the hardest workers this<br />
nation has known, Nyerere and Karume”––<br />
when we should be emulating their example by<br />
working hard.<br />
FACT FILE<br />
D Tanzanian Publishers, Mkuki na Nyota<br />
Publishers, is named after Mkuki and his<br />
sister, Nyota.<br />
D Kina in Kina Klothing is the word for<br />
���������������������<br />
D �������������������������������������<br />
and writing (Pen) and music (Mic).<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
7
MY REGION<br />
8<br />
TANZANIA SINGIDA<br />
Singida<br />
NI MJI AISEE!<br />
NA NELSON MARANDO JOHN, PICHA GAURE MDEE<br />
Niliingia duniani miaka 20 iliyopita.Kuanzia<br />
wakati huo nafahamika kwa jina la Nelson<br />
Marando John, ingawa masela hupenda<br />
����������������������������������������������<br />
naifahamu vilivyo. Inapatikana katikati<br />
mwa Tanzania, ikipakana na Arusha,<br />
���������������������������������������<br />
inaunganishwa na reli ya kati iliyoanzishwa na<br />
wakoloni enzi zilee.<br />
Mkoa huu ni nusu-jangwa, hivyo mchana kuna kijoto cha<br />
ukweli na jioni hadi usiku kuna kibaridi cha hapa na pale,<br />
na kijiupepo cha kishkaji. Makabila yanayovuma mkoa<br />
huu ni Wanyaturu na Wanyiramba, ingawa kuna wengine<br />
wengi wakiwemo washkaji zangu Watindiga, Wasandawe na<br />
Wakimbu.<br />
ILIKUWAJE PAKAITWA SINGIDA?<br />
Jina la Singida lilitokana na neno MASINGIDA, ambalo kwa<br />
Kinyaturu ilikuwa ni aina fulani ya urembo ambao ulipatikana<br />
katika Ziwa Singidani. Wenyeji waliokota urembo huu na<br />
kutengeneza mikufu, bangili na hereni. Akina mama, dadaz<br />
na hata wazungu enzi hizo walitoka mchicha kwa mapambo<br />
hayo, hivyo ndivyo ilivyotokea ikaitwa Singida.<br />
KUHUSU JANDO NA UNYAGO<br />
Singida ni miongoni mwa mikoa ambayo ina kasi ya ishu hii<br />
kwa sana tu. Vijana wa kike na kiume wanapelekwa porini<br />
‘kuingizwa ukubwani’ ikiwa ni pamoja na tohara kwa mabinti.<br />
Thank God siku hizi tumeelimika na tohara kwa mabinti<br />
imepungua ingawa bado kuna watu wanaifanya kwa siri.<br />
FEMA MAGAZINE: MY REGION<br />
Nelson<br />
Mabinti wa Kinyaturu hawa! Pendezajeee?<br />
Karibu<br />
Singida!
NI WATU WA KAZI!<br />
Ukiwa Singida mida ya jioni unaweza kwenda kula upepo Ziwa Singidani<br />
Watu wa Singida ni wakulima, wafugaji na wafanyabiashara.<br />
Zao kuu la biashara ni alizeti ambayo hukamuliwa mafuta<br />
na mabaki yake kutengeneza mashudu. Pengine hukuwahi<br />
kujua kwamba hapa kuna soko kubwa la vitunguu, tena ni<br />
kubwa kuliko masoko yote ya vitunguu nchini. Tumebarikiwa<br />
pia kuwa na kuku kibao wa kienyeji hivyo tunakula vyuku na<br />
mayai ya kienyeji kwa raha zetu!<br />
DHAHABU PIA TUNAYO<br />
Ingawa hatuvumi, Singida ni miongoni mwa mikoa iliyobarikiwa<br />
kuwa na madini. Kuna migodi midogomidogo kama vile Shelui<br />
ulioko Iramba, Shantamine na Londoni iliyoko Manyoni.<br />
Pia kuna mawe makubwa yenye kushangaza ambayo<br />
yatakuvutia kuyatazama. Singidani, Kindai na Singida Munangi<br />
ni maziwa madogo maarufu sana hapa Singida. Unapoyatazama<br />
maziwa haya unasahau kwamba Singida ni nusu-jangwa!<br />
Kutokana na kijoto cha mchana, wengi huenda kupata<br />
kijiupepo kandokando mwa maziwa hayo nyakati za jioni.<br />
Swimming si sana kwa sababu maji yake ni chumvi kibao.<br />
MAJI NI ISHU!<br />
Katika pitapita zako mjini Singida, utashuhudia misururu<br />
mirefu ya watu wanaotafuta maji, kwani bidhaa hii, pamoja na<br />
umuhimu wake, ni adimu sana upande huu wa dunia!.<br />
STAREHE? YES, MWAKE-MWAKE!<br />
Kuna kumbi nyingi za kuruka debe na kucheki showz kali<br />
kutoka kwa wasanii wa nyumbani, yaani Bongo. Singida Motel,<br />
Scene Lodging, Kirima na Jovena ni baadhi tu ya viwanja hivyo.<br />
UGALI KWA MLENDA UNAWEZA WEWE?<br />
Ebwana utaipendaa! Sie kwetu huo ndo msosi mkuu! Ni ugali<br />
wa mtama kwa mlenda, tena ukishasongwa haupakuliwi,<br />
ngoma inapigwa humo humo kwenye chungu, upo?<br />
HATA KWETU WAPO!<br />
Tumetoa watu kadhaa maarufu. Wengine ni wazaliwa wa huku,<br />
wengine wamevuma wakiwa huku. Baadhi yao ni Hussein<br />
Machozi, Sam wa Ukweli, Shaban Dede kwa upande wa ladha<br />
za Kitanzania. Kwa upande wa muziki wa injili tunao John Lisu,<br />
Sara Kingu na Yohana Kubanda.<br />
���������������������������������������������������������<br />
na Wande. Tumezalisha wanasiasa maarufu pia, baadhi yao<br />
ni John Chiligati, Mussa Nkhangaa, Tundu Lissu, Mohammed<br />
Dewji na Lazaro Nyalandu.<br />
NAOMBA KUIFAGILIA SHULE YANGU<br />
Ingawa sikusema mwanzo, nasoma Mwenge Sekondari, shule<br />
kongwe haswaa maana ilianzishwa miaka 45 iliyopita. Imetoa<br />
watu maarufu lukuki, wakiwemo Leonard R. Msalocha aliyekuwa<br />
Kamishna wa Elimu Taifa, Bujiku Sakila, aliyekuwa Naibu Waziri<br />
wa Elimu, Lazaro Nyalandu, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,<br />
Zainab Mwanga, Mwandishi wa kitabu cha Zawadi ya Ushindi<br />
na wengine wengi. I am so proud of my school.<br />
SITAKI KUKUMALIZIA UHONDO!<br />
Mazuri ya Singida ni mengi nitajaza jarida na sitoyamaliza, hivyo<br />
naomba nihitimishe kwa kusema usingida ghurifo, Gwa karibisha<br />
ino! Mmh… Namaanisha, tunawakaribisha sana Singida!<br />
Umewahi kuona lango la mawe? Mambo ya Singida hayo! Alizeti mwake mwake!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
MKOA WANGU<br />
9
BARUA FROM YOU<br />
�<br />
Dear Editor,<br />
WRITE TO US!<br />
Do you have comments, views or<br />
opinions on the magazine’s content<br />
or anything else which you would<br />
like other readers to hear?<br />
Please send them to:<br />
FEMA - Your letters<br />
P.O. Box 2065<br />
Dar es Salaam<br />
E-mail: info@feminahip.or.tz<br />
Mpendwa mhariri,<br />
Lucylight ni msichana mkakamavu, shupavu na hodari.<br />
Ni kijana msikivu na mtii kwa walimu, walezi na kwa<br />
wenzake. Mara nyingi wanafunzi wakipata tatizo kama<br />
la Lucylight la kukosa wazazi wanashindwa kuendelea<br />
na masomo, lakini yeye ameonyesha mfano kwa<br />
kujikaza na kuendelea na masomo mpaka kuweza<br />
kufaulu vizuri kidato cha nne. Kiukweli Lucylight<br />
amekuwa kivutio kwa wanafunzi wote na ili waweze<br />
kufanya vizuri katika masomo yao ni lazima waige<br />
mfano wake.<br />
Glory G<br />
There is no time like the present to say thank you for<br />
the great trust that you have placed in us and gave<br />
us the opportunity to join the Fema family in the<br />
2012 Youth Conference at Belinda; where we learnt<br />
various issues especially.<br />
On my side I never knew or trusted that a girl/<br />
women have the same value as men. But for now I<br />
totally agree and have changed.<br />
I truly value and appreciate your work of educating<br />
us we youth of Tanzania. You have been loyal and<br />
dependable to us keep it up.<br />
Nelson M. John<br />
Mwenge High School, Singida<br />
P.O. Box 195<br />
Singida<br />
Wow! It’s nice to hear that you<br />
learnt various lessons from the<br />
Conference because that is part<br />
of the Conference mission. We do<br />
appreciate your acknowledgment<br />
and we promise to continue<br />
educating the youth across the<br />
country.<br />
Dear Editor,<br />
10 FEMA MAGAZINE: LETTERS TO THE EDITOR<br />
I am writing this letter to<br />
congratulate Fema team for its<br />
great and nice work. I appreciate the<br />
efforts and assistance you give to<br />
people in many ways. I really enjoy<br />
Tunawashukuru wote mlioweza<br />
kuandika maoni yenu juu ya<br />
stori ya Lucylight, licha ya kuwa<br />
hatukuweza kuweka yote kwa<br />
ufinyu wa nafasi.<br />
Tunawapongeza kwa<br />
kuchangia maoni hayo.<br />
Msiache kusoma Fema.<br />
- Mhariri<br />
reading your magazine, which contains a lot of issues<br />
about caring for and controlling the environment as<br />
well as life styles. I request you to increase capabilities<br />
to supply information especially to the rural areas. In<br />
my school we don’t have a Fema club, and I would also<br />
�����������������������������������������������<br />
Herina Itumbi<br />
Thanks Herina, the Team is happy to deliver the<br />
service. As for the Fema Club, getting on board is<br />
easy; you have to organize your fellows just like you<br />
do to start any other club in your school, then write<br />
to us with your club information. We will work on<br />
your request and respond. Working at <strong>Femina</strong> is like<br />
working at any other organization, you will need to<br />
follow job application procedures.<br />
Ndugu mhariri,<br />
Salamu sana pole na majukumu ya kujenga Taifa kupitia<br />
kuelimisha jamii. Dhumuni ni kuwapongeza kwa kile<br />
mnachokifanya jopo zima la Fema. Moyo wangu huwa<br />
�����������������������������������������������������<br />
kuendelea kusoma kwa sababu ya ujumbe uliomo ndani.<br />
Sasa nitafanya nini ili na mimi niwe mwanachama au<br />
mjumbe? Upatikanaji wa majarida unakuwaje? Namalizia<br />
nikisema hongera sana Fema.<br />
Sixmund Simon Kiloko<br />
STAR<br />
LETTER<br />
Six, asante sana kwa pongezi na kwa barua yako.<br />
Njia rahisi ya wewe kuwa mwanachama ni kujiunga<br />
na klab ya Fema iliyopo shuleni au ambayo ipo jirani<br />
na eneo unaloishi kama hauko skuli. Ukiwa huko<br />
itakuwa rahisi kwako kupata majarida. Tunatambua<br />
umuhimu wa kila kijana kusoma jarida hili, sema ni<br />
vigumu kwetu kutuma jarida kwa mtu mmoja mmoja.
These cartoons are the<br />
winnners of a recent art<br />
competition on<br />
Barriers to Doing Business<br />
in Tanzania, sponsored<br />
by BEST-AC.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
11
BURUDANI<br />
MAADILI<br />
KITANZINI!<br />
Hapo zamani, tukiwa tumekusanyika jikoni jioni huku chungu kikiendelea kutokota, bibi alikuwa<br />
akitusimulia hadithi. Kwa utulivu wa hali ya juu, tulisikiliza visa vya kusisimua kuhusu watu na<br />
changamoto walizokumbana nazo. Katika simulizi nyingi, mtu mwema alimshinda mtu mbaya na vivyo<br />
hivyo, jambo jema lilishinda dhidi ya jambo baya. NA AMABILIS BATAMULA PICHA FEMA TEAM<br />
L<br />
ahaula! Leo hii utamaduni wa watoto<br />
kusimuliwa hadithi na wazee umekufa;<br />
vyanzo vingine vya hadithi vimechukua<br />
nafasi. Tumezungukwa na filamu, muziki<br />
na vitabu! Hivyo ndivyo ambavyo kwa sasa<br />
vinatuongoza katika kujifunza lipi sahihi, lipi si<br />
sahihi, heshima, uadilifu, utu na uvumilivu ni<br />
nini.<br />
Maadili, silka ya mtu!<br />
Maadili ni mkusanyiko wa imani ambazo<br />
zimejengeka kutokana na desturi za jamii<br />
husika. Maadili pia hutegemea tafsiri ya mtu<br />
binafsi juu ya jema na baya.<br />
Uadilifu unahusisha wema, imani na haki.<br />
12 FEMA MAGAZINE: BURUDANI<br />
Tendo la uadilifu mara nyingi husababisha<br />
kupata sifa, shukrani na ‘malipo’ mema. Vitendo<br />
visivyo vya uadilifu mara nyingi humfanya mtu<br />
kulaumiwa na kuadhibiwa. Tunafundishwa<br />
kutenda mema na kuepuka mabaya. Sheria<br />
zetu zinatoa adhabu kwa anayetenda maovu.<br />
Sisi binadamu, maadili yetu yaliyo mengi<br />
yanafanana. Kwa mfano, dini karibu zote<br />
duniani zinahubiri upendo, amani na udugu/<br />
maelewano, zinahimiza matendo mema na<br />
kupiga vita maovu. Kwa mtazamo wa kidini,<br />
dhambi ni tendo lisilo la uadilifu, ni tendo la<br />
kutokumtii Mwenyezi Mungu na ukitazama<br />
kwa undani, dini zinatutaka kuepuka matendo<br />
ambayo yanawaumiza wenzetu; usiibe,<br />
usidhulumu, usiseme uongo wala usiue.<br />
Imani za namna hiyo pia ziko katika Tamko la<br />
Umoja wa Mataifa Kuhusu Misingi ya Haki za<br />
Binadamu. Linawahusu watu wote duniani na<br />
linasema kila mtu ana haki ya kutoa maoni kwa<br />
uhuru, kuhukumiwa kwa haki na kunufaika na<br />
rasilimali na utajiri wa nchi. Nchi zinazozingatia<br />
utawala wa sheria na demokrasia kama Tanzania,<br />
zinaamini katika misingi hiyo.<br />
Nakumbuka, bibi alikuwa akihitimisha kila hadithi<br />
kwa swali; “umejifunza nini kutokana na hadithi<br />
hii?” na tulijibu “Si vizuri kufanya mambo ambayo<br />
yatawaumiza wenzetu,” au “ni vizuri kuwajali<br />
wenzetu wanapokuwa wanahitaji msaada.” Kwa<br />
utoto wetu, hatukuchukua muda kutafakari jibu –<br />
tulijibu tu kutoka moyoni.
