11.07.2015 Views

sera ya wanyamapori ya tanzania wildlife policy of tanzania (swaheli)

sera ya wanyamapori ya tanzania wildlife policy of tanzania (swaheli)

sera ya wanyamapori ya tanzania wildlife policy of tanzania (swaheli)

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

This is an un<strong>of</strong>ficial translation <strong>of</strong> the Willdife Policy and not an<strong>of</strong>ficial document <strong>of</strong> the Tanzanian Government.SERA YA WANYAMAPORI YA TANZANIAWILDLIFE POLICY OF TANZANIA (SWAHELI)Wizara <strong>ya</strong> Maliasili na UtaliiS.L.P. 9372Dar es SalaamTanzania


YALIYOMO...................................................………NIA NA MATARAJIO ............................................1.0 USULI NA HISTORIA.......................................2.0 RASLIMALI YA TANZANIA YAWANYAMAPORI NA UWEZA WAKE....…………………………2.1 UANUWAI WA KIBIOLOJIA WA TANZANIA.....2.2 MAKAZI.............................................2.3 KATEGORIA YA MAENEO YALIYOHIFADHIWA2.4 MATUMIZI ENDELEVU YA WANYAMAPORI..2.4.1 Kutazama Wan<strong>ya</strong>ma…2.4.2 Uwindaji wa Watalii2.4.3 Uwindaji wa Wakazi2.4.4 Ranchi na mashamba <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori2.5. UTAFITI NA UFUATILIAJI WA WANYAMAPORI.2.6 WAFANYAKAZI NA UIMARISHAJI WAUTENDAJI2.7 MUUNDOMBINU NA VIFAA.................2.8 MISAADA YA KIMATAIFA..2.9 MATATIZO YANAYOIKABILI SEKTA YAWANYAMAPORI..............…………………………….3.0 SERA YA WANYAMAPORI.......................………3.1 CHANGAMOTO.................................…3.2 MALENGO..................................................…3.2.1 Kuhusu Pori la akiba..........23.2.2 Kuhusu Matumizi <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori..................3.2.3 Kuhusu Uendeshaji na Uendelezaji wa Maeneoaliyohifadhiwa.........................3.2.4 Kuhusu Ushirikiano wa Kimataifa3.3 MIKAKATI...................................................3.3.1 Kulinda Uanuwai waKibiolojia.......................…..3.3.2 Kulinda Wan<strong>ya</strong>mapori dhidi <strong>ya</strong> matumiziharamu.......3.3.3 Kuhifadhi na Kusimamia uanuwai wakibiolojia.........3.3.4 Kuhakikisha kwamba Pori la Akibalinashindana na matumizi mengine <strong>ya</strong> ardhiI11344


NIA NA MATARAJIOWizara <strong>ya</strong> Maliasili na Utalii imepewa jukumu la kuta<strong>ya</strong>risha <strong>sera</strong> <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori, kusimamia utekelezaji wake wa kuratibu maendeleo <strong>ya</strong>sekta <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori katika Tanzania. Matarajio <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong>Wan<strong>ya</strong>mapori katika miaka 20 ijayo <strong>ya</strong>nakubaliana na Dira <strong>ya</strong>Maendeleo 2025 <strong>ya</strong> Tanzania kuhusu uimarishaji endelevu wa mazingirana mageuzi <strong>ya</strong> kijamii-kiuchumi. Matarajio <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori ni:• kukuza hifadhi <strong>ya</strong> uanuwai wa kibiolojia• kusimamia na kuendeleza raslimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori• kuwashirikisha wadau wote katika kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori namatumizi endelevu , na katika kugawana kwa usawa mafao<strong>ya</strong>patikanayo• kukuza matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori• kuinua mchango wa sekta <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori katika Pato la Ndanila Taifa (GDP) toka kwenye asilia 2 hadi kufikia kwenyeasilimia 5• kuchangia katika kupunguza umasikini na kuinua hali za maisha<strong>ya</strong> watu wa Tanzania, na• kukuza ubadilishanaji wa taarifa na utaalamu unaohusika,kitaifa, kikanda na kimataifa.1.0 USULI NA HISTORIAKatika Tanzania historia <strong>ya</strong> uhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori inarudi nyuma hadimwaka 1891 wakati sheria za kudhibiti uwindaji zilipoanzishwa na utawalawa Wajerumani. Sheria hizi zilidhibiti uvunaji wa wan<strong>ya</strong>ma; mbinu zauwindaji; na biashara <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori ambapo baadhi <strong>ya</strong> aina <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mawaliokuwa hatarini kutoweka wakiwa wamelindwa kabisa. Hifadhi zakwanza za wan<strong>ya</strong>mapori, zilianzishwa na Wajerumani mnamo mwaka1905 katika eneo ambalo sasa linajulikana kama Pori la Akiba la Selous.Maeneo <strong>ya</strong> kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong>lichaguliwa kutokana na kuwepokwa wan<strong>ya</strong>ma wakubwa, na wala si kutokana na sababu za makundi <strong>ya</strong>oanuwai <strong>ya</strong> kibiolojia.Mnamo mwaka 1921 Serikali <strong>ya</strong> Uingereza ikaanzisha Idara <strong>ya</strong>Wan<strong>ya</strong>mapori, ambayo ilifuatiwa na kutangazwa na serikali kwa Pori la


tunatamka kwa dhati kwamba tutafan<strong>ya</strong> kila tuwezalokuhakikisha kwamba wajukuu wa watoto wetu watawezakufurahia urithi huu mkubwa na wa thamani adimu.Uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>ampori na maeneo yote yenyemapori huhitajia maarifa <strong>ya</strong> kitaalamu, wafan<strong>ya</strong>kazi waliopatamafunzo maalumu, na fedha; na hivyo tunaomba mataifamengine <strong>ya</strong>shirikiane nasi katika kazi hii muhimu, ambayokufanikiwa au kut<strong>of</strong>anikiwa kwake hakuathiri tu Bara la Afrikabali ulimwengu mzima kwa ujumla".(Mwalimu J.K. Nyerere 1961)Azimio la Arusha limekuwa likitumika kutoa mwongozo wa kuhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori katika Tanzania hadi hivi leo.Pamoja na historia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> muda mrefu katika kuhifadhiwan<strong>ya</strong>mapori, Tanzania haikuwahi kuwa na <strong>sera</strong> kamilifu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporikatika muda wote huo. Wan<strong>ya</strong>mapori walikuwa wakilindwa na kutumiwakwa kufuata maelekezo, kanuni na sheria zilizokuwa zikitumiwa na Idara<strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori na asasi nyingine zilizokuwa zimepewa jukumu lakufan<strong>ya</strong> hivyo. Wakati wa uhuru, katika mwaka 1961, idadi <strong>ya</strong> watu katikaTanzania ilikuwa kidogo (milioni 8 tu); idadi ambayo ilifan<strong>ya</strong> pasiwepo namigongano yoyote <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ardhi, hasa ilivyokuwa hapakuwepo namaendeleo yoyote <strong>ya</strong> kisa<strong>ya</strong>nsi na kiteknolojia. Sehemu za ardhi ziliwezakutengwa, kwa urahisi, kwa ajili <strong>ya</strong> kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori pasi bilakuwaathiri sana watu walioshi karibu na maeneo hayo. Leo, idadi <strong>ya</strong> watuTanzania ni takribani milioni 30, na kuna maendeleo <strong>ya</strong> kisa<strong>ya</strong>nsi nakiteknolojia, vitu ambavyo hufan<strong>ya</strong> sasa ardhi iwe kidogo na kusababishakuhitajika kwa mipango ardhi na <strong>sera</strong> <strong>ya</strong> wazi <strong>ya</strong> kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori.


mbalimbali katika Tanzania, ikiwa ni pamoja na maeneo makubwa <strong>ya</strong>Maziwa Makuu (Victoria, Tanganyika na N<strong>ya</strong>sa) ambayo ni muhimu kwasamaki na wan<strong>ya</strong>ma wasio na uti wa mgongo ambao ni adimu. Tanzaniapia ina idadi kadhaa <strong>ya</strong> maziwa <strong>ya</strong> magadi (Natron, E<strong>ya</strong>si, Balangida naMan<strong>ya</strong>ra) ambayo ni muhimu kwa ndege. Misitu <strong>ya</strong> aina kadhaa zakibiolojia hupatikana Tanzania, ikiwa ni pamoja na ile <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>nda za chiniisiyopatikana mahali pengi na ile <strong>ya</strong> hapa na pale iliyoko huko pwani nasehemu za milima. Misitu hii, na hasa hasa ile iliyo katika Tao <strong>ya</strong>Mashariki (Milima <strong>ya</strong> Usambara, Ukaguru, Udzungwa na Uluguru) nimuhimu sana katika uanuwai na upekee wake. Mbuga za kipekee zakwenye milima pia hupatikana katika baadhi <strong>ya</strong> maeneo (milima <strong>ya</strong>Udzungwa, n<strong>ya</strong>nda za Ufipa, na n<strong>ya</strong>nda za juu za Kusini), nazo ni muhimusana kwa mimea <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> asili. Wakati vichaka v<strong>ya</strong> Itigi ni v<strong>ya</strong> pekee kabisakatikati <strong>ya</strong> Tanzania; sehemu <strong>ya</strong> kusini na magharibi <strong>ya</strong> nchi hii imejaa miti<strong>ya</strong> miombo ambayo ina baadhi <strong>ya</strong> idadi kubwa <strong>ya</strong> tembo na faru weusikatika bara hili.2.3 KATEGORIA ZA MAENEO YA WANYAMAPORIMtandao wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa (PAs) katika Tanzania huchukuaasilimia 28 <strong>ya</strong> ardhi yote. Kati <strong>ya</strong> asilimia hiyo, asilimia 4 ni Hifadhi zaTaifa (NP) 12, asilimia 1 ni Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro (NCA), asilimia 15 niMapori <strong>ya</strong> Akiba (GRs) 31, na asilimia 8 ni Mapori Tengefu (GCAs) 38.Kutokana na hali hiyo asilimia 19 <strong>ya</strong> ardhi <strong>ya</strong> Tanzania imetengwa kwaajili <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori katika maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa (PAs) ambakomakazi <strong>ya</strong> binadamu ha<strong>ya</strong>ruhusiwi (NPs na GRs), na asilimia 9 <strong>ya</strong> ardhikwa ajili <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa (PAs) ambako maisha <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori ni sambamba na maisha <strong>ya</strong> binadamu. Sekta <strong>ya</strong> misitu piaimefuata <strong>sera</strong> za uhifadhi ambazo zimeongeza maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa(PAs) katika Tanzania. Jumla <strong>ya</strong> Hifadhi za Misitu 150 huchukua kwenyeasilimia 15 <strong>ya</strong> ardhi yote <strong>ya</strong> Tanzania, ambapo asilimia 3 <strong>ya</strong>ke huingilianana maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa ambayo <strong>ya</strong>metengwa kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori.2.4 MATUMIZI ENDELEVU YA WANYAMAPORIMtandao wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori ndiyo msingi wa tasnia <strong>ya</strong> matumizi endelevu <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori. Matumizi endelevu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori katika Tanzania ni


