programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative
programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative
programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jinsi <strong>ya</strong> Kudumisha Mradi Huu<br />
JINSI YA KUDUMISHA MRADI HUU<br />
Mradi wa HASHI uliisha mwaka 2004 na ukarithiwa na Kituo cha<br />
Usimamizi wa Kilimo cha Misitu (NAFRAC), kilichopo Shin<strong>ya</strong>nga.<br />
Shughuli zake zimeendelezwa, ila kwa kuonyesha kiwango kikubwa<br />
cha uendelevu, umiliki wa wenyeji, na uwezo uliojengwa kwa miaka<br />
kumi na nane tangu mradi uanzishwe.<br />
Wakati wa uhai wa mradi, jitihada kadhaa zilifanyika kupanua<br />
shughuli zilizoanzishwa na wafan<strong>ya</strong>kazi wa HASHI na watafiti kutoka<br />
kituo cha kimataifa cha kilimo cha misitu. Matokeo <strong>ya</strong>ke mradi<br />
uliwanufaisha makumi elfu <strong>ya</strong> familia za wakulima. Tangu mwaka<br />
2004 wafan<strong>ya</strong>kazi wa serikali za vijiji wameendelea kuhamasisha<br />
kilimo cha misitu na usimamizi wa <strong>ardhi</strong> ulio endelevu. Katika wila<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong> Shin<strong>ya</strong>nga, wakulima wa mfano walibainishwa kwa kila kata na<br />
kupewa ushauri wa kiufundi na vifaa. Tangu mwaka 1998, zaidi <strong>ya</strong><br />
walimu 150 wamepata mafunzo kwa ajili <strong>ya</strong> kuhamasisha maswala<br />
<strong>ya</strong> mazingira kwenye shule, wakipata msaada toka kwa Ofisa Maliasili<br />
wa Wila<strong>ya</strong>. Mikoa mingine miwili, Mwanza na Tabora walianza nao<br />
kutekeleza mradi kama wa HASHI kwaajili <strong>ya</strong> ku<strong>hifadhi</strong> maliasili.<br />
Moja <strong>ya</strong> sababu kuu <strong>ya</strong> kudumu kwa mfumo wa ngitili ni kwamba<br />
unaendelea kutoa matunda <strong>ya</strong> kiuchumi kwa wakulima na wafugaji<br />
ndani <strong>ya</strong> mkoa. Maeneo yenye miti <strong>ya</strong>meonyesha kuwa na faida;<br />
ngitili kwa malisho <strong>ya</strong> mifugo; na uanzishwaji wa teknolojia za kilimo<br />
cha misitu kama vile kupandikiza matunda kumeongeza kipato<br />
kwenye familia.<br />
Nishati, kaboni na uhusiano na kilimo<br />
Miradi mip<strong>ya</strong> imesaidia kuimarisha u<strong>hifadhi</strong> na urejeshaji wa<br />
misitu. Idara za serikali za vijiji zimehamasisha matumizi <strong>ya</strong> majiko<br />
<strong>ya</strong>nayotumia nishati kidogo. Hii imesaidia kupunguza mzigo wa<br />
kutegemea sana maliasili za misitu, pamoja na kupunguza muda<br />
ambao familia huupoteza kutafuta kuni. Kikundi cha wanawake cha<br />
Upendo ni moja <strong>ya</strong> asasi za kijamii zinazohamasisha matumizi <strong>ya</strong><br />
majiko <strong>ya</strong>siyotumia nishati kubwa, kwa wanachama wake na kwa<br />
wale wa vijiji v<strong>ya</strong> jirani.<br />
Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa kuna uwezekano kwa<br />
<strong>hifadhi</strong> za miti za mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga kuzalisha kaboni, na mradi<br />
wa miaka minne unaosimamiwa na shirika la taifa la maendeleo<br />
<strong>ya</strong> viwanda v<strong>ya</strong> asili na mazingira (TaTEDO), kwa kushirikiana na<br />
kampuni iitwayo Development Associates Ltd (DASS) ambayo hutoa<br />
msaada wa kiufundi; na ambayo kwa sasa inatafiti jinsi ambavyo<br />
jamii za vijijini zinavyoweza kunufaika na pesa zitakazotolewa<br />
kupitia mradi wa kupunguza hewa <strong>ya</strong> ukaa itokanayo na ukataji miti<br />
na uharibifu wa misitu (REDD+).<br />
Pia Tanzania hivi karibuni ilizindua mkakati wake wa kuinua kilimo<br />
nchini ujulikanao kama ‘Kilimo Kwanza’. Mkakati huu umelenga<br />
kutenga pesa zaidi kwa ajili <strong>ya</strong> kilimo, kuhamasisha sekta binafsi<br />
kuwekeza katika kilimo, na kuwa na matumizi <strong>ya</strong> sa<strong>ya</strong>nsi na<br />
teknolojia katika kubadili maeneo makame <strong>ya</strong>weze kufaa kwa kilimo.<br />
Imependekezwa kuwa mradi huu utatumia sana majaribio <strong>ya</strong> HASHI,<br />
kusaidia kuboresha na kusaidia zaidi maeneo makavu <strong>ya</strong>nayotumika<br />
kwa kilimo na ufugaji nchini Tanzania.<br />
Changamoto za mazingira na kijamii<br />
Kuna maswala kadhaa <strong>ya</strong>nayoweza kukwamisha mafanikio <strong>ya</strong>liyopo,<br />
ukuaji, na kupanuka kwa mfumo wa ngitili. Kubwa kati <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong> ni<br />
ongezeko la idadi <strong>ya</strong> watu ambalo linatishia kuondoa mafanikio<br />
<strong>ya</strong>liyofikiwa <strong>ya</strong> mradi wa HASHI.<br />
Mwaka 1988, mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga ulikuwa na wakazi milioni 1.77.<br />
Mwaka 2002, idadi <strong>ya</strong> wakazi imefikia 2.8. Ongezeko la idadi <strong>ya</strong><br />
watu limekuwa likikua kwa asilimia 2.9 kwa mwaka na kukadiriwa<br />
kuwa sasa hivi mkoa unakadiriwa kuwa na wakazi kama milioni 3<br />
au asilimia 70 <strong>ya</strong> wakazi wameongezeka mkoani shin<strong>ya</strong>nga tangu<br />
mradi ulipoanza. Mifugo nayo imeongezeka kwa kiwango kikubwa.<br />
12