Sasa tumekuwa wakubwa<br />
Hivi karibuni, timu ya Fema ilipotembelea<br />
Singida, ‘tulichati’ na wanafunzi kuhusu maadili<br />
na rushwa. Tuliwaomba waseme ukweli<br />
wao wa moyoni wanapojibu swali lifuatalo:<br />
“Kwa mfano, umekwenda dukani ukanunua<br />
kitu lakini muuzaji akakuzidishia ‘chenji’<br />
utafanyaje?” Wanafunzi walio wengi waliandika<br />
kwamba wangejifanya hawakujua kwamba<br />
wamezidishiwa chenji na kusepa na pesa yote.<br />
Unacheka? Kwani na wewe ungefanya hivyo<br />
hivyo? Je, ni maadili gani yamekiukwa katika<br />
jambo kama hilo?<br />
Kadri tunavyokuwa watu wazima, tabia zetu<br />
zinaota mizizi. Iwapo tutakuwa tukisema<br />
uongo tukiwa wadogo, tutakuwa waongo hata<br />
tunapokuwa watu wazima. Ingawa ‘kusepa’<br />
na chenji ya muuza duka hakuonekani kama<br />
ni tatizo kubwa, inaweza kusababisha utovu<br />
wa maadili wa kiwango kikubwa. Siku si nyingi<br />
utaanza kuona ni jambo la kawaida kuiba,<br />
kupokea rushwa na kutumia vibaya mali za<br />
umma. Vitendo vya utovu wa maadili si tu<br />
kwamba vinakinzana na imani zetu, bali pia<br />
vinachangia kukomaa kwa rushwa katika jamii<br />
zetu.<br />
Hivi sasa, Tanzania imegubikwa na<br />
mmomonyoko wa maadili katika ngazi zote.<br />
Hivi karibuni mtu mmoja aliandika ‘utajua<br />
kwamba uko Tanzania pale utakapoona<br />
mhasibu asiyemwibia mwajiri wake anabezwa<br />
na kuchekwa na wafanyakazi wenzake’.<br />
Unajisikia haya unaposoma hii? Kama ndiyo,<br />
basi vizuri, kwa sababu utajisikia kuchukua<br />
hatua dhidi ya jambo hili!<br />
Himiza uadilifu na upige vita matendo<br />
yasiyozingatia maadili, utajisikia vizuri na<br />
utapata usingizi mzuuuri!<br />
Kufundisha maadili<br />
Je, vijana wanaweza kufundishwa maadili?<br />
Katika miaka ya hivi karibuni, suala hili<br />
limekuwa na mjadala mkubwa. Taasisi<br />
inayojulikana kama Transparency International<br />
inadai kwamba “elimu ya maadili kwa vijana<br />
inaweza ikasaidia kuvunja mnyororo wa<br />
rushwa, kwani vijana wa leo ndiyo viongozi wa<br />
kesho.”<br />
Taasisi hiyo pia inakiri kwamba elimu ya<br />
namna hiyo haiwezi kufanikiwa peke yake, bali<br />
JULY - mambo SEPTEMBER mengi 2012 mengine : FEMA yanahitajika MAGA- ili iweze<br />
kuzaa matunda. “Mazingira ambayo ZINEwatoto<br />
wanakulia yana mchango mkubwa katika<br />
‘kuwashepu’ kimaadili.”<br />
Sote tuna misingi ya maadili lakini ni kwa<br />
namna gani tunatekeleza misingi hii katika maisha<br />
yetu ya kila siku ikiwa rushwa imetapakaa katika<br />
jamii zetu?<br />
Kuna methali ya kale ya Kiswahili inayosema,<br />
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu,<br />
ikionyesha jinsi ambavyo tumekuwa na ubinafsi.<br />
Sisi binadamu wakati mwingine tunakumbana<br />
na hali ngumu. Hali hii inatuathiri kama mtu<br />
mmojammoja na kama jamii. Lakini tuna uwezo<br />
wa kufanya uamuzi sahihi. Kumbuka kanuni<br />
inayosema, ‘watendee wenzako vile ambavyo<br />
ungependa kutendewa’<br />
Kama bibi yangu, nauliza, umejifunza nini<br />
kutokana na stori hii? Na utafanya nini kuhusiana<br />
na jambo hili?<br />
�<br />
kumbuka!<br />
Rushwa ni hatari na<br />
inabomoa. Inakwamisha<br />
maendeleo ya jamii.<br />
Kuzingatia maadili<br />
kutatusaidia kumtokomeza<br />
��������������������<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
13
MORAL CORRUPTION<br />
Once upon a time, my bibi told us stories in the evenings. She told us exciting tales of<br />
people and the challenges they faced. In most of the stories good would win over bad,<br />
the virtuous over the immoral.<br />
Alas, today storytelling by our elders is no<br />
longer common; other sources of stories<br />
have taken over. Films, music and books<br />
surround us. They are now helping to guide us<br />
in learning what is right or <strong>wrong</strong>, what respect<br />
means and what dignity, tolerance, and honor<br />
imply.<br />
Moral, a human instinct<br />
Morals are a set of beliefs based on culture and<br />
society. Morals are also based on an individual’s<br />
interpretation of what’s good or bad.<br />
Morality involves values, virtues, and justice.<br />
Moral actions often lead to praise and rewards.<br />
Immoral actions often lead to blame and<br />
punishment. We are taught to do good deeds<br />
and avoid bad ones. Civil Law actually punishes<br />
<strong>wrong</strong> deeds.<br />
As a human race, we share many of the same<br />
moral values. For example, religions around<br />
the world preach love, peace and harmony,<br />
encourage moral deeds and discourage<br />
immorality. From a religious point of view, a<br />
sin, an immoral act, is an act of disobedience to<br />
God, and if you look deeper, religions ask that<br />
we avoid deeds that hurt others; Do not steal,<br />
lie or kill.<br />
Such values form the base of the United Nation’s<br />
Universal Declaration of Human Rights. It applies<br />
to all humans on this planet, and says everyone<br />
has a right to free speech, fair treatment and<br />
judgment, and access to national resources and<br />
wealth. Countries that promote equality for all its<br />
citizens build on such values.<br />
I remember that bibi ended every story with a<br />
question: “What did you learn from the story?”<br />
and we answered, “It is not good to hurt other<br />
14 FEMA MAGAZINE: CULTURE & ENTERTAINMENT<br />
people,” or “it is good to care for people who<br />
need help.” As children we didn’t have to<br />
ponder our reply - we just answered from our<br />
hearts.<br />
Now that we are older<br />
Recently, when the Fema team visited Singida<br />
we chatted with students about morals and<br />
corruption. We asked them to honestly answer<br />
the question: “If you went to a shop, bought<br />
something, but the shopkeeper gave you back<br />
more change than you deserve, what would<br />
you do?” Most of the students wrote that<br />
they would pretend they didn’t notice, and<br />
then vanish with the ‘extra’ amount. Are you<br />
smirking, because you would have done the<br />
same? What values are at play in that situation?<br />
As we become young adults, our characters<br />
take shape. If we cheat and manipulate when<br />
we are children, we will graduate to being<br />
dishonest adults. While taking advantage of a<br />
shopkeeper doesn’t seem like a big deal, it can<br />
lead to higher moral corruption. Soon we think<br />
it is normal to engage in theft, corruption and<br />
abuse of public property. Immoral actions not<br />
only compromise our personal values, but also<br />
contribute to the corruption of our society.<br />
Tanzania is a country which is currently<br />
plagued with moral corruption at all levels.<br />
Recently someone wrote ‘you know you are<br />
in Tanzania when an accountant who doesn’t<br />
steal from their employer becomes a laughing<br />
stock of the work team’. Do you feel a bit of<br />
shame when you read this? If you do that’s<br />
good, because then you may be more prone to<br />
take action!<br />
Promote morality and ditch immorality, you<br />
will feel better about yourself and sleep better<br />
at night.<br />
Teaching morality<br />
�<br />
remember!<br />
BY AMABILIS BATAMULA<br />
PHOTO FEMA TEAM<br />
Can morality be taught to young people? In<br />
recent years there has been a lot of interest in<br />
this issue. An organization called Transparency<br />
International claims “Ethics education for young<br />
people can help break the cycle of corruption, as<br />
today’s youth will be the leaders of tomorrow.”<br />
They also admit that such education cannot<br />
work effectively in isolation. “The environment<br />
in which children grow up plays a decisive role in<br />
shaping attitudes.”<br />
We all have core values but how do we<br />
implement these values in daily life if moral<br />
corruption is spread far and wide in our society?<br />
An old Kiswahili proverb states, ‘Mkuki kwa<br />
nguruwe kwa binadamu mchungu’�����������������<br />
�����������������������������������������������<br />
��������������������������������������������<br />
These things affect us personally, and as a<br />
society. But we always have the ability to make<br />
the right decision. Remember the Golden Rule,<br />
‘do unto others as you would have them do to<br />
you!’<br />
Like my bibi I ask, what did you learn from this<br />
story? And what are you going to do about it?<br />
��������������������������<br />
destructive, under all circumstances.<br />
��������������������������������<br />
society. Good moral conduct can<br />
����������������������������
MONEY<br />
RULES!<br />
Let’s talk money mmh! Like, hate, want or waste it -<br />
you just cannot ignore it as you will use it whether you<br />
like it or not. When we talk about corruption what form of<br />
bribe do you first think of? Money ee? Yes, there are other<br />
forms, such as sexual bribery, but money rules, even in<br />
corruption. So, what do you know about money?<br />
The national currency we are<br />
using now, we first used in 1966,<br />
replacing the East African shilling,<br />
which was used all over East Africa.<br />
Tanzania shilling is our national<br />
currency. Its short form is TSH or /=.<br />
There are 5 notes and 6 coins, which<br />
vary in size and color.<br />
Most of the earliest goldsmiths,<br />
who had safes for their gold,<br />
started banks. People then paid<br />
to keep their own valuables in the<br />
goldsmith’s safes.<br />
A cheque is only an instruction to<br />
a bank. In the past people have<br />
written cheques on such things as<br />
stone slabs, bananas and cows.<br />
Before 1919, monetary<br />
arrangements were different in<br />
Tanganyika (which was under<br />
the Germany rule) and Zanzibar,<br />
which had its own Government.<br />
Tanganyika used the German<br />
Rupee, while Zanzibar used<br />
Indian Silver Rupee.<br />
Before money, people used direct<br />
exchange of things; for example,<br />
salt for cattle; which is called barter<br />
trade. Barter trade was first recorded<br />
in Egypt over 4,500 years ago.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
15
16<br />
NEWS BULLETIN<br />
Msimbazi Sec<br />
wapigania haki zao!<br />
�������������������������������������������������<br />
Msimbazi jijini Dar es salaam waligoma wakidai<br />
mazingira ya shule yaboreshwe.<br />
Tatizo kubwa ni kwamba shule haijajengewa uzio na<br />
wanasema kuna wakati alitokea mtu mwenye matatizo ya akili<br />
akazama kwenye choo ambacho kinatumiwa na wasichana! Duh hatari.<br />
Pia kulikuwa na kesi ya wanafunzi wa shule za jirani kuwavamia shule<br />
hiyo na kushambulia baadhi ya wanafunzi.<br />
�����������������������������������������<br />
a �������������������������������������������������������������<br />
wanalowa.<br />
a Kutozwa fedha kwa ajili ya mitihani lakini mitihani kutofanyika na<br />
�������������������������������������������������<br />
a Mazingira magumu ya kujifunzia kwani shule haina maabara wala<br />
maktaba.<br />
a ������������������������������������������������������������<br />
������������������������������������<br />
Mgomo huo ulimgusa Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu, aliyejadiliana<br />
�������������������������������������������������������������������<br />
shule hiyo. Mbunge hakuondoka hivihivi bali alitoa ahadi ya kuchangia<br />
shilingi milioni 10 kwenye ujenzi wa uzio!<br />
�������������������������������������<br />
FEMA MAGAZINE: NEWS BULLETIN<br />
Female condoms<br />
as bangles?<br />
Mambo mengi yametokea hivi karibuni yakushangaza kwenye Male<br />
and female condoms are used during sex to prevent the spread of<br />
STIs including HIV and as well as to prevent pregnancy, right?<br />
What if we tell you that female condoms are now used as beauty<br />
accessories?<br />
Both men and women wear the rings inside the condom as<br />
bangles. They are sold in lots of three for a price of Tsh 2,000.<br />
Yes, it is happening in lots of places including Kibaha, Kahama and<br />
some parts of Dar es Salaam.<br />
These condoms, designed to give women control and choice<br />
over their sexual health, are now being misused. This only shows<br />
that we still have a long way to go in the fight against the spread<br />
of HIV/AIDS. Don’t back down, continue the fight!
Ghost clinics getting<br />
our medicines!<br />
����������������������������������������������������������<br />
����������������������������������������������������������<br />
�����������������������������������������������������������������<br />
services!<br />
������������������������������������������������������������������<br />
because it is our money. Drugs, worth 83m/-, were allocated<br />
�������������������������������������������������������������������<br />
Lindi region between 2007 and 2010. This is according to a<br />
��������������������������������<br />
����������������������������������������������������������������<br />
������������������������������������������������������������<br />
����������������������<br />
������������������������������������������������<br />
had already been allocated drugs.<br />
Wow! This means that our hard earned<br />
����������������������������������������<br />
maybe some real clinics are not getting<br />
enough medicines because of the medicine<br />
being allocated to ghost ones!<br />
Rebeca all the way<br />
to Amsterdam!<br />
In April Fema TV Talk show Host, Rebeca Gyumi was<br />
in Amsterdam, the Netherlands, attending Annual<br />
Child & Youth Finance International Summit.<br />
The summit is the first event to ever bring together<br />
children, youth and senior level representatives from<br />
across various sectors on the topic of financial<br />
inclusion and child finance education for children<br />
and youth.<br />
Rebeca was selected among the youth to lead<br />
interviews with children and experts, bankers and<br />
other participants of the forum to get a better<br />
understanding of the challenges of youth and child<br />
access to banking services etc.<br />
The interviews are currently on YouTube where everyone<br />
in the world can watch and get a glimpse of what<br />
went down. Way to go Rebeca!<br />
�������������������������������<br />
toleo la 14!!! Unajua sasa hivi huyu<br />
ni mtu muhimu sana kwenye kuamua<br />
future������������������������<br />
ukurasa wa 59 ujue kawa nani.<br />
JANUARY JULY - SEPTEMBER - MARCH 2007:FEMA 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
17 17
INTAVYUU<br />
AU INTAVUA?<br />
UJINSIA NA MAHUSIANO<br />
K<br />
18<br />
utoa chochote ili upewe ajira ni<br />
rushwa na si lazima ukubali kufanya<br />
hivyo.<br />
Ngono kwa ajira!<br />
Tunasikia stori nyingi za watu ambao<br />
wamepata kazi kwa ‘kutembea’ na boss.<br />
Yalimkuta Julieth, 23, baada ya kuhitimu<br />
chuo kikuu. Julieth, binti mrembo na<br />
mtanashati alipoingia uraiani alianza kusaka<br />
kazi kwa udi na uvumba.<br />
Alitumia muda na fedha kwenda internet na<br />
kununua magazeti ili asipitwe na tangazo la<br />
nafasi ya kazi. Bila kuchoka, Julieth alituma<br />
����������������������������<br />
Kama zali, siku moja aliitwa kwenye interview<br />
na licha ya kwamba kulikuwa na wengine<br />
wengi waliokuwa wakishindania nafasi hiyo,<br />
FEMA MAGAZINE: UJINSIA NA MAHUSIANO<br />
aliamini kwamba angeweza ‘kuwamwaga’<br />
kwa kuwa sifa zote alikuwa nazo.<br />
Baada ya interview, mmoja wa watu<br />
waliokuwa katika jopo la usaili akamweleza<br />
wazi kwamba kazi amepata, isipokuwa<br />
kulikuwa na mambo kadhaa ya kiutawala<br />
ambayo yangeshughulikiwa na boss wake<br />
mtarajiwa. Furaha ya Julieth baada ya taarifa<br />
hiyo ilikuwa haielezeki!<br />
������������������������������������������<br />
ikaita. Lahaula! Ni boss!<br />
Hello mrembo, sikiliza, wewe ni mzuri<br />
mno. Najua wengi wamekwambia hili….<br />
nitakupigia tena baadaye jioni ili tuonane<br />
tuzungumze…ok?<br />
Mmh! maneno haya ya boss mtarajiwa<br />
yalimstua sana Julieth. Alikaa kimya asijue la<br />
NA PENDO MASHULANO PICHA HANNA<br />
Uwe shuleni au chuoni, wakati utafika ambapo utajikuta ‘mtaani’ ukisaka ajira!<br />
Katika soko la ajira, mambo si mteremko hata kidogo! Unaweza kukumbana<br />
na changamoto kibao na hasa kale kamtindo ketu ka kujuana ambako siku hizi<br />
kanaitwa ‘kamlete’! Kubwa kuliko, unaweza kuombwa ‘mzigo’ ili upewe ajira!<br />
����������������������������������������������<br />
kwa mshangao na mstuko hakujua ajibu nini!<br />
Alijiuliza, je, hii ndo ile ‘carpet interview’<br />
ambayo amekuwa akiisikia? Je, atalazimika<br />
‘kutembea’ na boss ili apate ajira? Kwa<br />
ujumla, alikuwa njiapanda!<br />
Hebu ‘vaa viatu’ vya Julieth!<br />
Tukiwa Singida tulipiga kambi katika<br />
Sekondari ya Dk. Salmin kwa muda huku<br />
tukitia stori na wanafunzi kama 70 hivi.<br />
Wanafunzi hao walikuwa ni wanachama wa<br />
Fema Club, Anti Corruption Club na Tax Club.<br />
Tuliwapa vipande vya karatasi na kuwataka<br />
watuambie kutoka kwenye ‘uvungu wa<br />
moyo’ kwamba wangefanya nini kama<br />
wangejikuta katika situation aliyokumbana<br />
nayo Julieth.
Baadhi yao walisema “Ningemkataa; yeye<br />
si mwajiri pekee.” Wengine walisema,<br />
“Ningekubaliana na ombi lake na kujifanya<br />
�������������������������������������<br />
namnasisha katika mtego wa TAKUKURU.”<br />
Kinachoshangaza zaidi ni kwamba zaidi<br />
ya nusu ya wanafunzi hao walikuwa tayari<br />
‘kutoa mzigo’ kwa boss ili wapate ajira!<br />
“Nitatembea naye nipate hiyo ajira kwa<br />
sababu maisha ni magumu sana siku hizi.”<br />
Mwanafunzi mmojawapo aliandika “kwangu<br />
mimi, itategemea, kama boss ‘analipa’ kwa<br />
sura na ana mshiko nitatembea naye tu<br />
nipate kazi…”<br />
Fikiria haya<br />
Inasikitisha lakini ndiyo hali halisi! Hiki<br />
ndicho kinachotokea katika ulimwengu wa<br />
ajira nchini kwa baadhi ya watu.<br />
Wengi wanakubaliana na aina hii ya rushwa<br />
ya ngono kana kwamba ni jambo la ‘kawaida’<br />
au ni jambo ambalo lazima ukubaliane nalo<br />
ili upate ajira. Mtazamo huu ni hatari sana!<br />
Kumbuka, uamuzi wowote utakaoufanya<br />
una athari zake. Boss anayetaka ‘utembee’<br />
naye ili upate ajira ataendelea kukufanyia<br />
unyanyasaji huo hata baada ya kuajiriwa;<br />
Ndiyo! Ana mamlaka na anaweza<br />
kukuharibia wakati wowote!<br />
Mbaya zaidi, ukishaingia katika jambo<br />
ambalo linakinzana na maadili yako, inaweza<br />
kukuathiri kisaikolojia. Unaweza kujisikia<br />
‘mchafu’ na mkosaji na utapoteza hali ya<br />
kujiamini na heshima yako itashuka.<br />
Usijidanganye kwamba boss wa namna<br />
hiyo atakuheshimu au kwamba wafanyakazi<br />
wenzako watakuheshimu wakati<br />
���������������������������������������<br />
ulipandishwa cheo kwa ‘kutembea’ na boss.<br />
Kumbuka pia kwamba unaweza kutembea<br />
na ‘boss’ na ajira usipewe!<br />
Ikiwa tunataka kuijenga Tanzania kuwa jamii<br />
ambayo wananchi wana fursa sawa za ajira<br />
kutokana na sifa zao, tunapaswa kupambana<br />
na rushwa katika ngazi zote.<br />
Ikiwa tutaendelea na mwenendo huu,<br />
�������������������������������������������<br />
wakati wenye sifa na uwezo wa kiutendaji<br />
wanapigwa chini kwa kuwa wamekataa<br />
‘kutoka’ na boss!!!!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
19
UJINSIA NA MAHUSIANO<br />
Fanya hivi...<br />
Unafahamu Julieth alifanya nini?<br />
��������������������������������<br />
�����������������������������������<br />
�������������������<br />
“Ninachotafuta ni kazi. Kama hilo<br />
���������������������������������������<br />
na kazi yako!!”<br />
Kwa aibu, boss aliomba radhi na<br />
bahati nzuri hakuwa mwamuzi wa<br />
mwisho katika ajira ya Julieth, hivyo<br />
�������������������������������<br />
Hivi ndivyo unavyoweza kuihandle<br />
hali hiyo:<br />
Kataa kukutana na boss baada<br />
ya muda wa kazi ikiwa unadhani<br />
��������������������<br />
a Ikiwa boss atakutongoza;<br />
������������<br />
a Ikiwa ataanza kukushikashika,<br />
ondoka katika eneo lile!<br />
a Toa taarifa kwa boss wake<br />
(msimamizi wake).<br />
a Omba ushauri kwa mtu<br />
unayemwamini.<br />
a ���������������������<br />
(tazama uk 34-36).<br />
20<br />
FEMA MAGAZINE: UJINSIA NA MAHUSIANO<br />
�<br />
kumbuka!<br />
Unaweza kujikuta mikononi mwa boss wa kiume au wa kike ambaye<br />
������������������������������������������������������������<br />
nawe. Hii ni rushwa. Kataa. Haitokuwa na matokeo mazuri kwako.<br />
Una uwezo wa kusema NO!
