08.08.2016 Views

Chapter 78

Female marine pilot wa kwanza kenya. Cheki stori yake venye ame'make it kwa industry wasee wengi wanafeel ni ya wanaume..

Female marine pilot wa kwanza kenya. Cheki stori yake venye ame'make it kwa industry wasee wengi wanafeel ni ya wanaume..

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

2<br />

Eti bro ya maria ana kichwa big hadi akiingia kwa matatu anaagiza<br />

alipe kwanza ya kichwa mwili ni dscount..- georgy Gabriel


ujinga ni kuweka 4n crd ucall castomer care.//DJ B naskia ati<br />

wewe umekonda hadi unafunga socks na mshipi//Ujinga ni<br />

3


4<br />

kueka picha dactari kwa keja,ili maumivu yakizidi umuone<br />

dactari-anto Amasa//Linah from Taita - we n mref adi ukifanya


ujinga ni kuweka 4n crd ucall castomer care.//DJ B naskia ati<br />

wewe umekonda hadi unafunga socks na mshipi//Ujinga ni<br />

5


6<br />

ujinga ni kuweka 4n crd ucall castomer care.//DJ B naskia ati<br />

wewe umekonda hadi unafunga socks na mshipi//Ujinga ni


ujinga ni kuweka 4n crd ucall castomer care.//DJ B naskia ati<br />

wewe umekonda hadi unafunga socks na mshipi//Ujinga ni<br />

7


8<br />

koxa mungu anakupga ngoto//wewe hupenda kudish chakula<br />

kwubwa na nyingi hadi ukipewa chache unadai kutumia hand


lens ndo udish//Dj B ati budako ni fala first time yake kupanda<br />

ndege alisema shukisha apo junction.. by Royal Ambani//Ujiga<br />

9


10<br />

Hayawi Hayawi Huwa!


ni Ku complain Ati Dawa Ya Meno Iki Pada Na Ww N Kipokoyo//<br />

Baba ako ni fala alipeleka mbuzi kwa dentist ati inglewe Blue-<br />

11


12<br />

tooth//dj b wewe unakichwa big hadi ukiturn round mwili inaping<br />

turn mara mbili...hahah hauniwezi DJ B...BIG UP!


h, nawe! bado uko<br />

kwa hayo mambo ya cd?<br />

si nilifikiri tulisha tatua<br />

mwaka jana?<br />

Maria eti wewe uko mfupi hadi ukitaka kusmamisha gari unachuna<br />

gurudumu..- georgy//Victoria ni mrefu hadi anaweza<br />

13


14<br />

paka rangi kwa mawingu – georgy//Victoria ni mweusi hadi giza<br />

inamwambia manze wacha kuniaribia fashion... – georgy//Eti


MAONi YAKO Ni YEpi kuhusu Musa<br />

anavyo mchukulia sarah? Tuma maoni kwa<br />

20308 ukianza na neno “jyamusa” na<br />

unaweza jishindia ksh 1000.<br />

kutuma sms ni sare!<br />

15


16<br />

Gadafi Nyaeri Djb ati first tyme yako kwenda church uliulzwa kama<br />

unajua yesu ukadai eti”mm bado nmgeni hapa bado sjui watu wote


17


18<br />

Spicy Bae!


