10.10.2015 Views

ACT NOW TO SAVE NEWBORNS! CHUKUA HATUA KUOKOA WATOTO WACHANGA!

TegQx

TegQx

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>ACT</strong> <strong>NOW</strong> <strong>TO</strong> <strong>SAVE</strong> <strong>NEWBORNS</strong>!<br />

<strong>CHUKUA</strong> <strong>HATUA</strong> <strong>KUOKOA</strong><br />

WA<strong>TO</strong><strong>TO</strong> <strong>WACHANGA</strong>!


Act now to save Tanzania’s<br />

newborns!<br />

Do you know that newborn mortality is a widespread<br />

problem in Tanzania?<br />

Tanzania now ranks 11 th in the world for number<br />

of newborn deaths. 1<br />

Each year there are 39,000 newborn deaths and<br />

22,000 stillbirths during delivery. 1,2<br />

Newborn deaths now account for 40% of all deaths<br />

to children under 5 years old. 1<br />

More than 80% of all newborn deaths result from<br />

preventable and treatable conditions.<br />

• Complications due to prematurity;<br />

• Complications during delivery including asphyxia;<br />

• Newborn infections.<br />

These lives could be saved with available drugs and<br />

simple interventions. 3<br />

2


Chukua hatua sasa kuokoa maisha<br />

ya watoto wachanga wa Tanzania!<br />

Je wajua ya kwamba vifo vya watoto wachanga ni tatizo<br />

kubwa sana hapa nchini Tanzania? Tanzania inashika<br />

nafasi ya 11 duniani kwa idadi ya vifo vya watoto<br />

wachanga. 1<br />

Kila mwaka watoto wachanga 39,000 hufariki dunia,<br />

na watoto wengine 22,000 huzaliwa wafu. 1,2<br />

Vifo vya watoto wachanga vinachangia asilimia 40%<br />

ya vifo vyote vya watoto walio chini ya miaka 5. 1<br />

Zaidi ya asilimia 80% ya vifo vyote vya watoto wachanga<br />

hutokana na sababu zinazozuilika au kutibika.<br />

• Matatizo kutokana na kuzaliwa kabla ya muda;<br />

• Matatizo wakati wa kuzaliwa, pamoja na<br />

kushindwa kupumua;<br />

• Maambukizi kwa watoto wachanga.<br />

Maisha ya watoto hawa yangeweza kuokolewa kwa<br />

kuwepo dawa na huduma nyingine rahisi. 3<br />

3


Act now to save Tanzania’s<br />

newborns!<br />

Prioritise these evidence-based, cost-effective,<br />

and feasible solutions across all health facilities in Tanzania<br />

that provide pregnancy and delivery services!<br />

• Newborn resuscitation;<br />

• Hygienic cord care;<br />

• Antibiotics;<br />

• Mother to newborn skin-to-skin contact;<br />

• Breastfeeding;<br />

• Trained health workers;<br />

• With a focus on the 48 hours surrounding birth. 3,5<br />

4


Chukua hatua sasa kuokoa maisha<br />

ya watoto wachanga wa Tanzania!<br />

Toa kipaumbele kwa hatua hizi muhimu na zenye gharama nafuu<br />

zinazopaswa kutolewa kwenye vituo vyote vya huduma za afya Tanzania<br />

ambapo huduma kwa wajawazito zinapatikana kabla, wakati na baada<br />

ya kujifungua!<br />

• Huduma za kuokoa maisha ya mtoto mchanga ikiwemo<br />

kumsaidia kupumua<br />

• Utunzaji wa kitovu<br />

• Vijiuasumu (antibiotiki)<br />

• Mbinu ya ngozi kwa ngozi kwa mama na mtoto mchanga<br />

• Unyonyeshaji maziwa ya mama<br />

• Wahudumu wa afya waliosomea fani hiyo<br />

• Msisitizo ukiwekwa katika masaa 48 baada ya kujifungua. 3,5<br />

5


We have made commitments!<br />

In 2014 Tanzania committed to the Every Newborn<br />

Action Plan 3 and the Sharpened One Plan. 4 These<br />

strategies set out the priority solutions, and call for<br />

a united effort to dramatically reduce preventable<br />

stillbirths and newborn deaths, by:<br />

• Strengthening family planning for safer planned<br />

pregnancies, especially for adolescents;<br />