CARPET INTERVIEW! BEWARE!<br />
T����������������������������������������<br />
navigate. You may face challenges such<br />
as nepotism aka ‘kamlete’. Or you may<br />
be asked for ‘favors’ in return for a job.<br />
Offering ‘favors’ is corruption, and you don’t<br />
have to accept it!<br />
Sex for a job!<br />
There are many stories of those who go<br />
through the ‘bedroom’ of the boss to get a job.<br />
It happened to Julieth, 23, a smart young<br />
graduate. Julieth spent time and money on the<br />
internet and newspapers job hunting. She sent<br />
�����������������������<br />
One day Julieth was invited for an interview.<br />
Though there were many applicants<br />
���������������������������������������������<br />
��������������������<br />
At the interview, panelists told Julieth that she<br />
was hired, but there were a few administrative<br />
issues to be taken care of by her boss-to-be.<br />
On her way home her phone rang. It was the<br />
boss!<br />
Hello beautiful lady, listen, you are very sweet. I<br />
know many have said this to you .… I will call you<br />
again this evening so we can meet and talk …ok?<br />
Julieth was in shock. She remained silent not<br />
knowing what to say. She understood what<br />
this meant but she felt dizzy with disgust!<br />
����������������������������������������������<br />
had heard about: would she have to sleep with<br />
the boss to get the job? Julieth was torn up<br />
about what to do.<br />
Imagine this<br />
happening to you!<br />
While in Singida, the Fema team visited Dr.<br />
Salmin Secondary School and spoke with<br />
nearly 70 students from the Fema Club, Anti<br />
Corruption Club and TRA Club. We asked them<br />
to honestly tell us what they would do if they<br />
found themselves in a situation like Julieth’s.<br />
Many students said “I would reject him; he is not<br />
the only employer.”<br />
Others said they would take action, “I would accept<br />
the request, pretend I am badly in love with<br />
him and then put him into the hands of PCCB.”<br />
Most surprising was more than half the students<br />
were ready to have sex in exchange for<br />
a job offer! “I would sleep with the boss for a job<br />
because life has become so tough these days.”<br />
One student elaborated “for me, if the guy is<br />
good-looking and has cash I would sleep with<br />
him for a job offer…”<br />
Think it through<br />
This is a grim picture of what happens in<br />
the world of employment in Tanzania. Many<br />
accept this form of sexual corruption as<br />
‘normal’, or something you have to do to get a<br />
job. This mentality is dangerous!<br />
Remember there are consequences to every<br />
decision. A superior who asks you to sleep with<br />
him during the job interview will keep sexually<br />
exploiting you; they have power and can<br />
decide to destroy you at any moment.<br />
Furthermore, if you enter into a morally<br />
compromising situation you risk emotional<br />
backlash. You may feel dirty and ‘used’, and<br />
�����������������������������������������������<br />
Don’t think such a boss will respect you, or<br />
that your coworkers and peers will respect<br />
you knowing you got the job or promotion<br />
because you had sex.<br />
Also keep in mind that it is not guaranteed<br />
that you will get a job offer even after a ‘carpet’<br />
interview.<br />
If we want to develop Tanzania into a society<br />
where our citizens have a fair and equal<br />
opportunity to contribute with their true skills,<br />
������������������������������������������<br />
�������������������������������������������������<br />
������������������������������������������������<br />
youth will be kept out, just because they<br />
have integrity and refuse to have sex with the<br />
boss!!!!<br />
Here is what you should do<br />
Do you know what Julieth did? The next time<br />
the boss called she was straight. “I was looking<br />
for a job. If that is the condition for me to get<br />
the job, then you can keep it!!”<br />
Ashamed, he apologized and fortunately the<br />
job offer was not in his control, so Julieth was<br />
employed!<br />
Here is what you can do if you are faced with a<br />
similar situation:<br />
a Deny after work meetings with your boss if<br />
you think he has more than just a work interest<br />
in you.<br />
a If the boss makes obvious sexual advances<br />
to you; say NO!<br />
a If the boss starts touching you inappropiately,<br />
leave the area!<br />
a Report the boss to his boss (supervisor).<br />
a Talk to someone you trust for advice.<br />
a Report the matter PCCB (see pg 34-36).<br />
�<br />
BY PENDO MASHULANO<br />
PHOTOS HANNA<br />
Whether in school or college, the time will come when you are on the ‘street’, hunting for a job.<br />
remember!<br />
������������������������������������<br />
of a boss who is using his/her<br />
������������������������������������<br />
������������������������������������<br />
long run it will do you no good. The<br />
�����������������������<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
21
� TUANDIKIE!<br />
Iwapo una tatizo lolote kuhusu mabadiliko<br />
ya mwili wako, afya yako, matatizo ya<br />
kifamilia, shule na hata marafiki tafadhali<br />
tuma kwa Mpendwa Anti:<br />
FEMA<br />
P.O. Box 2065, Dar es Salaam<br />
E-mail: info@feminahip.or.tz<br />
M<br />
pendwa Aunt: Je wavulana mashoga wana<br />
element za kike na kuna uwezekano mkubwa kuwa<br />
wangezaliwa wasichana na pia katika kipindi cha<br />
nyuma (utotoni) walikuwa wanatamani kuwa<br />
wasichana? Na wasichana wanaosagana nao<br />
pia wana sifa za kimaumbile zinazofanana na<br />
wavulana? mf ndevu, sauti nzito nk<br />
Imma, Moshi<br />
Mpendwa Imma,<br />
Ushoga ni hali ya kuvutiwa kimapenzi na<br />
mtu wa jinsi kama yako, yaani mwanamume<br />
kuvutiwa au kuwa na hisia za kimapenzi na<br />
mwanamume mwenziwe. Hakuna sababu za<br />
kitabibu zinazoonyesha kwamba mtu kuwa<br />
shoga basi ana hitilafu ya kimwili, kwani kama<br />
kuna hormone za kike zaidi kwa mwanamume,<br />
basi hujitokeza kwenye sauti, umbo na ngozi<br />
yake na si kwenye hisia zake, hivyo hivyo kwa<br />
wasichana wanaovutiwa na wasichana wenzao.<br />
Tabia za mahusiano ya kimapenzi ziko zaidi<br />
kwenye hisia zetu, na zinaweza kuchangiwa<br />
zaidi na mazingira ya jamii tunazoishi kuliko<br />
maumbile ya kibaiolojia.<br />
22 FEMA MAGAZINE: DEAR ANTI<br />
mpendwa<br />
D<br />
ANTI<br />
ear Aunt, I am a student from Mwenge High<br />
School, I would like to know how many kinds of<br />
HIV/AIDs are there? And what does the term HIV<br />
carrier mean?<br />
KSE Singida<br />
Dear KSE. There are two major types of HIV,<br />
HIV1 more common, more virulent all over<br />
the world and HIV2, mostly found in West<br />
Africa. HIV 1 has more sub types, hence<br />
making it more difficult to get a vaccine<br />
for HIV. These subtypes cause AIDs at a<br />
different rate, some people move from HIV<br />
to AIDS very fast and others get there more<br />
slowly, this is due to the type of HIV they<br />
have, economic situation, lifestyle, their<br />
general make up and how susceptible they<br />
are to infections. Everybody who has been<br />
infected with HIV virus can infect others,<br />
and if not treated with ARVs, they will<br />
eventually get AIDS. So there are no carriers<br />
in HIV transmission!<br />
M<br />
pendwa Aunt, je, kuna ukweli kuwa mtu<br />
������������������������������<br />
SR, Kagera<br />
Mtu anapopewa majibu yake kuwa ana<br />
maambukizi ya VVU, hasira inaweza kuwa<br />
kati ya matokeo, hasira zinaweza kuendelea<br />
kwa muda hadi atakapokubali hali hiyo.<br />
Lakini endapo mwenye maambukizi<br />
atakumbana na mazingira ya unyanyapaa,<br />
pia anaweza kuwa na hasira.<br />
Kumbuka kuwa wepesi wa kukasirika au<br />
kutokasirika ni hulka ya mtu na yeyote<br />
mwenye hulka ya hasira anakasirika haraka<br />
anapokuwa na msongo wa aina yoyote, si<br />
VVU peke yake na pia mtu anaweza kuwa na<br />
VVU lakini akawa si mwepesi wa kukasirika.<br />
K<br />
wa nini mtu mwenye umri mkubwa, mzee<br />
huonekana ana macho mekundu, upungufu<br />
wa akili na uwezo mdogo wa kuamua?<br />
SRM Kagera<br />
Mtu anapozeeka mfumo mzima wa mwili<br />
wake hupunguza uwezo wa kufanya kazi,<br />
mfano anakuwa na ngozi yenye makunyanzi,<br />
kusahau, anachelewa kujifunza vitu vipya,<br />
mfumo wake wa kinga hupunguza uwezo wa<br />
kufanya kazi hivyo huwa wanashambuliwa<br />
na magonjwa mbalimbali, kupungua kwa<br />
mzunguko wa damu, njia ya hewa inapata<br />
athari, wanaathiriwa zaidi na mazingira<br />
kuliko vijana, na uwezo wa mwili kupambana<br />
na mazigira unapungua zaidi. Hivyo uwezo<br />
wa kuamua inabidi mtu awe na kumbukumbu<br />
sahihi na uelewa wa jambo husika, itachukua<br />
muda kidogo kwa mzee sana kuelewa jambo<br />
na kulifanyia uamuzi.<br />
Macho mekundu ni dalili kuwa kuna kitu<br />
hakiko sawa kwenye macho, inaweza<br />
kusababishwa na maambukizi, kukaa juani<br />
sana, kukaa eneo lenye vumbi na moshi,<br />
chavua au kemikali kwa muda mrefu kwa<br />
hiyo wazee wengi hasa kina mama wa vijijini<br />
wana macho mekundu kwa sababu ya kuwa<br />
kwenye mazingira ya namna hiyo.
M<br />
pendwa aunt, je msichana akizaliwa<br />
na pendwa Aunt , je, msichana akizaliwa na<br />
nywele zenye mvi ni ishara kuwa anakuwa na<br />
madini mengi zaidi mwilini na atakuwa na<br />
akili sana?<br />
AK Maposeni<br />
Kuwa na mvi kichwani maana yake ni<br />
kwamba nywele zimekosa rangi inayotakiwa<br />
kuweko kwenye nywele (melanin). Si kweli<br />
kwamba ana madini mengi na atakuwa na<br />
akili. Rangi ya nywele haihusiani kabisa<br />
na akili za mtu. Kuwa na akili ni pamoja na<br />
juhudi binafsi za kujifunza vitu na kuvitumia<br />
kupambana na mazingira uliyomo, tangu<br />
shule hadi mtaani pamoja na urithi (kwa<br />
kiwango kidogo)! Huwezi kufaulu mitihani tu<br />
kwa sababu una mvi!<br />
M<br />
pendwa Aunt swali langu ni kuwa ugonjwa<br />
wa homa ya ini unasababishwa na nini na dalili<br />
zake ni zipi? Na je, njia za kujikinga ni zipi?<br />
Magoti, Peramiho<br />
Ugonjwa wa homa ya ini husababishwa na<br />
wadudu mbalimbali lakini hasa virusi vya<br />
kundi la hepatitis . Maambukizi hutokea<br />
kwa njia ya damu (hepatitis C) njia ya<br />
ngono (hepatitis B) au kupitia maji na<br />
vyakula vyenye maambukizi (hepatitis<br />
C). Dalili mara nyingi hazionekani lakini<br />
zinaweza kuhusisha uchovu, kukosa hamu<br />
ya kula, kichefuchefu, ini likiwa limeendelea<br />
kuharibika basi macho na ngozi huwa na<br />
rangi ya njano, maumivu chini ya mbavu<br />
upande wa kulia na kuumwa kichwa.<br />
Magonjwa haya yanaweza kuzuiliwa kwa<br />
chanjo, usafi na kujikinga wakati wa kufanya<br />
ngono. Pia kunaweza kuwa na tiba mgonjwa<br />
akiwahi, lakini kama akichelewa sana na ini<br />
kuharibika kabisa, basi tiba ni kuliondoa na<br />
kuweka jingine.<br />
ANTI COS ANAJIBU MASWALI YENU<br />
HAYA NIMEKUWA NIKIKUMBANA NAYO<br />
Katika pitapita zangu, kwenye Mkoa wa<br />
Mtwara nilikutana na maswali haya ambayo<br />
karibu kila shule katika shule zaidi ya 15<br />
yaliulizwa, nimeona nitoe majibu yake hapa<br />
safuni kwangu na wengine pia wajue:<br />
1.<br />
���� ����������� ������� ������ ��������<br />
ngono angalau mara tatu kwa siku, atapata<br />
tatizo gani?<br />
Hakuna matatizo yoyote kwa kutofanya<br />
ngono mara baada ya balehe, kwani kubalehe<br />
haina maana ya kwamba mtu anatakiwa<br />
kufanya ngono, bali ni kuuweka tayari mwili<br />
kwa ajili ya majukumu ya utu uzima kama<br />
kupata watoto.<br />
2.<br />
Kuna matatizo yoyote ya kujamiiana<br />
wakati wa hedhi?<br />
Kwa kawaida kama hakuna maambukizi<br />
yoyote hakuna madhara endapo watu<br />
watajamiiana wakati wa hedhi, hasa kama<br />
msichana hana maumivu na amekubaliana<br />
na hilo suala. Lakini kumbuka kuwa kutokana<br />
na uwepo wa damu, hali ya ukeni itakuwa<br />
na ubichi unaonatanata na pia matumizi ya<br />
pedi na malembe yanaweza kusababisha<br />
kuwashwa na michubuko, kwa hiyo kama<br />
mmoja wa wapenzi ana magonjwa ya ngono<br />
ikiwemo VVU basi kasi ya maambukizi<br />
inaongezeka zaidi. Pia suala la usafi<br />
ni muhimu kuzingatiwa kwani inaweza<br />
kuchafua mashuka na wahusika kuhitaji<br />
kuoga. Tukumbuke pia ni siku chache tu za<br />
hedhi kwa hiyo sidhani kama kusubiri kidogo<br />
kama mmojawapo hayuko tayari kwa hilo<br />
kutawaathiri wahusika kwa chochote.<br />
3.<br />
Kwa nini wasichana wengine wanapata<br />
maumivu makali wakati wa hedhi? Na je<br />
,maumivu haya huisha mara tu msichana<br />
akipata mtoto?<br />
Kuumwa tumbo chini ya kitovu kwa wasichana,<br />
kabla au wakati wa hedhi husababishwa na<br />
mambo mengi. Wakati mwingine ni kutokana<br />
na mabadiliko ya vichocheo au homoni mwilini<br />
ambazo husababisha kukaza na kuachia kwa<br />
misuli hasa wakati wa hedhi na ukuta wa<br />
mji wa mimba huachia damu itoke. Lakini<br />
pia maumivu haya huweza kusababishwa na<br />
vivimbe (fibroids) au hitilafu kwenye mji wa<br />
mimba (endometriosis). Wengine huamini kuwa<br />
mtu akizaa basi maumivu yatakwisha, si kweli,<br />
kwani wengi maumivu huendelea hata baada ya<br />
kuzaa.<br />
Ni muhimu kama una maumivu kumuona<br />
daktari hasa kama yataambatana na siku nyingi<br />
za hedhi au kutokwa na damu nyingi na yenye<br />
mabonge mabonge.<br />
Pia fanya mazoezi madogo madogo kama<br />
kutembea, oga maji ya moto kusaidia misuli<br />
isikaze sana, kula matunda kwa wingi na<br />
mbogamboga, weka chupa maalumu za maji ya<br />
moto juu ya eneo linalouma, ikibidi tumia dawa<br />
za kupunguza maumivu kulingana na ushauri<br />
wa daktari, kwani nazo zikitumiwa vibaya zina<br />
madhara.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
23
mpendwa ANKO<br />
Katika kurasa hizo tumezungumza mengi<br />
kuhusu issue ya kugonga mwamba, kwa<br />
wale ambao hamjanipata basi namaanisha<br />
kupata maambukizi yanayotokana na<br />
ngono. Lakini hapa anko wenu nataka<br />
tutete kidogo, labda tuanze kwa kuulizana;<br />
Je, unapogundua kwamba umepata<br />
ugonjwa wa ngono unamweleza mpenzi<br />
wako au unaipotezea?<br />
Kuna faida lukuki ambazo utazipata ikiwa<br />
utamshirikisha mpenzi wako kwamba<br />
una maambukizi ya ugonjwa wa ngono.<br />
Nakutajia nne tu:<br />
a Itawawezesha wote wawili kupata tiba<br />
na kuepuka kuendelea kuambukizana na<br />
kusababisha madhara mengine kwenye<br />
afya yenu ya uzazi.<br />
a Itawasaidia kujadili na kujua<br />
mlipoteleza ili muepuke tatizo hilo wakati<br />
mwingine.<br />
24<br />
FEMA MAGAZINE: DEAR ANKO<br />
Cuthbert, achunguza mambo<br />
Usipotezee,<br />
mshirikishe ‘mtu’ wako!<br />
Sina shaka kwamba utakuwa umesoma makala ya ‘Nguvu za<br />
Mwanamume’, au siyo jembe? Nitashangaa tu kama utakuwa hujaisoma<br />
maana hapo ndipo wanaume tunalonga mambo yetu ingawa naamini<br />
na dada zetu nanyi mnaenjoy kufuatilia makala za ukurasa huo.<br />
a Itaboresha uhusiano wenu kwa kuwa<br />
atakuwa na hakika kwamba unampenda na<br />
unamjali.<br />
a Mtakuwa mmetumia haki yenu ya afya<br />
ya uzazi yaani haki ya kupata taarifa sahihi<br />
na tiba.<br />
Unaanzaje?<br />
Sina shaka hii ni changamoto kubwa<br />
kwani akikutolea nje inakula kwako,<br />
hivyo machale yanakucheza ulianzisheje<br />
sekeseke lenyewe!<br />
Kwa vile dalili kwa wanawake huchelewa<br />
kujitokeza inakuwa ngumu kwake<br />
kukuelewa. Lakini kwa kuwa ni muhimu<br />
ifanyike, unaweza kutumia mbinu hizi:<br />
a Hakikisha unamweleza wakati<br />
ambapo mko fresh, yaani mnaelewana, si<br />
�<br />
kumbuka!<br />
�����������������������������������<br />
kulazimishwa kumleta au kumtaja<br />
aliyekuambukiza, ingawa ni vizuri<br />
mkitibiwa kwa wakati sawa ili wote<br />
��������������������������������<br />
Wote mhakikishe mnatunziana siri na si<br />
������������������������������������<br />
siku nyingine mtashindwa kuwa wazi<br />
baina yenu.<br />
wakati hakuna maelewano. Hii itamsaidia<br />
kuupokea ujumbe vizuri na kuchukulia<br />
kama mazungumzo ya kawaida, na<br />
mtapanga mipango ya kwenda kupata<br />
tiba.<br />
a Usipoteze muda kufanya uamuzi<br />
wa kumweleza kwani kadri muda<br />
unavyopotea, maambukizi ndo yanazidi<br />
kupamba moto.<br />
a Uwe tayari kumwelimisha, mara nyingi<br />
mwanamume huwa wa kwanza kuona<br />
dalili na hii haimaanishi kwamba yeye<br />
ndiye aliyekuwa wa kwanza kuambukizwa.<br />
Hata hivyo, mweleze kwamba haisaidii<br />
kutafuta ‘mchawi,’ bali kutibu tatizo na<br />
kuhakikisha mnakuwa waaminifu kwa<br />
usalama wenu.<br />
a Ikiwa utaona huna ubavu wa<br />
kumweleza, muombe akusindikize<br />
hospitali halafu mtoa huduma atawashauri<br />
muweze kupima pamoja na kutibiwa<br />
pamoja.<br />
a Kwa kuwa binadamu tunatofautiana,<br />
inaweza kutokea mpenzi wako akawa<br />
wa kwanza kuona dalili au kugundua<br />
kwamba ana ugonjwa wa ngono, hivyo<br />
atakapokufuata na kukueleza jambo hilo<br />
uwe tayari kutoa ushirikiano na si kung’aka.<br />
a Hakikisha mnajenga desturi ya<br />
kuzungumzia suala hili katika uhusiano<br />
wenu. Zungumzeni kuhusu umuhimu wa<br />
kuwa waaminifu, kujilinda na kulindana.
