Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania
Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania
Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
matumbo <strong>ya</strong> mtoto, huml<strong>in</strong>da mtoto dhidi <strong>ya</strong> maambukizi.<br />
Baada <strong>ya</strong> nyonyo zako kutoa <strong>ya</strong>le maji maji, zitaanza kutoa<br />
maziwa <strong>ya</strong> ‘mpita’ ambapo baada <strong>ya</strong> majuma mawili maziwa halisi<br />
<strong>ya</strong>taanza kutoka. Hivi ha<strong>ya</strong> maziwa halisi <strong>ya</strong>na virutubisho gani?<br />
Kiasi cha asilimia 88 ni maji. Virutubishi v<strong>in</strong>g<strong>in</strong>e ni asilimia 55<br />
mafuta, asilimia 37 v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> wanga na asilimia 8 prot<strong>in</strong>i.<br />
Mtajuaje kuwa mtoto wako ana njaa? Atakujulisha tu. Njia<br />
nzuri <strong>ya</strong> kumlea mtoto ni kumnyonyesha kila anapoonekana kuwa<br />
na njaa.<br />
Unapomnyonyesha mwanao, utahitaji v<strong>ya</strong>kula vyenye ubora<br />
wa juu kuliko hata wakati wa ujauzito, na utakitaji kalori ny<strong>in</strong>gi zaidi<br />
ili utiwe nguvu kuliko wakati wa ujauzito. Uzito uliokuwa nao<br />
wakati wa ujauzito sasa utahifadhiwa kama mafuta ndani <strong>ya</strong> mwili<br />
wako, na <strong>ya</strong>takupatia nguvu z<strong>in</strong>azohitajiwa katika kutoa maziwa au<br />
kutengeneza maziwa. Lishe bora iliyojaa vitam<strong>in</strong>i zote<br />
z<strong>in</strong>azohitajiwa mwil<strong>in</strong>i siyo tu kwamba itakuwezesha kutunga<br />
maziwa mengi, bali maziwa <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>takuwa yenye vi<strong>in</strong>ilishe<br />
ambavyo hasa vitamnufaisha mtoto wako.<br />
Neno kuhusu madawa: Kwa vile <strong>in</strong>afahamika kuwa dawa<br />
ny<strong>in</strong>gi z<strong>in</strong>aweza kupitishwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto<br />
wakati wa kunyonyesha, mwone daktari wako akushauri juu <strong>ya</strong> tiba<br />
zozote utakazohitaji wakati wa kumlea mwanao.<br />
Lishe kwa Mtoto Wako<br />
Zipo sababu ny<strong>in</strong>gi kwa n<strong>in</strong>i unyonyeshaji ni njia bora zaidi<br />
<strong>ya</strong> kumlisha mtoto wako. Maziwa <strong>ya</strong> mwil<strong>in</strong>i mwako ha<strong>ya</strong>wezi<br />
kumdhuru mtoto wako kwa hali yoyote. Zaidi <strong>ya</strong> hayo, vi<strong>in</strong>i<br />
vilivyoko katika maziwa <strong>ya</strong>ko huongeza k<strong>in</strong>ga ndani <strong>ya</strong> mwili wa<br />
mwanao, au uwezo wa kujik<strong>in</strong>ga na kupigana na maambukizi.<br />
Watoto wanyonyeshwao wanafahamika kuwa huwa<br />
hawasumbuliwi sana dalili za kutokwa na makamasi, vipele au<br />
ukurutu, kutematema mate, pumu, na mchango (msokoto wa<br />
tumbo) au mhangaiko. Vi<strong>in</strong>i vilivyoko ndani <strong>ya</strong> maziwa pia v<strong>in</strong>aua<br />
bakteria, ukungu na virusi v<strong>ya</strong> magonjwa. Watoto wanyonyeshwao<br />
na mama zao hawana matatizo <strong>ya</strong> kuhara au kush<strong>in</strong>dwa<br />
kuyeyusha chakula mwil<strong>in</strong>i. Na, utafiti umeonyesha kwamba<br />
maziwa <strong>ya</strong> mama <strong>ya</strong>na uwezo wa kupambana na magonjwa kama