11.07.2015 Views

sera ya wanyamapori ya tanzania wildlife policy of tanzania (swaheli)

sera ya wanyamapori ya tanzania wildlife policy of tanzania (swaheli)

sera ya wanyamapori ya tanzania wildlife policy of tanzania (swaheli)

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mamlaka <strong>ya</strong> Usimamizi ina maana <strong>ya</strong> mamlaka inayosimamia eneomaalumu lililohifadhiwa au sehemu <strong>ya</strong> ardhi.Sheria <strong>ya</strong> Madini ina maana <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Madini Na 17 <strong>ya</strong> mwaka 1979.Waziri ina maana <strong>ya</strong> Waziri ambaye kwa wakati unaohusika ndiyemsimamizi wa mambo <strong>ya</strong>nayohusiana na uhifadhi wa wana<strong>ya</strong>mapori.Mn<strong>ya</strong>ma wa Taifa ina maana <strong>ya</strong> spishi <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma ambayo itatangazwahivyo na Waziri.Mradi wa Taifa wa Pori la Akiba ina maana <strong>ya</strong> Pori la Akiba ambaloupangaji mipango na usimamizi wake uko chini <strong>ya</strong> serikali kuu moja kwamoja.Sheria <strong>ya</strong> Hifadhi za Taifa ina maana <strong>ya</strong> sheria inayoongoza Hifadhi zaTaifa katika Tanzania Bara kifungu cha 418.Maliasili za Taifa ina maana <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> viumbe hai ambayo ni pamojana misitu, wan<strong>ya</strong>ma na mimea <strong>ya</strong> majini, nyuki, wan<strong>ya</strong>mapori na mazao<strong>ya</strong>o.Kamati <strong>ya</strong> Maliasili ina maana <strong>ya</strong> kamati <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> kijiji ambayoinasimamia na kuratibu uhifadhi wa maliasili katika ardhi <strong>ya</strong> kijiji.Sheria <strong>ya</strong> Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro ina maana <strong>ya</strong> sheria inayoongozaHifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro kifungu cha 419.Eneo Lililohifadhiwa ina maana <strong>ya</strong> eneo lililotengwa chini <strong>ya</strong> sheriainayohusika kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori na maliasili nyingine <strong>ya</strong>viumbe hai.Spishi inayolindwa ina maana <strong>ya</strong> aina <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma au mmea inayolindwa namkataba wa kimataifa, au Sheria za Tanzania au za nchi yoyote ile.Kuranchi ina maana <strong>ya</strong> ufugaji katika mazingira <strong>ya</strong>liyodhibitiwa <strong>ya</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!