12.12.2012 Views

13. NABII YONA

13. NABII YONA

13. NABII YONA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

5. Ni jinsi gani mabaharia walivyojua kuwa Yona ndiye wakulaumiwa kwa ajili ya mawimbi<br />

yale?<br />

6. Je! Yona alimwabudu nani?<br />

7. Yona aliwaambia mabaharia wamfanyaje?<br />

8. Mabaharia walifanya nini kabla ya kumtupa Yona baharini?<br />

9. Palitokea nini baada ya mabaharia kumtupa Yona baharini?<br />

10. Yona hakufa katika maji Ilitokea nini kwake?<br />

11. Yona alikwenda wapi baada ya kufika nchi kavu?<br />

12. Watu wa Ninawi walifanya nini baada ya kusikia ujumbe wa Yona?<br />

Majibu ya Kina<br />

<strong>13.</strong> Yona alijaribu kutoroka asifanye kazi aliyoagizwa na Mungu?<br />

(a) Ni kwa nini alijaribu kutoroka uso wa Mungu?<br />

(b) Yona alifanya nini?<br />

14. Eleza palitokea nini wakati Mungu alipotuma mawimbi ya tufani kubwa na jinsi Yona<br />

alivyofika nchi kavu salama?<br />

15. Eleza kilichotokea wakati Yona alipofika Ninawi?<br />

Majibu ya Nyongeza<br />

16. (a) Nini maana ya kutubu?<br />

(b) Ni kwa watu gani ambao Mungu anawaonyesha rehema?<br />

(c) Je! hili linatusaidiaje sisi?

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!