NGUVU ZA MWANAUME<br />
Ukichelewa imekula kwako! NA FEMINA <strong>HIP</strong> NA RFSU<br />
Ikiwa Mwananzige, Malunde, Itambu na Ntandu wataamua kwa moyo mmoja kupambana na magonjwa ya ngono,<br />
yatatokomea na kubaki historia! Ndiyo! Najua unashangaa kwa majina hayo, lakini hapa namaanisha wanaume, tena<br />
wanaume wote pamoja na wewe!<br />
Why? Kwa sababu, dalili za magonjwa hayo<br />
zinajitokeza mapema zaidi kwa wanaume<br />
kuliko wanawake. Yes! mwanamume<br />
anaweza kuambukizwa leo na ‘ngoma<br />
ikajibu’ baada ya siku kadhaa! Kwa maana<br />
hiyo, mwanamume akigutukia, ‘akamstua’<br />
mpenzi wake na wakawahi kupata tiba,<br />
tutaweza kuepuka athari za magonjwa hayo<br />
na hata kuyatokomeza kabisa!<br />
Ni hivi<br />
Magonjwa ya ngono, kama lilivyo jina lake,<br />
ni yale yanayoambukizwa kwa kujamiiana.<br />
Unaweza kuambukizwa kupitia uume au<br />
uke na hata katika njia ya haja kubwa ikiwa<br />
utajamiiana kwa njia hiyo. Wataalamu wa<br />
afya pia wanatuambia kwamba unaweza<br />
kuambukizwa magonjwa ya ngono kwenye<br />
koo ikiwa utajamiiana kwa njia ya mdomo<br />
(oral sex).<br />
Ukiona dalili hizi, wahi hospitali:<br />
D Maumivu ya kuchomachoma wakati wa<br />
kukojoa na baada tu ya kumaliza kukojoa.<br />
Pia unaweza kubanwa sana na mkojo kisha<br />
ukajikuta unakojoa mkojo kiduchu sana.<br />
D Kukojoa mkojo mchafu, yaani wenye<br />
njano iliyokolea sana na wenye harufu kali.<br />
D Majimaji yasiyo ya kawaida kutoka<br />
kwenye uume na wakati mwingine unaweza<br />
kuona usaha ukitoka. (Vitu vya kawaida<br />
kutoka kwenye uume ni shahawa na mkojo,<br />
hivyo ukiona kingine chochote tofauti<br />
kamwone daktari).<br />
D Kuwa na vidonda, uvimbe,<br />
malengelenge au vipele sehemu za siri na<br />
hata mdomoni na kwapani. Hivi vinaweza<br />
kuwa na maumivu au visiwe na maumivu,<br />
ukiwa navyo si dalili nzuri.<br />
D Kuwa na muwasho usio wa kawaida<br />
sehemu za siri.<br />
Muhimu:<br />
Dalili hizi huweza kutoweka ndani ya<br />
muda mfupi au kubadilika wakati wowote.<br />
Matibabu ya haraka yanahitajika pindi tu<br />
itakapothibitika kwamba una ugonjwa wa<br />
ngono na ni vizuri kupata tiba na ushauri<br />
kutoka kwa mtaalamu wa afya badala ya<br />
kwenda duka la dawa na kununua dawa bila<br />
ya maelekezo ya daktari kwani huwezi kujua<br />
unatibu ugonjwa gani.<br />
Ikiwa utachelewa kutibiwa:<br />
D Unaweza kupata ugumba kwani<br />
���������������������������������������<br />
mwanamume au mwanamke huweza<br />
kuziba kutokana na makovu, uvimbe au<br />
kutunga usaha.<br />
D Kuziba kwa njia ya mkojo kutokana<br />
na makovu, uvimbe pamoja na kutunga<br />
usaha. Hali hii husababisha mwanamume<br />
kujikamua sana anapokwenda kukojoa na<br />
mkojo hutoka matonematone.<br />
D Magonjwa ya ngono husababisha upofu<br />
kwa sababu pia hushambulia macho,<br />
ambayo hutunga usaha na kusababisha<br />
kuharibika katika sehemu zake za ndani.<br />
D Ulemavu wa viungo mbalimbali pia<br />
huweza kusababishwa na magonjwa ya<br />
ngono kutokana na kuathirika kwa mfumo<br />
wa fahamu.<br />
D Kuwa katika hatari kubwa zaidi ya<br />
kuambukizwa VVU kutokana na michubuko<br />
na vidonda uumeni.<br />
Zingatia:<br />
D Tambua kuwa unayo haki ya kupata<br />
taarifa sahihi juu ya afya ya uzazi pamoja<br />
na maradhi yatokanayo na kujamiana.<br />
D Mwarifu mpenzi wako ili naye atibiwe<br />
mapema. Kumficha ni kunyima haki yake<br />
ya afya ya uzazi<br />
D Tafuta taarifa juu ya ngono salama na<br />
ujue unayo haki ya kupata huduma za<br />
kinga<br />
D Tambua kuwa unayo haki ya<br />
kufichiwa siri, hivyo uwe muwazi kwa<br />
watoa huduma<br />
D Hakikisha unaepuka ngono zembe<br />
siku zote.<br />
�<br />
kumbuka!<br />
Hata kama wewe ni mwafunzi, unayo<br />
haki ya kutozungumza na mtu yeyote<br />
asiye daktari kuhusu hali yako.<br />
Tukumbuke kuwa ni haki yako kupata<br />
taarifa na kutunziwa siri. Hizi ni miongoni<br />
mwa haki za msingi za afya ya uzazi.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
25
26<br />
FEMA MAGAZINE: PHOTO STORY
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
27
28<br />
FEMA MAGAZINE: UJINSIA NA MAHUSIANO
DUH! CHOKAJEEE?<br />
Eee bwana shughuli ya kutengeneza hadithi<br />
ya picha huwa si ya kitoto! Ni mwendo wa<br />
siku mbili na full bandika bandua! Timu<br />
unayoiona pichani ndo ‘wapishi’ haswa<br />
wa mchezo huu! ‘Injinia’ mkuu alikuwa ni<br />
mwalimu wao…… lakini kila umuonaye<br />
hapo alishiriki vilivyo mfano wa nyuki<br />
mzingani!<br />
Ni nani hao?<br />
Ni vijana wa kikundi cha Youth Movement<br />
for Change (YMC) wa Mjini Singida.<br />
Tulitafuta kijiwe, tukakaa nao, tukapiga stori,<br />
tukaichambua mada, tukapata visa vya<br />
kweli na kwa pamoja tukatafuta namna ya<br />
‘kuvitwist’ japo kidogo ili visifanane na kisa<br />
halisi!<br />
Yanatokea!<br />
Vijana walifunguka! Walituambia rushwa<br />
ya ngono baina ya walimu na wanafunzi<br />
inatokea sana. Tena walitutonya kwamba<br />
rushwa hiyo inazidi kushamiri kwani kadri<br />
siku zinavyokwenda walimu wanazidi kuwa<br />
‘mayanki’ mno!<br />
Wanasema, hakuna tofauti kubwa ya umri<br />
kati ya walimu na wanafunzi, hivyo kila<br />
mmoja anamwona mwenzake kwamba ni<br />
saizi yake!<br />
“Tena walimu wa mazoezi hawa ndiyo<br />
wabaya sana. Sisi tulikuwa tunawaita ‘voda<br />
fasta’ walipotugutukia tukawabadilishia jina<br />
na kuwaita ‘macontainer’ maana wanakuja,<br />
wanashusha ‘mzigo’ yaani mimba na<br />
�����������������������������������������<br />
alisema mmoja wa vijana hawa na<br />
kuwaacha wenzake wakivunjika mbavu!<br />
Walisema, wanafunzi, in return,<br />
wanahongwa maksi, viepe, chai na<br />
vitafunwa kwenye kantini za shule,<br />
wanapewa ‘nondo’ wakati wa mitihani,<br />
zikitolewa adhabu wanapewa upendeleo<br />
maalumu.<br />
Wapo wanaopata ‘dau’ kubwa kiasi cha<br />
kununuliwa japo ‘kisimu’ cha ‘mchina’ kama<br />
Badra wa kwenye hadithi ya picha!<br />
Siku ya siku ikawadia!<br />
Hauchi hauchi kukacha, Jumapili ikawadia<br />
tukatinga Mtipa Sec asubuhi na mapema.<br />
Hapo ndipo matukio ya hadithi hii ya picha<br />
yalikopigwa picha.<br />
Kazi ikaanza! “Cheka, foka, kasirika,<br />
shangilia duh! Mpaka mapozi yanaexpire!”<br />
Tulichokajeee? Ila cha muhimu ilikuwa ni<br />
������������������������������������<br />
�������<br />
Kali kuliko!<br />
Eee bwana tulikuwa tumeazima uniform<br />
za wanafunzi wa Mtipa kwa kuwa kundi<br />
tulilokuwa nalo ni la vijana wa uraiani!<br />
Wenye uniform zao si wakazisubiri<br />
wakidhani ni shughuli ya dakika chache!<br />
Mwanangu ngoma ilikwenda mpaka jua<br />
likatumbukia na kadri muda ulivyosogea<br />
ndivyo wenye uniform zao walivyoendelea<br />
kukosa uvumilivu maana sasa ilikuwa<br />
wanachelewa nyumbani!<br />
Hatimaye tulimaliza!<br />
Zege lisilale:<br />
Unalifahamu zege? Si unajua<br />
kwamba likishakorogwa halilali?<br />
Ndiyo! Vivyo hivyo mjadala huu<br />
usilale! Tuendelee kujadili kila<br />
tunapokutana katika klab kona<br />
zetu au vijiweni: Maswali haya<br />
yatatusaidia kufunguka zaidi:<br />
D Je, Badra angefanyaje ili<br />
kujinasua katika mtego wa ticha?<br />
D Je, nani anastahili lawama kati ya<br />
Badra na Ticha? Kwanini?<br />
D Je, Badra angeamua kukataa na<br />
akatoa taarifa ili hatua zichukuliwe<br />
dhidi ya mwalimu, angetoa taarifa<br />
hiyo wapi na kwa vipi?<br />
D Je, nini kingetokea kama Badra<br />
angekataa ombi la ticha?<br />
D Je, ungekuwa rafiki wa Badra<br />
ungefanya nini?<br />
D Je, ungekuwa mwalimu<br />
mwenzake na mwalimu huyu,<br />
ungefanya nini?<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
NA PENDO MASHULANO<br />
29
DLEBO<br />
IMEKUWA<br />
ISHU?<br />
Msomaji, natumaini makala yangu<br />
katika toleo lililopita imejibu<br />
maswali yako kuhusu dozi ya ARV.<br />
S<br />
afari hii nimekuja na mada nyingine<br />
lakini bado nimo ‘mule mule’ katika<br />
mambo yetu ya VVU na Ukimwi.<br />
Twende pamoja!<br />
Nimekuwa wazi kwamba naishi na VVU<br />
kiasi kwamba hata watoto mtaani kwangu<br />
wanalifahamu hilo. Siku moja nikiwa katika<br />
pitapita zangu mtaani, mwanafunzi wa shule<br />
ya msingi alinikimbilia na kuniuliza “anti,<br />
shuleni kwetu kuna watoto wamewekewa lebo<br />
nyekundu, hivi wale wana Ukimwi?”!<br />
Ilibidi nitumie muda nizungumze naye<br />
maana alikuwa na maswali mengine kadri<br />
nilivyomweleza. Kabla hilo halijafutika<br />
kichwani mwangu, nikasikia ‘sakata’ jingine<br />
huko Kongowe, ambako ilisemekana shule<br />
inawawekea lebo nyekundu wanafunzi<br />
waishio na VVU!<br />
Hapo ndipo akili iliponicheza, nikaona suala<br />
la kuwawekea lebo wanafunzi linaweza kuwa<br />
ishu, licha ya kwamba limekuwapo katika<br />
shule kadhaa nchini na tumekuwa tukidhani<br />
linaeleweka kwa watu wote.<br />
Nilifunga safari mpaka katika shule hiyo<br />
iitwayo Mwambisi, hatua chache kutoka<br />
Kibaha. Hapo nilizungumza na Mwalimu<br />
Alice Chambala na Agness Luvanda na<br />
nilipowauliza habari hizi walisikitika kuona<br />
kwamba wazo “zuri” ambalo wamekuwa<br />
���������������������������������������<br />
limetafsiriwa vibaya.<br />
30 FEMA MAGAZINE: VUMILIA<br />
VUMILIA atoboa<br />
“Tumekuwa na utaratibu wa kuwawekea<br />
alama katika shati wanafunzi ambao wana<br />
matatizo ya kiafya kama pumu, kifafa nk. Nia<br />
yetu ilikuwa ni njema tu, tulitaka wenzao<br />
wawatambue na wawalinde dhidi ya hatari<br />
mbalimbali wanapocheza nao, lakini pia<br />
tulitaka kuwasaidia walimu kuwatambua<br />
watoto wa namna hiyo ili wasiwape adhabu<br />
kali au kazi zinazoweza kuathiri afya zao,”<br />
alisema Mwalimu Chambala.<br />
“Kuna walimu ambao walihamia shule hii<br />
wakitokea Shule ya Kongowe, kule walikuwa<br />
���������������������������������������<br />
wakauanzisha, wakiamini kwamba ni<br />
mzuri na unawasaidia watoto. Hatukuwahi<br />
������������������������������������������<br />
vibaya maana si kweli kwamba watoto<br />
wanaowekewa lebo wanaishi na VVU,”<br />
alisema.<br />
Walimu hao walieleza kwamba, si shule<br />
inayoweka lebo bali ni mzazi mwenyewe<br />
anashauriwa kumwekea mwanae lebo<br />
anapokwenda kutoa taarifa shuleni kwamba<br />
mtoto wake ana matatizo ya kiafya.<br />
Sikuishia hapo, nilizungumza na wanafunzi<br />
wa shule ile Paulo Mathayo, 16, na Adelaida<br />
Lyimo, 13, wote wako darasa la saba na<br />
���������������������������������������<br />
wala kusikia kwamba wanafunzi wenzao<br />
wanaowekea lebo nyekundu wana VVU, bali<br />
wanachofahamu ni kwamba wana matatizo<br />
mbalimbali ya kiafya, hivyo wanatakiwa<br />
kuwalinda na kuwa makini wanapocheza<br />
nao na hata kutoa taarifa haraka kwa walimu<br />
wanapoona wenzao wameanguka au kupata<br />
tatizo lolote.<br />
Kama hiyo haitoshi, nilizungumza pia na<br />
mzazi katika eneo lile, Dorice Kilagale,<br />
ambaye naye alieleza kwamba jamii ina<br />
uelewa na jambo hilo na kwamba wazazi<br />
wenyewe ndio ambao wamekuwa wakiomba<br />
waruhusiwe kuwawekea watoto wao alama<br />
na kwamba haina uhusiano na VVU/Ukimwi.<br />
Wote hao nilikuwa nikiwauliza, kwa nini lebo<br />
nyekundu? Kila mmoja alijibu kwamba alama<br />
nyekundu inatumika kuonyesha hatari, hivyo<br />
wanadhani ni rangi sahihi kwa lengo hilo.<br />
Ni wazi kwamba suala la watoto wenye<br />
matatizo ya kiafya kuwekewa lebo nyekundu<br />
limekuwepo tangu enzi, hata kabla ya<br />
kugundulika kwa VVU. Nashukuru kwamba<br />
walimu, wanafunzi na majirani wa Shule<br />
ya Msingi Mwambisi wanaelewa lengo zuri<br />
la utaratibu huu, lakini swali la kujiuliza ni<br />
kwamba, ni kwa kiasi gani “nia hii njema”<br />
inaeleweka nchi nzima?<br />
Kulikoni mwanafunzi wa mtaani kwangu<br />
aliyenikimbilia na kuniuliza iwapo wale<br />
wenzake wenye lebo nyekundu wana VVU?<br />
�������������������������������������<br />
manake ni kwamba kuna uvumi umeenea<br />
shule hiyo na shule nyingine nyingi kwamba<br />
wanafunzi wanaowekewa lebo wana<br />
VVU na inawezekana wanafunzi hawa<br />
wameshakumbana na unyanyapaa wa hali ya<br />
juu lakini hawana pa kusemea.<br />
Huu ni mjadala wa haja. Hebu tujadiliane<br />
katika maeneo yetu na maswali haya<br />
yatatusaidia:<br />
a Je, ni lazima kuwawekea alama wanafunzi<br />
wenye matatizo ya kiafya?<br />
a Je, tunaweza kutumia utaratibu<br />
gani mbadala wa kuwasaidia badala ya<br />
kuwawekea lebo?<br />
Nawatakia mjadala mwema!
IT WITH FRED<br />
Stay safe with IT<br />
If you think using the Internet or your mobile phones<br />
in fun and exciting ways is only for young people living<br />
in Dar, then you are <strong>wrong</strong>! Young people in and out of<br />
schools from all over Tanzania share with us stories and<br />
photos from their communities through the Internet and<br />
�������������������������������������������������������<br />
come from Dar but all the way from the Uhuru Secondary<br />
School in Shinyanga!<br />
The Internet and mobile phones are tools that allow you<br />
to communicate with people in your village, the nearby<br />
town or even abroad! But, as young people, you need to<br />
remember that it is your responsibility to stay safe at all<br />
times! This includes staying safe while on the Internet and<br />
using your mobile phones.<br />
If you do not take security measures, people can steal<br />
your personal information and can use them for taking<br />
loans from banks or for other illegal uses. In other cases<br />
people can enter your Facebook accounts or email and<br />
post unwanted pictures among other things. In order<br />
to keep your private information secure, there are three<br />
basic security tips which all young people need to know:<br />
1. Online passwords should be changed once every<br />
three months. When making your password, use a<br />
combination of alphabet letters, numbers and symbols<br />
such as ‘femina! 2012’. When you are sharing passwords,<br />
such as in the case of a Fema Club managing a blog, make<br />
sure that only a few people know the password and don’t<br />
give it out to anyone else!<br />
2. Always turn on the security features of your mobile<br />
phone. If you do not know how to switch on the security<br />
features then ask your friends to show you how. To<br />
make your phone safer, make sure you have to type in<br />
your password everytime you want to use your phone.<br />
Unfortunately, many people forget to switch on their<br />
security features, which makes it easier for other people<br />
to use your private information in the phone.<br />
3. Every time you post photos or make comments on<br />
Facebook, Twitter or in any social media tool, you should<br />
ask yourself: how will this affect the way people see you?<br />
Is the post or comment respectful?<br />
In case you didn’t know, mobile phones (even some of<br />
the low priced ones) have now made it possible for many<br />
young people to enjoy exchanging messages and photos<br />
through SMS, Facebook and many other fun Internet<br />
technologies.<br />
In other countries, youth have<br />
successfully used social media<br />
tools such as Twitter to make<br />
their voice heard! Join others.<br />
There is so much for you!<br />
Keep on, Sema na Fema!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
31
SAUTI YAKO<br />
a<br />
Sauti yako<br />
ni ukurasa unaokukaribisha<br />
kuchangia mawazo<br />
yako binafsi. Unaweza<br />
kutuandikia kwa Kiswahili<br />
au Kiingereza. Usisahau<br />
kutuletea picha na<br />
maelezo yako binafsi.<br />
Karibu sana! Haya ni<br />
maoni binafsi yatolewayo<br />
na wasomaji wetu na<br />
sio lazima kwamba<br />
yanakubaliana na<br />
mawazo ya FEMINA <strong>HIP</strong>.<br />
Sitaki yawakute yaliyonikuta!<br />
�<br />
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka<br />
20. Nimehitimu kidato cha nne. Nawashauri<br />
��������� ��������� ��� ����� ������� �����<br />
VVU havipo. Unaweza kusema hivyo kwa kuwa<br />
�������������� ������ ������� ��� ��������� ������� ���� �����<br />
zenu mkae mkijijua mko katika hali gani, hapo unaweza kuishi<br />
�����������������������������<br />
Mwenzenu hapa nilipo ninaishi na VVU tangu mwaka 2009<br />
hadi sasa na kwa kuwa virusi hivi vilitokana na kushawishiwa<br />
na mama mmoja tuliyekuwa tukiishi naye nyumba moja,<br />
naomba niwachanganulie sababu za kukutwa na yaliyonikuta<br />
kwani nisingependa yawakute:<br />
VISHAWISHI:<br />
Mama huyo aliyenishawishi alikuwa na pesa nyingi. Tulikuwa<br />
tumepanga naye nyumba moja na hana mume wala mtoto<br />
hivyo alitumia pesa alizokuwa nazo kushawishi wavulana wa<br />
rika langu, nikiwa mmojawapo. Alinishawishi kwa 100,000/=.<br />
�������������������������������������������������������������<br />
ngono bila hata kutumia kinga, kumbe kaniuzia virusi.<br />
UMASKINI:<br />
Hili ni tatizo kubwa sana kwani vijana wengi wanaingia katika<br />
ngono kwa maslahi ya maisha yao. Sikuwa nimewahi kushika<br />
laki tangu nizaliwe, hivyo niliiona ni pesa nyingi sana. Hivyo<br />
naweza kusema kwamba umaskini nao ni chanzo kikubwa cha<br />
maambukizi ya VVU.<br />
Naomba kuwausia vijana wenzangu wa kike na wa kiume<br />
���������������������������������������������������������<br />
�����������������������������������������������<br />
32 FEMA MAGAZINE: SAUTI YAKO<br />
TAMAA:<br />
Siku zote tamaa ni kitu kibaya sana tena kinaponza, tamaa ya<br />
pesa ndiyo iliyonitia matatani. Nilipoonyeshwa pesa akili yote<br />
ilihama niliwaza nikiichukua itanisaidia mambo mengi, tamaa<br />
ikaniponza kiasi cha kuamua kujamiiana na mwanamke ambaye<br />
ana umri wa kuweza kunizaa. Tudhibiti tamaa maana kitu kidogo<br />
kinaweza kukukosesha amani milele<br />
USHAURI:<br />
Ndugu zangu tuitumie vyema sana elimu inayotolewa na vyombo<br />
mbalimbali likiwemo Jarida la Fema ili iweze kutusaidia kujikinga<br />
dhidi ya maambukizi ya VVU.<br />
MWISHO:<br />
Naiomba Serikali na wadau wote waendelee kutoa elimu juu ya<br />
maambukizi ya VVU. Nawatakia kila la kheri na kazi njema.<br />
Msomaji wa Fema (jina limehifadhiwa)<br />
BUTIAMA SEC SCHOOL<br />
P. O. BOX 2163<br />
SHINYANGA, TANZANIA
STORI ZA RUSHWA!<br />
Tukiwa Singida tuliwataka wanafunzi kuandika angalau tukio moja la rushwa<br />
ambalo wamewahi kukumbana nalo katika maisha yao. Walijiachia haswaaa!<br />
