08.06.2013 Views

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

matumbo <strong>ya</strong> mtoto, huml<strong>in</strong>da mtoto dhidi <strong>ya</strong> maambukizi.<br />

Baada <strong>ya</strong> nyonyo zako kutoa <strong>ya</strong>le maji maji, zitaanza kutoa<br />

maziwa <strong>ya</strong> ‘mpita’ ambapo baada <strong>ya</strong> majuma mawili maziwa halisi<br />

<strong>ya</strong>taanza kutoka. Hivi ha<strong>ya</strong> maziwa halisi <strong>ya</strong>na virutubisho gani?<br />

Kiasi cha asilimia 88 ni maji. Virutubishi v<strong>in</strong>g<strong>in</strong>e ni asilimia 55<br />

mafuta, asilimia 37 v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> wanga na asilimia 8 prot<strong>in</strong>i.<br />

Mtajuaje kuwa mtoto wako ana njaa? Atakujulisha tu. Njia<br />

nzuri <strong>ya</strong> kumlea mtoto ni kumnyonyesha kila anapoonekana kuwa<br />

na njaa.<br />

Unapomnyonyesha mwanao, utahitaji v<strong>ya</strong>kula vyenye ubora<br />

wa juu kuliko hata wakati wa ujauzito, na utakitaji kalori ny<strong>in</strong>gi zaidi<br />

ili utiwe nguvu kuliko wakati wa ujauzito. Uzito uliokuwa nao<br />

wakati wa ujauzito sasa utahifadhiwa kama mafuta ndani <strong>ya</strong> mwili<br />

wako, na <strong>ya</strong>takupatia nguvu z<strong>in</strong>azohitajiwa katika kutoa maziwa au<br />

kutengeneza maziwa. Lishe bora iliyojaa vitam<strong>in</strong>i zote<br />

z<strong>in</strong>azohitajiwa mwil<strong>in</strong>i siyo tu kwamba itakuwezesha kutunga<br />

maziwa mengi, bali maziwa <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>takuwa yenye vi<strong>in</strong>ilishe<br />

ambavyo hasa vitamnufaisha mtoto wako.<br />

Neno kuhusu madawa: Kwa vile <strong>in</strong>afahamika kuwa dawa<br />

ny<strong>in</strong>gi z<strong>in</strong>aweza kupitishwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto<br />

wakati wa kunyonyesha, mwone daktari wako akushauri juu <strong>ya</strong> tiba<br />

zozote utakazohitaji wakati wa kumlea mwanao.<br />

Lishe kwa Mtoto Wako<br />

Zipo sababu ny<strong>in</strong>gi kwa n<strong>in</strong>i unyonyeshaji ni njia bora zaidi<br />

<strong>ya</strong> kumlisha mtoto wako. Maziwa <strong>ya</strong> mwil<strong>in</strong>i mwako ha<strong>ya</strong>wezi<br />

kumdhuru mtoto wako kwa hali yoyote. Zaidi <strong>ya</strong> hayo, vi<strong>in</strong>i<br />

vilivyoko katika maziwa <strong>ya</strong>ko huongeza k<strong>in</strong>ga ndani <strong>ya</strong> mwili wa<br />

mwanao, au uwezo wa kujik<strong>in</strong>ga na kupigana na maambukizi.<br />

Watoto wanyonyeshwao wanafahamika kuwa huwa<br />

hawasumbuliwi sana dalili za kutokwa na makamasi, vipele au<br />

ukurutu, kutematema mate, pumu, na mchango (msokoto wa<br />

tumbo) au mhangaiko. Vi<strong>in</strong>i vilivyoko ndani <strong>ya</strong> maziwa pia v<strong>in</strong>aua<br />

bakteria, ukungu na virusi v<strong>ya</strong> magonjwa. Watoto wanyonyeshwao<br />

na mama zao hawana matatizo <strong>ya</strong> kuhara au kush<strong>in</strong>dwa<br />

kuyeyusha chakula mwil<strong>in</strong>i. Na, utafiti umeonyesha kwamba<br />

maziwa <strong>ya</strong> mama <strong>ya</strong>na uwezo wa kupambana na magonjwa kama

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!