• Investing in the quality of care around delivery<br />

and postnatal care and special care for small<br />

and sick babies;<br />

• Reducing inequities in those accessing quality care<br />

to ensure all mothers and babies receive essential<br />

services and close the rural-urban divide;<br />

• Harnessing the power of communities to ensure<br />

all deliveries and newborns receive essential care;<br />

• Counting every newborn for better measurement<br />

and accountability. 3,4<br />

Crucially, if these solutions are scaled up we could save<br />

9,400 newborn lives and avert 2,500 stillbirths by the<br />

end of 2015. 4<br />

6


Tumeahidi!<br />

Mwaka 2014 Tanzania imeahidi na kuweka dhamira<br />

ya kutekeleza Mpango Kazi wa Kila Mtoto Mchanga 3<br />

na Mpango Mkakati Ulioboreshwa wa Kupunguza<br />

Vifo vya Mama na Watoto. 4 Mikakati hii inaonyesha<br />

vipaumbele, na kutoa rai ya kuunganisha nguvu ili<br />

kuweza kupunguza kwa kiasi kikubwa vifo vinavyozuilika<br />

vya watoto wachanga wanaozaliwa wafu na wale<br />

wanaokufa baada ya kuzaliwa, kwa:<br />

• Kuboresha uzazi wa mpango, hususani kwa vijana;<br />

• Kuwekeza katika kutoa huduma bora wakati na<br />

baada ya kujifungua, na huduma maalum kwa<br />

watoto njiti na wagonjwa;<br />

• Kupunguza pengo la usawa katika upatikanaji<br />

wa huduma bora;<br />

• Unganisha nguvu ya jamii ili kuhakikisha kila uzazi<br />

na watoto wachanga wanapata huduma muhimu;<br />

• Kuhakikisha kila mtoto anayezaliwa anasajiliwa<br />

ili kuboresha tathmini na uwajibikaji. 3,4<br />

Muhimu zaidi ni kwamba mambo haya yakitiliwa mkazo<br />

tunaweza kuokoa maisha ya watoto wachanga 9,400<br />

pamoja na kuepusha watoto wengine 2,500 kuzaliwa<br />

wafu ifikapo mwishoni mwa mwaka 2015. 4<br />

7


Decision Makers Act Now!<br />

More than 80% of all newborn deaths result from<br />

preventable and treatable conditions. These lives<br />

could be saved with available medicines and simple<br />

interventions. We’re calling on Decision-makers to take<br />

action now to save thousands of lives by:<br />

1. Generate and sustain political will and momentum<br />

to achieve great progress for newborn survival;<br />

2. Ensure increased resources are budgeted, timely<br />

disbursed and used for effective newborn<br />

interventions, starting with the 2015/16 budget;<br />

3. Ensure all council development plans in 2015/16<br />

prioritise newborn interventions, particularly<br />

investing in quality of care around delivery and<br />

postnatal care, and special care for small and sick<br />

babies;<br />

4. Ensure that these plans and the implementation<br />

of newborn interventions address the inequities<br />

of accessing quality healthcare across underserved<br />

populations;<br />

5. Demand strong stewardship of resources and<br />

accountability for investment in quality of care<br />

for our newborns;<br />

8


6. Ensure an effective supply chain of essential<br />

medicines and supplies for newborn<br />

interventions;<br />

7. Strengthen and invest in human resources<br />

for health, ensuring healthcare providers are<br />

skilled in essential newborn care and equitably<br />

distributed across health facilities;<br />

8. Generate a cross-sectoral awareness and<br />

commitment to creating enabling environment<br />

for newborn survival including improved e.g.<br />

water and sanitation; electricity; infrastructure etc.<br />

9. Ensure that every newborn birth and death,<br />

