Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
5. Ni jinsi gani mabaharia walivyojua kuwa Yona ndiye wakulaumiwa kwa ajili ya mawimbi<br />
yale?<br />
6. Je! Yona alimwabudu nani?<br />
7. Yona aliwaambia mabaharia wamfanyaje?<br />
8. Mabaharia walifanya nini kabla ya kumtupa Yona baharini?<br />
9. Palitokea nini baada ya mabaharia kumtupa Yona baharini?<br />
10. Yona hakufa katika maji Ilitokea nini kwake?<br />
11. Yona alikwenda wapi baada ya kufika nchi kavu?<br />
12. Watu wa Ninawi walifanya nini baada ya kusikia ujumbe wa Yona?<br />
Majibu ya Kina<br />
<strong>13.</strong> Yona alijaribu kutoroka asifanye kazi aliyoagizwa na Mungu?<br />
(a) Ni kwa nini alijaribu kutoroka uso wa Mungu?<br />
(b) Yona alifanya nini?<br />
14. Eleza palitokea nini wakati Mungu alipotuma mawimbi ya tufani kubwa na jinsi Yona<br />
alivyofika nchi kavu salama?<br />
15. Eleza kilichotokea wakati Yona alipofika Ninawi?<br />
Majibu ya Nyongeza<br />
16. (a) Nini maana ya kutubu?<br />
(b) Ni kwa watu gani ambao Mungu anawaonyesha rehema?<br />
(c) Je! hili linatusaidiaje sisi?