12.12.2012 Views

13. NABII YONA

13. NABII YONA

13. NABII YONA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Wote wakaanza kumwuliza: “Kazi yako ni kazi gani? nawe umetoka wapi? nchi yako<br />

ni nchi ipi? nawe u mtu wa kabila gani?” (mstari 8).<br />

Ni hapo sasa Yona alipoamka kabisa. Mawimbi hayakumhofisha Yona, maana<br />

aliwaambia, “Nami namcha BWANA, Mungu wa mbingu, aliyeziumba bahari na nchi<br />

kavu” ( mstari 9). Alikiri kuwa alikuwa amejaribu kuutoroka uso wa BWANA na watu wale<br />

wakaogopa mno walipotambua nguvu za Mungu ambaye Yona alimwabudu. Ni lazima jambo<br />

fulani litendeke, maana bahari ilikuwa inazidi kuchafuka na tufani ikiongezeka zaidi.Basi<br />

wakamwuliza, “Basi tukutende nini, ili bahari itutulilie?” ( mstari 11). Naye akawajibu,<br />

“Nikamateni, mnitupe baharini; basi bahari itawatulilia; kwa maana ninajua ya kuwa ni<br />

kwa ajili yangu tufani hii imewapata” (mstari 12).<br />

Na ingawa watu walikuwa na nia na hofu ya kutaka kuokoa maisha yao, wazo hili la<br />

kumtupa kwa makusudi Yona baharini liliwaogopesha sana. Walijaribu kuipeleka meli<br />

kuelekea nchi kavu, lakini walishindwa. Watu wakamlilia BWANA. Ikaonekana kuwa ni lazima<br />

wafanye kama Yona alivyokuwa amewaambia, uku wakimwomba ili Mungu asiwahsabie<br />

dhambi hiyo, maana walimwamini Yona, kuwa ni Mungu aliyeleta mawimbi hayo kw sbabu<br />

yake.<br />

Basi wakamkata Yona, wakamtupa baharini nayo bahari ikatulia. Yoha alikuwa ameongea<br />

kweli-Mungu wake ni kwelindiye aliyeumba bahari na nchi kavu. Wakamtolea dhmbihu ili<br />

kuonyesha shukrani na wakeweka nadhiri ya kumtumikia BWANA. Kwa hiyo wale watu<br />

wakapona kwa kuwa walimpeleka katika mauti.<br />

Hata hivyo, Yona hakufa, Kwa upendo na rehema za ajabu, alikuwa ameshamwadaa<br />

samaki mkubwa kummeza .Yona akawa katika tumbo la la samaki yule mkubwa muda siku<br />

tatu mchanana usiku.<br />

<strong>YONA</strong> ANALITII NENO LA MUNGU: Yona 2 na 3<br />

Wakati Yona kw mwujiza alikuwa ndani tumbo la samaki mkubwa,alimkumbuka<br />

Mungu,na akakumbu upumbavu wake wa kujaribu kukimbia ili asifanye kazi ya<br />

Mungu.Aliomba na Mungu akamsamehe, akaahidi kuwa atafanya kama Mungu<br />

alivyomwagiza.Kwa hiyo Yoona akajinyenyekeza na akatumbu kwa kutokutii agizo la Mungu.<br />

“BWANA akasema na yule samaki, naye kmtapika Yona pwani” (Yona 2:10).<br />

Ndipo neno la BWANA likamjia Yona mara ya pili, akiagizwa aondoke akarihubiri neno la<br />

Mungu kule Ninawi. Ulikuwa ni mji mkubwa sana, yapata kama km 80 mzunguko wake. Ikawa<br />

Yona alipoingia katika mji alianza kupaza sauti yake ili kila mmoja asikie, “Baada ya siku<br />

arobaini Ninawi utaangamizwa” (mstari 3:4)<br />

Watu wa Ninawi wakaogopa sana hiyo hukumu ambayo Yona alikuwa anaitangaza nao<br />

“wakamwamini Mungu”<br />

Na ikawa Mfalme aliposikia habari hii akaondoka katika kiti cha enzi akavua mavazi yake<br />

ya kifalme akavaa magunia na akakaa katika majivu, hii ikiwa ni ishara ya huzuni na<br />

kutubu.Na watu wote kuanzia aliyekuwa mdogo mpaka aliyekuwa mkuu, wakafanya hivyo<br />

hivyo.Mfalme akatangaza kuwa kila mtu asile chakula na “wakamlilie Mungu kwa nguvu”<br />

na wageuke, wakaache njia zao mbaya.Mfalme wa Ninawi akasema, “Ni nani ajuaye<br />

kwamba Mungu hatageuka na kughairi, a kuiacha hasira yake kali, ili tusiangamizwe?”<br />

(mstari 9)<br />

Mungu alipoona jinsi walivyotubu na kugeuka kuziacha njia zao mbaya, kwa kweli Mungu<br />

aliwaonyesha rehema na hakuwaangamiza.<br />

FUNDISHO KWETU<br />

Habari hiiinazungumzia sana kuhusu kutubu.Mungu aliwataka watu wa Ninawi watubu<br />

kwa ajili ya njia zao mbaya au Mungu awaangamize.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!