08.06.2013 Views

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

Maajabu ya Mimba - The Tarlings in Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kuzaliwa, kuhusiana na ujuzi wa kujifunza na nguvu za mwili.<br />

Haishauriwi kuruka mlo wowote wakati wa ujauzito. Baadhi<br />

<strong>ya</strong> wataalam wanahisi kuwa hata upunguzaji wa virutubisho<br />

vyenye ubora wa juu unaweza kuchangia matatizo kwa mtoto<br />

wako. Hivyo, ng’ang’ania ulaji ule ule wa chakula muhimu kama<br />

ilivyojadiliwa huko nyuma.<br />

Baadhi <strong>ya</strong> wataalam wanaona kwamba mad<strong>in</strong>i <strong>ya</strong> chuma ni<br />

virutubisho namba moja ambavyo hukosekana kwa wajawazito;<br />

upungufu wa damu hujitokeza baadaye, hivyo hakikisha unashika<br />

barabara ongezeko la utumiaji wa v<strong>ya</strong>kula vyenye mad<strong>in</strong>i <strong>ya</strong><br />

chuma. Ulaji wa v<strong>ya</strong>kula yenye Vitam<strong>in</strong>i C kama vile maji <strong>ya</strong><br />

machungwa, utaimarisha ufyonzaji wa chuma ndani <strong>ya</strong> mwili wako.<br />

V<strong>ya</strong>kula Vyenye mad<strong>in</strong>i <strong>ya</strong> Chuma<br />

Ma<strong>in</strong>i<br />

N<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> Ng’ombe<br />

Sp<strong>in</strong>achi<br />

Maharage makavu<br />

Ngano<br />

Katika miezi mitatu <strong>ya</strong> mwisho, mtoto anahitaji zaidi chokaa<br />

(calcium) kwa ajili <strong>ya</strong> utengenezaji wa mifupa na meno. Iwapo<br />

hutapata chenye chokaa katika mlo wako ambayo huhitajiwa na<br />

kitoto (kimjusi) na kwa utengenezaji wa maziwa, basi itatolewa<br />

katika mifupa na meno <strong>ya</strong>ko mwenyewe.<br />

Usipunguze chakula ili mtoto azaliwe mdogo – kafan<strong>ya</strong><br />

hivyo <strong>in</strong>aweza kuharibu af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ke<br />

Wiki Mendeleo <strong>ya</strong> Mtoto na Mama Wakati wa Ujauzito<br />

Wiki <strong>ya</strong><br />

Kumi na<br />

Saba<br />

• Unaweza kutoa jasho zaidi kuliko kawaida, na<br />

labda pua <strong>in</strong>aziba. Unaweza kusikia tumbo la<br />

uzazi limefika nusu njia mpaka utovu.<br />

• Mtoto anakaa kwenye robo lita <strong>ya</strong> maji.<br />

Anaweza kusikia kelele kubwa nje <strong>ya</strong> mwili<br />

wako.<br />

Wiki <strong>ya</strong> • Kam\a ni mimba <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kwanza, utatambua<br />

akili <strong>ya</strong>ko ta<strong>ya</strong>ri huwa vimeshapokea ile hali <strong>ya</strong> ujauzito na kujisikia<br />

shauku <strong>ya</strong> uchungu na uzazi.<br />

Katika wiki la kumi na nane la ujauzito wanawake wengi<br />

wajawazito huanza kuvaa ‘tenite’ kwa vile wakati huu mimba<br />

huanza kuonekana waziwazi. Bila kujali kama umeanza<br />

kuonyesha mimba au la, muda mfupi tu utaanza kujisikia mtoto<br />

akicheza cheza tumboni, akipiga mateke na kujigeuzageuza na<br />

hata kuwa na kwikwi. Kitoto hiki k<strong>in</strong>akuwa na uwezo wa kulala na<br />

kuamka kama mtoto mchanga aliyezaliwa; anapokuwa ameamka,<br />

anajisogeza sogeza ndani <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le majimaji akiwa huru kabisa<br />

kama mtu aliyeko angani akielea kutoka upande huu kuelekea<br />

upande mw<strong>in</strong>g<strong>in</strong>e, akipanda juu na kushuka ch<strong>in</strong>i.<br />

Katika miezi mitatu <strong>ya</strong> pili tangu mimba kutungwa,<br />

unapaswa kula zaidi v<strong>ya</strong>kula vyenye majimaji – kwa kiasi cha<br />

vikombe saba au v<strong>in</strong>ane kwa siku. Unashauriwa kunywa maji,<br />

maziwa, juisi <strong>ya</strong> matunda (maji <strong>ya</strong> matunda) au supu. Unahitaji<br />

majimaji kwa sababu lile kondo la nyuma l<strong>in</strong>apaswa kutoa damu<br />

ny<strong>in</strong>gi kwa ajili <strong>ya</strong> mtoto aliyeko tumboni. Ili kupata damu ny<strong>in</strong>gi<br />

unahitaji vitu v<strong>ya</strong> maji maji zaidi. Vitu kama chai, kahawa na soda<br />

si vizuri ukavipendelea kwa vile husababisha upoteze maji mengi<br />

kwa kukojoa kojoa.<br />

Wakati uliopita (zamani kidogo), wajawazito wengi<br />

waliambiwa wapunguze chumvi katika v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong>o, lak<strong>in</strong>i sasa<br />

madaktari wametambua kuwa kitoto kichanga (au kwa lugha <strong>ya</strong><br />

kitaalamu fetus – kimjusi) k<strong>in</strong>ahitaji chumvi ili kukua vizuri. Chumvi<br />

itakusaidia pia wewe kutunza majimaji mwil<strong>in</strong>i, hivyo, weka chumvi<br />

katika chakula chako hadi ikolee, bila kuzidisha.<br />

Wakati wa uja uzito, k<strong>in</strong>ga <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> mwili imepungua. Ni<br />

muhimu kujil<strong>in</strong>da dhidi <strong>ya</strong> malaria. Nunua chandalua na kukitia<br />

dawa <strong>ya</strong> kuwaua mbu. Dalili <strong>ya</strong> malaria pia <strong>ya</strong>nabadilika wakati wa<br />

mimba. Ukijisikia ovyoovyo, nenda kupimwa damu <strong>ya</strong>ko mapema.<br />

Utapewa dawa <strong>ya</strong> SP mara mbili wakati wa mimba <strong>ya</strong>ko –<br />

baada <strong>ya</strong> wiki 20 na wiki 30. Hizi z<strong>in</strong>awaua wadudu wa malaria<br />

ambao wanakaa kim<strong>ya</strong> mwil<strong>in</strong>i, na kukul<strong>in</strong>da na kupungukiwa<br />

damu kwa sababu <strong>ya</strong> malaria sugu.<br />

Pia utapigwa s<strong>in</strong>dano <strong>ya</strong> Tetanus (Pepo punda) kama huna<br />

k<strong>in</strong>ga, ili kul<strong>in</strong>da mtoto wakati akiwa mchanga.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!