22.06.2013 Views

miti ya matunda kwa hifadhi ya mazingira na stahimili ya mabadiliko ...

miti ya matunda kwa hifadhi ya mazingira na stahimili ya mabadiliko ...

miti ya matunda kwa hifadhi ya mazingira na stahimili ya mabadiliko ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2. FAIDA ZA MIPARACHICHI, MIEMBE NA<br />

MICHUNGWA<br />

2.1 MIPARACHICHI<br />

Miparachichi imekuwepo nchini <strong>kwa</strong> miaka mingi. Katika mikoa <strong>ya</strong> kaskazini (Kilimanjaro <strong>na</strong> Arusha) pamoja <strong>na</strong><br />

kutumika kama <strong>matunda</strong>, maparachichi <strong>ya</strong>libeba ji<strong>na</strong> la “chakula cha mbwa” <strong>kwa</strong> kuwa mara nyingi <strong>ya</strong>lipodondoka<br />

kutoka kwenye <strong>miti</strong> <strong>ya</strong>liliwa <strong>na</strong> mbwa. Hata hivyo, mikoa <strong>ya</strong> kusini (Mbe<strong>ya</strong>) maparachichi <strong>ya</strong>mekuwa tunda<br />

muhimu katika milo yote.<br />

Utafiti umeonesha <strong>kwa</strong>mba maparachichi <strong>ya</strong><strong>na</strong> mafuta muhimu <strong>ya</strong><strong>na</strong>yoondoa mafuta <strong>ya</strong><strong>na</strong>yoganda kwenye<br />

mishipa <strong>ya</strong> damu. Pia <strong>ya</strong><strong>na</strong> virutubisho vi<strong>na</strong>vyofan<strong>ya</strong> damu itembee <strong>kwa</strong> urahisi mwilini. Maparachichi <strong>ya</strong><strong>na</strong><br />

virutubisho v<strong>ya</strong> vitamini E. Kwa sababu hii maparachichi<strong>ya</strong><strong>na</strong>tumika katika kutengeneza vipodozi <strong>ya</strong> ngozi <strong>na</strong><br />

nywele.<br />

Matunda <strong>ya</strong> parachichi <strong>ya</strong><strong>na</strong>weza kuliwa <strong>kwa</strong> <strong>na</strong>m<strong>na</strong> tofauti. Ya<strong>na</strong>weza kuliwa kama kituliza njaa wakati ukisubiri<br />

chakula kingine au kilainisha chakula baada <strong>ya</strong> mlo. Pia parachichi li<strong>na</strong>weza kuliwa sambamba <strong>na</strong> chakula kingine<br />

<strong>kwa</strong> mfano ndizi za kuchoma. Maparachichi <strong>ya</strong><strong>na</strong>tumika pia kutengeneza juisi. Matunda machanga <strong>ya</strong>liyoanguka<br />

<strong>ya</strong><strong>na</strong>tumika kuharakisha uivishaji wa ndizi <strong>kwa</strong> kuzifan<strong>ya</strong> ndizi ziive zote <strong>kwa</strong> pamoja. Majani <strong>ya</strong> miparachichi<br />

<strong>ya</strong><strong>na</strong>tumika kulishia mifugo kama mbuzi <strong>na</strong> ng’ombe wakati <strong>miti</strong> <strong>ya</strong>ke i<strong>na</strong>toa mbao nzuri za kutengenezea samani.<br />

Hivyo miparachichi i<strong>na</strong>weza kuwa chanzo kizuri cha pesa <strong>kwa</strong> familia <strong>na</strong> wajasiliamali soko lake likiboreshwa.<br />

Miparachichi huweza kustawi sehemu nyingi zenye hali <strong>ya</strong> hewa <strong>ya</strong> kitropiki iliyo <strong>na</strong> kipindi cha ubaridi, joto kiasi<br />

<strong>na</strong> mvua za kutosha. Hivyo, hapa nchini kilimo chake kimeshamiri zaidi kwenye maeneo <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>nda za juu mikoa <strong>ya</strong><br />

Mbe<strong>ya</strong>, Iringa, Morogoro, Kilimajaro <strong>na</strong> Arusha. Sehemu nyingine zilizo kwenye miinuko mfano Lushoto mkoani<br />

Tanga zao hili laweza kulimwa. Hata hivyo kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> ai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> miparachichi, maeneo <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>nda za chini <strong>ya</strong>siyo <strong>na</strong><br />

vipindi virefu v<strong>ya</strong> ukame <strong>ya</strong><strong>na</strong>weza pia kustawisha zao hili. Kwa vile miparachi ni <strong>miti</strong> i<strong>na</strong>yo kua haraka <strong>na</strong><br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!