Tunakumegea hizi hapa chache, zicheki!<br />
D ������� ������ ������� ��� ���������� ������������ ������<br />
na kunirudisha maskani. Siku moja nikiwa njiani, askari<br />
������������ ���� ����� ������� ��� ���� ��� ��������� �������<br />
mudguard. Alikuwa sahihi, lakini alikwenda mbali kiasi cha<br />
��������� ��������� ��������� ����� ������ ���� ������� ����� ����<br />
������� ���������� ��������� ������� ������������� ������ ������<br />
��������������������������������������������������������������<br />
kwa mtazamo wangu hiyo ni rushwa!<br />
D Nakumbuka niliwahi kutozwa sh 10,000 ili nipate cheti<br />
cha kuzaliwa. Nilitoa, lakini baadaye nikagundua kwamba<br />
nilipaswa kukilipia sh 2,000 tu. Hata hivyo, kulipa gharama<br />
kubwa kwa cheti cha kuzaliwa imekuwa ni kawaida kwa<br />
wengi wetu ambao hatukuchukua vyeti hivyo tukiwa<br />
�������� ��������� ������� ������������� ���� ���� ��� �������<br />
���� ���������� �������� ��������� ������ ������ ��������<br />
ukakuchukua miezi kadhaa au kumpa mtu mshiko ili ukipate<br />
hata ndani ya siku tatu!<br />
D ������� ������ ����� ������������� ������� ��� ����������� �����<br />
wa kike, wanakuwa na uhusiano wa kimapenzi na walimu<br />
wa kiume. Wanahonga miili yao na walimu wanawahonga<br />
�������������������������������������������������������������<br />
wakati mwingine wanawasamehe kunapokuwa na adhabu au<br />
kazi ngumu. Kwa mtazamo wangu, hiyo nayo ni rushwa na<br />
nimeishuhudia sana!<br />
D Mara kadhaa nimewahonga viranja pesa ndogondogo au<br />
����������� ����� ��������� ������� ������ ��� ����� ������������<br />
����� ������� �������� ��� ������� ���������� ����� ���� �������������<br />
�����������������������������������������������<br />
D �������� ����� ����������� ������� ������� ������ ��� ����������<br />
����������� ����������� ����� ��� ����� ��� ��������� ����� �����<br />
����� ������ ������� ������������ ��� ������ ���������������� �������<br />
baadaye akaniambia nimpatie pesa kama nataka niendelee kukaa<br />
���������������������������������������������������������������<br />
hivi naitumia kwa uhuru kabisa shuleni na wakati mwingine<br />
natesa nayo hata darasani!<br />
D Nakumbuka jinsi wazazi wangu walivyolazimika kutoa pesa<br />
kwa watu kadhaa wenye mamlaka ili niweze kuhamishiwa katika<br />
shule hii! Hatimaye nilipata uhamisho lakini naamini pesa<br />
iliyotolewa ilikuwa ni rushwa!<br />
D ������� ��� ����������� ����� ����� ��� ������ ��� ������� ������<br />
hongo ya pesa na zawadi ndogondogo kwa walinzi getini ili<br />
�������������������������������������������������������������<br />
�����������������������������<br />
D ��������������������������������������������������������������<br />
ya gongo na hayuko tayari kuona mtu mwingine anaingia katika<br />
biashara hiyo. Kwa sababu hiyo, anatoa hongo kwa askari ili<br />
���������� ���� ��������� ������� ������� ���������� ��������<br />
biashara hiyo!<br />
D ����������������������������������������������������������������<br />
nikaambiwa nitoe pesa ili waweze kushughulikia kesi yangu!<br />
Hiyo siyo rushwa jamani ndugu zangu?<br />
Hizi ni za Singida, vipi huko kwenu, ushakumbana na stori<br />
za rushwa kama hizi au kali zaidi? Jadilini!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
YOUR VOICE 33
LIFESKILLS<br />
KOMESHA<br />
Kama tunashindwa kusaidia badala<br />
yake tunabaki kushangaa, hivi<br />
ndivyo inavyopaswa kuwa? Je, nchi<br />
yetu itabaki ikinuka rushwa milele? Kwani<br />
hatuwezi kupata ufumbuzi? Nini kifanyike?<br />
Jibu ni HAPANA, haipaswi kuwa hivi. Tunao<br />
uwezo wa kujikomboa dhidi ya rushwa na<br />
nguvu hiyo iko ndani ya Katiba ya nchi.<br />
Taifa letu linaongozwa na sheria, sera na<br />
miongozo ambayo imeainisha haki na<br />
wajibu wa raia wa Tanzania.<br />
Kwa mujibu wa sheria, tuna haki ya kupata<br />
huduma za jamii kutoka kwa Serikali. Siyo<br />
huduma zote ni za bure ila tunahitajika<br />
�������������������������������������������<br />
kupata risiti. Haitakiwi kutoa rushwa ya aina<br />
yoyote wala pesa ya chai kwa watumishi wa<br />
umma pale tunapohitaji huduma.<br />
Kama tunataka kutokomeza rushwa,<br />
tunapaswa kuanza kwa kupigania haki zetu<br />
binafsi.<br />
34<br />
FEMA MAGAZINE: LIFESKILLS<br />
RUSHWA! NA JIANG ALIPO<br />
“Rushwa nchini Tanzania haina mipaka. Nchi inanuka<br />
rushwa!” maneno haya aliyasema Mwalimu Machi, 1995.<br />
Dira ya Mwalimu juu ya taifa hili ilikuwa ni kujenga jamii<br />
yenye usawa na haki ambapo raia wanaweza kupata<br />
fursa sawa katika huduma mbalimbali na kila mtu<br />
ananufaika na rasilimali ya ardhi ili kujenga nchi.<br />
Leo hii shughuli za kila siku zimegubikwa na vitendo vya<br />
rushwa na taarifa za habari zimejaa habari za matukio ya<br />
rushwa yanayofanywa na watoa huduma, viongozi na raia.<br />
Tunawezaje kufanya hivyo? Ni kwa<br />
kujipanga sisi wenyewe na kufanya kazi ya<br />
kulinda haki mbalimbali katika maisha yetu.<br />
Ukisikia vita dhidi ya rushwa kitu cha<br />
kwanza kinachokuja kichwani mwako ni<br />
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa<br />
(TAKUKURU). Ndiyo, Takukuru imeundwa na<br />
Serikali ili kufanya kazi hiyo tu! Uwezo wake<br />
ni kutoa elimu kwa jamii kuhusu rushwa na<br />
kuendesha kesi za rushwa.<br />
Lakini Takukuru haiwezi kuifanya kazi hiyo<br />
peke yake, bali inahitaji ushirikiano wa kila<br />
mtu, ukiwemo wewe na mimi. Kila mtu ana<br />
jukumu la kupambana na rushwa katika<br />
jamii. Wote tushirikiane kuondoa harufu<br />
mbaya ya rushwa!<br />
Rushwa ni nini?<br />
���������������������������������������<br />
manufaa binafsi. Lakini tunafahamu kuwa<br />
kutokana na maisha tunayoishi na taarifa<br />
tunazozisikia katika vyombo vya habari,<br />
rushwa si rahisi kupambana nayo kwani<br />
inatofautiana kulingana na mazingira na<br />
utamaduni. Ndiyo maana kesi za rushwa<br />
zinaamuliwa kwa kuzingatia mazingira<br />
husika.<br />
Kwa kujitazama wenyewe, rushwa<br />
tunazokutana nazo tunaweza kusema kuwa<br />
rushwa:<br />
a ��������������������������������<br />
kinyume cha maadili yake ili kujipatia<br />
manufaa binafsi au ya wenzake tofauti na<br />
majukumu yake au sheria za wengine<br />
a Inahusisha kutokuwa mwaminifu au<br />
kutumia vibaya madaraka uliyonayo, jambo<br />
ambalo linaweza kusababisha kuwepo kwa<br />
upendeleo kiasi kwamba mtu au taasisi<br />
inapata kuliko wengine.<br />
Rushwa inajumuisha haya yafuatayo:<br />
a Kuomba<br />
a Kupokea
a Kukubali kupokea<br />
a Kutoa<br />
a Kuahidi<br />
Hatia: Mtoaji au mpokeaji?<br />
Kwa mujibu wa sheria, ikiwa mtu atakupatia<br />
hongo, ukapokea na ikawa hakuna hata<br />
mmoja baina yetu aliyeripoti tukio hilo kwa<br />
mamlaka husika, basi wote wawili mtakuwa<br />
mmefanya kosa.<br />
Kama mpokeaji au mtoaji akiamua kutoa<br />
taarifa ya tukio na likafanyiwa uchunguzi<br />
ikagundulika kwamba hakuwa na nia ya<br />
kutoa au kupokea rushwa, basi mtoa taarifa<br />
atakuwa hana hatia isipokuwa atakuwa<br />
shahidi katika kesi dhidi ya mwenzake.<br />
Athari za rushwa<br />
Rushwa ina athari nyingi kwa mtu, biashara<br />
na taifa kwa ujumla. Baadhi ya athari hizo ni:<br />
a Kuzuia haki kunakopelekea watu<br />
wengine kuonewa<br />
a Inazuia utendaji kazi wa Serikali katika<br />
jamii<br />
a Inaua misingi ya utawala bora, ambayo<br />
ni nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa<br />
a Inapunguza kasi ya ukuaji wa biashara<br />
binafsi<br />
a Wanavunja moyo wawekezaji kutoka nje<br />
a Inakwamisha utekelezaji wa miradi<br />
ya maendeleo kwani hatimaye gharama<br />
zinakuwa juu kuliko makadirio.<br />
a Inapunguza pato la taifa<br />
a Inachochea uwepo wa biashara haramu<br />
kama dawa za kulevya<br />
a Inachangia kuongezeka kwa umaskini<br />
na matendo maovu<br />
Wajibu wetu<br />
Kila mtu ana wajibu wa kupambana na<br />
rushwa. Tukiwa vijana tunatakiwa kutambua<br />
kwamba rushwa itaharibu maisha yetu<br />
hapo baadaye, afya za familia zetu, fursa ya<br />
kufanya biashara na kunufaika na rasilimali<br />
za nchi nk.<br />
Tunaweza kufanya hivi:<br />
Kuwa jasiri na mzalendo:<br />
a Usishawishi, usipokee wala usitoe<br />
hongo<br />
a Kemea wazi vitendo vya rushwa kila<br />
unapoona vinatendeka<br />
a Elimisha vijana wenzako, wanafunzi na<br />
jamii kwa ujumla juu ya athari za rushwa.<br />
a Toa taarifa kwa mamlaka husika juu ya<br />
vitendo vya rushwa na watu wanaojihusisha<br />
navyo.<br />
a Fichua mianya ya rushwa.<br />
a Simamia sheria za nchi, kanuni na<br />
taratibu; kama wote tutazifuata hali<br />
itabadilika.<br />
TAKUKURU NI NINI?<br />
����������������������������������<br />
��������������������������������<br />
�������������������������������������������<br />
����������������������������������������<br />
kuelimisha jamii kuhusu madhara ya rushwa<br />
na kutumia sheria kutokomeza rushwa.<br />
Jinsi ya kutoa taarifa Takukuru<br />
Namba ya bure:<br />
���������������������������������������<br />
bure 113<br />
�����<br />
���������������������������������<br />
����������������������������������������<br />
�����������������������������<br />
������������������������������������������<br />
wilaya Tanzania Bara.<br />
Anuani ya posta ya makao makuu:<br />
Mkurugenzi Mkuu<br />
Takukuru<br />
P.O BOX 4865<br />
�������������<br />
Nukushi:<br />
255 22 21 50047<br />
Barua pepe:<br />
�������������������<br />
LIFESKILLS<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
35
BECOME AN ANTI-CORRUPTION HERO!<br />
“Corruption in Tanzania has no bounds. The country is stinking with corruption!” Mwalimu said in March, 1995.<br />
He was not happy, he was in despair, for corruption had spread its ugly face all over Tanzania.<br />
M<br />
walimu’s vision for our nation was to<br />
create a society where citizens have equal<br />
access to services and treatment, where<br />
������������������������������������������������<br />
and contributes to building our beautiful country.<br />
At some point during the growth of our nation,<br />
something went <strong>wrong</strong>!<br />
Today our everyday encounters are surrounded<br />
by corrupt practices. The media is full of stories of<br />
corrupt service providers, leaders, and citizens.<br />
As citizens we cannot help but wonder, does it have<br />
to be this way? Will our country stink of corruption<br />
forever?<br />
The answer is no, it does not have to be this way. We<br />
have the power to become free from corruption,<br />
and that power lies in our constitutional rights. Our<br />
nation is governed by laws, policies, and guidelines,<br />
which outline our rights and responsibilities as<br />
citizens of Tanzania.<br />
According to the law we are entitled to certain social<br />
services from the government. Not all services are<br />
free, but we need ONLY pay the required amount,<br />
���������������������������������������������������<br />
not be asked to give bribe or ‘chai’ money to public<br />
servants when we need the services.<br />
If we want to end corruption, we must begin by<br />
������������������������������������������������������<br />
and working to secure our rights.<br />
The Prevention and Combating of Corruption<br />
Bureau (PCCB) has been set up by the government<br />
to do just that. Its mandate is to educate the<br />
public about corruption and to perse<strong>cut</strong>e cases of<br />
corruption.<br />
PCCB has a big job and cannot succeed alone.<br />
It needs cooperation from everyone, including<br />
���������������������������������������������������<br />
corruption in society.<br />
What is corruption?<br />
������������������������������������������������<br />
������������������������������������������������������<br />
from situations in our own lives and what we’ve<br />
36<br />
FEMA MAGAZINE: LIFESKILLS<br />
�����������������������������������������������������<br />
simple. Corruption differs depending on culture and<br />
environment. That is why it is judged on a case-tocase<br />
basis.<br />
If we focus on our own encounters with corruption in<br />
Tanzania we can say that corruption is:<br />
a ���������������������������������������������<br />
�����������������������������������������������������<br />
another person, contrary to duty AND the rights of<br />
others.<br />
a It involves the dishonest or preferential use of<br />
power or position, which has the result of one person<br />
or organization being given an advantage over the<br />
others.<br />
Corruption may involve any of the following:<br />
a Asking<br />
a Receiving<br />
a Agreement to receive<br />
a Giving<br />
a Promising or offering<br />
Guilty: giver or receiver?<br />
According to the law, if I give you a bribe, you take it,<br />
and no one reports the incident to the authorities, we<br />
are both <strong>wrong</strong>doers.<br />
If either giver or receiver decides to report the<br />
incident, and an investigation reveals she/he was not<br />
planning to take or give a bribe, then s/he is innocent,<br />
and may become a witness.<br />
Effects of corruption<br />
Corruption has many negative effects, on individuals,<br />
businesses, and the nation as a whole. Some of the<br />
effects include:<br />
a Obstruction of justice leading to unfair<br />
treatment.<br />
a Inhibits government’s performance of duties to<br />
the society.<br />
a Undermines good governance, the base for<br />
national development.<br />
a Hinders performance of private businesses.<br />
a Deters foreign investors.<br />
a �����������������������������������������������<br />
expenses for the projects.<br />
a Decreases national income.<br />
a Encourages existence of illegal businesses like<br />
selling of narcotic drugs.<br />
a Leads to an increase in poverty and social evils.<br />
Our role<br />
������������������������������������������������<br />
corruption. As youth we must be particularly aware<br />
because it is about our future. It affects the health of<br />
our families, the opportunity to do business and our<br />
access to the resources of this country.<br />
Here is what you can do:<br />
BY JIANG ALIPO<br />
Be a brave role model, be patriotic!<br />
a Don’t solicit, receive or give bribes.<br />
a Speak up against corruption when you see it.<br />
a Educate fellow youth, students and your<br />
community, on the effects of corruption.<br />
a Report corrupt practices and people to authorities.<br />
a Expose ways that are used to increase corruption.<br />
a Abide by national laws, rules and regulations. If<br />
we all follow them things will get better.<br />
WHAT IS PCCB?<br />
The Prevention and Combating of C����������Bureau<br />
(PCCB) is a law enforcement institution established<br />
�������������������������������������������������<br />
��������������������������������������������������������<br />
�����������������������������������<br />
How can you report to PCCB?<br />
Free phone number:<br />
��������������������������������������������������<br />
Physical address:<br />
��������������������������������������������������<br />
�����������������������������������<br />
���������������<br />
������������������������������������������������<br />
Tanzania mainland.<br />
��������������������������<br />
Director General Prevention and Combating of<br />
�����������������<br />
������������<br />
�������������<br />
��������������������<br />
��������������������������
Is it corruption?<br />
BY FEMA TEAM<br />
Corruption is a complicated word, a complicated act and sometimes we face<br />
situations that are confusing, leaving us wondering if we are victims of corruption or<br />
not. In the previous pages (pg 34-36) we defined corruption. Did you understand?<br />
Here is a simple exercise for you! Looking at these pictures, can you tell a corrupt act<br />
from that which is not? How does it feel? Complicated?<br />
Pursue the Lifestyles pages and explore acts of corruption!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
37<br />
LIFESTYLES
LIFESTYLES<br />
38<br />
Hospital scenario<br />
A patient has just arrived at the hospital. Seeing the long<br />
queue to the doctor who he knows, he decides to call the<br />
doctor, telling him he is outside, waiting to see him. Soon the<br />
doctor comes out, calling that patient to his office and giving<br />
him opportunity to jump the line. Inside the office, the patient<br />
gives the doctor some thank you<br />
money for the fast service. This is preferential use of power or<br />
position, which results in one person<br />
This act amounts<br />
(patient) being advantaged over the other<br />
to corruption.<br />
patients in the queue.<br />
FEMA MAGAZINE: LIFESTYLES
Private tuition scenario<br />
Its time for maths and teacher X is in class. He teaches shallowly and<br />
leaves the room when his 90 minutes are over. Before leaving the class he<br />
tells students that whoever did not understand should go to his private<br />
tuition class in the evening. It is a pay-<br />
for tuition and not all students<br />
can afford it.<br />
This is abuse of<br />
position and it<br />
can amount to<br />
corruption.<br />
Even though tuitions are legal, a teacher<br />
has the duty to teach students in class<br />
to the best of his abilities. Telling them<br />
they should attend his tuition for better<br />
understanding is the abuse of public<br />
office for private gain.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
39<br />
MITINDO YA MAISHA
LIFESTYLES<br />
40<br />
Lift scenario<br />
Every time this guy passed a certain road he would see students<br />
either on their way to school or going back home. He sees this<br />
group a couple of times and he admires one particular girl. One<br />
day he stops, calls that girl and offers her a lift. She accepts and<br />
gets in. He uses that chance to seduce<br />
her sexually.<br />
This does not amount to<br />
corruption because the<br />
guy does not have<br />
authority over the girl.<br />
FEMA MAGAZINE: LIFESTYLES<br />
She can choose to refuse his advances<br />
towards her. She could avoid the situation<br />
by being careful and smart from the<br />
beginning when the guy singled her out<br />
from the group and offered her a lift.
