11.07.2015 Views

Vipeperushi kwa Wapanda Baisikeli kuhusu Ilani za ... - Uwaba.or.tz

Vipeperushi kwa Wapanda Baisikeli kuhusu Ilani za ... - Uwaba.or.tz

Vipeperushi kwa Wapanda Baisikeli kuhusu Ilani za ... - Uwaba.or.tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Wapanda</strong> baisikeli !<strong>Wapanda</strong> baisikeli !www.uwaba.<strong>or</strong>.<strong>tz</strong>Tumia kura yako !www.uwaba.<strong>or</strong>.<strong>tz</strong>Tumia kura yako !Asasi ya Umma wa wapanda <strong>Baisikeli</strong> Dar Es Salaam ina malengo yafuatayo:- kuonge<strong>za</strong> usalama barabarani <strong>kwa</strong> wapanda baisikeli (wapanda baisikeli wakawaida, wapanda baisikeli walemavu na waendesha maguta)- kuhamasisha baisikeli kama chombo cha usafiri mjini ambacho kina faida nyingi<strong>kwa</strong> mpanda baisikeli mwenyewe, <strong>kwa</strong> jamii na <strong>kwa</strong> mazingira – kupungu<strong>za</strong>msongamano wa magari, kutochafua hewa, kusaidia watu wote kupata usafiri wabei nafuu na wa haraka mlango hadi mlango na kuonge<strong>za</strong> afyaMwanzoni mwa mwaka huu asasi yetu iliandika barua <strong>kwa</strong> vyama vya siasa ili kutoamaoni kwenye ilani <strong>za</strong> uchaguzi <strong>kuhusu</strong> usalama barabarani na sera zinazohusuwapanda baisikeli.Tumezipitia na kuzisoma ilani hizi kuangalia kama maoni yetuyamezingatiwa. Hapa tumeandika muhtasari wa kila chama kinasemaje katika <strong>Ilani</strong>yao <strong>kuhusu</strong> usalama barabarani, hasa <strong>kwa</strong> wapanda baisikeli na walemavu.Tunatumaini taarifa hizi zinawe<strong>za</strong> kusaidia wapanda baisikeli kutumia kura <strong>za</strong>okuonge<strong>za</strong> usalama barabarani na kub<strong>or</strong>esha mazingira ya wapanda baisikeli.<strong>Ilani</strong> ya uchaguzi inasemajeTan<strong>za</strong>nia Labour Party (TLP)Uk 34 “Aidha, tunaamini <strong>kwa</strong>mba nyingi yabarabara zilizojengwa,zimejengwa <strong>za</strong>idi <strong>kwa</strong>kuangalia maslahi binafsi ya viongonzi/ watawalasiyo maslahi ya wanachi <strong>kwa</strong> ujumla wake.”Uk 35 “TLP itahakikisha <strong>kwa</strong>mba barabara zotezinakuwa na sehemu ya watembea <strong>kwa</strong> miguu,wapanda baisikeli, na sehemu ya walemavu ilikuepusha ajali zinazowakuta wapanda baisikeli nawalemavu mara <strong>kwa</strong> mara.”Chama cha Mapinduzi (CCM)Uk 92 “Aidha, Serikali itaendelea kusimamiautekele<strong>za</strong>ji wa Sheria zinazohusiana na usafiri nakukamilisha maandalizi ya kanuni <strong>za</strong> Sheria yaUsalama Barabarani pamoja na kuimarishaKarakana Kuu ya Serikali.”Uk 43 “Kuanzisha mradi wa mabasi yaendayo kasi(DART).”Maoni ya UWABA- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- wanasema wataangalia usalamawa watembea <strong>kwa</strong> miguu, wapandabaisikeli na walemavu wakati wakujenga barabara- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong>mahitaji ya watembea <strong>kwa</strong> miguuwala wapanda baisikeli walawalemavu katika ujenzi wabarabara- tumepata taarifa (nje ya ilani)<strong>kwa</strong>mba mradi wa DART itakuwana njia maalum <strong>za</strong> wapandabaisikeli na pia <strong>kwa</strong> watembea <strong>kwa</strong>miguu M<strong>or</strong>og<strong>or</strong>o RoadAsasi ya Umma wa wapanda <strong>Baisikeli</strong> Dar Es Salaam ina malengo yafuatayo:- kuonge<strong>za</strong> usalama barabarani <strong>kwa</strong> wapanda baisikeli (wapanda baisikeli wakawaida, wapanda baisikeli walemavu na waendesha maguta)- kuhamasisha baisikeli kama chombo cha usafiri mjini ambacho kina faida nyingi<strong>kwa</strong> mpanda baisikeli mwenyewe, <strong>kwa</strong> jamii na <strong>kwa</strong> mazingira – kupungu<strong>za</strong>msongamano wa magari, kutochafua hewa, kusaidia watu wote kupata usafiri wabei nafuu na wa haraka mlango hadi mlango na kuonge<strong>za</strong> afyaMwanzoni mwa mwaka huu asasi yetu iliandika barua <strong>kwa</strong> vyama vya siasa