10.07.2015 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

20that you made this presentation to us today. The next presenter is James Njoroge. James Njoroge, I will give you five minutes.James Njoroge: My names are James Njoroge Ngaku. My views are kuhusu mashamba. Nataka kuongea mambo yamashamba. Inaonekana katika Katiba ya leo kuna makosa kidogo. Lakini sio kidogo. Kama wanawake. Unakutamwanamke anagawa mashamba mara mbili. Mahali anaolewa anagawa shamba na huko kwao anapewa shamba. Kwa hivyoningetaka Katiba ijayo, ifafanue vizuri. Kama mwanamke ameolewa, agawe shamba huko na kama hajaolewa agawe shambahuko kwao. Lakini kama baba yake atataka kumpatia shamba, sawa. Lakini sio Katiba iwe inamruhusu awe ana mashambamawili. Ya pili ni kwamba hii mambo ya kutahiri kwa wanawake ipigwe marufuku kabisa na Katiba. Katiba ijayo isiruhusumwanamke kutahiriwa. Kwa sababu hapa sijui kama ni traditional laws, zinatimiza Katiba kutahiri wanawake ama ni Katibaiko juu ya traditional laws.Kwa hivyo ningetaka kwa Katiba ijayo ipige hiyo marufuku kabisa. Thirdly ni separation <strong>of</strong> powers. Sisi wananchi wa Kenyahatujui tuko wapi kwa sababu hatujui ni President yuko juu ama ni Parliament iko juu ama ni Judiciary iko juu. Kwa hivyotunataka Katiba ijayo ifafanue Parliament iwe juu badala ya State. Na Judiciary iwe independent. Kama ‘The Chief Justice’.President aki-appoint Chief Justice apelekwe Parliament apigiwe vote na 65%. Na kama ni mambo ya kuchagua ma PS naDirector <strong>of</strong> Parastatals, ifanywe na Bunge.Com. Nancy Baraza: Mr. Gathuru? Peter Gathuru, Mr Gathuru, Mr or Miss, are you the one? Are you the one? And what isyour name mum, is it Theodora? Theodora, Virginia Wambui. Na Theodora yuko wapi? Ako wapi? Na hataki ku-present ,wewe ndio uta-present, Theodora, is she the one presenting? Okey go ahead.Virginia Wambui: Majina yangu ni Virginia Wambui Weru, l am presenting Kariru Mothers’ Union. ACK Kariru MothersUnion. Mothers’ union is a consecrated organization in the Anglican faith. It has elected <strong>of</strong>ficials at all levels <strong>of</strong> churchadministration from the diocese to the local church level. It has an international co-ordination mechanism. Preamble. Werecommended that there should be a preamble.Gender and elections: There should be specialized roles between men and women. The elections principles <strong>of</strong> state policy:There should be a clear state vision to prevent any discrimination based on gender. Religion and Academic achievement, theConstitution should safeguard religious and educational rights. Freedom <strong>of</strong> expression by the individuals. There should befairness in application <strong>of</strong> law. Example are cases involving assaults, rape, wife beating e.t.cCom. Nancy Baraza: I can see you have a long memo. What you do just highlight the main points only.Virginia Wambui: Political parties. There should be guidelines outlining how parties may be formed including a minimumfinancial base. Provincial administration. Administration units should be realizing the aim <strong>of</strong> reducing them and making them

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!