11.07.2015 Views

Hadithi ya Nama Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Nama Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Nama Utambulisho - Raising Voices

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong><strong>Utambulisho</strong>A1


<strong>Utambulisho</strong>Nimekukimbilia wewe Bwana, nisiaibike milele. Zaburi 71:1Jina langu naitwa <strong>Nama</strong>, huwa narudia sala hii kila siku ili kwamba Mungu anisaidie. Mimi nimapacha wangu – msichana na mvulana ambao wote wawili wanasoma shule <strong>ya</strong> msingi. Baba <strong>ya</strong>onyumba <strong>ya</strong> vyumba viwili, sio mbali kutoka jiji kuu. Mvua inaponyesha, mifereji huziba na inakuwawangu hawakosi kwenda shule wala kulala na njaa hata siku moja. Najua kwamba hali <strong>ya</strong>ngu ni <strong>ya</strong>muda tu kwa sababu Mungu atanisaidia.kwenye uzi kwa ubunifu. Saloni ninaposukia nywele, huweza kuuza vipande vichache kwa watejawangu. Nataka nikusanye pesa nyingi za kutosha kufungua duka dogo ili niuze aina zote za vitozilizopendeza.Kila asubuhi baada <strong>ya</strong> kuwapeleka watoto wangu shuleni, naenda kufan<strong>ya</strong> kazi saloni. Kazi hailipiwangu wa kila siku alinishirikisha habari inayogusa sikio kuhusu kutengeneza pesa nyingi. Aliniambiakazi hiyo aliweza kuwasomesha watoto wake hadi chuo kikuu. Nikadadisi zaidi kuhusu kazi hiyolakini nilipigwa butwaa mteja wangu aliponinong’oneza kwamba anafan<strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong> ngono.kwa ajili <strong>ya</strong> watoto wangu, Bwana hangenihukumu. Niliamua kuijaribu kazi hiyo. Ilikuwa ngumu sanamwanzoni lakini niliiweza. Mpaka…1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B1


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Ukatili Watokea 1A2


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Kurudi Nyumbani 1A3


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Huduma <strong>ya</strong> Matibabu 1A4


Huduma <strong>ya</strong> Matibabu 1shaka tukio lako. Una mikwaruzo midogo midogo mikononi na miguuni na uke wako unauma. Harufu<strong>ya</strong> hospitali inakupa kichefuchefu, na hata wagonjwa wengine wanaosubiri huduma wanaonekanakuchoka na kukosa tumaini kama unavyojihisi wewe. Hakuna mtu anayewajali. Masaa mengina umekuwa ukisubiri huduma kwa muda mrefu sasa. Anapodai malipo, unamkumbusha kwambakasubiri kwa sababu kuna wagonjwa wengi wanaohitaji kuhudumiwa na kwamba atakuhudumiabaadaye kama atapata muda.wanaedelea kupewa huduma. Baada <strong>ya</strong> muda unaoneka kama milele, muuguzi anakupungia isharakuacha kuwaza kile ambacho yule mtu alikufanyia na kisha kukutupa mtaroni. Unamuomba Mungukwamba haitatokea tena. Lakini inaonekana maombi <strong>ya</strong>ko ha<strong>ya</strong>jasikika…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B4


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Dini 1A5


Dini 1Hujisikii vizuri lakini hujaumia sana. Unamichubuko midogo kwenye mikono na mapaja <strong>ya</strong>ko, ingawaunahisi maumivu unapotembea. Jua linapochomoza unaamua kwenda kanisani kwenu, ambalo lipoMara hiyo anagundua huka sawa na anakuchukua kwenye ukim<strong>ya</strong> kwenye kona sehemu <strong>ya</strong> nyuma <strong>ya</strong>kanisa. Unakaa pembeni <strong>ya</strong>ke na mnaomba pamoja kabla hajakuuliza umwambie nini kimekutokea.Hujisikii vizuri kumwambia Veronika kwamba unafan<strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong> ngono, hivyo unamwambiakwamba baada <strong>ya</strong> kazi saloni, mtu alikuvamia, akakukaba na kukuwekea madawa <strong>ya</strong> kulev<strong>ya</strong>, nabaadaye ulizinduka ukiwa kwenye karibu shimo la matope. Veronika anashtushwa na kufadhaikakwa kutokubaliana na wewe na anakukumbusha uendelee kuomba na kuhakikisha Mungu anajuakujitoa kwako. Unamuahidi utafan<strong>ya</strong> hivyo na unakubali kuzungumza naye tena baada <strong>ya</strong> ibada siku<strong>ya</strong> Jumapili. Lakini kabla hujaweza….<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B5