Election promises<br />
General elections are on, and campaigns are getting hotter and hotter!<br />
A local candidate, just like other politicians, is addressing a public rally<br />
promising them ‘bread’ and ‘butter’. “I will build you a bridge, vote me in<br />
and you will forget all about transportation problems ...”<br />
This does not amount to<br />
corruption as he is ‘selling’<br />
his party manifesto (no<br />
matter how unrealistic it<br />
may sound). As long as<br />
the promises<br />
do not target or<br />
benefit one individual<br />
he can try to convince his<br />
audience.<br />
�<br />
remember!<br />
�������������������������������������<br />
generalized, it should be taken and judged on<br />
������������������������������������������������<br />
������������������������������������<br />
TO DO: Discuss different real life scenarios<br />
�����������������������������������������������<br />
of the subject. Consult your teachers,<br />
������������������������������������������������<br />
not sure for clarity.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
41<br />
MITINDO YA MAISHA
RASIMISHA<br />
BIASHARA<br />
YAKO!<br />
Kuanzisha biashara kunamaanisha kuwa unaweza kutengeneza fedha ya kukusaidia.<br />
Haijalishi elimu yako, kama una mawazo ya biashara na unajua soko lako, weka mawazo<br />
yako katika vitendo. Ukiweza kuisimamia, ikafanya kazi na ukaichukulia kwa makini, basi<br />
unahitajika kuirasimisha kisheria. NA ANNA MURO TEMU: PICHA TIMU YA FEMA<br />
Wengi wetu huwa na shaka<br />
kuhusu kusajili, tunahofia<br />
gharama zinazotakiwa<br />
kulipwa, tunahofia kuombwa<br />
rushwa, tunahofia mchakato wa kujaza<br />
fomu nk.<br />
Wengi hawapendi kulipa kodi serikalini<br />
kwa kuwa hawaoni manufaa yake.<br />
Noel na Benitha ni wajasiriamali<br />
wadogo na wamiliki wa biashara<br />
ambao mwaka jana walishiriki<br />
shindano la Ruka Juu na Fema TV Talk<br />
Show na hii hapa ni historia yao jinsi<br />
walivyofuata hatua za kurasimisha<br />
biashara zao na sasa zote zinapanuka<br />
na kukua.<br />
Noel<br />
Jina langu ni Noel, ni mjasiriamali,<br />
naendesha duka kubwa maeneo ya<br />
Tanga. Nauza vinywaji baridi kwa jumla<br />
na rejareja. Nilirasimisha biashara<br />
42<br />
FEMA MAGAZINE: JOBS & MONEY<br />
yangu kwa kuisajili TRA na kupata<br />
leseni katika ofisi za wilaya mwaka<br />
2009.<br />
Nilipoanza biashara, niliiendesha kwa<br />
muda ili kujua kama italipa. Mambo<br />
yalipokuwa mazuri nikaendelea<br />
nayo. Nilijua fika kuwa kinachofuata<br />
ni kupata leseni na kufanya biashara<br />
kihalali.<br />
Ila nilikuwa na shaka kwani mara nyingi<br />
nimeona maduka ya biashara mjini<br />
yakifungwa na maofisa wa manispaa<br />
na maofisa kutoka Mamlaka ya Mapato<br />
(TRA) kwa kuwa walikuwa wakifanya<br />
biashara bila kibali. Iliwalazimu watoe<br />
hongo ili waendelee na biashara zao.<br />
Pia nikagundua kuwa kwa kuwa<br />
biashara ni ushindani, kama<br />
hujasajiliwa na washindani wako<br />
wanatambua hivyo watawatonya<br />
maofisa wa Serikali na utapata<br />
usumbufu na mwisho wa siku utaishia<br />
kutozwa faini au kutoa hongo.<br />
Nilizungumza na wafanyabiashara<br />
wengi hapa mjini na wengi walinishauri<br />
nikaisajili biashara yangu ili nipate<br />
Namba ya Utambulisho wa Mlipa Kodi<br />
(TIN) pamoja na leseni ya biashara.<br />
Waliniambia kwamba nikishafanya<br />
hivyo nitaendesha biashara kwa uhuru.<br />
Nilikwenda TRA kujisajili na kupata<br />
TIN, nikaenda kwenye kitengo cha<br />
makadirio ambako wanakadiria kodi<br />
unayopaswa kulipa kulingana na<br />
mapato yako. Kwa mwaka wa kwanza<br />
nilitakiwa kulipa 91,000/-. Leo hii nalipa<br />
kodi kubwa sana. Kwakuwa nauza<br />
vinywaji baridi, nikaenda kwenye<br />
ofisi ya afya ya Kata ambako nako
nilitakiwa kulipa 15,000/- kama ada.<br />
Nilipewa kadi ya kupeleka Manispaa ya<br />
Tanga kwa ajili ya kupata leseni. Huko<br />
manispaa niliambiwa nirudi baada ya<br />
wiki moja kuchukua leseni.<br />
Sasa nimerasimishwa na ninapata faida<br />
nyingi kutokana na uhalali wa biashara<br />
yangu kisheria, pia nimeondoa<br />
usumbufu kutoka kwa maofisa wa<br />
mamlaka husika. Ila natumaini Serikali<br />
itafanya urahisi kwetu wafanyabiashara<br />
ili tuweze kufanya shughuli zetu kwa<br />
ufanisi.<br />
Kwa sasa naelekeza mawazo yangu<br />
kwenye kukuza biashara, naongeza<br />
maeneo ambayo nayo yatakuwa<br />
yakitoa huduma ya vinywaji baridi.<br />
Kama biashara yangu itakua,<br />
nitahitajika kwenda kusajili jina la<br />
biashara kama ‘Noel Duka’ kwa wasajili<br />
wa majina ya biashara ‘BRELA’ ila<br />
nahitajika kufunga safari mpaka Dar<br />
kujisajili na nasikia makaratasi yote<br />
yameandikwa kwa lugha ya ‘kizungu’<br />
(Kiingereza).<br />
Benitha<br />
Habari! Naitwa Benitha, namiliki duka<br />
la ufundi cherehani Njombe. Nilipata<br />
leseni ya biashara Machi 2009.<br />
Taratibu nilikuja kugundua umuhimu<br />
wa kurasimisha biashara. Sababu<br />
mojawapo ilikuwa ni ile ya maofisa wa<br />
TRA walipokuwa wakiniuliza kuhusu<br />
leseni ya biashara. Na kwa kuwa<br />
biashara yangu ilikuwa haijasajiliwa,<br />
sikuweza kutoa risiti, hali ambayo<br />
huweza kupelekea wateja kupoteza<br />
imani kwa mtoa huduma.<br />
Wafanyabiashara ambao hawajasajiliwa<br />
wasiokuwa na leseni ya biashara wala<br />
nambari ya TIN wanalazimika kutumia<br />
risiti za ‘kufoji’ ilimradi tu kutunza<br />
wateja na hadhi ya biashara.<br />
Pia nilihitaji kupata mkopo wa zaidi ya<br />
Sh 500, 000 kutoka Benki ya NMB, ili<br />
kuupata mkopo huo TIN na leseni ya<br />
biashara vinahitajika.<br />
Nilikutana na wafanyabiashara<br />
wenzangu wakanishauri kusajili<br />
biashara na kupata TIN. Nilikwenda<br />
TRA nikapata TIN bure baada ya siku<br />
mbili, kisha wakanielekeza kwenda<br />
Halmashauri ya Mji ili kupata leseni.<br />
Pale nilikutana na ofisa mmoja<br />
aliyenifanyia usaili kwa ajili ya leseni,<br />
nikatakiwa kulipa 21, 700/- na kuweka<br />
saini kwenye baadhi ya fomu ambazo<br />
zilikuwa kwa lugha ya Kiswahili na<br />
nikapata leseni ya biashara.<br />
Haikuwa ngumu kusajili kwa TRA<br />
isipokuwa makaratasi yalikuwa kwa<br />
Kingereza. Nilijieleza na kupata<br />
tathmini ya kodi na kulipa pamoja na<br />
faini kwa kuwa muda wa kulipa kodi<br />
ulikuwa umeshapita. Baada ya siku<br />
mbili nikapata namba ya TIN bure.<br />
Kabla sijajisajili nilikuwa nalipa ushuru<br />
200/- au 300/- kwa siku, ambayo<br />
ilikuwa gharama kuliko kulipa kodi kwa<br />
mwaka. Kwa mara ya kwanza nililipa<br />
kodi ya 35, 000/- ila kwa sasa nahitajika<br />
kulipa fedha zaidi ya mara mbili ya kodi<br />
ya mwanzo.<br />
Kuna faida nyingi ukisajili biashara.<br />
Inanipa amani na ulinzi wa<br />
biashara yangu. Imekuwa rasmi na<br />
inaheshimika. Nawapatia wateja<br />
wangu risiti halali kwa malipo yao na<br />
wananiamini.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
43
Ni vizuri ukafahamu<br />
kwamba:<br />
Kurasmisha biashara kuna<br />
changamoto zake na faida pia. Kuna<br />
mlolongo mrefu na kusubiri kwa<br />
muda mrefu na wakati mwingine<br />
inakubidi kulipia gharama au hata<br />
kutoa hongo kuharakisha mambo. Sio<br />
rahisi kujua unahitajika kulipa nini.<br />
Ila msikate tamaa, jaribu kuongea<br />
na wenzenu au marafiki ambao<br />
wanafanya biashara tayari ili wawape<br />
ushauri juu ya nini cha kufanya.<br />
Jiandae na uelewe hatua za kufuata<br />
na changamoto zake wakati wa<br />
kupata leseni ya biashara.<br />
Si rahisi kurasimisha/kusajili biashara<br />
hapa nchini na isitoshe kuna vikwazo<br />
vingi vya kufanya biashara ingawa<br />
serikali inavifanyia kazi ili watu wengi<br />
wasajili biashara zao na kulipa kodi.<br />
Mambo ya kufanya<br />
44<br />
FEMA MAGAZINE: JOBS & MONEY<br />
unaposajili biashara yako:<br />
Kama una biashara ndogondogo<br />
kwanza pata leseni ya biashara kwenye<br />
ngazi ya wilaya ili uweze kuiendesha<br />
kihalali. Kwa mujibu wa sera hakuna<br />
ada yoyote inayotozwa ili upate leseni<br />
ya biashara. Ada unayoambiwa ulipe<br />
isiyo na risiti ni hongo.<br />
Kuna hatua mbili katika kusajili<br />
biashara:<br />
a Kupata leseni yako ya biashara<br />
katika ngazi ya wilaya.<br />
a Kusajili jina la biashara yako kwa<br />
BRELA Dar.<br />
VIBINDO ni jumuiya ambayo inasaidia na kuendeleza<br />
biashara ndogondogo kwa kuwasaidia wajasiriamali<br />
wadogo kuanzisha, kuimarisha na kukuza biashara.<br />
Wasiliana nao kwa:<br />
022 2152359/ 0784 546 122<br />
Kuelekea ngazi ya kusajili/kurasimisha<br />
biashara na kukamilisha usajili wa<br />
biashara, mtu anatakiwa kusafiri mpaka<br />
Dar na kusajili jina la biashara yake kwa<br />
BRELA. Utapata cheti cha usajili wa<br />
biashara.
Usije ukasema<br />
SIKUJUA!<br />
Kama wewe ni mfanyabiashara na<br />
huna taarifa sahihi kuhusu masuala<br />
ya kodi usisite kutembelea mamlaka<br />
husika ama wafanyabiashara wenzako<br />
ili uulize usijelipishwa zaidi ya<br />
kinachotakiwa ama kutozwa faini kwa<br />
kutokujua.<br />
Kuonyesha msisitizo wa umuhimu<br />
wa kulipa kodi, Serikali katika bajeti<br />
ya mwaka huu ‘imewatwanga’ kodi<br />
ya ‘kufa mtu’ wale watakaobainika<br />
kwamba hawatunzi kumbukumbu za<br />
mauzo yao na ‘imewapozea’ kiwango<br />
wale walipa kodi wazuri wanaotunza<br />
kumbukumbu za mauzo yao.<br />
Haya! Nakuacha na Bwana TRA<br />
huyo, any time atazuka kwako!<br />
Cheki viwango vipya!<br />
Mauzo<br />
(Tsh.)<br />
Yasiyozidi<br />
0.00 - 3,000,000<br />
3,000,000 - 7,500,000<br />
7,500,000 - 11,500,000<br />
11,500,000 - 16,000,000<br />
16,000,000 - 20,000,000<br />
Mauzo<br />
(Tsh.)<br />
Yasiyozidi<br />
0.00 - 3,000,000<br />
3,000,000 - 7,000,000<br />
7,000,000 - 14,000,000<br />
14,000,000 - 20,000,000<br />
Wasio na<br />
kumbukumbu<br />
0.00<br />
100,000.00<br />
212,000.00<br />
364,000.00<br />
575,000.00<br />
Kabla ya bajeti mpya ilikuwa hivi:<br />
Wasio na<br />
kumbukumbu<br />
35,000.00<br />
95,000.00<br />
291,000.00<br />
520,000.00<br />
BY PAUL NDUNGURU<br />
Wenye<br />
kumbukumbu<br />
0.0%<br />
2% ya mauzo yanayozidi<br />
3,000,000.00<br />
90,000.00 + 2.5% ya mauzo<br />
yanayozidi 7,500,000.00<br />
190,000.00 + 3.0% ya mauzo<br />
yanayozidi 11,500,000.00<br />
325,000.00+3.5% ya mauzo<br />
yanayozidi 16,000,000.00<br />
Wenye<br />
kumbukumbu<br />
1.1% ya mauzo<br />
33,000+1.3% ya mauzo<br />
yanayozidi 3,000,000<br />
85,000.00 + 2.5% ya mauzo<br />
yanayozidi 7,000,000<br />
260,000.00 + 3.3% ya mauzo<br />
yanayozidi 14,000,000<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
45
WHAT’S UP<br />
48<br />
Dear Fema<br />
Clubbers,<br />
Nafurahi sana kupata taarifa zenu nyingi za utendaji<br />
ambazo zinaelezea shughuli mbalimbali. Najua<br />
zamani watu walijikita sana katika kuelimishana<br />
juu ya UKIMWI na afya ya uzazi. Mada zote hizi ni<br />
muhimu sana kwa maisha ya vijana.<br />
Lakini pia tusisahau kuna masuala mengi sana<br />
yanaizunguka jamii, kama unyanyasaji wa kijinsia<br />
na nafasi ya mwanamke, masuala ya uharibifu<br />
wa mazingira, kufeli mitihani na pia muhimu sana<br />
kukumbuka kuwa baada ya shule mtaa unatusubiri,<br />
masuala ya kipato itakuwa vipi?<br />
Hivyo ni muhimu pia kujifunza kwa pamoja juu ya<br />
maisha kwa ujumla, mpo hapo?<br />
Klab zinaendelea na maisha yanaendelea,<br />
Pamoja sana,<br />
Cos.<br />
FEMA MAGAZINE: JOBS & MONEY<br />
FEMA Clubs<br />
<strong>Femina</strong><br />
<strong>HIP</strong><br />
KILIMO NI BOMBA ASIKWAMBIE MTU<br />
Wakiwa serious na kazi pichani ni baadhi ya<br />
members wa Ukombozi Fema Club ya Ngweli Sec.<br />
Wao wanajihusisha na ujasiriamali shuleni kwao.<br />
Hiyo ni bustani yao ya Mapapai. Kupitia bustani<br />
hiyo wanasaidia watoto yatima na pia wanatunisha<br />
mfuko wa klab yao.<br />
BANGWE WAMERUDI KWA KASI<br />
Kwa kipindi kirefu hawa jamaa waliingia mitini.<br />
Walikuwa kiiiimya kutokana na changamoto<br />
kadhaa zilizokuwa zikiwakabili. Ila sasa wanasema<br />
wamerudi, tena kwa nguvu na kasi ya ajabu.<br />
Wameanza na usafi wa mazingira na hivi karibuni<br />
walisafisha beach ya Ziwa Tanganyika. Wako juu!
HURUMA KWA WAGONJWA<br />
Ndio! Klab ya Fema ya Kawawa walitembelea<br />
Hospitali ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.<br />
Wakiwa hapo walitinga katika wodi ya wazazi<br />
na kuwapa misaada mbalimbali kama sabuni,<br />
dawa za meno na miswaki. Pia walitembelea<br />
wodi nyingine na kuwapatia misaada. Pichani<br />
ni baadhi ya wanaklab wakiwa na mama<br />
aliyejifungua na kichanga.<br />
MIHAYO NI FARAJA KWA WAGONJWA<br />
Wao walijipanga vilivyo na kwenda kuwatembelea<br />
wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora,<br />
Kitete.<br />
Nao walikuwa kimya kimtindo ila wanasema sasa<br />
wamerejea ulingoni na wataitumikia jamii kwa<br />
moyo. Karibuni tena Mihayo. Tunapenda kusikia<br />
zaidi kutoka kwenu.<br />
NDABO WANANG’AAJE?<br />
Suala la T-shirts kama sare kwa club limekuwa likiibuka kweli!<br />
Jamani, mnaweza kutengeneza za kwenu mkauziana ili kutunisha<br />
mfuko wa klab na mkang’aa kama kawa? Hebu wacheki pichani<br />
wakaka wa Ndanda Sec walivyotoka mchicha! T-shirt zao kwa<br />
mgongoni zimeandikwa “Sharing skills” na for sure these guys<br />
are doing that. Tengenezeni zenu clubbers mturushie picha.<br />
WAMEKUJA KUWASHIKA!<br />
Wakiwa na nyuso za furaha pichani ni baadhi ya wanachama wa<br />
Mpemba Fema Klab ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya wakiwa<br />
wamekula pozi pamoja na baadhi ya walimu na Nashivai Mollel<br />
na Gloria Mkoloma wa <strong>Femina</strong>. Walifurahi sana kupata ugeni na<br />
wakaahidi sasa wataongeza kasi na klab nyingine zijiandae kwa<br />
ujio wao. Mpemba Fema Club, kwetu vitendo vinahusika zaidi.<br />
Haya twasubiri tuone!<br />
SANOA WANATISHAJE?!<br />
Pichani ni wanachama wa Kisutu Girls Fema Club. Wao katika<br />
mahafali ya kidato cha nne ya Fema Club walikuja na “Professional<br />
Fashion Show” ambayo ilikuwa inaonyesha maisha yao baada ya<br />
kumaliza kidato cha nne. Wapo waliokuwa maprofesa, madaktari<br />
na hata wakurugenzi. Pia usidhani aliyevaa suti ni bonge la<br />
handsome, no no no usidanganyike ni msichana mrembo.<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
49
PASUA KICHWA<br />
CHALENJI No.4<br />
RUSHWA-KWA<br />
WANA-FEMA<br />
KLAB<br />
Toleo lililopita tuliwaagiza wana Fema Klab kutusaidia kutambua huduma rafiki za afya katika<br />
maeneo yenu. Kipindi hiki tunamulika rushwa kwenye huduma za afya. Nyinyi wana klab ni mfano<br />
wa kuigwa kwenye jamii nzima ya Kitanzania. Hii inamaanisha kwamba mnatakiwa kuwa mstari wa<br />
mbele kusema HAPANA kwa hongo na rushwa nyinginezo. Njia moja inayokuwezesha kusimama<br />
imara na kusema Hapana kwa rushwa ni kwa kuzitambua na kuzizungumzia mkiwa na kundi rika.<br />
Hivi ndivyo chalenji ilivyo safari hii. NA TIMU YA FEMA<br />
Fanya Utafiti:<br />
Kwenye toleo hili la Fema ukurasa wa 56<br />
mnaweza kusoma kuhusu rushwa katika<br />
huduma za afya na ni kwa kiasi gani<br />
wanafunzi na wazazi wao wanatoa hongo<br />
kujaziwa fomu zao za afya badala ya kucheki<br />
afya.<br />
Labda wewe ni mmojawapo, au unafahamu<br />
aina nyingine za rushwa kwenye huduma<br />
za afya.<br />
������������������������������������������<br />
Kama hakuna, angalia jamii yenu, ongea<br />
na watu na ainisha matukio ya rushwa.<br />
�������������������������������������������<br />
mnapata taarifa sahihi za tukio kwa kuandika<br />
kila kitu.<br />
50<br />
FEMA MAGAZINE: WAKALI<br />
Jinsi ya Kushinda<br />
Kuwa Mbunifu<br />
a Tuandikie na utuambie kuhusu aina<br />
mbalimbali za rushwa ambazo umeziainisha<br />
katika huduma za afya ndani ya jamii yenu,<br />
kwa ujumla wake. Ainisha zipi zimewagusa<br />
zaidi na kwa nini.<br />
a Tutumie picha au michoro ambayo<br />
klab yenu imepata kutokana na matukio ya<br />
rushwa.<br />
Zawadi<br />
Klab itakayoshinda itachaguliwa na<br />
wafanyakazi wa <strong>Femina</strong> na atajishindia:<br />
a Taa ya sola<br />
a Klab itachapishwa kwenye Jarida la Fema<br />
a Tshirt 20 za Fema<br />
a Mwaliko wa kuhudhuria Annual Youth<br />
Conference 2013<br />
Usisahau<br />
Mwisho wa kutuma<br />
CHALENJI hii ni<br />
Novemba 15, 2012<br />
GOOD LUCK!<br />
a Jina la klab na anuani (Simu, sanduku la barua,<br />
barua-pepe au nukushi n.k)<br />
a Jina la shule, wilaya na mkoa<br />
a Maelezo yako, stori na chochote kile ambacho<br />
utahitaji kuwasilisha kwetu( picha au michoro)<br />
a Ambatanisha mchanganuo wa shughuli ambazo<br />
klab yenu inafanya<br />
a Shughuli za klab robo muhula<br />
a Wanachama wapya na viongozi wapya (kama wapo)<br />
a Maswali na ushauri<br />
Shauri hatua za kuchukua<br />
����������������������������������������������������������<br />
jamii yako au wanafunzi wa shule nyingine kuhusu taarifa<br />
��������������������������������������������������������<br />
mnaweza kutengeneza igizo kuhusu tukio moja mlilolipata<br />
na kulionyesha kwenye sherehe, ni uamuzi wenu.
