12.07.2015 Views

Hadithi ya Hadija Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Hadija Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Hadija Utambulisho - Raising Voices

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong><strong>Utambulisho</strong>A1


<strong>Utambulisho</strong>Jina langu naitwa <strong>Hadija</strong>, ni mwanamke mwenye furaha na mafanikio na nina watoto wakubwakuheshimiana.Sisi ni familia <strong>ya</strong> Kiislamu na tumewafundisha watoto wetu kuwa waaminifu kwa Allah na kuaminiwao, wanaendelea kusoma Kurani na kwenda kusali. Imani <strong>ya</strong>o na kujitoa kwao ni hamasa kwangu.Pia ninajitoa sana kazini kwangu. Kazi <strong>ya</strong>ngu inahitaji muda mwingi sana, kukiwa na mikutanoMsaidizi wetu wa kazi za nyumbani mara nyingi ndiye hutuandalia chakula na kuangalia mambo yote<strong>ya</strong> nyumbani. Sasa kwa sababu watoto wetu wamekwisha kuwa wakubwa, Ali na mimi hatutumiiMimi na mume wangu daima tumekuwa na mahusiano yenye furaha na uaminifu. Hata tunapokuwaidara <strong>ya</strong>ngu ambapo mambo <strong>ya</strong>lianza kubadilika…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B1


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Ukatili Watokea 1A2


Ukatili Watokea 1Ali anaanza kunung’unikatunapokuwa tunakula chakula cha usiku na asubuhi kabla <strong>ya</strong> sala. Anasemapunde utakapoisha msimu wa shughuli nyingi, lakini hufanikiwi kubadilisha hisia zake.Siku chache baadaye, unagundua kwamba kuna mtu anayevuruga simu <strong>ya</strong>ko, na mtu pekee unayehisikuwa anafan<strong>ya</strong> hivyo ni Ali. Unapomuuliza kuhusu hilo, anakujibu kwamba amekuwa na wasiwasikwamba unatembea na mwanamume mwingine, na hivyo anakagua simu ulizopigiwa na ujumbeChako ni changu na changu ni chako. Sisi ni kitu kimoja. Kwa nini hutaki nijue umekuwa unapigiwasimu na nani?”huwezi kuvunja uaminifu wako.uchukue kadi namba 1.Ikiwa unaamua kusahau habari hizo, nenda kwenye Songa Mbele na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B2


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Marafiki na Majirani 1A3


Marafiki na Majirani 1kupeana ushauri. Mmekuwa mkishirikishana siri zenu siku zote, lakini unahofu kuhusu kumwambiakwa Ali na jinsi alivyo na wasiwasi kuhusu mizunguuko <strong>ya</strong>ko na anavyochunguza simu <strong>ya</strong>ko.na mafanikio <strong>ya</strong>ko. Wanaume wengi wako namna hiyo na haimaanishi kwamba hakupendi. Jaribumaalumu kwa ajili yenu wawili tu. Ninyi ni miongoni mwa wanandoa bora zaidi ninao wafahamu.Mtalitatua hili.”kwa sababu mafanikio <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>mekufan<strong>ya</strong> usitulie nyumbani. Ili kurejesha kuwepo kwako nyumbani,unapanga kupumzika na kutoenda kazini siku inayofuata na kumshangaza kwa kumwandalia kifunguakinywa akipendacho. Hukujua kama mambo <strong>ya</strong>ngeenda viba<strong>ya</strong>…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B3


