15.01.2013 Views

wrong cut - Femina HIP

wrong cut - Femina HIP

wrong cut - Femina HIP

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

No.25 ISSN 1821-5599<br />

HALIUZWI<br />

Ubunifu wa<br />

Kizalendo<br />

Intavyuu au<br />

Inta-vua?<br />

Short <strong>cut</strong> =<br />

<strong>wrong</strong> <strong>cut</strong><br />

Become an<br />

anti-corruption<br />

HERO!


COVER STORY: Ubunifu wa kizalendo 4<br />

Patriotic through design 7<br />

MY REGION: Singida ni mji aisee! 8<br />

BARUA FROM YOU 10<br />

BURUDANI: Maadili kitanzini! 12<br />

Moral corruption 14<br />

Money Rules 15<br />

NEWS BULLETIN 16<br />

UJINSIA NA MAHUSIANO:<br />

Intavyuu au Inta-vua? 18<br />

Carpet interview! Beware! 21<br />

MPENDWA ANTI 22<br />

MPENDWA ANKO:<br />

Usipotezee, mshirikishe ‘mtu’ wako! 24<br />

NGUVU ZA MWANAUME:<br />

Ukichelewa imekula kwako! 25<br />

HADITHI YA PICHA: Poor Badra! 26<br />

VUMILIA: Lebo imekuwa ishu? 30<br />

IT WITH FREDDIE: Stay safe with IT 31<br />

SAUTI YAKO 32<br />

Stori za Rushwa 33<br />

LIFE SKILLS: Komesha rushwa 34<br />

Become an anti-corruption hero! 36<br />

LIFESTYLES: Is it corruption? 37<br />

KAZI NA PESA: Rasimisha biashara yako 45<br />

WHAT’S UP FEMA CLUBS 48<br />

PASUA KICHWA: Chalenji No.4 50<br />

WAKALI: BaabKubwa ni kubwa kuliko! 51<br />

HERE ‘N’ THERE: 52<br />

AMBASSADOR: Mchoteka wametuchota! 53<br />

NJE YA KIWANJA: Remtullah anafanya makubwa 54<br />

VIJISTORY NA ABC 55<br />

CITIZEN ENGAGEMENT:<br />

Haraka haraka…. 56<br />

Short <strong>cut</strong> = <strong>wrong</strong> <strong>cut</strong> 58<br />

AMKA: Hii ndiyo Tume yenyewe 59<br />

COMPETE AND WIN 60<br />

This issue of Fema is made possible by the<br />

generous support of the Governments of Sweden<br />

(Sida), Denmark (DANIDA), HIVOS, The United<br />

States Agency for International Development<br />

(USAID) and the PEPFAR supported<br />

FHI360/ Ujana and PSI/Husika projects. Editorial<br />

partnership in this issue: RFSU and BEST-AC.<br />

<strong>Femina</strong><br />

<strong>HIP</strong><br />

The contents are the responsibility of<br />

FEMINA <strong>HIP</strong> and do not necessarily<br />

reflect the views of the sponsors.<br />

YALIYOMO CONTENTS<br />

FEMINA <strong>HIP</strong> OFFICE<br />

5TH FLOOR, PATEL BUILDING<br />

P.O. BOX 2065<br />

DAR ES SALAAM, TZ<br />

TEL: 022 2128265, 2126851/2<br />

FAX: 022 2110842<br />

info@feminahip.or.tz<br />

www.chezasalama.com<br />

SMS: 0715 568111<br />

FROM THE EDITOR<br />

SMS: 0715 568111<br />

Guys, let’s talk corruption! Ready? Or is it<br />

a taboo topic? Not for Fema readers and our<br />

good friends, the anti corruption clubbers na<br />

vijana wote, au sio? Yes! Maybe you can even<br />

be an anti corruption hero!<br />

Sikiliza! The Fema team drove all the way to<br />

Singida to trigger a discussion around this<br />

‘killer disease’! Does it sound like Singida is<br />

more rampant with corruption than the rest of<br />

Bongo? NO! We roam around giving everyone a<br />

voice and it was Singida’s turn. Find touching<br />

testimonies from youth in Singida on pg 33.<br />

Familiar, je?<br />

How many times have you given or accepted a<br />

bribe, be it money, gift, sex au chai kantini?<br />

Do you know what makes a bribe? Don’t worry!<br />

Lifestyles pages will help you understand what<br />

makes an act corruption.<br />

Fema Clubbers do you want an easy ticket to<br />

fame and to Dar? Don’t sweat; work the club<br />

challenge in the Pasua Kichwa page, and you<br />

may win a trip to the youth conference and<br />

more! Kama hiyo haitoshi, mtauza sura katika<br />

Fema! Imetulia eeh? You could win a solar lamp<br />

too via the Ushiriki wa Wananchi section on pg<br />

56!<br />

Happy reading!<br />

Cheza<br />

salama, usitoe<br />

wala kupokea<br />

rushwa!<br />

EXECUTIVE DIRECTOR<br />

Dr. Minou Fuglesang<br />

MEDIA DIRECTOR<br />

Amabilis Batamula<br />

PUBLICATIONS MANAGER<br />

Jiang Alipo<br />

SENIOR EDITOR<br />

Pendo Mashulano<br />

FEATURES EDITOR<br />

Gaure Mdee<br />

facebook.com/femina<strong>HIP</strong><br />

CONTRIBUTORS<br />

Anna Muro Temu<br />

Karin Hanna<br />

Sarah Chodota<br />

Nashivai Mollel<br />

Christine Bisangwa<br />

Constancia Mgimwa<br />

Gloria Mkoloma<br />

Frederick Mwinjabi<br />

ADVERTISING<br />

Lilian Nsemwa<br />

Jiang<br />

@feminahip<br />

COVER PHOTOGRAPHY<br />

Gabriel Makupa<br />

LAYOUT DESIGN<br />

Natasha Dickens<br />

CARTOONS<br />

Babatau Inc<br />

DISTRIBUTION<br />

EAM Logistics LTD<br />

PRINTING<br />

Jamana Printers Ltd.


Ubunifu wa<br />

4 FEMA MAGAZINE: COVER STORY<br />

kizalendo


“Najitahidi kufanya kazi kwa uadilifu na kuwa mwaminifu kwa watu<br />

ninaofanya nao kazi,” kijana mbunifu Mkuki Bgoya anabainisha, “hii ni njia<br />

ninayoitumia kuwaonyesha wateja wangu kwamba vijana wa Kitanzania<br />

ni wachapakazi na wanaaminika.” NA GAURE MDEE: PICHA GABRIEL MAKUPA<br />

M<br />

kuki, ndiyo ‘kichwa’ kilichosimama na kubuni fulana<br />

za kijanja zinazojibebea umaarufu hapa nchini<br />

zenye chapa ya “Nyerere” na “1961”.<br />

“Hizi ni chapa ambazo zinaonyesha Tanzania, zikitukumbusha<br />

enzi na fahari yetu ya kuwa Watanzania,” anasema<br />

Usanifu wa fulana zinazotengenezwa na lebo yake ya Kina<br />

Klothing, zibeba ujumbe wa utambulisho na uzalendo.<br />

Stori yake imevuka miaka na mipaka kadhaa katika pilika za<br />

kufukuzia ndoto zake. Mkuki sasa ametimiza kile alichokuwa<br />

anakiota, kwani sasa anaendesha kampuni ya uwakala wa<br />

usanifu inayofahamika kwa jina la Spearhead.<br />

Kitindamimba huyu wa familia ya watoto watatu, Mkuki<br />

alizaliwa Aprili 1981 na kukulia jijini Dar.<br />

Alihitimu Loyola High School ya jijini Dar es Salaam, na baadaye<br />

akapata ufadhili ya kusoma Chuo Kikuu cha A&M Texas,<br />

Marekani.<br />

Alianza na shahada ya sayansi ya kompyuta, lakini akiwa<br />

katikati ya masomo yake, Mkuki aligundua kwamba kozi hiyo<br />

anayosomea haimfai. Akaamua kubadili mwelekeo na kujikita<br />

katika elimu ya ubunifu na usanifu, fani ambayo alikuwa<br />

akiizimikia kitambo sana.<br />

Awali, Mkuki alikuwa na wasiwasi kwamba wazazi wake,<br />

wasingekubali asome masomo yanayohusiana na sanaa.<br />

Oh…; hakuwa sahihi!<br />

“Baba’angu ni mkusanyaji mzuri wa kazi za sanaa na<br />

hukubaliana na kila kitu chema kinachoizunguka sanaa. Hivyo<br />

alikubaliana na uamuzi wangu kwa moyo mmoja,” anasema.<br />

Mkuki alimaliza masomo yake na kutunukiwa shahada ya<br />

kwanza ya Design Communication. Katika muhula wake wa<br />

mwisho chuoni, akapata shavu la kufanya kazi ya usanifu katika<br />

Kampuni ya The Richards Group, Texas.<br />

Akafanya kazi na kampuni hiyo hadi mwishoni mwa mwaka<br />

2008 alipoamua kuwa ni muda wa kurudi nyumbani, kuchangia<br />

katika maendeleo ya nchi yake.<br />

Leo hii, kwa kushirikiana na baba yake, Walter Bgoya,<br />

wanaendesha kampuni ya upigaji chapa na duka la vitabu<br />

liitwalo TPH Bookshop lililoko jijini Dar es Salaam. Ni moja<br />

ya maduka yenye hazina kubwa ya vitabu vilivyoandikwa na<br />

������������������������������������������������������������<br />

�����������������������������������������������������������<br />

zake zenye nembo ya Kina Klothing.<br />

Anapokuwa hajabanwa na shughuli za usanifu, Mkuki kwa<br />

����������������������������������������������������<br />

mara kwa mara linalofahamika kama Pen & Mic. Jukwaa hili<br />

hushirikisha washairi, waandishi na wanamuziki wa bendi<br />

ambao hugusia masuala nyeti yanayohusu wananchi na namna<br />

ya kusongesha mbele gurudumu la Taifa. Pia huzungumzia<br />

masuala yanayohusiana na namna ya kupiga vita rushwa nchini<br />

mara kwa mara.<br />

Kwa uchungu anagusia kuwa moja ya changamoto<br />

anazokutana nazo katika kazi yake ya usanifu ni “ku-desa”.<br />

Katika ulimwengu wa usanifu kuiga kazi ya mwenzako<br />

ni kinyume na maadili na ni aina ya rushwa. Si rushwa<br />

katika ulimwe ngu wa usanifu inayomsikitisha, Bali, Mkuki<br />

anashangazwa na jinsi rushwa ilivyoota mizizi katika<br />

ngazi zote hapa Tanzania.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

5


COVER STORY<br />

“Wakati nasoma shule ya msingi baadhi ya walimu - na simaanishi<br />

walimu wote wanafanya hivi - walikuwa wanatupatia juisi na ice<br />

cream tuuze ili waweze kujiongezea kipato. Tulikuwa tunapewa<br />

pakiti moja kama ujira.” Mkuki anaeleza. Anaongeza kuwa<br />

wanafunzi walipokataa kuuza walilamba mikwaju!<br />

“Ni vigumu kubadili tabia.” Mkuki anasema na kuongeza; “kwa<br />

sababu utamaduni wetu unatufundisha kutoa ‘asante’ kwa kila<br />

huduma zinazotolewa. Lakini huduma za jamii zinapaswa kutolewa<br />

sawa sawia kwa wananchi wote. Watu hawatakiwi kulipa zaidi ya<br />

kile wanachopaswa kulipa kisheria pale wanapopatiwa huduma<br />

hizi.”<br />

Anaeleza kuwa utoaji wa bakshish unazalisha utamaduni mbaya wa<br />

uzembe na ubinafsi kiasi kwamba watu watakaa tu na kutegemea<br />

kupewa chochote, au mbaya zaidi, wanathubutu hata kuomba<br />

bakshish kabla ya kufanya kazi.<br />

“Fikiria ndugu yako amezidiwa yuko kwenye foleni hospitali, lakini<br />

hapatiwi huduma yoyote ile. Utasubiri hadi ahudumiwe au utatoa<br />

chochote ili upate upendeleo? Hii ni moja kati ya changamoto<br />

zinazotokea kila siku. Tunakuwa tayari kutoa rushwa ili tupatiwe<br />

upendeleo katika huduma, lakini kwa kufanya hivyo tunazidi<br />

kuichimbia rushwa mzizi, hivyo hakuna kinachobadilika,” anaeleza.<br />

6<br />

FEMA MAGAZINE: COVER STORY<br />

Ushauri kwa vijana…<br />

Mkuki anasema, cha kwanza na cha muhimu ni kwa sisi Watanzania<br />

��������������������������������������������������<br />

“Vijana ndiyo warithi wa hii nchi, hivyo inabidi tuangalie historia<br />

ya nchi na kuangalia misingi ya usawa, mshikamano na uzalendo<br />

ambavyo tunaweza kuendelea kuvijenga. Kukaa tu na kulalamika<br />

vijiweni siku nzima hakutaweza kutatua matatizo yetu wala<br />

kutupeleka popote. Bado tuko nyuma, hivyo inabidi tujitahidi<br />

kuchapa kazi mara mbili zaidi,” anasisitiza.<br />

Mkuki anasema inashangaza kuona kwamba tumetenga siku za<br />

mapumziko ili kuwakumbuka wafanyakazi hodari wa nchi hii,<br />

Nyerere na Karume, badala ya kuiga mfano wao kwa kuchapa kazi<br />

katika siku hizo!<br />

ZAIDI KUHUSU MKUKI<br />

D Mkuki na Nyota Publishers ni muunganiko wa jina lake,<br />

Mkuki, na la dada yake, Nyota.<br />

D Neno Kina katika “Kina Klothing” ni neno la Kiswahili lenye<br />

maana ya urefu wa kwenda chini.<br />

D Jina Pen & Mic; Pen - inawakilisha ushairi na uandishi, Mic - muziki.


PATRIOTIC THROUGH DESIGN<br />

kuki is the brain behind the ‘Nyerere’ and<br />

‘1961’ funky-designed T-shirts that have<br />

become popular in the country.<br />

“These are iconic images that symbolize<br />

Tanzania, inspired by a period we hold dear<br />

as Tanzanians,” he says. The T-shirt designs,<br />

produced under his label, Kina Klothing, carry<br />

messages of identity and patriotism.<br />

Mkuki’s story crosses years and borders in search<br />

of his dream career. He is living the dream,<br />

running his own design company known as<br />

Spearhead.<br />

Born in April 1981 and raised in Dar es Salaam,<br />

Mkuki is the last born in a family of three<br />

children.<br />

He studied at Loyola High School in Dar es<br />

Salaam, and then received a scholarship to<br />

attend Texas A&M University in the USA. Mkuki<br />

began his studies in computer science but<br />

halfway through he decided to major in graphic<br />

��������������������������������������������������<br />

worried that his parents wouldn’t approve of him<br />

doing an art-related course.<br />

Oh…; was he <strong>wrong</strong>!<br />

“My father is an avid art lover and appreciates<br />

anything that revolves around the arts, so he<br />

supported my decision wholeheartedly.”<br />

Mkuki completed his studies and received a<br />

bachelor’s degree in Design Communication.<br />

����������������������������������������������<br />

designer at The Richards Group in Dallas, Texas.<br />

Challenges back home<br />

He worked there until the end of 2008, when he<br />

decided it was time to come home, to give back<br />

to his country.<br />

Today, Mkuki and his father, Walter Bgoya,<br />

run a publishing house and bookshop called<br />

TPH Bookshop in Dar es Salaam. It has one of<br />

the largest collections of books by Tanzanian<br />

�������������������������������������������<br />

������������������������������������������������<br />

published and imported titles.This is also one<br />

outlet which sells Kina Klothing.<br />

When he is not busy designing, Mkuki organizes<br />

a periodic event called Pen & Mic with a friend.<br />

This is a live platform that features poets, writers<br />

and musicians who touch on citizen issues that<br />

they see as vital for the country to move forward.<br />

Issues related to alleviating corruption are often<br />

featured.<br />

He explains sorrowfully that one of the major<br />

challenges in his industry is plagiarism. In the<br />

design world, stealing a design is unethical and a<br />

form of corruption. But it isn’t just corruption in<br />

the design world that upsets him. He is shocked<br />

���������������������������������������������<br />

levels in Tanzania.<br />

“When I was in primary school, a teacher – and<br />

I don’t mean all teachers did this – would get us<br />

to sell juice and ice cream so he could gain an<br />

income giving us one of the treats as a reward,”<br />

Mkuki says, adding he would have been caned if<br />

he refused.<br />

�������������������������������������������<br />

explains, “because our culture teaches us to<br />

give a ‘thank you’ for a service done. But public<br />

services are supposed to be provided equally<br />

for all citizens. People should not pay more than<br />

what is required by the law when they seek these<br />

services.”<br />

He says paying ‘baksheesh’ (tips) risks breeding a<br />

culture of negligence and complacency in that<br />

people just sit back and expect or demand it<br />

before doing their work.<br />

BURUDANI<br />

BY GAURE MDEE<br />

PHOTO GABRIEL MAKUPA<br />

“I try to work with integrity and be true to my ideas and the people I work with,” says<br />

gifted designer Mkuki Bgoya.“It is my way of showing clients that Tanzanian youth can<br />

be reliable, honest people.”<br />

M<br />

“Imagine having a seriously sick relative in a<br />

queue at the hospital. Do you wait and wait until<br />

they are catered for, or pay the extra cost to get<br />

��������������������������������������������������<br />

tough situations. We are willing to pay a bribe<br />

to get preferential treatment, but by so doing<br />

we maintain the corrupt system, so nothing<br />

changes.”<br />

Advice for fellow youth<br />

First and foremost Mkuki says, is for us as<br />

Tanzanians to stop being ‘hypocrites’ about<br />

corruption.<br />

“The youth will inherit this land so they should<br />

look at the history of this country and consider<br />

some of the fundamental values of equality,<br />

solidarity and patriotism which we can still build<br />

on. Sitting around the whole day doing nothing<br />

and complaining at the ‘kijiwe’ is not going to<br />

push us forward. We are behind, so we should<br />

work twice as hard.”<br />

�������������������������������������������������<br />

days, to celebrate “the hardest workers this<br />

nation has known, Nyerere and Karume”––<br />

when we should be emulating their example by<br />

working hard.<br />

FACT FILE<br />

D Tanzanian Publishers, Mkuki na Nyota<br />

Publishers, is named after Mkuki and his<br />

sister, Nyota.<br />

D Kina in Kina Klothing is the word for<br />

���������������������<br />

D �������������������������������������<br />

and writing (Pen) and music (Mic).<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

7


MY REGION<br />

8<br />

TANZANIA SINGIDA<br />

Singida<br />

NI MJI AISEE!<br />

NA NELSON MARANDO JOHN, PICHA GAURE MDEE<br />

Niliingia duniani miaka 20 iliyopita.Kuanzia<br />

wakati huo nafahamika kwa jina la Nelson<br />

Marando John, ingawa masela hupenda<br />

����������������������������������������������<br />

naifahamu vilivyo. Inapatikana katikati<br />

mwa Tanzania, ikipakana na Arusha,<br />

���������������������������������������<br />

inaunganishwa na reli ya kati iliyoanzishwa na<br />

wakoloni enzi zilee.<br />

Mkoa huu ni nusu-jangwa, hivyo mchana kuna kijoto cha<br />

ukweli na jioni hadi usiku kuna kibaridi cha hapa na pale,<br />

na kijiupepo cha kishkaji. Makabila yanayovuma mkoa<br />

huu ni Wanyaturu na Wanyiramba, ingawa kuna wengine<br />

wengi wakiwemo washkaji zangu Watindiga, Wasandawe na<br />

Wakimbu.<br />

ILIKUWAJE PAKAITWA SINGIDA?<br />

Jina la Singida lilitokana na neno MASINGIDA, ambalo kwa<br />

Kinyaturu ilikuwa ni aina fulani ya urembo ambao ulipatikana<br />

katika Ziwa Singidani. Wenyeji waliokota urembo huu na<br />

kutengeneza mikufu, bangili na hereni. Akina mama, dadaz<br />

na hata wazungu enzi hizo walitoka mchicha kwa mapambo<br />

hayo, hivyo ndivyo ilivyotokea ikaitwa Singida.<br />

KUHUSU JANDO NA UNYAGO<br />

Singida ni miongoni mwa mikoa ambayo ina kasi ya ishu hii<br />

kwa sana tu. Vijana wa kike na kiume wanapelekwa porini<br />

‘kuingizwa ukubwani’ ikiwa ni pamoja na tohara kwa mabinti.<br />

Thank God siku hizi tumeelimika na tohara kwa mabinti<br />

imepungua ingawa bado kuna watu wanaifanya kwa siri.<br />

FEMA MAGAZINE: MY REGION<br />

Nelson<br />

Mabinti wa Kinyaturu hawa! Pendezajeee?<br />

Karibu<br />

Singida!


