12.01.2015 Views

programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative

programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative

programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Historia na Mandhari<br />

Ukiwa unapatikana upande wa kusini mwa ziwa Victoria, mkoa wa<br />

Shin<strong>ya</strong>nga upo kaskazini magharibi mwa Tanzania na eneo lake<br />

kubwa ni la mazingira <strong>ya</strong> ukame ukiwa na wakazi karibu milioni<br />

tatu, kwa wastani wa watu 42 kwa kila kilometa <strong>ya</strong> mraba. Shin<strong>ya</strong>nga<br />

ni moja <strong>ya</strong> mikoa <strong>ya</strong> Tanzania maskini zaidi, wenye vilima v<strong>ya</strong> kimo<br />

cha chini na tambarare zenye kipindi kirefu cha kiangazi ukiwa<br />

na wastani wa milimeta 700 za mvua kwa mwaka. Kabila kubwa<br />

la mkoa huu ni Wasukuma ambao hujishughulisha na ufugaji na<br />

kilimo; mazao makubwa wanayozalisha ni mahindi, mtama, uwele,<br />

mihogo, pamba, na mchele. Zaidi <strong>ya</strong> asilimia 80 <strong>ya</strong> wakazi wa mkoa<br />

huu wanamiliki na kuendeleza mifugo kwenye malisho <strong>ya</strong> jamii zao.<br />

Kati <strong>ya</strong> mwaka 1986 na 2004, mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga ulianzisha Mpango<br />

wa Hifadhi Ardhi Shin<strong>ya</strong>nga uliofahamika kwa kifupi kama HASHI<br />

(Hifadhi Ardhi Shin<strong>ya</strong>nga). HASHI ilianzishwa na Rais Julius Nyerere<br />

baada <strong>ya</strong> kutembelea mkoa huo mwaka 1984 na akashtushwa na<br />

kiwango kikubwa cha ukataji miti. Kwa miaka <strong>ya</strong> 1980, Shin<strong>ya</strong>nga<br />

ilikuwa inajulikana kama ‘Jangwa la Tanzania ‘. Miongo kadhaa <strong>ya</strong><br />

usimamizi mbovu wa <strong>ardhi</strong> ilichangia kuendelea kuharibika kwa<br />

mazingira katika mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga, lakini mwanzo mkuu wa<br />

uharibifu huu ni mpango wa kukata misitu kipindi cha kabla <strong>ya</strong> vita v<strong>ya</strong><br />

pili v<strong>ya</strong> dunia. Hapo awali, mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga ulikuwa umefunikwa<br />

na uoto wa miombo na mshita, ambayo ilitoa lishe kwa mifugo na<br />

mafuta kwaajili <strong>ya</strong> kilimo na ufugaji kwa wasukuma. Hata hivyo<br />

misitu hii ilikuwa pia <strong>hifadhi</strong> <strong>ya</strong> mbun’go, na magonjwa <strong>ya</strong> vimelea,<br />

na malale ambayo <strong>ya</strong>liwashambulia binadamu na wan<strong>ya</strong>ma. Katika<br />

miaka <strong>ya</strong> 1920, mamlaka <strong>ya</strong> kikoloni ilibuni mpango wa kuwalipa<br />

wenyeji kwa kukata miti kwenye maeneo makubwa <strong>ya</strong> miombo. Hii<br />

kwa kiasi kikubwa ilisaidia mafanikio katika kutokomeza Mbun’go,<br />

na pia kuanzisha maeneo map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> malisho kwa ajili <strong>ya</strong> wasukuma,<br />

lakini kwa upande mwingine ikaathiri uzuri wa mazingira <strong>ya</strong> mkoa.<br />

Kadiri idadi <strong>ya</strong> mifugo na binadamu ilivyoongezeka katika nusu <strong>ya</strong><br />

mwisho <strong>ya</strong> karne <strong>ya</strong> ishirini, mahitaji kwa ajili <strong>ya</strong> kuni na kilimo pia<br />

<strong>ya</strong>liongezeka. Hii ilisababisha ufugaji uliokithiri kwenye malisho na<br />

mapori, wakati maeneo makubwa <strong>ya</strong> <strong>ardhi</strong> <strong>ya</strong>likuwa kwa ajili kilimo<br />

cha mazao <strong>ya</strong> biashara kama vile pamba na tumbaku, na kuacha<br />

<strong>ardhi</strong> kidogo kwa ajili <strong>ya</strong> kupanda mazao <strong>ya</strong> chakula. Zaidi <strong>ya</strong> hayo,<br />

mpango wa uanzishwaji wa vijiji wa Rais Nyerere wa miaka 1970<br />

ulilazimisha familia nyingi ku<strong>ya</strong>acha makazi <strong>ya</strong>o kuhamia maeneo<br />

map<strong>ya</strong>.<br />

Kupotea kwa mfumo wa kijadi wa usimamizi wa rasilimali<br />

Hali hizi zilisababisha mmomonyoko wa mfumo wa kijadi wa<br />

usimamizi wa <strong>ardhi</strong> ambao wasukuma walitumia ku<strong>hifadhi</strong><br />

chakula cha mifugokwaajili <strong>ya</strong> msimu wa kiangazi. Mfumo huu<br />

unaofahamika kama ngitili ulijumuisha utengaji wa maeneo<br />

maalumu <strong>ya</strong> ku<strong>hifadhi</strong> n<strong>ya</strong>si za mifugo kwa ajili <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong><br />

kifamilia au <strong>ya</strong> jamii kwa ku<strong>ya</strong>acha maeneo <strong>ya</strong>kiwa na n<strong>ya</strong>si mpaka<br />

msimu wa mvua unapoanza. Ngitili hugawanywa katika sehemu<br />

kadhaa: kila sehemu <strong>ya</strong> ngitili lazima itumike yote kwa malisho kabla<br />

<strong>ya</strong> kuhamia sehemu nyingine. Hifadhi za kifamilia au za mtu mmoja<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!