pamoja na:2.4.1 Kutazama Wan<strong>ya</strong>maKwa sasa Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro (NCA) na Hifadhi za Taifa (NPs) <strong>ya</strong>Tanzania kaskazini ndio maeneo <strong>ya</strong>nayotembelewa sana na watalii,ambapo Maeneo Yaliyohifadhiwa na Mapori <strong>ya</strong> Akiba huko kusini badoha<strong>ya</strong>jatumika vilivyo. Utalii uliokitwa katika kutembelea wan<strong>ya</strong>mapori nakutazama wan<strong>ya</strong>ma ni vitu vyenye uweza mkubwa wa kuingiza pesa nyingiza kigeni na za ndani; na pia kutoa nafasi za ajira.2.4.2 Uwindaji wa kitaliiUwindaji wa kitalii ni matumizi endelevu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori ambayo <strong>ya</strong>nafaida kiuchumi, unaoweza kuendelezwa kwa muda mrefu na ambaounaendana na <strong>sera</strong> <strong>ya</strong> utalii kuhusu utalii wa kiwango kidogo lakini ulio naubora mkubwa ambao unaweza kuchangia vikubwa katika uchumi wa taifa.Kwa sasa uwindaji wa kitalii unafanyika sana katika maeneo mengi <strong>ya</strong>ndani katika Tanzania kwenye Mapori <strong>ya</strong> Akiba (GR), Mapori Tengefu(GCA), Maeneo <strong>ya</strong> Wazi na Hifadhi za Misitu(FRs).2.4.3 Uwindaji wa WakaziWa<strong>tanzania</strong> wa asili wanayo haki <strong>ya</strong> kisheria kuwatumia wan<strong>ya</strong>mapori.Viwango t<strong>of</strong>auti v<strong>ya</strong> malipo vimewekwa kwa wawindaji watalii nawawindaji wakazi kwa mujibu wa sheria. Leseni za wawindaji wakazihutolewa kwa uwindaji kwenye Maeneo <strong>ya</strong> Wazi na Mapori Tengefu(GCAs) ambayo ha<strong>ya</strong>kutengwa kwa ajili <strong>ya</strong> uwindaji wa starehe.2.4.4 Ufugaji wa wan<strong>ya</strong>maporiUfugaji wa wan<strong>ya</strong>mapori ni shughuli ambayo bado haijaendelezwa sanakatika Tanzania.Si <strong>sera</strong> <strong>ya</strong> serikali kujiingiza moja kwa moja katika kuwekezakwenye matumizi <strong>ya</strong> raslimali za wan<strong>ya</strong>mapori katika Tanzania. Kwa hiyosekta <strong>ya</strong> binafsi inashawishiwa kuwekeza katika maeneo <strong>ya</strong>fuatayo:(i) Kuendesha shughuli za safari za uwindaji na upigaji picha (zaWan<strong>ya</strong>ma).(ii) Kuwekeza katika ufugaji wa wan<strong>ya</strong>mapori.(iii) Wan<strong>ya</strong>mapori na bidhaa za Wan<strong>ya</strong>mapori.iv) Kuanzisha miundombinu katika kiunzi cha <strong>sera</strong> <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori


na mipango <strong>ya</strong> uendeshaji wamaeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa.2.5 UTAFITI NA UFUATILIAJI WA WANYAMAPORIKiasi kikubwa cha utafiti juu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kimekwishafanywa katikaTanzania, na utafiti huo umechangia vikubwa katika kueneza habari nakuwatangaza wan<strong>ya</strong>mapori katika Tanzania. Utafiti uliokwishafanywampaka sasa umekuwa ni wa aina anuwai ikiwa ni pamoja na maelezo <strong>ya</strong>kitaksonomia <strong>ya</strong> spishi mbalimbali na maeneo ambako wan<strong>ya</strong>ma haohuishi, tabia zao, ekolojia <strong>ya</strong> kila spishi, na mitalaa kuhusu michakato <strong>ya</strong>mifumo <strong>ya</strong> kiekolojia. Programu kadhaa za ufuatiliaji wa wan<strong>ya</strong>maporizinaendeshwa, hasa kwa njia <strong>ya</strong> kuhesabu wan<strong>ya</strong>ma kutoka angani katikamaeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa na sehemu zinazo<strong>ya</strong>zunguka, na kwa njia <strong>ya</strong>kuangalia idadi za wan<strong>ya</strong>ma mbalimbali katika kipindi cha utafiti wa mudamrefu.Utafiti uliokwishafanywa mpaka sasa umekuwa zaidi umeelekezwakwenye matamanio <strong>ya</strong> watafiti wa kigeni kuchapisha matokeo <strong>ya</strong> utafitiwao kimataifa, kuliko kuzingatia mahitajio <strong>ya</strong> Tanzania. Aidha, niWa<strong>tanzania</strong> wachache sana ambao wamewahi kushirikishwa katika utafitiwa wan<strong>ya</strong>mapori, ambao unafanywa zaidi na wageni ambaowameruhusiwa kusoma nchini. Zaidi <strong>ya</strong> hapo, mamlaka <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporiwamekuwa kila mara wana matatizo <strong>ya</strong> kifedha na wataalamu wa kutoshakufan<strong>ya</strong> utafiti halisi na utafiti matumizi ambao ungekuwa endelevu zaidi.2.6 WAFANYAKAZI NA UIMARISHAJI WA UTENDAJIKuna utaratibu mzuri wa muundo wa watumishi wa wan<strong>ya</strong>mapori ambaounaonyesha mahitajio halisi <strong>ya</strong> ikama, sifa na ngazi za wafan<strong>ya</strong>kazi.Pamoja na utaratibu huu mzuri bado kuna udhaifu katika utekelezaji wamuundo huo wa watumishi. Aidha watumishi wa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori nichini <strong>ya</strong> 50% <strong>ya</strong> mahitaji <strong>ya</strong>ke; na hata hao waliopo wengi wao ni wa kada<strong>ya</strong> chini. Mafunzo <strong>ya</strong>natolewa huko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, SUAna ng'ambo kwa ajili <strong>ya</strong> Shahada za kwanza na Shahada za uzamili;CAWM kwa ajili <strong>ya</strong> astashahada, stashahada, diploma na stashahada <strong>ya</strong>uzamili; na Taasisi <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong> Pasiansi kwa ajili <strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong>vyeti v<strong>ya</strong> maskauti / maaskari.


2.7 MIUNDOMBINU NA VIFAAHali <strong>ya</strong> miundombinu na vifaa katika maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa iko chini <strong>ya</strong>kiwango kitakikanacho. Barabara ni mba<strong>ya</strong>; vifaa kama vile magari, zanaza uwandani na silaha navyo viko katika hali mba<strong>ya</strong> na havitoshi; majengo<strong>ya</strong> <strong>of</strong>isi na wafan<strong>ya</strong>kazi ni <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> chini, na ha<strong>ya</strong>toshelezi.2.8 MISAADA YA KIMATAIFATanzania ina raslimali kidogo sana kuweza kushughulikia suala lakuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori peke <strong>ya</strong>ke. Kutokana na hali hiyo imekuwaikisaidiwa kifedha na kiutaalam na mashirika <strong>ya</strong>nayojitegemea, namashirika <strong>ya</strong> wahisani kutokana na uhusiano baina <strong>ya</strong> nchi na nchi aukutoka mataifa kadhaa.2.9 MATATIZO YANAYOIKABILI SEKTA YAWANYAMAPORIPamoja na karama hii na uweza wake wa kiuchumi kwa taifa na jumui<strong>ya</strong> zavijijini zilizo jirani na maeneo <strong>ya</strong> hifadhi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, sekta <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori haijaweza kuendelezwa kufikia uweza wake kikamilifukutokana na matatizo <strong>ya</strong>fuatayo:(i) Kutokuwepo na Sera <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori iliyo wazi.ii) Kushindwa kwa uhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori kushindana na kikamilifuna namna nyingine za matumizi <strong>ya</strong> ardhi, hasa katika jamii zavijijini.iii) Kutokuwepo na mwamko juu <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>maporimiongoni mwa wapangaji mipango na maafisa wenye mamlaka, nahivyo basi, suala la ardhi na wan<strong>ya</strong>mapori kupewa uzito kidogosana wakati wa upangaji mipango.iv) Kupotea au kutoweka kwa makazi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kutokana namakazi <strong>ya</strong> watu, kilimo, malisho <strong>ya</strong> mifugo, uchimbaji migodi naukataji miti; mambo ambayo husababishwa na kuongezeka kwaidadi <strong>ya</strong> watu.(v) Kuongezeka kwa ujangili kwa kasi kubwa na biashara isiyo halali.v) Kutotosheleza kwa mahitaji <strong>ya</strong> kifedha na watu kuiwezeshaserikali kutoa madaraka <strong>ya</strong> usimamizi wa wan<strong>ya</strong>mapori kwa watuwa vijijini nchini kote.vi) Mfumo uliopo wa umiliki ardhi na umiliki wa serikali juu <strong>ya</strong>


wan<strong>ya</strong>mapori huzuia uwekezaji na uendelezaji wa tasnia <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori wa sekta binafsi.(viii) Kutokuwepo kwa haki toshelevu juu <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori, hasa kwa jamii za vijijini.(ix) Kutokuwepo na uwezo wa kutosha wa kuwadhibiti wan<strong>ya</strong>mawakali na waharibifu.x) Utengewaji kidogo wa fungu la bajeti kwa ajili <strong>ya</strong> hifadhi nauendelezaji wa sekta <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori.xi) Malipo kidogo <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi ambayo husababisha kushuka kwaraghba katika kazi nammonyoko wa maadili <strong>ya</strong> kikazi.(xii) Upungufu wa watendaji wa kuendesha shughuli za kuhifadhiwan<strong>ya</strong>mapori.Katika kutambua umuhimu wa kuhifadhi uanuwai wa kibiolojia(bioanuwai) kwa ajili <strong>ya</strong> mustakabali wa wanaadamu, Taifa litaendeleakuwa mmiliki mkuu wa wan<strong>ya</strong>mapori. Serikali itatoa haki za matumizi kwawadau, kuweka miongozo <strong>ya</strong> <strong>sera</strong> iliyo wazi, chombezaji wa uwekezajikatika wan<strong>ya</strong>mapori wa sekta za uma na binafsi na kuwapa kila msaadauwezekanao wawekezaji.Katika mabadiliko <strong>ya</strong>nayotokea <strong>ya</strong> kiekolojia, kiuchumi-kijamiikatika muktadha wa kitaifa na kimataifa, dhima <strong>ya</strong> serikali katika sekta <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori itakuwa imeelekezwa zaidi kwenye:i) Kuweka <strong>sera</strong> madhubuti za uendeshaji wa shughuli zawan<strong>ya</strong>mapori, na kushiriki kikamilifukatika uendeshaji na usimamizi wa raslimali za wan<strong>ya</strong>maporinchini kote.ii) Kuweka na kuwezesha kuwepo kwa mazingira halali na <strong>ya</strong>kisheria <strong>ya</strong>takayoziwezesha jamii zavijijini na sekta binafsi kushiriki katika shughuli za pori la akiba.iii) Kuweka utaratibu endelevu utakaosimamia na kuhakikishakwamba kunaendelea kuwepo maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa ambapowan<strong>ya</strong>mapori na maeneo mengine <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong>taendeleakuhifadhiwa.(iv) Kupiga vita matumizi haramu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.


(h)(i)(j)(k)(l)vilivyo na namna nyingine za matumizi <strong>ya</strong> ardhi.Kutia nguvu utambuzi wa thamani na faida <strong>ya</strong> kudumu ambayojamii za vijijini zinaweza kupata kutokana na shughuli zawan<strong>ya</strong>mapori.Kupunguza, kila inapowezekana, migongano baina <strong>ya</strong> watu nawan<strong>ya</strong>mapori.Kurekebisha utafiti unaohusu shughuli za wan<strong>ya</strong>mapori ili uwe wamanufaa <strong>ya</strong> moja kwa moja katika uendeshaji wa shughuli zawan<strong>ya</strong>mapori.Kukuza uwezo wa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori na kuongeza weledi; naKujenga mazingira mazuri <strong>ya</strong>takayowezesha kuwepo kwaushirikiano wa kimataifa katika kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori.3.2 MALENGOWan<strong>ya</strong>mapori ni maliasili iliyo na umuhimu mkubwa kibiolojia, kiuchumi,katika kusafisha mazingira, kuboresha hali <strong>ya</strong> hewa, kuhifadhi maji naardhi, na virutubisho ambavyo havina budi kuhifadhiwa. Maliasili hiiinaweza kutumiwa daima dumu kama inaweza kuangaliwa vizuri ipasavyo.Kutokana na hali <strong>ya</strong> mabadiliko na hali <strong>ya</strong> uchangamani wa raslimali <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mpori na mambo <strong>ya</strong>nayoikabili huko mbele katika kuihifadhi, <strong>sera</strong><strong>ya</strong> serikali, kwa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, italenga katika kuishirikishasehemu kubwa <strong>ya</strong> jamii katika kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori, hasa jamii zavijijini na sekta binafsi. Kazi <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> umma itakuwa ni kuchochea nakuziongoza jamii za sehemu mbalimbali nchini na sekta binafsi kwakusimamia, kurekebisha na kukuza uendeshaji wa shughuli zawan<strong>ya</strong>mapori kupitia malengo <strong>ya</strong>fuatayo:3.2.1 Kuhusu Pori la akiba• Kuendelea kuanzisha Maeneo Yaliyohifadhiwa (PAs) kwamisingi <strong>ya</strong> mipango inayozingatia mifumo shirika.• Kusisitiza kuhifadhi na kuendeleza mtandao wa MaeneoYaliyohifadhiwa ili kuongeza uanuwai wa kibiolojia.• Kukuza uhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori na makazi <strong>ya</strong>o nje <strong>ya</strong> maeneokiini (NPs, GRs, & NCA) kwa kuanzisha Maeneo <strong>ya</strong> Jumui<strong>ya</strong><strong>ya</strong> Usimamizi Wan<strong>ya</strong>mapori (WMA).• Kuhamishia usimamizi wa Maeneo <strong>ya</strong> Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> UsimamiziWan<strong>ya</strong>mapori (WMA); kwa wananchi vijijini na hivyo basi


