28.02.2013 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Asante sana mzee. Kitu kimoja tu umesema elimu iwe bure, matibaba ni bure.<br />

Andrea Ogutu: Shamba ni bure.<br />

Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Tusifikirie shamba, masomo na matibabu ni sawa , vipi tutapata shamba bure unajua hivi sasa yanamilikiwa<br />

na watu, tupate vipi mashamba ya kuwapa wanainchi, njia gani tufauate.<br />

Andrea Ogutu: Utapata majibu haraka sana. Iko watu fulani hapa Jamhuri ya Kenya, wengine wako na acre karibu milioni.<br />

(clapping) Hapa Jamhuri ya Kenya, iko tumbo imenona inataka kupasuka, wamenyanganya wanainchi shamba yao.<br />

Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Tufanye nini sasa?<br />

Andrea Ogutu: Sasa huyu Kiongozi wa sasa ako na crown kwa kichwa anyan’ganye hao watu, arudishie wanainchi shamba<br />

yao ile walin’ganywa, hiyo ndio inafanya wananchi wanakonda. Na mambo ya pili wale wanakula misaada ya wanainchi at<br />

wanatumikiwa wanainchi ni wauongo. Je, akiwa anatumia wanainchi kwa nini hapana tafuta njia ya kutoa chokora masikini,<br />

ujinga na kadhalika. Kwa nini amenyamaza kimya na mshahara ana bomoa kila mwezi. Kwa hivyo mimi ninastaki watu kama<br />

nyinyi, ninataka munijibu maswahi, mshahara hiyo mnakula, munasaidia wanainchi ya nini na nyinyi mko chini ya sheria ya<br />

wanainchi. Ya pili na ninataka nyinyi wote kama amri yangu afutwe kazi wote wawekwe wale wapya wale wanaweza<br />

kutumikia wanainchi. Maoni yangu ndio hayo. Tena siku hizi uskiku iko na hali ya hatari, akikutana na mkora na aone hauna<br />

pesa, unakatwa katwa na panga, ukikutana na polisi akute hauna pesa, anapeleka wewe kotini na jaji pia ako na polisi, wako<br />

pamoja.<br />

Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Hapo tufanye nini, umesema jambo muhimu, tufanye kitu gani habari hiyo ya amani?<br />

Andrea Ogutu: Ya amani, ni kuitii sheria ya Mungu. Kwa sababu ya sheria ya Mungu katika bibilia kutoka ishirini na moja<br />

iko sheria nyingi sana hapo na hiyo sheria imeandikwa hapo kanisa saa zingine inaongeza yao ya uongo ya kunyonya wanainchi.<br />

Kuitii sheria ya Mungu ndio inaweza kusaidia sisi kwa kila njia. Kwa masikini, masomo iwe bure, matibabu iwe bure,<br />

wamasikini wapate nafasi ya kujisaidie wenyewe. Maoni yangu ninaomba warudishe sheria ya Jaramogi Oginga Odinga ndio<br />

inaleta sheria ya kutosha.<br />

Pr<strong>of</strong>: Idha Salim: Asante sana mzee Adrea kwa maoni yako, twakushukuru sana. Tukiendelea mbele tutulie kidogo. Joshua<br />

Opondo, karibu.<br />

Joshua Opondo. I will give my views on Education. I want in our new Constitution that the people <strong>of</strong> Kenya will declare that<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!