unajua mi<br />

hupenda kuongea<br />

na madem<br />

wana-do job<br />

hapa... kuhusu<br />

machali...<br />

kaA hapa<br />

uniambie...<br />

nimeona<br />

relationships<br />

ziki-fail hata<br />

kabla zianze. na<br />

ninajua wewe<br />

unatafuta...<br />

eh,<br />

mama stacey...<br />

unajua nafaA<br />

kukunja hizi<br />

towel zote!<br />

najua unahepa<br />

hii convo!<br />

umenipata!<br />

hii game si<br />

unaijua!<br />

yes,<br />

kaA hapa!<br />

sasa ebu<br />

niambie...<br />

uko<br />

m-young,<br />

single,<br />

spicy...<br />

hehe!<br />

acha za<br />

hizo!<br />

ninajua<br />

mob kukuhusu,<br />

nikikushow<br />

utashangaA!<br />

hii mambo<br />

yote<br />

kunihusu<br />

uliju aje?<br />

house ya kina Maria imejengwa na sembe hadi wakora wakija<br />

wanasema fungua ama tulete mboga...- georgy//<br />

19


jana ukiongea na<br />

maria kim nilikuwa<br />

pale nyuma. nilisikia<br />

kila kitu!<br />

what? aki wewe!<br />

napenda venye uko<br />

m-frank.<br />

ni juU<br />

naku-like.<br />

tena kwa sababu<br />

yako ma-boys wengi<br />

wana-come hapa<br />

kucharge simu zao...<br />

haha!<br />

kusema<br />

kweli natamani<br />

ku-meEt<br />

mr. right!<br />

naogopa<br />

ku-setTle na mtu<br />

hatakuwa<br />

comMitTed.<br />

aki usitafute<br />

tena. mimi bae<br />

wako niko hapa!<br />

chuxX!!<br />

kama una kitu ya<br />

kusema ingia hapa na<br />

useme face to face<br />

kama mwanaume!<br />

20<br />

Mafuniko Ruwa Ujinga n kufua nguo kwa maji ya moto ili ikauke haraka.//<br />

Obadiah Ropkip “Ati ww n mrefu hadi unapewa ugali na manati”


eh...<br />

ah...<br />

ku-charge<br />

simu ni<br />

15 bob...<br />

unaeza<br />

niwekea haka<br />

kasimu kangu<br />

kwa charger?<br />

15 bob<br />

pekeE?<br />

eh... nilikuwa<br />

na pesa hapa...<br />

unaeza chukua<br />

credit card ya<br />

ghetTo? siku hizi<br />

sibebi cash...<br />

haha! chuxX<br />

unanichekesha!<br />

ah, mama stacey<br />

nawe, kunianika!<br />

huwa ninalipa na<br />

card!<br />

lily weka simu<br />

yake kwa moto.<br />

yeye huwa<br />

simlipishi.<br />

unaona sasa?<br />

ku-get chali<br />

mpoa sio<br />

rahisi.<br />

kuna huyu<br />

mseE nimekuwa niki<br />

date, but sidhani ako<br />

ready ku-setTle.<br />

simuelewi aki! ako na<br />

bizna poa, boutique<br />

ya kuUza manguo...<br />

lakini macho zake<br />

hushinda tu kwa kila<br />

dem anapita!<br />

ukitaka kujua<br />

kama ako ready<br />

kusetTle, cheki kama<br />

ako keEn kukuprotect<br />

kutoke vitu<br />

ka diseses na mimba<br />

unexpected..<br />

Rabex Cynthia kwenyu mko wengi adi ikfka tym ya fudi mnakol<br />

regsta kwanza . macho zako n red adi zinaivisha nyama!<br />

21


saja, uki-get<br />

cd kwa bag yangu<br />

uta-react aje? vi<br />

honest...<br />

ati?!<br />

wewe na<br />

cd?!<br />

kama hivo<br />

ndio ali react,<br />

ah-ah. kama mseE<br />

hayuko tayari<br />

kuku-protect,<br />

huyo sio marRiage<br />

material!<br />

baAda ya wiki<br />

moja hivi...<br />

22<br />

malaika...


...nakupenda...<br />

...malaika...<br />

...nami<br />

nifanyeje...<br />

...ningekuoa<br />

malaika...<br />

haiya!<br />

saja!<br />

najua mi ni<br />

ex wako, lakini roho<br />

imekataA kukuacha!<br />

nime-invite hawa watu<br />

wote ndio<br />

niku-surprise!<br />

Lily, wilL<br />

you marRy<br />

me?<br />

eEeh...<br />

aAah...<br />

Relationship<br />

yako inaweza kuwa<br />

afFected aje kama your<br />

plus one ako against<br />

mambo ya protection?"<br />

Text maoni yako kwa to<br />

20308 ukianza na word<br />

#SpicyBae na unaeza<br />

shinda ksh. 1000.<br />

Ku-text ni freE.<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!