kuulinda ushoroba wa wan<strong>ya</strong>ma, njia za uhamaji, maeneo <strong>ya</strong>usalama wa wan<strong>ya</strong>ma, na kuhakikisha kwamba jamii zilizokatika maeneo hayo <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>ma zinafaidika vilivyokutokana na uhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori.• Kuzuia matumizi haramu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori nchini kote kwakuchukua hatua endelevu za usimamizi, ulinzi na kutekelezasheria.3.2.2 Kuhusu Matumizi <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori• Kuendeleza matumizi <strong>ya</strong> Maeneo Yaliyohifadhiwa (PAs) ilikuipatia serikali fedha, kuwapatia ajira, mapato, chakula nafaida nyingine kwa Wa<strong>tanzania</strong>; hasa katika jamii za vijijini.• Kuhakikisha kwamba wan<strong>ya</strong>mapori wanathaminiwa vilivyoili kupunguza matumizi haramu na kuhimiza matumiziendelevu katika jamii za vijijini.• Kuweka mazingira endelevu kwa Wa<strong>tanzania</strong> kuwezakujishughulisha na tasni<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.• Kuweka na kuwezesha kuwepo kwa mazingira ambayo<strong>ya</strong>tahakikisha kwamba mipango endelevu na halali <strong>ya</strong>shughuli za wan<strong>ya</strong>mapori inazifaidia moja kwa moja jamii zamahali mipango hiyo ilipo.• Kuanzisha na kuwezesha kuwepo kwa mazingira endelevukwa sekta binafsi kuweza kuwekeza katika namnambalimbali za uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>ampori na matumizi <strong>ya</strong>ke.3.2.3 Kuhusu Uendeshaji na Uendelezaji wa MaeneoYaliyohifadhiwa (PAs)• Kuchochea mwamko na welewa wa umma juu <strong>ya</strong> masuala <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori.• Kubakiza fedha za kutosha zinazotokana na matumizi <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori katika maeneo hayo (PAs) kwa ajili <strong>ya</strong>shughuli za uendeshaji na ukuzaji wa shughuli hizo.• Kurekebisha na kusimamia miradi <strong>ya</strong>/au shughuli zamaendeleo katika maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa (PAs).• Kukuza utafiti na ufuatiliaji wa shughuli ambazo zimelenga


katika kupata utatuzi wa masuala <strong>ya</strong> uendeshaji.• Kuendesha mipango <strong>ya</strong> kuendeleza wafan<strong>ya</strong>kazi na uwezowa kiasasi katika ngazi zote, na• Kurejesha kwa nguvu moja miiko na viwango v<strong>ya</strong> kieledi.3.2.4 Kuhusu Ushirikiano wa Kimataifa• Pale inapokuwa lazima na inapowezekana au kuwa endelevukuna haja <strong>ya</strong> kuwashawishi wafadhili, pamoja na mashirikamengine <strong>ya</strong> hifadhi, kushiriki katika kuisaidia Tanzaniakuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori wake, kwa manufaa <strong>ya</strong> kitaifa,kikanda na kimataifa.• Kuiwezesha Tanzania kushiriki katika mikataba namakubaliano husika <strong>ya</strong> kimataifa, na kukuza <strong>sera</strong> katikakiunzi cha mikataba na makubaliano hayo kadri<strong>ya</strong>navyoendana na kukubaliana na msimamo wa Tanzaniakuhusu uhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori, na• Kushirikiana na nchi jirani katika kuhifadhi na kulindamifumo <strong>ya</strong> kiekolojia katika maeneo <strong>ya</strong> mipaka <strong>ya</strong> nchi zao.


3.3 MIKAKATIIli kutekeleza malengo <strong>ya</strong> <strong>sera</strong> <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori mikakati ifuatayoimewekwa.3.3.1 Kulinda bioanuwaiLengo la msingi la mtandao wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa ni kuanzishamfululizo wa maeneo <strong>ya</strong>nay<strong>of</strong>aa <strong>ya</strong> hifadhi <strong>ya</strong>nayowakilisha makazi asilia<strong>ya</strong> aina zote muhimu na idadi <strong>ya</strong> kutosha <strong>ya</strong> spishi zote hasa zile ambazouhai wake nchini Tanzania unatishiwa. Ongezeko la watu linazidishamatumizi <strong>ya</strong> rasilimali za kibiolojia hasa kutokana na kilimo, ufugaji naujenzi wa makazi. Ili kutekeleza lengo la mtandao, serikali itaendeleaku<strong>ya</strong>dumisha maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa na kuanzisha mengine map<strong>ya</strong> kwamadhumuni <strong>ya</strong> kulinda bioanuwai.Mikakati <strong>ya</strong> kulinda bioanuwaii) kuendelea kudumisha mtandao wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa ambaomalengo <strong>ya</strong>ke makuu ni kuwezesha hifadhi na kukuza maendeleo<strong>ya</strong> kijamii na kiuchumi <strong>ya</strong> watu wa Tanzania;ii) kutambua, kuanzisha na kuboresha mfululizo wa mtandao wamaeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa na ardhioevu muhimu ili kulindabioanuwai <strong>ya</strong> Tanzania;iii) kuanzisha kategoria mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> eneo linalohifadhiwa litakalojulikanakama Eneo la jumui<strong>ya</strong> la Usimamizi wa Wana<strong>ya</strong>mapori kwa ajili<strong>ya</strong> kuwezesha usimamizi wa Uhifadhi Uliokitwa katika jumui<strong>ya</strong>;iv) kuzipatia hifadhi maalum spishi za wan<strong>ya</strong>mapori zilizo adimu auzilizoko katika hatari <strong>ya</strong> kutoweka;(v) kuzijumuisha ardhioevu muhimu katika mtandao wa maeneo <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong>liyohifadhiwa;(vi) kupima na kupata hatimiliki za maeneo yote <strong>ya</strong>nayohifadhiwa.3.3.2 Kulinda wan<strong>ya</strong>mapori dhidi <strong>ya</strong> matumizi haramuTishio kuu la mtandao wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa na wan<strong>ya</strong>mpori nimatumizi haramu <strong>ya</strong> rasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori. Mamlaka za wan<strong>ya</strong>maporizina jukumu la kupambana na matumizi haramu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa


mikakati <strong>ya</strong> aina mbili lakini inay<strong>of</strong>ungamana inayolenga kwenye maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa na <strong>ya</strong> nje <strong>ya</strong> hifadhi. Ili ziweze kutekeleza sheria vizuri,serikali inazitambua mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori zinazosimamia maeneo <strong>ya</strong>hifadhi kuwa na hadhi <strong>ya</strong> kijeshi zenye wafan<strong>ya</strong>kazi wanaovaa sare,kubeba silaha na wenye madaraka <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> msako na kutia mbaroniwatu. Kwa vile vita dhidi <strong>ya</strong> ujangili kwa kiasi fulani inategemea nguvukazi,vifaa na hamasa <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi, serikali itahakikisha kwambamamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori zina uwezo wa kutosha wa kutekeleza sheriaipasavyo.Mikakati <strong>ya</strong> kuwalinda wan<strong>ya</strong>mapori dhidi <strong>ya</strong> matumizi haramui) kushirikiana na vyombo vingine v<strong>ya</strong> utekelezaji sheria katikakufuatilia makosa dhidi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori;(ii) kusaidia mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori katika utekelezaji wamajukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kisheria;(iii) kuanzisha sheria za nidhamu;v) kuhakikisha kwamba wafan<strong>ya</strong>kazi wa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporiwanafuata sheria zanidhamu ipasavyo;vi) kuanzisha mifumo imara <strong>ya</strong> upashanaji habari databezi zaupelelezi vituoni na katika ngazi <strong>ya</strong> taifa;vii) kuwalinda wafan<strong>ya</strong>kazi wa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori dhidi <strong>ya</strong> dhimazinazotokana na kujeruhi au vifo v<strong>ya</strong> watuhumiwa wakatiwanapotekeleza kazi zao;(vii)viii)ix)kushirikiana na kutumia vema ushirikiano na jumui<strong>ya</strong> za vijijini;kukabidhi madaraka <strong>ya</strong> kudhibiti matumizi haramu <strong>ya</strong>wana<strong>ya</strong>mapori katika Maeneo <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Usimamizi waWana<strong>ya</strong>mapori kwa jumui<strong>ya</strong> za vijijini;kuwapatia mafunzo na msaada askari wa wan<strong>ya</strong>mapori wa vijijiniili walinde rasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori wanazozidhibiti chini <strong>ya</strong>mpango wa Uhifadhi Uliokitwa katika Jumui<strong>ya</strong> (CBC); nax) kuanzisha na kuendeleza mikakati <strong>ya</strong> kupata fedha za kutosha ilikuziwezesha mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori kuwa na wafan<strong>ya</strong>kazi wakutosha na kuinua hamasa <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi hao.3.3.3 Kuhifadhi na kusimamia bioanuwaiTanzania imetenga eneo la kutosha la ardhi <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> mtandao wa


(i)(ii)(iii)(iv)(v)(vi)(vii)(viii)(ix)(x)kusimamia wan<strong>ya</strong>mapori kwa kuhifadhi makazi asilia <strong>ya</strong> spishimuhimu za wan<strong>ya</strong>mapori ikiwa ni pamoja na ardhioevu kupitiamamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori na kwa kukasimu majukumu <strong>ya</strong>usimamizi wa maeneo <strong>ya</strong>nayokaliwa na watu yenye wan<strong>ya</strong>maporina <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>siyokaliwa na watu <strong>ya</strong>liyopo nje <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa kisheria kwa wanavijiji au sekta <strong>ya</strong> binafsi;kubakisha umiliki na usimamizi wa jumla wa rasilimali zawan<strong>ya</strong>mapori mikononi mwa Serikali, ili kuhakikisha kwambavipaumbele v<strong>ya</strong> taifa vinazingatiwa na matumizi maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>rasilimali hizi <strong>ya</strong>nadhibitiwa;kusimamia rasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori kwa msingi wa mifumo <strong>ya</strong>ikolojia, badala <strong>ya</strong> mipaka <strong>ya</strong> kiutawala, kutokana na hulka <strong>ya</strong>mjongeo <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, upatikanaji wa rasilimali na kutandaakwa makazi asilia;kukataza uchimbaji madini katika meneo <strong>ya</strong>nayolindwa <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori (Hifadhi za Taifa, Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro, Mapori<strong>ya</strong> Akiba) ili kuhifadhi bioanuwai;kukataza ukamataji na uhamishiaji spishi katika maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa isipokuwa kwa idadi ndogo tu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporiwaliopo na kwa spishi zilizokwishatoweka;kuandaa mipango <strong>ya</strong> usimamizi <strong>ya</strong> baadhi <strong>ya</strong> spishi au makundimaalum <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong>liyoainishwa ili kuhakikisha kwamba<strong>ya</strong>naendelea kuishi;kurekebisha uingizaji nchini wa spishi za nje na urejeshaji up<strong>ya</strong> waspishi asilia za maeneo husika, ili kudhibiti athari hasi zinazowezakusababishwa na uingizwaji na urejeshwaji wa spishi hizomaporini;kuendeleza mipango <strong>ya</strong> usimamizi na ugawaji kwa ajili <strong>ya</strong>matumizi mbalimbali, maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa kisheria,, huku kilaeneo likiwekewa kiwango na aina <strong>ya</strong> matumizi, ili kuhakikishakuwa malengo <strong>ya</strong> kila eneo linalohifadhiwa <strong>ya</strong>natekelezwaipasavyo;kukuza ushiriki wa wadau katika kutenga maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa na kupanga mipango <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> maeneohayo;kuhimiza utekelezaji wa tathmini <strong>ya</strong> athari <strong>ya</strong> mazingira kwamiradi <strong>ya</strong> maendeleo iliyopendekezwa katika maeneno