NI WATU WA KAZI!<br />

Ukiwa Singida mida ya jioni unaweza kwenda kula upepo Ziwa Singidani<br />

Watu wa Singida ni wakulima, wafugaji na wafanyabiashara.<br />

Zao kuu la biashara ni alizeti ambayo hukamuliwa mafuta<br />

na mabaki yake kutengeneza mashudu. Pengine hukuwahi<br />

kujua kwamba hapa kuna soko kubwa la vitunguu, tena ni<br />

kubwa kuliko masoko yote ya vitunguu nchini. Tumebarikiwa<br />

pia kuwa na kuku kibao wa kienyeji hivyo tunakula vyuku na<br />

mayai ya kienyeji kwa raha zetu!<br />

DHAHABU PIA TUNAYO<br />

Ingawa hatuvumi, Singida ni miongoni mwa mikoa iliyobarikiwa<br />

kuwa na madini. Kuna migodi midogomidogo kama vile Shelui<br />

ulioko Iramba, Shantamine na Londoni iliyoko Manyoni.<br />

Pia kuna mawe makubwa yenye kushangaza ambayo<br />

yatakuvutia kuyatazama. Singidani, Kindai na Singida Munangi<br />

ni maziwa madogo maarufu sana hapa Singida. Unapoyatazama<br />

maziwa haya unasahau kwamba Singida ni nusu-jangwa!<br />

Kutokana na kijoto cha mchana, wengi huenda kupata<br />

kijiupepo kandokando mwa maziwa hayo nyakati za jioni.<br />

Swimming si sana kwa sababu maji yake ni chumvi kibao.<br />

MAJI NI ISHU!<br />

Katika pitapita zako mjini Singida, utashuhudia misururu<br />

mirefu ya watu wanaotafuta maji, kwani bidhaa hii, pamoja na<br />

umuhimu wake, ni adimu sana upande huu wa dunia!.<br />

STAREHE? YES, MWAKE-MWAKE!<br />

Kuna kumbi nyingi za kuruka debe na kucheki showz kali<br />

kutoka kwa wasanii wa nyumbani, yaani Bongo. Singida Motel,<br />

Scene Lodging, Kirima na Jovena ni baadhi tu ya viwanja hivyo.<br />

UGALI KWA MLENDA UNAWEZA WEWE?<br />

Ebwana utaipendaa! Sie kwetu huo ndo msosi mkuu! Ni ugali<br />

wa mtama kwa mlenda, tena ukishasongwa haupakuliwi,<br />

ngoma inapigwa humo humo kwenye chungu, upo?<br />

HATA KWETU WAPO!<br />

Tumetoa watu kadhaa maarufu. Wengine ni wazaliwa wa huku,<br />

wengine wamevuma wakiwa huku. Baadhi yao ni Hussein<br />

Machozi, Sam wa Ukweli, Shaban Dede kwa upande wa ladha<br />

za Kitanzania. Kwa upande wa muziki wa injili tunao John Lisu,<br />

Sara Kingu na Yohana Kubanda.<br />

���������������������������������������������������������<br />

na Wande. Tumezalisha wanasiasa maarufu pia, baadhi yao<br />

ni John Chiligati, Mussa Nkhangaa, Tundu Lissu, Mohammed<br />

Dewji na Lazaro Nyalandu.<br />

NAOMBA KUIFAGILIA SHULE YANGU<br />

Ingawa sikusema mwanzo, nasoma Mwenge Sekondari, shule<br />

kongwe haswaa maana ilianzishwa miaka 45 iliyopita. Imetoa<br />

watu maarufu lukuki, wakiwemo Leonard R. Msalocha aliyekuwa<br />

Kamishna wa Elimu Taifa, Bujiku Sakila, aliyekuwa Naibu Waziri<br />

wa Elimu, Lazaro Nyalandu, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,<br />

Zainab Mwanga, Mwandishi wa kitabu cha Zawadi ya Ushindi<br />

na wengine wengi. I am so proud of my school.<br />

SITAKI KUKUMALIZIA UHONDO!<br />

Mazuri ya Singida ni mengi nitajaza jarida na sitoyamaliza, hivyo<br />

naomba nihitimishe kwa kusema usingida ghurifo, Gwa karibisha<br />

ino! Mmh… Namaanisha, tunawakaribisha sana Singida!<br />

Umewahi kuona lango la mawe? Mambo ya Singida hayo! Alizeti mwake mwake!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

MKOA WANGU<br />

9


BARUA FROM YOU<br />

�<br />

Dear Editor,<br />

WRITE TO US!<br />

Do you have comments, views or<br />

opinions on the magazine’s content<br />

or anything else which you would<br />

like other readers to hear?<br />

Please send them to:<br />

FEMA - Your letters<br />

P.O. Box 2065<br />

Dar es Salaam<br />

E-mail: info@feminahip.or.tz<br />

Mpendwa mhariri,<br />

Lucylight ni msichana mkakamavu, shupavu na hodari.<br />

Ni kijana msikivu na mtii kwa walimu, walezi na kwa<br />

wenzake. Mara nyingi wanafunzi wakipata tatizo kama<br />

la Lucylight la kukosa wazazi wanashindwa kuendelea<br />

na masomo, lakini yeye ameonyesha mfano kwa<br />

kujikaza na kuendelea na masomo mpaka kuweza<br />

kufaulu vizuri kidato cha nne. Kiukweli Lucylight<br />

amekuwa kivutio kwa wanafunzi wote na ili waweze<br />

kufanya vizuri katika masomo yao ni lazima waige<br />

mfano wake.<br />

Glory G<br />

There is no time like the present to say thank you for<br />

the great trust that you have placed in us and gave<br />

us the opportunity to join the Fema family in the<br />

2012 Youth Conference at Belinda; where we learnt<br />

various issues especially.<br />

On my side I never knew or trusted that a girl/<br />

women have the same value as men. But for now I<br />

totally agree and have changed.<br />

I truly value and appreciate your work of educating<br />

us we youth of Tanzania. You have been loyal and<br />

dependable to us keep it up.<br />

Nelson M. John<br />

Mwenge High School, Singida<br />

P.O. Box 195<br />

Singida<br />

Wow! It’s nice to hear that you<br />

learnt various lessons from the<br />

Conference because that is part<br />

of the Conference mission. We do<br />

appreciate your acknowledgment<br />

and we promise to continue<br />

educating the youth across the<br />

country.<br />

Dear Editor,<br />

10 FEMA MAGAZINE: LETTERS TO THE EDITOR<br />

I am writing this letter to<br />

congratulate Fema team for its<br />

great and nice work. I appreciate the<br />

efforts and assistance you give to<br />

people in many ways. I really enjoy<br />

Tunawashukuru wote mlioweza<br />

kuandika maoni yenu juu ya<br />

stori ya Lucylight, licha ya kuwa<br />

hatukuweza kuweka yote kwa<br />

ufinyu wa nafasi.<br />

Tunawapongeza kwa<br />

kuchangia maoni hayo.<br />

Msiache kusoma Fema.<br />

- Mhariri<br />

reading your magazine, which contains a lot of issues<br />

about caring for and controlling the environment as<br />

well as life styles. I request you to increase capabilities<br />

to supply information especially to the rural areas. In<br />

my school we don’t have a Fema club, and I would also<br />

�����������������������������������������������<br />

Herina Itumbi<br />

Thanks Herina, the Team is happy to deliver the<br />

service. As for the Fema Club, getting on board is<br />

easy; you have to organize your fellows just like you<br />

do to start any other club in your school, then write<br />

to us with your club information. We will work on<br />

your request and respond. Working at <strong>Femina</strong> is like<br />

working at any other organization, you will need to<br />

follow job application procedures.<br />

Ndugu mhariri,<br />

Salamu sana pole na majukumu ya kujenga Taifa kupitia<br />

kuelimisha jamii. Dhumuni ni kuwapongeza kwa kile<br />

mnachokifanya jopo zima la Fema. Moyo wangu huwa<br />

�����������������������������������������������������<br />

kuendelea kusoma kwa sababu ya ujumbe uliomo ndani.<br />

Sasa nitafanya nini ili na mimi niwe mwanachama au<br />

mjumbe? Upatikanaji wa majarida unakuwaje? Namalizia<br />

nikisema hongera sana Fema.<br />

Sixmund Simon Kiloko<br />

STAR<br />

LETTER<br />

Six, asante sana kwa pongezi na kwa barua yako.<br />

Njia rahisi ya wewe kuwa mwanachama ni kujiunga<br />

na klab ya Fema iliyopo shuleni au ambayo ipo jirani<br />

na eneo unaloishi kama hauko skuli. Ukiwa huko<br />

itakuwa rahisi kwako kupata majarida. Tunatambua<br />

umuhimu wa kila kijana kusoma jarida hili, sema ni<br />

vigumu kwetu kutuma jarida kwa mtu mmoja mmoja.


These cartoons are the<br />

winnners of a recent art<br />

competition on<br />

Barriers to Doing Business<br />

in Tanzania, sponsored<br />

by BEST-AC.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

11


BURUDANI<br />

MAADILI<br />

KITANZINI!<br />

Hapo zamani, tukiwa tumekusanyika jikoni jioni huku chungu kikiendelea kutokota, bibi alikuwa<br />

akitusimulia hadithi. Kwa utulivu wa hali ya juu, tulisikiliza visa vya kusisimua kuhusu watu na<br />

changamoto walizokumbana nazo. Katika simulizi nyingi, mtu mwema alimshinda mtu mbaya na vivyo<br />

hivyo, jambo jema lilishinda dhidi ya jambo baya. NA AMABILIS BATAMULA PICHA FEMA TEAM<br />

L<br />

ahaula! Leo hii utamaduni wa watoto<br />

kusimuliwa hadithi na wazee umekufa;<br />

vyanzo vingine vya hadithi vimechukua<br />

nafasi. Tumezungukwa na filamu, muziki<br />

na vitabu! Hivyo ndivyo ambavyo kwa sasa<br />

vinatuongoza katika kujifunza lipi sahihi, lipi si<br />

sahihi, heshima, uadilifu, utu na uvumilivu ni<br />

nini.<br />

Maadili, silka ya mtu!<br />

Maadili ni mkusanyiko wa imani ambazo<br />

zimejengeka kutokana na desturi za jamii<br />

husika. Maadili pia hutegemea tafsiri ya mtu<br />

binafsi juu ya jema na baya.<br />

Uadilifu unahusisha wema, imani na haki.<br />

12 FEMA MAGAZINE: BURUDANI<br />

Tendo la uadilifu mara nyingi husababisha<br />

kupata sifa, shukrani na ‘malipo’ mema. Vitendo<br />

visivyo vya uadilifu mara nyingi humfanya mtu<br />

kulaumiwa na kuadhibiwa. Tunafundishwa<br />

kutenda mema na kuepuka mabaya. Sheria<br />

zetu zinatoa adhabu kwa anayetenda maovu.<br />

Sisi binadamu, maadili yetu yaliyo mengi<br />

yanafanana. Kwa mfano, dini karibu zote<br />

duniani zinahubiri upendo, amani na udugu/<br />

maelewano, zinahimiza matendo mema na<br />

kupiga vita maovu. Kwa mtazamo wa kidini,<br />

dhambi ni tendo lisilo la uadilifu, ni tendo la<br />

kutokumtii Mwenyezi Mungu na ukitazama<br />

kwa undani, dini zinatutaka kuepuka matendo<br />

ambayo yanawaumiza wenzetu; usiibe,<br />

usidhulumu, usiseme uongo wala usiue.<br />

Imani za namna hiyo pia ziko katika Tamko la<br />

Umoja wa Mataifa Kuhusu Misingi ya Haki za<br />

Binadamu. Linawahusu watu wote duniani na<br />

linasema kila mtu ana haki ya kutoa maoni kwa<br />

uhuru, kuhukumiwa kwa haki na kunufaika na<br />

rasilimali na utajiri wa nchi. Nchi zinazozingatia<br />

utawala wa sheria na demokrasia kama Tanzania,<br />

zinaamini katika misingi hiyo.<br />

Nakumbuka, bibi alikuwa akihitimisha kila hadithi<br />

kwa swali; “umejifunza nini kutokana na hadithi<br />

hii?” na tulijibu “Si vizuri kufanya mambo ambayo<br />

yatawaumiza wenzetu,” au “ni vizuri kuwajali<br />

wenzetu wanapokuwa wanahitaji msaada.” Kwa<br />

utoto wetu, hatukuchukua muda kutafakari jibu –<br />

tulijibu tu kutoka moyoni.


Sasa tumekuwa wakubwa<br />

Hivi karibuni, timu ya Fema ilipotembelea<br />

Singida, ‘tulichati’ na wanafunzi kuhusu maadili<br />

na rushwa. Tuliwaomba waseme ukweli<br />

wao wa moyoni wanapojibu swali lifuatalo:<br />

“Kwa mfano, umekwenda dukani ukanunua<br />

kitu lakini muuzaji akakuzidishia ‘chenji’<br />

utafanyaje?” Wanafunzi walio wengi waliandika<br />

kwamba wangejifanya hawakujua kwamba<br />

wamezidishiwa chenji na kusepa na pesa yote.<br />

Unacheka? Kwani na wewe ungefanya hivyo<br />

hivyo? Je, ni maadili gani yamekiukwa katika<br />

jambo kama hilo?<br />

Kadri tunavyokuwa watu wazima, tabia zetu<br />

zinaota mizizi. Iwapo tutakuwa tukisema<br />

uongo tukiwa wadogo, tutakuwa waongo hata<br />

tunapokuwa watu wazima. Ingawa ‘kusepa’<br />

na chenji ya muuza duka hakuonekani kama<br />

ni tatizo kubwa, inaweza kusababisha utovu<br />

wa maadili wa kiwango kikubwa. Siku si nyingi<br />

utaanza kuona ni jambo la kawaida kuiba,<br />

kupokea rushwa na kutumia vibaya mali za<br />

umma. Vitendo vya utovu wa maadili si tu<br />

kwamba vinakinzana na imani zetu, bali pia<br />

vinachangia kukomaa kwa rushwa katika jamii<br />

zetu.<br />

Hivi sasa, Tanzania imegubikwa na<br />

mmomonyoko wa maadili katika ngazi zote.<br />

Hivi karibuni mtu mmoja aliandika ‘utajua<br />

kwamba uko Tanzania pale utakapoona<br />

mhasibu asiyemwibia mwajiri wake anabezwa<br />

na kuchekwa na wafanyakazi wenzake’.<br />

Unajisikia haya unaposoma hii? Kama ndiyo,<br />

basi vizuri, kwa sababu utajisikia kuchukua<br />

hatua dhidi ya jambo hili!<br />

Himiza uadilifu na upige vita matendo<br />

yasiyozingatia maadili, utajisikia vizuri na<br />

utapata usingizi mzuuuri!<br />

Kufundisha maadili<br />

Je, vijana wanaweza kufundishwa maadili?<br />

Katika miaka ya hivi karibuni, suala hili<br />

limekuwa na mjadala mkubwa. Taasisi<br />

inayojulikana kama Transparency International<br />

inadai kwamba “elimu ya maadili kwa vijana<br />

inaweza ikasaidia kuvunja mnyororo wa<br />

rushwa, kwani vijana wa leo ndiyo viongozi wa<br />

kesho.”<br />

Taasisi hiyo pia inakiri kwamba elimu ya<br />

namna hiyo haiwezi kufanikiwa peke yake, bali<br />

JULY - mambo SEPTEMBER mengi 2012 mengine : FEMA yanahitajika MAGA- ili iweze<br />

kuzaa matunda. “Mazingira ambayo ZINEwatoto<br />

wanakulia yana mchango mkubwa katika<br />

‘kuwashepu’ kimaadili.”<br />

Sote tuna misingi ya maadili lakini ni kwa<br />

namna gani tunatekeleza misingi hii katika maisha<br />

yetu ya kila siku ikiwa rushwa imetapakaa katika<br />

jamii zetu?<br />

Kuna methali ya kale ya Kiswahili inayosema,<br />

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu,<br />

ikionyesha jinsi ambavyo tumekuwa na ubinafsi.<br />

Sisi binadamu wakati mwingine tunakumbana<br />

na hali ngumu. Hali hii inatuathiri kama mtu<br />

mmojammoja na kama jamii. Lakini tuna uwezo<br />

wa kufanya uamuzi sahihi. Kumbuka kanuni<br />

inayosema, ‘watendee wenzako vile ambavyo<br />

ungependa kutendewa’<br />

Kama bibi yangu, nauliza, umejifunza nini<br />

kutokana na stori hii? Na utafanya nini kuhusiana<br />

na jambo hili?<br />

�<br />

kumbuka!<br />

Rushwa ni hatari na<br />

inabomoa. Inakwamisha<br />

maendeleo ya jamii.<br />

Kuzingatia maadili<br />

kutatusaidia kumtokomeza<br />

��������������������<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

13


MORAL CORRUPTION<br />

Once upon a time, my bibi told us stories in the evenings. She told us exciting tales of<br />

people and the challenges they faced. In most of the stories good would win over bad,<br />

the virtuous over the immoral.<br />

Alas, today storytelling by our elders is no<br />

longer common; other sources of stories<br />

have taken over. Films, music and books<br />

surround us. They are now helping to guide us<br />

in learning what is right or <strong>wrong</strong>, what respect<br />

means and what dignity, tolerance, and honor<br />

imply.<br />

Moral, a human instinct<br />

Morals are a set of beliefs based on culture and<br />

society. Morals are also based on an individual’s<br />

interpretation of what’s good or bad.<br />

Morality involves values, virtues, and justice.<br />

Moral actions often lead to praise and rewards.<br />

Immoral actions often lead to blame and<br />

punishment. We are taught to do good deeds<br />

and avoid bad ones. Civil Law actually punishes<br />

<strong>wrong</strong> deeds.<br />

As a human race, we share many of the same<br />

moral values. For example, religions around<br />

the world preach love, peace and harmony,<br />

encourage moral deeds and discourage<br />

immorality. From a religious point of view, a<br />

sin, an immoral act, is an act of disobedience to<br />

God, and if you look deeper, religions ask that<br />

we avoid deeds that hurt others; Do not steal,<br />

lie or kill.<br />

Such values form the base of the United Nation’s<br />

Universal Declaration of Human Rights. It applies<br />

to all humans on this planet, and says everyone<br />

has a right to free speech, fair treatment and<br />

judgment, and access to national resources and<br />

wealth. Countries that promote equality for all its<br />

citizens build on such values.<br />

I remember that bibi ended every story with a<br />

question: “What did you learn from the story?”<br />

and we answered, “It is not good to hurt other<br />

14 FEMA MAGAZINE: CULTURE & ENTERTAINMENT<br />

people,” or “it is good to care for people who<br />

need help.” As children we didn’t have to<br />

ponder our reply - we just answered from our<br />

hearts.<br />

Now that we are older<br />

Recently, when the Fema team visited Singida<br />

we chatted with students about morals and<br />

corruption. We asked them to honestly answer<br />

the question: “If you went to a shop, bought<br />

something, but the shopkeeper gave you back<br />

more change than you deserve, what would<br />

you do?” Most of the students wrote that<br />

they would pretend they didn’t notice, and<br />

then vanish with the ‘extra’ amount. Are you<br />

smirking, because you would have done the<br />

same? What values are at play in that situation?<br />

As we become young adults, our characters<br />

take shape. If we cheat and manipulate when<br />

we are children, we will graduate to being<br />

dishonest adults. While taking advantage of a<br />

shopkeeper doesn’t seem like a big deal, it can<br />

lead to higher moral corruption. Soon we think<br />

it is normal to engage in theft, corruption and<br />

abuse of public property. Immoral actions not<br />

only compromise our personal values, but also<br />

contribute to the corruption of our society.<br />

Tanzania is a country which is currently<br />

plagued with moral corruption at all levels.<br />

Recently someone wrote ‘you know you are<br />

in Tanzania when an accountant who doesn’t<br />

steal from their employer becomes a laughing<br />

stock of the work team’. Do you feel a bit of<br />

shame when you read this? If you do that’s<br />

good, because then you may be more prone to<br />

take action!<br />

Promote morality and ditch immorality, you<br />

will feel better about yourself and sleep better<br />

at night.<br />

Teaching morality<br />

�<br />

remember!<br />

BY AMABILIS BATAMULA<br />

PHOTO FEMA TEAM<br />

Can morality be taught to young people? In<br />

recent years there has been a lot of interest in<br />

this issue. An organization called Transparency<br />

International claims “Ethics education for young<br />

people can help break the cycle of corruption, as<br />

today’s youth will be the leaders of tomorrow.”<br />

They also admit that such education cannot<br />

work effectively in isolation. “The environment<br />

in which children grow up plays a decisive role in<br />

shaping attitudes.”<br />

We all have core values but how do we<br />

implement these values in daily life if moral<br />

corruption is spread far and wide in our society?<br />

An old Kiswahili proverb states, ‘Mkuki kwa<br />

nguruwe kwa binadamu mchungu’�����������������<br />

�����������������������������������������������<br />

��������������������������������������������<br />

These things affect us personally, and as a<br />

society. But we always have the ability to make<br />

the right decision. Remember the Golden Rule,<br />

‘do unto others as you would have them do to<br />

you!’<br />

Like my bibi I ask, what did you learn from this<br />

story? And what are you going to do about it?<br />

��������������������������<br />

destructive, under all circumstances.<br />

��������������������������������<br />

society. Good moral conduct can<br />

����������������������������


MONEY<br />

RULES!<br />

Let’s talk money mmh! Like, hate, want or waste it -<br />

you just cannot ignore it as you will use it whether you<br />

like it or not. When we talk about corruption what form of<br />

bribe do you first think of? Money ee? Yes, there are other<br />

forms, such as sexual bribery, but money rules, even in<br />

corruption. So, what do you know about money?<br />

The national currency we are<br />

using now, we first used in 1966,<br />

replacing the East African shilling,<br />

which was used all over East Africa.<br />

Tanzania shilling is our national<br />

currency. Its short form is TSH or /=.<br />

There are 5 notes and 6 coins, which<br />

vary in size and color.<br />

Most of the earliest goldsmiths,<br />

who had safes for their gold,<br />

started banks. People then paid<br />

to keep their own valuables in the<br />

goldsmith’s safes.<br />

A cheque is only an instruction to<br />

a bank. In the past people have<br />

written cheques on such things as<br />

stone slabs, bananas and cows.<br />

Before 1919, monetary<br />

arrangements were different in<br />

Tanganyika (which was under<br />

the Germany rule) and Zanzibar,<br />

which had its own Government.<br />

Tanganyika used the German<br />

Rupee, while Zanzibar used<br />

Indian Silver Rupee.<br />

Before money, people used direct<br />

exchange of things; for example,<br />

salt for cattle; which is called barter<br />

trade. Barter trade was first recorded<br />

in Egypt over 4,500 years ago.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

15


16<br />

NEWS BULLETIN<br />

Msimbazi Sec<br />

wapigania haki zao!<br />

�������������������������������������������������<br />

Msimbazi jijini Dar es salaam waligoma wakidai<br />

mazingira ya shule yaboreshwe.<br />

Tatizo kubwa ni kwamba shule haijajengewa uzio na<br />

wanasema kuna wakati alitokea mtu mwenye matatizo ya akili<br />

akazama kwenye choo ambacho kinatumiwa na wasichana! Duh hatari.<br />

Pia kulikuwa na kesi ya wanafunzi wa shule za jirani kuwavamia shule<br />

hiyo na kushambulia baadhi ya wanafunzi.<br />

�����������������������������������������<br />

a �������������������������������������������������������������<br />

wanalowa.<br />

a Kutozwa fedha kwa ajili ya mitihani lakini mitihani kutofanyika na<br />

�������������������������������������������������<br />

a Mazingira magumu ya kujifunzia kwani shule haina maabara wala<br />

maktaba.<br />

a ������������������������������������������������������������<br />

������������������������������������<br />

Mgomo huo ulimgusa Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu, aliyejadiliana<br />

�������������������������������������������������������������������<br />

shule hiyo. Mbunge hakuondoka hivihivi bali alitoa ahadi ya kuchangia<br />

shilingi milioni 10 kwenye ujenzi wa uzio!<br />

�������������������������������������<br />

FEMA MAGAZINE: NEWS BULLETIN<br />

Female condoms<br />

as bangles?<br />

Mambo mengi yametokea hivi karibuni yakushangaza kwenye Male<br />

and female condoms are used during sex to prevent the spread of<br />

STIs including HIV and as well as to prevent pregnancy, right?<br />

What if we tell you that female condoms are now used as beauty<br />

accessories?<br />

Both men and women wear the rings inside the condom as<br />

bangles. They are sold in lots of three for a price of Tsh 2,000.<br />

Yes, it is happening in lots of places including Kibaha, Kahama and<br />

some parts of Dar es Salaam.<br />

These condoms, designed to give women control and choice<br />

over their sexual health, are now being misused. This only shows<br />

that we still have a long way to go in the fight against the spread<br />

of HIV/AIDS. Don’t back down, continue the fight!