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Songa Mbele 1A4


Songa Mbele 1ghorofa <strong>ya</strong>ko kila asubuhi. Unaongeza juhudi zaidi za kuandaa na kuwasilisha mada kwa mikutano,unasoma zaidi kuhusu soko na ndani <strong>ya</strong> kipindi kifupi bosi wako anakupendekeza upandishwemigongano, angalau kazini unang’ara.Kupandishwa cheo kunakusababishia safari nyingi zaidi za kwenda nje <strong>ya</strong> jiji. Huna tena muda wakuhudumia watu wanaokuja kukutembelea siku za kazi na mara nyingi unafan<strong>ya</strong> kazi hata kwenyekukagua simu <strong>ya</strong>ko.Hata hivyo, kadri siku zinavyozidi kupita, inazidi kuwa vigumu zaidi na zaidi kutenganisha kazi namigogoro <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> ndoa. Kadri Ali anavyopunguza ukarimu kwako, ndivyo unazidi kuhisi mashaka.<strong>ya</strong>najaa machozi. Hutaki mtu yeyote ajue kinachoendelea, lakini unajua watu wameshagundua unachangamoto fulani.Usiku mmoja ukiwa njiani kutoka kazini kurudi nyumbani, unaamua kufan<strong>ya</strong> mazungumzouliyonayo inakulemea unapowazia jinsi gani umemkumbuka mumeo na umepita muda mrefu tangumfanye mapenzi.Unaamua kutokwenda kazini siku inayofuata na badala <strong>ya</strong>ke unaifan<strong>ya</strong> kuwa siku nzuri <strong>ya</strong> ninyimambo ha<strong>ya</strong>endi kama ulivyotazamia…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B4


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Ukatili Watokea 2A5


Ukatili Watokea 2kitandani, ukiwa umeshikilia trei <strong>ya</strong> chakula. Unainama kumnong’oneza Ali sikioni, ndipo anapoinukakutoka kitandani.“Nilikuwa nakuletea kifungua kinywa. Ni kile ukipendacho…”kushindwa kujua mke wangu anakutana na mwanaume mwingine?”mwanamume mwingine. Kwa nini unanionea wivu kiasi hiki?” Huwezi kujizuia lakini unatamani swali hiloasingelisikia, na unatambua kwamba umefan<strong>ya</strong> kosa kwa kumwangalia Ali usoni. “Mwanamke, wewe ni“Ali, umepatwa na nini?”kiasi kwamba unahisi kuishiwa pumzi.Unashikilia tumbo lako kwa maumivu kuku akiendelea kufoka, “Nitakuonyesha nani ni bosi,” na anabamizamlango wa chumbani cha kulalia.Ikiwa unaamua kwenda kwa imamu wenu ili kuomba ushauri, nenda kwenye Dini na uchukue kadinamba 1.Ikiwa unaamua kwenda tena kazini na kujifan<strong>ya</strong> kama vile hakuna chochote kiba<strong>ya</strong> kilichotokea,nenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B5


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Kazi 1A6


Kazi 1Sasa imekuwa vigumu sana kuimaliza siku bila kutokwa machozi. Inakulazimu kujiangalia kwenyekupigwa. Kiwango cha utendaji kazi kinashuka, na inakugharimu muda mrefu sana kukamilisha kilakazi unayofan<strong>ya</strong>. Unasikia kwa juu juu baadhi <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi wenzako wakinong’onezana kuhusuwewe na unatumai kuwa bosi wako bado hajagundua chochote.mmeanza hata kutazama tamthilia kwenye televisheni pamoja baada <strong>ya</strong> chakula cha jioni, kamana anakuomba radhi kwa yote ambayo amekutendea. Unaanza kupata amani unapoona Ali amerudi<strong>ya</strong>ko na kumsubiri arudi kwenye hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kawaida.Hata hivyo, fungate halidumu kwa muda mrefu. Majuma machache baadaye, Ali hajarudi nyumbanina ta<strong>ya</strong>ri ni usiku sana. Umejawa na hofu na umekaa macho jikoni ukinywa chai mpaka anapogongaanakukoromea huku akikusukumizia ukutani. “Ondoka karibu <strong>ya</strong>ngu. Unadhani ni wewe peke <strong>ya</strong>kondiye unayeweza kula raha?”si chochote zaidi <strong>ya</strong> kuwaka wivu. Hujui ni aina gani <strong>ya</strong> mume uliyempenda ambaye atarudi kilausiku, na unateseka na kuchoka kwa hofu…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B6


