Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
!
7
11
Hakukata tamaa akaingia tena<br />
studio nakutoka na kitu ambacho<br />
kilikuwa kinajulikana kwa jina la<br />
‘Kibarua’ ambao alirekodia katika<br />
studio za master j wimbo huo<br />
uliweza kumtambulisha katika<br />
anga za muziki wa kizazi kipya.<br />
Baada ya kuona mafanikio yana -<br />
karibia akaingia tena studio na<br />
kutoka na wimbo ambao uliju -<br />
likana kwa jina la ‘mapepe’<br />
ambao aliufanyia katika studio za<br />
Mambo Jambo.<br />
Hapo ndipo ndoto zake zikaanza<br />
kukamilika akawa anafanya<br />
nyimbo katika studio mbalimbali<br />
akazidi kusimama bila kusita<br />
akaamua kutoa wimbo mwingine<br />
uliojulikana kama ‘Hoi’.<br />
Hoi ndio hasa ulioanza kum -<br />
nyanyua kwani ulipata muda<br />
mkubwa katika vituo vya redio<br />
jambo lililomfanya arejee studio<br />
na kuachia Zaidi Yako.<br />
“Niliamua kuachia nyimbo mfu -<br />
lulizo kwa sababu nina mashairi<br />
ya kutosha kwa hiyo sioni kama<br />
nikiachia hivyo nitaishiwa misitari<br />
na ndio maana nikawa ninaachia<br />
bila hesabu,” anajigamba.<br />
Na huo ndio ukawa mwanzo wa<br />
kujulikana kwa jina la Chidi Ben -<br />
zino kabla kubalidilisha.<br />
“Kipindi cha nyuma nilikuwa<br />
shabiki na mwanachama wa The<br />
Source Magazine ambalo linami -<br />
likiwa na rapa Benzino wa<br />
Marekani ilikuwa kila mwezi<br />
lazima nitumiwe magazine kuto -<br />
kana na kupenda kusoma hilo<br />
jarida.<br />
“Mshikaji wangu wa karibu na<br />
ambaye tulikuwa tunaishi naye<br />
Ilala, Dully Sykes akawa ananiita<br />
Benzino baadhi ya washikaji nao<br />
wakaanza kuniita hivyo jina<br />
likakua baada ya kuona<br />
limezoeleka sana na isitoshe jina<br />
lenyewe siyo langu nikaamua<br />
kulitohoa jina langu la Rashid<br />
nalifupisha likawa Chidi, sikue -<br />
nda mbali sana kwa kuhofia<br />
kupoteza maana ya Benzino na<br />
kutohoa na kuform Benz ukijum -<br />
lisha unapata jina kamili ambalo<br />
lina leta maana Chidi Benz hiyo<br />
ndio historia ya jina langu la kisa -<br />
nii,” anasema.<br />
Mkali huyu wa hip hop ame -<br />
onekana aking’ara sana katika<br />
vituo vya redio mbalimbali hapa<br />
nchini kiasi kwamba unaweza<br />
kusikia sauti yake kila baada ya<br />
dakika mbili katika kituo kimoja<br />
kwa siku moja.<br />
Katika chati ambazo zina<br />
endeshwa katika vituo mbalim -<br />
bali vya redio hapa nchini zaidi ya<br />
nyimbo saba ambazo ziko katika<br />
chati ya juu utakuta zina sauti ya<br />
mwana hip hop huyu kitu amba -<br />
cho hakijawahi kutokea katika<br />
muziki wetu wa kizazi kipya<br />
Ngoma zinazotamba ambazo<br />
ameshilikishwa chidi benz ni<br />
kama ‘Ombi langu’wa msanii<br />
chipukizi anayetoka katika kundi<br />
la Tip Top Conection anayeju -<br />
likana kwa jina la Spark, ‘NEILA<br />
wa msanii Tunda man ‘Bado<br />
umenuna’ wa Marlaw, ‘Hao’ wa<br />
mwanamuziki kutoka katika<br />
nyumba ya vipaji Tanzania House<br />
of Talent (THT) anayejulikana<br />
kama Mwasiti ‘Mchizi wangu<br />
remix ‘ wa kundi la Nako2Nako<br />
na ‘Hapo vipi remix ‘ wa Profesa<br />
Jay, Vidole vitatu wa Taarsis<br />
Masela wa Akudo Impact.<br />