uwekezaji mkubwa, ambao serikali haina uwezo nao. Hivyo, nafasimuhimu <strong>ya</strong> sekta binafsi katika kuwekeza kwenye maendeleo <strong>ya</strong> tasnia <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori inatambuliwa. Kutokana na hali hii, serikali inadhamiria:-(a) uhimiza uwekezaji wa sekta binafsi katika matumizi mbalimbali <strong>ya</strong>rasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori kulingana na kanuni za hifadhi <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori, na kwa namna inayowezesha Wa<strong>tanzania</strong> kupatafaida <strong>ya</strong> juu kabisa kutokana na mapato <strong>ya</strong>tokanayo nawan<strong>ya</strong>mapori.(b) Kufan<strong>ya</strong> kazi na asasi nyinginezo zitakazotoa kiunzi cha jumla chakuwekeza katika tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.(c) Kuhakikisha kwamba wawekezaji wanazingatia kanuni za hifadhina wana msingi imara wa kifedha kwa miradi inayopendekezwa.(d) Kuchochea ukuaji wa tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa kutoa milikikwa n<strong>ya</strong>kati zinaz<strong>of</strong>aa, mazingira mazuri <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi nakutenga maeneo mazuri <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa ajili <strong>ya</strong>ku<strong>ya</strong>endeleza.(e) Kujenga tasnia <strong>ya</strong> kitalii <strong>ya</strong> kimataifa na kitaifa iliyo imara, kwavile utalii nchini Tanzania kwa kiwango kikubwa unategemeakuangalia wan<strong>ya</strong>ma katika maeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa, na kuwindawan<strong>ya</strong>mapori.(f) Kukuza mfululizo wa shughuli zinazoboresha zaidi tasnia <strong>ya</strong> utalii<strong>ya</strong> Tanzania huku ikihakikishwa kuna msingi wa hifadhi <strong>ya</strong>rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori unaoisaidia tasnia.Mikakati <strong>ya</strong> kuzalisha fedha za kigeni(i) kuwashurutisha wale wote wenye uwezo wa kuwekeza katikasekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kusajili makampuni <strong>ya</strong>o nchini Tanzania;(ii) kuruhusu makampuni <strong>ya</strong>liyosajiliwa kufan<strong>ya</strong> kazi katika tasnia <strong>ya</strong>utalii kwa masharti kwamba Wakurugenzi na wafan<strong>ya</strong>kazi wamakampuni hayo, wa ndani na kutoka nje <strong>ya</strong> Tanzania, wanarekodi safi za utendaji kazi;(iii) kuhakikisha kwamba ada zinazokubalika zinalipwa na wawekezajiili wapatiwe haki <strong>ya</strong> kutumia rasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori;(iv) kuhakikisha kwamba thamani <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporihaidunishwi, kwa kuweka bei na ada sahihi za aina mbalimbali zamatumizi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori;(v) kudhibiti uingiaji na shughuli za wageni (watalii) katika maeneo


(vi)<strong>ya</strong>nayodhibitiwa; nakuuza rasilinali za wan<strong>ya</strong>mapori kulingana na <strong>sera</strong> <strong>ya</strong> utalii <strong>ya</strong>taifa.3.3.8 Kutambua thamani halisi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa watu wavijijiniNi haki <strong>ya</strong> raia wa Tanzania kuruhusiwa kisheria kutumia wan<strong>ya</strong>mapori.Ingawa tasnia <strong>ya</strong> uwindaji kwa wananchi katika maeneo <strong>ya</strong>liyo waziinastawi, sasa inatambulika kuwa utaratibu huu unawanufaisha zaidiWa<strong>tanzania</strong> matajiri waishio mijini na wakazi wasio raia, na kwambamuundo wa sasa wa tasnia unaleta matatizo mengi <strong>ya</strong> kiusimamizi. Kwaupande mmoja, wanavijiji hawana uwezo wa kulipa ada za leseni walakutumia silaha zao za asili kwa mujibu wa sheria zilizopo. Kwa upandemwingine, Wa<strong>tanzania</strong> matajiri wa mijini wanaomba idhini <strong>ya</strong> kuua kwarisasi wan<strong>ya</strong>ma kadhaa kwa bei iliyo <strong>ya</strong> chini sana ambayo haizipatii faidajumui<strong>ya</strong> za vijijini zenye ardhi inayotumiwa kwa mawindo <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori. Uwindaji kwa wakazi wa Tanzania kitaendelea kuwakipengee muhimu cha <strong>sera</strong> hii.Mikakati <strong>ya</strong> kutambua thamani halisi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa jumui<strong>ya</strong>za vijijini(i) kufan<strong>ya</strong> kazi kwa kushirikiana na jumui<strong>ya</strong> za vijijini,(ii) kuhimiza uwindaji wa wenyeji/wakazi ambao utazinufaishajumui<strong>ya</strong> za vijijini katika Maeneo <strong>ya</strong> Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Usimamizi waWan<strong>ya</strong>mapori (WMA) ambapo uwindaji huo unaendeshwa.;(iii) kuziruhusu jumui<strong>ya</strong> za vijijini kuwinda katika Maeneo <strong>ya</strong> Jumui<strong>ya</strong><strong>ya</strong> Usimamizi wa Wan<strong>ya</strong>mapori chini <strong>ya</strong> mpango wa UhifadhiUliokitwa katika Jumui<strong>ya</strong> (CBC) ambao lengo lake ni kukuzamaendeleo <strong>ya</strong> wanajumui<strong>ya</strong> wanaoishi miongoni au karibu nawan<strong>ya</strong>mapori;(iv) kuwezesha uanzishwaji wa programu za CBC katika WMA kwakuzisaidia jumui<strong>ya</strong> za vijijini kupata hati miliki <strong>ya</strong> ardhi au haki <strong>ya</strong>kutumia ardhi kwa muda mrefu na kuziwezesha jumui<strong>ya</strong> hizokutumia wan<strong>ya</strong>mapori na maliasili katika ardhi hiyo;(v) kuzingatia ipasavyo ukusan<strong>ya</strong>ji wa mazao asilia katika Mapori <strong>ya</strong>akiba, almradi ukusan<strong>ya</strong>ji huo unafanywa kwa misingi <strong>ya</strong>uendelevu na uharibifu mdogo sana wa mazingira na bila kwenda


(vi)(vii)(viii)(ix)(x)kinyume na malengo <strong>ya</strong> msingi <strong>ya</strong> usimamizi wa hifadhi zawan<strong>ya</strong>mapori.kuanzisha uundaji wa V<strong>ya</strong>ma Vilivyokasimiwa kwa ajili <strong>ya</strong>kusimamizi kiendelevu wan<strong>ya</strong>maopori nje <strong>ya</strong> maeneo kitovu<strong>ya</strong>liyohifadhiwa;kuanzisha na kuimarisha uundaji wa V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Uwakilishi kwaajili <strong>ya</strong> bidhaa au mazao maalum <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori ili kuendelezatasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori katika hali <strong>ya</strong> kutojenga ukiritimba nakusaidia kuhakikisha kuwa kunakuwepo mgawanyo sawa na borawa fursa zilizopo;kuinua matumizi <strong>ya</strong> maarifa <strong>ya</strong> asili katika hifadhi na usimamiziwa maliasili;kuzingatia kipekee njia za jadi za uwindaji zinazotumiwa najumui<strong>ya</strong> au makabila maalum <strong>ya</strong> vijijini; nakukuza biashara <strong>ya</strong> ndani <strong>ya</strong> mazao <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori ili kuongezathamani <strong>ya</strong> spishi asilia za wan<strong>ya</strong>mapori kwa Wa<strong>tanzania</strong>.3.3.9 Kugawana manufaaInatafahamika kwamba kuna mlolongo wa manufaa <strong>ya</strong> moja kwamoja na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> moja kwa moja <strong>ya</strong>nayotokana na wan<strong>ya</strong>mapori, nakwamba mgawanyo wa mapato hayo ni manufaa muhimu. Kuhusiana najambo hili, wadau kadhaa wa uhifadhi wa wn<strong>ya</strong>mapori wanatambuliwakama ifuatavyo:-• jumui<strong>ya</strong> za vijijini na wadau binafsi, wanaoishi karibu na (au, kwaupande wa Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro, ndani <strong>ya</strong>) maeneo<strong>ya</strong>nayodhibitiwa na miongoni mwa wan<strong>ya</strong>mapori nje <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa;• halmashauri za wila<strong>ya</strong>, zinazogharamikia kutokana na kuanzishamaeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa na kutoa huduma kwa jumui<strong>ya</strong> zavijijini;• mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori, zinazosimamia maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa na kutoa ushauri wa kiufundi juu <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori walio nje <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa;• serikali kuu, inayogharamika kutokana na kuanzisha maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa na kutoa huduma kitaifa; na• sekta <strong>ya</strong> binafsi, inayotumia wan<strong>ya</strong>mapori ndani na nje <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa na inayolipa kodi kwa serikali kutokana na faida


inazozipata.Sera hii inatumia mgawanyo wiani wa mapato na manufaa kwa wadauunaozingatia wajibu/kazi zao katika kategoria mbalimbali za ardhi, juhudiiliyowekezwa katika kuhifadhi rasilimali, na gharama za kiasasi na zausimamizi.Mikakati <strong>ya</strong> kugawana manufaa(i) kuwashirikisha wadau mbalimbali katika kuamua jinsi <strong>ya</strong>kugawana mapato na manufaa miongoni mwao; na(ii) serikali kuweka viwango v<strong>ya</strong> mgawanyo wa faida na kuvibadilishamara kwa mara.3.3.10 Kudhibiti na kuendeleza tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporiMtandao wa maeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori ni msingi wa tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong> Tanzania, na piasehemu kubwa <strong>ya</strong> tasnia <strong>ya</strong> utalii <strong>ya</strong> Tanzania. Matumizi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporihujumuisha <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>siyo haribifu, kimsingi utazamaji wa wan<strong>ya</strong>mapori kwawageni wakazi, na matumizi haribifu kama vile uwindaji wa kitalii nawakazi, ukamataji wa wan<strong>ya</strong>ma hai; upunguzaji wan<strong>ya</strong>ma, uanzishaji waranchi na mashamba <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, uuzaji wa n<strong>ya</strong>ra na ulinzi wa maishana mali za binadamu. Shughuli hizi huzalisha mapato kutokana na adazinazolipwa moja kwa moja kwa maeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa na gharamazinazotozwa na mawakala wa utalii na watoa huduma za kitalii katikamaeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa. Tasnia <strong>ya</strong> utalii, ambayo msingi wake unatokanana wan<strong>ya</strong>mapori, inakua vizuri na ni sekta muhimu katika uchumi waTanzania yenye uwezo wa kukua zaidi hapo baadaye. Serikali itahimizauwekezaji binafsi katika aina mbalimbali za matumizi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporikwa namna inayoendana na kanuni za uhifadhi na inayowapatiaWa<strong>tanzania</strong> kiwango cha juu kabisa cha mapato kutokana na wan<strong>ya</strong>mapori.Mikakati <strong>ya</strong> kudhibiti na kuendeleza tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori(i) kuamua viwango vinavyokubalika v<strong>ya</strong> watalii watazamaji wawan<strong>ya</strong>mapori kulingana na ustahimilivu wa maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa;(ii) kutathmini mtiririko wa watalii ambao hautaleta uharibifu katikaikolojia na ambao unaongeza ubora wa hisia na burudani kwa


(iii)(iv)(v)(vi)(vii)(viii)(ix)(x)mgeni.kupanua safari za kitalii na kuridhisha watalii;kushirikiana na sekta husika katika kuboresha mtandao wabarabara zinazoelekea kwenye vituo v<strong>ya</strong> kitalii na katika maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa;kuwezesha rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori na maeneo<strong>ya</strong>nayohifadhiwa kuthaminiwa na kutambuliwa zaidi, na kuzuiashughuli za kitalii zinazolenga katika mgeni na mtumiajikusongamana kwenye tukio;kuhimiza na kukuza utazamaji wa wan<strong>ya</strong>ma ndani <strong>ya</strong> WMAzinaz<strong>of</strong>aa na ambazo zinaweza kutoa fursa anuwai za barudanikuliko zilizo katika maeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa.kushauri mamlaka za kitalii juu <strong>ya</strong> viwango v<strong>ya</strong> chini kabisavinavyohitajika kuzingatiwa na mawakala wa utalii wote ambaobiashara <strong>ya</strong>o hutegemea utazamaji wa wan<strong>ya</strong>mapori;kutumia mikabala inayoweza kubadilishwa, ambayo kimsingihutegemea faida za kiuchumi zitokanazo na aina mbadala zamatumizi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori;kuhimiza utengenezaji viwandani wa bidhaa za wan<strong>ya</strong>maporita<strong>ya</strong>ri kwa kuuza nchini Tanzania na nchi za nje, ili kuongeza ajirana kubakisha nchini Tanzania kiwango kikubwa cha mapato<strong>ya</strong>tokanayo na mazao <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori;kutaka kuboresha ushiriki katika tasnia <strong>ya</strong> uwindaji wa kitaliikupitia:-• mgawanyo wa wazi na wa haki wa maeneo <strong>ya</strong> kuwindiakwa kutumia mfumo unaokubalika na wadau wengi bilakuhatarisha faida za kiuchumi za muda mrefu za uwindajiwa kitalii kwa Tanzania;• kutumia muundo wa ada uliobuniwa na kuidhinishwa namamlaka <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori inayohusika;• kutenga viwango endelevu v<strong>ya</strong> kota <strong>ya</strong> uwindaji kwamisingi <strong>ya</strong> kisa<strong>ya</strong>nsi na kufuatilia wingi wa wan<strong>ya</strong>maporiwanaowindwa;• kuwapatia mitihani wawindaji weledi na kufuatilia uwezowao katika uwindaji;