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Ukatili Watokea 2A6


Ukatili Watokea 2wako hawajui unachofan<strong>ya</strong>, lakini kwa kuwa unakuwa hupo nyumbani hadi muda wao wa kulala,kwa bidii ili kuwalipia ada zao za shule, na wanafurahia kwa kuwa unamudu hata kuwanunulia nguomp<strong>ya</strong>. Unaomba Mungu kwamba lengo lako la kuwasaidia watoto wako kwa kiasi fulani likupunguzewingi wa dhambi zako.Tangu uliposhambuliwa, mara zote unahakikisha unatembea na simu iliyojaa chaji. Pia unaanzakutumia muda kuongea na wateja kabla <strong>ya</strong> kwenda nao ili kutambua baadhi <strong>ya</strong> habari zao binafsiendapo watafan<strong>ya</strong> uovu dhidi <strong>ya</strong>ko.atakuwa mteja wako, mara unaona vurumai. Inaonekana ni kundi la polisi wakiwasaka ninyi. Polisiwengine kisha gari linaondoka kwa kasi.Kuna wanawake wengi kama ninyi pale kituoni cha polisi. Baadhi <strong>ya</strong>o ta<strong>ya</strong>ri wameshaanza kulia. Hukuwengine bado ni wasichana wadogo kabisa. Wachache unawatambua. Polisi wanawatupa korokoroni,chumba chenyewe kikiwa chenye giza na kimejaa wafan<strong>ya</strong>biashara <strong>ya</strong> ngono wengine. ChumbaUnawazia kuhusu af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ko na nini kitakachotokea kuhusu watoto wako ikiwa utabaki gerezani. Kwamaudhiko na hofu, unasogea kwenye kona. Na polisi watatu wanaume wanakubaka kwa zamu kablawakichukua simu <strong>ya</strong>ko na pesa.uchukue kadi namba 1.Ikiwa unaamua kukaa kim<strong>ya</strong> kuhusu mkasa wako na kujaribu kusahau, nenda kwenye SongaMbele na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B6


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Marafiki na Majirani 1A7


Marafiki na Majirani 1Kadri siku zinavyozidi kwenda, unahisi kama vile ulimwengu wako unazidi kuwa mdogo zaidi na zaidi.unaowaamini ni wenzio. Wanawake hao wanakuonea huruma na wanakiri kwamba mikasa hii <strong>ya</strong>polisi ni kawaida na ni sehemu <strong>ya</strong> kazi.biashara <strong>ya</strong> vito, wanafurahia kukushirikisha. Baada <strong>ya</strong> muda, pesa unayopata inaongezeka na hatakutosha kuweka akiba, na unapata ndoto <strong>ya</strong> siku utakayopata pesa za kutosha kufungua duka lakokuhakiki kama hujaambukizwa ugonjwa wowote unao ambukizwa kwa njia <strong>ya</strong> zinaa na kupima VVU.Unajibu kuwa unashughuli nyingi sana huwezi kuahidi kuwa utakwenda, lakini kihakika, ungewezakukiri kuwa una woga kidogo kwenda kupima.zako wanakusaidia sana na licha <strong>ya</strong> misukosuko, kila kitu kinakwenda vizuri ambapo huwazii sanakuhusu unachofan<strong>ya</strong>. Hadi…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B7


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Songa Mbele 1A8


Songa Mbele 1Unaamua kuchukua siku chache za kupumzika na watoto wako. Wanafurahia kuwa na wewenyumbani na unajisikia furaha kuona jinsi wanavyokua vijana wazuri. Bila shaka unaona kwambauna cha kujivunia.Unakwenda kanisani siku <strong>ya</strong> Jumapili, lakini mahubiri <strong>ya</strong>nahusu jinsi Mungu anavyowapenda watendadhambi ingawa anaichukia dhambi, na unajihisi aibu unapokaa chini na kusikiliza. Baada <strong>ya</strong> ibadaunachoropoka haraka kutoka kanisani, ukiwaza kutafuta kanisa jingine la kuabudu au kumtafutaMungu wewe binafsi.Unapokuwa mwaminifu, unaona wazi kuwa unapoteza nafsi halisi <strong>ya</strong> hapo awali, lakini unaendeleaunajua watakuuliza kuhusu kazi <strong>ya</strong>ko na jinsi unavyotunza familia <strong>ya</strong>ko na huwezi kuwaambia ukweli.sekondari, hivyo unajua ni lazima upate pesa za kutosha kulipia masomo <strong>ya</strong>o. Baada <strong>ya</strong> likizo fupiunarudi tena kazini. Lakini haiwi shwari kwa muda mrefu….<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B8


