Notes to the Financial Statements (cont'd) - Kenya Airways
Notes to the Financial Statements (cont'd) - Kenya Airways
Notes to the Financial Statements (cont'd) - Kenya Airways
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
KENYA AIRWAYS LIMITED | ANNUAL REPORT & FINANCIAL STATEMENTS 2011 KENYA AIRWAYS LIMITED | ANNUAL REPORT & FINANCIAL STATEMENTS 2011<br />
Taarifa ya Afisa Mkuu Mtendaji<br />
Taarifa ya Afisa Mkuu Mtendaji (unaendelea)<br />
300,000<br />
280,000<br />
260,000<br />
240,000<br />
220,000<br />
200,000<br />
Kipindi cha matumizi ya fedha cha 2010/2011kilikuwa<br />
na changamo<strong>to</strong> nyingi kwa <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong>. Kumekua na<br />
ushindani mkubwa katika sekta ya usafiri wa ndege katika<br />
soko letu, huku washindani kadha wakianzisha huduma zao<br />
katika ngome yetu ya <strong>Kenya</strong>. Sisi katika <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong><br />
hata hivyo, tunaamini kuwa, mradi tu kuna mazingira sawa<br />
ya kuhudumu, tuko radhi kushindana. Mashindano ni bora<br />
na ni muhimu kwa Mteja.<br />
Gharama ya juu ya mafuta ya ndege inaendelea kuwa tisho<br />
kubwa kwa faida katika sekta ya ndege na, kwa bahati<br />
mbaya, kupanda kwa bei ya mafuta kufuatia msukosuko<br />
wa kisiasa katika baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati na<br />
mashambulizi ya kijeshi nchini Libya zimekuwa na athari<br />
kubwa na ya moja kwa moja kwa sekta hii.<br />
Miezi mitatu ya mwisho ya mwaka ilimalizika huku pipa<br />
moja ya mafuta ikiuzwa kwa Dola 106, ambayo ni nyongeza<br />
ya asilimia 33, ikilinganishwa na kiwango cha wastani cha<br />
awali cha Dola79.4 katika miezi minne iliyotangulia. Mafuta<br />
tayari yanachukua <strong>the</strong>luthi moja ya gharama za shirika hili<br />
na kulingana na IATA, kila nyongeza ya dola katika bei ya<br />
mafuta ina<strong>to</strong>a changamo<strong>to</strong> kwa mashirika ya ndege kupata<br />
Dola 1.6bilioni kama gharama za ziada.<br />
Kufuatia hali hii, ni jambo la kujivunia kwamba, <strong>Kenya</strong><br />
<strong>Airways</strong> imeendelea kupata faida. Wahudumu wa <strong>Kenya</strong><br />
<strong>Airways</strong> hata hivyo wanakiri kuwa, licha ya ma<strong>to</strong>keo hayo<br />
mema, hatuna budi kukabiliana na changamo<strong>to</strong> zilizopo na<br />
zile zitakazoibuka siku sijazo.<br />
Tunafahamu kuwa, kushughulikia tu changamo<strong>to</strong> hizo<br />
haku<strong>to</strong>shi-tunapasa kuzitarajia. Ili tuweze kufaulu katika<br />
sekta hii, tunapasa kukumbatia dhana ya mabadiliko ya<br />
10/11<br />
mara kwa mara kuhusu namna tunavyoendesha shughuli<br />
zetu. Hii inapasa kuhusisha mabadiliko kwenye taratibu<br />
zetu za biashara ili kuwa rahisi kubadilika na kulenga<br />
09/10<br />
ku<strong>to</strong>sheleza mteja.<br />
MAELEZO YA KIBIASHARA<br />
APR APR JUN JUL AUG SEP OCT NOV DEC JAN FEB MAR<br />
Katika kipindi cha matumizi ya fedha cha 2010/11,<br />
<strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> ilisafirisha jumla ya abiria 3.136 milioni<br />
ikilinganishwa na abiria 2.890 milioni mwaka uliotangulia,<br />
na hivyo kuimarika kwa asilimia 8.5. Mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>ka kwa<br />
abiria yaliongezeka kwa asilimia 20 ikilinganishwa na<br />
mwaka uliotangulia na hii ime<strong>to</strong>kana na wateja waaminifu,<br />