Ghost clinics getting<br />

our medicines!<br />

����������������������������������������������������������<br />

����������������������������������������������������������<br />

�����������������������������������������������������������������<br />

services!<br />

������������������������������������������������������������������<br />

because it is our money. Drugs, worth 83m/-, were allocated<br />

�������������������������������������������������������������������<br />

Lindi region between 2007 and 2010. This is according to a<br />

��������������������������������<br />

����������������������������������������������������������������<br />

������������������������������������������������������������<br />

����������������������<br />

������������������������������������������������<br />

had already been allocated drugs.<br />

Wow! This means that our hard earned<br />

����������������������������������������<br />

maybe some real clinics are not getting<br />

enough medicines because of the medicine<br />

being allocated to ghost ones!<br />

Rebeca all the way<br />

to Amsterdam!<br />

In April Fema TV Talk show Host, Rebeca Gyumi was<br />

in Amsterdam, the Netherlands, attending Annual<br />

Child & Youth Finance International Summit.<br />

The summit is the first event to ever bring together<br />

children, youth and senior level representatives from<br />

across various sectors on the topic of financial<br />

inclusion and child finance education for children<br />

and youth.<br />

Rebeca was selected among the youth to lead<br />

interviews with children and experts, bankers and<br />

other participants of the forum to get a better<br />

understanding of the challenges of youth and child<br />

access to banking services etc.<br />

The interviews are currently on YouTube where everyone<br />

in the world can watch and get a glimpse of what<br />

went down. Way to go Rebeca!<br />

�������������������������������<br />

toleo la 14!!! Unajua sasa hivi huyu<br />

ni mtu muhimu sana kwenye kuamua<br />

future������������������������<br />

ukurasa wa 59 ujue kawa nani.<br />

JANUARY JULY - SEPTEMBER - MARCH 2007:FEMA 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

17 17


INTAVYUU<br />

AU INTAVUA?<br />

UJINSIA NA MAHUSIANO<br />

K<br />

18<br />

utoa chochote ili upewe ajira ni<br />

rushwa na si lazima ukubali kufanya<br />

hivyo.<br />

Ngono kwa ajira!<br />

Tunasikia stori nyingi za watu ambao<br />

wamepata kazi kwa ‘kutembea’ na boss.<br />

Yalimkuta Julieth, 23, baada ya kuhitimu<br />

chuo kikuu. Julieth, binti mrembo na<br />

mtanashati alipoingia uraiani alianza kusaka<br />

kazi kwa udi na uvumba.<br />

Alitumia muda na fedha kwenda internet na<br />

kununua magazeti ili asipitwe na tangazo la<br />

nafasi ya kazi. Bila kuchoka, Julieth alituma<br />

����������������������������<br />

Kama zali, siku moja aliitwa kwenye interview<br />

na licha ya kwamba kulikuwa na wengine<br />

wengi waliokuwa wakishindania nafasi hiyo,<br />

FEMA MAGAZINE: UJINSIA NA MAHUSIANO<br />

aliamini kwamba angeweza ‘kuwamwaga’<br />

kwa kuwa sifa zote alikuwa nazo.<br />

Baada ya interview, mmoja wa watu<br />

waliokuwa katika jopo la usaili akamweleza<br />

wazi kwamba kazi amepata, isipokuwa<br />

kulikuwa na mambo kadhaa ya kiutawala<br />

ambayo yangeshughulikiwa na boss wake<br />

mtarajiwa. Furaha ya Julieth baada ya taarifa<br />

hiyo ilikuwa haielezeki!<br />

������������������������������������������<br />

ikaita. Lahaula! Ni boss!<br />

Hello mrembo, sikiliza, wewe ni mzuri<br />

mno. Najua wengi wamekwambia hili….<br />

nitakupigia tena baadaye jioni ili tuonane<br />

tuzungumze…ok?<br />

Mmh! maneno haya ya boss mtarajiwa<br />

yalimstua sana Julieth. Alikaa kimya asijue la<br />

NA PENDO MASHULANO PICHA HANNA<br />

Uwe shuleni au chuoni, wakati utafika ambapo utajikuta ‘mtaani’ ukisaka ajira!<br />

Katika soko la ajira, mambo si mteremko hata kidogo! Unaweza kukumbana<br />

na changamoto kibao na hasa kale kamtindo ketu ka kujuana ambako siku hizi<br />

kanaitwa ‘kamlete’! Kubwa kuliko, unaweza kuombwa ‘mzigo’ ili upewe ajira!<br />

����������������������������������������������<br />

kwa mshangao na mstuko hakujua ajibu nini!<br />

Alijiuliza, je, hii ndo ile ‘carpet interview’<br />

ambayo amekuwa akiisikia? Je, atalazimika<br />

‘kutembea’ na boss ili apate ajira? Kwa<br />

ujumla, alikuwa njiapanda!<br />

Hebu ‘vaa viatu’ vya Julieth!<br />

Tukiwa Singida tulipiga kambi katika<br />

Sekondari ya Dk. Salmin kwa muda huku<br />

tukitia stori na wanafunzi kama 70 hivi.<br />

Wanafunzi hao walikuwa ni wanachama wa<br />

Fema Club, Anti Corruption Club na Tax Club.<br />

Tuliwapa vipande vya karatasi na kuwataka<br />

watuambie kutoka kwenye ‘uvungu wa<br />

moyo’ kwamba wangefanya nini kama<br />

wangejikuta katika situation aliyokumbana<br />

nayo Julieth.


Baadhi yao walisema “Ningemkataa; yeye<br />

si mwajiri pekee.” Wengine walisema,<br />

“Ningekubaliana na ombi lake na kujifanya<br />

�������������������������������������<br />

namnasisha katika mtego wa TAKUKURU.”<br />

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba zaidi<br />

ya nusu ya wanafunzi hao walikuwa tayari<br />

‘kutoa mzigo’ kwa boss ili wapate ajira!<br />

“Nitatembea naye nipate hiyo ajira kwa<br />

sababu maisha ni magumu sana siku hizi.”<br />

Mwanafunzi mmojawapo aliandika “kwangu<br />

mimi, itategemea, kama boss ‘analipa’ kwa<br />

sura na ana mshiko nitatembea naye tu<br />

nipate kazi…”<br />

Fikiria haya<br />

Inasikitisha lakini ndiyo hali halisi! Hiki<br />

ndicho kinachotokea katika ulimwengu wa<br />

ajira nchini kwa baadhi ya watu.<br />

Wengi wanakubaliana na aina hii ya rushwa<br />

ya ngono kana kwamba ni jambo la ‘kawaida’<br />

au ni jambo ambalo lazima ukubaliane nalo<br />

ili upate ajira. Mtazamo huu ni hatari sana!<br />

Kumbuka, uamuzi wowote utakaoufanya<br />

una athari zake. Boss anayetaka ‘utembee’<br />

naye ili upate ajira ataendelea kukufanyia<br />

unyanyasaji huo hata baada ya kuajiriwa;<br />

Ndiyo! Ana mamlaka na anaweza<br />

kukuharibia wakati wowote!<br />

Mbaya zaidi, ukishaingia katika jambo<br />

ambalo linakinzana na maadili yako, inaweza<br />

kukuathiri kisaikolojia. Unaweza kujisikia<br />

‘mchafu’ na mkosaji na utapoteza hali ya<br />

kujiamini na heshima yako itashuka.<br />

Usijidanganye kwamba boss wa namna<br />

hiyo atakuheshimu au kwamba wafanyakazi<br />

wenzako watakuheshimu wakati<br />

���������������������������������������<br />

ulipandishwa cheo kwa ‘kutembea’ na boss.<br />

Kumbuka pia kwamba unaweza kutembea<br />

na ‘boss’ na ajira usipewe!<br />

Ikiwa tunataka kuijenga Tanzania kuwa jamii<br />

ambayo wananchi wana fursa sawa za ajira<br />

kutokana na sifa zao, tunapaswa kupambana<br />

na rushwa katika ngazi zote.<br />

Ikiwa tutaendelea na mwenendo huu,<br />

�������������������������������������������<br />

wakati wenye sifa na uwezo wa kiutendaji<br />

wanapigwa chini kwa kuwa wamekataa<br />

‘kutoka’ na boss!!!!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

19


UJINSIA NA MAHUSIANO<br />

Fanya hivi...<br />

Unafahamu Julieth alifanya nini?<br />

��������������������������������<br />

�����������������������������������<br />

�������������������<br />

“Ninachotafuta ni kazi. Kama hilo<br />

���������������������������������������<br />

na kazi yako!!”<br />

Kwa aibu, boss aliomba radhi na<br />

bahati nzuri hakuwa mwamuzi wa<br />

mwisho katika ajira ya Julieth, hivyo<br />

�������������������������������<br />

Hivi ndivyo unavyoweza kuihandle<br />

hali hiyo:<br />

Kataa kukutana na boss baada<br />

ya muda wa kazi ikiwa unadhani<br />

��������������������<br />

a Ikiwa boss atakutongoza;<br />

������������<br />

a Ikiwa ataanza kukushikashika,<br />

ondoka katika eneo lile!<br />

a Toa taarifa kwa boss wake<br />

(msimamizi wake).<br />

a Omba ushauri kwa mtu<br />

unayemwamini.<br />

a ���������������������<br />

(tazama uk 34-36).<br />

20<br />

FEMA MAGAZINE: UJINSIA NA MAHUSIANO<br />

�<br />

kumbuka!<br />

Unaweza kujikuta mikononi mwa boss wa kiume au wa kike ambaye<br />

������������������������������������������������������������<br />

nawe. Hii ni rushwa. Kataa. Haitokuwa na matokeo mazuri kwako.<br />

Una uwezo wa kusema NO!


CARPET INTERVIEW! BEWARE!<br />

T����������������������������������������<br />

navigate. You may face challenges such<br />

as nepotism aka ‘kamlete’. Or you may<br />

be asked for ‘favors’ in return for a job.<br />

Offering ‘favors’ is corruption, and you don’t<br />

have to accept it!<br />

Sex for a job!<br />

There are many stories of those who go<br />

through the ‘bedroom’ of the boss to get a job.<br />

It happened to Julieth, 23, a smart young<br />

graduate. Julieth spent time and money on the<br />

internet and newspapers job hunting. She sent<br />

�����������������������<br />

One day Julieth was invited for an interview.<br />

Though there were many applicants<br />

���������������������������������������������<br />

��������������������<br />

At the interview, panelists told Julieth that she<br />

was hired, but there were a few administrative<br />

issues to be taken care of by her boss-to-be.<br />

On her way home her phone rang. It was the<br />

boss!<br />

Hello beautiful lady, listen, you are very sweet. I<br />

know many have said this to you .… I will call you<br />

again this evening so we can meet and talk …ok?<br />

Julieth was in shock. She remained silent not<br />

knowing what to say. She understood what<br />

this meant but she felt dizzy with disgust!<br />

����������������������������������������������<br />

had heard about: would she have to sleep with<br />

the boss to get the job? Julieth was torn up<br />

about what to do.<br />

Imagine this<br />

happening to you!<br />

While in Singida, the Fema team visited Dr.<br />

Salmin Secondary School and spoke with<br />

nearly 70 students from the Fema Club, Anti<br />

Corruption Club and TRA Club. We asked them<br />

to honestly tell us what they would do if they<br />

found themselves in a situation like Julieth’s.<br />

Many students said “I would reject him; he is not<br />

the only employer.”<br />

Others said they would take action, “I would accept<br />

the request, pretend I am badly in love with<br />

him and then put him into the hands of PCCB.”<br />

Most surprising was more than half the students<br />

were ready to have sex in exchange for<br />

a job offer! “I would sleep with the boss for a job<br />

because life has become so tough these days.”<br />

One student elaborated “for me, if the guy is<br />

good-looking and has cash I would sleep with<br />

him for a job offer…”<br />

Think it through<br />

This is a grim picture of what happens in<br />

the world of employment in Tanzania. Many<br />

accept this form of sexual corruption as<br />

‘normal’, or something you have to do to get a<br />

job. This mentality is dangerous!<br />

Remember there are consequences to every<br />

decision. A superior who asks you to sleep with<br />

him during the job interview will keep sexually<br />

exploiting you; they have power and can<br />

decide to destroy you at any moment.<br />

Furthermore, if you enter into a morally<br />

compromising situation you risk emotional<br />

backlash. You may feel dirty and ‘used’, and<br />

�����������������������������������������������<br />

Don’t think such a boss will respect you, or<br />

that your coworkers and peers will respect<br />

you knowing you got the job or promotion<br />

because you had sex.<br />

Also keep in mind that it is not guaranteed<br />

that you will get a job offer even after a ‘carpet’<br />

interview.<br />

If we want to develop Tanzania into a society<br />

where our citizens have a fair and equal<br />

opportunity to contribute with their true skills,<br />

������������������������������������������<br />

�������������������������������������������������<br />

������������������������������������������������<br />

youth will be kept out, just because they<br />

have integrity and refuse to have sex with the<br />

boss!!!!<br />

Here is what you should do<br />

Do you know what Julieth did? The next time<br />

the boss called she was straight. “I was looking<br />

for a job. If that is the condition for me to get<br />

the job, then you can keep it!!”<br />

Ashamed, he apologized and fortunately the<br />

job offer was not in his control, so Julieth was<br />

employed!<br />

Here is what you can do if you are faced with a<br />

similar situation:<br />

a Deny after work meetings with your boss if<br />

you think he has more than just a work interest<br />

in you.<br />

a If the boss makes obvious sexual advances<br />

to you; say NO!<br />

a If the boss starts touching you inappropiately,<br />

leave the area!<br />

a Report the boss to his boss (supervisor).<br />

a Talk to someone you trust for advice.<br />

a Report the matter PCCB (see pg 34-36).<br />

�<br />

BY PENDO MASHULANO<br />

PHOTOS HANNA<br />

Whether in school or college, the time will come when you are on the ‘street’, hunting for a job.<br />

remember!<br />

������������������������������������<br />

of a boss who is using his/her<br />

������������������������������������<br />

������������������������������������<br />

long run it will do you no good. The<br />

�����������������������<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

21


� TUANDIKIE!<br />

Iwapo una tatizo lolote kuhusu mabadiliko<br />

ya mwili wako, afya yako, matatizo ya<br />

kifamilia, shule na hata marafiki tafadhali<br />

tuma kwa Mpendwa Anti:<br />

FEMA<br />

P.O. Box 2065, Dar es Salaam<br />

E-mail: info@feminahip.or.tz<br />

M<br />

pendwa Aunt: Je wavulana mashoga wana<br />

element za kike na kuna uwezekano mkubwa kuwa<br />

wangezaliwa wasichana na pia katika kipindi cha<br />

nyuma (utotoni) walikuwa wanatamani kuwa<br />

wasichana? Na wasichana wanaosagana nao<br />

pia wana sifa za kimaumbile zinazofanana na<br />

wavulana? mf ndevu, sauti nzito nk<br />

Imma, Moshi<br />

Mpendwa Imma,<br />

Ushoga ni hali ya kuvutiwa kimapenzi na<br />

mtu wa jinsi kama yako, yaani mwanamume<br />

kuvutiwa au kuwa na hisia za kimapenzi na<br />

mwanamume mwenziwe. Hakuna sababu za<br />

kitabibu zinazoonyesha kwamba mtu kuwa<br />

shoga basi ana hitilafu ya kimwili, kwani kama<br />

kuna hormone za kike zaidi kwa mwanamume,<br />

basi hujitokeza kwenye sauti, umbo na ngozi<br />

yake na si kwenye hisia zake, hivyo hivyo kwa<br />

wasichana wanaovutiwa na wasichana wenzao.<br />

Tabia za mahusiano ya kimapenzi ziko zaidi<br />

kwenye hisia zetu, na zinaweza kuchangiwa<br />

zaidi na mazingira ya jamii tunazoishi kuliko<br />

maumbile ya kibaiolojia.<br />

22 FEMA MAGAZINE: DEAR ANTI<br />

mpendwa<br />

D<br />

ANTI<br />

ear Aunt, I am a student from Mwenge High<br />

School, I would like to know how many kinds of<br />

HIV/AIDs are there? And what does the term HIV<br />

carrier mean?<br />

KSE Singida<br />

Dear KSE. There are two major types of HIV,<br />

HIV1 more common, more virulent all over<br />

the world and HIV2, mostly found in West<br />

Africa. HIV 1 has more sub types, hence<br />

making it more difficult to get a vaccine<br />

for HIV. These subtypes cause AIDs at a<br />

different rate, some people move from HIV<br />

to AIDS very fast and others get there more<br />

slowly, this is due to the type of HIV they<br />

have, economic situation, lifestyle, their<br />

general make up and how susceptible they<br />

are to infections. Everybody who has been<br />

infected with HIV virus can infect others,<br />

and if not treated with ARVs, they will<br />

eventually get AIDS. So there are no carriers<br />

in HIV transmission!<br />

M<br />

pendwa Aunt, je, kuna ukweli kuwa mtu<br />

������������������������������<br />

SR, Kagera<br />

Mtu anapopewa majibu yake kuwa ana<br />

maambukizi ya VVU, hasira inaweza kuwa<br />

kati ya matokeo, hasira zinaweza kuendelea<br />

kwa muda hadi atakapokubali hali hiyo.<br />

Lakini endapo mwenye maambukizi<br />

atakumbana na mazingira ya unyanyapaa,<br />

pia anaweza kuwa na hasira.<br />

Kumbuka kuwa wepesi wa kukasirika au<br />

kutokasirika ni hulka ya mtu na yeyote<br />

mwenye hulka ya hasira anakasirika haraka<br />

anapokuwa na msongo wa aina yoyote, si<br />

VVU peke yake na pia mtu anaweza kuwa na<br />

VVU lakini akawa si mwepesi wa kukasirika.<br />

K<br />

wa nini mtu mwenye umri mkubwa, mzee<br />

huonekana ana macho mekundu, upungufu<br />

wa akili na uwezo mdogo wa kuamua?<br />

SRM Kagera<br />

Mtu anapozeeka mfumo mzima wa mwili<br />

wake hupunguza uwezo wa kufanya kazi,<br />

mfano anakuwa na ngozi yenye makunyanzi,<br />

kusahau, anachelewa kujifunza vitu vipya,<br />

mfumo wake wa kinga hupunguza uwezo wa<br />

kufanya kazi hivyo huwa wanashambuliwa<br />

na magonjwa mbalimbali, kupungua kwa<br />

mzunguko wa damu, njia ya hewa inapata<br />

athari, wanaathiriwa zaidi na mazingira<br />

kuliko vijana, na uwezo wa mwili kupambana<br />

na mazigira unapungua zaidi. Hivyo uwezo<br />

wa kuamua inabidi mtu awe na kumbukumbu<br />

sahihi na uelewa wa jambo husika, itachukua<br />

muda kidogo kwa mzee sana kuelewa jambo<br />

na kulifanyia uamuzi.<br />

Macho mekundu ni dalili kuwa kuna kitu<br />

hakiko sawa kwenye macho, inaweza<br />

kusababishwa na maambukizi, kukaa juani<br />

sana, kukaa eneo lenye vumbi na moshi,<br />

chavua au kemikali kwa muda mrefu kwa<br />

hiyo wazee wengi hasa kina mama wa vijijini<br />

wana macho mekundu kwa sababu ya kuwa<br />

kwenye mazingira ya namna hiyo.