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Ukatili Watokea 3A7


Ukatili Watokea 3Huku ukiendelea kukonda, wasiwasi wako kuhusu ndoa <strong>ya</strong>ko na hofu juu <strong>ya</strong> usalama wako vinaanzakutawala ufahamu wako. Huwezi kuwa makini kwenye kazi, na bosi wako wa kazini amegunduahiyo. Anakwambia kwamba ubora wa kazi <strong>ya</strong>ko unapungua. Unamwambia umekuwa ukiwekezahutajipanga vizuri kuhakikisha mambo <strong>ya</strong>nafanikishwa utalazimika kuchukua likizo.kuwa hutachukua likizo la lazima. Anakwambia uondoke akikutolea tahadhari kwamba ataendeleaanakwambia ikiwa hutaki kupoteza kazi <strong>ya</strong>ko moja kwa moja, nenda likizoni hadi utakapojipangavizuri ta<strong>ya</strong>ri kuendelea na kazi.Ikiwa unaamua kuutumia muda huu kujua haki zako kisheria, nenda kwenye Huduma za Kisheriana uchukue kadi namba 1.Ikiwa umekasirishwa na mambo ambayo umekuwa ukifanyiwa na unaamua kutafutanyinginezo, nenda kwenye Elimu na uchukue kadi namba 1.fursa<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B7


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Dini 1A8


Dini 1Imamu wenu amekuwa akikupigia simu akishangaa kwa nini siku hizi mmekuwa hamhudhuriialiyonayo kwa kumtembelea.ni jambo gani limekuwa likikutenga nasi na kwa nini leo umekuja hapa.”“Nimekuja kuomba msaada. Ni kuhusu Ali.”Anatulia kukusikiliza ukiwa unamwaga machungu <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> miezi kadhaa iliyopita. Unaelezea jinsi wivuangekuwa na tabia aliyonayo siku hizi. Unamwambia kuishi kwako kwa hofu kumeanza kuathiri hataunavyozidi kutumia muda mrefu kukaa mbali na Allah, ndivyo utakavyozikosa baraka zake. Nendanyumbani katulie na mumeo na tafadhali, utakapokuja siku nyingine njoo na mumeo ili tuzungumzepamoja.”Ikiwa unaamua kujaribu kumshawishi Ali mwende tena kupata ushauri wa kidini, nenda kwenyeKurudi Nyumbani na uchukue kadi namba 1.Ikiwa unaamua kwamba kujikita zaidi kwenye kazi ndiyo njia bora zaidi, nenda kwenye Kazi nauchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B8


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Elimu 1A9


Elimu 1Unajua kwamba kwa sababu hufanyi kazi, muda si mrefu utachoka kukaa bila kazi. Kwa kuwa maranyingi Ali hayupo nyumbani, wala huwezi kujitoa zaidi kwake kama mke bora. Unafuta fursa nyinginekwa njia <strong>ya</strong> mtandao, lakini unagundua kwamba mwanamke wa umri wako hawezi kushindana naUnafurahi kwa kuona kuna uwezekano wa kupata nafasi za kujiendeleza zaidi kielimu na unatumawanaokufahamu, jambo linalokufan<strong>ya</strong> upate wazo la kuanzisha kampuni <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> ushauri wa kifedha.Lakini kabla hujaanza unapata majibu kutoka miongoni mwa maombi mengi uliyotuma kuombanafasi za masomo. Umepata nafasi <strong>ya</strong> kusoma kozi <strong>ya</strong> mwaka mmoja nje <strong>ya</strong> nchi. Unajawa na furahana unahisi utapumzika kwa muda wote wa kuwa nje, lakini bado miezi michache <strong>ya</strong> kusubiri kabla<strong>ya</strong> masomo kuanza.Hujui uanzie wapi kumwambia Ali kuhusu habari hiyo. Kwa jinsi alivyo siku hizi, haiwezekani hatakuhisi atalipokeaje suala lako na hata hujui atarudi nyumbani lini. Una uhakika hatafurahia kusikiakwamba unaondoka kwa kipindi cha mwaka mzima.uchukue kadi namba 2.Ikiwa unaamua kuchukua fursa na kumwambia Ali bila kusita, nenda kwenye Fursa na uchukuekadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B9


