constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Thank you very much Dr. Saja, we have collected your views. We haven’t had a lady at giving her views,<br />
so I would like to call Julia Wanjiru. Ninamwita mama Julia Wanjiru na ninafikiri atakuja na mwenzake Beatrice Wambui, sawa<br />
kutoa maoni yao, karibu mama. Wewe ni wa kwanza leo kutapa maoni ya kina mama. Kwa hivyo twakukaribisha kwa njia<br />
maalumu.<br />
Julia Wanjiru: (In vanacular)<br />
Translator: Habari zenyu. Nimekuja hapa kwa sababu ya yale shida tumepata tukiwa wamama. Mimi ninauza mboga hapa<br />
nje, nimekosa mahali ninaweza kuuzia mboga ninaweka hapa nje halafu City Council ikikuja inambeba na mboga yangu.<br />
Nikiangalie ninaona shida inazidi kuendelea kwetu. Pendekezo langu ni City Council ituonyeshe mahali tunaweza kuwa tunauzia<br />
mboga zao ndio ikitukuta isiweze kutushika au kutufukuza. Ya pili ni vijana wale tuko nao, wameletewa pombe inakaa kamba<br />
maji na wanakunywa hovyo hovyo. Ninapendekeza hiyo pombe imekuja kuharibu vijana ifungwe kabisa, akiwa na bibi ama<br />
watoto hawawezi enda shule, Ninapendekeza hiyo pombe imalizwe kabisa.<br />
Interjection: Anaseme ni pombe gani?<br />
Julia Wanjiru (translator): Hiyo pombe inaitwa kali kali ama kumi kumi, inaharibu kila mtoto kabisa kabisa hata wale wa<br />
miaka kumi hata wa miaka miwili. Bunge nayo iweze kuongeza vitu vya akina mama ndio waweze kuwa wengi bungeni ndio<br />
waweze kutusaidia. Hata tukichaguana, hawaoni watu wa kutusaidia wale wamewachagua. Wale tumewachagua wakipewa<br />
kitu waweze kuja chini kuwaletea wale wamama wazee wako kwa nyumba zikitoka nje. Sina mengi ni hayo tu.<br />
Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Thank you very much, asante kwa kututafsiria maoni ya mama Julia Wanjiru. Joseph Karangu. Beatrice<br />
Wambui, karibu.<br />
Beatrice Wambui: Sasa mimi nikona shida. Ile taabu mimi niko nayo ni kwa shauri mimi ninaitisha uhuru, lakini kutoka 1963<br />
bado kuona uhuru na macho yangu, bado kuona hata leo kwa maana mimi ninafanya kazi, ninapanda kahawa, na hapana ona<br />
pesa na kwa majani hapana ona pesa, nikawacha hiyo kazi. Sasa nikaenda kwa soko, nikanunua mandizi niende Githurai,<br />
nikifika hapa stage, council inataka pesa na hii mandizi ni ndizi bado iva. Haya nikikuja kwa kuuzia, hapana iko pahali ya<br />
kuuzia, nikauliza hii uhuru ilikuwa ya namna gani na mimi nilikuwa ninafikiri hii uhuru ni kitu muhimu, kitu ya kukaa chini, kitu ya<br />
kukula kila kitu. Iko shida ingine.<br />
Interjection: Inaudible<br />
Beatrice: Uhuru nilikuwa ninafikiri hiyo kahawa ndio uhuru kwa maana ninavuna hiyo mavuno napeleka huko halafu pesa<br />
inakuja. Hata kama mimi sina kahawa wewe uko nayo, sindio.<br />
32