M<br />

pendwa aunt, je msichana akizaliwa<br />

na pendwa Aunt , je, msichana akizaliwa na<br />

nywele zenye mvi ni ishara kuwa anakuwa na<br />

madini mengi zaidi mwilini na atakuwa na<br />

akili sana?<br />

AK Maposeni<br />

Kuwa na mvi kichwani maana yake ni<br />

kwamba nywele zimekosa rangi inayotakiwa<br />

kuweko kwenye nywele (melanin). Si kweli<br />

kwamba ana madini mengi na atakuwa na<br />

akili. Rangi ya nywele haihusiani kabisa<br />

na akili za mtu. Kuwa na akili ni pamoja na<br />

juhudi binafsi za kujifunza vitu na kuvitumia<br />

kupambana na mazingira uliyomo, tangu<br />

shule hadi mtaani pamoja na urithi (kwa<br />

kiwango kidogo)! Huwezi kufaulu mitihani tu<br />

kwa sababu una mvi!<br />

M<br />

pendwa Aunt swali langu ni kuwa ugonjwa<br />

wa homa ya ini unasababishwa na nini na dalili<br />

zake ni zipi? Na je, njia za kujikinga ni zipi?<br />

Magoti, Peramiho<br />

Ugonjwa wa homa ya ini husababishwa na<br />

wadudu mbalimbali lakini hasa virusi vya<br />

kundi la hepatitis . Maambukizi hutokea<br />

kwa njia ya damu (hepatitis C) njia ya<br />

ngono (hepatitis B) au kupitia maji na<br />

vyakula vyenye maambukizi (hepatitis<br />

C). Dalili mara nyingi hazionekani lakini<br />

zinaweza kuhusisha uchovu, kukosa hamu<br />

ya kula, kichefuchefu, ini likiwa limeendelea<br />

kuharibika basi macho na ngozi huwa na<br />

rangi ya njano, maumivu chini ya mbavu<br />

upande wa kulia na kuumwa kichwa.<br />

Magonjwa haya yanaweza kuzuiliwa kwa<br />

chanjo, usafi na kujikinga wakati wa kufanya<br />

ngono. Pia kunaweza kuwa na tiba mgonjwa<br />

akiwahi, lakini kama akichelewa sana na ini<br />

kuharibika kabisa, basi tiba ni kuliondoa na<br />

kuweka jingine.<br />

ANTI COS ANAJIBU MASWALI YENU<br />

HAYA NIMEKUWA NIKIKUMBANA NAYO<br />

Katika pitapita zangu, kwenye Mkoa wa<br />

Mtwara nilikutana na maswali haya ambayo<br />

karibu kila shule katika shule zaidi ya 15<br />

yaliulizwa, nimeona nitoe majibu yake hapa<br />

safuni kwangu na wengine pia wajue:<br />

1.<br />

���� ����������� ������� ������ ��������<br />

ngono angalau mara tatu kwa siku, atapata<br />

tatizo gani?<br />

Hakuna matatizo yoyote kwa kutofanya<br />

ngono mara baada ya balehe, kwani kubalehe<br />

haina maana ya kwamba mtu anatakiwa<br />

kufanya ngono, bali ni kuuweka tayari mwili<br />

kwa ajili ya majukumu ya utu uzima kama<br />

kupata watoto.<br />

2.<br />

Kuna matatizo yoyote ya kujamiiana<br />

wakati wa hedhi?<br />

Kwa kawaida kama hakuna maambukizi<br />

yoyote hakuna madhara endapo watu<br />

watajamiiana wakati wa hedhi, hasa kama<br />

msichana hana maumivu na amekubaliana<br />

na hilo suala. Lakini kumbuka kuwa kutokana<br />

na uwepo wa damu, hali ya ukeni itakuwa<br />

na ubichi unaonatanata na pia matumizi ya<br />

pedi na malembe yanaweza kusababisha<br />

kuwashwa na michubuko, kwa hiyo kama<br />

mmoja wa wapenzi ana magonjwa ya ngono<br />

ikiwemo VVU basi kasi ya maambukizi<br />

inaongezeka zaidi. Pia suala la usafi<br />

ni muhimu kuzingatiwa kwani inaweza<br />

kuchafua mashuka na wahusika kuhitaji<br />

kuoga. Tukumbuke pia ni siku chache tu za<br />

hedhi kwa hiyo sidhani kama kusubiri kidogo<br />

kama mmojawapo hayuko tayari kwa hilo<br />

kutawaathiri wahusika kwa chochote.<br />

3.<br />

Kwa nini wasichana wengine wanapata<br />

maumivu makali wakati wa hedhi? Na je<br />

,maumivu haya huisha mara tu msichana<br />

akipata mtoto?<br />

Kuumwa tumbo chini ya kitovu kwa wasichana,<br />

kabla au wakati wa hedhi husababishwa na<br />

mambo mengi. Wakati mwingine ni kutokana<br />

na mabadiliko ya vichocheo au homoni mwilini<br />

ambazo husababisha kukaza na kuachia kwa<br />

misuli hasa wakati wa hedhi na ukuta wa<br />

mji wa mimba huachia damu itoke. Lakini<br />

pia maumivu haya huweza kusababishwa na<br />

vivimbe (fibroids) au hitilafu kwenye mji wa<br />

mimba (endometriosis). Wengine huamini kuwa<br />

mtu akizaa basi maumivu yatakwisha, si kweli,<br />

kwani wengi maumivu huendelea hata baada ya<br />

kuzaa.<br />

Ni muhimu kama una maumivu kumuona<br />

daktari hasa kama yataambatana na siku nyingi<br />

za hedhi au kutokwa na damu nyingi na yenye<br />

mabonge mabonge.<br />

Pia fanya mazoezi madogo madogo kama<br />

kutembea, oga maji ya moto kusaidia misuli<br />

isikaze sana, kula matunda kwa wingi na<br />

mbogamboga, weka chupa maalumu za maji ya<br />

moto juu ya eneo linalouma, ikibidi tumia dawa<br />

za kupunguza maumivu kulingana na ushauri<br />

wa daktari, kwani nazo zikitumiwa vibaya zina<br />

madhara.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

23


mpendwa ANKO<br />

Katika kurasa hizo tumezungumza mengi<br />

kuhusu issue ya kugonga mwamba, kwa<br />

wale ambao hamjanipata basi namaanisha<br />

kupata maambukizi yanayotokana na<br />

ngono. Lakini hapa anko wenu nataka<br />

tutete kidogo, labda tuanze kwa kuulizana;<br />

Je, unapogundua kwamba umepata<br />

ugonjwa wa ngono unamweleza mpenzi<br />

wako au unaipotezea?<br />

Kuna faida lukuki ambazo utazipata ikiwa<br />

utamshirikisha mpenzi wako kwamba<br />

una maambukizi ya ugonjwa wa ngono.<br />

Nakutajia nne tu:<br />

a Itawawezesha wote wawili kupata tiba<br />

na kuepuka kuendelea kuambukizana na<br />

kusababisha madhara mengine kwenye<br />

afya yenu ya uzazi.<br />

a Itawasaidia kujadili na kujua<br />

mlipoteleza ili muepuke tatizo hilo wakati<br />

mwingine.<br />

24<br />

FEMA MAGAZINE: DEAR ANKO<br />

Cuthbert, achunguza mambo<br />

Usipotezee,<br />

mshirikishe ‘mtu’ wako!<br />

Sina shaka kwamba utakuwa umesoma makala ya ‘Nguvu za<br />

Mwanamume’, au siyo jembe? Nitashangaa tu kama utakuwa hujaisoma<br />

maana hapo ndipo wanaume tunalonga mambo yetu ingawa naamini<br />

na dada zetu nanyi mnaenjoy kufuatilia makala za ukurasa huo.<br />

a Itaboresha uhusiano wenu kwa kuwa<br />

atakuwa na hakika kwamba unampenda na<br />

unamjali.<br />

a Mtakuwa mmetumia haki yenu ya afya<br />

ya uzazi yaani haki ya kupata taarifa sahihi<br />

na tiba.<br />

Unaanzaje?<br />

Sina shaka hii ni changamoto kubwa<br />

kwani akikutolea nje inakula kwako,<br />

hivyo machale yanakucheza ulianzisheje<br />

sekeseke lenyewe!<br />

Kwa vile dalili kwa wanawake huchelewa<br />

kujitokeza inakuwa ngumu kwake<br />

kukuelewa. Lakini kwa kuwa ni muhimu<br />

ifanyike, unaweza kutumia mbinu hizi:<br />

a Hakikisha unamweleza wakati<br />

ambapo mko fresh, yaani mnaelewana, si<br />

�<br />

kumbuka!<br />

�����������������������������������<br />

kulazimishwa kumleta au kumtaja<br />

aliyekuambukiza, ingawa ni vizuri<br />

mkitibiwa kwa wakati sawa ili wote<br />

��������������������������������<br />

Wote mhakikishe mnatunziana siri na si<br />

������������������������������������<br />

siku nyingine mtashindwa kuwa wazi<br />

baina yenu.<br />

wakati hakuna maelewano. Hii itamsaidia<br />

kuupokea ujumbe vizuri na kuchukulia<br />

kama mazungumzo ya kawaida, na<br />

mtapanga mipango ya kwenda kupata<br />

tiba.<br />

a Usipoteze muda kufanya uamuzi<br />

wa kumweleza kwani kadri muda<br />

unavyopotea, maambukizi ndo yanazidi<br />

kupamba moto.<br />

a Uwe tayari kumwelimisha, mara nyingi<br />

mwanamume huwa wa kwanza kuona<br />

dalili na hii haimaanishi kwamba yeye<br />

ndiye aliyekuwa wa kwanza kuambukizwa.<br />

Hata hivyo, mweleze kwamba haisaidii<br />

kutafuta ‘mchawi,’ bali kutibu tatizo na<br />

kuhakikisha mnakuwa waaminifu kwa<br />

usalama wenu.<br />

a Ikiwa utaona huna ubavu wa<br />

kumweleza, muombe akusindikize<br />

hospitali halafu mtoa huduma atawashauri<br />

muweze kupima pamoja na kutibiwa<br />

pamoja.<br />

a Kwa kuwa binadamu tunatofautiana,<br />

inaweza kutokea mpenzi wako akawa<br />

wa kwanza kuona dalili au kugundua<br />

kwamba ana ugonjwa wa ngono, hivyo<br />

atakapokufuata na kukueleza jambo hilo<br />

uwe tayari kutoa ushirikiano na si kung’aka.<br />

a Hakikisha mnajenga desturi ya<br />

kuzungumzia suala hili katika uhusiano<br />

wenu. Zungumzeni kuhusu umuhimu wa<br />

kuwa waaminifu, kujilinda na kulindana.


NGUVU ZA MWANAUME<br />

Ukichelewa imekula kwako! NA FEMINA <strong>HIP</strong> NA RFSU<br />

Ikiwa Mwananzige, Malunde, Itambu na Ntandu wataamua kwa moyo mmoja kupambana na magonjwa ya ngono,<br />

yatatokomea na kubaki historia! Ndiyo! Najua unashangaa kwa majina hayo, lakini hapa namaanisha wanaume, tena<br />

wanaume wote pamoja na wewe!<br />

Why? Kwa sababu, dalili za magonjwa hayo<br />

zinajitokeza mapema zaidi kwa wanaume<br />

kuliko wanawake. Yes! mwanamume<br />

anaweza kuambukizwa leo na ‘ngoma<br />

ikajibu’ baada ya siku kadhaa! Kwa maana<br />

hiyo, mwanamume akigutukia, ‘akamstua’<br />

mpenzi wake na wakawahi kupata tiba,<br />

tutaweza kuepuka athari za magonjwa hayo<br />

na hata kuyatokomeza kabisa!<br />

Ni hivi<br />

Magonjwa ya ngono, kama lilivyo jina lake,<br />

ni yale yanayoambukizwa kwa kujamiiana.<br />

Unaweza kuambukizwa kupitia uume au<br />

uke na hata katika njia ya haja kubwa ikiwa<br />

utajamiiana kwa njia hiyo. Wataalamu wa<br />

afya pia wanatuambia kwamba unaweza<br />

kuambukizwa magonjwa ya ngono kwenye<br />

koo ikiwa utajamiiana kwa njia ya mdomo<br />

(oral sex).<br />

Ukiona dalili hizi, wahi hospitali:<br />

D Maumivu ya kuchomachoma wakati wa<br />

kukojoa na baada tu ya kumaliza kukojoa.<br />

Pia unaweza kubanwa sana na mkojo kisha<br />

ukajikuta unakojoa mkojo kiduchu sana.<br />

D Kukojoa mkojo mchafu, yaani wenye<br />

njano iliyokolea sana na wenye harufu kali.<br />

D Majimaji yasiyo ya kawaida kutoka<br />

kwenye uume na wakati mwingine unaweza<br />

kuona usaha ukitoka. (Vitu vya kawaida<br />

kutoka kwenye uume ni shahawa na mkojo,<br />

hivyo ukiona kingine chochote tofauti<br />

kamwone daktari).<br />

D Kuwa na vidonda, uvimbe,<br />

malengelenge au vipele sehemu za siri na<br />

hata mdomoni na kwapani. Hivi vinaweza<br />

kuwa na maumivu au visiwe na maumivu,<br />

ukiwa navyo si dalili nzuri.<br />

D Kuwa na muwasho usio wa kawaida<br />

sehemu za siri.<br />

Muhimu:<br />

Dalili hizi huweza kutoweka ndani ya<br />

muda mfupi au kubadilika wakati wowote.<br />

Matibabu ya haraka yanahitajika pindi tu<br />

itakapothibitika kwamba una ugonjwa wa<br />

ngono na ni vizuri kupata tiba na ushauri<br />

kutoka kwa mtaalamu wa afya badala ya<br />

kwenda duka la dawa na kununua dawa bila<br />

ya maelekezo ya daktari kwani huwezi kujua<br />

unatibu ugonjwa gani.<br />

Ikiwa utachelewa kutibiwa:<br />

D Unaweza kupata ugumba kwani<br />

���������������������������������������<br />

mwanamume au mwanamke huweza<br />

kuziba kutokana na makovu, uvimbe au<br />

kutunga usaha.<br />

D Kuziba kwa njia ya mkojo kutokana<br />

na makovu, uvimbe pamoja na kutunga<br />

usaha. Hali hii husababisha mwanamume<br />

kujikamua sana anapokwenda kukojoa na<br />

mkojo hutoka matonematone.<br />

D Magonjwa ya ngono husababisha upofu<br />

kwa sababu pia hushambulia macho,<br />

ambayo hutunga usaha na kusababisha<br />

kuharibika katika sehemu zake za ndani.<br />

D Ulemavu wa viungo mbalimbali pia<br />

huweza kusababishwa na magonjwa ya<br />

ngono kutokana na kuathirika kwa mfumo<br />

wa fahamu.<br />

D Kuwa katika hatari kubwa zaidi ya<br />

kuambukizwa VVU kutokana na michubuko<br />

na vidonda uumeni.<br />

Zingatia:<br />

D Tambua kuwa unayo haki ya kupata<br />

taarifa sahihi juu ya afya ya uzazi pamoja<br />

na maradhi yatokanayo na kujamiana.<br />

D Mwarifu mpenzi wako ili naye atibiwe<br />

mapema. Kumficha ni kunyima haki yake<br />

ya afya ya uzazi<br />

D Tafuta taarifa juu ya ngono salama na<br />

ujue unayo haki ya kupata huduma za<br />

kinga<br />

D Tambua kuwa unayo haki ya<br />

kufichiwa siri, hivyo uwe muwazi kwa<br />

watoa huduma<br />

D Hakikisha unaepuka ngono zembe<br />

siku zote.<br />

�<br />

kumbuka!<br />

Hata kama wewe ni mwafunzi, unayo<br />

haki ya kutozungumza na mtu yeyote<br />

asiye daktari kuhusu hali yako.<br />

Tukumbuke kuwa ni haki yako kupata<br />

taarifa na kutunziwa siri. Hizi ni miongoni<br />

mwa haki za msingi za afya ya uzazi.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

25


26<br />

FEMA MAGAZINE: PHOTO STORY


JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

27


28<br />

FEMA MAGAZINE: UJINSIA NA MAHUSIANO


DUH! CHOKAJEEE?<br />

Eee bwana shughuli ya kutengeneza hadithi<br />

ya picha huwa si ya kitoto! Ni mwendo wa<br />

siku mbili na full bandika bandua! Timu<br />

unayoiona pichani ndo ‘wapishi’ haswa<br />

wa mchezo huu! ‘Injinia’ mkuu alikuwa ni<br />

mwalimu wao…… lakini kila umuonaye<br />

hapo alishiriki vilivyo mfano wa nyuki<br />

mzingani!<br />

Ni nani hao?<br />

Ni vijana wa kikundi cha Youth Movement<br />

for Change (YMC) wa Mjini Singida.<br />

Tulitafuta kijiwe, tukakaa nao, tukapiga stori,<br />

tukaichambua mada, tukapata visa vya<br />

kweli na kwa pamoja tukatafuta namna ya<br />

‘kuvitwist’ japo kidogo ili visifanane na kisa<br />

halisi!<br />

Yanatokea!<br />

Vijana walifunguka! Walituambia rushwa<br />

ya ngono baina ya walimu na wanafunzi<br />

inatokea sana. Tena walitutonya kwamba<br />

rushwa hiyo inazidi kushamiri kwani kadri<br />

siku zinavyokwenda walimu wanazidi kuwa<br />

‘mayanki’ mno!<br />

Wanasema, hakuna tofauti kubwa ya umri<br />

kati ya walimu na wanafunzi, hivyo kila<br />

mmoja anamwona mwenzake kwamba ni<br />

saizi yake!<br />

“Tena walimu wa mazoezi hawa ndiyo<br />

wabaya sana. Sisi tulikuwa tunawaita ‘voda<br />

fasta’ walipotugutukia tukawabadilishia jina<br />

na kuwaita ‘macontainer’ maana wanakuja,<br />

wanashusha ‘mzigo’ yaani mimba na<br />

�����������������������������������������<br />

alisema mmoja wa vijana hawa na<br />

kuwaacha wenzake wakivunjika mbavu!<br />

Walisema, wanafunzi, in return,<br />

wanahongwa maksi, viepe, chai na<br />

vitafunwa kwenye kantini za shule,<br />

wanapewa ‘nondo’ wakati wa mitihani,<br />

zikitolewa adhabu wanapewa upendeleo<br />

maalumu.<br />

Wapo wanaopata ‘dau’ kubwa kiasi cha<br />

kununuliwa japo ‘kisimu’ cha ‘mchina’ kama<br />

Badra wa kwenye hadithi ya picha!<br />

Siku ya siku ikawadia!<br />

Hauchi hauchi kukacha, Jumapili ikawadia<br />

tukatinga Mtipa Sec asubuhi na mapema.<br />

Hapo ndipo matukio ya hadithi hii ya picha<br />

yalikopigwa picha.<br />

Kazi ikaanza! “Cheka, foka, kasirika,<br />

shangilia duh! Mpaka mapozi yanaexpire!”<br />

Tulichokajeee? Ila cha muhimu ilikuwa ni<br />

������������������������������������<br />

�������<br />

Kali kuliko!<br />

Eee bwana tulikuwa tumeazima uniform<br />

za wanafunzi wa Mtipa kwa kuwa kundi<br />

tulilokuwa nalo ni la vijana wa uraiani!<br />

Wenye uniform zao si wakazisubiri<br />

wakidhani ni shughuli ya dakika chache!<br />

Mwanangu ngoma ilikwenda mpaka jua<br />

likatumbukia na kadri muda ulivyosogea<br />

ndivyo wenye uniform zao walivyoendelea<br />

kukosa uvumilivu maana sasa ilikuwa<br />

wanachelewa nyumbani!<br />

Hatimaye tulimaliza!<br />

Zege lisilale:<br />

Unalifahamu zege? Si unajua<br />

kwamba likishakorogwa halilali?<br />

Ndiyo! Vivyo hivyo mjadala huu<br />

usilale! Tuendelee kujadili kila<br />

tunapokutana katika klab kona<br />

zetu au vijiweni: Maswali haya<br />

yatatusaidia kufunguka zaidi:<br />

D Je, Badra angefanyaje ili<br />

kujinasua katika mtego wa ticha?<br />

D Je, nani anastahili lawama kati ya<br />

Badra na Ticha? Kwanini?<br />

D Je, Badra angeamua kukataa na<br />

akatoa taarifa ili hatua zichukuliwe<br />

dhidi ya mwalimu, angetoa taarifa<br />

hiyo wapi na kwa vipi?<br />

D Je, nini kingetokea kama Badra<br />

angekataa ombi la ticha?<br />

D Je, ungekuwa rafiki wa Badra<br />

ungefanya nini?<br />

D Je, ungekuwa mwalimu<br />

mwenzake na mwalimu huyu,<br />

ungefanya nini?<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

NA PENDO MASHULANO<br />

29


DLEBO<br />

IMEKUWA<br />

ISHU?<br />

Msomaji, natumaini makala yangu<br />

katika toleo lililopita imejibu<br />

maswali yako kuhusu dozi ya ARV.<br />

S<br />

afari hii nimekuja na mada nyingine<br />

lakini bado nimo ‘mule mule’ katika<br />

mambo yetu ya VVU na Ukimwi.<br />

Twende pamoja!<br />

Nimekuwa wazi kwamba naishi na VVU<br />

kiasi kwamba hata watoto mtaani kwangu<br />

wanalifahamu hilo. Siku moja nikiwa katika<br />

pitapita zangu mtaani, mwanafunzi wa shule<br />

ya msingi alinikimbilia na kuniuliza “anti,<br />

shuleni kwetu kuna watoto wamewekewa lebo<br />

nyekundu, hivi wale wana Ukimwi?”!<br />

Ilibidi nitumie muda nizungumze naye<br />

maana alikuwa na maswali mengine kadri<br />

nilivyomweleza. Kabla hilo halijafutika<br />

kichwani mwangu, nikasikia ‘sakata’ jingine<br />

huko Kongowe, ambako ilisemekana shule<br />

inawawekea lebo nyekundu wanafunzi<br />

waishio na VVU!<br />

Hapo ndipo akili iliponicheza, nikaona suala<br />

la kuwawekea lebo wanafunzi linaweza kuwa<br />

ishu, licha ya kwamba limekuwapo katika<br />

shule kadhaa nchini na tumekuwa tukidhani<br />

linaeleweka kwa watu wote.<br />

Nilifunga safari mpaka katika shule hiyo<br />

iitwayo Mwambisi, hatua chache kutoka<br />

Kibaha. Hapo nilizungumza na Mwalimu<br />

Alice Chambala na Agness Luvanda na<br />

nilipowauliza habari hizi walisikitika kuona<br />

kwamba wazo “zuri” ambalo wamekuwa<br />

���������������������������������������<br />

limetafsiriwa vibaya.<br />

30 FEMA MAGAZINE: VUMILIA<br />

VUMILIA atoboa<br />

“Tumekuwa na utaratibu wa kuwawekea<br />

alama katika shati wanafunzi ambao wana<br />

matatizo ya kiafya kama pumu, kifafa nk. Nia<br />

yetu ilikuwa ni njema tu, tulitaka wenzao<br />

wawatambue na wawalinde dhidi ya hatari<br />

mbalimbali wanapocheza nao, lakini pia<br />

tulitaka kuwasaidia walimu kuwatambua<br />

watoto wa namna hiyo ili wasiwape adhabu<br />

kali au kazi zinazoweza kuathiri afya zao,”<br />

alisema Mwalimu Chambala.<br />

“Kuna walimu ambao walihamia shule hii<br />

wakitokea Shule ya Kongowe, kule walikuwa<br />

���������������������������������������<br />

wakauanzisha, wakiamini kwamba ni<br />

mzuri na unawasaidia watoto. Hatukuwahi<br />

������������������������������������������<br />

vibaya maana si kweli kwamba watoto<br />

wanaowekewa lebo wanaishi na VVU,”<br />

alisema.<br />

Walimu hao walieleza kwamba, si shule<br />

inayoweka lebo bali ni mzazi mwenyewe<br />

anashauriwa kumwekea mwanae lebo<br />

anapokwenda kutoa taarifa shuleni kwamba<br />

mtoto wake ana matatizo ya kiafya.<br />

Sikuishia hapo, nilizungumza na wanafunzi<br />

wa shule ile Paulo Mathayo, 16, na Adelaida<br />

Lyimo, 13, wote wako darasa la saba na<br />

���������������������������������������<br />

wala kusikia kwamba wanafunzi wenzao<br />

wanaowekea lebo nyekundu wana VVU, bali<br />

wanachofahamu ni kwamba wana matatizo<br />

mbalimbali ya kiafya, hivyo wanatakiwa<br />

kuwalinda na kuwa makini wanapocheza<br />

nao na hata kutoa taarifa haraka kwa walimu<br />

wanapoona wenzao wameanguka au kupata<br />

tatizo lolote.<br />

Kama hiyo haitoshi, nilizungumza pia na<br />

mzazi katika eneo lile, Dorice Kilagale,<br />

ambaye naye alieleza kwamba jamii ina<br />

uelewa na jambo hilo na kwamba wazazi<br />

wenyewe ndio ambao wamekuwa wakiomba<br />

waruhusiwe kuwawekea watoto wao alama<br />

na kwamba haina uhusiano na VVU/Ukimwi.<br />

Wote hao nilikuwa nikiwauliza, kwa nini lebo<br />

nyekundu? Kila mmoja alijibu kwamba alama<br />

nyekundu inatumika kuonyesha hatari, hivyo<br />

wanadhani ni rangi sahihi kwa lengo hilo.<br />

Ni wazi kwamba suala la watoto wenye<br />

matatizo ya kiafya kuwekewa lebo nyekundu<br />

limekuwepo tangu enzi, hata kabla ya<br />

kugundulika kwa VVU. Nashukuru kwamba<br />

walimu, wanafunzi na majirani wa Shule<br />

ya Msingi Mwambisi wanaelewa lengo zuri<br />

la utaratibu huu, lakini swali la kujiuliza ni<br />

kwamba, ni kwa kiasi gani “nia hii njema”<br />

inaeleweka nchi nzima?<br />

Kulikoni mwanafunzi wa mtaani kwangu<br />

aliyenikimbilia na kuniuliza iwapo wale<br />

wenzake wenye lebo nyekundu wana VVU?<br />

�������������������������������������<br />

manake ni kwamba kuna uvumi umeenea<br />

shule hiyo na shule nyingine nyingi kwamba<br />

wanafunzi wanaowekewa lebo wana<br />

VVU na inawezekana wanafunzi hawa<br />

wameshakumbana na unyanyapaa wa hali ya<br />

juu lakini hawana pa kusemea.<br />

Huu ni mjadala wa haja. Hebu tujadiliane<br />

katika maeneo yetu na maswali haya<br />

yatatusaidia:<br />

a Je, ni lazima kuwawekea alama wanafunzi<br />

wenye matatizo ya kiafya?<br />

a Je, tunaweza kutumia utaratibu<br />

gani mbadala wa kuwasaidia badala ya<br />

kuwawekea lebo?<br />

Nawatakia mjadala mwema!