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Huduma za Kisheria 1A10


Huduma za Kisheria 1Ali ambaye amesababisha migogoro yote hiyo. Unaamua kutafuta ukweli kuhusu haki zako kisheria.ambayo umekuwa ukikumbana nayo nyumbani na kazini. Japokuwa anaanza kwa kumtetea baba<strong>ya</strong>ke, anakubali kuja nyumbani kwenye wikendi, na anapoona majeraha, anakubaliana na wewe.kiumri kuliko wewe na anaonekana anaitambua taaluma <strong>ya</strong>ke vizuri. Baada <strong>ya</strong> kumwelezea mkasawako, anakushangaza kwa kusema kwamba mchakato wa kufungua faili <strong>ya</strong> talaka sio mgumuna kwamba ataanza kuandaa makaratasi husika moja kwa moja. Unaogopeshwa na kasi mambo<strong>ya</strong>navyokwenda na unashangaa anawezaje kulifan<strong>ya</strong> jambo hili liwe rahisi kiasi hicho. Pia anatajakuhusu kufungua mashitaka dhidi <strong>ya</strong> bosi wako kwa man<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>so aliyokufanyia, lakini unaamuaUnaondoka huku n<strong>ya</strong>raka zikiwa mikononi mwako, ukihuzunika lakini unapata utulivu kwa kuonahadithi <strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong> wazazi wake ingeweza kugeuka jinsi hii.Ikiwa unaamua kwamba bado huko ta<strong>ya</strong>ri kwa talaka, lakinimabadiliko, nenda kwenye Elimu na uchukue kadi namba 1.unajihisikamabadounahitajiIkiwa unaamua kwamba unataka kabisa kuendelea na hatua za kutaka talaka, nenda kwenyeHuduma za Kisheria na uchukue kadi namba 2.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B10


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Kurudi Nyumbani 1A11


Kurudi Nyumbani 1Unapata tumaini kwamba kwa ushauri uliopata kwa imamu wenu, ndoa <strong>ya</strong>ko na Ali itaendeleakuimarika. Lakini inabidi kwanza, umshawishi Ali mwende pamoja kwa imamu. Siku moja unaamuakumwambia kuhusu jambo hilo, baada <strong>ya</strong> chakula cha jioni.unamwambia kuhusu ushauri na jinsi, kama Waislamu, mnavyopaswa kutafuta msaada kwa imamuwenu na kutoka kwa Allah. Unamkumbusha mambo mengi ambayo Allah amewahi kuwafanikishana kwamba ushauri unaweza kurejesha mahusiano yenu mazuri.kipeperushi kinachohusu faida za kuomba ushauri, lakini anakushika mkono na kuupinda hadimeza, kisha anatoka nje. Unakaa kim<strong>ya</strong> kwa bumbuwazi, huku umeshika kwa mkono jeraha kwenyekichwa chako.Unahisi kukosa tumaini na kuvunjika moyo. Hata kazini, ambako ulikuwa unafan<strong>ya</strong> vizuri, inakuwaNenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B11


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Fursa 1A12


Fursa 1Unajiandaa kwa lolote litakalotokea ukielekea kumuingilia Ali. Ni dhahiri kwamba hana muda wakuongea na wewe, unakwenda moja kwa moja kwenye mada husika.“Ali, nadhani itasaidia kila mmoja akikaa mbali kwa muda. Nimepewa fursa <strong>ya</strong> kwenda kusomanyuma kidogo na unajihami usije ukapigwa konde. Lakini Unapofungua macho <strong>ya</strong>ko unamwonabado anatazama televisheni.kukutazama kwa hasira, “Sina haja na chochote unachofan<strong>ya</strong>. Lakini kama utaondoka kwenyeunashukuru Mungu kwa kuwa hakukushambulia.<strong>ya</strong>ko Felista anakuja jioni moja kukuambia. Akitaraji utaangua kilio, ameshajiandaa kukusaidia, lakiniwewe hushangazwi na habari hiyo. Habari hiyo inakusaidia kujua amekuwa akilala wapi siku kadhawa kadha. Tena unapata furaha zaidi kwamba umefan<strong>ya</strong> uamuzi sahihi kwenda kusoma.Unapoondoka nyumbani kwa mara <strong>ya</strong> mwisho, unamwambia Ali amrudie Allah na kumuombani kwa nia njema, unaombolezea mwisho wa miaka ishirini <strong>ya</strong> mahusiano yenu na unalo tumainikwamba Mungu na watoto wako kama hawatakusamehe, angalau wataelewa uamuzi wako.MWISHOHuu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<strong>Hadija</strong>.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B12