Ijue Baabkubwa Boys<br />
Fema Club:<br />
BaabKubwa Fema Family<br />
Festival ilifanaje?<br />
Jamaa waliandaa hilo tamasha lao la kukata<br />
na shoka Aprili 28. Wakaweka theme ya<br />
‘Umuhimu wa kuwawezesha mabinti kwa<br />
kuwaelimisha’. Hiyo ilikwenda sambamba na<br />
theme ya kwenye Mkutano wa Mwaka wa<br />
Fema uliofanyika Februari ambao ulisisitiza<br />
Girl Power!<br />
Usipime mwanangu, Baabkubwa walijaza<br />
watu balaa. Walialika Fema Clubbers wa<br />
shule tatu; warembo wa Nganza Girls,<br />
masela wa Bwiru Boys na wajanja wa<br />
Pamba Sec.<br />
Kwenye mgeni rasmi nako hakukupwaya;<br />
maana walimwalika Diwani wa Kata ya<br />
Mkolani, iliyoko Mwanza mjini, Stanslaus<br />
Mabula na mwalimu wao mlezi wa Fema<br />
Club, Mwl Ngamba Manegese alikuwa ndiye<br />
msemaji mkuu.<br />
Hawakutaka sherehe ipoe na wageni<br />
wao wawe idle, so wakawapiga debate,<br />
WAKALI<br />
BaabKubwa ni KUBWA kuliko!<br />
Washindi wa Klab Chalenji namba 2 ni BAABKUBWA FEMA CLUB kutoka Mwanza Secondary School<br />
hukohuko Rock City. Chalenji yenyewe wala haikuwa ngumu maana ilikuwa ni sababu tosha ya<br />
ku-show off na kula bata shuleni kwenu…yaani kuandaa tamasha tuliloliita Fema Family Festival.<br />
Baabkubwa Fema Club ikaandaa bonge la tamasha, afu wakatutupia bonge la ripoti! NA TIMU YA FEMA<br />
Klab ilianza<br />
Idadi ya<br />
wanachama<br />
��������<br />
Kazi za<br />
baadaye<br />
Uongozi<br />
Taarifa za<br />
mawasiliano<br />
2004<br />
190<br />
a Mijadala<br />
a Maigizo<br />
a Kutembelea wagonjwa na<br />
watoto yatima<br />
a Kusaidia watu walio katika<br />
mazingira hatarishi<br />
a Hivi sasa wanaandaa<br />
������������������������<br />
kitakachokwenda kwa jina<br />
����������������������������<br />
a Mwenyekiti<br />
a Katibu<br />
a Mtunza Hazina<br />
a ������������������<br />
mwanzasecfemaclub@<br />
rocketmail.com<br />
wakaandaa kazi za klab kwa mwaka<br />
2012, wakazindua kipindi cha redio na<br />
TV cha ‘Jiunge na Fema ufahamishwe’, na<br />
kuwatembeza kwenye bustani ya klab yao<br />
hapo shuleni.<br />
Siyo kisherehe tu, BaabKubwa Fema Club<br />
pia wapo kiuchumi zaidi kwani siku hiyo<br />
walikusanya jumla ya Tsh 94,000! Na on top of<br />
that, walisajili wanachama wapya 170!!! Dah,<br />
Baabkubwa Fema Club mnatishaaa!<br />
Wameshinda nini?<br />
a Youth Conference: Kwa kushinda<br />
chalenji hii, basi BaabKubwa Fema Club<br />
wamejinyakulia nafasi ya kujiunga nasi<br />
kushiriki kwenye Youth Conference ya<br />
mwaka 2013, bila chenga. Yaani hapo ni<br />
ticha wa klab na memba wawili wa klab<br />
waanze tu kujitayarisha kuja Dar!<br />
a T shirt bomba: Kama tulivyohaidi,<br />
BaabKubwa Fema Club wamejishindia<br />
t-shirt 20 boooomba za Fema.<br />
Congrats BaabKUBWA Fema Club!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
51
HERE ‘N’ THERE<br />
NA: FEMA TEAM<br />
PICHA: TIMU YA FEMA NA<br />
PERNILLE BAERENDTSEN<br />
<strong>Femina</strong> ilijirusha<br />
Ngome Kongwe<br />
Tunawakilisha! Yes, hata katika maonyesho ya<br />
Sauti za Busara tulikuwepo! Kumbuka, hili ni<br />
tamasha kubwa ambalo miaka yote linafanyika<br />
Zenj na linawakutanisha wasanii wa muziki<br />
kutoka nchi mbalimbali duniani.<br />
Basi huko lilipigwa ‘gwaride’ la saa nzima kwa<br />
makundi yaliyoshiriki tamasha hilo na <strong>Femina</strong><br />
tukiwemo..ilikuwa ni nafasi ya pekee kwa<br />
vijana ya kupata burudani na elimu kwa wakati<br />
mmoja.<br />
Burudani zilikuwa za kumwaga mwanangu!<br />
Kulipigwa ngoma za asili kama mdundiko,<br />
ngongoti, dufu na ilikuwa ni full shangwe<br />
wakati wa maandamano maarufu kama<br />
Carnival Parade, ambayo yalianzia Kisonge Park<br />
na kuishia Ngome-Kongwe.<br />
Vijana walipata nafasi ya kuuliza maswali kwa<br />
wafanyakazi wa <strong>Femina</strong> na tuliwapatia majibu.<br />
Yaani! Ilikuwa ni bandika-bandua! Pia vijana<br />
waliomba majarida ya Fema yasambazwe<br />
kwa wingi visiwani humo kwani wamekuwa<br />
wakiyasoma na kujifunza mambo mengi.<br />
52<br />
FEMA MAGAZINE: HERE ‘N’ THERE<br />
MBOZI nako tulikuwako<br />
Kama kawaida, tunajitahidi kupita pande zote<br />
za nchi tukitoa elimu kupitia burudani. Misele<br />
hiyo inatuwezesha kujifunza kutoka kwenu<br />
nanyi kujifunza kutoka kwetu.<br />
Safari hii tukajivinjari pande za Mbeya kuleeeee<br />
wilayani Mbozi… siku hizi hakuna kuchunana<br />
ngozi bwana usiogope! Mambo yalikuwa<br />
shwariiiiiiii na tulizungumza na viongozi wa<br />
wilaya, wakuu wa shule, wanafunzi, wanajamii<br />
na vijana kwa ujumla wao. Pia ‘tulipiga’<br />
matamasha matatu kabambe maeneo ya<br />
Tunduma, Mlowa na Vwawa.<br />
Kilichonifurahisha ni uelewa wa vijana na<br />
watoto katika masuala mbalimbali. Walishiriki<br />
vilivyo katika mijadala ambayo katika hali<br />
ya kawaida ungedhani kwa udogo wao<br />
wasingeweza kujadili kwa ustadi mkubwa kiasi<br />
kile.<br />
Kutokana na taarifa tulizopata kwa wadau,<br />
tatizo kubwa kule ni wanafunzi wa kike kuacha<br />
shule ama kwa ujauzito au utoro tu!!!!Mbaya<br />
zaidi ni kwamba mwanafunzi akipata ujauzito<br />
jamii ile inaona POA tu! Kapata mimba basi<br />
aolewe!!!!!! Kinachofuata ni wazazi wa pande<br />
mbili kukutana na kuyamaliza kimyakimya!<br />
Ole wake mwalimu afuatilie suala hilo!<br />
Atageuka adui wa familia hizo mbili na hata<br />
jamii nzima… Hilo si sahihi na tulikuwa<br />
na mjadala mrefu na kwa kweli vijana<br />
‘walifunguka’!<br />
Kuhusu mkutano wa<br />
Fema Clubbers?<br />
Yes! Kwa mara nyingine tulikutanisha Fema<br />
Clubbers na walimu wao katika Hoteli ya<br />
Belinda iliyopo ufukweni mwa Bahari ya Hindi.<br />
Mada kuu ikiwa “GIRL EFFECT” na kupitia mada<br />
hii, tulihamasisha usawa kati ya vijana wa<br />
kiume na wa kike.<br />
Safari hii mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa<br />
Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy<br />
Mwalimu, ambaye kwa kutumia mfano wake<br />
mwenyewe akiwa kijana wa kike aliyepitia<br />
mchakato mrefu hadi kufanikiwa, aliwaeleza<br />
������������������������������������������<br />
ikiwa wataweka nia.<br />
Ummy alipata fursa ya kutunuku tuzo kwa klab<br />
bora ya mwaka 2011 ambayo ilikuwa Mchoteka<br />
Sekondari ya Tunduru na Mwalimu Bora wa<br />
Mwaka, Ngamba Manegese, kutoka Mwanza<br />
Sec.
K<br />
lab Bora ya Fema kwa mwaka 2011<br />
ni Mchoteka Fema Club ya Mchoteka<br />
Sekondari ya Tunduru. Ebana eh! Sikia<br />
wanavyosema kuhusu ushindi wao.<br />
Mnajisikiaje baada<br />
ya kutangazwa?<br />
Tunajisikia fresh kwa sababu wanachama wengine<br />
Tanzania nzima wametumiminia ‘misifa’ na shule<br />
pia imepata sifa - Katibu - Hashim Waziri.<br />
Imekuwa ni fursa kwetu kujulikana hasa<br />
ukizingatia kwamba tuko pembezoni mwa nchi!<br />
- Mwenyekiti - Abdallah Maarufu<br />
Ni mambo gani<br />
ambayo mmeyafanikisha?<br />
Tuna mradi wa bustani ambao unalisha shule na<br />
baadhi ya mboga tunauza kwa wanajamii. Tuna<br />
mradi mwingine wa kuku 30 na Klab ya Fema<br />
�������������������������������������������<br />
kuwalisha kuku. Pamoja na yote haya tumezisaidia<br />
shule nyingine tatu kuanzisha Fema Klab. - Hashim<br />
Labda niongeze kwamba tulizungumza na jamii<br />
na wakatupa dondoo za kwa nini ndoa nyingi<br />
�����������������������������������������������<br />
kuhusu hilo na mpaka sasa bado tunalifanyia kazi.<br />
- Mwalimu Mussa Kibona<br />
Mtafanya kitu gani tofauti baada<br />
ya kupokea tuzo?<br />
Tunasonga mbele na kuleta mabadiliko. Kwa sasa<br />
siwezi kusema tutafanya nini maana ni jambo la<br />
kujadiliana na kujipanga - Mwalimu Kibona<br />
Pia kwa njia ya maigizo, mashairi na ngonjera<br />
tungependa kuzungumzia changamoto ya<br />
wasichana kupata mimba wakiwa wadogo.<br />
- Abdallah<br />
Kwa kutangazwa kuwa Klab Bora, wanajamii<br />
watahamasika zaidi tunapowatembelea na<br />
kufanya shughuli mbalimbali katika maeneo<br />
yao. Pia ikiwa tutakubaliana kuongeza mifugo,<br />
jamii inayotuzunguka itanufaika kwani lazima<br />
tutainunua mifugo hiyo kutoka kwao. - Waziri<br />
Mnawasiliana kwa njia gani na<br />
ofisi ya <strong>Femina</strong>?<br />
Kuhusu mawasiliano, kwa kawaida huwa<br />
wanaklab wanatuma barua na ripoti mbalimbali.<br />
-Abdallah<br />
AMBASSADOR<br />
NA GAURE MDEE<br />
Mchoteka wametuchota<br />
Mna maoni gani kuhusu<br />
mkutano wa mwaka huu?<br />
Mkutano ulikuwa bomba, na nimependa kwani<br />
imekuwa ni fursa kwetu kukutana na wenzetu<br />
kutoka mikoa mbalimbali na kubadilishana<br />
uzoefu. - Hashim<br />
Zawadi hizi ziwe ni changamoto kwa shule<br />
zisizokuwa na klab kuweza kuanzisha klab pia.<br />
- Abdallah<br />
Jamii itapata faida gani au<br />
itanufaikaje kwa ushindi wenu?<br />
Wanajamii watafurahi na kufaidika wakiona<br />
tumeshinda zawadi na wao watajitahidi kujua<br />
zaidi jinsi gani ya kuwa klab bora ya Fema.<br />
- Jacqueline Alomanus<br />
Jamii itajifunza kutoka kwetu jinsi ya kufuga<br />
mbuzi . - Teuka Mtila<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
53
NJE YA KIWANJA<br />
REMTULLAH<br />
ANAFANYA<br />
MAKUBWA NA<br />
K<br />
wa wapenzi wa fani ya mitindo, jina la Ally<br />
Remtullah si geni masikioni mwao. Punde<br />
utakapolisikia tu ni mitindo na ubunifu<br />
ndicho kitakachofuata akilini. Akiwa na miaka 26 tu,<br />
Ally Remtullah tayari ni miongoni mwa wabunifu<br />
wakali Tanzania.<br />
Ally ameshafanya maonyesho mengi ya kazi zake za<br />
ubunifu ndani na nje ya Tanzania, ikiwemo Kenya,<br />
Uganda, Rwanda, Burundi, Tunisia na Uingereza na<br />
anakiri kuwa ubunifu wa mitindo ni kazi inayolipa.<br />
Ally hafanyi tu ubunifu wa mavazi kwa faida ya<br />
maisha yake pekee, la hasha! Anajisikia vyema pale<br />
anapojitolea kwa jamii yake.<br />
Wakati wa Kampeni ya Zinduka “Malaria No More”<br />
alijitolea ku-design na kuwavalisha mabalozi wa<br />
Zinduka mwaka 2010 na walilipuka vya kutosha<br />
asikwambie mtu.<br />
Ally pia alishafanya mradi wa Fashion for Education<br />
ambao kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na<br />
54 FEMA MAGAZINE: NJE YA KIWANJA<br />
Mafunzo ya Ufundi na Bodi ya Elimu Kisarawe,<br />
walitumia mitindo kukusanya pesa kwa ajili ya shule<br />
za Wilaya ya Kisarawe.<br />
Anasema alichagua elimu kwa kuwa anajua<br />
umuhimu wake. “Kukulia katika tabaka la maisha<br />
la kati na kujilipia ada ya shule wakati nasoma<br />
Marekani kulinifanya niamini zaidi kuwa elimu ni<br />
muhimu na hiki ndicho kilichosababisha kuunga<br />
mkono elimu”.<br />
Katika mradi huu walikwenda kwenye shule za hali<br />
ya juu za Dar es Salaam na wakazitaka kuzichangia<br />
shule za hali ya chini. “Tulifanya maonyesho ya<br />
mavazi kwenye shule hizo na kuwatumia wanafunzi<br />
kama wanamitindo; mapato yaliyopatikana yaliingia<br />
kwenye mfuko wa Fashion for Education” anasema.<br />
Hajaishia hapo, Remtullah ni Balozi wa Drug Free<br />
Zanzibar NGO iliyopo Zanzibar. “Tunafanya shughuli<br />
za kuingiza kipato kila mwaka ili kuwasaidia vijana<br />
walioathiriwa na matumizi ya dawa za kulevya,”<br />
anasema.<br />
CHRISTINE BISANGWA; PICHA MAKTABA YA REMTULLAH<br />
Nilipomuuliza Ally kwa nini alichagua Zanzibar na<br />
si sehemu nyingine anasema dawa za kulevya zipo<br />
kila mahali, Zanzibar ikiwemo. “Ni kitu kinachoathiri<br />
maisha ya vijana na familia zao”.<br />
Alifuatwa na Suleiman Mauly (Mwenyekiti wa<br />
Drug-Free ZNZ) na kumuomba msaada. Suleiman<br />
hakutaka pesa kutoka kwake, bali alihitaji msaada<br />
tu. Baadaye alifanya juhudi za kumsaidia kwa<br />
kuwatembelea waathirika wa dawa za kulevya na<br />
kupiga nao stori wakazoeana na akawa anawasaidia<br />
kwa ushauri.<br />
“Baada ya hapo niliteuliwa kuwa Balozi wa NGO<br />
hiyo na mpaka sasa tunafanya matukio tofauti ili<br />
kutunisha mfuko,” anasema na kuongeza kwamba<br />
yapo mengi mazuri anayoyafanya ikiwemo<br />
maonyesho mbalimbali ili kuwasaidia watu ambao<br />
wameathiriwa na janga la Ukimwi.<br />
�������������������
Kuvalia nguo barabarani<br />
Hivi karibuni wakati nikitoka home kwenda kibaruani<br />
nilikutana na jamaa mmoja, mkaka mtanashati kweli kweli.<br />
Wakati naendelea kufurahia jinsi alivyovaa, akaniondolea<br />
furaha yangu. Akafungua suruali, (subiri kwanza),<br />
akachomoa shati na kuanza kuchomekea tena upya.<br />
Wakati anafanya hayo yote, alikuwa akiendelea kutembea<br />
bila wasiwasi, zipu wazi, mkanda wazi, yuko bize anaweka<br />
shati lake vizuri na anasonga mbele. Unapata picha?<br />
Nikajiuliza angekuwa mwanadada anafanya ishu hiyo<br />
ingekuwaje? Kiukweli watu wengi wana hii tabia.<br />
Mi binafsi huwa sifurahishwi nayo, sijui wewe mwenzangu?<br />
Barabarani kuna vituko<br />
Unapokodi pikipiki kubali yote, anayeendesha ndo kashika<br />
mpini, wewe umeshika makali. Pengine hii umewahi<br />
kukutana nayo, lakini kwa sababu hujanisimulia, mie<br />
nakuwahi, ili na wengine wasome. Ilitokea barabarani,<br />
jamaa kakodi pikipiki, kwa upuuzi wake tu hakudai kofia ya<br />
usalama, safari ikaendelea. Wakawa wanapenya kwenye<br />
foleni, kumbe ndani ya daladala moja kuna mtu kajaza<br />
mdomo wake kwa mate na muda wa kuachana nayo ukawa<br />
umefika.<br />
Akaamua kuyatema badala ya kuyameza. Usigune, hili<br />
pia hutokea sana, mi sijui ni kwa nini watu wana tabia<br />
ya kutematema mate hovyo nje ya madirisha ya magari.<br />
Basi bwana ikawa kwa bahati mbaya sekunde ile ile ndo<br />
na ile pikipiki ya jamaa zetu ikawa inapita. Lile rundo lote<br />
lililokataliwa mdomoni mwa abiria wa daladala likaishia<br />
usoni kwa abiria wa pikipiki.<br />
Alifanyaje? Hilo tafrani lake halitoshi hapa kwenye<br />
ukurasa. Upo hapo?<br />
Lini mara ya mwisho kupanda pikipiki mkapenyapenya?<br />
Nimeyasoma haya<br />
kwenye magari<br />
�� ���������������������������������������������<br />
�� �����������������������������������<br />
�� �����������������������������������<br />
Mawigi haya jamaniiii<br />
Hii nimeipokea kutoka Mwanza. Huyu dada bila shaka<br />
alikuwa na hamu ya kupigana ila tu akasahau yaliyoko<br />
kwenye mwili. Alifika kwenye duka moja akiwa anadai<br />
kapewa chenji pungufu. Akaulizwa chenji yenyewe ya<br />
lini, akasema ya jana.<br />
Mmmh! Kwa hiyo leo ndo umeshtuka dada? Ndiyo,<br />
nataka hela yangu. Ikawa mbinde pale dada akafunga<br />
kibwebwe anataka kumpiga muuza duka.<br />
Muuza duka uvumilivu ukayeyuka, akatoka nje wakaanza<br />
kukunjana sawasawa. Sasa hii sijui ilikuwa bahati nzuri<br />
au mbaya, katika purukushani muuza duka akashika<br />
kichwa cha mteja msumbufu, wigi likavuka, kikadondoka<br />
kitu.<br />
Kukicheki kilichodondoka, boooonge la hirizi. Mteja<br />
akaokota, huyooooo, na ugomvi ukaishia hapo.<br />
Mawigi hayo.<br />
Wito:<br />
Hivi ni kweli hamna vijistori vya kuniandikia au mnafurahi<br />
tu kwamba wachache ndo tuchangie ukurasa huu?<br />
Nawashukuru sana walionitumia vijistori vya mitaa yao,<br />
nakusubiri na wewe unitumie vya kwako. Andika kichwa<br />
cha habari Vijistori kisha tuma Jarida la Fema, S.L.P 2065<br />
Dar es Salaam, au kwa email info@feminahip.or.tz<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
55
CITIZEN ENGAGEMENT<br />
56<br />
Haraka haraka...<br />
Je unakumbuka siku uliyopata fomu ya kujiunga na elimu ya sekondari?<br />
Unakumbuka vipimo vya afya ulivyotakiwa kupima na kujaza kwenye fomu kabla<br />
ya kujiunga? Ndiyo! Ulipaswa kwenda kwa daktari, kufanyiwa vipimo kwa kila<br />
kilichopaswa kujazwa na kisha daktari ajaze fomu hiyo. STORI NA PICHA GAURE MDEE<br />
Je, ulikwenda? Wangapi kati yetu angalau<br />
basi walikuwepo wakati daktari anajaza<br />
ile fomu? Ulipima kweli macho, damu na<br />
moyo kabla fomu yako haijajazwa?<br />
Japokuwa gharama za kupima afya ili kutimiza<br />
mahitaji ya kujiunga na elimu ya sekondari ni<br />
5,000/- watu hawafuati mfumo unaotakiwa.<br />
Wengi wanapita njia ya mkato na kumaliza<br />
shida zao.<br />
Kassim* kijana mwenye miaka 18 kutoka<br />
Tandale, Dar es Salaam anakumbuka jinsi<br />
daktari katika moja ya zahanati kwenye<br />
kitongoji chake alivyomuomba 2,000/- zaidi ali<br />
aweze kuwajazia fomu yeye na kaka yake bila<br />
kuwapima chochote kabla hawajajiunga na<br />
kidato cha kwanza. Pesa ya ziada ililipwa kwa<br />
kile daktari alichokiita “kusaidia maendeleo ya<br />
zahanati ya jamii”.<br />
FEMA MAGAZINE: CITIZEN ENGAGEMENT<br />
William* na Bakari*, wanafunzi wa kidato cha<br />
sita katika Shule ya Sekondari ya Azania jijini<br />
Dar es Salaam, nao pia walitumia njia ya mkato.<br />
“ Nilisubiri mpaka dakika za mwisho kabla<br />
sijapeleka fomu kwa madaktari” anaelezea<br />
William. Ilikuwa ni saa chache tu kabla ya<br />
kuanza elimu ya sekondari, hivyo alikuwa na<br />
hofu kidogo.<br />
Bila ya yeye kuonana na daktari, mjomba wake<br />
alimlipia na akaipata fomu yake mapema akiwa<br />
Mbezi. William hakuwahi kutia mguu wake<br />
katika kituo cha afya.<br />
“Nakumbuka kumlipa daktari ili ajaze fomu ya<br />
mtoto wangu. Hata hivyo, hakuwahi kupatiwa<br />