IT WITH FRED<br />

Stay safe with IT<br />

If you think using the Internet or your mobile phones<br />

in fun and exciting ways is only for young people living<br />

in Dar, then you are <strong>wrong</strong>! Young people in and out of<br />

schools from all over Tanzania share with us stories and<br />

photos from their communities through the Internet and<br />

�������������������������������������������������������<br />

come from Dar but all the way from the Uhuru Secondary<br />

School in Shinyanga!<br />

The Internet and mobile phones are tools that allow you<br />

to communicate with people in your village, the nearby<br />

town or even abroad! But, as young people, you need to<br />

remember that it is your responsibility to stay safe at all<br />

times! This includes staying safe while on the Internet and<br />

using your mobile phones.<br />

If you do not take security measures, people can steal<br />

your personal information and can use them for taking<br />

loans from banks or for other illegal uses. In other cases<br />

people can enter your Facebook accounts or email and<br />

post unwanted pictures among other things. In order<br />

to keep your private information secure, there are three<br />

basic security tips which all young people need to know:<br />

1. Online passwords should be changed once every<br />

three months. When making your password, use a<br />

combination of alphabet letters, numbers and symbols<br />

such as ‘femina! 2012’. When you are sharing passwords,<br />

such as in the case of a Fema Club managing a blog, make<br />

sure that only a few people know the password and don’t<br />

give it out to anyone else!<br />

2. Always turn on the security features of your mobile<br />

phone. If you do not know how to switch on the security<br />

features then ask your friends to show you how. To<br />

make your phone safer, make sure you have to type in<br />

your password everytime you want to use your phone.<br />

Unfortunately, many people forget to switch on their<br />

security features, which makes it easier for other people<br />

to use your private information in the phone.<br />

3. Every time you post photos or make comments on<br />

Facebook, Twitter or in any social media tool, you should<br />

ask yourself: how will this affect the way people see you?<br />

Is the post or comment respectful?<br />

In case you didn’t know, mobile phones (even some of<br />

the low priced ones) have now made it possible for many<br />

young people to enjoy exchanging messages and photos<br />

through SMS, Facebook and many other fun Internet<br />

technologies.<br />

In other countries, youth have<br />

successfully used social media<br />

tools such as Twitter to make<br />

their voice heard! Join others.<br />

There is so much for you!<br />

Keep on, Sema na Fema!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

31


SAUTI YAKO<br />

a<br />

Sauti yako<br />

ni ukurasa unaokukaribisha<br />

kuchangia mawazo<br />

yako binafsi. Unaweza<br />

kutuandikia kwa Kiswahili<br />

au Kiingereza. Usisahau<br />

kutuletea picha na<br />

maelezo yako binafsi.<br />

Karibu sana! Haya ni<br />

maoni binafsi yatolewayo<br />

na wasomaji wetu na<br />

sio lazima kwamba<br />

yanakubaliana na<br />

mawazo ya FEMINA <strong>HIP</strong>.<br />

Sitaki yawakute yaliyonikuta!<br />

�<br />

Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka<br />

20. Nimehitimu kidato cha nne. Nawashauri<br />

��������� ��������� ��� ����� ������� �����<br />

VVU havipo. Unaweza kusema hivyo kwa kuwa<br />

�������������� ������ ������� ��� ��������� ������� ���� �����<br />

zenu mkae mkijijua mko katika hali gani, hapo unaweza kuishi<br />

�����������������������������<br />

Mwenzenu hapa nilipo ninaishi na VVU tangu mwaka 2009<br />

hadi sasa na kwa kuwa virusi hivi vilitokana na kushawishiwa<br />

na mama mmoja tuliyekuwa tukiishi naye nyumba moja,<br />

naomba niwachanganulie sababu za kukutwa na yaliyonikuta<br />

kwani nisingependa yawakute:<br />

VISHAWISHI:<br />

Mama huyo aliyenishawishi alikuwa na pesa nyingi. Tulikuwa<br />

tumepanga naye nyumba moja na hana mume wala mtoto<br />

hivyo alitumia pesa alizokuwa nazo kushawishi wavulana wa<br />

rika langu, nikiwa mmojawapo. Alinishawishi kwa 100,000/=.<br />

�������������������������������������������������������������<br />

ngono bila hata kutumia kinga, kumbe kaniuzia virusi.<br />

UMASKINI:<br />

Hili ni tatizo kubwa sana kwani vijana wengi wanaingia katika<br />

ngono kwa maslahi ya maisha yao. Sikuwa nimewahi kushika<br />

laki tangu nizaliwe, hivyo niliiona ni pesa nyingi sana. Hivyo<br />

naweza kusema kwamba umaskini nao ni chanzo kikubwa cha<br />

maambukizi ya VVU.<br />

Naomba kuwausia vijana wenzangu wa kike na wa kiume<br />

���������������������������������������������������������<br />

�����������������������������������������������<br />

32 FEMA MAGAZINE: SAUTI YAKO<br />

TAMAA:<br />

Siku zote tamaa ni kitu kibaya sana tena kinaponza, tamaa ya<br />

pesa ndiyo iliyonitia matatani. Nilipoonyeshwa pesa akili yote<br />

ilihama niliwaza nikiichukua itanisaidia mambo mengi, tamaa<br />

ikaniponza kiasi cha kuamua kujamiiana na mwanamke ambaye<br />

ana umri wa kuweza kunizaa. Tudhibiti tamaa maana kitu kidogo<br />

kinaweza kukukosesha amani milele<br />

USHAURI:<br />

Ndugu zangu tuitumie vyema sana elimu inayotolewa na vyombo<br />

mbalimbali likiwemo Jarida la Fema ili iweze kutusaidia kujikinga<br />

dhidi ya maambukizi ya VVU.<br />

MWISHO:<br />

Naiomba Serikali na wadau wote waendelee kutoa elimu juu ya<br />

maambukizi ya VVU. Nawatakia kila la kheri na kazi njema.<br />

Msomaji wa Fema (jina limehifadhiwa)<br />

BUTIAMA SEC SCHOOL<br />

P. O. BOX 2163<br />

SHINYANGA, TANZANIA


STORI ZA RUSHWA!<br />

Tukiwa Singida tuliwataka wanafunzi kuandika angalau tukio moja la rushwa<br />

ambalo wamewahi kukumbana nalo katika maisha yao. Walijiachia haswaaa!<br />

Tunakumegea hizi hapa chache, zicheki!<br />

D ������� ������ ������� ��� ���������� ������������ ������<br />

na kunirudisha maskani. Siku moja nikiwa njiani, askari<br />

������������ ���� ����� ������� ��� ���� ��� ��������� �������<br />

mudguard. Alikuwa sahihi, lakini alikwenda mbali kiasi cha<br />

��������� ��������� ��������� ����� ������ ���� ������� ����� ����<br />

������� ���������� ��������� ������� ������������� ������ ������<br />

��������������������������������������������������������������<br />

kwa mtazamo wangu hiyo ni rushwa!<br />

D Nakumbuka niliwahi kutozwa sh 10,000 ili nipate cheti<br />

cha kuzaliwa. Nilitoa, lakini baadaye nikagundua kwamba<br />

nilipaswa kukilipia sh 2,000 tu. Hata hivyo, kulipa gharama<br />

kubwa kwa cheti cha kuzaliwa imekuwa ni kawaida kwa<br />

wengi wetu ambao hatukuchukua vyeti hivyo tukiwa<br />

�������� ��������� ������� ������������� ���� ���� ��� �������<br />

���� ���������� �������� ��������� ������ ������ ��������<br />

ukakuchukua miezi kadhaa au kumpa mtu mshiko ili ukipate<br />

hata ndani ya siku tatu!<br />

D ������� ������ ����� ������������� ������� ��� ����������� �����<br />

wa kike, wanakuwa na uhusiano wa kimapenzi na walimu<br />

wa kiume. Wanahonga miili yao na walimu wanawahonga<br />

�������������������������������������������������������������<br />

wakati mwingine wanawasamehe kunapokuwa na adhabu au<br />

kazi ngumu. Kwa mtazamo wangu, hiyo nayo ni rushwa na<br />

nimeishuhudia sana!<br />

D Mara kadhaa nimewahonga viranja pesa ndogondogo au<br />

����������� ����� ��������� ������� ������ ��� ����� ������������<br />

����� ������� �������� ��� ������� ���������� ����� ���� �������������<br />

�����������������������������������������������<br />

D �������� ����� ����������� ������� ������� ������ ��� ����������<br />

����������� ����������� ����� ��� ����� ��� ��������� ����� �����<br />

����� ������ ������� ������������ ��� ������ ���������������� �������<br />

baadaye akaniambia nimpatie pesa kama nataka niendelee kukaa<br />

���������������������������������������������������������������<br />

hivi naitumia kwa uhuru kabisa shuleni na wakati mwingine<br />

natesa nayo hata darasani!<br />

D Nakumbuka jinsi wazazi wangu walivyolazimika kutoa pesa<br />

kwa watu kadhaa wenye mamlaka ili niweze kuhamishiwa katika<br />

shule hii! Hatimaye nilipata uhamisho lakini naamini pesa<br />

iliyotolewa ilikuwa ni rushwa!<br />

D ������� ��� ����������� ����� ����� ��� ������ ��� ������� ������<br />

hongo ya pesa na zawadi ndogondogo kwa walinzi getini ili<br />

�������������������������������������������������������������<br />

�����������������������������<br />

D ��������������������������������������������������������������<br />

ya gongo na hayuko tayari kuona mtu mwingine anaingia katika<br />

biashara hiyo. Kwa sababu hiyo, anatoa hongo kwa askari ili<br />

���������� ���� ��������� ������� ������� ���������� ��������<br />

biashara hiyo!<br />

D ����������������������������������������������������������������<br />

nikaambiwa nitoe pesa ili waweze kushughulikia kesi yangu!<br />

Hiyo siyo rushwa jamani ndugu zangu?<br />

Hizi ni za Singida, vipi huko kwenu, ushakumbana na stori<br />

za rushwa kama hizi au kali zaidi? Jadilini!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

YOUR VOICE 33


LIFESKILLS<br />

KOMESHA<br />

Kama tunashindwa kusaidia badala<br />

yake tunabaki kushangaa, hivi<br />

ndivyo inavyopaswa kuwa? Je, nchi<br />

yetu itabaki ikinuka rushwa milele? Kwani<br />

hatuwezi kupata ufumbuzi? Nini kifanyike?<br />

Jibu ni HAPANA, haipaswi kuwa hivi. Tunao<br />

uwezo wa kujikomboa dhidi ya rushwa na<br />

nguvu hiyo iko ndani ya Katiba ya nchi.<br />

Taifa letu linaongozwa na sheria, sera na<br />

miongozo ambayo imeainisha haki na<br />

wajibu wa raia wa Tanzania.<br />

Kwa mujibu wa sheria, tuna haki ya kupata<br />

huduma za jamii kutoka kwa Serikali. Siyo<br />

huduma zote ni za bure ila tunahitajika<br />

�������������������������������������������<br />

kupata risiti. Haitakiwi kutoa rushwa ya aina<br />

yoyote wala pesa ya chai kwa watumishi wa<br />

umma pale tunapohitaji huduma.<br />

Kama tunataka kutokomeza rushwa,<br />

tunapaswa kuanza kwa kupigania haki zetu<br />

binafsi.<br />

34<br />

FEMA MAGAZINE: LIFESKILLS<br />

RUSHWA! NA JIANG ALIPO<br />

“Rushwa nchini Tanzania haina mipaka. Nchi inanuka<br />

rushwa!” maneno haya aliyasema Mwalimu Machi, 1995.<br />

Dira ya Mwalimu juu ya taifa hili ilikuwa ni kujenga jamii<br />

yenye usawa na haki ambapo raia wanaweza kupata<br />

fursa sawa katika huduma mbalimbali na kila mtu<br />

ananufaika na rasilimali ya ardhi ili kujenga nchi.<br />

Leo hii shughuli za kila siku zimegubikwa na vitendo vya<br />

rushwa na taarifa za habari zimejaa habari za matukio ya<br />

rushwa yanayofanywa na watoa huduma, viongozi na raia.<br />

Tunawezaje kufanya hivyo? Ni kwa<br />

kujipanga sisi wenyewe na kufanya kazi ya<br />

kulinda haki mbalimbali katika maisha yetu.<br />

Ukisikia vita dhidi ya rushwa kitu cha<br />

kwanza kinachokuja kichwani mwako ni<br />

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa<br />

(TAKUKURU). Ndiyo, Takukuru imeundwa na<br />

Serikali ili kufanya kazi hiyo tu! Uwezo wake<br />

ni kutoa elimu kwa jamii kuhusu rushwa na<br />

kuendesha kesi za rushwa.<br />

Lakini Takukuru haiwezi kuifanya kazi hiyo<br />

peke yake, bali inahitaji ushirikiano wa kila<br />

mtu, ukiwemo wewe na mimi. Kila mtu ana<br />

jukumu la kupambana na rushwa katika<br />

jamii. Wote tushirikiane kuondoa harufu<br />

mbaya ya rushwa!<br />

Rushwa ni nini?<br />

���������������������������������������<br />

manufaa binafsi. Lakini tunafahamu kuwa<br />

kutokana na maisha tunayoishi na taarifa<br />

tunazozisikia katika vyombo vya habari,<br />

rushwa si rahisi kupambana nayo kwani<br />

inatofautiana kulingana na mazingira na<br />

utamaduni. Ndiyo maana kesi za rushwa<br />

zinaamuliwa kwa kuzingatia mazingira<br />

husika.<br />

Kwa kujitazama wenyewe, rushwa<br />

tunazokutana nazo tunaweza kusema kuwa<br />

rushwa:<br />

a ��������������������������������<br />

kinyume cha maadili yake ili kujipatia<br />

manufaa binafsi au ya wenzake tofauti na<br />

majukumu yake au sheria za wengine<br />

a Inahusisha kutokuwa mwaminifu au<br />

kutumia vibaya madaraka uliyonayo, jambo<br />

ambalo linaweza kusababisha kuwepo kwa<br />

upendeleo kiasi kwamba mtu au taasisi<br />

inapata kuliko wengine.<br />

Rushwa inajumuisha haya yafuatayo:<br />

a Kuomba<br />

a Kupokea


a Kukubali kupokea<br />

a Kutoa<br />

a Kuahidi<br />

Hatia: Mtoaji au mpokeaji?<br />

Kwa mujibu wa sheria, ikiwa mtu atakupatia<br />

hongo, ukapokea na ikawa hakuna hata<br />

mmoja baina yetu aliyeripoti tukio hilo kwa<br />

mamlaka husika, basi wote wawili mtakuwa<br />

mmefanya kosa.<br />

Kama mpokeaji au mtoaji akiamua kutoa<br />

taarifa ya tukio na likafanyiwa uchunguzi<br />

ikagundulika kwamba hakuwa na nia ya<br />

kutoa au kupokea rushwa, basi mtoa taarifa<br />

atakuwa hana hatia isipokuwa atakuwa<br />

shahidi katika kesi dhidi ya mwenzake.<br />

Athari za rushwa<br />

Rushwa ina athari nyingi kwa mtu, biashara<br />

na taifa kwa ujumla. Baadhi ya athari hizo ni:<br />

a Kuzuia haki kunakopelekea watu<br />

wengine kuonewa<br />

a Inazuia utendaji kazi wa Serikali katika<br />

jamii<br />

a Inaua misingi ya utawala bora, ambayo<br />

ni nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa<br />

a Inapunguza kasi ya ukuaji wa biashara<br />

binafsi<br />

a Wanavunja moyo wawekezaji kutoka nje<br />

a Inakwamisha utekelezaji wa miradi<br />

ya maendeleo kwani hatimaye gharama<br />

zinakuwa juu kuliko makadirio.<br />

a Inapunguza pato la taifa<br />

a Inachochea uwepo wa biashara haramu<br />

kama dawa za kulevya<br />

a Inachangia kuongezeka kwa umaskini<br />

na matendo maovu<br />

Wajibu wetu<br />

Kila mtu ana wajibu wa kupambana na<br />

rushwa. Tukiwa vijana tunatakiwa kutambua<br />

kwamba rushwa itaharibu maisha yetu<br />

hapo baadaye, afya za familia zetu, fursa ya<br />

kufanya biashara na kunufaika na rasilimali<br />

za nchi nk.<br />

Tunaweza kufanya hivi:<br />

Kuwa jasiri na mzalendo:<br />

a Usishawishi, usipokee wala usitoe<br />

hongo<br />

a Kemea wazi vitendo vya rushwa kila<br />

unapoona vinatendeka<br />

a Elimisha vijana wenzako, wanafunzi na<br />

jamii kwa ujumla juu ya athari za rushwa.<br />

a Toa taarifa kwa mamlaka husika juu ya<br />

vitendo vya rushwa na watu wanaojihusisha<br />

navyo.<br />

a Fichua mianya ya rushwa.<br />

a Simamia sheria za nchi, kanuni na<br />

taratibu; kama wote tutazifuata hali<br />

itabadilika.<br />

TAKUKURU NI NINI?<br />

����������������������������������<br />

��������������������������������<br />

�������������������������������������������<br />

����������������������������������������<br />

kuelimisha jamii kuhusu madhara ya rushwa<br />

na kutumia sheria kutokomeza rushwa.<br />

Jinsi ya kutoa taarifa Takukuru<br />

Namba ya bure:<br />

���������������������������������������<br />

bure 113<br />

�����<br />

���������������������������������<br />

����������������������������������������<br />

�����������������������������<br />

������������������������������������������<br />

wilaya Tanzania Bara.<br />

Anuani ya posta ya makao makuu:<br />

Mkurugenzi Mkuu<br />

Takukuru<br />

P.O BOX 4865<br />

�������������<br />

Nukushi:<br />

255 22 21 50047<br />

Barua pepe:<br />

�������������������<br />

LIFESKILLS<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

35


BECOME AN ANTI-CORRUPTION HERO!<br />

“Corruption in Tanzania has no bounds. The country is stinking with corruption!” Mwalimu said in March, 1995.<br />

He was not happy, he was in despair, for corruption had spread its ugly face all over Tanzania.<br />

M<br />

walimu’s vision for our nation was to<br />

create a society where citizens have equal<br />

access to services and treatment, where<br />

������������������������������������������������<br />

and contributes to building our beautiful country.<br />

At some point during the growth of our nation,<br />

something went <strong>wrong</strong>!<br />

Today our everyday encounters are surrounded<br />

by corrupt practices. The media is full of stories of<br />

corrupt service providers, leaders, and citizens.<br />

As citizens we cannot help but wonder, does it have<br />

to be this way? Will our country stink of corruption<br />

forever?<br />

The answer is no, it does not have to be this way. We<br />

have the power to become free from corruption,<br />

and that power lies in our constitutional rights. Our<br />

nation is governed by laws, policies, and guidelines,<br />

which outline our rights and responsibilities as<br />

citizens of Tanzania.<br />

According to the law we are entitled to certain social<br />

services from the government. Not all services are<br />

free, but we need ONLY pay the required amount,<br />

���������������������������������������������������<br />

not be asked to give bribe or ‘chai’ money to public<br />

servants when we need the services.<br />

If we want to end corruption, we must begin by<br />

������������������������������������������������������<br />

and working to secure our rights.<br />

The Prevention and Combating of Corruption<br />

Bureau (PCCB) has been set up by the government<br />

to do just that. Its mandate is to educate the<br />

public about corruption and to perse<strong>cut</strong>e cases of<br />

corruption.<br />

PCCB has a big job and cannot succeed alone.<br />

It needs cooperation from everyone, including<br />

���������������������������������������������������<br />

corruption in society.<br />

What is corruption?<br />

������������������������������������������������<br />

������������������������������������������������������<br />

from situations in our own lives and what we’ve<br />

36<br />

FEMA MAGAZINE: LIFESKILLS<br />

�����������������������������������������������������<br />

simple. Corruption differs depending on culture and<br />

environment. That is why it is judged on a case-tocase<br />

basis.<br />

If we focus on our own encounters with corruption in<br />

Tanzania we can say that corruption is:<br />

a ���������������������������������������������<br />

�����������������������������������������������������<br />

another person, contrary to duty AND the rights of<br />

others.<br />

a It involves the dishonest or preferential use of<br />

power or position, which has the result of one person<br />

or organization being given an advantage over the<br />

others.<br />

Corruption may involve any of the following:<br />

a Asking<br />

a Receiving<br />

a Agreement to receive<br />

a Giving<br />

a Promising or offering<br />

Guilty: giver or receiver?<br />

According to the law, if I give you a bribe, you take it,<br />

and no one reports the incident to the authorities, we<br />

are both <strong>wrong</strong>doers.<br />

If either giver or receiver decides to report the<br />

incident, and an investigation reveals she/he was not<br />

planning to take or give a bribe, then s/he is innocent,<br />

and may become a witness.<br />

Effects of corruption<br />

Corruption has many negative effects, on individuals,<br />

businesses, and the nation as a whole. Some of the<br />

effects include:<br />

a Obstruction of justice leading to unfair<br />

treatment.<br />

a Inhibits government’s performance of duties to<br />

the society.<br />

a Undermines good governance, the base for<br />

national development.<br />

a Hinders performance of private businesses.<br />

a Deters foreign investors.<br />

a �����������������������������������������������<br />

expenses for the projects.<br />

a Decreases national income.<br />

a Encourages existence of illegal businesses like<br />

selling of narcotic drugs.<br />

a Leads to an increase in poverty and social evils.<br />

Our role<br />

������������������������������������������������<br />

corruption. As youth we must be particularly aware<br />

because it is about our future. It affects the health of<br />

our families, the opportunity to do business and our<br />

access to the resources of this country.<br />

Here is what you can do:<br />

BY JIANG ALIPO<br />

Be a brave role model, be patriotic!<br />

a Don’t solicit, receive or give bribes.<br />

a Speak up against corruption when you see it.<br />

a Educate fellow youth, students and your<br />

community, on the effects of corruption.<br />

a Report corrupt practices and people to authorities.<br />

a Expose ways that are used to increase corruption.<br />

a Abide by national laws, rules and regulations. If<br />

we all follow them things will get better.<br />

WHAT IS PCCB?<br />

The Prevention and Combating of C����������Bureau<br />

(PCCB) is a law enforcement institution established<br />

�������������������������������������������������<br />

��������������������������������������������������������<br />

�����������������������������������<br />

How can you report to PCCB?<br />

Free phone number:<br />

��������������������������������������������������<br />

Physical address:<br />

��������������������������������������������������<br />

�����������������������������������<br />

���������������<br />

������������������������������������������������<br />

Tanzania mainland.<br />

��������������������������<br />

Director General Prevention and Combating of<br />

�����������������<br />

������������<br />

�������������<br />

��������������������<br />

��������������������������


Is it corruption?<br />

BY FEMA TEAM<br />

Corruption is a complicated word, a complicated act and sometimes we face<br />

situations that are confusing, leaving us wondering if we are victims of corruption or<br />

not. In the previous pages (pg 34-36) we defined corruption. Did you understand?<br />