• kusimamia utekelezaji wa kanuni za uwindaji ilikuhakikisha unakuwepo ubora wa juu wa uwindaji na wan<strong>ya</strong>ra;• kuwezesha n<strong>ya</strong>ra kusafirishwa kwa wakati, kwendakwenye nchi wanakotoka wawindaji; na• kuweka mazingira <strong>ya</strong>nayowezesha ukuzaji wawindajiweledi raia.(xi)(xii)kuruhusu uvunaji wa wan<strong>ya</strong>mapori kwa viwango vidogo ufanywena jumui<strong>ya</strong> za vijijini zinazoendesha uhifadhi uliokitwa katikajumui<strong>ya</strong>, wenye mashamba wanaotumia ardhi zao binafsi auzilizokodishwa; nakuweka udhibiti katika shughuli za utumiaji wa wan<strong>ya</strong>mapori.3.3.11 Kushughulikia masuala <strong>ya</strong> wanawake na watoto katikauhifadhi na usimamizi wa wan<strong>ya</strong>maporiKijadi, wanawake na watoto wamehusika moja kwa moja katika usimamiziwa rasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori kwa njia zifuatazo:a)ukusan<strong>ya</strong>ji wa kuni; katika baadhi <strong>ya</strong> maeneo wanawakehutembea umbali usiopungua kilometa 10 wakitafuta kuni,b)ukusan<strong>ya</strong>ji wa matunda mwitu na mazao <strong>ya</strong> chakula,c)uvuvi, uwindaji wa wan<strong>ya</strong>ma wadogowadogo na ndege kwaajili <strong>ya</strong> chakula; kazi hii hufanywa hasa na watoto,d)ukusan<strong>ya</strong>ji wa miti <strong>ya</strong> kujengea, n<strong>ya</strong>si za kuezekea namitishamba,e)ukusan<strong>ya</strong>ji wa dawa za kienyeji,f) kusafisha ardhi kwa ajili <strong>ya</strong> kilimo kupitia kilimo chakuhamahama na ufugaji, nag)kuchoma mioto mikali ovyo wa kilimo na uwindaji.Kuna mgawanyo ba<strong>ya</strong>na wa kazi baina <strong>ya</strong> wanaume, wanawake na watotokatika jamii <strong>ya</strong> Ki<strong>tanzania</strong> inayoishi vijijini. Kwa kiwango kikubwauwindaji hufanywa na wanaume, ilhali wanawake na watoto ndiyowanaotoa kiwango kikubwa zaidi cha nguvukazi <strong>ya</strong> kilimo. Ardhihumilikiwa na wanaume na uamuzi wa wapi, nini kilimwe, na matumizi <strong>ya</strong>mazao hufanywa na wanaume. Kimsingi, wanawake na watoto ndicho


chanzo cha nguvukazi katika jumui<strong>ya</strong> za vijijini.Hali hii inaonyesha kwamba wanawake na watoto wanaingiliana zaidi namaliasili na mazingira na, hivyo, wana umuhimu mkubwa sana katikahifadhi <strong>ya</strong> maliasili na mazingira hayo.Wanawake vijijini hufan<strong>ya</strong> kazi kwa vipindi virefu sana wakijitahidikutekeleza kazi tulizozielezea hapo juu. Wao, pamoja na watoto, huundakundi linal<strong>of</strong>aidika kidogo sana kwa upande wa burudani na elimu. Hawahushambuliwa na magonjwa kwa urahisi kutokana na lishe na huduma zauzazi duni, kukosekana kwa huduma za af<strong>ya</strong>, na umri mdogo mno wakufanyishwa kazi.Sera hii inatambua nafasi <strong>ya</strong> wanawake na watoto katika kuhifadhimaliasili na haja <strong>ya</strong> wao kushiriki na kufaidika kutokana na uhifadhi warasilimali hizo.Mikakati <strong>ya</strong> kushughulikia Masuala <strong>ya</strong> Wanawake na Watoto(i) kuanzisha na kusaidia miradi <strong>ya</strong> wanawake <strong>ya</strong> kujisaidia wenyeweili kuongeza kipato chao;(ii) kuwahimiza wanawake kujishughulisha na miradi yenye kuhusianana uhifadhi wa maliasili ambayo inaboresha kiwango cha lishe nakuchangia kwenye mapato <strong>ya</strong> familia;(iii) kuwahimiza na kuwasaidia wanaume na wanawake kushughulikiaile miradi ambayo inapunguza uzito wa kazi kwa wanawake nawatoto;(iv) kusaidia matunzo <strong>ya</strong> mama na mtoto katika vijiji vinavyozungukamaeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa;(v) kusaidia na kukuza juhudi za kutoa elimu kwa watoto(vi) kuboresha namna ambayo wanawake wanaweza kupata mazao <strong>ya</strong>maliasili katika maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa pale inapostahili; na(vii) kukuza mwamko kuhusu uhifadhi.3.3.12 Kutatua migogoro baina <strong>ya</strong> binadamu na wan<strong>ya</strong>mapori:-Kuna haja <strong>ya</strong> kuwadhibiti wan<strong>ya</strong>mapori ambao wanahatarisha maisha <strong>ya</strong>binadamu na mali zao. Serikali inapenda kuvuta nadhari kuhusu thamani <strong>ya</strong>kiuchumi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa jumui<strong>ya</strong> za vijijini kwa kupitia uendeshaji


wa Uhifadhi Uliokitwa Katika Jumui<strong>ya</strong>. Katika kutekeleza <strong>sera</strong> hii, serikaliinachukulia kwamba jumui<strong>ya</strong> za vijijini zinazosimamia wan<strong>ya</strong>maporizitatambua migogoro iliyopo baina <strong>ya</strong> lengo la kupata faida kubwa kabisakutokana wan<strong>ya</strong>mapori na tija pungufu ambayo inaweza kutokea kutokanana udhibiti mkali wa wan<strong>ya</strong>ma waharibifu. Hivyo serikali hainuiikuanzisha mpango wa fidia kwa ajili <strong>ya</strong> uharibifu una<strong>of</strong>anywa nawan<strong>ya</strong>mapori.Mikakati <strong>ya</strong> kutatua migogoro baina <strong>ya</strong> binadamu na wan<strong>ya</strong>mapori:-(i) kuendelea kuwadhibiti wan<strong>ya</strong>ma hatari kama kipaumbele, na(ii) kukabidhi hatua kwa hatua majukumu <strong>ya</strong> tatizo la udhibiti wawan<strong>ya</strong>ma kwa jumui<strong>ya</strong> za vijijini zinazoendesha mipango <strong>ya</strong>uhifadhi uliokitwa katika jumui<strong>ya</strong>, na kuendelea kutoa msaadapale ambapo jumui<strong>ya</strong> hizo hazijapata uwezo huo.Mikakati mibadala:Baada <strong>ya</strong> muda, mikakati mibadala <strong>ya</strong> kupunguza mgogoro baina <strong>ya</strong> watuna wan<strong>ya</strong>mapori itachunguzwa. Mikakati inayowezekana ni pamoja na:• kujumuisha idadi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>ma wanaopigwa risasi wakati waudhibiti wa wan<strong>ya</strong>ma hatari katika migao <strong>ya</strong> uwindaji inayowezakuleta manufaa makubwa <strong>ya</strong> kiuchumi kwa jumui<strong>ya</strong> za vijijini;• kuhakikisha kwamba wale wanaoathiriwa zaidi na wan<strong>ya</strong>mawaharibifu ndio wanufaikaji wakuu wa mapato kutokana nawan<strong>ya</strong>mapori;• kupembua matumizi <strong>ya</strong> mbinu za udhibiti zinazotegemea vizuiziv<strong>ya</strong> mitambo na umeme ambavyo haviui;• pale inapowezekana, kuwakamata na kuwahamisha wan<strong>ya</strong>maporiwenye thamani kubwa kibiashara; na• kutangaza thamani <strong>ya</strong> kiuchumi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, hususanikwenye zile jumui<strong>ya</strong> za vijijini zinazoendesha mipango <strong>ya</strong>uhifadhi uliokitwa katika jumui<strong>ya</strong>.3.3.13 Utafiti na Ufuatiliaji wa wan<strong>ya</strong>maporiUtafiti na Ufuatiliaji wa mabadiliko katika rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori namatumizi <strong>ya</strong>ke unabakia kuwa sehemu kamili <strong>ya</strong> mipango na usimamizi wawan<strong>ya</strong>mapori. Hadi sasa ni utafiti mdogo sana umekwishajumuishwakatika mipango <strong>ya</strong> usimamizi kutokana na kutokuwepo kwa mawasiliano


aina <strong>ya</strong> watafiti na wasimamizi wa wan<strong>ya</strong>mapori. Serikali inatambuakwamba kuna watafiti wa kisa<strong>ya</strong>nsi wachache wa Ki<strong>tanzania</strong> na kwambamotisha <strong>ya</strong>o iko chini sana kuweza kufan<strong>ya</strong> utafiti unaohitajika. Hivyo,serikali ingependa kuingiza katika mipango <strong>ya</strong>ke uwezo madhubuti wautafiti na ufuatiliaji ndani <strong>ya</strong> mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori.Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> utafiti na ufuatiliaji wa wan<strong>ya</strong>mapori:-(i) kudhibiti na kufuatilia utafiti wa wan<strong>ya</strong>mapori nchini Tanzania,(ii) kuimarisha uwezo wa mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori katika utafiti naufuatiliaji,(iii) kuwezesha kufanyika kwa sensa za mara kwa mara kuhusu idadi<strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori,(iv) kuelekeza utafiti na ufuatiliaji kwenye viwango na uchumikutokana na matumizi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, mahusiano baina <strong>ya</strong>binadamu na wan<strong>ya</strong>mapori, elimu jamii <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> za vijijinizinazozunguka maeneo <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, maarifa <strong>ya</strong> msingi <strong>ya</strong>taratibu za mfumo wa ikolojia na elimu viumbe v<strong>ya</strong> aina zawan<strong>ya</strong>ma ambazo kudumu kwake kunatishiwa,(v) kukarabati na kutumia kikamilifu mtandao uliopo wa vituo v<strong>ya</strong>utafiti wa uwandani nchini kote,(vi) kusisitiza utafiti na ufuatiliaji katika upangaji mipango <strong>ya</strong>usimamizi wa Maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa kulingana na miongozo <strong>ya</strong>kitaifa <strong>ya</strong> utafiti wa wan<strong>ya</strong>mapori,(vii) kuwaruhusu wachunguzi wa kigeni kufan<strong>ya</strong> utafiti wa mada zaaula maalumu, na(viii) kuwahimiza na kuwamotisha wachunguzi wa Ki<strong>tanzania</strong> kufan<strong>ya</strong>utafiti wa wan<strong>ya</strong>mapori.3.3.14 Kutoa Huduma tanzuHuduma tanzu na ujirani mwema baina <strong>ya</strong> usimamizi wa maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa na jumui<strong>ya</strong> za vijijini vinaruhusu kubainisha matatizo<strong>ya</strong>nayohusiana na wan<strong>ya</strong>mapori na kuongeza nafasi <strong>ya</strong> kutatuliwa kwakekwa manufaa <strong>ya</strong> pande zote. Zaidi <strong>ya</strong> hayo, kazi tanzu ni <strong>ya</strong> umuhimumkubwa katika kutoa msaada wa kiufundi kwa ajili <strong>ya</strong> uanzishaji WMAs.Kwa hivyo, serikali imeamua kukuza huduma tanzu ambazo ni kiungo kati<strong>ya</strong> mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori na jumui<strong>ya</strong> za vijijini nje <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa na katika Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro, jumui<strong>ya</strong> za vijijini za