kipimo cha aina yoyote ile. Na mimi sikuuliza<br />
pia kwa sababu kila mtu alikuwa anafanya<br />
vile” Tunu Rajabu* kutoka Songea, mama wa<br />
mwanafunzi wa kidato cha kwanza anaeleza.<br />
Mfano huu ni moja ya mazingira halisi ambayo<br />
yamekuwa ni ya kawaida, inatokea kwa wengi<br />
wetu. Tunakuwa katika mazingira ambayo<br />
tunahitaji huduma za haraka na tutafanya<br />
chochote ili tuzipate hizo huduma.<br />
Tupo tayari kupita njia za mkato, tupo tayari<br />
kutoa na kupokea rushwa kutoka kwa wengine.<br />
Mtoa huduma, mara nyingi, hupokea kwa<br />
ridhaa pesa ya ziada ili kusaidia kufanikisha<br />
mchakato mzima wa ‘short<strong>cut</strong>’.<br />
Nini kinaweza kutokea?<br />
Haijalishi huduma hii ni ndogo kiasi gani au<br />
imezoeleka kwa kiasi gani. Ni rushwa na ni kosa<br />
la jinai!<br />
Kwa mujibu wa Taasisi ya Kuzuia na<br />
Kupambana na rushwa, kupokea, kutoa au<br />
kuomba rushwa kunaweza kukugharimu faini
si chini ya 500,000/- mpaka milioni moja au<br />
kwenda jela kwa kipindi kisichopungua miaka<br />
mitatu!<br />
��������������������������������������������<br />
miaka mitatu kwa sababu tu wamemlipa mtoa<br />
huduma ajaze “uongo” katika fomu yako ya<br />
afya! Inachukua masaa machache kumuona<br />
daktari na kupatiwa huduma ya vipimo.<br />
Fanya kitu sahihi!<br />
Sikika, ni taasisi isiyo ya kiserikali inayolenga<br />
kuboresha utawala na ushiriki wa wananchi<br />
katika sekta ya afya. Kwa uchunguzi mdogo tu<br />
uliofanyika ni kuwa hospitali zetu na zahanati<br />
zimeshamiri kwa rushwa. Ukweli ni kuwa, kila<br />
kitengo kimeshamiri kwa rushwa, kuanzia<br />
mapokezi mpaka chumba cha kuhifadhi maiti.<br />
Huduma zinatakiwa kulinda afya za wananchi<br />
lakini wakati mwingine hutokea kinyume<br />
chake. Huwezi kupata hudUma mpaka uhonge!<br />
Ripoti pia inaonyesha kuwa watu wengi<br />
���������������������������������������������<br />
huduma ni “kawaida’ na ndivyo jinsi mambo<br />
yalivyo!<br />
Sababu kubwa ya watu katika sekta ya huduma<br />
za afya kujiingiza katika matendo ya rushwa ni<br />
kipato kidogo, tamaa na uchache wa vifaa.<br />
Kupokea bakshish imekuwa ni tabia, jambo<br />
ambalo linaonyesha ukosefu wa maadili katika<br />
utoaji wa huduma za afya. Sababu nyingine ni<br />
ukinzani kati ya usambazaji na mahitaji. Kama<br />
mtu anakuwa na haraka, atafanya ‘chochote’<br />
ili kupata huduma anayohitaji, na pia upande<br />
wa pili atakuwepo mtoa huduma anayemsubiri<br />
huyu mtu mwenye haraka ili apokee hongo.<br />
Hii ni kawaida hata kwa wanafunzi<br />
wanaposubiri mpaka dakika ya mwisho kabla<br />
ya kujiunga na shule ili wapatiwe vipimo<br />
‘hewa’. Inabidi waharakishe kwa sababu kama<br />
utaenda shule bila kujaza fomu za uchunguzi<br />
wa afya huwezi kuanza shule hivyo inabidi<br />
‘kughushi’<br />
Rushwa katika huduma ya afya inatisha,<br />
inaweza kuathiri maisha hata kusababisha<br />
vifo. Sekta ya huduma za afya kwa jamii<br />
inatakiwa kusimamia utoaji wa huduma za<br />
afya na matibabu ya wananchi na kuhakikisha<br />
watu wanapata huduma bora alimradi tu<br />
wamelipa malipo stahili kwa huduma hiyo.<br />
Kama kila mtu anapatiwa huduma ‘hewa’ za<br />
afya, hii maana yake nini?<br />
Chukua hatua, leo!<br />
Unaweza kuamua kutotoa rushwa. Fuata<br />
sheria, pima afya yako, fomu hiyo imewekwa<br />
ili kusaidia afya yako. Usichangie ukuaji wa<br />
rushwa katika sekta ya afya, ni kama ugonjwa<br />
na inaifanya jamii nzima kutotenda kazi zake<br />
ipasavyo. Inatubidi tuutibu kwa kuutapika na<br />
�������������������<br />
Toa taarifa za kuwepo kwa mazingira ya<br />
rushwa katika huduma ya afya, na unaweza<br />
kufanya hivyo bila kutoa taarifa zako (bila<br />
kujulikana). Hivyo usinyamaze na rushwa<br />
ukaichukulia ‘poa’.<br />
Piga vita rushwa ya aina yoyote katika sekta<br />
ya huduma za afya. Wananchi wanatakiwa<br />
kutoa taarifa na mapendekezo ya nini<br />
kifanyike kwa hali iliyopo sasa ya rushwa<br />
ndogondogo katika huduma za afya.<br />
* Majina yaliyotumika si majina halisi ya wahusika...<br />
kumbuka<br />
Unaweza kulalamika kuhusu rushwa,<br />
lakini wakati mwingine wewe<br />
mwenyewe ni mshiriki namba moja.<br />
Kuwa mtatuzi wa matatizo na sio<br />
�����������������������������<br />
������������������������������������<br />
����������������������������������<br />
maisha yako ya kila siku, na katika<br />
jamii yoyote kwa ujumla!<br />
Ni aina gani ya rushwa ambayo<br />
umewahi kuishuhudia katika kituo<br />
���������������������������<br />
Tuambie kwa kwa kutumia njia za<br />
������������������������<br />
0715 568 111<br />
Email:���������������������<br />
�������������������������<br />
Twitter: ����������<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
USHIRIKI WA WANANCHI 57
SHORT CUT=WRONG CUT<br />
Remember when you got your secondary<br />
school joining instructions? Remember<br />
the form and medical checkup you were<br />
supposed to get before joining the school? Yes,<br />
you were obligated to visit a doctor, so that you<br />
could be given a health checkup of your eyesight,<br />
blood pressure and so on.<br />
What did you do? How many of you were actually<br />
��������������������������������������������������<br />
How many of you had your eyes, blood and heart<br />
����������������������������������������������<br />
����������<br />
Even though the standard fee for a school medical<br />
checkup is only Tsh 5,000, many people do not<br />
go through the required procedure. Eighteenyear-old<br />
Kasim* from Tandale, Dar es Salaam,<br />
remembers how a doctor in Tandale asked for<br />
Tsh 2,000 more from him and his brother so that<br />
they could get their medical checkup form (for<br />
Form I) without being examined. The extra money<br />
went to what the doctor termed, ‘helping the<br />
community clinic develop!’<br />
William* and Bakari* Form VI students in Azania<br />
Secondary School in Dar es Salaam; also took<br />
short<strong>cut</strong>s. “I waited till the last minute before I<br />
������������������������������������������������<br />
only a few hours before starting school, so with<br />
no interaction with the doctor William’s form was<br />
�����������������������������������������������������<br />
took care of everything without him ever setting<br />
foot in the health facility.<br />
����������������������������������������������<br />
form. He was never given the checkup. I didn’t<br />
question it because it was what everybody else<br />
was doing.” says Tunu* from Songea, mother to a<br />
Form I student.<br />
These are common situations. We end up needing<br />
a service urgently and we are willing to accept<br />
short<strong>cut</strong>s. We are willing to be corrupt and to<br />
corrupt others.<br />
The person on the receiving end will, in most<br />
cases, eagerly accept the extra money.<br />
58<br />
FEMA MAGAZINE: CITIZEN ENGAGEMENT<br />
What can happen<br />
No matter how small and common this kind of<br />
service is, it is an offense! It is corruption.<br />
According to the Prevention and Combating of<br />
Corruption Bureau (PCCB) receiving, giving or<br />
����������������������������������������������������<br />
million shillings or jail time of no less than 3 years!<br />
Imagine you or your parent going to jail for 3<br />
�����������������������������������������������������<br />
‘fake’ medical checkup form! It only takes a few<br />
hours and money to go see a doctor and do the<br />
actual tests.<br />
Do the right thing!<br />
Sikika, an NGO aiming to improve governance<br />
and citizen participation in the health sector,<br />
concluded in a study that our hospitals and clinics<br />
are not corruption-free zones. In fact, they found<br />
corruption in every department in the health<br />
services, from the reception to the mortuary.<br />
The health services are supposed to secure the<br />
citizen’s health but sometimes the opposite<br />
happens. You may not get a service before you<br />
bribe! The report also showed most people<br />
seem to think that paying extras for a service is<br />
‘normal’?!<br />
The most common reasons why health care<br />
staff involve themselves in corrupt acts are low<br />
incomes, greed and scarcity of equipment. Taking<br />
a bribe has become a habit and demonstrates lack<br />
ethics among healthcare workers.<br />
If a person is in a hurry they will do anything to get<br />
a service. This is usually the case when students<br />
wait until the last minute to get their medical<br />
���������������������������������������������������<br />
show up without it, you can’t start schooling.<br />
Corruption in the health sector is serious. It<br />
affects lives and deaths. Public health facilities are<br />
suppose to ensure that everyone receives proper<br />
care, as long as they have paid the basic clinic fees.<br />
Filling in fake forms, is not proper health care.<br />
PHOTO AND STORY BY GAURE MDEE<br />
Do something, today<br />
You can decide not to contribute to corruption.<br />
Follow the rules and take your medical<br />
examination, it has been created to protect you.<br />
Don’t contribute to sustaining corruption in the<br />
health sector. It is like a disease and it makes the<br />
social body dysfunctional and sick. We have to<br />
����������������������������������������������<br />
Report corruption in the health sector. Citizens<br />
should report and suggest solutions to the<br />
existing petty corruption as they access<br />
healthcare services.You can do so without<br />
revealing your identity.<br />
So don’t just sit around and take corrupt actions<br />
as ‘normal’.<br />
remember<br />
�����������������������������������<br />
but you may sometimes engage in it.<br />
��������������������������������������<br />
����������������������������������������<br />
������������������������������������������<br />
our common social body! Take action!<br />
�������������������������������������<br />
�����������������������������������������������<br />
by using the sms number:<br />
0715 568 111<br />
��������������������������������������<br />
Email:���������������������<br />
�������������������������<br />
Twitter: ����������<br />
* Names used in the story have been changed
Hii ndiyo tume<br />
NA JIANG ALIPO<br />
YENYEWE<br />
Tume ya Marekebisho ya Katiba inakuja kuchukua maoni hapohapo ulipo! Unashangaa? Kama ulikuwa hujui<br />
ndiyo hivyo, amka kijana. Tume ishateuliwa na Rais Jakaya Kikwete, ishatangazwa, ishaapishwa na ishaanza kazi!<br />
T<br />
ume ina jumla ya wajumbe 30, nusu kutoka<br />
Bara, nusu Zanzibar. Hii ni kutoka majina<br />
550 ambayo Rais Kikwete alipelekewa na<br />
vyama vya siasa, asasi za kiraia na za kidini.<br />
Ungana nasi uwajue wajumbe wa Tume hii<br />
angalau kidogo.<br />
Humphrey Polepole:�����������������<br />
kwa mwakilishi wetu pekee kwenye tume<br />
hii. Ndiyo, maana Polepole ndiye kijana<br />
pekee kwenye tume hii. Ni Mkurugenzi wa<br />
Tanzania Youth Coalition (TYC), Mwenyekiti<br />
wa Baraza a Taifa la NGO. Mdau mkubwa wa<br />
<strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong>; keshatupambia ‘kava’ la Fema,<br />
kama mhamasishaji mabadiliko. Pia Februari<br />
alishirikiana na Rebeca Gyumi kuendesha<br />
mjadala wa Katiba kwenye kongamano letu la<br />
Vijana na Katiba, kama tulijua vile atateuliwa<br />
kuingia kwenye tume hii. Polepole tunajua<br />
hutotuangusha, tunaona fahari kwa uwepo<br />
wako kwenye Tume! Big up kwako Polepole!<br />
Jaji Joseph Warioba: Mwenyekiti wa Tume<br />
hii. Jaji Warioba ni Waziri Mkuu na Jaji Mkuu<br />
Mstaafu.<br />
Jaji Augustino Ramadhan: Ni Makamu<br />
Mwenyekiti wa Tume. Ni Jaji Mkuu Mstaafu wa<br />
Mahakama Kuu ya Tanzania na Mahakama Kuu<br />
ya Zanzibar.<br />
TANZANIA BARA:<br />
Prof Mwesiga Baregu: Mhadhiri wa Chuo<br />
Kikuu cha Mt. Augustine na Mshauri wa masuala<br />
ya siasa wa Chadema.<br />
Riziki Shahari Mngwali: Mhadhiri wa Kituo<br />
cha Uhusiano wa Nje cha Dar es Salaam.<br />
Dk Sengondo Mvungi: Mwanasheria na<br />
mshauri wa masuala ya kisheria wa NCCR-<br />
Mageuzi.<br />
John Nkolo: Katibu Mkuu wa chama cha UDP.<br />
Alhaj Said Hamad El-Maamry:<br />
Mwanasheria maarufu na mjumbe wa kudumu<br />
wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka<br />
Afrika (CAF).<br />
Jesca Mkuchu: Mratibu wa Tanzania<br />
Ecumenical Dialogue Group.<br />
Professor Palamagamba Kabudi:<br />
Mkuu wa Shule ya Sheria Chuo Kikuu cha<br />
Dar es Salaam.<br />
Yahya Msulwa: Katibu Mkuu wa Chama cha<br />
Walimu Tanzania (CWT).<br />
Esther Mkwizu: Mwenyekiti Mstaafu wa<br />
Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF).<br />
Maria Malingumu Kashonda: Mwenyekiti<br />
wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania<br />
(TAWLA).<br />
Al-Shaymaa Kwegyir: Mbunge wa Viti<br />
Maalumu (CCM) na Mwenyekiti wa Goodhope<br />
Star Foundation.<br />
Mwantumu Malale: Makamu Mkuu wa Chuo<br />
cha Kiislamu cha Morogoro.<br />
Joseph Butiku:<br />
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Mwalimu<br />
Nyerere.<br />
Richard Lyimo: Naibu Katibu Mkuu wa TLP.<br />
ZANZIBAR:<br />
Dr Salim Ahmed Salim: Waziri Mkuu<br />
Mstaafu, Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa<br />
Afrika (OAU).<br />
Omar Sheha Mussa: Alikuwa Mbunge wa<br />
Chumbuni (CCM).<br />
Fatma Said Ali: Aliwahi kuwa Mbunge na<br />
Waziri.<br />
Raya Salim Hamad: Mjumbe wa Baraza la<br />
Wawakilishi Zanzibar (CCM).<br />
Awadh Ali Said: Rais wa Chama cha<br />
Wanasheria cha Zanzibar (ZLS).<br />
Ussi Khamis Haji: Makamu Mwenyekiti<br />
Mstaafu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.<br />
Salma Maoulidi: Mkurugenzi Mkuu wa<br />
Taasisi ya Sahiba Sisters na mwanaharakati wa<br />
haki za wanawake.<br />
Simai Mohamed Said: Mwenyekiti wa<br />
Chama cha Wawekezaji kwenye Utalii Zanzibar.<br />
Abubakar Mohamed Ali: Mwandishi wa<br />
habari wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC<br />
- Swahili).<br />
Nassor Khamis Mohammed: Mwenyekiti<br />
wa Chama cha NRA.<br />
Muhammed Yussuf Mshamba: Mkurugenzi<br />
����������������������������������������������<br />
Zanzibar.<br />
Kibibi Mwinyi Hassan: �������������������<br />
shughuli za Serikali Zanzibar.<br />
Suleiman Omar Ali: �����������������������<br />
Kilimo, Zanzibar.<br />
Salama Kombo Ahmed: Amewahi kuwa<br />
mjumbe wa tume ya rais ya matukio ya 26th &<br />
27th January, 2001 Zanzibar.<br />
Katibu: Assaa Ahmad Rashid<br />
Naibu Katibu: Casmir Sumba Kyuki<br />
Kazi yake?<br />
Jukumu la msingi la Tume hii litakuwa kuongoza<br />
na kuratibu mchakato utakaoshirikisha<br />
wananchi wote Watanzania bila kubagua,<br />
including wewe, kutoa maoni yao yatakayohusu<br />
Katiba. Tume imeshaanza kazi, inatarajiwa<br />
kumaliza kazi Octoba 2013. Serikali imeahidi<br />
katiba mpya by April 2014. Kijana, huu ni wakati<br />
wako wa kushiriki kutengeneza katiba ya nchi<br />
yako, usilale!<br />
JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />
AMKA<br />
59
COMPETE & WIN<br />
Ni muda mwingine wa kuchagamsha bongo na Jarida la Fema. Majibu yote yako katika toleo<br />
hili hapa, kwa hiyo chimba mwanangu! Zawadi ni fulana au khanga maridadi za <strong>Femina</strong><br />
<strong>HIP</strong> na unaweza kuwa mshindi anayefuata.<br />
MASWALI<br />
1. Tuambie sababu mbili za kwa nini wafanyakazi wa<br />
hospitalini wanajihusisha na rushwa?<br />
2. Kwa nini Mkuki Bgoya anaomba<br />
�������������������������������<br />
3. Julieth aliamuaje kuhusu Bosi wake?<br />
4. Kwa nini wanafunzi wa Msimbazi<br />
waligoma, toa sababu tatu.<br />
TAMBUA PICHA:<br />
����������������������������������<br />
Jibu kweli au si kweli<br />
1. Ally Remtullah ni mchezaji mpira.<br />
2. Rushwa ni matumizi ya ofisi ya umma kwa manufaa ya umma.<br />
3. Mwanafunzi wa kike kupata lifti kutoka kwa mwanamume ni<br />
aina moja ya rushwa.<br />
4. Kazi ya TAKUKURU ni kukamata wezi.<br />
60 FEMA MAGAZINE: COMPETE & WIN<br />
WASHINDI WA TOLEO LA<br />
APRIL – JUNE NI:<br />
1. Bahati Kiputa, kiputabahati@yahoo.com<br />
2. Mariam Asunga, Mgeta Secondary School,<br />
P. O Box 246, Morogoro<br />
3. Imani James, Kibaha Secondary School,<br />
P. O Box 30052, Pwani<br />
4. Mary Ndee, Mwanamwema Shein Secondary School,<br />
P. O Box 1601, Singida<br />
5. Florian Kakulima, Karagwe Secondary School,<br />
P. O Box 87, Karagwe, Kagera<br />
NB: Washindi tumeni ujumbe mfupi<br />
mtuambie jinsi ya kuwapatia zawadi zenu.<br />
Andika neno Fema, acha nafasi, kisha<br />
andika maelezo yako kwa ufupi na utume<br />
kwenda namba 15665.<br />
JINSI YA<br />
KUSHIRIKI:<br />
YEYOTE<br />
ANAWEZA<br />
KUSHIRIKI<br />
�� �������������������������<br />
yako katika karatasi nyingine na<br />
siyo kwenye ukurasa huu.<br />
�� ��������������������������������<br />
khanga ya <strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong>.<br />
�� ���������������������������<br />
kwa barua pepe au posta.