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Ukatili Watokea 3A9


Ukatili Watokea 3tajiri sana anakuchukua na kukupeleka kwenye hoteli nzuri iliyoko nje kidogo <strong>ya</strong> mji. Mnaendeshakwa muda mrefu kwa gari lake, mkizungumza kuhusu maisha na mambo <strong>ya</strong> utotoni. Anakwambiacha hoteli unaona ni kizuri sana. Kuna hata kitanda cha maji, ambacho hujawahi kukiona awali.Mteja wako, ambaye jina lake anaitwa Obi, anakuomba mfanye ngono bila kutumia kondomu kwasababu anataka apate hisia zote za kuwa na wewe bila kizuizi chochote.Unapata mtetemo juu <strong>ya</strong> wazo hilo kwa sababu hupendi kujamiana bila kutumia kondomu, nata<strong>ya</strong>ri umeshahatarisha maisha <strong>ya</strong>ko mara kadhaa ili kuwaridhisha wateja wanaokulipa vizuri.unashindwa kukataa ombi lake. Unamuomba uende maliwatoni kwanza, na ukiwa kule, unapigaBaada <strong>ya</strong> ngono, Obi anakwambia amefurahia sana na kwamba anatarajia kuendelea kuwa naunahatarisha maisha <strong>ya</strong>ko kila unapolala naye bila kinga.uchukue kadi namba 2.Ikiwa unaamua kwenda kwenye Shirika Lisilo la Kiserikali linalosaidia wanawake, nenda kwenyeShirika Lisilo la Kiserikali na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B9


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Huduma za Matibabu 2A10


Huduma za Matibabu 2Inakuchukua majuma kadhaa kabla hujapata ujasiri wa kutosha kwenda hospitali. Unajua ni uamuziUmepimwa VVU na magonjwa <strong>ya</strong>nayoambukizwa kwa njia <strong>ya</strong> kujamiana. Inachukua muda kidogoMajibu <strong>ya</strong>napotoka, nesi anakwambia umeambukizwa ugonjwa wa zinaa. Anakwambia ugonjwakulala na wanaume hovyo hovyo ni hatari, ukiachia mbali habari <strong>ya</strong> dhambi. Mashavu <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>nawakamoto kwa hasira na aibu – anawezaje kuthubutu kukuhukumu. Unachukua majibu <strong>ya</strong>ko na kasha ladawa na unaondoka haraka na kwa uadilifu kadri inavyowezekana.Unagundua kwamba hakuna kiasi chochote kikubwa cha pesa kinachostahili kuhatarisha maishakondomu.Una<strong>ya</strong>tazama majibu <strong>ya</strong>ko kwa karibu zaidi na <strong>ya</strong>naonekana wazi zaidi kwamba wala huna mimba.barafu kama kusherehekea.Nenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B10


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Shirika Lisilo la Kiserikali 1A11


Shirika Lisilo la Kiserikali 1Kwanza!” Unajua kwamba wanasaidia wanawake, na mara zote umekuwa ukitamani kujua kuhusuwako na kuomba msaada.kwake. Anajitambulisha na kukuelezea kwa ufupi kazi zinazofanywa na shirika. Kisha anakuomba nawewe ujieleze na useme nini kimekufan<strong>ya</strong> uende kutafuta msaada. Unapata mashaka, lakini unakuwanayo. Unapomaliza kujieleza unaweza kuona hali <strong>ya</strong> kutoridhika kwenye uso wake. Anakwambia,hujatoka nje kabisa, mwanamke mwingine anakugusa mgongoni. “Hujambo?” anauliza, “ninafan<strong>ya</strong>na ambacho yeye anakiongoza. Unaondoka ukiwa umefadhaishwa wala huna uhakika na lolote.Ikiwa unataka kuwatembelea wazazi wako, nenda kwenye Familia na uchukue kadi namba 1.Ikiwa unataka kuitumia fursa kubadili maisha <strong>ya</strong>ko, nenda kwenye Fursa na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B11