ndani <strong>ya</strong> hifadhi hiyo.Mikakati <strong>ya</strong> kutoa huduma tanzu(i) kujumuisha huduma tanzu katika mipango na kuzisaidia kwakuzipa wafan<strong>ya</strong>kazi, fedha na vifaa v<strong>ya</strong> kutosha; na(ii) kukuza mawasiliano na ushirikiano na huduma tanzu nyingine zakisekta vijijini.3.3.15 Elimu <strong>ya</strong> uhamasishaji kuhusu uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>maporiMafanikio <strong>ya</strong> muda mrefu <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong>nategemea, kwakiasi kukubwa, jinsi uhifadhi huo unavyotazamwa na jamii. Serikaliimeamua kuweka juhudi maalumu katika kuinua mwamko kuhusu uhifadhimiongoni mwa watu wa Tanzania.Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> uhamasishaji kuhusu uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori(i) kuunda uelewa mpana iwezekanavyo na msaada kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhiwa wan<strong>ya</strong>mapori kwa kuandaa na kusambaza mabango, magazeti navipeperushi <strong>ya</strong>liyoandikwa kwa Kiingereza na Kiswahili na kutumiavyombo vingine v<strong>ya</strong> habari; na(ii) kushirikiana na sekta inayosimamia elimu na kuendelea kukuzaujumuishaji wa elimu <strong>ya</strong> uhifadhi katika muhtasari wa shule iliuhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori upate msingi mpana wa kuungwa mkonomiongoni mwa vizazi vijavyo.3.3.16 Uendelezaji wa wafan<strong>ya</strong>kazi na kujenga uwezoMaendeleo na utendaji endelevu katika sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, kwa kiasikikubwa, vinategemea uendelezaji na matumizi bora <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi. Ilikudumisha sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, serikali imeamua kutoa mafunzo<strong>ya</strong>nay<strong>of</strong>aa katika ngazi zote, mazingira mazuri <strong>ya</strong> kazi na nyenzo bora naza kutosha kufanyia kazi.Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> uendelezaji wa wafan<strong>ya</strong>kazi na kujenga uwezo.(i) kuhimiza na kuwezesha mafunzo katika ikolojia na usimamzi wawan<strong>ya</strong>mapori na stadi nyingine zinazohitajika kwa ajili <strong>ya</strong>maendeleo <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori;(ii) kufuatilia viwango v<strong>ya</strong> mafunzo katika asasi za mafunzo <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori nchini;


(iii)(iv)(v)(vi)(vii)(viii)(ix)(x)kudumisha kuwepo kwa wafan<strong>ya</strong>kazi wa kutosha na wenye sifabora;kupata teknolojia zinaz<strong>of</strong>aa;kuhimiza uanzishwaji wa asasi za mafunzo katika usimamizi nauhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori katika ngazi zote za stadi;kuhimiza, kumotisha na kuwezesha wawekezaji wa kigeni katikasekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kuwapa Wa<strong>tanzania</strong> mafunzo katika stadit<strong>of</strong>auti;kuhakikisha kwamba wafan<strong>ya</strong>kazi wa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporiwanapewa stadi mp<strong>ya</strong> za kuendana na hali mp<strong>ya</strong>;kubuni mipango na vigezo kwa ajili <strong>ya</strong> kuendeleza wafan<strong>ya</strong>kazi;kukuza mgao bora na upangaji wa wataalamu, mafundi nawafan<strong>ya</strong>kazi wa kawaida katika nafasi zinazostahiki katika sekta<strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori; nakuwamotisha wafan<strong>ya</strong>kazi wa sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori wanaolindana kuhifadhi rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa kuboresha masharti<strong>ya</strong> kazi, malipo, utoaji wa vifaa v<strong>ya</strong> kutosha v<strong>ya</strong> kufanyia kazi namotisha za kutosha.3.4 Kiunzi cha Utekelezaji wa SeraKatika muktadha wa <strong>sera</strong> hii wan<strong>ya</strong>mapori wanafafanuliwa kama: - “ainazile za wan<strong>ya</strong>ma wa porini na wa asili na makazi na mifumo <strong>ya</strong> ikolojia<strong>ya</strong>o, zinazopatikana Tanzania na vilevile aina zile ambazo zimeingizwaTanzania na ambazo, kwa muda, hufungiwa mahali au huachiwa kuishiporini”. Ufafanuzi huu unajumuisha wan<strong>ya</strong>ma wasouti wa mgongo wa nchikavu ambao hawakuhusishwa katika ufafanuzi uliopita katika Sheria <strong>ya</strong>Uhifadhi wa Wan<strong>ya</strong>mapori Na. 12 <strong>ya</strong> mwaka 1974.Ufafanuzi huu wa sasa unaweka msisitizo mkubwa kwenye mfumo waikolojia una<strong>of</strong>an<strong>ya</strong> iwezekane kuhifadhi aina nyingi za wan<strong>ya</strong>ma wadogowadogo na mimea nadra inayounda Uanuwai wa pekee na muhimu waviumbe wa nchini kote Tanzania. Serikali inatambua kwamba ufafanuzi wawan<strong>ya</strong>mapori uliokubalika katika <strong>sera</strong> hii hauwezi kutumika kote Tanzaniakutokana na majukumu <strong>ya</strong> sekta nyingine <strong>ya</strong> usimamizi wa maeneo fulani<strong>ya</strong> nchi au <strong>ya</strong> aina fulani maalumu za wan<strong>ya</strong>ma na mimea ndani <strong>ya</strong>ufafanuzi wa utendaji wa wan<strong>ya</strong>mapori. Hali maalumu ambamo ufafunuziuliotolewa juu unaweza kut<strong>of</strong>autiana, ziko katika sekta za Uvuvi na Misitu.


Mamlaka za wan<strong>ya</strong>mapori zitabakia na jukumu la jumla la usimamizi waaina zote za wan<strong>ya</strong>ma wanyonyeshao wa nchi kavu, ndege, wan<strong>ya</strong>mawatambaao (reptilia) na wan<strong>ya</strong>ma wanaoweza kuishi majini na nchi kavu(amfibia) na wan<strong>ya</strong>ma wasouti wa mgongo pale wanapotokea kuwepo nje<strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa <strong>ya</strong>liyoachwa maalumu kwa uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori na misitu na aina za wan<strong>ya</strong>ma waishio majini ambaohawahusishwi na sheria za uvuvi.Kwa kuwa Sekta <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong> Tanzania ina asasi kadhaazinazohusika na uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori, <strong>sera</strong> hii inatambua majukumu<strong>ya</strong> asasi hizi katika utekelezaji wa <strong>sera</strong>. Hata hivyo, majukumu <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong>utendaji na usimamzi <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori, <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori na <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporinje <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa, <strong>ya</strong>takabidhiwa kwa Kurugenzi <strong>ya</strong>Wan<strong>ya</strong>mapori katika wizara inayosimamia sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori. Katikautekelezaji wa Sera <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori, huwa inaingiliana na <strong>sera</strong> nyingineza kisekta kama vile, utalii, kilimo, maji, madini na mazingira. Sera hiiinatambua dhima <strong>ya</strong> <strong>sera</strong> nyingine za kisekta katika utekelezaji wake.3.4.1 Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> utawala wa Wan<strong>ya</strong>mapori(i) kupitia sheria zilizopo za uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori (k.v Sheria <strong>ya</strong>Uhifadhi wa Wana<strong>ya</strong>mapori Na 12 <strong>ya</strong> mwaka 1974, Sheria <strong>ya</strong>Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro Kifungu cha 413 <strong>ya</strong> mwaka 1959, Sheria<strong>ya</strong> TANAPA kifungu cha 412 <strong>ya</strong> mwaka 1959 na Sheria <strong>ya</strong> Taasisi<strong>ya</strong> Utafiti wa Wan<strong>ya</strong>mapori Serengeti <strong>ya</strong> mwaka 1980) ili kuipatianafasi mikakati <strong>ya</strong> uhifadhi iliyopendekezwa katika <strong>sera</strong> hiiambayo inajumuisha usimamizi na uendelezaji wa maeneo <strong>ya</strong>ardhioevu , ushiriki wa jumui<strong>ya</strong> katika uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori,uanzishwaji wa maeneo <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> usimamizi wawan<strong>ya</strong>mapori, migao <strong>ya</strong> manufaa na haki za kuwatumiawan<strong>ya</strong>mapori kwa ajili <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong>;(ii) kusimamia aina mahsusi <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa na sehemumahsusi za sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa kupitia asasi zinazohusikandani <strong>ya</strong> sekta;(iii) kusimamia wan<strong>ya</strong>ma wenye uti wa mgongo na wasiouti wamgongo katika Hifadhi za Misitu kwa kupitia Kurugenzi <strong>ya</strong>Wan<strong>ya</strong>mapori;


(iv)(v)(vi)kukabidhi majukumu yote juu <strong>ya</strong> ndege wa majini kwa Kurugenzi<strong>ya</strong> Wanaymapori;kubakia na majukumu yote <strong>ya</strong> usimamizi wa aina zote za wan<strong>ya</strong>mawanyonyeshao wa nchi kavu, ndege, reptilia na amfibia nawan<strong>ya</strong>ma wasouti wa mgongo kama zipo nje <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa maalumu kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>maporina misitu na za aina za majini zisizojumuishwa na sheria <strong>ya</strong> uvuvi;nakuendelea kutoa vibali vyote vinavyotakiwa kisheria v<strong>ya</strong> shughulizinazohusiana na wan<strong>ya</strong>mapori na v<strong>ya</strong> kusimamia upatikanaji,matumizi na biashara katika rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.3.4.2 Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> Uhifadhi na Usimamizi wa MaeneoYaliyohifadhiwa(i) kuanzisha kategoria mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>nayohifadhiwa (Maeneo<strong>ya</strong> Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Usimamizi wa Wan<strong>ya</strong>mapori - WMA) kwamalengo <strong>ya</strong> kutekeleza Uhifadhi Uliokitwa katika Jumui<strong>ya</strong> (CBC),(ii) kuendelea kusimamia Hifadhi za Taifa kupitia sheria za Hifadhi zaTaifa,(iii) kuendelea kusimamia Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro kupitia sheria <strong>ya</strong>Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro,(iv) kuendelea kusimamia Mapori <strong>ya</strong> Akiba na Mapori Tengefu kupitiasheria <strong>ya</strong> Uhifadhi wa Wana<strong>ya</strong>mapori, na kupitia up<strong>ya</strong> hadhi nakazi za Mapori Tengefu ili kutekeleza Uhifadhi uliokitwa katikajumui<strong>ya</strong>,(v) kuendelea kuwa na Hifadhi za Wan<strong>ya</strong>ma za Muda ili kuwezeshamalengo <strong>ya</strong>ke kwa kuunda kategoria <strong>ya</strong> Aina Zinazolindwa,(vi) kuendelea kusimamia Hifadhi za Misitu kupitia Sheria <strong>ya</strong> Misituna kudhibiti sehemu za ufafanuzi unaotumika wa wan<strong>ya</strong>maporibadala <strong>ya</strong> mazao <strong>ya</strong> misitu <strong>ya</strong>napotokea kuwa katika Hifadhi zamisitu kupitia Sheria <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori,(vii) kuwa na mikataba <strong>ya</strong> maelewano na sekta zinazohusika <strong>ya</strong>usimamizi wa maeneo yenye umuhimu mkubwa kibiolojia nakiuchumi ili kuhakikisha usimamizi makini wa wan<strong>ya</strong>maporikatika Hifadhi za Misitu, maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori na maeneo nje <strong>ya</strong> uwezo wa mamlaka zawan<strong>ya</strong>mapori, na


(viiii)kutoa katika gazeti la serikali, Maeneo map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyohifadhiwa au<strong>ya</strong>liyopandishwa daraja kwa makubaliano <strong>ya</strong> pamoja baina <strong>ya</strong>wila<strong>ya</strong>, mikoa na idara <strong>ya</strong> serikali kuu yenye majukumu yote <strong>ya</strong>kisekta.3.4.3 Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori nje <strong>ya</strong> Maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa <strong>ya</strong>siyokaliwa na katika Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro(i) kuanzisha Maeneo <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Usimamizi wa Wan<strong>ya</strong>ma ilikuwezesha Uhifahdi Uliokitwa katika jumui<strong>ya</strong>;(ii) kuwatumia wan<strong>ya</strong>mapori katika maeneo <strong>ya</strong> usimamizi wawan<strong>ya</strong>ma kulingana na sheria zinazoongoza uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori Tanzania Bara;(iii) kubakia na majukumu yote <strong>ya</strong> kuhakikisha uratibu wa aula zote zakitaifa za uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori nje <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa <strong>ya</strong>siyokaliwa na katika Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro;(iv) kuboresha uratibu baina <strong>ya</strong> sekta na ushirikiano katika kulindamaslahi <strong>ya</strong> hifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori;(v) kuwasimamia wan<strong>ya</strong>mapori nje <strong>ya</strong> Maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa<strong>ya</strong>siyokaliwa na katika Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro kwa kuheshimusheria nyingine zinazohusika kama vile sheria <strong>ya</strong> serikali za mitaa,sheria <strong>ya</strong> mamlaka za mijini na sheria <strong>ya</strong> uchimbaji wa madini.3.4.4 Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> biashara katika mazao <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori(i) kusimamia biashara za mazao <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong>nayotokana naaina mbalimbali za matumizi, vifo v<strong>ya</strong> asili na upokon<strong>ya</strong>ji;(ii) kubakia na mamlaka <strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong> ndani katika mazao<strong>ya</strong>liyozalishwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> sekta nyingine kama vilemisitu, uvuvi chini <strong>ya</strong>ke;(iii) kusimamia biashara <strong>ya</strong> nje katika wan<strong>ya</strong>mapori na mazao <strong>ya</strong>kekulingana na sheria za Tanzania zinazohusika na sheria zakimataifa; na(iv) kuchukua hatua muafaka za kuhakikisha kwamba usafirishaji waaina au sehemu zilizoko katika Makubaliano <strong>ya</strong> Kimataifa <strong>ya</strong>Biashara katika aina zilizoko hatarini za mimea na wan<strong>ya</strong>ma(CITES) kutokana na sekta za misitu na uvuvi zinasadifu mahitaji<strong>ya</strong> kanuni za makubaliano hayo.