including stillbirths, are officially notified and<br />

registered, so as to enable more effective<br />

monitoring and response to newborn survival;<br />

10. Determine to raise awareness across our<br />

communities including appropriate care-seeking<br />

and shifting social norms to take action for<br />

newborn survival;<br />

11. Ensure newborn survival remains prominent<br />

in the national plans and strategies currently<br />

being developed including One Plan II, HSSP IV<br />

and NSGRP/MKUKUTA III.<br />

9


Watoa Maamuzi, Chukua Hatua Sasa!<br />

Zaidi ya asilimia 80 ya vifo vya watoto wachanga hutokana<br />

na sababu zinazozuilika. Maisha ya watoto hawa yangeweza<br />

kuokolewa kwa kutumia njia rahisi na uwepo wa dawa.<br />

Tunawataka watoa maamuzi kuchukua hatua sasa ili kuokoa<br />

uhai wa maelfu ya watoto wetu kwa kufanya haya:<br />

1. Kuweka na kuendeleza msukumo wa kisiasa na<br />

kuhakikisha kasi yake inafanikisha kwa maelfu ya<br />

watoto wachanga wanaishi;<br />

2. Kuhakikisha kuwa rasilimali za kutosha zinapangiwa<br />

bajeti, fedha kutolewa kwa wakati na kutumika<br />

kikamilifu kwenye njia mbali mbali zinazohitajika<br />

kuokoa watoto wachanga, kwa kuanzia na bajeti ya<br />

mwaka 2015/16;<br />

3. Kuhakikisha kuwa mipango yote ya maendeleo ya<br />

halmashauri nchini, inaweka kipaumbele mbinu mbali<br />

mbali za kuokoa watoto wachanga na hasa huduma<br />

bora wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa,<br />

umuhimu mkubwa ukiwekwa kwa huduma na uangalizi<br />

kwa watoto wenye uzito mdogo na wagonjwa;<br />

4. Kuhakikisha mipango hiyo na utekelezaji wake katika<br />

kuokoa watoto wachanga inazingatia upatikanaji sawa<br />

wa huduma za afya kwa makundi yote katika jamii<br />

mkazo ukitiliwa kwa makundi yaliyo pembezoni;<br />

5. Kudai matumizi na ufuatiliaji makini wa rasilimali na<br />

uwajibikaji katika uwekezaji wake kuleta ubora wa<br />

huduma za afya kwa watoto wachanga;<br />

10


6. Kuhakikisha mfululizo wa hatua za ugavi na<br />

upatikanaji wa dawa muhimu kwa ajili ya watoto<br />

wachanga unatekelezwa kwa ufanisi;<br />

7. Kuimarisha na kuwekeza katika mfumo wa rasilimali<br />

watu katika sekta ya afya kuhakikisha wahudumu wa<br />

afya wana utaalamu unaohitajika zaidi kwa watoto<br />

wachanga tena uwepo kwa uwiano sawa kwenye<br />

vituo vyote vya afya;<br />

8. Kuweka dhamira na uhamasishaji wa sekta zote<br />

kujenga mazingira yatakayowawezesha watoto<br />

wachanga waishi ikiwa ni pamoja na upatikanaji<br />

wa maji safi na salama, vyoo bora na mfumo wa maji<br />

taka, umeme na miundombinu, n.k.;<br />

9. Kuhakikisha kuwa kila kila mtoto mchanga<br />

anayezaliwa hai, au kuzaliwa mfu, au kufariki baada<br />

tu ya kuzaliwa kumbukumbu zake zinawekwa na<br />

kusajiliwa ili ufuatiliaji wa suluhu ya tatizo uwe rahisi<br />

utakaosaidia wengine nao waishi;<br />

10. Kudhamiria kwa dhati kusambaza ujumbe kwenye<br />

jamii zetu, ikiwemo namna ya kutafuta na kupata<br />

huduma sahihi na kubadili mila ili zisaidie kuokoa<br />

watoto wachanga;<br />

11. Kuhakikisha suala zima la uhai wa watoto wachanga<br />

unabaki kuwa kipaumbele katika mipango na<br />

mikakati ya kitaifa inayoandaliwa sasa, kama wa<br />

One Plan II, HSSP IV na NSGRP/MKUKUTA III.<br />

11


web:<br />

twitter:<br />

facebook:<br />

For references and notes on calculations, visit:<br />

mamaye.org.tz<br />

@MamaYeTZ<br />

MamaYeTZ<br />

www.mamaye.org/references

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!