12.01.2015 Views

programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative

programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative

programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Matokeo<br />

MATOKEO YA KIMAZINGIRA<br />

Kuongezeka kwa bayoanuwai halikuwa lengo kuu la <strong>programu</strong> <strong>ya</strong><br />

U<strong>hifadhi</strong> wa Ardhi Shin<strong>ya</strong>nga, bali msisitizo ulikuwa kuongezeka<br />

kwa tija <strong>ya</strong> kilimo katika mkoa mzima. Hata hivyo, urejeshaji wa<br />

bidhaa na huduma zitokanazo na maeneo yenye miti hufanywa kwa<br />

njia <strong>ya</strong> kuruhusu mimea kukua na kupanda miti <strong>ya</strong> kienyeji imesaidia<br />

kurejea kwa aina mbalimbali za miti, majani na mitishamba. Baadhi<br />

<strong>ya</strong> aina za wan<strong>ya</strong>ma zimeanza kurejea katika eneo husika.<br />

Kiwango cha urejeshaji miti kwenye maeneo tengefu<br />

Kwa mwaka 1986, kiasi cha hekta 600 za ngitili zilijulikana kuwepo<br />

mkoani Shin<strong>ya</strong>nga. Utafiti kwa vijiji 172 kama sampuli ndani <strong>ya</strong><br />

kipindi cha miaka <strong>ya</strong> 1990 ulionyesha kulikuwepo na ngitili 18,607<br />

(284 za jumui<strong>ya</strong>, na zilizobaki zikimilikiwa na ka<strong>ya</strong>) zikichukua eneo<br />

la hekta 78,122. Kwa kuzingatia sampuli hii, mameneja wa mradi<br />

wa HASHI walikadiria kuwa zaidi <strong>ya</strong> hekta 350,000 zilitumika kama<br />

ngitili, na wakazi tisa kati <strong>ya</strong> kumi kwa kila kijiji kwa jumla <strong>ya</strong> vijiji 833<br />

v<strong>ya</strong> mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga wanafurahia bidha na huduma zitokanazo<br />

na u<strong>hifadhi</strong> wa ngitili<br />

Historia <strong>ya</strong> hivi karibuni kuhusu mradi uliosimamiwa na kituo cha<br />

kimataifa cha kilimo cha misitu inadai kuwa kiwango cha ngitili<br />

kimepunguzwa kwenye taarifa rasmi, inawezekana kuwa kuna zaidi<br />

<strong>ya</strong> hekta 500,000 za <strong>ardhi</strong> zilizotengwa.<br />

Karibu asilimia 60 za ngitili zinamilikiwa na watu binafsi, na zilizobaki<br />

zikimilikiwa na serikali za vijiji au taasisi kama vile shule, asasi<br />

za kijamii, makanisa, na misikiti. Inakadiriwa kuwa asilimia 90 <strong>ya</strong><br />

wafugaji, na asilimia 50 <strong>ya</strong> wakulima wanamiliki ngitili zao wenyewe.<br />

Zinatofautiana kwa viwango v<strong>ya</strong> ukubwa na umri.<br />

Kwa upande wa mashariki wa mkoa, eneo lenye mvua kidogo,<br />

ngitili za hekta 500 ni kawaida kuwepo, lakini hupatikana kwa wingi<br />

maeneo <strong>ya</strong> kati <strong>ya</strong> mkoa na maeneo <strong>ya</strong> magharibi ambako kuna<br />

mvua <strong>ya</strong> kutosha, zinaweza kuwa za ukubwa wa chekta chache. Kwa<br />

mwaka 2003, maeneo <strong>ya</strong>liyotengwa kwaajili <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> ni <strong>ya</strong> wastani<br />

wa hekta 164, wakati maeneo binafsi <strong>ya</strong>na wastani wa hekta 2.3.<br />

Kuimarika kwa mimea na wan<strong>ya</strong>ma<br />

Mradi umesaidia kuwepo kwa jumla <strong>ya</strong> aina 152 za miti na vichaka,<br />

hasa kwa njia <strong>ya</strong> u<strong>hifadhi</strong> wa miti michanga kwenye ngitili ambazo<br />

hapo awali <strong>ya</strong>likuwa maeneo ambayo <strong>ya</strong>likuwa ha<strong>ya</strong>na miti. Zaidi<br />

<strong>ya</strong> aina 60 za miti zimetumika na wenyeji kwa malengo tofauti,<br />

kama vile dawa za mitishamba, matunda na mbogamboga, nishati,<br />

mbao, ususi, malisho, uzio, na kuezeka. Aina kumi na tatu za n<strong>ya</strong>si na<br />

ishirini na tano za mitishamba zinapatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> uoto<br />

<strong>ya</strong>liyo<strong>hifadhi</strong>wa. Ngitili za jumui<strong>ya</strong> zinasaidia ku<strong>hifadhi</strong> maeneo <strong>ya</strong><br />

vilima na pembezoni mwa mito, kuzuia mmomonyoko wa udongo,<br />

na ku<strong>hifadhi</strong> v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji.<br />

Wan<strong>ya</strong>ma,kwa hali fulani, wamerejea katika baadhi <strong>ya</strong> maeneo,<br />

hususani ndege kufuatia kuimarika kwa miombo na migunga.<br />

Jumla <strong>ya</strong> spishi 145 za ndege zinapatikana Shin<strong>ya</strong>nga ambazo<br />

hapo awali zilitoweka au ilikuwa nadra kuwepo, zikiwemo aina saba<br />

ambazo hupatikana katika maeneo maalumu. Fisi na wan<strong>ya</strong>ma<br />

wengine kama vile nguruwe pori, sungura, nk. sasa wanapatikana<br />

kama kawaida kiasi kwamba kumekuwepo na migogoro kati <strong>ya</strong><br />

wan<strong>ya</strong>ma na binadamu. Kwa ujumla, mbali na uharibifu unaoletwa<br />

na wan<strong>ya</strong>ma unaokadiriwa kuwa ni hasara <strong>ya</strong> dola 63 za kimarekani<br />

kwa kila familia, kwa mwaka kwa kipindi cha 2004, faida za kiuchumi<br />

za kuwepo kwa ngitili katika vijiji vingi zinazidi hasara hiyo.<br />

MATOKEO YA KIJAMII<br />

i. Faida za kukadiriwa: Faida za kiuchumi na kijamii za <strong>hifadhi</strong> <strong>ya</strong><br />

uoto wa ngitili zilikadiriwa mwaka 2004 na kikosi kazi cha watu kumi<br />

kilichowekwa na serikali <strong>ya</strong> Tanzania na Shirika la Kimataifa la Hifadhi<br />

<strong>ya</strong> Mazingira, kilichokusan<strong>ya</strong> taarifa za utafiti za kisoko kwa ka<strong>ya</strong> 240<br />

kwa vijiji 12 na uchambuzi mwingine wa data kwa ajili <strong>ya</strong> kupima<br />

athari chan<strong>ya</strong> za HASHI. Utafiti huu ulikadiria thamani <strong>ya</strong> pesa<br />

kutokana na ngitili kuwa ni dola za kimarekani 14 kwa mwezi kwa<br />

kila mtu. Hiki ni kiwango kikubwa kwa mtanzania ukizingatia kuwa<br />

kipato cha chini kwa mtanzania wa kijijini ni dola za kimarekani 8.50<br />

kwa mtu mmoja kwa mwezi kwa mwaka 2004.<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!