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Huduma za Kisheria 2A13


Huduma za Kisheria 2Unaendelea kuwaza kuhusu mwanasheria uliyekutana naye na akazungumza na wewe juu <strong>ya</strong> talakana kuwa huru. Pia unatumia muda mwingi na Felista akikuelezea kuhusu talaka <strong>ya</strong>ke. Unaanzasana kuliko namna unavyopenda. Bado unahuzunika na hujui ufanye nini unapowazia kuvunja ndoa<strong>ya</strong>nakuponyoka, unaamua kuomba ushauri kwa wazazi wako.Nenda kwenye Familia na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B13


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Familia 1A14


Familia 1Wazazi wako kama kawaida, wanafurahi sana kukuona. Wanakwambia kwamba imekuwa mudamrefu sana tangu wawaone wajukuu wao na wanakushutumu kwa kuwa na shughuli nyingisana kiasi cha kushindwa kuwapeleka. Unapowakumbusha kwamba watoto wanasoma kwenyechuo kikuu, wanacheka na kuacha kuongelea hilo. Mama <strong>ya</strong>ko ndiye anagundua una michubukousoni. Anamuomba baba <strong>ya</strong>ko awaache peke yenu na anakusogelea kukuchunguza kwa makini.<strong>ya</strong>ko amekuwa akimpiga mara kadha wa kadha. Akipapasa nywele zako, anakwambia kwambaunatumia muda mwingi sana bila kuwa nyumbani. Anakukumbusha kwamba alikulea vizuri ili uwemwanamke bora na kwamba lazima kipaumbele kiwe ni familia <strong>ya</strong>ko kwanza.Unamwelezea kwamba unataka kudai talaka. Anaonekana kuhuzunika na anakukumbusha kwambamlifan<strong>ya</strong> viapo vyenu v<strong>ya</strong> ndoa mbele <strong>ya</strong> Allah, kwa shida na raha. Anakwambia kwamba kupewatalaka ni kosa kubwa na litaleta aibu kwa familia <strong>ya</strong>ko.Unakubali kwamba mama <strong>ya</strong>ko anasema ukweli . Hivyo, unarudi nyumbani kwa mumeo na unaahidinzuri lakini siku nyingine ni ngumu sana. Jambo pekee unaloweza kuendelea kufan<strong>ya</strong> ni kumuombaAllah alete mabadiliko.MWISHOHuu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<strong>Hadija</strong>.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B14


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong>Dini 2A15


Dini 2usalimiane nao na anakwambia kuhusu harambee <strong>ya</strong> kuchangisha pesa ambayo wanatarajia kuifan<strong>ya</strong>pembeni ili kuongea na wewe kwa faragha.“Nimekuwa nikiwaombea,” anaanza na unamwacha aongee bila kumkata kauli.Akirejelea Korani, anasoma kuhusu mke anavyopaswa kuwa mnyenyekevu kwa mume wake pamoja“Ninakushauri uache kazi <strong>ya</strong>ko. Acha kukimbiakimbia huku na huko, kutafuta mambo <strong>ya</strong> dunia<strong>ya</strong>kuridhishe, <strong>Hadija</strong>. Kaa nyumbani na uwe mke mwema.”nenda kwenye Familia na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Hadija</strong> B15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!