programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative
programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative
programu ya hifadhi ardhi shinyanga (hashi) - Equator Initiative
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Matokeo<br />
MATOKEO YA KIMAZINGIRA<br />
Kuongezeka kwa bayoanuwai halikuwa lengo kuu la <strong>programu</strong> <strong>ya</strong><br />
U<strong>hifadhi</strong> wa Ardhi Shin<strong>ya</strong>nga, bali msisitizo ulikuwa kuongezeka<br />
kwa tija <strong>ya</strong> kilimo katika mkoa mzima. Hata hivyo, urejeshaji wa<br />
bidhaa na huduma zitokanazo na maeneo yenye miti hufanywa kwa<br />
njia <strong>ya</strong> kuruhusu mimea kukua na kupanda miti <strong>ya</strong> kienyeji imesaidia<br />
kurejea kwa aina mbalimbali za miti, majani na mitishamba. Baadhi<br />
<strong>ya</strong> aina za wan<strong>ya</strong>ma zimeanza kurejea katika eneo husika.<br />
Kiwango cha urejeshaji miti kwenye maeneo tengefu<br />
Kwa mwaka 1986, kiasi cha hekta 600 za ngitili zilijulikana kuwepo<br />
mkoani Shin<strong>ya</strong>nga. Utafiti kwa vijiji 172 kama sampuli ndani <strong>ya</strong><br />
kipindi cha miaka <strong>ya</strong> 1990 ulionyesha kulikuwepo na ngitili 18,607<br />
(284 za jumui<strong>ya</strong>, na zilizobaki zikimilikiwa na ka<strong>ya</strong>) zikichukua eneo<br />
la hekta 78,122. Kwa kuzingatia sampuli hii, mameneja wa mradi<br />
wa HASHI walikadiria kuwa zaidi <strong>ya</strong> hekta 350,000 zilitumika kama<br />
ngitili, na wakazi tisa kati <strong>ya</strong> kumi kwa kila kijiji kwa jumla <strong>ya</strong> vijiji 833<br />
v<strong>ya</strong> mkoa wa Shin<strong>ya</strong>nga wanafurahia bidha na huduma zitokanazo<br />
na u<strong>hifadhi</strong> wa ngitili<br />
Historia <strong>ya</strong> hivi karibuni kuhusu mradi uliosimamiwa na kituo cha<br />
kimataifa cha kilimo cha misitu inadai kuwa kiwango cha ngitili<br />
kimepunguzwa kwenye taarifa rasmi, inawezekana kuwa kuna zaidi<br />
<strong>ya</strong> hekta 500,000 za <strong>ardhi</strong> zilizotengwa.<br />
Karibu asilimia 60 za ngitili zinamilikiwa na watu binafsi, na zilizobaki<br />
zikimilikiwa na serikali za vijiji au taasisi kama vile shule, asasi<br />
za kijamii, makanisa, na misikiti. Inakadiriwa kuwa asilimia 90 <strong>ya</strong><br />
wafugaji, na asilimia 50 <strong>ya</strong> wakulima wanamiliki ngitili zao wenyewe.<br />
Zinatofautiana kwa viwango v<strong>ya</strong> ukubwa na umri.<br />
Kwa upande wa mashariki wa mkoa, eneo lenye mvua kidogo,<br />
ngitili za hekta 500 ni kawaida kuwepo, lakini hupatikana kwa wingi<br />
maeneo <strong>ya</strong> kati <strong>ya</strong> mkoa na maeneo <strong>ya</strong> magharibi ambako kuna<br />
mvua <strong>ya</strong> kutosha, zinaweza kuwa za ukubwa wa chekta chache. Kwa<br />
mwaka 2003, maeneo <strong>ya</strong>liyotengwa kwaajili <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> ni <strong>ya</strong> wastani<br />
wa hekta 164, wakati maeneo binafsi <strong>ya</strong>na wastani wa hekta 2.3.<br />
Kuimarika kwa mimea na wan<strong>ya</strong>ma<br />
Mradi umesaidia kuwepo kwa jumla <strong>ya</strong> aina 152 za miti na vichaka,<br />
hasa kwa njia <strong>ya</strong> u<strong>hifadhi</strong> wa miti michanga kwenye ngitili ambazo<br />
hapo awali <strong>ya</strong>likuwa maeneo ambayo <strong>ya</strong>likuwa ha<strong>ya</strong>na miti. Zaidi<br />
<strong>ya</strong> aina 60 za miti zimetumika na wenyeji kwa malengo tofauti,<br />
kama vile dawa za mitishamba, matunda na mbogamboga, nishati,<br />
mbao, ususi, malisho, uzio, na kuezeka. Aina kumi na tatu za n<strong>ya</strong>si na<br />
ishirini na tano za mitishamba zinapatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> uoto<br />
<strong>ya</strong>liyo<strong>hifadhi</strong>wa. Ngitili za jumui<strong>ya</strong> zinasaidia ku<strong>hifadhi</strong> maeneo <strong>ya</strong><br />
vilima na pembezoni mwa mito, kuzuia mmomonyoko wa udongo,<br />
na ku<strong>hifadhi</strong> v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji.<br />
Wan<strong>ya</strong>ma,kwa hali fulani, wamerejea katika baadhi <strong>ya</strong> maeneo,<br />
hususani ndege kufuatia kuimarika kwa miombo na migunga.<br />
Jumla <strong>ya</strong> spishi 145 za ndege zinapatikana Shin<strong>ya</strong>nga ambazo<br />
hapo awali zilitoweka au ilikuwa nadra kuwepo, zikiwemo aina saba<br />
ambazo hupatikana katika maeneo maalumu. Fisi na wan<strong>ya</strong>ma<br />
wengine kama vile nguruwe pori, sungura, nk. sasa wanapatikana<br />
kama kawaida kiasi kwamba kumekuwepo na migogoro kati <strong>ya</strong><br />
wan<strong>ya</strong>ma na binadamu. Kwa ujumla, mbali na uharibifu unaoletwa<br />
na wan<strong>ya</strong>ma unaokadiriwa kuwa ni hasara <strong>ya</strong> dola 63 za kimarekani<br />
kwa kila familia, kwa mwaka kwa kipindi cha 2004, faida za kiuchumi<br />
za kuwepo kwa ngitili katika vijiji vingi zinazidi hasara hiyo.<br />
MATOKEO YA KIJAMII<br />
i. Faida za kukadiriwa: Faida za kiuchumi na kijamii za <strong>hifadhi</strong> <strong>ya</strong><br />
uoto wa ngitili zilikadiriwa mwaka 2004 na kikosi kazi cha watu kumi<br />
kilichowekwa na serikali <strong>ya</strong> Tanzania na Shirika la Kimataifa la Hifadhi<br />
<strong>ya</strong> Mazingira, kilichokusan<strong>ya</strong> taarifa za utafiti za kisoko kwa ka<strong>ya</strong> 240<br />
kwa vijiji 12 na uchambuzi mwingine wa data kwa ajili <strong>ya</strong> kupima<br />
athari chan<strong>ya</strong> za HASHI. Utafiti huu ulikadiria thamani <strong>ya</strong> pesa<br />
kutokana na ngitili kuwa ni dola za kimarekani 14 kwa mwezi kwa<br />
kila mtu. Hiki ni kiwango kikubwa kwa mtanzania ukizingatia kuwa<br />
kipato cha chini kwa mtanzania wa kijijini ni dola za kimarekani 8.50<br />
kwa mtu mmoja kwa mwezi kwa mwaka 2004.<br />
8