06.05.2016 Views

Chapter 75

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

not for sale<br />

R<br />

CHAPTER <strong>75</strong><br />

elationship yenu<br />

ules zenu!<br />

Pg 4<br />

Torch Smart<br />

Charlie Pele ana save<br />

village yake! Pg 12<br />

Jua rights<br />

zako!<br />

Ama ulale ndani!<br />

Pg 18<br />

Vanessa Mdee<br />

Usiogope maoni yako!


2<br />

Samuel Pizzicato Ukona mdomo kuwa mpaka unaongeanga na<br />

capital letter// Andrew Azim Odhiambo Dj B wewe ni mchoyo


mpaka Unajifichanga ndio umeze mate// Kwenu kuna<br />

insecurity hadi police station hufungwa saa kumi.<br />

3


4


‘<br />

5


6


kuna Garvin kiti kwa Sanchozil mathree//Muthuri Mingusa Vincent Dj we unaogopa Ujinga ni kijibaba wasee kupata wa 7<br />

gari K’ogalo imecrash hadi alafu wakiitisha kinawauliza #stoney kwani unatoroka imeanguka?//James mbio. Cashies //


aAdaye kwa<br />

maria kim...<br />

Karibu sana<br />

Shamala. Unajua Avie<br />

siku hizi ni neigbour<br />

wangu hapa?<br />

Amehamia huku...<br />

Wow! Nyinyi<br />

warembo mnapendana<br />

sana, hadi Avie<br />

amehamia huku!<br />

avie, mimi na<br />

shamala tuna asSignment<br />

ya shule tunataka<br />

ku-do chapchap. hope<br />

hauta-mind...<br />

ah-ah!<br />

si-mind!<br />

Avie, wewe na<br />

boyfie wako si<br />

mko rada!<br />

Na hata<br />

usitake jua venye<br />

Maria Kim<br />

huwasifu!<br />

haha!<br />

maria kim ndiye yuko<br />

rada! ye husema tu<br />

vitu poa kuhusu<br />

mabeshte wake. She’s<br />

such an angel!<br />

8


9


10


11


AKIBA HAOZI<br />

12<br />

Gadafi Nyaeri ujinga ni kuenda kwa shop nakuuliza ,unauzaaje bamba<br />

fifty//Josphine Sian Ujinga ni kutooga kifua juu roho ni safi//Irun-


GATES<br />

MONEY<br />

gu Mwangi ujinga ni kusema huna ndoo ili hali una mashilingi kwa<br />

kichwa//Prince Wilfixon Rotich Wilfie ujinga ni kuuliza condaa ka<br />

13


GATES<br />

MONEY<br />

14


GATES<br />

MONEY<br />

kuna kiti kwa mathree//Muthuri Vincent Ujinga ni kijibaba kupata gari<br />

imecrash alafu kinawauliza kwani imeanguka?//James Cashies Ujinga<br />

15


GATES<br />

MONEY<br />

16<br />

ni kutafuta police station kwa redio//Evans Gesura Ujinga ni<br />

kumeza mara moja mara mbili//Sifa James Ujinga ni kubuy kam-


GATES<br />

MONEY<br />

ba ya kwenda kujinyonga alafu unaitisha balance//Mafuniko Ruwa<br />

Ujinga n kufua nguo kwa maji ya moto ili ikauke haraka.//Nicholas<br />

17


18<br />

Murimi Ujinga ni kujiita sonko juu unaitwa mike.//Suzy Dembowz<br />

ujinga ni kubuy kiberiti na kutest ka zte znafanya//Gneiss Gemini


mnaenda ndani<br />

nyinyi wote!<br />

kwani<br />

tume-do?<br />

tulikuwa<br />

tu tunasikiza<br />

ngoma ya<br />

manlike!<br />

hakuna kitu<br />

tume-do!<br />

tembea!<br />

mtaongea<br />

mbele!<br />

ujinga ni kuuliza watchman ameamka aje.//Stephen Makanda Ujinga<br />

ni chali kuita dem yake honey na anaogopa nyuki<br />

19


20


afande ebu<br />

fikiria kama ingekuwa<br />

ni brathako kwa hii<br />

celL...<br />

brathangu<br />

aki mangamanga kama<br />

wewe, tafunga yeye<br />

mimi mwenyewe<br />

personalLy!<br />

nimesikia simu...<br />

nani ako<br />

na simu?<br />

hamtaki<br />

kusema ni nani?<br />

mnataka<br />

mchezo, eh?<br />

nitawaonyesha<br />

mchezo!<br />

21


Afande, tafadhali<br />

tuskize tu, tunaomba<br />

kwa upole.<br />

Afande, badala ya vijana<br />

kuonewa hivi, tungekuwa<br />

tunafanya kazi pamoja<br />

kumulika hawo wagondi<br />

mnatafuta...<br />

Kwa nini<br />

mnakuanga vichwa<br />

ngumu vijana? Sasa<br />

kupeana simu pia ni<br />

vita? Alafu<br />

tukiwa-arRest<br />

mnateta?!<br />

ComMunity<br />

policing afisa.<br />

Sisi hatuna<br />

ubaya<br />

Shida yenu<br />

vijana ni kuwa huwa<br />

mnakusanyika ovyo<br />

ovyo hadi mnakaA<br />

ma-suspects...<br />

MnafaA kufanya<br />

vitu za maAna na<br />

lives zenu.<br />

Hamtaona<br />

tukiwafunga...<br />

eh?<br />

wewe ni<br />

nani?<br />

excuse me!<br />

naitwa<br />

deEpti.<br />

nataka<br />

kujua<br />

mbona boyie<br />

ameshikwa!<br />

sikuUliza<br />

jina yako! nauliza<br />

wewe ni nani kwa<br />

hii nchi?<br />

chenye mnafanya<br />

hapa si halali! watu<br />

wameshikwa wako na<br />

rights! hamuwezi mkafanya<br />

tu chochote mnataka!<br />

kulingana na<br />

sheria, mtu ameshikwa<br />

lazima aAmbiwe, kwa<br />

lugha anaelewa, mbona<br />

ameshikwa. mbona<br />

umeshika boyie?<br />

madam huwezi<br />

nifunza kazi yangu!<br />

hawa walikuwa tu<br />

kwa barabara, lazima<br />

walikuwa wanapanga<br />

ujambazi!<br />

si ati kukufunza<br />

kazi yako! ni sheria<br />

ukitaka nikuonyeshe<br />

kwa simu, article 41<br />

ya katiba.<br />

ona...<br />

22<br />

phewks!<br />

heh! na huyu<br />

ni mjuaji<br />

kweli!


23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!