3.4.5 Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi na usimamzi wa aina za viumbe.(i) kuandaa mpango <strong>ya</strong> usimamizi pamoja na wadau wengine kwaajili <strong>ya</strong> baadhi <strong>ya</strong> aina au makundi yenye tatizo fulani maalumu ilikuhakikisha <strong>ya</strong>naendelea kuwepo;(ii) kurekebisha orodha <strong>ya</strong> aina zilizobainishwa kama wan<strong>ya</strong>ma waTaifa kwa kushirikiana na sekta zinazohusika kwa ajili <strong>ya</strong>kujumuishwa katika kundi jip<strong>ya</strong> la Aina Zinazolindwa ambayo nipamoja na wan<strong>ya</strong>ma wowote wasouti wa mgongo na mimeayoyote.3.4.6 Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> utafiti na ufuatiliaji wa wan<strong>ya</strong>mapori.(i) kuweka mikataba <strong>ya</strong> maelewano na wabia kuhusu mpango wowotewa utafiti wa pamoja,(ii) kupitia up<strong>ya</strong> na kusimamia aula za utafiti na mipango kupitiaTaasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Wan<strong>ya</strong>mapori Tanzania, na(iii) kuongoza na kuratibu utafiti wa wan<strong>ya</strong>mapori kupitia sheria <strong>ya</strong>Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Wan<strong>ya</strong>mapori Tanzania.Mikakati kwa ajili <strong>ya</strong> Misaada na Majukumu <strong>ya</strong> Kimataifa, Kieneo naKitaifa(i) kuitisha mikutano <strong>ya</strong> mara kwa mara na wahisani kujadili aula zauhifadhi na kuratibu mipango <strong>ya</strong> utekelezaji;(ii) kuwa na uangalifu wakati wa kushughulika na wasiohusika katikamikataba <strong>ya</strong> kimataifa ambayo Tanzania imeingia na katikakutimiza wajibu kama mshiriki.(iii) kuamua kikamilifu kushiriki katika dhima <strong>ya</strong> kimataifa na kieneoili kuhakikisha kwamba uhifadhi makini wa wan<strong>ya</strong>maporiunafanikishwa ndani na nje <strong>ya</strong> Tanzania;(iv) kukaribisha msaada wa uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori kutoka jumui<strong>ya</strong>za Kimataifa, Kieneo na Ki<strong>tanzania</strong> na kushirikiana na kundilolote linalopendelea kuhifadhi wan<strong>ya</strong>mapori bila kupoteza uhuruna maslahi <strong>ya</strong> msingi kwa ajili <strong>ya</strong> msaada na ushirikiano; na(v) kushirikiana na nchi jirani katika uhifadhi na usimamizi wa aina zawan<strong>ya</strong>ma zivukazo mipaka na mifumo <strong>ya</strong> ikolojia.4.0 DHIMA ZA ASASI TOFAUTIDhima <strong>ya</strong> serikali katika sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori ni kutoa miongozo <strong>ya</strong> wazi


<strong>ya</strong> ki<strong>sera</strong>, kuchochea na kukuza ushiriki wa wadau mbalimbali, kuendeshamaeneo muhimu <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori <strong>ya</strong>nayolindwa, kuendelea kumilikirasilimali za wan<strong>ya</strong>mapori na kuhakikisha maendeleo <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> sekta.Serikali haitajihusisha na biashara <strong>ya</strong> bidhaa za wan<strong>ya</strong>mapori, badala <strong>ya</strong>ke,itaweka juhudi zake katika kuiongoza sekta, kuiwezesha na kuwa mtoahuduma. Dhima <strong>ya</strong> sekta binafsi na Mashirika <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> kiserikaliitakuwa ni kuunga mkono Serikali katika juhudi zake.4.1 DHIMA YA SERIKALI4.1.1 Serikali kama Msimamizi/mdhibiti(i) Kusimamia sheria na kanuni za wan<strong>ya</strong>mapori(ii) Kufuatilia <strong>sera</strong> makini za kiuchumi na za usimamizi wawan<strong>ya</strong>mapori ambazo ni kichocheo kwa vitegauchumi v<strong>ya</strong> watubinafsi na jumui<strong>ya</strong> za mahali hapo.(iii) Kutoa na kuendesha aina zote za haki za matumizi <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori na leseni za biashara na vibali.(iv) Kubuni mipango <strong>ya</strong> usimamizi kwa ajili <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>nayolindwa<strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.(v) Kukusan<strong>ya</strong> mirabaha, ada na malipo <strong>ya</strong> vibali <strong>ya</strong>nayotokana nausimamizi na maendeleo <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.


4.1.2 Serikali kama mwezeshaji(i) Kuratibu shughuli za tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.(ii) Kuhakikisha utaalamu na stadi zinaz<strong>of</strong>aa za usimamizi wawan<strong>ya</strong>mapori.4.1.3 Serikali kama mtoa huduma(i) Kuwadhibiti wan<strong>ya</strong>ma waharibifu kote nchini.(ii) Kuhakikisha kupatikana kwa elimu <strong>ya</strong> uhifadhi kwa jumui<strong>ya</strong> zavijijini na umma kwa jumla.(iii) Kuanzisha huduma tanzu katika jumui<strong>ya</strong> za vijijini.4.2 DHIMA YA SEKTA BINAFSIDhima <strong>ya</strong> sekta binafsi ni kuiunga mkono serikali katika uhifadhi nausimamizi wa rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori. Zaidi <strong>ya</strong> hayo, sekta binafsiinahimizwa kuwekeza katika tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.4.3 DHIMA YA MASHIRIKA YASIYOKUWA YAKISERIKALIDhima <strong>ya</strong> Mashirika <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> Kiserikali <strong>ya</strong> nchini na <strong>ya</strong> Kimataifa nikuisaidia serikali kifedha na kiufundi katika ngazi zote, katika uhifadhi nausimamizi wa rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.4.4 DHIMA YA UMMADhima <strong>ya</strong> Umma ni kuunga mkono juhudi za serikali katika uhifadhi nausimamizi wa rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori. Zaidi <strong>ya</strong> hayo, umma una dhima<strong>ya</strong> kutumia rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa uendelevu. Aidha, jumui<strong>ya</strong>zinazoishi jirani na maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa au katika maeneo yenye idadi<strong>ya</strong> kutosha <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori zina dhima <strong>ya</strong> kusimamia na kunufaika nawan<strong>ya</strong>mapori walioko kwenye ardhi zao kwa kuunda Maeneo <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong><strong>ya</strong> Usimamizi wa wan<strong>ya</strong>mapori.5.0 HITIMISHOTanzania imefaulu katika kuanzisha mtandao wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwaambao ni msingi wa kuhifadhi uanuwai wa viumbe nchini na kwa ukuajiwa tasnia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori. Mtazamo wa muda mrefu wa uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori ni kudumisha uanuwai mkubwa wa viumbe ambaounachangia katika mazingira bora na kuongeza mchango wake kwenye


uchumi wa taifa kutoka kiwango cha sasa cha asilimia 2 hadi kiwango chaasilimia 5 cha Pato la Taifa kufikia mwaka 2017.Ili kufikia lengo hili, sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori inaweka mkazo kwenyekudumisha na kuendeleza mtandao wa Maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa <strong>ya</strong>wan<strong>ya</strong>mapori na kuwahusisha Wadau wote katika uhifadhi na usimamiziwa rasilimali hii, hususani jumui<strong>ya</strong> za mahali husika, na sekta binafsi.Dhima <strong>ya</strong> serikali inaelekezwa katika kusimamia, kuwezesha na kukuzamatumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori. Serikali pia inakuwamtoa huduma hasa kuhusiana na wan<strong>ya</strong>ma waharibifu na huduma tanzukwa jumui<strong>ya</strong> za vijijiniAidha, Serikali itawezesha uanzishwaji wa kategoria mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> maeneo<strong>ya</strong>liyohifadhiwa linalojulikana kama Maeneo <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Usimamizi waWan<strong>ya</strong>mapori ambako watu wa mahali hapo watakuwa na mamlakakamiliki kusimamia na kunufaika kutokana na juhudi zao za uhifadhikupitia mipango <strong>ya</strong> uhifadhi uliokitwa katika jumui<strong>ya</strong>. Sekta binafsiitahimizwa kuwekeza katika tasnia <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori ikifaidi hali iliyopo <strong>ya</strong>utulivu wa kisiasa na <strong>sera</strong> bora za kiuchumi.Serikali imeweka taratibu dhahiri, za wazi na nyepesi za ushiriki katikatasnia <strong>ya</strong> utalii inayotegemea wan<strong>ya</strong>mapori na za uwekezaji katikashughuli zinazohusiana na wan<strong>ya</strong>mapori. Katika kulinda matumiziendelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori; serikali itaimarisha uwezo wakusimamia sheria.Katika kutimiza wajibu wake, serikali itaendelea kuendesha mtandaouliopo wa maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa kwa kupitia asasi zilizoteuliwa zawan<strong>ya</strong>mapori ambazo kazi zake zinat<strong>of</strong>autishwa kwa lengo la kuhifadhimaeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa <strong>ya</strong>nayohusika.Ili kufuatilia rasilimali <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori kwa makini, Serikali itaingizakatika mipango <strong>ya</strong>ke utafiti na usimamizi wa taarifa, huduma tanzu nashughuli za elimu <strong>ya</strong> uhifadhi.Serikali itashirikiana na nchi jirani katika kuhifadhi aina za wan<strong>ya</strong>mawahamao na mifumo <strong>ya</strong> ikolojia inayovuka mipaka na itakuza nakukaribisha msaada wa uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori kutoka jumui<strong>ya</strong> zakimataifa, za kieneo na za Ki<strong>tanzania</strong> na kushirikiana na kundi lolote


linalopendelea uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori.