ili kutoamaoni kwenye ilani <strong>za</strong> uchaguzi <strong>kuhusu</strong> usalama barabarani na sera zinazohusuwapanda baisikeli.Tumezipitia na kuzisoma ilani hizi kuangalia kama maoni yetuyamezingatiwa. Hapa tumeandika muhtasari wa kila chama kinasemaje katika <strong>Ilani</strong>yao <strong>kuhusu</strong> usalama barabarani, hasa <strong>kwa</strong> wapanda baisikeli na walemavu.Tunatumaini taarifa hizi zinawe<strong>za</strong> kusaidia wapanda baisikeli kutumia kura <strong>za</strong>okuonge<strong>za</strong> usalama barabarani na kub<strong>or</strong>esha mazingira ya wapanda baisikeli.<strong>Ilani</strong> ya uchaguzi inasemajeTan<strong>za</strong>nia Labour Party (TLP)Uk 34 “Aidha, tunaamini <strong>kwa</strong>mba nyingi yabarabara zilizojengwa,zimejengwa <strong>za</strong>idi <strong>kwa</strong>kuangalia maslahi binafsi ya viongonzi/ watawalasiyo maslahi ya wanachi <strong>kwa</strong> ujumla wake.”Uk 35 “TLP itahakikisha <strong>kwa</strong>mba barabara zotezinakuwa na sehemu ya watembea <strong>kwa</strong> miguu,wapanda baisikeli, na sehemu ya walemavu ilikuepusha ajali zinazowakuta wapanda baisikeli nawalemavu mara <strong>kwa</strong> mara.”Chama cha Mapinduzi (CCM)Uk 92 “Aidha, Serikali itaendelea kusimamiautekele<strong>za</strong>ji wa Sheria zinazohusiana na usafiri nakukamilisha maandalizi ya kanuni <strong>za</strong> Sheria yaUsalama Barabarani pamoja na kuimarishaKarakana Kuu ya Serikali.”Uk 43 “Kuanzisha mradi wa mabasi yaendayo kasi(DART).”Maoni ya UWABA- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- wanasema wataangalia usalama wawatembea <strong>kwa</strong> miguu, wapandabaisikeli na walemavu wakati wakujenga barabara- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli wala walemavukatika ujenzi wa barabara- tumepata taarifa (nje ya ilani)<strong>kwa</strong>mba mradi wa DART itakuwa nanjia maalum <strong>za</strong> wapanda baisikeli napia <strong>kwa</strong> watembea <strong>kwa</strong> miguuM<strong>or</strong>og<strong>or</strong>o Road


Chama cha Demokrasia (CHADEMA)Uk 26 “Aidha, ajali <strong>za</strong> barabarani zimeendeleakuua Watan<strong>za</strong>nia wengi kila mwaka, na hakunajitihada zinafanywa na serikali ya CCM katikakukabiliana nazo, <strong>za</strong>idi ya kutoa salamu <strong>za</strong>rambirambi kila ajali hizo zinapotokea.”Uk 29 “Kuweka mfumo thabiti wa kudhibiti matukioya ajali barabarani. Hatua zitakazochukuliwa nipamoja na kuhakikisha vyombo vya usafirivinakuwa katika hali ya ub<strong>or</strong>a unaotakiwa, kudhibitiutoaji holela wa leseni <strong>za</strong> udereva, kutoa adhabukali (vifungo na faini) <strong>kwa</strong> madereva na wamiliki wavyombo vitakavyosababisha ajali <strong>kwa</strong> uzembe.Aidha matumizi ya mikanda ya usalama kwenyemagari ya abiria na binafsi litakuwa jambo lalazima. Vile vile hakuna chombo cha abiriaambacho kitaruhusiwa kubeba abiria <strong>za</strong>idi yauwezo wake.”- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- wanasema hatua mbali mbaliwatakazochukua kuongea<strong>za</strong>usalama barabarani na kupungu<strong>za</strong>udereva mbaya- wanasema wataangalia usalama wawalemavu wakati wa kujengabarabara- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli katika ujenzi wabarabaraChama cha Demokrasia (CHADEMA)Uk 26 “Aidha, ajali <strong>za</strong> barabarani zimeendeleakuua Watan<strong>za</strong>nia wengi kila mwaka, na hakunajitihada zinafanywa na serikali ya CCM katikakukabiliana nazo, <strong>za</strong>idi ya kutoa salamu <strong>za</strong>rambirambi kila ajali hizo zinapotokea.”Uk 29 “Kuweka mfumo thabiti wa kudhibiti matukioya ajali barabarani. Hatua zitakazochukuliwa nipamoja na kuhakikisha vyombo vya usafirivinakuwa katika hali ya ub<strong>or</strong>a unaotakiwa, kudhibitiutoaji holela wa leseni <strong>za</strong> udereva, kutoa adhabukali (vifungo na faini) <strong>kwa</strong> madereva na wamiliki wavyombo vitakavyosababisha ajali <strong>kwa</strong> uzembe.Aidha matumizi ya mikanda ya usalama kwenyemagari ya abiria na binafsi litakuwa jambo lalazima. Vile vile hakuna chombo cha abiriaambacho kitaruhusiwa kubeba abiria <strong>za</strong>idi yauwezo wake.”- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- wanasema hatua mbali mbaliwatakazochukua kuongea<strong>za</strong>usalama barabarani na kupungu<strong>za</strong>udereva mbaya- wanasema wataangalia usalama wawalemavu wakati wa kujengabarabara- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli katika ujenzi wabarabaraUk 35 “Kuhakikisha kuwa miundo mbinu yotemuhimu ikiwemo barabara inatengenezwa nakurekebishwa ili kukidhi na kuzingatia mahitaji yawatu wenye ulemavu.”Civic United Front (CUF)Uk 53 “Suala zima la usalama barabarani badolimedharauliwa”“Itaweka mkakati maalum wa kuzitun<strong>za</strong> barabarazilizojengwa na kuziwekea vifaa na huduma zote<strong>za</strong> kisasa zikiwemo alama na taa <strong>za</strong> barabarani.”Uk 54 “Itasimamia usafirishaji wa barabaranikuhakikisha heshima na usalama waabiria na mizigo.Itaimarisha usalama barabarani, <strong>kwa</strong> kuwekaalama kila panapostahiki na kuzitilia nguvu sheria<strong>za</strong> barabarani, hasa zile zinazohusika na uzito wamizigo na kasi ya mwendo.”NCCR-MageuziUk 22 “Itajenga mfumo mpya wa usafiri wabarabara na reli katika mijimikubwa ikianzia Dar esSalaam ili kuondoakero ya msongamano wamagari, uhaba wa usafiri na ajali zinazosababiswana barabara mbovu na nyembamba"- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- wanasema hatua mbali mbaliwatakazochukua kuongea<strong>za</strong>usalama barabarani- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli wala walemavukatika ujenzi wa barabara- ni vizuri wanatamka ajali <strong>za</strong>barabarani- wanasema wataangalia malengo yakupungu<strong>za</strong> ajali wakati wa kuandaamfumo wa usafiri- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli wala walemavukatika ujenzi wa barabaraUk 35 “Kuhakikisha kuwa miundo mbinu yotemuhimu ikiwemo barabara inatengenezwa nakurekebishwa ili kukidhi na kuzingatia mahitaji yawatu wenye ulemavu.”Civic United Front (CUF)Uk 53 “Suala zima la usalama barabarani badolimedharauliwa”“Itaweka mkakati maalum wa kuzitun<strong>za</strong> barabarazilizojengwa na kuziwekea vifaa na huduma zote<strong>za</strong> kisasa zikiwemo alama na taa <strong>za</strong> barabarani.”Uk 54 “Itasimamia usafirishaji wa barabaranikuhakikisha heshima na usalama waabiria na mizigo.Itaimarisha usalama barabarani, <strong>kwa</strong> kuwekaalama kila panapostahiki na kuzitilia nguvu sheria<strong>za</strong> barabarani, hasa zile zinazohusika na uzito wamizigo na kasi ya mwendo.”NCCR-MageuziUk 22 “Itajenga mfumo mpya wa usafiri wabarabara na reli katika mijimikubwa ikianzia Dar esSalaam ili kuondoakero ya msongamano wamagari, uhaba wa usafiri na ajali zinazosababiswana barabara mbovu na nyembamba"- ni vizuri wanatamka usalamabarabarani- wanasema hatua mbali mbaliwatakazochukua kuongea<strong>za</strong>usalama barabarani- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli wala walemavukatika ujenzi wa barabara- ni vizuri wanatamka ajali <strong>za</strong>barabarani- wanasema wataangalia malengo yakupungu<strong>za</strong> ajali wakati wa kuandaamfumo wa usafiri- hawasemi chochote <strong>kuhusu</strong> mahitajiya watembea <strong>kwa</strong> miguu walawapanda baisikeli wala walemavukatika ujenzi wa barabaraUmma wa <strong>Wapanda</strong> <strong>Baisikeli</strong> Dar es Salaam (UWABA)PO Box 90361, Manzese Sisi <strong>kwa</strong> Sisi, Dar es Salaam0713652642 0715568512 0714623774 uwabadar@yahoo.co.ukwww.uwaba.<strong>or</strong>.<strong>tz</strong>Umma wa <strong>Wapanda</strong> <strong>Baisikeli</strong> Dar es Salaam (UWABA)PO Box 90361, Manzese Sisi <strong>kwa</strong> Sisi, Dar es Salaam0713652642 0715568512 0714623774 uwabadar@yahoo.co.ukwww.uwaba.<strong>or</strong>.<strong>tz</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!