Here is a simple exercise for you! Looking at these pictures, can you tell a corrupt act<br />

from that which is not? How does it feel? Complicated?<br />

Pursue the Lifestyles pages and explore acts of corruption!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

37<br />

LIFESTYLES


LIFESTYLES<br />

38<br />

Hospital scenario<br />

A patient has just arrived at the hospital. Seeing the long<br />

queue to the doctor who he knows, he decides to call the<br />

doctor, telling him he is outside, waiting to see him. Soon the<br />

doctor comes out, calling that patient to his office and giving<br />

him opportunity to jump the line. Inside the office, the patient<br />

gives the doctor some thank you<br />

money for the fast service. This is preferential use of power or<br />

position, which results in one person<br />

This act amounts<br />

(patient) being advantaged over the other<br />

to corruption.<br />

patients in the queue.<br />

FEMA MAGAZINE: LIFESTYLES


Private tuition scenario<br />

Its time for maths and teacher X is in class. He teaches shallowly and<br />

leaves the room when his 90 minutes are over. Before leaving the class he<br />

tells students that whoever did not understand should go to his private<br />

tuition class in the evening. It is a pay-<br />

for tuition and not all students<br />

can afford it.<br />

This is abuse of<br />

position and it<br />

can amount to<br />

corruption.<br />

Even though tuitions are legal, a teacher<br />

has the duty to teach students in class<br />

to the best of his abilities. Telling them<br />

they should attend his tuition for better<br />

understanding is the abuse of public<br />

office for private gain.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

39<br />

MITINDO YA MAISHA


LIFESTYLES<br />

40<br />

Lift scenario<br />

Every time this guy passed a certain road he would see students<br />

either on their way to school or going back home. He sees this<br />

group a couple of times and he admires one particular girl. One<br />

day he stops, calls that girl and offers her a lift. She accepts and<br />

gets in. He uses that chance to seduce<br />

her sexually.<br />

This does not amount to<br />

corruption because the<br />

guy does not have<br />

authority over the girl.<br />

FEMA MAGAZINE: LIFESTYLES<br />

She can choose to refuse his advances<br />

towards her. She could avoid the situation<br />

by being careful and smart from the<br />

beginning when the guy singled her out<br />

from the group and offered her a lift.


Election promises<br />

General elections are on, and campaigns are getting hotter and hotter!<br />

A local candidate, just like other politicians, is addressing a public rally<br />

promising them ‘bread’ and ‘butter’. “I will build you a bridge, vote me in<br />

and you will forget all about transportation problems ...”<br />

This does not amount to<br />

corruption as he is ‘selling’<br />

his party manifesto (no<br />

matter how unrealistic it<br />

may sound). As long as<br />

the promises<br />

do not target or<br />

benefit one individual<br />

he can try to convince his<br />

audience.<br />

�<br />

remember!<br />

�������������������������������������<br />

generalized, it should be taken and judged on<br />

������������������������������������������������<br />

������������������������������������<br />

TO DO: Discuss different real life scenarios<br />

�����������������������������������������������<br />

of the subject. Consult your teachers,<br />

������������������������������������������������<br />

not sure for clarity.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

41<br />

MITINDO YA MAISHA


RASIMISHA<br />

BIASHARA<br />

YAKO!<br />

Kuanzisha biashara kunamaanisha kuwa unaweza kutengeneza fedha ya kukusaidia.<br />

Haijalishi elimu yako, kama una mawazo ya biashara na unajua soko lako, weka mawazo<br />

yako katika vitendo. Ukiweza kuisimamia, ikafanya kazi na ukaichukulia kwa makini, basi<br />

unahitajika kuirasimisha kisheria. NA ANNA MURO TEMU: PICHA TIMU YA FEMA<br />

Wengi wetu huwa na shaka<br />

kuhusu kusajili, tunahofia<br />

gharama zinazotakiwa<br />

kulipwa, tunahofia kuombwa<br />

rushwa, tunahofia mchakato wa kujaza<br />

fomu nk.<br />

Wengi hawapendi kulipa kodi serikalini<br />

kwa kuwa hawaoni manufaa yake.<br />

Noel na Benitha ni wajasiriamali<br />

wadogo na wamiliki wa biashara<br />

ambao mwaka jana walishiriki<br />

shindano la Ruka Juu na Fema TV Talk<br />

Show na hii hapa ni historia yao jinsi<br />

walivyofuata hatua za kurasimisha<br />

biashara zao na sasa zote zinapanuka<br />

na kukua.<br />

Noel<br />

Jina langu ni Noel, ni mjasiriamali,<br />

naendesha duka kubwa maeneo ya<br />

Tanga. Nauza vinywaji baridi kwa jumla<br />

na rejareja. Nilirasimisha biashara<br />

42<br />

FEMA MAGAZINE: JOBS & MONEY<br />

yangu kwa kuisajili TRA na kupata<br />

leseni katika ofisi za wilaya mwaka<br />

2009.<br />

Nilipoanza biashara, niliiendesha kwa<br />

muda ili kujua kama italipa. Mambo<br />

yalipokuwa mazuri nikaendelea<br />

nayo. Nilijua fika kuwa kinachofuata<br />

ni kupata leseni na kufanya biashara<br />

kihalali.<br />

Ila nilikuwa na shaka kwani mara nyingi<br />

nimeona maduka ya biashara mjini<br />

yakifungwa na maofisa wa manispaa<br />

na maofisa kutoka Mamlaka ya Mapato<br />

(TRA) kwa kuwa walikuwa wakifanya<br />

biashara bila kibali. Iliwalazimu watoe<br />

hongo ili waendelee na biashara zao.<br />

Pia nikagundua kuwa kwa kuwa<br />

biashara ni ushindani, kama<br />

hujasajiliwa na washindani wako<br />

wanatambua hivyo watawatonya<br />

maofisa wa Serikali na utapata<br />

usumbufu na mwisho wa siku utaishia<br />

kutozwa faini au kutoa hongo.<br />

Nilizungumza na wafanyabiashara<br />

wengi hapa mjini na wengi walinishauri<br />

nikaisajili biashara yangu ili nipate<br />

Namba ya Utambulisho wa Mlipa Kodi<br />

(TIN) pamoja na leseni ya biashara.<br />

Waliniambia kwamba nikishafanya<br />

hivyo nitaendesha biashara kwa uhuru.<br />

Nilikwenda TRA kujisajili na kupata<br />

TIN, nikaenda kwenye kitengo cha<br />

makadirio ambako wanakadiria kodi<br />

unayopaswa kulipa kulingana na<br />

mapato yako. Kwa mwaka wa kwanza<br />

nilitakiwa kulipa 91,000/-. Leo hii nalipa<br />

kodi kubwa sana. Kwakuwa nauza<br />

vinywaji baridi, nikaenda kwenye<br />

ofisi ya afya ya Kata ambako nako


nilitakiwa kulipa 15,000/- kama ada.<br />

Nilipewa kadi ya kupeleka Manispaa ya<br />

Tanga kwa ajili ya kupata leseni. Huko<br />

manispaa niliambiwa nirudi baada ya<br />

wiki moja kuchukua leseni.<br />

Sasa nimerasimishwa na ninapata faida<br />

nyingi kutokana na uhalali wa biashara<br />

yangu kisheria, pia nimeondoa<br />

usumbufu kutoka kwa maofisa wa<br />

mamlaka husika. Ila natumaini Serikali<br />

itafanya urahisi kwetu wafanyabiashara<br />

ili tuweze kufanya shughuli zetu kwa<br />

ufanisi.<br />

Kwa sasa naelekeza mawazo yangu<br />

kwenye kukuza biashara, naongeza<br />

maeneo ambayo nayo yatakuwa<br />

yakitoa huduma ya vinywaji baridi.<br />

Kama biashara yangu itakua,<br />

nitahitajika kwenda kusajili jina la<br />

biashara kama ‘Noel Duka’ kwa wasajili<br />

wa majina ya biashara ‘BRELA’ ila<br />

nahitajika kufunga safari mpaka Dar<br />

kujisajili na nasikia makaratasi yote<br />

yameandikwa kwa lugha ya ‘kizungu’<br />

(Kiingereza).<br />

Benitha<br />

Habari! Naitwa Benitha, namiliki duka<br />

la ufundi cherehani Njombe. Nilipata<br />

leseni ya biashara Machi 2009.<br />

Taratibu nilikuja kugundua umuhimu<br />

wa kurasimisha biashara. Sababu<br />

mojawapo ilikuwa ni ile ya maofisa wa<br />

TRA walipokuwa wakiniuliza kuhusu<br />

leseni ya biashara. Na kwa kuwa<br />

biashara yangu ilikuwa haijasajiliwa,<br />

sikuweza kutoa risiti, hali ambayo<br />

huweza kupelekea wateja kupoteza<br />

imani kwa mtoa huduma.<br />

Wafanyabiashara ambao hawajasajiliwa<br />

wasiokuwa na leseni ya biashara wala<br />

nambari ya TIN wanalazimika kutumia<br />

risiti za ‘kufoji’ ilimradi tu kutunza<br />

wateja na hadhi ya biashara.<br />

Pia nilihitaji kupata mkopo wa zaidi ya<br />

Sh 500, 000 kutoka Benki ya NMB, ili<br />

kuupata mkopo huo TIN na leseni ya<br />

biashara vinahitajika.<br />

Nilikutana na wafanyabiashara<br />

wenzangu wakanishauri kusajili<br />

biashara na kupata TIN. Nilikwenda<br />

TRA nikapata TIN bure baada ya siku<br />

mbili, kisha wakanielekeza kwenda<br />

Halmashauri ya Mji ili kupata leseni.<br />

Pale nilikutana na ofisa mmoja<br />

aliyenifanyia usaili kwa ajili ya leseni,<br />

nikatakiwa kulipa 21, 700/- na kuweka<br />

saini kwenye baadhi ya fomu ambazo<br />

zilikuwa kwa lugha ya Kiswahili na<br />

nikapata leseni ya biashara.<br />

Haikuwa ngumu kusajili kwa TRA<br />

isipokuwa makaratasi yalikuwa kwa<br />

Kingereza. Nilijieleza na kupata<br />

tathmini ya kodi na kulipa pamoja na<br />

faini kwa kuwa muda wa kulipa kodi<br />

ulikuwa umeshapita. Baada ya siku<br />

mbili nikapata namba ya TIN bure.<br />

Kabla sijajisajili nilikuwa nalipa ushuru<br />

200/- au 300/- kwa siku, ambayo<br />

ilikuwa gharama kuliko kulipa kodi kwa<br />

mwaka. Kwa mara ya kwanza nililipa<br />

kodi ya 35, 000/- ila kwa sasa nahitajika<br />

kulipa fedha zaidi ya mara mbili ya kodi<br />

ya mwanzo.<br />

Kuna faida nyingi ukisajili biashara.<br />

Inanipa amani na ulinzi wa<br />

biashara yangu. Imekuwa rasmi na<br />

inaheshimika. Nawapatia wateja<br />

wangu risiti halali kwa malipo yao na<br />

wananiamini.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

43


Ni vizuri ukafahamu<br />

kwamba:<br />

Kurasmisha biashara kuna<br />

changamoto zake na faida pia. Kuna<br />

mlolongo mrefu na kusubiri kwa<br />

muda mrefu na wakati mwingine<br />

inakubidi kulipia gharama au hata<br />

kutoa hongo kuharakisha mambo. Sio<br />

rahisi kujua unahitajika kulipa nini.<br />

Ila msikate tamaa, jaribu kuongea<br />

na wenzenu au marafiki ambao<br />

wanafanya biashara tayari ili wawape<br />

ushauri juu ya nini cha kufanya.<br />

Jiandae na uelewe hatua za kufuata<br />

na changamoto zake wakati wa<br />

kupata leseni ya biashara.<br />

Si rahisi kurasimisha/kusajili biashara<br />

hapa nchini na isitoshe kuna vikwazo<br />

vingi vya kufanya biashara ingawa<br />

serikali inavifanyia kazi ili watu wengi<br />

wasajili biashara zao na kulipa kodi.<br />

Mambo ya kufanya<br />

44<br />

FEMA MAGAZINE: JOBS & MONEY<br />

unaposajili biashara yako:<br />

Kama una biashara ndogondogo<br />

kwanza pata leseni ya biashara kwenye<br />

ngazi ya wilaya ili uweze kuiendesha<br />

kihalali. Kwa mujibu wa sera hakuna<br />

ada yoyote inayotozwa ili upate leseni<br />

ya biashara. Ada unayoambiwa ulipe<br />

isiyo na risiti ni hongo.<br />

Kuna hatua mbili katika kusajili<br />

biashara:<br />

a Kupata leseni yako ya biashara<br />

katika ngazi ya wilaya.<br />

a Kusajili jina la biashara yako kwa<br />

BRELA Dar.<br />

VIBINDO ni jumuiya ambayo inasaidia na kuendeleza<br />

biashara ndogondogo kwa kuwasaidia wajasiriamali<br />

wadogo kuanzisha, kuimarisha na kukuza biashara.<br />

Wasiliana nao kwa:<br />

022 2152359/ 0784 546 122<br />

Kuelekea ngazi ya kusajili/kurasimisha<br />

biashara na kukamilisha usajili wa<br />

biashara, mtu anatakiwa kusafiri mpaka<br />

Dar na kusajili jina la biashara yake kwa<br />

BRELA. Utapata cheti cha usajili wa<br />

biashara.


Usije ukasema<br />

SIKUJUA!<br />

Kama wewe ni mfanyabiashara na<br />

huna taarifa sahihi kuhusu masuala<br />

ya kodi usisite kutembelea mamlaka<br />

husika ama wafanyabiashara wenzako<br />

ili uulize usijelipishwa zaidi ya<br />

kinachotakiwa ama kutozwa faini kwa<br />

kutokujua.<br />

Kuonyesha msisitizo wa umuhimu<br />

wa kulipa kodi, Serikali katika bajeti<br />

ya mwaka huu ‘imewatwanga’ kodi<br />

ya ‘kufa mtu’ wale watakaobainika<br />

kwamba hawatunzi kumbukumbu za<br />

mauzo yao na ‘imewapozea’ kiwango<br />

wale walipa kodi wazuri wanaotunza<br />

kumbukumbu za mauzo yao.<br />

Haya! Nakuacha na Bwana TRA<br />

huyo, any time atazuka kwako!<br />

Cheki viwango vipya!<br />

Mauzo<br />

(Tsh.)<br />

Yasiyozidi<br />

0.00 - 3,000,000<br />

3,000,000 - 7,500,000<br />

7,500,000 - 11,500,000<br />

11,500,000 - 16,000,000<br />

16,000,000 - 20,000,000<br />

Mauzo<br />

(Tsh.)<br />

Yasiyozidi<br />

0.00 - 3,000,000<br />

3,000,000 - 7,000,000<br />

7,000,000 - 14,000,000<br />

14,000,000 - 20,000,000<br />

Wasio na<br />

kumbukumbu<br />

0.00<br />

100,000.00<br />

212,000.00<br />

364,000.00<br />

575,000.00<br />

Kabla ya bajeti mpya ilikuwa hivi:<br />

Wasio na<br />

kumbukumbu<br />

35,000.00<br />

95,000.00<br />

291,000.00<br />

520,000.00<br />

BY PAUL NDUNGURU<br />

Wenye<br />

kumbukumbu<br />

0.0%<br />

2% ya mauzo yanayozidi<br />

3,000,000.00<br />

90,000.00 + 2.5% ya mauzo<br />

yanayozidi 7,500,000.00<br />

190,000.00 + 3.0% ya mauzo<br />

yanayozidi 11,500,000.00<br />

325,000.00+3.5% ya mauzo<br />

yanayozidi 16,000,000.00<br />

Wenye<br />

kumbukumbu<br />

1.1% ya mauzo<br />

33,000+1.3% ya mauzo<br />

yanayozidi 3,000,000<br />

85,000.00 + 2.5% ya mauzo<br />

yanayozidi 7,000,000<br />

260,000.00 + 3.3% ya mauzo<br />

yanayozidi 14,000,000<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

45


WHAT’S UP<br />

48<br />

Dear Fema<br />

Clubbers,<br />

Nafurahi sana kupata taarifa zenu nyingi za utendaji<br />

ambazo zinaelezea shughuli mbalimbali. Najua<br />

zamani watu walijikita sana katika kuelimishana<br />

juu ya UKIMWI na afya ya uzazi. Mada zote hizi ni<br />

muhimu sana kwa maisha ya vijana.<br />

Lakini pia tusisahau kuna masuala mengi sana<br />

yanaizunguka jamii, kama unyanyasaji wa kijinsia<br />

na nafasi ya mwanamke, masuala ya uharibifu<br />

wa mazingira, kufeli mitihani na pia muhimu sana<br />

kukumbuka kuwa baada ya shule mtaa unatusubiri,<br />

masuala ya kipato itakuwa vipi?<br />

Hivyo ni muhimu pia kujifunza kwa pamoja juu ya<br />

maisha kwa ujumla, mpo hapo?<br />

Klab zinaendelea na maisha yanaendelea,<br />

Pamoja sana,<br />

Cos.<br />

FEMA MAGAZINE: JOBS & MONEY<br />

FEMA Clubs<br />

<strong>Femina</strong><br />

<strong>HIP</strong><br />

KILIMO NI BOMBA ASIKWAMBIE MTU<br />

Wakiwa serious na kazi pichani ni baadhi ya<br />

members wa Ukombozi Fema Club ya Ngweli Sec.<br />

Wao wanajihusisha na ujasiriamali shuleni kwao.<br />

Hiyo ni bustani yao ya Mapapai. Kupitia bustani<br />

hiyo wanasaidia watoto yatima na pia wanatunisha<br />

mfuko wa klab yao.<br />

BANGWE WAMERUDI KWA KASI<br />

Kwa kipindi kirefu hawa jamaa waliingia mitini.<br />

Walikuwa kiiiimya kutokana na changamoto<br />

kadhaa zilizokuwa zikiwakabili. Ila sasa wanasema<br />

wamerudi, tena kwa nguvu na kasi ya ajabu.<br />

Wameanza na usafi wa mazingira na hivi karibuni<br />

walisafisha beach ya Ziwa Tanganyika. Wako juu!


HURUMA KWA WAGONJWA<br />

Ndio! Klab ya Fema ya Kawawa walitembelea<br />

Hospitali ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.<br />

Wakiwa hapo walitinga katika wodi ya wazazi<br />

na kuwapa misaada mbalimbali kama sabuni,<br />

dawa za meno na miswaki. Pia walitembelea<br />

wodi nyingine na kuwapatia misaada. Pichani<br />

ni baadhi ya wanaklab wakiwa na mama<br />

aliyejifungua na kichanga.<br />

MIHAYO NI FARAJA KWA WAGONJWA<br />

Wao walijipanga vilivyo na kwenda kuwatembelea<br />

wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora,<br />

Kitete.<br />

Nao walikuwa kimya kimtindo ila wanasema sasa<br />

wamerejea ulingoni na wataitumikia jamii kwa<br />

moyo. Karibuni tena Mihayo. Tunapenda kusikia<br />

zaidi kutoka kwenu.<br />

NDABO WANANG’AAJE?<br />

Suala la T-shirts kama sare kwa club limekuwa likiibuka kweli!<br />

Jamani, mnaweza kutengeneza za kwenu mkauziana ili kutunisha<br />

mfuko wa klab na mkang’aa kama kawa? Hebu wacheki pichani<br />

wakaka wa Ndanda Sec walivyotoka mchicha! T-shirt zao kwa<br />

mgongoni zimeandikwa “Sharing skills” na for sure these guys<br />

are doing that. Tengenezeni zenu clubbers mturushie picha.<br />

WAMEKUJA KUWASHIKA!<br />

Wakiwa na nyuso za furaha pichani ni baadhi ya wanachama wa<br />

Mpemba Fema Klab ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya wakiwa<br />

wamekula pozi pamoja na baadhi ya walimu na Nashivai Mollel<br />

na Gloria Mkoloma wa <strong>Femina</strong>. Walifurahi sana kupata ugeni na<br />

wakaahidi sasa wataongeza kasi na klab nyingine zijiandae kwa<br />

ujio wao. Mpemba Fema Club, kwetu vitendo vinahusika zaidi.<br />

Haya twasubiri tuone!<br />

SANOA WANATISHAJE?!<br />

Pichani ni wanachama wa Kisutu Girls Fema Club. Wao katika<br />

mahafali ya kidato cha nne ya Fema Club walikuja na “Professional<br />

Fashion Show” ambayo ilikuwa inaonyesha maisha yao baada ya<br />

kumaliza kidato cha nne. Wapo waliokuwa maprofesa, madaktari<br />

na hata wakurugenzi. Pia usidhani aliyevaa suti ni bonge la<br />

handsome, no no no usidanganyike ni msichana mrembo.<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

49


PASUA KICHWA<br />

CHALENJI No.4<br />

RUSHWA-KWA<br />

WANA-FEMA<br />

KLAB<br />

Toleo lililopita tuliwaagiza wana Fema Klab kutusaidia kutambua huduma rafiki za afya katika<br />

maeneo yenu. Kipindi hiki tunamulika rushwa kwenye huduma za afya. Nyinyi wana klab ni mfano<br />

wa kuigwa kwenye jamii nzima ya Kitanzania. Hii inamaanisha kwamba mnatakiwa kuwa mstari wa<br />

mbele kusema HAPANA kwa hongo na rushwa nyinginezo. Njia moja inayokuwezesha kusimama<br />

imara na kusema Hapana kwa rushwa ni kwa kuzitambua na kuzizungumzia mkiwa na kundi rika.<br />

Hivi ndivyo chalenji ilivyo safari hii. NA TIMU YA FEMA<br />

Fanya Utafiti:<br />

Kwenye toleo hili la Fema ukurasa wa 56<br />

mnaweza kusoma kuhusu rushwa katika<br />

huduma za afya na ni kwa kiasi gani<br />

wanafunzi na wazazi wao wanatoa hongo<br />

kujaziwa fomu zao za afya badala ya kucheki<br />

afya.<br />

Labda wewe ni mmojawapo, au unafahamu<br />

aina nyingine za rushwa kwenye huduma<br />

za afya.<br />

������������������������������������������<br />

Kama hakuna, angalia jamii yenu, ongea<br />

na watu na ainisha matukio ya rushwa.<br />

�������������������������������������������<br />

mnapata taarifa sahihi za tukio kwa kuandika<br />

kila kitu.<br />

50<br />

FEMA MAGAZINE: WAKALI<br />

Jinsi ya Kushinda<br />

Kuwa Mbunifu<br />

a Tuandikie na utuambie kuhusu aina<br />

mbalimbali za rushwa ambazo umeziainisha<br />

katika huduma za afya ndani ya jamii yenu,<br />

kwa ujumla wake. Ainisha zipi zimewagusa<br />

zaidi na kwa nini.<br />

a Tutumie picha au michoro ambayo<br />

klab yenu imepata kutokana na matukio ya<br />

rushwa.<br />

Zawadi<br />

Klab itakayoshinda itachaguliwa na<br />

wafanyakazi wa <strong>Femina</strong> na atajishindia:<br />

a Taa ya sola<br />

a Klab itachapishwa kwenye Jarida la Fema<br />

a Tshirt 20 za Fema<br />

a Mwaliko wa kuhudhuria Annual Youth<br />

Conference 2013<br />

Usisahau<br />

Mwisho wa kutuma<br />

CHALENJI hii ni<br />

Novemba 15, 2012<br />

GOOD LUCK!<br />

a Jina la klab na anuani (Simu, sanduku la barua,<br />

barua-pepe au nukushi n.k)<br />

a Jina la shule, wilaya na mkoa<br />

a Maelezo yako, stori na chochote kile ambacho<br />

utahitaji kuwasilisha kwetu( picha au michoro)<br />

a Ambatanisha mchanganuo wa shughuli ambazo<br />

klab yenu inafanya<br />

a Shughuli za klab robo muhula<br />

a Wanachama wapya na viongozi wapya (kama wapo)<br />

a Maswali na ushauri<br />

Shauri hatua za kuchukua<br />

����������������������������������������������������������<br />

jamii yako au wanafunzi wa shule nyingine kuhusu taarifa<br />

��������������������������������������������������������<br />

mnaweza kutengeneza igizo kuhusu tukio moja mlilolipata<br />

na kulionyesha kwenye sherehe, ni uamuzi wenu.


