5TH JUNE, 2002 - ConstitutionNet
5TH JUNE, 2002 - ConstitutionNet
5TH JUNE, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Ya pili napendekeza sisi Waislamu wa Kenya tunataka tuongozwe na sheria ya Kiislamu. Lakini kimaendeleo tuwe na<br />
Wakenya wengine.<br />
Pendekezo langu lingine napendekeza Waislamu Wakenya washirikishwe serikali kulingana na population yao. Mfano, kama<br />
Rais ni Mkristo ni pendekezo langu Makamu wa Rais awe Mwislamu. Na kama Makamu wa Rais ni Mkristo, Rais awe<br />
Mwislamu.<br />
Yangu ingine, napendekeza wafugaji wapewe haki ya kiuchumi kama wakulima wa vyakula.<br />
Pendekezo langu lingine mahakama ya Kiislamu iwe na hali ya juu hadi high court ikiongozwa na maKadhi ambao wamekuwa<br />
na masomo ya hali ya juu na wachaguliwe na Waislamu wenyewe.<br />
Kiuchumi napendekeza vile wakulima wa mashamba wanapata ma-factory sehemu zao, tunataka wafugaji kwa sababu ya<br />
kurekebisha uchumi viwanda vya kuendesha mbele vijengwe sehemu ya mifugo wengi. Viwanda vya kufuga nyama,<br />
kutengeneza ngozi yaani uchumi iwe pamoja (inaudible).<br />
Napendekeza kuna wanyama wawili wamepatia shida na hasara nyingi ya kiuchumi na kibinadamu hapa na haitufaidi sisi zaidi<br />
ya yote, napenda iingizwe kwa Katiba hii mpya hao wanyama wawili wafagiliwe kutoka sehemu ya ufugaji wa mifugo.<br />
Com. Mohammed Swazuri: Wanyama gani?<br />
Kanyar Yusuf: Simba na Fisi.<br />
Com. Mohammed Swazuri: Wafanywe namna gani?<br />
Kanyar Yusuf: Wauliwe ama wawekwe sehemu fulani ya kuhifadhiwa na wakitokea wauwe mtu ama mfugo mmoja ilipe<br />
kulingana na masoko ya siku hiyo hiyo. Maana yake hakuna faida na hilo wametuletea hasara ya mali na binadamu zaidi.<br />
Com. Mohammed Swazuri: Wako wengi hapa?<br />
Kanyar Yusuf: Zaidi hata zaidi ya population yetu hapa mara kumi.<br />
Com. Mohammed Swazuri: Na mmeshindwa kabisa ku-deal na (inaudible)<br />
6