“Ukaribu na utundu pamoja na<br />
umahiri wa kuchezea sauti<br />
yangu ndio vinavyo nipa nafasi<br />
ya kushirikishwa kwenye nyimbo<br />
nyingi. Vile vile mi ni mkali,”<br />
anasema.<br />
Mbali na kutamba na nyimbo<br />
alizoshirikishwa vilevile nyimbo<br />
za Chid ambazo zinafanya vizuri<br />
ni pamoja na ‘Hasira za nini’,<br />
‘Mmenisoma’ pamoja na ‘Naitwa<br />
nani’ aliomshirikisha mwana<br />
dada K-Lynn.<br />
Tofauti na wasanii wengi ambao<br />
kwa sasa wamekuwa<br />
wakilalamika kuwa wanalazimika<br />
kuhonga katika vituo vya redio<br />
Chid anasema kwake hapana.<br />
“Tangu naanza muziki sijawahi<br />
kulipa katika studio wala<br />
sijawahi kuhonga katika redio<br />
yoyote hapa nchini ilinipigiwe<br />
nyimbo zangu nasintakuja<br />
kuhonga kamwe,” anasema.<br />
Anasema anaamini msanii wa<br />
kweli hawezi kuhonga ili kazi<br />
zake ziweze kupigwa kwenye<br />
redio.<br />
Rapa huyo alifanikiwa kutwaa<br />
tuzo za Killimanjaro Music Award<br />
kwa nafasi ya Msanii bora wa Hip<br />
Hop mwaka 2007.<br />
Kwake anaeleza kuwa tuzo hiyo<br />
imempa moyo wa kusonga<br />
mbele zaidi<br />
“Katika gemu hawawezi wakaku -<br />
penda wote lazima wengine<br />
watakuchukia tu,wengi walifurahi<br />
mimi kupata tuzo, kwa vile<br />
nilikuwa na kiwango cha kupewa<br />
tuzo katika kipindi hicho,” anas -<br />
ema.<br />
Miezi kadhaa iliyopita Chidi<br />
alipeleka Albam yake sokoni<br />
ikiwa na nyimbo 17<br />
“Kama nilionyesha mfano wa<br />
albam yangu kukaa namba ONE<br />
katika chati sokoni kwa majuma<br />
kadhaa lakini bado ninaungana<br />
na mwana hiphop kutoka katika<br />
kundi la Tip Top Conection<br />
aitwaye Madee kwa kusema hip<br />
hop haiuzi Lakini mimi chidi benz<br />
nauza.”<br />
Albamu amefanyia katika studio<br />
mbalimbali za hapa nchini, akiwa<br />
amewashirikisha wasanii K-Lyyn,<br />
Wa2pori, AY, Matonya, Mr Ebo,<br />
Dogo Hamidu, Makamua, Ali<br />
Kiba, Maunda Zorro, Gaza<br />
pamoja na K-Voo kutoka Kenya.<br />
”Nimeamua kufanya hivi iliniweze<br />
kuwateka washabiki wao mfano<br />
mtu akiona nimefanya collabo na<br />
Ali kiba na yeye anampenda so<br />
nilazima anunue albam, kingine<br />
ni kwamba nilikuwa najua<br />
kwamba bongo flava inauza<br />
nikaona nikiwaweka hawa na<br />
mimi nitauza, na kweli nikafan -<br />
ikwa kubamba soko.”<br />
Chidi anasema hiphop haiuzi<br />
kutokana na kutokuwepo na<br />
ushirikiano kati ya wasanii<br />
wenyewe, tamaa ya kutaka<br />
kulipwa fedha nyingi tofauti lakini<br />
kubwa zaidi anasema nyimbo<br />
nyingi hazina ujumbe ambao<br />
mashabiki wanataka kuusikia.<br />
Msanii huyu ambaye alitumbuiza<br />
awali wakati wa onyesho la<br />
msanii 50 Cent anasema hiyo<br />
imesaidia pia kupiga hatua.<br />
“Ni bonge la hatua kwangu kwa<br />
sababu mchizi nilikuwa namuona<br />
tu kwenye luninga, magazetini<br />
pamoja na internet, kikubwa zaidi<br />
ni kuona ujanja anaotumia wakati<br />
anapokuwa stejini pamoja na<br />
kumsikia angesema nini juu ya<br />
muziki wetu.”<br />
15
16
19
20
Event<br />
Marlaw<br />
Jirambe Jirambe<br />
Q-jay<br />
Mwasiti
DJ Fetty<br />
A Mchomvu<br />
2008<br />
Prof Jay Dark Master Ngwasuma
48 Hotspot September Edition 2008