Ijue Baabkubwa Boys<br />

Fema Club:<br />

BaabKubwa Fema Family<br />

Festival ilifanaje?<br />

Jamaa waliandaa hilo tamasha lao la kukata<br />

na shoka Aprili 28. Wakaweka theme ya<br />

‘Umuhimu wa kuwawezesha mabinti kwa<br />

kuwaelimisha’. Hiyo ilikwenda sambamba na<br />

theme ya kwenye Mkutano wa Mwaka wa<br />

Fema uliofanyika Februari ambao ulisisitiza<br />

Girl Power!<br />

Usipime mwanangu, Baabkubwa walijaza<br />

watu balaa. Walialika Fema Clubbers wa<br />

shule tatu; warembo wa Nganza Girls,<br />

masela wa Bwiru Boys na wajanja wa<br />

Pamba Sec.<br />

Kwenye mgeni rasmi nako hakukupwaya;<br />

maana walimwalika Diwani wa Kata ya<br />

Mkolani, iliyoko Mwanza mjini, Stanslaus<br />

Mabula na mwalimu wao mlezi wa Fema<br />

Club, Mwl Ngamba Manegese alikuwa ndiye<br />

msemaji mkuu.<br />

Hawakutaka sherehe ipoe na wageni<br />

wao wawe idle, so wakawapiga debate,<br />

WAKALI<br />

BaabKubwa ni KUBWA kuliko!<br />

Washindi wa Klab Chalenji namba 2 ni BAABKUBWA FEMA CLUB kutoka Mwanza Secondary School<br />

hukohuko Rock City. Chalenji yenyewe wala haikuwa ngumu maana ilikuwa ni sababu tosha ya<br />

ku-show off na kula bata shuleni kwenu…yaani kuandaa tamasha tuliloliita Fema Family Festival.<br />

Baabkubwa Fema Club ikaandaa bonge la tamasha, afu wakatutupia bonge la ripoti! NA TIMU YA FEMA<br />

Klab ilianza<br />

Idadi ya<br />

wanachama<br />

��������<br />

Kazi za<br />

baadaye<br />

Uongozi<br />

Taarifa za<br />

mawasiliano<br />

2004<br />

190<br />

a Mijadala<br />

a Maigizo<br />

a Kutembelea wagonjwa na<br />

watoto yatima<br />

a Kusaidia watu walio katika<br />

mazingira hatarishi<br />

a Hivi sasa wanaandaa<br />

������������������������<br />

kitakachokwenda kwa jina<br />

����������������������������<br />

a Mwenyekiti<br />

a Katibu<br />

a Mtunza Hazina<br />

a ������������������<br />

mwanzasecfemaclub@<br />

rocketmail.com<br />

wakaandaa kazi za klab kwa mwaka<br />

2012, wakazindua kipindi cha redio na<br />

TV cha ‘Jiunge na Fema ufahamishwe’, na<br />

kuwatembeza kwenye bustani ya klab yao<br />

hapo shuleni.<br />

Siyo kisherehe tu, BaabKubwa Fema Club<br />

pia wapo kiuchumi zaidi kwani siku hiyo<br />

walikusanya jumla ya Tsh 94,000! Na on top of<br />

that, walisajili wanachama wapya 170!!! Dah,<br />

Baabkubwa Fema Club mnatishaaa!<br />

Wameshinda nini?<br />

a Youth Conference: Kwa kushinda<br />

chalenji hii, basi BaabKubwa Fema Club<br />

wamejinyakulia nafasi ya kujiunga nasi<br />

kushiriki kwenye Youth Conference ya<br />

mwaka 2013, bila chenga. Yaani hapo ni<br />

ticha wa klab na memba wawili wa klab<br />

waanze tu kujitayarisha kuja Dar!<br />

a T shirt bomba: Kama tulivyohaidi,<br />

BaabKubwa Fema Club wamejishindia<br />

t-shirt 20 boooomba za Fema.<br />

Congrats BaabKUBWA Fema Club!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

51


HERE ‘N’ THERE<br />

NA: FEMA TEAM<br />

PICHA: TIMU YA FEMA NA<br />

PERNILLE BAERENDTSEN<br />

<strong>Femina</strong> ilijirusha<br />

Ngome Kongwe<br />

Tunawakilisha! Yes, hata katika maonyesho ya<br />

Sauti za Busara tulikuwepo! Kumbuka, hili ni<br />

tamasha kubwa ambalo miaka yote linafanyika<br />

Zenj na linawakutanisha wasanii wa muziki<br />

kutoka nchi mbalimbali duniani.<br />

Basi huko lilipigwa ‘gwaride’ la saa nzima kwa<br />

makundi yaliyoshiriki tamasha hilo na <strong>Femina</strong><br />

tukiwemo..ilikuwa ni nafasi ya pekee kwa<br />

vijana ya kupata burudani na elimu kwa wakati<br />

mmoja.<br />

Burudani zilikuwa za kumwaga mwanangu!<br />

Kulipigwa ngoma za asili kama mdundiko,<br />

ngongoti, dufu na ilikuwa ni full shangwe<br />

wakati wa maandamano maarufu kama<br />

Carnival Parade, ambayo yalianzia Kisonge Park<br />

na kuishia Ngome-Kongwe.<br />

Vijana walipata nafasi ya kuuliza maswali kwa<br />

wafanyakazi wa <strong>Femina</strong> na tuliwapatia majibu.<br />

Yaani! Ilikuwa ni bandika-bandua! Pia vijana<br />

waliomba majarida ya Fema yasambazwe<br />

kwa wingi visiwani humo kwani wamekuwa<br />

wakiyasoma na kujifunza mambo mengi.<br />

52<br />

FEMA MAGAZINE: HERE ‘N’ THERE<br />

MBOZI nako tulikuwako<br />

Kama kawaida, tunajitahidi kupita pande zote<br />

za nchi tukitoa elimu kupitia burudani. Misele<br />

hiyo inatuwezesha kujifunza kutoka kwenu<br />

nanyi kujifunza kutoka kwetu.<br />

Safari hii tukajivinjari pande za Mbeya kuleeeee<br />

wilayani Mbozi… siku hizi hakuna kuchunana<br />

ngozi bwana usiogope! Mambo yalikuwa<br />

shwariiiiiiii na tulizungumza na viongozi wa<br />

wilaya, wakuu wa shule, wanafunzi, wanajamii<br />

na vijana kwa ujumla wao. Pia ‘tulipiga’<br />

matamasha matatu kabambe maeneo ya<br />

Tunduma, Mlowa na Vwawa.<br />

Kilichonifurahisha ni uelewa wa vijana na<br />

watoto katika masuala mbalimbali. Walishiriki<br />

vilivyo katika mijadala ambayo katika hali<br />

ya kawaida ungedhani kwa udogo wao<br />

wasingeweza kujadili kwa ustadi mkubwa kiasi<br />

kile.<br />

Kutokana na taarifa tulizopata kwa wadau,<br />

tatizo kubwa kule ni wanafunzi wa kike kuacha<br />

shule ama kwa ujauzito au utoro tu!!!!Mbaya<br />

zaidi ni kwamba mwanafunzi akipata ujauzito<br />

jamii ile inaona POA tu! Kapata mimba basi<br />

aolewe!!!!!! Kinachofuata ni wazazi wa pande<br />

mbili kukutana na kuyamaliza kimyakimya!<br />

Ole wake mwalimu afuatilie suala hilo!<br />

Atageuka adui wa familia hizo mbili na hata<br />

jamii nzima… Hilo si sahihi na tulikuwa<br />

na mjadala mrefu na kwa kweli vijana<br />

‘walifunguka’!<br />

Kuhusu mkutano wa<br />

Fema Clubbers?<br />

Yes! Kwa mara nyingine tulikutanisha Fema<br />

Clubbers na walimu wao katika Hoteli ya<br />

Belinda iliyopo ufukweni mwa Bahari ya Hindi.<br />

Mada kuu ikiwa “GIRL EFFECT” na kupitia mada<br />

hii, tulihamasisha usawa kati ya vijana wa<br />

kiume na wa kike.<br />

Safari hii mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa<br />

Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy<br />

Mwalimu, ambaye kwa kutumia mfano wake<br />

mwenyewe akiwa kijana wa kike aliyepitia<br />

mchakato mrefu hadi kufanikiwa, aliwaeleza<br />

������������������������������������������<br />

ikiwa wataweka nia.<br />

Ummy alipata fursa ya kutunuku tuzo kwa klab<br />

bora ya mwaka 2011 ambayo ilikuwa Mchoteka<br />

Sekondari ya Tunduru na Mwalimu Bora wa<br />

Mwaka, Ngamba Manegese, kutoka Mwanza<br />

Sec.


K<br />

lab Bora ya Fema kwa mwaka 2011<br />

ni Mchoteka Fema Club ya Mchoteka<br />

Sekondari ya Tunduru. Ebana eh! Sikia<br />

wanavyosema kuhusu ushindi wao.<br />

Mnajisikiaje baada<br />

ya kutangazwa?<br />

Tunajisikia fresh kwa sababu wanachama wengine<br />

Tanzania nzima wametumiminia ‘misifa’ na shule<br />

pia imepata sifa - Katibu - Hashim Waziri.<br />

Imekuwa ni fursa kwetu kujulikana hasa<br />

ukizingatia kwamba tuko pembezoni mwa nchi!<br />

- Mwenyekiti - Abdallah Maarufu<br />

Ni mambo gani<br />

ambayo mmeyafanikisha?<br />

Tuna mradi wa bustani ambao unalisha shule na<br />

baadhi ya mboga tunauza kwa wanajamii. Tuna<br />

mradi mwingine wa kuku 30 na Klab ya Fema<br />

�������������������������������������������<br />

kuwalisha kuku. Pamoja na yote haya tumezisaidia<br />

shule nyingine tatu kuanzisha Fema Klab. - Hashim<br />

Labda niongeze kwamba tulizungumza na jamii<br />

na wakatupa dondoo za kwa nini ndoa nyingi<br />

�����������������������������������������������<br />

kuhusu hilo na mpaka sasa bado tunalifanyia kazi.<br />

- Mwalimu Mussa Kibona<br />

Mtafanya kitu gani tofauti baada<br />

ya kupokea tuzo?<br />

Tunasonga mbele na kuleta mabadiliko. Kwa sasa<br />

siwezi kusema tutafanya nini maana ni jambo la<br />

kujadiliana na kujipanga - Mwalimu Kibona<br />

Pia kwa njia ya maigizo, mashairi na ngonjera<br />

tungependa kuzungumzia changamoto ya<br />

wasichana kupata mimba wakiwa wadogo.<br />

- Abdallah<br />

Kwa kutangazwa kuwa Klab Bora, wanajamii<br />

watahamasika zaidi tunapowatembelea na<br />

kufanya shughuli mbalimbali katika maeneo<br />

yao. Pia ikiwa tutakubaliana kuongeza mifugo,<br />

jamii inayotuzunguka itanufaika kwani lazima<br />

tutainunua mifugo hiyo kutoka kwao. - Waziri<br />

Mnawasiliana kwa njia gani na<br />

ofisi ya <strong>Femina</strong>?<br />

Kuhusu mawasiliano, kwa kawaida huwa<br />

wanaklab wanatuma barua na ripoti mbalimbali.<br />

-Abdallah<br />

AMBASSADOR<br />

NA GAURE MDEE<br />

Mchoteka wametuchota<br />

Mna maoni gani kuhusu<br />

mkutano wa mwaka huu?<br />

Mkutano ulikuwa bomba, na nimependa kwani<br />

imekuwa ni fursa kwetu kukutana na wenzetu<br />

kutoka mikoa mbalimbali na kubadilishana<br />

uzoefu. - Hashim<br />

Zawadi hizi ziwe ni changamoto kwa shule<br />

zisizokuwa na klab kuweza kuanzisha klab pia.<br />

- Abdallah<br />

Jamii itapata faida gani au<br />

itanufaikaje kwa ushindi wenu?<br />

Wanajamii watafurahi na kufaidika wakiona<br />

tumeshinda zawadi na wao watajitahidi kujua<br />

zaidi jinsi gani ya kuwa klab bora ya Fema.<br />

- Jacqueline Alomanus<br />

Jamii itajifunza kutoka kwetu jinsi ya kufuga<br />

mbuzi . - Teuka Mtila<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

53


NJE YA KIWANJA<br />

REMTULLAH<br />

ANAFANYA<br />

MAKUBWA NA<br />

K<br />

wa wapenzi wa fani ya mitindo, jina la Ally<br />

Remtullah si geni masikioni mwao. Punde<br />

utakapolisikia tu ni mitindo na ubunifu<br />

ndicho kitakachofuata akilini. Akiwa na miaka 26 tu,<br />

Ally Remtullah tayari ni miongoni mwa wabunifu<br />

wakali Tanzania.<br />

Ally ameshafanya maonyesho mengi ya kazi zake za<br />

ubunifu ndani na nje ya Tanzania, ikiwemo Kenya,<br />

Uganda, Rwanda, Burundi, Tunisia na Uingereza na<br />

anakiri kuwa ubunifu wa mitindo ni kazi inayolipa.<br />

Ally hafanyi tu ubunifu wa mavazi kwa faida ya<br />

maisha yake pekee, la hasha! Anajisikia vyema pale<br />

anapojitolea kwa jamii yake.<br />

Wakati wa Kampeni ya Zinduka “Malaria No More”<br />

alijitolea ku-design na kuwavalisha mabalozi wa<br />

Zinduka mwaka 2010 na walilipuka vya kutosha<br />

asikwambie mtu.<br />

Ally pia alishafanya mradi wa Fashion for Education<br />

ambao kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na<br />

54 FEMA MAGAZINE: NJE YA KIWANJA<br />

Mafunzo ya Ufundi na Bodi ya Elimu Kisarawe,<br />

walitumia mitindo kukusanya pesa kwa ajili ya shule<br />

za Wilaya ya Kisarawe.<br />

Anasema alichagua elimu kwa kuwa anajua<br />

umuhimu wake. “Kukulia katika tabaka la maisha<br />

la kati na kujilipia ada ya shule wakati nasoma<br />

Marekani kulinifanya niamini zaidi kuwa elimu ni<br />

muhimu na hiki ndicho kilichosababisha kuunga<br />

mkono elimu”.<br />

Katika mradi huu walikwenda kwenye shule za hali<br />

ya juu za Dar es Salaam na wakazitaka kuzichangia<br />

shule za hali ya chini. “Tulifanya maonyesho ya<br />

mavazi kwenye shule hizo na kuwatumia wanafunzi<br />

kama wanamitindo; mapato yaliyopatikana yaliingia<br />

kwenye mfuko wa Fashion for Education” anasema.<br />

Hajaishia hapo, Remtullah ni Balozi wa Drug Free<br />

Zanzibar NGO iliyopo Zanzibar. “Tunafanya shughuli<br />

za kuingiza kipato kila mwaka ili kuwasaidia vijana<br />

walioathiriwa na matumizi ya dawa za kulevya,”<br />

anasema.<br />

CHRISTINE BISANGWA; PICHA MAKTABA YA REMTULLAH<br />

Nilipomuuliza Ally kwa nini alichagua Zanzibar na<br />

si sehemu nyingine anasema dawa za kulevya zipo<br />

kila mahali, Zanzibar ikiwemo. “Ni kitu kinachoathiri<br />

maisha ya vijana na familia zao”.<br />

Alifuatwa na Suleiman Mauly (Mwenyekiti wa<br />

Drug-Free ZNZ) na kumuomba msaada. Suleiman<br />

hakutaka pesa kutoka kwake, bali alihitaji msaada<br />

tu. Baadaye alifanya juhudi za kumsaidia kwa<br />

kuwatembelea waathirika wa dawa za kulevya na<br />

kupiga nao stori wakazoeana na akawa anawasaidia<br />

kwa ushauri.<br />

“Baada ya hapo niliteuliwa kuwa Balozi wa NGO<br />

hiyo na mpaka sasa tunafanya matukio tofauti ili<br />

kutunisha mfuko,” anasema na kuongeza kwamba<br />

yapo mengi mazuri anayoyafanya ikiwemo<br />

maonyesho mbalimbali ili kuwasaidia watu ambao<br />

wameathiriwa na janga la Ukimwi.<br />

�������������������


Kuvalia nguo barabarani<br />

Hivi karibuni wakati nikitoka home kwenda kibaruani<br />

nilikutana na jamaa mmoja, mkaka mtanashati kweli kweli.<br />

Wakati naendelea kufurahia jinsi alivyovaa, akaniondolea<br />

furaha yangu. Akafungua suruali, (subiri kwanza),<br />

akachomoa shati na kuanza kuchomekea tena upya.<br />

Wakati anafanya hayo yote, alikuwa akiendelea kutembea<br />

bila wasiwasi, zipu wazi, mkanda wazi, yuko bize anaweka<br />

shati lake vizuri na anasonga mbele. Unapata picha?<br />

Nikajiuliza angekuwa mwanadada anafanya ishu hiyo<br />

ingekuwaje? Kiukweli watu wengi wana hii tabia.<br />

Mi binafsi huwa sifurahishwi nayo, sijui wewe mwenzangu?<br />

Barabarani kuna vituko<br />

Unapokodi pikipiki kubali yote, anayeendesha ndo kashika<br />

mpini, wewe umeshika makali. Pengine hii umewahi<br />

kukutana nayo, lakini kwa sababu hujanisimulia, mie<br />

nakuwahi, ili na wengine wasome. Ilitokea barabarani,<br />

jamaa kakodi pikipiki, kwa upuuzi wake tu hakudai kofia ya<br />

usalama, safari ikaendelea. Wakawa wanapenya kwenye<br />

foleni, kumbe ndani ya daladala moja kuna mtu kajaza<br />

mdomo wake kwa mate na muda wa kuachana nayo ukawa<br />

umefika.<br />

Akaamua kuyatema badala ya kuyameza. Usigune, hili<br />

pia hutokea sana, mi sijui ni kwa nini watu wana tabia<br />

ya kutematema mate hovyo nje ya madirisha ya magari.<br />

Basi bwana ikawa kwa bahati mbaya sekunde ile ile ndo<br />

na ile pikipiki ya jamaa zetu ikawa inapita. Lile rundo lote<br />

lililokataliwa mdomoni mwa abiria wa daladala likaishia<br />

usoni kwa abiria wa pikipiki.<br />

Alifanyaje? Hilo tafrani lake halitoshi hapa kwenye<br />

ukurasa. Upo hapo?<br />

Lini mara ya mwisho kupanda pikipiki mkapenyapenya?<br />

Nimeyasoma haya<br />

kwenye magari<br />

�� ���������������������������������������������<br />

�� �����������������������������������<br />

�� �����������������������������������<br />

Mawigi haya jamaniiii<br />

Hii nimeipokea kutoka Mwanza. Huyu dada bila shaka<br />

alikuwa na hamu ya kupigana ila tu akasahau yaliyoko<br />

kwenye mwili. Alifika kwenye duka moja akiwa anadai<br />

kapewa chenji pungufu. Akaulizwa chenji yenyewe ya<br />

lini, akasema ya jana.<br />

Mmmh! Kwa hiyo leo ndo umeshtuka dada? Ndiyo,<br />

nataka hela yangu. Ikawa mbinde pale dada akafunga<br />

kibwebwe anataka kumpiga muuza duka.<br />

Muuza duka uvumilivu ukayeyuka, akatoka nje wakaanza<br />

kukunjana sawasawa. Sasa hii sijui ilikuwa bahati nzuri<br />

au mbaya, katika purukushani muuza duka akashika<br />

kichwa cha mteja msumbufu, wigi likavuka, kikadondoka<br />

kitu.<br />

Kukicheki kilichodondoka, boooonge la hirizi. Mteja<br />

akaokota, huyooooo, na ugomvi ukaishia hapo.<br />

Mawigi hayo.<br />

Wito:<br />

Hivi ni kweli hamna vijistori vya kuniandikia au mnafurahi<br />

tu kwamba wachache ndo tuchangie ukurasa huu?<br />

Nawashukuru sana walionitumia vijistori vya mitaa yao,<br />

nakusubiri na wewe unitumie vya kwako. Andika kichwa<br />

cha habari Vijistori kisha tuma Jarida la Fema, S.L.P 2065<br />

Dar es Salaam, au kwa email info@feminahip.or.tz<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