VIAMBATANISHOKIAMBATANISHO 1: VIFUPISHOVifuatavyo ni vifupisho vilivyotumiwa katika matini <strong>ya</strong> Kiingereza, maanazake na tafsiri zake kwa Kiswahili:CAWM,College <strong>of</strong> African WildlifeManagement, MwekaChuo cha Usimamiziwa Wan<strong>ya</strong>mapori waKiafrika, MwekaCBC, Community BasedConservationUhifadhi Uliokitwakatika Jumui<strong>ya</strong>CITES,COSTEC,Convention <strong>of</strong> InternationalTrade in Endengered Species<strong>of</strong> Wild Fauna na FloraCommission for Science andTechnologyMkataba wa Biashara<strong>ya</strong> Kimataifa katikaAina za Wan<strong>ya</strong>ma naMimea Pori zilizokohatarini kwishaTume <strong>ya</strong> Sa<strong>ya</strong>nsi naTeknolojiaDW, Director <strong>of</strong> <strong>wildlife</strong> Mkurugenzi waWan<strong>ya</strong>maporiEIA, Environmental ImpactAssessmentTathmini <strong>ya</strong> Atharikatika MazingiraFR(s), Forest Reserve(s) Hifadhi <strong>ya</strong>/za MisituGCA(s), Game Controlled Area(s) Mapori Tengefu <strong>ya</strong>Wan<strong>ya</strong>maporiGMP(s), General Management Plan(s) Mipango <strong>ya</strong> Jumla <strong>ya</strong>Usimamizi


GR(s), Games Reserves Mapori <strong>ya</strong> AkibaMOU(s), Memoranda <strong>of</strong>UnderstandingMakubaliano(Maelewano)NCA, Ngorongo Conservation Area Hifadhi <strong>ya</strong> NgorongoroNCAA, Ngorongoro conservationarea AulthorityMamlaka <strong>ya</strong> Hifadhi<strong>ya</strong> NgorongoroNGO(s)Non-GovenmentalOrganisation(s)Mashirika <strong>ya</strong>siyokuwa<strong>ya</strong> KiserikaliNP(s), National Park(s) Hifadhi/Mbuga zaTaifaPA(s), Protected Area(s) MaeneoYaliyohifadhiwakisheriaPGR(s), Partial Game Reserve(s) Hifadhi za Wan<strong>ya</strong>maza MudaSADC, Southern AfricanDevelopment Co-ordinationUratibu wa MaendeleoKusini mwa AfrikaSUA,SWRI,Sokoine University <strong>of</strong>AgricultureSerengeti Wildlife ResearchInstituteChuo Kikuu chaKilimo cha SokoineTaasisi <strong>ya</strong> Utafiti waWan<strong>ya</strong>maporiSerengetiTANAPA, Tanzania National Parks Hifadhi za TaifaTanzania


TAWICO, Tanzania WildlifeCorporationShirika laWana<strong>ya</strong>maporiTanzaniaTWPF,Tanzania Wildlife ProtectionFundMfuko wa KulindaWan<strong>ya</strong>maporiTanzaniaWD, Wildlife Division Divisheni <strong>ya</strong>Wan<strong>ya</strong>maporiWMA(s),Wildlife Management Area(s)Maeneo <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>Usimamizi waWan<strong>ya</strong>mapori


KIAMBATANISHO 2: MSAMIATIV<strong>ya</strong>ma vilivyopewa Mamlaka maana <strong>ya</strong>ke ni vijiji, makundi binafsi naMashirika <strong>ya</strong>liyoteuliwa <strong>ya</strong>liyopewa mamlaka <strong>ya</strong> kusimamia wan<strong>ya</strong>maporinje <strong>ya</strong> Hifadhi za Taifa, Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro na Mapori <strong>ya</strong> Akiba.Uhifadhi Uliokitwa katika Jumui<strong>ya</strong> ina maana <strong>ya</strong> uhifadhi wa rasilimaliuliokitwa katika ushiriki wa jumui<strong>ya</strong> za mahali husika.Makubaliano ina maana <strong>ya</strong> maafikiano baina <strong>ya</strong> kundi la watu, shirika,shirika la umma au mtu na Mamlaka <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori au ChamaKilichopewa Mamlaka kutumia sehemu <strong>ya</strong> ardhi kwa kipindi kifupi(kisichozidi miaka kumi) kwa madhumuni <strong>ya</strong> Uhifadhi.Upunguzo katika muktadha wa uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori ina maana <strong>ya</strong>kuwawinda na kuwatumia wan<strong>ya</strong>ma wanaorandaranda kwa kipindi kifupikwa ajili <strong>ya</strong> mazao mbalimbali ikiwa ni pamoja na n<strong>ya</strong>ma na n<strong>ya</strong>ranyingine.Ushoroba ina maana <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>nayotumiwa na wan<strong>ya</strong>ma wakati wakuhama kutoka sehemu moja <strong>ya</strong> mfumo wa ikolojia kwenda nyingine kilasiku, kwa wiki, kwa mwezi, kwa mwaka katika kutafuta mahitaji <strong>ya</strong> msingikama vile maji, chakula, nafasi na makazi.Uhifadhi ina maana <strong>ya</strong> tendo la kulinda na kudumisha matumizi <strong>ya</strong>bioanuwai; katika muktadha huu maliasili <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.Maeneo <strong>ya</strong> Mtawanyiko ina maana <strong>ya</strong> maeneo jirani na/au <strong>ya</strong>nayozungukamaeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa ambamo wan<strong>ya</strong>ma wa porini hujongea katikabaadhi <strong>ya</strong> vipindi kutoka maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa.Mkurugenzi wa Wana<strong>ya</strong>mapori ina maana <strong>ya</strong> mkuu wa wan<strong>ya</strong>mapori(sehemu, mtengo, idara) katika wizara inayohusika na wan<strong>ya</strong>mapori katikaSerikali <strong>ya</strong> Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano <strong>ya</strong> Tanzania.Ufugaji ina maana <strong>ya</strong> kulea sampuli, kutokana na wan<strong>ya</strong>mapori iliyokomaainayoishi katika mazingira asilia kwa madhumuni <strong>ya</strong> kujihusisha katika


namna t<strong>of</strong>auti <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>maporiSheria <strong>ya</strong> Uhifadhi wa Wan<strong>ya</strong>ma ina maana Sheria <strong>ya</strong> Uhifadhi waWan<strong>ya</strong>ma sura <strong>ya</strong> 302 <strong>ya</strong> sheria (iliy<strong>of</strong>utwa na Sheria <strong>ya</strong> Uhifadhi waWana<strong>ya</strong>mapori Na 12 <strong>ya</strong> mwaka 1974)Mpango wa Usimamizi wa Jumla ina maana <strong>ya</strong> chombo cha kuongozamipango <strong>ya</strong> usimamizi na maendeleo <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa.Matumizi <strong>ya</strong> Ardhi ina maana <strong>ya</strong> shughuli zinaz<strong>of</strong>anywa kwenye sehemufulani <strong>ya</strong> ardhi.Mkataba wa Umiliki ina maana <strong>ya</strong> makubaliano <strong>ya</strong>liy<strong>of</strong>ikiwa baina <strong>ya</strong> mtu,kundi la watu, shirika au shirika la umma na Mamlaka <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>mapori auChama kilichopewa Mamlaka <strong>ya</strong> kutumia sehemu fulani <strong>ya</strong> ardhi kwakipindi cha muda mrefu.Jumui<strong>ya</strong> za Nchini (Rejea Sheria <strong>ya</strong> Serikali za Mitaa <strong>ya</strong> mwaka 1982) inamaana <strong>ya</strong> watu wanaoishi katika maeneo <strong>ya</strong> vijijini.Sheria <strong>ya</strong> Serikali za Mitaa ina maana <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Serikali za Mitaa(Mamlaka za Wila<strong>ya</strong>) Na 7 <strong>ya</strong> mwaka 1982.Sheria <strong>ya</strong> Uvuvi ina maana <strong>ya</strong> sheria inayoongoza/inayodhibiti UvuviTanzania Bara na kama ilivyorekebishwa, <strong>ya</strong>ani sheria <strong>ya</strong> Uvuvi Na 6 <strong>ya</strong>mwaka 1970.Sheria <strong>ya</strong> Misitu ina maana <strong>ya</strong> sheria inayoongoza Misitu Tanzania Bara.sheria <strong>ya</strong> Misitu <strong>ya</strong> mwaka 1957 Sura <strong>ya</strong> 389 <strong>ya</strong> Sheria.Uhamaji ina maana <strong>ya</strong> mjongeo wa wan<strong>ya</strong>ma wa porini kwa kawaidandege na wan<strong>ya</strong>ma wanyonyeshao kwa umbali mkubwa wakitafutamahitaji muhimu.Njia za Uhamaji ina maana <strong>ya</strong> maeneo, vishoroba au kanda za ardhizinazotumiwa na makundi makubwa <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>ma kuhama wakati wavipindi v<strong>ya</strong>o v<strong>ya</strong> kuhama.


Mamlaka <strong>ya</strong> Usimamizi ina maana <strong>ya</strong> mamlaka inayosimamia eneomaalumu lililohifadhiwa au sehemu <strong>ya</strong> ardhi.Sheria <strong>ya</strong> Madini ina maana <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Madini Na 17 <strong>ya</strong> mwaka 1979.Waziri ina maana <strong>ya</strong> Waziri ambaye kwa wakati unaohusika ndiyemsimamizi wa mambo <strong>ya</strong>nayohusiana na uhifadhi wa wana<strong>ya</strong>mapori.Mn<strong>ya</strong>ma wa Taifa ina maana <strong>ya</strong> spishi <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma ambayo itatangazwahivyo na Waziri.Mradi wa Taifa wa Pori la Akiba ina maana <strong>ya</strong> Pori la Akiba ambaloupangaji mipango na usimamizi wake uko chini <strong>ya</strong> serikali kuu moja kwamoja.Sheria <strong>ya</strong> Hifadhi za Taifa ina maana <strong>ya</strong> sheria inayoongoza Hifadhi zaTaifa katika Tanzania Bara kifungu cha 418.Maliasili za Taifa ina maana <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> viumbe hai ambayo ni pamojana misitu, wan<strong>ya</strong>ma na mimea <strong>ya</strong> majini, nyuki, wan<strong>ya</strong>mapori na mazao<strong>ya</strong>o.Kamati <strong>ya</strong> Maliasili ina maana <strong>ya</strong> kamati <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> kijiji ambayoinasimamia na kuratibu uhifadhi wa maliasili katika ardhi <strong>ya</strong> kijiji.Sheria <strong>ya</strong> Hifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro ina maana <strong>ya</strong> sheria inayoongozaHifadhi <strong>ya</strong> Ngorongoro kifungu cha 419.Eneo Lililohifadhiwa ina maana <strong>ya</strong> eneo lililotengwa chini <strong>ya</strong> sheriainayohusika kwa ajili <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori na maliasili nyingine <strong>ya</strong>viumbe hai.Spishi inayolindwa ina maana <strong>ya</strong> aina <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma au mmea inayolindwa namkataba wa kimataifa, au Sheria za Tanzania au za nchi yoyote ile.Kuranchi ina maana <strong>ya</strong> ufugaji katika mazingira <strong>ya</strong>liyodhibitiwa <strong>ya</strong>


sampuli, <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>ma wadogo, kwa kawaida, waliokamatwa porini kwamadhumuni <strong>ya</strong> kuingia katika biashara <strong>ya</strong> wana<strong>ya</strong>mapori.V<strong>ya</strong>ma Wakilishi ina maana <strong>ya</strong> makundi <strong>ya</strong>liyojizatiti <strong>ya</strong>nayowakilishamakundi <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>nayojihusisha katika shughuli za uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori.Maeneo <strong>ya</strong>liyohifadhiwa Yasiyokaliwa ina maana <strong>ya</strong> Hifadhi za Taifa naMapori <strong>ya</strong> Akiba.Sheria <strong>ya</strong> Mamlaka za Mijini ina maana <strong>ya</strong> sheria za mamlaka za mijini Na8 <strong>ya</strong> mwaka 1982.Ardhioevu katika muktadha huu ina maana <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong> bwawa la tope,mbuga <strong>ya</strong> kinamasi, ardhi <strong>ya</strong> mboji au maji, <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong> asili au <strong>ya</strong> kufanywana binadamu, <strong>ya</strong> kudumu au <strong>ya</strong> muda, yenye maji <strong>ya</strong>liyotuama au<strong>ya</strong>nayotiririka, <strong>ya</strong> maji baridi, <strong>ya</strong> chumvichumvi au <strong>ya</strong> chumvi ikiwa nipamoja na maeneo <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong> bahari ambayo kina chake katika majikupwahakizidi mita sita. Inaweza pia ikajumuisha kanda za pwani jirani namaeneo <strong>ya</strong> majimaji na visiwa au maji <strong>ya</strong> bahari <strong>ya</strong> kina kinachozidi mitasita wakati wa majikupwa <strong>ya</strong>liyosimama ndani <strong>ya</strong> ardhioevu.Wan<strong>ya</strong>mapori ina maana <strong>ya</strong> spishi za wan<strong>ya</strong>ma au mimea <strong>ya</strong> pori na <strong>ya</strong>kienyeji na makazi na mifumo <strong>ya</strong> ikolojia <strong>ya</strong>ke; hupatikana Tanzania navilevile aina za kigeni zilizoingizwa nchi Tanzania na ambazo zimefungiwamahali kwa muda kabla hazijaingizwa mwituni.Mamlaka za Wan<strong>ya</strong>mapori ina maana <strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong> serikali au mashirika<strong>ya</strong> umma <strong>ya</strong>navyosimamia sehemu maalumu za sekta <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>mapori.Sheria <strong>ya</strong> Uhifadhi wa Wan<strong>ya</strong>mapori ina maana <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Uhifadhi wawan<strong>ya</strong>mapori Na 12 <strong>ya</strong> mwaka 1974.Eneo la Jumui<strong>ya</strong> la Usimamizi wa Wana<strong>ya</strong>mapori ina maana <strong>ya</strong> eneolililotangazwa na Waziri liwe hivyo na kutengwa na serikali <strong>ya</strong> kijiji kwamadhumuni <strong>ya</strong> uhifadhi wa wan<strong>ya</strong>mapori.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!