17.12.2012 Views

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI - The 4-H Global Knowledge Center

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI - The 4-H Global Knowledge Center

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI - The 4-H Global Knowledge Center

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mbinu za kudhibiti ugonjwa huu ni kuendesha mzunguko (crop<br />

rotation) wa muda mrefu wa mazao pamoja na kuzuia kutuama kwa<br />

maji shambani. Kupunguza msongamano wa mazao shambani na<br />

matumizi ya mbolea zenye calcium, phosphate and potassium<br />

hupunguza kuenea kwa ugonjwa huu. Kwa upande mwingine,<br />

matumizi ya mbolea ya nitrojeni kwa wingi au kwa kiasi pungufu<br />

uongeza mlipuko wa magonjwa. Viatilifu kama vile Mancozeb<br />

hutumika kuzuia mashmbulizi ya ugonjwa huu.<br />

2. Ukungu wa unga (powdery mildew) na wa chini (Downy<br />

mildew)<br />

Magonjwa haya hushambulia majani ya mimea shamabani na hata<br />

miche michanga. Kwenye majani kunaonekana vidoa vyeupe hasa<br />

kwenye majani makuu ya mimea michanga. Ukungu mweupe<br />

unatokea na kuongezeka kwa haraka kwenye sehemu au nyakati za<br />

baridi. Viini huishi kwenye mabaki ya mimea ya vitunguu na huweza<br />

kupeperushwa mbali na upepo. Kwenye mimea michanga ugonjwa<br />

unaweza kudhibitiwa na madawa kama mancozeb.<br />

3. Kuoza kwa vitunguu (bulb rots)<br />

Hali hii inaweza kutokea shambani au wakati wa hifadhi ghalani.<br />

Ugonjwa huu ni hatari zaidi kwenye sehemu za joto na zenye<br />

kutuamisha maji. Ni vyema kuhakikisha kwamba shambani hakuna<br />

hali ya kutuamisha maji na pia kwenye ghala kunakuwa na hali nzuri<br />

ya mzuunguko wa hewa.<br />

Udhibiti wa wadudu<br />

Utitiri wa vitunguu (Onion thrips), Funza wa vitunguu (Onion<br />

maggots) na Minyoo wa vitunguu (Onion wireworms) ni miongoni<br />

mwa wadudu wasumbufu kwenye zao la kitunguu.<br />

1. Utitiri wa vitunguu (Onion thrips)<br />

Hawa ni wadudu wadogodogo sana ambao hula kwa kukwaruza juu<br />

ya jani na kunyonya majimaji ya kwenye mmea. Hali husababisha<br />

kutoka kwa mikwaruzo meupe kwenye majani ya vitunguu.<br />

Mashambulizi yakizidi majani huanguka na kunyauka. Ukubwa wa<br />

vitunguu hupungua. Hili ni tatizo kubwa zaidi hasa wakati wa ukame<br />

kuliko wakati wa unyevu.<br />

Utitiri wa vitunguu Madhara ya utitiri<br />

2. Bungua weupe (White grub)<br />

Huyu ni aina ya funza mkubwa. Hutaga mayai yake kwenye uozo wa<br />

majani na samadi na hivyo mashamba ya vitunguu yaliyoko karibu<br />

au kwenye maeneo ya jinsi hiyo huwa kwenye hatari zaidi.<br />

Hushambulia mizizi na kusababisha kukauka kwa mimea. Kutifulia<br />

shamba na kuwaweka wazi wadudu hawa kunapunguza idadi yao.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!