08.06.2013 Views

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Uchungu na Kujifungua<br />

Uchungu hakika ni mojawapo <strong>ya</strong> mafumbo makubwa, kwa<br />

kuwa sa<strong>ya</strong>nsi bado haijatambua kitu gani k<strong>in</strong>achoanzisha. Hata<br />

hivyo, <strong>ya</strong>wezekana daktari wako ameshakueleza dalili za<br />

waziwazi, japokuwa haiwezekani mama wajawazito wawili wakawa<br />

na uzoefu ule ule wa uchungu. Kwa baadhi <strong>ya</strong> ak<strong>in</strong>amama<br />

uchungu kwao ni jambo gumu lisiloelezeka, wakati kwa weng<strong>in</strong>e<br />

uchungu ni maumivu <strong>ya</strong> kawaida.<br />

Kabla kip<strong>in</strong>di hakijachangan<strong>ya</strong>, unaweza kujisikia kubanwa<br />

na misuli ambayo huchukuwa kiasi cha kati <strong>ya</strong> sekunde 15 hadi 20,<br />

na k<strong>in</strong>arudia tena kila baada <strong>ya</strong> dakika 10. Kip<strong>in</strong>di hiki hujulikana<br />

kama uchungu usio wa kweli. Wakati mtoto anapokuwa ta<strong>ya</strong>ri kwa<br />

kuzaliwa, mji wa mimba huanza kuwa mwembamba. Kutokana na<br />

hali hii mtoto huj<strong>in</strong>yoosha na kuweka sh<strong>in</strong>ikizo katika mlango wa<br />

uzazi. Yawezekana kukawa na kuvuja kwa ute wenye<br />

kuchanganyika na damu kwenye uke wako, hii <strong>in</strong>a maana kuwa<br />

mlango wa mimba unaanza kunyooka, au kutanuka, ha<strong>ya</strong> ni<br />

maandalizi <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> mtoto kupita.<br />

Kwa baadhi <strong>ya</strong> wanawake, chupa hupasuka. Hii <strong>in</strong>ajulikana<br />

kama ‘kuvunjika kwa chupa.’ Inaweza kusababisha kuchuruzika<br />

kwa maji, au kumwagika maji mengi. Kubanwa kwa misuli<br />

kunaweza kutokea (kiasi cha sekunde 40 bila tukio), na kubanwa<br />

huko kwa misuli kunaongezeka maradufu kadri mji wa mimba<br />

unavyojivuta na kusukuma mtoto ch<strong>in</strong>i, wakati mlango wa mimba<br />

unaposukuma juu na nyuma.<br />

Kuzaliwa kwa mtoto kunaweza kuchukua kati <strong>ya</strong> saa moja<br />

hadi masaa 14 peng<strong>in</strong>e zaidi <strong>ya</strong> hapo. Mtoto wa kwanza kwa<br />

kawaida huchukua kiasi cha saa 14; watoto weng<strong>in</strong>e wataokuja<br />

kuzaliwa baadaye na mama huyo watachukua kiasi cha saa nane.<br />

Kiasi cha maumivu hutofautiana ba<strong>in</strong>a <strong>ya</strong> wawawake.<br />

Kuzaliwa kwa mtoto si rahisi kwake pia Pumzi <strong>ya</strong> kwanza<br />

<strong>ya</strong> mtoto ni ngumu sasa kwake; <strong>in</strong>aweza kufananishwa na mtoto<br />

kupuliza pulizo. Mtoto mchanga anapaswa kutumia nguvu mara<br />

tano zaidi kuliko kawaida kuvuta hewa ndani <strong>ya</strong> mapafu <strong>ya</strong>ke<br />

madogo. Wakati kiunga mwana (umbilical cord) k<strong>in</strong>apotoka na<br />

kukatwa, hapo ndipo mwisho wake wa kufan<strong>ya</strong> kazi. Sasa mtoto<br />

anajitegemea kwa mahitaji yote.<br />

Miezi Mitatu <strong>ya</strong> Mwanzo<br />

Mtoto<br />

Katika muda wa majuma sita, ki<strong>in</strong>itete (embryo), ambacho<br />

huanza kukua k<strong>in</strong>aanza na kichwa kuelekea ch<strong>in</strong>i, huwa na fuvu<br />

ambalo l<strong>in</strong>a macho <strong>ya</strong>liyo katika hatua za awali na masikio,<br />

<strong>in</strong>gawaje wakati huo kiumbe hiki huonekana zaidi kuwa kama<br />

kijisamaki kidogo chenye kichwa kikubwa kuliko umbo la mtoto wa<br />

b<strong>in</strong>adamu. Kiumbe hiki japo bado k<strong>in</strong>a vipimo kama chembe <strong>ya</strong><br />

mchele, ukubwa wake ni mara 10,000 zaidi kuliko <strong>ya</strong>i lilipoungana<br />

na mbegu za kiume, na ukubwa <strong>in</strong>aongezeka mara mbili kila juma.<br />

Kiumbe hiki ta<strong>ya</strong>ri huwa na ubongo, figo, <strong>in</strong>i, mfuko wa kuyeyusha<br />

chakula, mkondo wa damu, moyo uliogawanyika katika sehemu<br />

mbili unaopiga piga na vichipukizi vifupi ambavyo baadaye hukua<br />

na kuwa mikono na miguu. Kiumbe hiki ambacho huitwa ki<strong>in</strong>itete<br />

k<strong>in</strong>a matendo hiari ambayo hujitokeza yenyewe hasa katika juma<br />

la saba japokuwa wewe huwezi kusikia k<strong>in</strong>apo jirusha.<br />

Waweza kutambua sura <strong>ya</strong> kiumbe hiki kuwa ni sura <strong>ya</strong><br />

b<strong>in</strong>adamu katika kip<strong>in</strong>di cha juma la nane. Kichwa k<strong>in</strong>akuwa ni<br />

kikubwa kuliko kiwiliwili. Macho huzibwa na ngozi ambayo<br />

baadaye hugawanyika na hutengeneza kope. Mikono, miguu<br />

huanza kujitokeza na kukua, nazo mbavu huchomoza. Kiumbe<br />

hiki huwa pia k<strong>in</strong>a mifupa ambayo iko katika hali <strong>ya</strong> ula<strong>in</strong>i (kama<br />

unavyoweza kuhisi ncha <strong>ya</strong> pua <strong>ya</strong>ko ukiigusa). Viungo v<strong>ya</strong> uzazi<br />

ambavyo ni vidogo sana huanza kuonekana japokuwa siyo rahisi<br />

kutambua mtoto huyu anaweza kuwa wa kike au wa kiume. Uzito<br />

wake ni ch<strong>in</strong>i <strong>ya</strong> ule wa kidonge cha aspir<strong>in</strong>i!<br />

Mama<br />

Dalili <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> ujauzito hutambuliwa<br />

katika matiti <strong>ya</strong>ko – huanza kuvimba na ile sehemu <strong>ya</strong> chuchu<br />

<strong>in</strong>ayoonekana rangi <strong>ya</strong> udongo huanza kuwa nyeusi. Matiti <strong>ya</strong>ko<br />

huanza kuwa la<strong>in</strong>i na mazito. Mwili huanza kuwa mzito na mchovu<br />

wakati unapokuwa unaanza kujirekebisha ta<strong>ya</strong>ri kupokea maisha<br />

map<strong>ya</strong> katika mwili wako hasa kama ni mimba <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kwanza.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!