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Familia 1A12


Familia 1Wazazi wako wanastaajabu kukuona. Umepita muda mrefu tangu ulipowatembelea, wanakuadabishaaipendayo. Baada <strong>ya</strong> kuwaambia habari mp<strong>ya</strong> za mapacha wako kuwa wamemaliza shule, unaanzakuhisi wasiwasi, ukijua mara tu wataanza kukuuliza umewezaje kupata pesa za kutosha kuwalipiaada za shule watoto wako na kuwaletea wao zawadi nzuri kiasi hicho.kwa karibu.mtoto wangu? Najua umetuacha na kwenda kuishi mjini, lakini mimi ni mama <strong>ya</strong>ko, naweza kujuaikiwa una jambo shida yoyote.”Unamweleza kwamba kwa miaka michache iliyopita umekuwa ukifan<strong>ya</strong> ngono na wanaume ili upatepesa na kwamba kwa kufan<strong>ya</strong> hivyo mambo <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>naenda vizuri. Unaangua kilio unapotafakarikuhusu dhambi zako, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ko, na watoto wako na hatari unazokabiliana nazo. Unapoinua usokuiletea aibu kama hiyo familia <strong>ya</strong>ko?”anawaka, na kugeukia pembeni. “Itakuwaje watoto wasio naKwa ghadhabu kutokana na maneno makali <strong>ya</strong> mama <strong>ya</strong>ko, unaamua kumjibu wazi, “Kila kituninachofan<strong>ya</strong>, nafan<strong>ya</strong> kwa ajili <strong>ya</strong> watoto wangu! Hamtawaona tena,” na unatoka ndani <strong>ya</strong> nyumbauchungu na huzuni vinazama na kutulia moyoni.uchukue kadi namba 1.Ikiwa unaamua kutumia fursa kufungua duka lako la vito, nenda kwenye Fursa na uchukue kadinamba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B12


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Kazi 1A13


Kazi 1Watoto wako wameanza shule <strong>ya</strong> sekondari na umekung’uta mifuko <strong>ya</strong>ko yote kulipia ada zao.Bado wanahitaji pesa kwa ajili <strong>ya</strong> vitabu na sare za shule, na bado unajaribu kuweka akiba <strong>ya</strong> kutoshalakini unaendelea kufan<strong>ya</strong> kazi usiku na mchana.<strong>ya</strong> kutofan<strong>ya</strong> tena ngono isiyo salama. Wanaume wengi wanapenda kufan<strong>ya</strong> bila kuvaa kondomuunahisi kuchoka na kukata tamaa, lakini unajua lazima uendelee kwenda kwa ajili <strong>ya</strong> watoto wako.Ukiwa umechelewa sana usiku mmoja baada <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi tangu asubuhi, na uko ta<strong>ya</strong>ri kurudinyumbani huku unahesabu mapato <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> siku, unasikia king’ora kile kile kilichozoeleka cha polisikikilia kuelekea kona <strong>ya</strong> mtaa wenu. Wanakuja kuwakamata tena. Kwa kukata tamaa, unawazaMWISHOHuu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<strong>Nama</strong>. Unapokuwa ta<strong>ya</strong>ri, muombe mwezeshaji akupe hadithi <strong>ya</strong> mwanamke mwingine.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B13


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>Fursa 1A14


Fursa 1Ukiwa nyumbani, unaangalia mbinu mp<strong>ya</strong> mbalimbali za kuongeza kipato chako na kuweka akibausiku ikihitajika kufan<strong>ya</strong> hivyo.Unajitosa kichwa kichwa na kupanga chumba kidogo mjini, na muda si mrefu unakijaza aina zote zavito. Wateja wanakuja kutoka maeneo yote <strong>ya</strong> karibu na polepole biashara inaongezeka. UnaanzaBiashara inaendelea kuimarika, lakini unaanza kujihisi mgonjwa. Unatapika karibu kila siku, naBaada <strong>ya</strong> mwezi mzima wa kuugua mfululizo, unajilazimisha kwenda hosipitali kupima af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ko.kuwaambia nini watoto wako? Utamtunzaje mtoto mwingine? Maisha <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>mekumbwa na nini?MWISHOHuu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<strong>Nama</strong>. Unapokuwa ta<strong>ya</strong>ri, muombe mwezeshaji akupe hadithi <strong>ya</strong> mwanamke mwingine.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Nama</strong> B14

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!