upanuzi wa mtandao wa maeneo tunakohudumu na<br />
nyongeza ya idadi ya safari kwa maeneo fulani pamoja na<br />
kuimarika kwa utendakazi.<br />
Kiwango cha mizigo pia kiligonga tani 56,401 ikilinganishwa<br />
na tani 55,201 mwaka uliotangulia. Mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>kana na<br />
mizigo yalipanda kwa asilimia 19.6 ku<strong>to</strong>ka mwaka uliopita.<br />
Mchoro wa idadi ya abiria ku<strong>to</strong>ka Aprili 10 hadi Machi 11<br />
ikilinganishwa na kipindi sawa na hicho mwaka uliotangulia.<br />
300,000<br />
280,000<br />
260,000<br />
240,000<br />
220,000<br />
200,000<br />
Pax Revenue Kshs mil<br />
Idadi ya wasafiri<br />
Mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>ka kwa wasafiri<br />
Mchoro wa tani za mizigo/vifurushi ku<strong>to</strong>ka Aprili 10 hadi<br />
Machi11 ikilinganishwa na kipindi sawa na hicho mwaka<br />
uliotangulia.<br />
Uzani wa mizigo na barua<br />
Cargo Revenue Kshs mil<br />
80,000<br />
60,000<br />
40,000<br />
5,500<br />
5,000<br />
4,500<br />
4,000<br />
3,500<br />
3,000<br />
6,000<br />
5,000<br />
4,000<br />
APR APR JUN JUL AUG SEP OCT NOV DEC JAN FEB MAR<br />
62838<br />
6,421<br />
12,517<br />
Mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>ka kwa mizigo na barua<br />
10/11<br />
09/10<br />
4,543 1,553 75,355<br />
Actual 2010 RPK’s Yield Exch Rate O<strong>the</strong>rs Actual<br />
2011<br />
APR APR JUN JUL AUG SEP OCT NOV DEC JAN FEB MAR<br />
5,434 118<br />
706<br />
1,088<br />
10/11<br />
09/10<br />
264 6,522<br />
Actual 2010 Tonnage Yield Exch Rate Actual<br />
2011<br />
5,500<br />
5,000<br />
4,500<br />
4,000<br />
3,500<br />
3,000<br />
Mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>kana na huduma za biashara kupitia mtandao<br />
ziliimarika kwa asilimia 108, zaidi ya mwaka uliotangulia<br />
na mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>kana na mauzo kwenye mtandao<br />
yameendelea kukua.<br />
3,000<br />
2,500<br />
2,000<br />
1,500<br />
1,000<br />
500<br />
0<br />
Mauzo kwenye mtandao<br />
APR APR JUN JUL AUG SEP OCT NOV DEC JAN FEB MAR<br />
APR APR JUN JUL AUG SEP OCT NOV DEC JAN FEB MAR<br />
2010-2011<br />
2009-2010<br />
Kituo cha mawasiliano<br />
Katika kipindi tunachotathmini, <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> ilianzisha<br />
kituo cha mawasiliano kinachohudumu kwa masaa 24<br />
eneo la Embakasi kwa wateja wake. Huduma kwa wateja<br />
zinazo<strong>to</strong>lewa katika kituo hicho ni pamoja na:<br />
• Kutuma maombi ya kuweka nafasi ya kusafiri<br />
• Kukata tikiti, kwa wateja wanaoweza kununua tikiti<br />
wakitumia kadi zao, mfumo wa kutuma pesa kwa njia<br />
ya elektroniki kwa kutimia Mpesa/Airtel<br />
• Wasafiri wa mara kwa mara,<br />
• Maswali yoyote kuhusu mizigo<br />
• Msaada kwa mauzo kupitia intaneti na,<br />
• Maswali ya jumla, shukrani, malalamishi na madai.<br />
Shughuli zote zinazohusiana na huduma zilizotajwa juu<br />
zinatekelezwa kupitia kwa simu. Nafasi za kibiashara<br />
zinapatikana kupitia simu za ku<strong>to</strong>ka na kuenda nje ya<br />
kampuni na mawasiliano kupitia barua pepe, na hivyo<br />
kuimarisha utendaji kazi na huduma kwa wateja.<br />
Njia hizo zilizoangaziwa za kuwasiliana na wateja wetu<br />
zimeongeza mapa<strong>to</strong> ku<strong>to</strong>kana na mauzo ya tikiti mwezi<br />