55


CITIZEN ENGAGEMENT<br />

56<br />

Haraka haraka...<br />

Je unakumbuka siku uliyopata fomu ya kujiunga na elimu ya sekondari?<br />

Unakumbuka vipimo vya afya ulivyotakiwa kupima na kujaza kwenye fomu kabla<br />

ya kujiunga? Ndiyo! Ulipaswa kwenda kwa daktari, kufanyiwa vipimo kwa kila<br />

kilichopaswa kujazwa na kisha daktari ajaze fomu hiyo. STORI NA PICHA GAURE MDEE<br />

Je, ulikwenda? Wangapi kati yetu angalau<br />

basi walikuwepo wakati daktari anajaza<br />

ile fomu? Ulipima kweli macho, damu na<br />

moyo kabla fomu yako haijajazwa?<br />

Japokuwa gharama za kupima afya ili kutimiza<br />

mahitaji ya kujiunga na elimu ya sekondari ni<br />

5,000/- watu hawafuati mfumo unaotakiwa.<br />

Wengi wanapita njia ya mkato na kumaliza<br />

shida zao.<br />

Kassim* kijana mwenye miaka 18 kutoka<br />

Tandale, Dar es Salaam anakumbuka jinsi<br />

daktari katika moja ya zahanati kwenye<br />

kitongoji chake alivyomuomba 2,000/- zaidi ali<br />

aweze kuwajazia fomu yeye na kaka yake bila<br />

kuwapima chochote kabla hawajajiunga na<br />

kidato cha kwanza. Pesa ya ziada ililipwa kwa<br />

kile daktari alichokiita “kusaidia maendeleo ya<br />

zahanati ya jamii”.<br />

FEMA MAGAZINE: CITIZEN ENGAGEMENT<br />

William* na Bakari*, wanafunzi wa kidato cha<br />

sita katika Shule ya Sekondari ya Azania jijini<br />

Dar es Salaam, nao pia walitumia njia ya mkato.<br />

“ Nilisubiri mpaka dakika za mwisho kabla<br />

sijapeleka fomu kwa madaktari” anaelezea<br />

William. Ilikuwa ni saa chache tu kabla ya<br />

kuanza elimu ya sekondari, hivyo alikuwa na<br />

hofu kidogo.<br />

Bila ya yeye kuonana na daktari, mjomba wake<br />

alimlipia na akaipata fomu yake mapema akiwa<br />

Mbezi. William hakuwahi kutia mguu wake<br />

katika kituo cha afya.<br />

“Nakumbuka kumlipa daktari ili ajaze fomu ya<br />

mtoto wangu. Hata hivyo, hakuwahi kupatiwa<br />

kipimo cha aina yoyote ile. Na mimi sikuuliza<br />

pia kwa sababu kila mtu alikuwa anafanya<br />

vile” Tunu Rajabu* kutoka Songea, mama wa<br />

mwanafunzi wa kidato cha kwanza anaeleza.<br />

Mfano huu ni moja ya mazingira halisi ambayo<br />

yamekuwa ni ya kawaida, inatokea kwa wengi<br />

wetu. Tunakuwa katika mazingira ambayo<br />

tunahitaji huduma za haraka na tutafanya<br />

chochote ili tuzipate hizo huduma.<br />

Tupo tayari kupita njia za mkato, tupo tayari<br />

kutoa na kupokea rushwa kutoka kwa wengine.<br />

Mtoa huduma, mara nyingi, hupokea kwa<br />

ridhaa pesa ya ziada ili kusaidia kufanikisha<br />

mchakato mzima wa ‘short<strong>cut</strong>’.<br />

Nini kinaweza kutokea?<br />

Haijalishi huduma hii ni ndogo kiasi gani au<br />

imezoeleka kwa kiasi gani. Ni rushwa na ni kosa<br />

la jinai!<br />

Kwa mujibu wa Taasisi ya Kuzuia na<br />

Kupambana na rushwa, kupokea, kutoa au<br />

kuomba rushwa kunaweza kukugharimu faini


si chini ya 500,000/- mpaka milioni moja au<br />

kwenda jela kwa kipindi kisichopungua miaka<br />

mitatu!<br />

��������������������������������������������<br />

miaka mitatu kwa sababu tu wamemlipa mtoa<br />

huduma ajaze “uongo” katika fomu yako ya<br />

afya! Inachukua masaa machache kumuona<br />

daktari na kupatiwa huduma ya vipimo.<br />

Fanya kitu sahihi!<br />

Sikika, ni taasisi isiyo ya kiserikali inayolenga<br />

kuboresha utawala na ushiriki wa wananchi<br />

katika sekta ya afya. Kwa uchunguzi mdogo tu<br />

uliofanyika ni kuwa hospitali zetu na zahanati<br />

zimeshamiri kwa rushwa. Ukweli ni kuwa, kila<br />

kitengo kimeshamiri kwa rushwa, kuanzia<br />

mapokezi mpaka chumba cha kuhifadhi maiti.<br />

Huduma zinatakiwa kulinda afya za wananchi<br />

lakini wakati mwingine hutokea kinyume<br />

chake. Huwezi kupata hudUma mpaka uhonge!<br />

Ripoti pia inaonyesha kuwa watu wengi<br />

���������������������������������������������<br />

huduma ni “kawaida’ na ndivyo jinsi mambo<br />

yalivyo!<br />

Sababu kubwa ya watu katika sekta ya huduma<br />

za afya kujiingiza katika matendo ya rushwa ni<br />

kipato kidogo, tamaa na uchache wa vifaa.<br />

Kupokea bakshish imekuwa ni tabia, jambo<br />

ambalo linaonyesha ukosefu wa maadili katika<br />

utoaji wa huduma za afya. Sababu nyingine ni<br />

ukinzani kati ya usambazaji na mahitaji. Kama<br />

mtu anakuwa na haraka, atafanya ‘chochote’<br />

ili kupata huduma anayohitaji, na pia upande<br />

wa pili atakuwepo mtoa huduma anayemsubiri<br />

huyu mtu mwenye haraka ili apokee hongo.<br />

Hii ni kawaida hata kwa wanafunzi<br />

wanaposubiri mpaka dakika ya mwisho kabla<br />

ya kujiunga na shule ili wapatiwe vipimo<br />

‘hewa’. Inabidi waharakishe kwa sababu kama<br />

utaenda shule bila kujaza fomu za uchunguzi<br />

wa afya huwezi kuanza shule hivyo inabidi<br />

‘kughushi’<br />

Rushwa katika huduma ya afya inatisha,<br />

inaweza kuathiri maisha hata kusababisha<br />

vifo. Sekta ya huduma za afya kwa jamii<br />

inatakiwa kusimamia utoaji wa huduma za<br />

afya na matibabu ya wananchi na kuhakikisha<br />

watu wanapata huduma bora alimradi tu<br />

wamelipa malipo stahili kwa huduma hiyo.<br />

Kama kila mtu anapatiwa huduma ‘hewa’ za<br />

afya, hii maana yake nini?<br />

Chukua hatua, leo!<br />

Unaweza kuamua kutotoa rushwa. Fuata<br />

sheria, pima afya yako, fomu hiyo imewekwa<br />

ili kusaidia afya yako. Usichangie ukuaji wa<br />

rushwa katika sekta ya afya, ni kama ugonjwa<br />

na inaifanya jamii nzima kutotenda kazi zake<br />

ipasavyo. Inatubidi tuutibu kwa kuutapika na<br />

�������������������<br />

Toa taarifa za kuwepo kwa mazingira ya<br />

rushwa katika huduma ya afya, na unaweza<br />

kufanya hivyo bila kutoa taarifa zako (bila<br />

kujulikana). Hivyo usinyamaze na rushwa<br />

ukaichukulia ‘poa’.<br />

Piga vita rushwa ya aina yoyote katika sekta<br />

ya huduma za afya. Wananchi wanatakiwa<br />

kutoa taarifa na mapendekezo ya nini<br />

kifanyike kwa hali iliyopo sasa ya rushwa<br />

ndogondogo katika huduma za afya.<br />

* Majina yaliyotumika si majina halisi ya wahusika...<br />

kumbuka<br />

Unaweza kulalamika kuhusu rushwa,<br />

lakini wakati mwingine wewe<br />

mwenyewe ni mshiriki namba moja.<br />

Kuwa mtatuzi wa matatizo na sio<br />

�����������������������������<br />

������������������������������������<br />

����������������������������������<br />

maisha yako ya kila siku, na katika<br />

jamii yoyote kwa ujumla!<br />

Ni aina gani ya rushwa ambayo<br />

umewahi kuishuhudia katika kituo<br />

���������������������������<br />

Tuambie kwa kwa kutumia njia za<br />

������������������������<br />

0715 568 111<br />

Email:���������������������<br />

�������������������������<br />

Twitter: ����������<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

USHIRIKI WA WANANCHI 57


SHORT CUT=WRONG CUT<br />

Remember when you got your secondary<br />

school joining instructions? Remember<br />

the form and medical checkup you were<br />

supposed to get before joining the school? Yes,<br />

you were obligated to visit a doctor, so that you<br />

could be given a health checkup of your eyesight,<br />

blood pressure and so on.<br />

What did you do? How many of you were actually<br />

��������������������������������������������������<br />

How many of you had your eyes, blood and heart<br />

����������������������������������������������<br />

����������<br />

Even though the standard fee for a school medical<br />

checkup is only Tsh 5,000, many people do not<br />

go through the required procedure. Eighteenyear-old<br />

Kasim* from Tandale, Dar es Salaam,<br />

remembers how a doctor in Tandale asked for<br />

Tsh 2,000 more from him and his brother so that<br />

they could get their medical checkup form (for<br />

Form I) without being examined. The extra money<br />

went to what the doctor termed, ‘helping the<br />

community clinic develop!’<br />

William* and Bakari* Form VI students in Azania<br />

Secondary School in Dar es Salaam; also took<br />

short<strong>cut</strong>s. “I waited till the last minute before I<br />

������������������������������������������������<br />

only a few hours before starting school, so with<br />

no interaction with the doctor William’s form was<br />

�����������������������������������������������������<br />

took care of everything without him ever setting<br />

foot in the health facility.<br />

����������������������������������������������<br />

form. He was never given the checkup. I didn’t<br />

question it because it was what everybody else<br />

was doing.” says Tunu* from Songea, mother to a<br />

Form I student.<br />

These are common situations. We end up needing<br />

a service urgently and we are willing to accept<br />

short<strong>cut</strong>s. We are willing to be corrupt and to<br />

corrupt others.<br />

The person on the receiving end will, in most<br />

cases, eagerly accept the extra money.<br />

58<br />

FEMA MAGAZINE: CITIZEN ENGAGEMENT<br />

What can happen<br />

No matter how small and common this kind of<br />

service is, it is an offense! It is corruption.<br />

According to the Prevention and Combating of<br />

Corruption Bureau (PCCB) receiving, giving or<br />

����������������������������������������������������<br />

million shillings or jail time of no less than 3 years!<br />

Imagine you or your parent going to jail for 3<br />

�����������������������������������������������������<br />

‘fake’ medical checkup form! It only takes a few<br />

hours and money to go see a doctor and do the<br />

actual tests.<br />

Do the right thing!<br />

Sikika, an NGO aiming to improve governance<br />

and citizen participation in the health sector,<br />

concluded in a study that our hospitals and clinics<br />

are not corruption-free zones. In fact, they found<br />

corruption in every department in the health<br />

services, from the reception to the mortuary.<br />

The health services are supposed to secure the<br />

citizen’s health but sometimes the opposite<br />

happens. You may not get a service before you<br />

bribe! The report also showed most people<br />

seem to think that paying extras for a service is<br />

‘normal’?!<br />

The most common reasons why health care<br />

staff involve themselves in corrupt acts are low<br />

incomes, greed and scarcity of equipment. Taking<br />

a bribe has become a habit and demonstrates lack<br />

ethics among healthcare workers.<br />

If a person is in a hurry they will do anything to get<br />

a service. This is usually the case when students<br />

wait until the last minute to get their medical<br />

���������������������������������������������������<br />

show up without it, you can’t start schooling.<br />

Corruption in the health sector is serious. It<br />

affects lives and deaths. Public health facilities are<br />

suppose to ensure that everyone receives proper<br />

care, as long as they have paid the basic clinic fees.<br />

Filling in fake forms, is not proper health care.<br />

PHOTO AND STORY BY GAURE MDEE<br />

Do something, today<br />

You can decide not to contribute to corruption.<br />

Follow the rules and take your medical<br />

examination, it has been created to protect you.<br />

Don’t contribute to sustaining corruption in the<br />

health sector. It is like a disease and it makes the<br />

social body dysfunctional and sick. We have to<br />

����������������������������������������������<br />

Report corruption in the health sector. Citizens<br />

should report and suggest solutions to the<br />

existing petty corruption as they access<br />

healthcare services.You can do so without<br />

revealing your identity.<br />

So don’t just sit around and take corrupt actions<br />

as ‘normal’.<br />

remember<br />

�����������������������������������<br />

but you may sometimes engage in it.<br />

��������������������������������������<br />

����������������������������������������<br />

������������������������������������������<br />

our common social body! Take action!<br />

�������������������������������������<br />

�����������������������������������������������<br />

by using the sms number:<br />

0715 568 111<br />

��������������������������������������<br />

Email:���������������������<br />

�������������������������<br />

Twitter: ����������<br />

* Names used in the story have been changed


Hii ndiyo tume<br />

NA JIANG ALIPO<br />

YENYEWE<br />

Tume ya Marekebisho ya Katiba inakuja kuchukua maoni hapohapo ulipo! Unashangaa? Kama ulikuwa hujui<br />

ndiyo hivyo, amka kijana. Tume ishateuliwa na Rais Jakaya Kikwete, ishatangazwa, ishaapishwa na ishaanza kazi!<br />

T<br />

ume ina jumla ya wajumbe 30, nusu kutoka<br />

Bara, nusu Zanzibar. Hii ni kutoka majina<br />

550 ambayo Rais Kikwete alipelekewa na<br />

vyama vya siasa, asasi za kiraia na za kidini.<br />

Ungana nasi uwajue wajumbe wa Tume hii<br />

angalau kidogo.<br />

Humphrey Polepole:�����������������<br />

kwa mwakilishi wetu pekee kwenye tume<br />

hii. Ndiyo, maana Polepole ndiye kijana<br />

pekee kwenye tume hii. Ni Mkurugenzi wa<br />

Tanzania Youth Coalition (TYC), Mwenyekiti<br />

wa Baraza a Taifa la NGO. Mdau mkubwa wa<br />

<strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong>; keshatupambia ‘kava’ la Fema,<br />

kama mhamasishaji mabadiliko. Pia Februari<br />

alishirikiana na Rebeca Gyumi kuendesha<br />

mjadala wa Katiba kwenye kongamano letu la<br />

Vijana na Katiba, kama tulijua vile atateuliwa<br />

kuingia kwenye tume hii. Polepole tunajua<br />

hutotuangusha, tunaona fahari kwa uwepo<br />

wako kwenye Tume! Big up kwako Polepole!<br />

Jaji Joseph Warioba: Mwenyekiti wa Tume<br />

hii. Jaji Warioba ni Waziri Mkuu na Jaji Mkuu<br />

Mstaafu.<br />

Jaji Augustino Ramadhan: Ni Makamu<br />

Mwenyekiti wa Tume. Ni Jaji Mkuu Mstaafu wa<br />

Mahakama Kuu ya Tanzania na Mahakama Kuu<br />

ya Zanzibar.<br />

TANZANIA BARA:<br />

Prof Mwesiga Baregu: Mhadhiri wa Chuo<br />

Kikuu cha Mt. Augustine na Mshauri wa masuala<br />

ya siasa wa Chadema.<br />

Riziki Shahari Mngwali: Mhadhiri wa Kituo<br />

cha Uhusiano wa Nje cha Dar es Salaam.<br />

Dk Sengondo Mvungi: Mwanasheria na<br />

mshauri wa masuala ya kisheria wa NCCR-<br />

Mageuzi.<br />

John Nkolo: Katibu Mkuu wa chama cha UDP.<br />

Alhaj Said Hamad El-Maamry:<br />

Mwanasheria maarufu na mjumbe wa kudumu<br />

wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka<br />

Afrika (CAF).<br />

Jesca Mkuchu: Mratibu wa Tanzania<br />

Ecumenical Dialogue Group.<br />

Professor Palamagamba Kabudi:<br />

Mkuu wa Shule ya Sheria Chuo Kikuu cha<br />

Dar es Salaam.<br />

Yahya Msulwa: Katibu Mkuu wa Chama cha<br />

Walimu Tanzania (CWT).<br />

Esther Mkwizu: Mwenyekiti Mstaafu wa<br />

Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF).<br />

Maria Malingumu Kashonda: Mwenyekiti<br />

wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania<br />

(TAWLA).<br />

Al-Shaymaa Kwegyir: Mbunge wa Viti<br />

Maalumu (CCM) na Mwenyekiti wa Goodhope<br />

Star Foundation.<br />

Mwantumu Malale: Makamu Mkuu wa Chuo<br />

cha Kiislamu cha Morogoro.<br />

Joseph Butiku:<br />

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Mwalimu<br />

Nyerere.<br />

Richard Lyimo: Naibu Katibu Mkuu wa TLP.<br />

ZANZIBAR:<br />

Dr Salim Ahmed Salim: Waziri Mkuu<br />

Mstaafu, Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa<br />

Afrika (OAU).<br />

Omar Sheha Mussa: Alikuwa Mbunge wa<br />

Chumbuni (CCM).<br />

Fatma Said Ali: Aliwahi kuwa Mbunge na<br />

Waziri.<br />

Raya Salim Hamad: Mjumbe wa Baraza la<br />

Wawakilishi Zanzibar (CCM).<br />

Awadh Ali Said: Rais wa Chama cha<br />

Wanasheria cha Zanzibar (ZLS).<br />

Ussi Khamis Haji: Makamu Mwenyekiti<br />

Mstaafu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.<br />

Salma Maoulidi: Mkurugenzi Mkuu wa<br />

Taasisi ya Sahiba Sisters na mwanaharakati wa<br />

haki za wanawake.<br />

Simai Mohamed Said: Mwenyekiti wa<br />

Chama cha Wawekezaji kwenye Utalii Zanzibar.<br />

Abubakar Mohamed Ali: Mwandishi wa<br />

habari wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC<br />

- Swahili).<br />

Nassor Khamis Mohammed: Mwenyekiti<br />

wa Chama cha NRA.<br />

Muhammed Yussuf Mshamba: Mkurugenzi<br />

����������������������������������������������<br />

Zanzibar.<br />

Kibibi Mwinyi Hassan: �������������������<br />

shughuli za Serikali Zanzibar.<br />

Suleiman Omar Ali: �����������������������<br />

Kilimo, Zanzibar.<br />

Salama Kombo Ahmed: Amewahi kuwa<br />

mjumbe wa tume ya rais ya matukio ya 26th &<br />

27th January, 2001 Zanzibar.<br />

Katibu: Assaa Ahmad Rashid<br />

Naibu Katibu: Casmir Sumba Kyuki<br />

Kazi yake?<br />

Jukumu la msingi la Tume hii litakuwa kuongoza<br />

na kuratibu mchakato utakaoshirikisha<br />

wananchi wote Watanzania bila kubagua,<br />

including wewe, kutoa maoni yao yatakayohusu<br />

Katiba. Tume imeshaanza kazi, inatarajiwa<br />

kumaliza kazi Octoba 2013. Serikali imeahidi<br />

katiba mpya by April 2014. Kijana, huu ni wakati<br />

wako wa kushiriki kutengeneza katiba ya nchi<br />

yako, usilale!<br />

JULY - SEPTEMBER 2012 : FEMA MAGAZINE<br />

AMKA<br />

59


COMPETE & WIN<br />

Ni muda mwingine wa kuchagamsha bongo na Jarida la Fema. Majibu yote yako katika toleo<br />

hili hapa, kwa hiyo chimba mwanangu! Zawadi ni fulana au khanga maridadi za <strong>Femina</strong><br />

<strong>HIP</strong> na unaweza kuwa mshindi anayefuata.<br />

MASWALI<br />

1. Tuambie sababu mbili za kwa nini wafanyakazi wa<br />

hospitalini wanajihusisha na rushwa?<br />

2. Kwa nini Mkuki Bgoya anaomba<br />

�������������������������������<br />

3. Julieth aliamuaje kuhusu Bosi wake?<br />

4. Kwa nini wanafunzi wa Msimbazi<br />

waligoma, toa sababu tatu.<br />

TAMBUA PICHA:<br />

����������������������������������<br />

Jibu kweli au si kweli<br />

1. Ally Remtullah ni mchezaji mpira.<br />

2. Rushwa ni matumizi ya ofisi ya umma kwa manufaa ya umma.<br />

3. Mwanafunzi wa kike kupata lifti kutoka kwa mwanamume ni<br />

aina moja ya rushwa.<br />

4. Kazi ya TAKUKURU ni kukamata wezi.<br />

60 FEMA MAGAZINE: COMPETE & WIN<br />

WASHINDI WA TOLEO LA<br />

APRIL – JUNE NI:<br />

1. Bahati Kiputa, kiputabahati@yahoo.com<br />

2. Mariam Asunga, Mgeta Secondary School,<br />

P. O Box 246, Morogoro<br />

3. Imani James, Kibaha Secondary School,<br />

P. O Box 30052, Pwani<br />

4. Mary Ndee, Mwanamwema Shein Secondary School,<br />

P. O Box 1601, Singida<br />

5. Florian Kakulima, Karagwe Secondary School,<br />

P. O Box 87, Karagwe, Kagera<br />

NB: Washindi tumeni ujumbe mfupi<br />

mtuambie jinsi ya kuwapatia zawadi zenu.<br />

Andika neno Fema, acha nafasi, kisha<br />

andika maelezo yako kwa ufupi na utume<br />

kwenda namba 15665.<br />

JINSI YA<br />

KUSHIRIKI:<br />

YEYOTE<br />

ANAWEZA<br />

KUSHIRIKI<br />

�� �������������������������<br />

yako katika karatasi nyingine na<br />

siyo kwenye ukurasa huu.<br />

�� ��������������������������������<br />

khanga ya <strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong>.<br />

�� ���������������������������<br />

kwa barua pepe au posta.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!