baada ya mwingine, na nafasi zaidi za mauzo zinaendelea<br />
kutambuliwa na kupatikana na kundi la mauzo la KQ.<br />
Wateja wetu sasa wamefahamu kuhusu huduma<br />
zipatikanazo katika kituo chetu cha mawasiliano, na imani<br />
yao kwetu inaendelea kuimarika.<br />
120,000<br />
100,000<br />
80,000<br />
60,000<br />
40,000<br />
20,000<br />
0<br />
Apr - 10 110,116<br />
Simu zinazopigwa kwa mwezi- kutengewa nafasi<br />
34,080<br />
May - 10<br />
37,256<br />
Jun - 10<br />
43,230<br />
Jul - 10<br />
42,411<br />
Aug - 10<br />
10/11<br />
09/10<br />
41,225<br />
Sep - 10<br />
36,515<br />
Oct - 10<br />
44,293<br />
Nov - 10<br />
57,023<br />
Dec - 10<br />
36,060<br />
Jan - 11<br />
38,863<br />
Feb - 11<br />
46,597<br />
Mar - 11<br />
12,000<br />
10,000<br />
8,000<br />
6,000<br />
4,000<br />
2,000<br />
0<br />
Apr - 10 6,078<br />
5,171<br />
May - 10<br />
Simu zinazoingia kwa mwezi – Flying Blue<br />
7,894<br />
Jun - 10<br />
10,605<br />
Jul - 10<br />
8,864<br />
Aug - 10<br />
6,884<br />
Sep - 10<br />
Ufadhili<br />
Ufadhili wa kampuni katika kipindi kinachoangaziwa<br />
ulikuwa kwa Golf Safaris na timu ya raga ya <strong>Kenya</strong>.<br />
KQ Golf Safari<br />
KQ Golf Safari ya 2010-2011 iliyoanzishwa Kampala -<br />
Uganda mnamo Agosti 2010. Shindano la fainali liliandaliwa<br />
Johannesburg, Afrika Kusini mnamo Machi 5, 2011, ikifuatiwa<br />
na fainali zilizoandaliwa Nairobi mnamo Machi 26, 2011<br />
katika Muthaiga Golf Club. Fainali hizo zilihusisha washindi<br />
katika mataifa yote 12 (mataifa ambapo mashindano hayo<br />
yaliandaliwa kama vile Uganda, Tanzania, Ethiopia, Afrika<br />
Kusini, Cameroon, Botswana, Zambia - katika Lusaka na<br />
Ndola, Senegal, Zimbabwe, Nairobi na Malawi) na klabu<br />
kumi (vilabu vya gofu vilivyoshiriki) nchini <strong>Kenya</strong>. Hii ni<br />
mojawapo ya mashindano maarufu kwenye ratiba yetu na<br />
yalifanikiwa.<br />
Timu ya raga ya <strong>Kenya</strong><br />
Timu ya <strong>Kenya</strong> ya raga ilishiriki kwenye msururu wa<br />
mashindano ya IRB. Mkondo wa kwanza wa msururu<br />
huo uliandaliwa Dubai na Afrika Kusini, mkondo wa pili<br />
ukaandaliwa New Zealand na Vegas, USA, ilhali mikondo<br />
mingine iliandaliwa Hong Kong (Machi 25- 27, 2011) na<br />
Australia (Aprili 2 -3 2011). Kabla ya kuondoka kwa timu ya<br />
raga ya <strong>Kenya</strong> kwa mkondo wa pili, Afisa Mkuu Mtendaji,<br />
Titus Naikuni, maafisa wa ngazi za juu na waandishi<br />
waliandaa kikao cha mafunzo, kuitia shime timu hiyo<br />
kufuatia ma<strong>to</strong>keo duni kwenye mkondo wa kwanza.<br />
Timu hiyo ilifanya vyema kwenye mkondo wa pili na hivyo<br />
kujizolea alama 12. Na kufuatia hali hiyo, kupanda hadi<br />
nafasi ya tisa kwenye msururu huo ku<strong>to</strong>ka nafasi ya 12.<br />
Haswa, Collins Injera alikuwa Mkenya wa kwanza kujiunga<br />
na kundi maarufu duniani la wachezaji wa raga ambao<br />
wamefunga mabao 100 katika bodi ya kimataifa ya mabao<br />
ya raga, msururu wa dunia baada ya kufunga mabao<br />
matatu dhidi ya Guyana wakati wa pambano lililoandaliwa<br />
Las Vegas. Ma<strong>to</strong>keo hayo yaliimarisha ma<strong>to</strong>keo ya kikosi<br />
7,076<br />
Oct - 10<br />
10,330<br />
Nov - 10<br />
11,000<br />
Dec - 10<br />
6,867<br />
Jan - 11<br />
6,224<br />
Feb - 11<br />
7,288<br />
Mar - 11<br />
40 41